MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI

Музыка

Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios

Пікірлер: 507

  • @josephlugembe2930
    @josephlugembe29303 жыл бұрын

    Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment

  • @fitinajacky740

    @fitinajacky740

    3 жыл бұрын

    Iiiiiiiiiiiiijjjijjjjjjjjijjj

  • @fitinajacky740

    @fitinajacky740

    3 жыл бұрын

    im

  • @fitinajacky740

    @fitinajacky740

    3 жыл бұрын

    Mmmmmj

  • @fitinajacky740

    @fitinajacky740

    3 жыл бұрын

    Ijmmi

  • @fitinajacky740

    @fitinajacky740

    3 жыл бұрын

    Mijjk

  • @MariaYusuf1
    @MariaYusuf13 жыл бұрын

    Good voices kaka zangu ongera

  • @vorstermatengumuzebe7795
    @vorstermatengumuzebe77952 жыл бұрын

    Rajo productions

  • @simonsebastian9477
    @simonsebastian94773 жыл бұрын

    Hongereni sana walimu

  • @eliseindakidemi7159
    @eliseindakidemi71593 жыл бұрын

    Maorganist ...safi sana

  • @fransisoroni9903
    @fransisoroni99033 жыл бұрын

    Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana

  • @dennisharry-tx8ig
    @dennisharry-tx8ig Жыл бұрын

    This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto11783 жыл бұрын

    Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu

  • @anesiasalvatory7327
    @anesiasalvatory73273 жыл бұрын

    Mungu awabariki

  • @veronicamakoye4102
    @veronicamakoye41023 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.

  • @mercymwende361
    @mercymwende3612 жыл бұрын

    Wow😍baraka

  • @josphatnzioki1789
    @josphatnzioki17892 жыл бұрын

    Tunarekodi.......hahaha ....akhi napenda kazi yenu

  • @wakykundy6016
    @wakykundy60163 жыл бұрын

    Big up sanaaaa

  • @graphphoto705
    @graphphoto7053 жыл бұрын

    Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa

  • @solomonmenda6848
    @solomonmenda68483 жыл бұрын

    Napenda kweli mungu anatuwazia mema

  • @aviaarchard5856
    @aviaarchard58563 жыл бұрын

    Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana

  • @consolatandinda8887
    @consolatandinda888711 ай бұрын

    For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11 awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time

  • @angelistashayo8925
    @angelistashayo89253 жыл бұрын

    Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri

  • @magrethmosha9626
    @magrethmosha96263 жыл бұрын

    Nice song guys 🙏🙏

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo19834 жыл бұрын

    Daaaaa nimejikuta nikifurahia hongereni Sana mpo vzr

  • @noeliacharles7123
    @noeliacharles71234 жыл бұрын

    This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏

  • @magrethlaurent2856
    @magrethlaurent28564 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana mmeimba vizuri,,, Mungu awazidishie nimeipenda

  • @angelmalavanu9723
    @angelmalavanu97233 жыл бұрын

    Safi Sana kaka zangu

  • @levinadotto4147
    @levinadotto41473 жыл бұрын

    Congratulations brothers

  • @stephenmathenge9723
    @stephenmathenge9723Ай бұрын

    Hongera sana choir🎉🎉

  • @premsekela9060
    @premsekela90602 жыл бұрын

    AMEC CHOIR hatuoni kazi nyingine nzuri kama inavyoada

  • @lauramushi3299
    @lauramushi3299 Жыл бұрын

    Bravo RAJO'S PRODUCTION👏

  • @amosgerald7763
    @amosgerald77634 жыл бұрын

    Mbalikiwe

  • @neemalyakurwa9844
    @neemalyakurwa98444 жыл бұрын

    Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu

  • @rahabumkama8954
    @rahabumkama89544 жыл бұрын

    Hongeren sana watumishi

  • @globalcitizentv7467
    @globalcitizentv74673 жыл бұрын

    Congratulations!!

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus62983 жыл бұрын

    Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe

  • @josephlango5591

    @josephlango5591

    3 жыл бұрын

    Omba nawe utapata

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    3 жыл бұрын

    @@josephlango5591 Amina

  • @sharonsimon2861
    @sharonsimon28612 жыл бұрын

    good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 Жыл бұрын

    Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel906410 ай бұрын

    Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki

  • @franciscambatha9353
    @franciscambatha9353 Жыл бұрын

    Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle92883 жыл бұрын

    Asnteni sana,nimebarikiwa mno

  • @Rafaeljay76.
    @Rafaeljay76.3 жыл бұрын

    Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥

  • @janeakailokopu9829
    @janeakailokopu98293 жыл бұрын

    nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu

  • @user-xl2px6mh6d
    @user-xl2px6mh6d4 ай бұрын

    Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo

  • @guygerardmaindo6678
    @guygerardmaindo66782 жыл бұрын

    Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.

  • @rachelsimon4275
    @rachelsimon42753 жыл бұрын

    Wow, wow, wow, wow Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's Kristo,,,,,,,

  • @bundesco
    @bundesco3 жыл бұрын

    Hongereni sana

  • @consolattagabriel255
    @consolattagabriel2554 жыл бұрын

    Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali

  • @marthanjeri9227
    @marthanjeri92273 жыл бұрын

    I like the song hongera wanachoir

  • @julianamanimo7850
    @julianamanimo78504 жыл бұрын

    Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa

  • @fransiscabernard1070
    @fransiscabernard10704 жыл бұрын

    Pongezi Mungu awazidishie neema ya kibali🤞

  • @floraelias6458
    @floraelias64583 жыл бұрын

    Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema

  • @user-tv8ts3lt8c
    @user-tv8ts3lt8c9 ай бұрын

    I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤

  • @rajopro

    @rajopro

    9 ай бұрын

    Be blessed.

  • @user-tv8ts3lt8c

    @user-tv8ts3lt8c

    9 ай бұрын

    Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .

  • @merryngowi6607
    @merryngowi66073 жыл бұрын

    Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina

  • @delvineondari9204
    @delvineondari92042 жыл бұрын

    Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.

  • @angelmkiramweni6178
    @angelmkiramweni61784 жыл бұрын

    Mwenyekiti wangu wa vijana lawrance uko gud

  • @gabrielchelehani5119
    @gabrielchelehani51194 жыл бұрын

    Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j

  • @ibel4lf
    @ibel4lf3 жыл бұрын

    Wimbo wa katikati misa ya kumuaga ya Mazishi Magufuli

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine34673 жыл бұрын

    Very attractive

  • @chrispinesamwel2660
    @chrispinesamwel26603 жыл бұрын

    SALUTE!!!!!

  • @brysonnyembele5481
    @brysonnyembele54813 жыл бұрын

    Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana

  • @anatoriacronery3487
    @anatoriacronery34874 жыл бұрын

    Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana

  • @goodsonkayombo2261
    @goodsonkayombo22614 жыл бұрын

    Wazee mko vzur cna keep it up!

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni16203 жыл бұрын

    Wow! Simply incredible. Please give us more of this. My heart is touched,blessed,and eyes teary. Jesus i love you,thank you for loving me so much each second of my life!

  • @mapendoimani2462
    @mapendoimani24624 жыл бұрын

    Hongereni Mapacha wanne Utulivu 100% na ujumbe safi actually its in good memory of our lenged Composers

  • @olivambala3086
    @olivambala30864 жыл бұрын

    Hongereni Mungu amesikia kilio chetu cha ugonjwa wa corona

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 Жыл бұрын

    Walimu wetu hongereni sana

  • @hildaqorro2225
    @hildaqorro22254 жыл бұрын

    Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ... ****nami nitawarudisha.....👌👌 Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...

  • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60

    @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60

    4 жыл бұрын

    Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/h4uW19Kpe8LWZ5s.html

  • @annehpascal976
    @annehpascal9764 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @nelsonkyaruzi1482
    @nelsonkyaruzi14824 жыл бұрын

    Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic

  • @eddiendungi1571
    @eddiendungi15713 жыл бұрын

    Greetings in the Lord from Kinshasa, DR Congo. Sounds like male angels singing!!! Formidable!!!

  • @jonhsonmsofe9904
    @jonhsonmsofe99042 жыл бұрын

    Nimependa hio tokarajo

  • @brendamoraa6400
    @brendamoraa6400 Жыл бұрын

    Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu

  • @phillipmbuligwe7946
    @phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын

    Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.

  • @hildaqorro2225
    @hildaqorro22254 жыл бұрын

    My favourite song of all times.... mmenibariki kwakweli.....

  • @elizabethemmanuel4167
    @elizabethemmanuel4167 Жыл бұрын

    Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana

  • @chrispinesamwel2660
    @chrispinesamwel26603 жыл бұрын

    Great!

  • @mwitamichael9087
    @mwitamichael90874 жыл бұрын

    Hongereni vijana kwa wimbo mzuri

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam94154 жыл бұрын

    Haya ni maombi moja kwa moja.

  • @tumainabraham489
    @tumainabraham4894 жыл бұрын

    nzuri sana hongera

  • @maliaannann1572
    @maliaannann15724 жыл бұрын

    Hongera Rajo Production.... Mens mko vzr

  • @godisonindunguru6090
    @godisonindunguru60903 жыл бұрын

    Mko vizuri wazee

  • @bebetoanselme3826
    @bebetoanselme38264 жыл бұрын

    Hongerani sana kwa nyimbo nzuri sana

  • @monicahmutuku5829
    @monicahmutuku58293 жыл бұрын

    Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 Жыл бұрын

    Huu wimbo haichoshi kuutazama

  • @joymo2799
    @joymo27993 жыл бұрын

    Nice song still here on July 13 2021 Nabarikiwa sanaa

  • @meresinantibakakazi1722
    @meresinantibakakazi17223 жыл бұрын

    Asaenteni sana kwa kuimba vizuri.kibondo tumewakubari

  • @remnantkikiwa3488
    @remnantkikiwa34884 жыл бұрын

    Tam sana. Mbarikiwe wapendwa

  • @lawrencesilas3050

    @lawrencesilas3050

    4 жыл бұрын

    Amina sana mate wng

  • @Makothful
    @Makothful4 жыл бұрын

    Wazito! Nimependa mtiririko wa sauti. Well blended

  • @zawadishiga1123
    @zawadishiga11234 жыл бұрын

    Hongereeeeni sanaaaaa....mbarikiweeee...viva Roman Catholic church

  • @selinakedmon8461
    @selinakedmon84613 жыл бұрын

    Nice song GOD bless u

  • @eliasdilandasafisananapend9427
    @eliasdilandasafisananapend94272 жыл бұрын

    Nawafurahia sana na uimbaji wenu

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole56633 жыл бұрын

    very very song

  • @siscosamson3960
    @siscosamson39603 жыл бұрын

    Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.

  • @lawrencesilas3050

    @lawrencesilas3050

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @antoniaproty6808
    @antoniaproty68083 жыл бұрын

    Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.

  • @josephinegravasiano8614
    @josephinegravasiano86143 жыл бұрын

    Proud to be a Catholic

  • @StpaulDispensary
    @StpaulDispensary8 ай бұрын

    Jamani kk tTumain Swai upooo

  • @gloriasakwari9815
    @gloriasakwari9815 Жыл бұрын

    Asanteni Mbarikiwe waimbaji na Rajo production

  • @justineamanyisye7675
    @justineamanyisye76754 жыл бұрын

    Hakika Mungu awatumie ktk viwango na viwango,nimetafakar maneno mazito

  • @raphaelami760
    @raphaelami7603 жыл бұрын

    Amazing

  • @dicksonthewira6388
    @dicksonthewira63884 жыл бұрын

    Daa hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ubunifu mzuri

  • @mwalimuaudi8844
    @mwalimuaudi88443 жыл бұрын

    Wow! Nimebarikiwa sana. Utunzi huu unavutia sana. Mola na Awazidishie maarifa katika kumtumikia.🎶🎶🎼🎼🎹🎹😍🤗🤩😘

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo10254 жыл бұрын

    Raju best production

  • @user-cd9fh2fo2z
    @user-cd9fh2fo2z5 ай бұрын

    Cool and wow

Келесі