MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI
Музыка
Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios
Пікірлер: 507
Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment
@fitinajacky740
3 жыл бұрын
Iiiiiiiiiiiiijjjijjjjjjjjijjj
@fitinajacky740
3 жыл бұрын
im
@fitinajacky740
3 жыл бұрын
Mmmmmj
@fitinajacky740
3 жыл бұрын
Ijmmi
@fitinajacky740
3 жыл бұрын
Mijjk
Good voices kaka zangu ongera
Rajo productions
Hongereni sana walimu
Maorganist ...safi sana
Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana
This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ
Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu
Mungu awabariki
Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.
Wow😍baraka
Tunarekodi.......hahaha ....akhi napenda kazi yenu
Big up sanaaaa
Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa
Napenda kweli mungu anatuwazia mema
Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana
For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11 awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time
Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri
Nice song guys 🙏🙏
Daaaaa nimejikuta nikifurahia hongereni Sana mpo vzr
This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏
Mbarikiwe sana mmeimba vizuri,,, Mungu awazidishie nimeipenda
Safi Sana kaka zangu
Congratulations brothers
Hongera sana choir🎉🎉
AMEC CHOIR hatuoni kazi nyingine nzuri kama inavyoada
Bravo RAJO'S PRODUCTION👏
Mbalikiwe
Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu
Hongeren sana watumishi
Congratulations!!
Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe
@josephlango5591
3 жыл бұрын
Omba nawe utapata
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
@@josephlango5591 Amina
good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents
Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri
Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki
Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date
Asnteni sana,nimebarikiwa mno
Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥
nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu
Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo
Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.
Wow, wow, wow, wow Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's Kristo,,,,,,,
Hongereni sana
Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali
I like the song hongera wanachoir
Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa
Pongezi Mungu awazidishie neema ya kibali🤞
Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema
I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤
@rajopro
9 ай бұрын
Be blessed.
@user-tv8ts3lt8c
9 ай бұрын
Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .
Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina
Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.
Mwenyekiti wangu wa vijana lawrance uko gud
Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j
Wimbo wa katikati misa ya kumuaga ya Mazishi Magufuli
Very attractive
SALUTE!!!!!
Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana
Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana
Wazee mko vzur cna keep it up!
Wow! Simply incredible. Please give us more of this. My heart is touched,blessed,and eyes teary. Jesus i love you,thank you for loving me so much each second of my life!
Hongereni Mapacha wanne Utulivu 100% na ujumbe safi actually its in good memory of our lenged Composers
Hongereni Mungu amesikia kilio chetu cha ugonjwa wa corona
Walimu wetu hongereni sana
Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ... ****nami nitawarudisha.....👌👌 Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...
@kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
4 жыл бұрын
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe kzread.info/dash/bejne/h4uW19Kpe8LWZ5s.html
Kazi nzuri sana
Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic
Greetings in the Lord from Kinshasa, DR Congo. Sounds like male angels singing!!! Formidable!!!
Nimependa hio tokarajo
Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu
Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.
My favourite song of all times.... mmenibariki kwakweli.....
Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana
Great!
Hongereni vijana kwa wimbo mzuri
Haya ni maombi moja kwa moja.
nzuri sana hongera
Hongera Rajo Production.... Mens mko vzr
Mko vizuri wazee
Hongerani sana kwa nyimbo nzuri sana
Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.
Huu wimbo haichoshi kuutazama
Nice song still here on July 13 2021 Nabarikiwa sanaa
Asaenteni sana kwa kuimba vizuri.kibondo tumewakubari
Tam sana. Mbarikiwe wapendwa
@lawrencesilas3050
4 жыл бұрын
Amina sana mate wng
Wazito! Nimependa mtiririko wa sauti. Well blended
Hongereeeeni sanaaaaa....mbarikiweeee...viva Roman Catholic church
Nice song GOD bless u
Nawafurahia sana na uimbaji wenu
very very song
Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.
@lawrencesilas3050
3 жыл бұрын
Amina
Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.
Proud to be a Catholic
Jamani kk tTumain Swai upooo
Asanteni Mbarikiwe waimbaji na Rajo production
Hakika Mungu awatumie ktk viwango na viwango,nimetafakar maneno mazito
Amazing
Daa hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ubunifu mzuri
Wow! Nimebarikiwa sana. Utunzi huu unavutia sana. Mola na Awazidishie maarifa katika kumtumikia.🎶🎶🎼🎼🎹🎹😍🤗🤩😘
Raju best production
Cool and wow