Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais Samia kwa staili yao

#TANZANIA: Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais #Samia kwa staili yao, wajizolea mapesa ya kutosha.

Пікірлер: 36

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809Ай бұрын

    Wamenikumbusha lile tangazo la Du! La Tigo😂😂😂😂

  • @Lameck_Design
    @Lameck_Design Жыл бұрын

    Wow!! I got goosebumps!! , so powerful & Emotional

  • @pianamkai4620
    @pianamkai46204 ай бұрын

    Ni wasabato wanaitwa the voice accapella love them always their doing wonders

  • @enzijasper3104

    @enzijasper3104

    7 күн бұрын

    New Jerusalem

  • @JoasGeorge
    @JoasGeorge5 ай бұрын

    Jamani sijawahi fikili Hawa watu Tanzania hii kumbe Tunao wonderful ❤❤❤❤🎉🎉

  • @KatelezuMalole-um5qj
    @KatelezuMalole-um5qj11 ай бұрын

    Munaimba vizuri Ila ninyi ni nuru ya ulimwengu ndenge za vichwani hazitakiwi Kwa waadventista wasabato? Walawi 19:27

  • @edwinchirandi8810
    @edwinchirandi8810 Жыл бұрын

    🙌 Big up the voice tz .....

  • @loycemalach9662
    @loycemalach96624 ай бұрын

    SDA ni fire. Dhinda ya Dhulu

  • @boggysimon7897
    @boggysimon7897 Жыл бұрын

    Always your big fun🤗

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Жыл бұрын

    God bless you brethrens

  • @user-sj7su2fb5i
    @user-sj7su2fb5i6 ай бұрын

    Safi sana

  • @alsonsemoka5019
    @alsonsemoka50192 жыл бұрын

    The real voice

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Жыл бұрын

    Wow

  • @mamachris6811
    @mamachris68116 ай бұрын

    Bass akaze

  • @leonardMjuliy-lh4ck
    @leonardMjuliy-lh4ck Жыл бұрын

    Ahhaaahhaa mpigaa bezi uyuu mshikaji wamchongo kwl...ahhaahhaa

  • @jameskihambalya1968
    @jameskihambalya1968 Жыл бұрын

    Good

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын

    Chezea Muziki wa SDA, ni 🔥

  • @dannysengata2298

    @dannysengata2298

    Жыл бұрын

    Hawajasema Hilo tuseme ni mziki tuuu.....

  • @anneyrommoka9024

    @anneyrommoka9024

    Жыл бұрын

    Hawa ni sabatooooo

  • @octavinaalphonce6898

    @octavinaalphonce6898

    Жыл бұрын

    Kwani ni wasabato?

  • @yustermzirai
    @yustermzirai6 ай бұрын

    Hao ni wasabato

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Жыл бұрын

    Hawa jamaa ni balaa haw sio roman kweli

  • @tymonockey7682

    @tymonockey7682

    Жыл бұрын

    SDA kaka

  • @Hasnspop

    @Hasnspop

    Жыл бұрын

    @@tymonockey7682 aisee wako vizuri

  • @williammathias1526

    @williammathias1526

    Жыл бұрын

    Sda

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿❤❤

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Жыл бұрын

    members wa SDA hao

  • @venancemiyeji6804
    @venancemiyeji6804 Жыл бұрын

    kama kwa sasa watakuwa wameamua kubadilisha dhehebu lakini ni wakatoliki na tulikuwa nao ssiku zote kwenye matamasha ya viwawa hapa Jimbo katoliki Dar mfano matamasha yaliyokuwa yakifanyika Don bosco Upnga na Osterbay walikuwa wakishiriki vizuri sana kama vijana wakatoliki wenzao

  • @charlesrhombo7910

    @charlesrhombo7910

    Жыл бұрын

    Hawajawahi kuwa wakatoliki. Ila hushiriki matamasho yoyote

  • @kelvinOdhis

    @kelvinOdhis

    Жыл бұрын

    Wasabato hao...hawajawahi kuwa wakatoliki ila wanaendaga tu....njoo sabato hayo kwetu ni ya kawaida wapo wengi kama hao

  • @rosemgeni2221

    @rosemgeni2221

    6 ай бұрын

    Ni SDA ndgu wameanza kuimba kwa kujitolea tukiwa pathfinder club kama vijana wa kisabato the voice group limeundwa na vijana 4 wa familiya mmoja ya mzee Marehemu kwa sasa n Marehemu watoto wake ndio the voice group ndio waliotoa tangazo la tigo 2003

  • @rosemgeni2221

    @rosemgeni2221

    6 ай бұрын

    Mzee Mark baba yao aliwasapoti sana

  • @hawazakaria-kw5lh

    @hawazakaria-kw5lh

    6 ай бұрын

    Walialikwa hao bana ni wasabato toka wadogo mpk sasa hivi sema huwa wanatoa huduma ya uimbaji sehemu mbali mbali