Hello sir, I am a young man in Kenya, a film student. am I have attributed this project in my research thank you for taking first steps in realizing animation development in Africa.
@godfreysemwaiko32902 ай бұрын
Thank you so much, I worked with my Kenyan friend Alfred Muchilwa on this animation. Yes, we need more African oriented animations.
@niacreatives76912 ай бұрын
@@godfreysemwaiko3290 true.
@ambokileasheengai11404 ай бұрын
We mzee kwema huko...hongera sana
@user-ct6or4ew2t4 ай бұрын
Noma Kali sana mzee mbuzi hongera sana
@tuzonyava83065 ай бұрын
Majira Yetu haya, yangekuwaje sasa,utumwa wanchi Nyerere ame ukomesha❤❤❤❤ mh wangekua wanaruhudu kuimba nyimbo za Taifa aina mbili. Basi Taifa stars wangeimba huu Pengine ata uko Afcon wangejituma warudi namatokeo mazuri kabisa ,, Mungu ibark Taifa Stars Amina
@user-ct6or4ew2t5 ай бұрын
Baba zap noma sana
@abdulpotivar75736 ай бұрын
Vitu kama vime pata itilaf katika kusajili msiwe mna post apo mnaonesha uzaifu wa kazi yenu sasa iyo sauti kukatika ni uremboo au mlifeli ??
@godfreysemwaiko32905 ай бұрын
Asante kwa maoni, niliweka video vizuri, ila kuna miziki haikufuata sheria za hakimiliki, hivyo KZread wamekata sauti zake, ila ukiihitaji hii documentary kama ilivyo ninaweza kukutumia. Asante sana
@assakuguru30576 ай бұрын
Hongera kwa makala nzuri sana.
@frankkajoba83727 ай бұрын
This song is more deep.
@julithamuhale72718 ай бұрын
Asante Mungu kwa kunijalia nizaliwe Tanzania
@charlesmalwana37399 ай бұрын
Hakuna aliye badilisha mashairi, watunzi wa huo wimbo ndiyo hao wanaoimba
@richkinji2583 Жыл бұрын
Ivi siku hizi watoto wanaomba hizi nyimbo mashuleni nawauliza wakurungwa &wakushi
@godfreyshija3295 Жыл бұрын
Nice song
@OmarMohamed-bp9ix Жыл бұрын
Napenda kutoa ushauri wangu huo ndio uwe wimbo wa taifa la Tanzania,,kwasababu unaonesha uzalendo kwa Taifa la Tanzania,,,
@AndrewKayombo-wm8bw8 ай бұрын
Katika nyimbo tatu zilizo pendekezwa kuwa nyimbo za Taifa na huu ulikuwa mmoja wapo,ila ukapita wa Taifa wa sasa
@MerereJr Жыл бұрын
Tanzania nchi yangu
@halimaiddiijengo7376 Жыл бұрын
Nzur
@onemanempire6879 Жыл бұрын
Stíll among the best ín 2023🔥💥💥
@janethmercykachale6260 Жыл бұрын
Huu mlio wa trumpet umenifanya nimkumbuke my daddy by Brighton Boniface
@godfreysemwaiko3290 Жыл бұрын
Oh pole sana, kumbe marehemu Borniface Kachale alikuwa baba yako? Vipi yule baba yako mkubwa aliyekuwa Brass Band ya polisi Kurasini yupo wapi yeye?
@janethmercykachale6260 Жыл бұрын
Yuko kigamboni alishastaff polisi sisi tunakaa Kibaha na mama
@janethmercykachale6260 Жыл бұрын
Baba alikuwa anatueleza habari zako wakati ana record zile CD zake alisema unafanya TBC.
@godfreysemwaiko3290 Жыл бұрын
@@janethmercykachale6260 yes nafahamu mnakaa Kibaha kwa Mathias. Msalimie sana mama. Mimi sipo nchini muda mrefu, hata rafiki yangu marehemu amefariki mimi sipo nchini. Poleni sana. Inabidi uendeleze kipaji cha mzee, unapiga chombo chochote cha muziki?
@JosephJoseph-cb2ro Жыл бұрын
Nakubal home boy
@jacksonmtungilehe7863 Жыл бұрын
The real Fid Q
@kennedyekale5544 Жыл бұрын
naipenda hii band saaana naitamani niwajoin siku moja
@tariqkondo509 Жыл бұрын
Shoutout to Sarah and Fundi Samweli
@florianfinda74452 жыл бұрын
Huu ulitakiwa uwe ndio wimbo wa taifa letu kabisa.
@exaverymasinga30972 жыл бұрын
Sisi watanzania ni wehu Sana hivi unawezaje kusema singeli ni mziki wa asilia hujawahi wasikia Hawa??
@godfreysemwaiko32902 жыл бұрын
Singeli ni mchanganyiko (fusion) ya muziki wa Mnanda na modern taarab, ambapo hutengenezwa kwa ku- loop kipande kimoja cha muziki na kukiongezea speed. Mnanda pia ulikuwa ni mchanganyiko wa Disco Chakacha na Mdundiko... Kwa kifupi utamaduni huwa unasogea (dynamic), na hasa kwenye lugha, mavazi na muziki. Ndiyo maana unaona mizikia inajisogeza toka aina fulani kuelekea aina nyingine. Ukisikiliza Rap music ya 1980s, ni tofauti na Hip Hop ya sasa. Hivyo basi tukubali tu mabadiliko ya muziki, lakini si kweli kwamba Singeli au Mnanda ni muziki wa asili. Sisi tambala wanapiga muziki wa asili kwa kutumia vyombo vya kisasa na vionjo vya kisasa. Kama ulishawahi kulisikia kundi la OYA, lililokuwa likiongozwa na Omary, au kundi la ZEMCALA, nk. utagundua hii miziki ya asili inayopigwa na vyombo vya kisasa. Kama upo Dar es Sa;laam, kila jumamosi, tembelea pale Nafasi Art Center, kuna burudani mbalimbali za hizi contemporary music bands. Enjoy.
@zainilkanji91412 жыл бұрын
Nice
@mtutamrashani43732 жыл бұрын
good song NGOSHA
@stephenmusembi21762 жыл бұрын
This one is super good congrats from kenya
@abrahammwankenja34072 жыл бұрын
Tanzania is only Country which i have,I love my country more than everything in this world!
@lwitikophilipopelela18912 жыл бұрын
Nalipenda beti la tatu "Nchi yenye azimio lenye tumaini, ndiwe pekee yako mwanga wa watanzania, nitakuthamini hadharani na moyoni unilinde NAMI ntakulinda hadi kufa" true patriotic song🇹🇿❤️
@miltonjohn14022 жыл бұрын
Huu wimbo umechakachuliwa haukuwa hivyo. Kwanza wanauimba haraka haraka ytadhani wanakimbizwa na polisi.
@shabanihamisingomaakalisan55962 жыл бұрын
Ngosha🇹🇿
@shukuranjoseph81592 жыл бұрын
5
@sadiqmshairi2 жыл бұрын
nyimbo zako zote nifunzo na burudisho pia
@phinawatwego72602 жыл бұрын
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee
@mfalmegideon39872 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿
@brosataasisi36572 жыл бұрын
Baba asiyemfunza Mwana ikatokea mwana amemkana/ Inamaana wamelingana wote wamekosea sana....
@aboubackhrkassangullah47553 жыл бұрын
Siyo sisi tambala ngwanjala ni ngwashala hiyo ni ngoma ya kabila la kimwera kutoka mkoa wa Lindi ngwashala tambala ni mdudu anaetambaa chini huku michilizi yake inakuwa imelowalowa maji
@godfreysemwaiko32903 жыл бұрын
Nafikiri ni typing error... hii ni Ngwashala...
@aboubackhrkassangullah47553 жыл бұрын
@@godfreysemwaiko3290 sawa sawa na pia muandike na sehem watokayo kabila usika Mana Kuna watu upenda kujipendelea Kila kitu waonekane wao ndo zaidi nimeona watu wengi hasa wamakonde wakijinasibu kuwa huo wimbo ni wa kabila lao la kimakonde
@godfreysemwaiko32903 жыл бұрын
Nasikitika kutangaza kwamba Mzee Boniface Kachale, aliyepiga Trumpet kwenye huu wimbo, hatunae tena. R.I.P Mzee Boniface Kachale. Katika uhai wake alipigia bendi mbalimbali nchini, na mpaka anakuja studio kupiga trumpet kwenye wimbo huu, alikuwa anafundisha kupiga Trumpet kwenye kanisa la Efatha Ministries, kule Kibaha kwa Mathias.... R.I.P
@cliffordtarimo15113 жыл бұрын
2021
@mrpcharles56963 жыл бұрын
Thank you fid
@emmanuellonga13133 жыл бұрын
Beautiful!!!
@allymusira21533 жыл бұрын
Wimbo ulitujengea uzalendo sana ❤️❤️❤️❤️❤️
@geraldsanzala81193 жыл бұрын
Saraha ndani ya kazi
@daudimhoja85473 жыл бұрын
I love my country tanzania
@nuruworldinsight29573 жыл бұрын
Huu sasa ndo unafaa uitwe WIMBO wa TAIFA. ule OG tunasimangiwa sana sana na WASAUZI na watu wengn wanadai tumeuiga kutoka kwao.
@nuruworldinsight29573 жыл бұрын
Kuna sehemu kama mbili wanamumunya mumunya maneno hawa. ☹️☹️🙆♂🙆♂
Пікірлер
Nakubal fid q
I love u Tanzania your so nice no matter what
Hello sir, I am a young man in Kenya, a film student. am I have attributed this project in my research thank you for taking first steps in realizing animation development in Africa.
Thank you so much, I worked with my Kenyan friend Alfred Muchilwa on this animation. Yes, we need more African oriented animations.
@@godfreysemwaiko3290 true.
We mzee kwema huko...hongera sana
Noma Kali sana mzee mbuzi hongera sana
Majira Yetu haya, yangekuwaje sasa,utumwa wanchi Nyerere ame ukomesha❤❤❤❤ mh wangekua wanaruhudu kuimba nyimbo za Taifa aina mbili. Basi Taifa stars wangeimba huu Pengine ata uko Afcon wangejituma warudi namatokeo mazuri kabisa ,, Mungu ibark Taifa Stars Amina
Baba zap noma sana
Vitu kama vime pata itilaf katika kusajili msiwe mna post apo mnaonesha uzaifu wa kazi yenu sasa iyo sauti kukatika ni uremboo au mlifeli ??
Asante kwa maoni, niliweka video vizuri, ila kuna miziki haikufuata sheria za hakimiliki, hivyo KZread wamekata sauti zake, ila ukiihitaji hii documentary kama ilivyo ninaweza kukutumia. Asante sana
Hongera kwa makala nzuri sana.
This song is more deep.
Asante Mungu kwa kunijalia nizaliwe Tanzania
Hakuna aliye badilisha mashairi, watunzi wa huo wimbo ndiyo hao wanaoimba
Ivi siku hizi watoto wanaomba hizi nyimbo mashuleni nawauliza wakurungwa &wakushi
Nice song
Napenda kutoa ushauri wangu huo ndio uwe wimbo wa taifa la Tanzania,,kwasababu unaonesha uzalendo kwa Taifa la Tanzania,,,
Katika nyimbo tatu zilizo pendekezwa kuwa nyimbo za Taifa na huu ulikuwa mmoja wapo,ila ukapita wa Taifa wa sasa
Tanzania nchi yangu
Nzur
Stíll among the best ín 2023🔥💥💥
Huu mlio wa trumpet umenifanya nimkumbuke my daddy by Brighton Boniface
Oh pole sana, kumbe marehemu Borniface Kachale alikuwa baba yako? Vipi yule baba yako mkubwa aliyekuwa Brass Band ya polisi Kurasini yupo wapi yeye?
Yuko kigamboni alishastaff polisi sisi tunakaa Kibaha na mama
Baba alikuwa anatueleza habari zako wakati ana record zile CD zake alisema unafanya TBC.
@@janethmercykachale6260 yes nafahamu mnakaa Kibaha kwa Mathias. Msalimie sana mama. Mimi sipo nchini muda mrefu, hata rafiki yangu marehemu amefariki mimi sipo nchini. Poleni sana. Inabidi uendeleze kipaji cha mzee, unapiga chombo chochote cha muziki?
Nakubal home boy
The real Fid Q
naipenda hii band saaana naitamani niwajoin siku moja
Shoutout to Sarah and Fundi Samweli
Huu ulitakiwa uwe ndio wimbo wa taifa letu kabisa.
Sisi watanzania ni wehu Sana hivi unawezaje kusema singeli ni mziki wa asilia hujawahi wasikia Hawa??
Singeli ni mchanganyiko (fusion) ya muziki wa Mnanda na modern taarab, ambapo hutengenezwa kwa ku- loop kipande kimoja cha muziki na kukiongezea speed. Mnanda pia ulikuwa ni mchanganyiko wa Disco Chakacha na Mdundiko... Kwa kifupi utamaduni huwa unasogea (dynamic), na hasa kwenye lugha, mavazi na muziki. Ndiyo maana unaona mizikia inajisogeza toka aina fulani kuelekea aina nyingine. Ukisikiliza Rap music ya 1980s, ni tofauti na Hip Hop ya sasa. Hivyo basi tukubali tu mabadiliko ya muziki, lakini si kweli kwamba Singeli au Mnanda ni muziki wa asili. Sisi tambala wanapiga muziki wa asili kwa kutumia vyombo vya kisasa na vionjo vya kisasa. Kama ulishawahi kulisikia kundi la OYA, lililokuwa likiongozwa na Omary, au kundi la ZEMCALA, nk. utagundua hii miziki ya asili inayopigwa na vyombo vya kisasa. Kama upo Dar es Sa;laam, kila jumamosi, tembelea pale Nafasi Art Center, kuna burudani mbalimbali za hizi contemporary music bands. Enjoy.
Nice
good song NGOSHA
This one is super good congrats from kenya
Tanzania is only Country which i have,I love my country more than everything in this world!
Nalipenda beti la tatu "Nchi yenye azimio lenye tumaini, ndiwe pekee yako mwanga wa watanzania, nitakuthamini hadharani na moyoni unilinde NAMI ntakulinda hadi kufa" true patriotic song🇹🇿❤️
Huu wimbo umechakachuliwa haukuwa hivyo. Kwanza wanauimba haraka haraka ytadhani wanakimbizwa na polisi.
Ngosha🇹🇿
5
nyimbo zako zote nifunzo na burudisho pia
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee
Tanzania 🇹🇿
Baba asiyemfunza Mwana ikatokea mwana amemkana/ Inamaana wamelingana wote wamekosea sana....
Siyo sisi tambala ngwanjala ni ngwashala hiyo ni ngoma ya kabila la kimwera kutoka mkoa wa Lindi ngwashala tambala ni mdudu anaetambaa chini huku michilizi yake inakuwa imelowalowa maji
Nafikiri ni typing error... hii ni Ngwashala...
@@godfreysemwaiko3290 sawa sawa na pia muandike na sehem watokayo kabila usika Mana Kuna watu upenda kujipendelea Kila kitu waonekane wao ndo zaidi nimeona watu wengi hasa wamakonde wakijinasibu kuwa huo wimbo ni wa kabila lao la kimakonde
Nasikitika kutangaza kwamba Mzee Boniface Kachale, aliyepiga Trumpet kwenye huu wimbo, hatunae tena. R.I.P Mzee Boniface Kachale. Katika uhai wake alipigia bendi mbalimbali nchini, na mpaka anakuja studio kupiga trumpet kwenye wimbo huu, alikuwa anafundisha kupiga Trumpet kwenye kanisa la Efatha Ministries, kule Kibaha kwa Mathias.... R.I.P
2021
Thank you fid
Beautiful!!!
Wimbo ulitujengea uzalendo sana ❤️❤️❤️❤️❤️
Saraha ndani ya kazi
I love my country tanzania
Huu sasa ndo unafaa uitwe WIMBO wa TAIFA. ule OG tunasimangiwa sana sana na WASAUZI na watu wengn wanadai tumeuiga kutoka kwao.
Kuna sehemu kama mbili wanamumunya mumunya maneno hawa. ☹️☹️🙆♂🙆♂
2021
MUSIC
Music