Mchungaji Mungu alibariki sana,Umehubiri kweli kuhusu haki na nchi yetu ya Tanganyika Asante Yesu
@rweumbizalugaimukamu490519 күн бұрын
Nakupenda sana Mtumishi
@dianamakyara421019 күн бұрын
Mchungaji nimekupenda Bure,kweli umechefukwa dash,Mungu ingilia kati Tanzania
@user-ze6lx9ng6s19 күн бұрын
UKo sawa mtumishi wa mungu
@user-pz7zi2bf1w20 күн бұрын
Uko sawa mtumishi japo uma haujitambuwi
@bakariomarimndeme605919 күн бұрын
Hapo hubiri dini ya nini kuhutubia siasa.
@YussuphMohammed-bm8jz19 күн бұрын
kuma we wapi wamempiga
@mussakilo491619 күн бұрын
Siasa ndio dili mchungaji watoe sadaka kwanza halafu uendelee na mahubiri ya siasa
@oswaldbukuku277620 күн бұрын
Nakusapot baba uko sahihi sanaaa
@bishopmosesmagadula757219 күн бұрын
Uko SAHIHI KABISA hakuna kosa lolote hapo unafungua fahamu za WATU KUHUSU inch YETU KWA nini mbuga mapori na bandari zinauzwa OVYO KWA bei poa
@bishopmosesmagadula757219 күн бұрын
NI HAKI YAKO KUTOA MAONI YAKO UKO SAWA..
@froma373216 күн бұрын
Huyu mchugaji Ana Umri gani leo ndio anajuwa kama sio halali kama sikosei itakuwa Ana umri miaka 3 na hapo tumemuelewa
@hamisiismail257716 күн бұрын
Mchungaji yup sasa aliepigwa na waumini???
@ibrahimkollah286919 күн бұрын
HILO NI KANISA AU CHAMA CHA SIASA ACHA SIASA
@dianamakyara421019 күн бұрын
😢😢
@user-wv2wr3kl2x20 күн бұрын
Ila wewe😢😢😢😢😢
@EzekielChalomhola20 күн бұрын
Piga injili baba ukweli lazima usemwe
@jaberalyafei27420 күн бұрын
Tanganyika ilipewa na wazungu tafadhali mpenzi wa wazungu
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Mipaka yote unayoiona iliwekwa na Wazungu pia
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
Kweli kabisa na Zanzibar ikapewa waarabu. Sasa ni Muungano wa wazungu na waarabu, waafrika ni wapagazi, siyo?
@albertinamichael612319 күн бұрын
Huo ni ukweli lakini ukweli unauwa.
@kashiririrkaasongwisye9487
19 күн бұрын
Inauma lakn unaponya moyo wenye maumivu!
@user-xf3lv5xp1i20 күн бұрын
Hubiri injiri acha siasa kumbuka humo kanisani mwako kuna itikadi tofauti tofauti na vyama tofauti
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Bado kidogo mtataka yanayohubiriwa madhabahuni yaandaliwe na kupelekwa kwa viongozo wa serikali kabla ya kuyapeleka madahbahuni
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Huyu mama tunamdai Katiba. Alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Tunamdai Katiba yetu, asije kutuomba kura bila Katiba tunayomdai
@brightontibenda234620 күн бұрын
Mch. Unaweza ukawa sahihi lakini eneo Hilo sio sahihi (madhabahu ya Bwana).
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Kwahiyo unadhani anatakiwa aongee nini akiwa madhabahuni
@gervastoyi685820 күн бұрын
Hivi waumini wote unaowahubiri ni wana siasa? Mbona sikuelewi kabisa.
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Kwahiyo unadhani anaongea siasa?
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
Tufafanulie kwanza maana ya siasa, na wewe ukijiona si mwana siasa basi ni mfu!
@Gelenya-ne2ip20 күн бұрын
Huna lolote wewe!
@jaberalyafei27420 күн бұрын
Acha fitna wewe mla haram ukasema sadaka
@paulmushi2428
20 күн бұрын
MLA haramu alikuwa Muhammad aliyevamia misafara ya Maqureishi na kuwapora Mali kule Badri
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@paulmushi2428Mohammad (S.A.W)ameingiaje hapa?unajaribu kumchafua Mtume kwa upumbavu wako wa ufahaamu wa mambo sio?Mtume hakuwahi kumfanyia mtu yeyote fujo ila niseme tu kwamba Wewe huna elimu ya maandiko unajaribu kukopi fitina na kulishwa maneno na Wachungaji wajinga kwamba Mtume alivamia watu sio?Mtume alikuwa akivamiwa na makundi mbalimbali kwq kupigwa na kuporwa mali zake na za watu wake na alikuwa akihama ili kupisha vurugu lakini hao watu wabaya walikuwa wakimfuata huko huko na alichokuwa akikifanya ni kuwajibu mahadui zake na kurejesha mali zake na za jamii yake,sasa ubaya wa mtu kurejesha mali zake kutoka kwa wanyanganyi kuna tatizo gani?Tafuta vitabu sahihi soma historia ya Mtume Mohammad (S.A.W) vizuri uache kulishwa maneno ya uongo ya Wachungaji wenu kwa sababu Huyo Mtume unaye mukashifu heshima yake kapewa na Mwenyezi Mungu kuwa Yeye ni Mtume wa Ulimwengu mzima hata Wewe Mkristo Kiongozi wako ni Mohammad hutake husitake iko hivyo kwa sababu Mwenyezi Mungu hakuwahi kuleta dini tofauti na Uislamu hizo dini nyingine zimeundwa na wanadamu soma QURAN3:83 hakuna dini tofauti na Uislamu hata Yesu huyo hakuwa katika Ukristo bali alikuwa ni Muislamu ndiyo maana hata ukisoma Bibilia zote hakuna ilikoandikwa kwamba Yesu alisali makanisani hakuna maandiko hayo hata Mitume Wengine kuanzia kwa Adamu,Ibrahim,na wengine Mitume Yote walikuwa ni Waislamu na hakuna Mtume hata mmoja alikuwa ni Mzungu hayupo wote walikuwa asili yao ni Mashariki ya kati;Sasa ujinga wenu wa ufahamu wa maandiko ndiyo tatizo;Someni Vitabu acheni kudandia dandia mambo musio yajua!
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@paulmushi2428Yesu katumwa Israel tu lakini utasikia Ukristo Usabato makao makuu yake ni Marekani,Ukristo mwingine Makao Makuu Vatican,hoo Ujerumani,hoo Uingereza,hoo Sweden,hoo Denmark,kwani nini pasiwe Israel?Acheni upumbavu wenu!
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
@@RamadhaniLukambuziKwa busara tu jidhatiti kwenye mafundusho ya Imani yako, huko yako mengi ya kukusaidia. Ya wengine hata katika upumbavu wao yanakuathiri kitu gani? Yesu ni wao si wako na Wala hajakutuma umtetee. Ongozwa na hekima na busara!
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@sylvestercameo6263 Naona umechanganyikiwa ndugu nadhani hata wewe ni miongoni mwa Wapumbavu vilevile,mimi nimemjibu mwenzako juu ya kumtukana Mtume Mohammad (S.A.W) sasa nakushangaa,sijui ni akili zako ndogo huwezi kusoma ukaelewa mtu anachokimaanisha?Kwa taarifa yako hata Yesu sio mali yenu bali ni mali ya Waislamu soma:-MATHAYO26:39 hata Ibrahim,Adam,Daud,Rut,Mussa,Isaaka,Ayubu wote walikuwa na Waislamu.Kwahiyo hata Wewe ukileta kashifa juu ya Uislamu na Mtume Mohammad lazima nipambane na Wewe kwa hali yoyote hata Wewe dini yako ni Uislamu ila kwa kuwa unayafuata mafundisho ya Paulo ndiyo maana unamuabudu Kiumbe Yesu lakini hizo ibada zenu ni Kinyume kiasi kwamba Yesu akija leo atawakataa nyoote Wakristo kwa sababu hakuwahi kufundisha kwamba aabudiwe kama Mungu.
Пікірлер: 38
Mchungaji Mungu alibariki sana,Umehubiri kweli kuhusu haki na nchi yetu ya Tanganyika Asante Yesu
Nakupenda sana Mtumishi
Mchungaji nimekupenda Bure,kweli umechefukwa dash,Mungu ingilia kati Tanzania
UKo sawa mtumishi wa mungu
Uko sawa mtumishi japo uma haujitambuwi
Hapo hubiri dini ya nini kuhutubia siasa.
kuma we wapi wamempiga
Siasa ndio dili mchungaji watoe sadaka kwanza halafu uendelee na mahubiri ya siasa
Nakusapot baba uko sahihi sanaaa
Uko SAHIHI KABISA hakuna kosa lolote hapo unafungua fahamu za WATU KUHUSU inch YETU KWA nini mbuga mapori na bandari zinauzwa OVYO KWA bei poa
NI HAKI YAKO KUTOA MAONI YAKO UKO SAWA..
Huyu mchugaji Ana Umri gani leo ndio anajuwa kama sio halali kama sikosei itakuwa Ana umri miaka 3 na hapo tumemuelewa
Mchungaji yup sasa aliepigwa na waumini???
HILO NI KANISA AU CHAMA CHA SIASA ACHA SIASA
😢😢
Ila wewe😢😢😢😢😢
Piga injili baba ukweli lazima usemwe
Tanganyika ilipewa na wazungu tafadhali mpenzi wa wazungu
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Mipaka yote unayoiona iliwekwa na Wazungu pia
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
Kweli kabisa na Zanzibar ikapewa waarabu. Sasa ni Muungano wa wazungu na waarabu, waafrika ni wapagazi, siyo?
Huo ni ukweli lakini ukweli unauwa.
@kashiririrkaasongwisye9487
19 күн бұрын
Inauma lakn unaponya moyo wenye maumivu!
Hubiri injiri acha siasa kumbuka humo kanisani mwako kuna itikadi tofauti tofauti na vyama tofauti
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Bado kidogo mtataka yanayohubiriwa madhabahuni yaandaliwe na kupelekwa kwa viongozo wa serikali kabla ya kuyapeleka madahbahuni
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Huyu mama tunamdai Katiba. Alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Tunamdai Katiba yetu, asije kutuomba kura bila Katiba tunayomdai
Mch. Unaweza ukawa sahihi lakini eneo Hilo sio sahihi (madhabahu ya Bwana).
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Kwahiyo unadhani anatakiwa aongee nini akiwa madhabahuni
Hivi waumini wote unaowahubiri ni wana siasa? Mbona sikuelewi kabisa.
@gidongailo7174
19 күн бұрын
Kwahiyo unadhani anaongea siasa?
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
Tufafanulie kwanza maana ya siasa, na wewe ukijiona si mwana siasa basi ni mfu!
Huna lolote wewe!
Acha fitna wewe mla haram ukasema sadaka
@paulmushi2428
20 күн бұрын
MLA haramu alikuwa Muhammad aliyevamia misafara ya Maqureishi na kuwapora Mali kule Badri
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@paulmushi2428Mohammad (S.A.W)ameingiaje hapa?unajaribu kumchafua Mtume kwa upumbavu wako wa ufahaamu wa mambo sio?Mtume hakuwahi kumfanyia mtu yeyote fujo ila niseme tu kwamba Wewe huna elimu ya maandiko unajaribu kukopi fitina na kulishwa maneno na Wachungaji wajinga kwamba Mtume alivamia watu sio?Mtume alikuwa akivamiwa na makundi mbalimbali kwq kupigwa na kuporwa mali zake na za watu wake na alikuwa akihama ili kupisha vurugu lakini hao watu wabaya walikuwa wakimfuata huko huko na alichokuwa akikifanya ni kuwajibu mahadui zake na kurejesha mali zake na za jamii yake,sasa ubaya wa mtu kurejesha mali zake kutoka kwa wanyanganyi kuna tatizo gani?Tafuta vitabu sahihi soma historia ya Mtume Mohammad (S.A.W) vizuri uache kulishwa maneno ya uongo ya Wachungaji wenu kwa sababu Huyo Mtume unaye mukashifu heshima yake kapewa na Mwenyezi Mungu kuwa Yeye ni Mtume wa Ulimwengu mzima hata Wewe Mkristo Kiongozi wako ni Mohammad hutake husitake iko hivyo kwa sababu Mwenyezi Mungu hakuwahi kuleta dini tofauti na Uislamu hizo dini nyingine zimeundwa na wanadamu soma QURAN3:83 hakuna dini tofauti na Uislamu hata Yesu huyo hakuwa katika Ukristo bali alikuwa ni Muislamu ndiyo maana hata ukisoma Bibilia zote hakuna ilikoandikwa kwamba Yesu alisali makanisani hakuna maandiko hayo hata Mitume Wengine kuanzia kwa Adamu,Ibrahim,na wengine Mitume Yote walikuwa ni Waislamu na hakuna Mtume hata mmoja alikuwa ni Mzungu hayupo wote walikuwa asili yao ni Mashariki ya kati;Sasa ujinga wenu wa ufahamu wa maandiko ndiyo tatizo;Someni Vitabu acheni kudandia dandia mambo musio yajua!
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@paulmushi2428Yesu katumwa Israel tu lakini utasikia Ukristo Usabato makao makuu yake ni Marekani,Ukristo mwingine Makao Makuu Vatican,hoo Ujerumani,hoo Uingereza,hoo Sweden,hoo Denmark,kwani nini pasiwe Israel?Acheni upumbavu wenu!
@sylvestercameo6263
19 күн бұрын
@@RamadhaniLukambuziKwa busara tu jidhatiti kwenye mafundusho ya Imani yako, huko yako mengi ya kukusaidia. Ya wengine hata katika upumbavu wao yanakuathiri kitu gani? Yesu ni wao si wako na Wala hajakutuma umtetee. Ongozwa na hekima na busara!
@RamadhaniLukambuzi
19 күн бұрын
@@sylvestercameo6263 Naona umechanganyikiwa ndugu nadhani hata wewe ni miongoni mwa Wapumbavu vilevile,mimi nimemjibu mwenzako juu ya kumtukana Mtume Mohammad (S.A.W) sasa nakushangaa,sijui ni akili zako ndogo huwezi kusoma ukaelewa mtu anachokimaanisha?Kwa taarifa yako hata Yesu sio mali yenu bali ni mali ya Waislamu soma:-MATHAYO26:39 hata Ibrahim,Adam,Daud,Rut,Mussa,Isaaka,Ayubu wote walikuwa na Waislamu.Kwahiyo hata Wewe ukileta kashifa juu ya Uislamu na Mtume Mohammad lazima nipambane na Wewe kwa hali yoyote hata Wewe dini yako ni Uislamu ila kwa kuwa unayafuata mafundisho ya Paulo ndiyo maana unamuabudu Kiumbe Yesu lakini hizo ibada zenu ni Kinyume kiasi kwamba Yesu akija leo atawakataa nyoote Wakristo kwa sababu hakuwahi kufundisha kwamba aabudiwe kama Mungu.
😄😄😄😄😄😄😄😄