Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais Samia kwa staili yao
#TANZANIA: Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais #Samia kwa staili yao, wajizolea mapesa ya kutosha.
#TANZANIA: Jionee vipaji vya Kitanzania wakiimba wimbo wa Tazama Ramani mbele ya Rais #Samia kwa staili yao, wajizolea mapesa ya kutosha.
Пікірлер: 36
Wamenikumbusha lile tangazo la Du! La Tigo😂😂😂😂
Wow!! I got goosebumps!! , so powerful & Emotional
Ni wasabato wanaitwa the voice accapella love them always their doing wonders
@enzijasper3104
7 күн бұрын
New Jerusalem
Jamani sijawahi fikili Hawa watu Tanzania hii kumbe Tunao wonderful ❤❤❤❤🎉🎉
Munaimba vizuri Ila ninyi ni nuru ya ulimwengu ndenge za vichwani hazitakiwi Kwa waadventista wasabato? Walawi 19:27
🙌 Big up the voice tz .....
SDA ni fire. Dhinda ya Dhulu
Always your big fun🤗
God bless you brethrens
Safi sana
The real voice
Wow
Bass akaze
Ahhaaahhaa mpigaa bezi uyuu mshikaji wamchongo kwl...ahhaahhaa
Good
Chezea Muziki wa SDA, ni 🔥
@dannysengata2298
Жыл бұрын
Hawajasema Hilo tuseme ni mziki tuuu.....
@anneyrommoka9024
Жыл бұрын
Hawa ni sabatooooo
@octavinaalphonce6898
Жыл бұрын
Kwani ni wasabato?
Hao ni wasabato
Hawa jamaa ni balaa haw sio roman kweli
@tymonockey7682
Жыл бұрын
SDA kaka
@Hasnspop
Жыл бұрын
@@tymonockey7682 aisee wako vizuri
@williammathias1526
Жыл бұрын
Sda
🇹🇿🇹🇿❤❤
members wa SDA hao
kama kwa sasa watakuwa wameamua kubadilisha dhehebu lakini ni wakatoliki na tulikuwa nao ssiku zote kwenye matamasha ya viwawa hapa Jimbo katoliki Dar mfano matamasha yaliyokuwa yakifanyika Don bosco Upnga na Osterbay walikuwa wakishiriki vizuri sana kama vijana wakatoliki wenzao
@charlesrhombo7910
Жыл бұрын
Hawajawahi kuwa wakatoliki. Ila hushiriki matamasho yoyote
@kelvinOdhis
Жыл бұрын
Wasabato hao...hawajawahi kuwa wakatoliki ila wanaendaga tu....njoo sabato hayo kwetu ni ya kawaida wapo wengi kama hao
@rosemgeni2221
6 ай бұрын
Ni SDA ndgu wameanza kuimba kwa kujitolea tukiwa pathfinder club kama vijana wa kisabato the voice group limeundwa na vijana 4 wa familiya mmoja ya mzee Marehemu kwa sasa n Marehemu watoto wake ndio the voice group ndio waliotoa tangazo la tigo 2003
@rosemgeni2221
6 ай бұрын
Mzee Mark baba yao aliwasapoti sana
@hawazakaria-kw5lh
6 ай бұрын
Walialikwa hao bana ni wasabato toka wadogo mpk sasa hivi sema huwa wanatoa huduma ya uimbaji sehemu mbali mbali