Godfrey Semwaiko

Godfrey Semwaiko

Godfrey Semwaiko's some video works

Toto's Journey

Toto's Journey

Unpacking Standards

Unpacking Standards

MS Explore class overview

MS Explore class overview

TAZAMA RAMANI

TAZAMA RAMANI

TANZANIA TANZANIA

TANZANIA TANZANIA

Пікірлер

  • @ramadhanjuma2296
    @ramadhanjuma229625 күн бұрын

    Nakubal fid q

  • @GemaLucas-mz2bn
    @GemaLucas-mz2bnАй бұрын

    I love u Tanzania your so nice no matter what

  • @niacreatives7691
    @niacreatives76912 ай бұрын

    Hello sir, I am a young man in Kenya, a film student. am I have attributed this project in my research thank you for taking first steps in realizing animation development in Africa.

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko32902 ай бұрын

    Thank you so much, I worked with my Kenyan friend Alfred Muchilwa on this animation. Yes, we need more African oriented animations.

  • @niacreatives7691
    @niacreatives76912 ай бұрын

    @@godfreysemwaiko3290 true.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11404 ай бұрын

    We mzee kwema huko...hongera sana

  • @user-ct6or4ew2t
    @user-ct6or4ew2t4 ай бұрын

    Noma Kali sana mzee mbuzi hongera sana

  • @tuzonyava8306
    @tuzonyava83065 ай бұрын

    Majira Yetu haya, yangekuwaje sasa,utumwa wanchi Nyerere ame ukomesha❤❤❤❤ mh wangekua wanaruhudu kuimba nyimbo za Taifa aina mbili. Basi Taifa stars wangeimba huu Pengine ata uko Afcon wangejituma warudi namatokeo mazuri kabisa ,, Mungu ibark Taifa Stars Amina

  • @user-ct6or4ew2t
    @user-ct6or4ew2t5 ай бұрын

    Baba zap noma sana

  • @abdulpotivar7573
    @abdulpotivar75736 ай бұрын

    Vitu kama vime pata itilaf katika kusajili msiwe mna post apo mnaonesha uzaifu wa kazi yenu sasa iyo sauti kukatika ni uremboo au mlifeli ??

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko32905 ай бұрын

    Asante kwa maoni, niliweka video vizuri, ila kuna miziki haikufuata sheria za hakimiliki, hivyo KZread wamekata sauti zake, ila ukiihitaji hii documentary kama ilivyo ninaweza kukutumia. Asante sana

  • @assakuguru3057
    @assakuguru30576 ай бұрын

    Hongera kwa makala nzuri sana.

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba83727 ай бұрын

    This song is more deep.

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale72718 ай бұрын

    Asante Mungu kwa kunijalia nizaliwe Tanzania

  • @charlesmalwana3739
    @charlesmalwana37399 ай бұрын

    Hakuna aliye badilisha mashairi, watunzi wa huo wimbo ndiyo hao wanaoimba

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 Жыл бұрын

    Ivi siku hizi watoto wanaomba hizi nyimbo mashuleni nawauliza wakurungwa &wakushi

  • @godfreyshija3295
    @godfreyshija3295 Жыл бұрын

    Nice song

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix Жыл бұрын

    Napenda kutoa ushauri wangu huo ndio uwe wimbo wa taifa la Tanzania,,kwasababu unaonesha uzalendo kwa Taifa la Tanzania,,,

  • @AndrewKayombo-wm8bw
    @AndrewKayombo-wm8bw8 ай бұрын

    Katika nyimbo tatu zilizo pendekezwa kuwa nyimbo za Taifa na huu ulikuwa mmoja wapo,ila ukapita wa Taifa wa sasa

  • @MerereJr
    @MerereJr Жыл бұрын

    Tanzania nchi yangu

  • @halimaiddiijengo7376
    @halimaiddiijengo7376 Жыл бұрын

    Nzur

  • @onemanempire6879
    @onemanempire6879 Жыл бұрын

    Stíll among the best ín 2023🔥💥💥

  • @janethmercykachale6260
    @janethmercykachale6260 Жыл бұрын

    Huu mlio wa trumpet umenifanya nimkumbuke my daddy by Brighton Boniface

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko3290 Жыл бұрын

    Oh pole sana, kumbe marehemu Borniface Kachale alikuwa baba yako? Vipi yule baba yako mkubwa aliyekuwa Brass Band ya polisi Kurasini yupo wapi yeye?

  • @janethmercykachale6260
    @janethmercykachale6260 Жыл бұрын

    Yuko kigamboni alishastaff polisi sisi tunakaa Kibaha na mama

  • @janethmercykachale6260
    @janethmercykachale6260 Жыл бұрын

    Baba alikuwa anatueleza habari zako wakati ana record zile CD zake alisema unafanya TBC.

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko3290 Жыл бұрын

    @@janethmercykachale6260 yes nafahamu mnakaa Kibaha kwa Mathias. Msalimie sana mama. Mimi sipo nchini muda mrefu, hata rafiki yangu marehemu amefariki mimi sipo nchini. Poleni sana. Inabidi uendeleze kipaji cha mzee, unapiga chombo chochote cha muziki?

  • @JosephJoseph-cb2ro
    @JosephJoseph-cb2ro Жыл бұрын

    Nakubal home boy

  • @jacksonmtungilehe7863
    @jacksonmtungilehe7863 Жыл бұрын

    The real Fid Q

  • @kennedyekale5544
    @kennedyekale5544 Жыл бұрын

    naipenda hii band saaana naitamani niwajoin siku moja

  • @tariqkondo509
    @tariqkondo509 Жыл бұрын

    Shoutout to Sarah and Fundi Samweli

  • @florianfinda7445
    @florianfinda74452 жыл бұрын

    Huu ulitakiwa uwe ndio wimbo wa taifa letu kabisa.

  • @exaverymasinga3097
    @exaverymasinga30972 жыл бұрын

    Sisi watanzania ni wehu Sana hivi unawezaje kusema singeli ni mziki wa asilia hujawahi wasikia Hawa??

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko32902 жыл бұрын

    Singeli ni mchanganyiko (fusion) ya muziki wa Mnanda na modern taarab, ambapo hutengenezwa kwa ku- loop kipande kimoja cha muziki na kukiongezea speed. Mnanda pia ulikuwa ni mchanganyiko wa Disco Chakacha na Mdundiko... Kwa kifupi utamaduni huwa unasogea (dynamic), na hasa kwenye lugha, mavazi na muziki. Ndiyo maana unaona mizikia inajisogeza toka aina fulani kuelekea aina nyingine. Ukisikiliza Rap music ya 1980s, ni tofauti na Hip Hop ya sasa. Hivyo basi tukubali tu mabadiliko ya muziki, lakini si kweli kwamba Singeli au Mnanda ni muziki wa asili. Sisi tambala wanapiga muziki wa asili kwa kutumia vyombo vya kisasa na vionjo vya kisasa. Kama ulishawahi kulisikia kundi la OYA, lililokuwa likiongozwa na Omary, au kundi la ZEMCALA, nk. utagundua hii miziki ya asili inayopigwa na vyombo vya kisasa. Kama upo Dar es Sa;laam, kila jumamosi, tembelea pale Nafasi Art Center, kuna burudani mbalimbali za hizi contemporary music bands. Enjoy.

  • @zainilkanji9141
    @zainilkanji91412 жыл бұрын

    Nice

  • @mtutamrashani4373
    @mtutamrashani43732 жыл бұрын

    good song NGOSHA

  • @stephenmusembi2176
    @stephenmusembi21762 жыл бұрын

    This one is super good congrats from kenya

  • @abrahammwankenja3407
    @abrahammwankenja34072 жыл бұрын

    Tanzania is only Country which i have,I love my country more than everything in this world!

  • @lwitikophilipopelela1891
    @lwitikophilipopelela18912 жыл бұрын

    Nalipenda beti la tatu "Nchi yenye azimio lenye tumaini, ndiwe pekee yako mwanga wa watanzania, nitakuthamini hadharani na moyoni unilinde NAMI ntakulinda hadi kufa" true patriotic song🇹🇿❤️

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn14022 жыл бұрын

    Huu wimbo umechakachuliwa haukuwa hivyo. Kwanza wanauimba haraka haraka ytadhani wanakimbizwa na polisi.

  • @shabanihamisingomaakalisan5596
    @shabanihamisingomaakalisan55962 жыл бұрын

    Ngosha🇹🇿

  • @shukuranjoseph8159
    @shukuranjoseph81592 жыл бұрын

    5

  • @sadiqmshairi
    @sadiqmshairi2 жыл бұрын

    nyimbo zako zote nifunzo na burudisho pia

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego72602 жыл бұрын

    Tanzania yetu oyeeeeeeeeee

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon39872 жыл бұрын

    Tanzania 🇹🇿

  • @brosataasisi3657
    @brosataasisi36572 жыл бұрын

    Baba asiyemfunza Mwana ikatokea mwana amemkana/ Inamaana wamelingana wote wamekosea sana....

  • @aboubackhrkassangullah4755
    @aboubackhrkassangullah47553 жыл бұрын

    Siyo sisi tambala ngwanjala ni ngwashala hiyo ni ngoma ya kabila la kimwera kutoka mkoa wa Lindi ngwashala tambala ni mdudu anaetambaa chini huku michilizi yake inakuwa imelowalowa maji

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko32903 жыл бұрын

    Nafikiri ni typing error... hii ni Ngwashala...

  • @aboubackhrkassangullah4755
    @aboubackhrkassangullah47553 жыл бұрын

    @@godfreysemwaiko3290 sawa sawa na pia muandike na sehem watokayo kabila usika Mana Kuna watu upenda kujipendelea Kila kitu waonekane wao ndo zaidi nimeona watu wengi hasa wamakonde wakijinasibu kuwa huo wimbo ni wa kabila lao la kimakonde

  • @godfreysemwaiko3290
    @godfreysemwaiko32903 жыл бұрын

    Nasikitika kutangaza kwamba Mzee Boniface Kachale, aliyepiga Trumpet kwenye huu wimbo, hatunae tena. R.I.P Mzee Boniface Kachale. Katika uhai wake alipigia bendi mbalimbali nchini, na mpaka anakuja studio kupiga trumpet kwenye wimbo huu, alikuwa anafundisha kupiga Trumpet kwenye kanisa la Efatha Ministries, kule Kibaha kwa Mathias.... R.I.P

  • @cliffordtarimo1511
    @cliffordtarimo15113 жыл бұрын

    2021

  • @mrpcharles5696
    @mrpcharles56963 жыл бұрын

    Thank you fid

  • @emmanuellonga1313
    @emmanuellonga13133 жыл бұрын

    Beautiful!!!

  • @allymusira2153
    @allymusira21533 жыл бұрын

    Wimbo ulitujengea uzalendo sana ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala81193 жыл бұрын

    Saraha ndani ya kazi

  • @daudimhoja8547
    @daudimhoja85473 жыл бұрын

    I love my country tanzania

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight29573 жыл бұрын

    Huu sasa ndo unafaa uitwe WIMBO wa TAIFA. ule OG tunasimangiwa sana sana na WASAUZI na watu wengn wanadai tumeuiga kutoka kwao.

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight29573 жыл бұрын

    Kuna sehemu kama mbili wanamumunya mumunya maneno hawa. ☹️☹️🙆‍♂🙆‍♂

  • @willinjowritter206
    @willinjowritter2063 жыл бұрын

    2021

  • @emmanuelmoshi2878
    @emmanuelmoshi28783 жыл бұрын

    MUSIC

  • @emmanuelmoshi2878
    @emmanuelmoshi28783 жыл бұрын

    Music