SWALI GUMU LILILOMSHINDA MAZINGE NA MASHEKHE WENGINE
Жүктеу.....
Пікірлер: 476
@princeeddiekingsley87192 жыл бұрын
Sio mnyazi mungu bali mwenye enzi mungu msomaji wa kikristo mbona anakosea Mungu Heshima.
@thingsidotobeatboredom6132
2 жыл бұрын
Kizuri umemkosoa maana yake
@rbagha52802 жыл бұрын
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@abeidmrengaofficial1792
2 жыл бұрын
What u have said it make sense. May Allah grant us understanding. Greetings from capetown Rsa.
@RodgersMae
Жыл бұрын
Ikiwa utume wa Mohamed ni wizi wa aya za bibilia nabii alie umi bt Torati alio iba 18:18-20 Mohammed akakufa kudhihirisha ule wizi yan uongo
@saidijinebi87672 жыл бұрын
Sasa ndio unasema. Mashekhe wameshindwa kujibu swali wakati sauti mafundi wenu sauti wametoa. Pumbavu Sana
@ismailponda1269
2 жыл бұрын
Wanajifanya wajanja sna awa muhubri wao alivo ulza swli sauti imetoka vzri lkn wakat wa kuonge shekhe saut inaktshw katshw
@mohdkibaba8285
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ibrahimmawee98372 жыл бұрын
Assalam Aleikum, napenda nichangie kwa wanaoshuhulika na vipaza sauti maranyingi vinapoteza mawasiliano nayanaporudi huwa tumepitwa na mengi sana
@ErastoBias9 күн бұрын
Wanapaswa wawaulize wakristo na mayahudi watapata kufunguliwe af mabishano yataisha amen
@benyoussoufaboubcar15752 жыл бұрын
Mazinge Allahuma barik
@masungwasalumu12782 жыл бұрын
Hugo mazinge ajifurahisha Hugo kesho kutwa atatokewa na Yesu MWENYEWE na ataokoka kama Alijojo makanzu alivyookolewa mazinge silolote hiyo inakuja waisla mazinge ukweri anaujua
@omaniomani643
2 жыл бұрын
Mwehu wewe huko ndo aliko toka kwa yesu
@khuzeimaabdul4275
2 жыл бұрын
Jipe moyo wa kujidanganya
@omaryaman13122 жыл бұрын
Hamna sauti wakat wa majib ya mazinge hahaha....
@mustafaabdi77082 жыл бұрын
Kidume akifika jukwaani, mnatoa sauti, si mgeacha tu myoroshwe tu😂😂
@kakarashidi85502 жыл бұрын
UHUNII HUO KIDUME KINALETA MAJIBU NYIE MMEKATA SAUTI IMEISHA HIYOO
@saifalhajari4491
2 жыл бұрын
Hapa nikupamban na iman yako tu jamn hayo yote mwachien tu mungu jamn yey do anajua
@omanbarka1588
2 жыл бұрын
😀😀😀😂😁😂
@mustafaabdi77082 жыл бұрын
Allah akupe umri mreefu sheikhe wangu ustadh Mazinge💯🔥
@ismailchande5612 жыл бұрын
Mbona mumekataa sauti ya mazinge kipindi kirudiwe ....ndo maana nashangaa ati ni swali gani mashiekh wameshindwa kujibu..Bali munakataa sauti huwa hamukubali kushindwa....
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Mashallah Allah
@hussaynmuhammad87822 жыл бұрын
Mnajaribu kuficha Haki wakati Haki Unadhihirika!!!! Kwani hamzingatii
@janiaoma70932 жыл бұрын
Majibu ya mazige mnayakata alafu mnasema kashidwa
@amurisabiti70372 жыл бұрын
Mazinge sio mchezo hili swali ni ndogo sana kwa mazinge
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
mbona sasa amechemka
@sudaissaid84282 жыл бұрын
hakuna suali gumu lisilo na jibu...
@zuberihassani44342 жыл бұрын
Sas ss tunajuaje mazinge kashindwa swali hali yakua mmekata saut nyie vp ,,,,,,mazinge niswali gani alishindwa kujibu nandomana tukaangalia tujue kidume was Allah anashindwaje swali .. waislamu takbiiiiiirii🌟🌙
@istambuliahmedi8203
2 жыл бұрын
الله اكبر
@alimohamed37302 жыл бұрын
Kweli akili zwnu sizo tutajua vpi kama swali limemshinda n hakuna tunachoskia zaid y salam .
@martinnkuba6683
2 жыл бұрын
Mambo ya fundi mitambo ka mute sound
@ameenaghubra4224
Жыл бұрын
Mungu akupe uml mlefu shehk wangu mazinge
@mwichandemuyinga60072 жыл бұрын
Penye ukweli uongo hujitenga asante
@christian-jw4zb2 жыл бұрын
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
@salumali868
Жыл бұрын
Kwaiyo yesu ni mtoto was mungu. Je Huyo mungu ni mwanamme au mwanamke.
@fredrickonyango94
Жыл бұрын
Dini ni lugha ya kiarabu inayomaanisha njia .....hapo wameshindwa kujibu ni kurukaruka tu because you are more antichrist and na kama mnaelewa yesu ni nani lazima muamini pia maneno yake maana yesu anasema Mimi ndimi njia ya kwenda Kwa baba hakuna haendae isipokua kupitia kwangu. Wapi kataja Mohamed...... bible has a hidden meaning to the antichrist they will never understand because they expect it to work with the world science not knowing God is above everything we are discovering and that's why He sent his son to prove that he has power over nature and science.
@missdida53162 жыл бұрын
Kichwa cha habari ni kibovu shehe wangu mazinge anakipaji kkubwa alichpewa na Allah mashaallah
@mohamedomaronline74592 жыл бұрын
Allah Akbaru 🥰
@jumaothman94492 жыл бұрын
Kweli kakaa kama mchungaji wako kweli hujakosea au Nina wasisi yupo juu zaidi ya askofu wako.
@aminrendis72492 жыл бұрын
UNAONA UJANJA WA WAKRISTO WAMEKATA SAUTI HALAFU WANASEMA WAMESHINDWA KUJIBU SWALI ACHENI LONGOLONGO
@alicemangat31652 жыл бұрын
So malicious! Wamefunga sauti du!!!!
@LinaLina-jg3wb2 жыл бұрын
Waisilamu lini mtaacha majivuno na kipri ilali ? Odoweki majivuno na kipri mpate kujuwa kweli
@frankellyswaggz1651
2 жыл бұрын
Ukweli Gani?
@hadijahshabani2674
2 жыл бұрын
Ww ndo hujui ukwel
@josephhjackson76322 жыл бұрын
Mungu alisaidie kanisa lake (SDA) kwa kazi nzuri
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Muislamu hawez kishindwa kwacbb dini yake imekamilika na hakuna kisicho wazi kidalili nyinyi makafiri sio Kama hamuamini Ila tu munaukaidi na mishipa ya kiyahudi rudini kwa Allah na mtume Muhammad awe ni kiongozi wenu , njia munayo fata nyinyi ni yakwenda motoni hiyo Allah awaongoze in shaa Allah
@hassanmugire14972 жыл бұрын
Mnakazi ya kubishania dini tumnaboa
@saeedmbarak65502 жыл бұрын
Haiko full n maneno ya mazinge yamekatwa ili msifahamu huyo ni professor hashindwi na jibu Al Hajj Usthadh Professor mazinge
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Professar wa Majini hana lolote zaidi yakulazimisha nyekundu kuwa kijani ingawa ukweli anaujua. Atachomwa sana huyu Mzee Mshirikina
@SAM_163
2 жыл бұрын
Eti Professor 😆😆😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kapewa na Nani huo uprofessor au mnapeana kwenye vigenge vyenu?🤣🤣🤣
@SAM_163
2 жыл бұрын
Mazinge mjanja mjanja tu. Elimu hakuna 😄😄😄😄😄
@cabylake2320 Жыл бұрын
Asalm alaykum mbona sauti akuna masheikh wameshidwa kivp yani Imani yangu imani Yang inanituma kama wameweza masheikh wetu Allah awazidishie umri 🤲🤲🤲
@gilbertnzeyimana6112 жыл бұрын
Hakika ni mafundisho ya mhimu Mungu abaliki watu wake
@hijatumbo87092 жыл бұрын
Wakristo wakiuliza swali nje ya mada na wakajibiwa sema mda wa Mazinge uliisha.
@anwarambar61412 жыл бұрын
mbona sauti imekatwa ya Mazinge? tutajuaje kama Ustadh Mazinge kashindwa kujibu, Ndugu zetu wakristo acheni ujanja, swali mboga kabisa hilo, Mazinge haezi kushindwa kujibu swali hilo
@kusagakusaga7292 жыл бұрын
Mnakata sauti ya mazinge
@hidayaamri11122 жыл бұрын
Sauti hakuna kipindi kirudiwe hatusikii kabisaaaa
@elsoody88682 жыл бұрын
Naah hamn swaly gumu apo...hamjamuelew ndio shida🙌
@taufikihamisi63852 жыл бұрын
Akili huna wewe unasemaje mazinge ameshindwa kujibu swali wakati video sauti inakatakata
@venancemwanya42122 жыл бұрын
Ukweli ndivyo ulivyo,huwezi ikalazimisha uongo uwe ni ukweli. Dini ya zamani inajulikana ,
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Waislam ni wabishi achana nao
@luckygmdegela8477
2 жыл бұрын
Hizi dini zitawasaidia nn , amini nawambia yeyote asie amini na kukili kuwa yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima na kumfuata yeye Kisha aka okoka , hato uona ufalme wa mbinguni.
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
Dini zilizotangulia zilikua kwa wanaoamini na kuabudu MASANAMU kisha Mungu akatuma manabii waje kuwaonyesha ipi dini ya Mungu ambayo ameridhika nayo
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 mbona bado mnafuata inshala ya mwezi unapo andama ndipo mnafanya ramazani?? Je kufuata inshala ya mwezi sio kuabudu sanamu??? Je unafahama mtume Muhammad alipovunja sanamu zote pale makha mu na sanamu ya Allah nayo ilikua miongoni ??? Je unajua kabla ya kifo cha Muhammad alisema anaogopa kifo chake ju anajua baada ya kufa kwake wafuasi wake wanaweza kugeuka?? 1. Point of correction dini ilio tangulia ni ya wayahudi, na mwanzilishi ni Abraham sasa ni wapi Abraham aliabudu sanamu????? Ya pili ni ukristo na sio ukatoliki. 3. Ukatoliki sio ukristo bali ni upangani , (roman empire in religion) na izo misanamu ni viongozi wa roman empire wakafanya uongo na kujingiza katika ukristo lakini ki ualisia sio bali ni waongo na mashetani
@flova7022
2 жыл бұрын
@@blueeyes5952 duu uromani ni upagani hivi maana ya upagani nini?
@fabianmasenganya77912 жыл бұрын
Ninyi nyote hamjui maana ya Imani. Imani huwa haina mjadala.
@hassanussein18172 жыл бұрын
Mazinge kawashinda siku nyingi tuu bona
@user-vg3bf5vi1y2 жыл бұрын
Hahaha c kweli tulioiyo tunajua achen uwongo hii channel mwogopeni Allah bhna daah
@ernestrichard85992 жыл бұрын
Sasa mbona Mlikata sauti hiyo ni ishara ya kushindwa tusidanganyane. Tena hapa mmeshindwa kujibu.
@user-sf6lp9vt5g2 жыл бұрын
Maiki imefeli hapo yaonyesha.
@masashelecomedien46262 жыл бұрын
Mazinge Allah akurehemu
@aliramjaane2362 жыл бұрын
Sauti wameipoteza sio
@angellomarcel56772 жыл бұрын
Always waislam ni Pasua kichwa hawajui lolote hukalia sana Ubishi na ujuaji feki
@yahyawanjiku
2 жыл бұрын
Toa hoja kwa vitabu sio kwa kichwa ndugu yangu😹😹😹😹
@ibnseyf5724
2 жыл бұрын
Hao wanaojiita wakristo mm naona wasaelewi wana akili gani kila wanavofahamishwa haki wao wanapinga na kutanga batili au ndio wanatetea vibarua vyao
@gracegelege1706
2 жыл бұрын
Jamani nenda You tube tafuta Christian Prince mwanafunzi mahiri wa kitabu cha Allah atakutafsria kiarabu uelewe
@mohamedjuma10192 жыл бұрын
Mbn mmetoa sauti😂ukorofi uwwoo
@suleymanally47292 жыл бұрын
Wameshindwa jukwaaani wanakuja taka kushinda kweny youtube 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yahyawanjiku2 жыл бұрын
Hapo mbele kwa mazinge mbona sauti jameni hatuski😹😹😹😹😹.....
@sudaissaid84282 жыл бұрын
watu wa injili ni watu wa Nabii Issa (yesu )ambae ni mtume wa Mungu..waislamu...
@zainaikoki4954
2 жыл бұрын
Wallahi ukweli wanauona wanafanya ubishi kwa kichwa
@jabirsaid4245
2 жыл бұрын
Naona wakristo mnakaza vichwa achen jeuri muaminini Allah
@zakhianzuki93482 жыл бұрын
Jamani mie ushauli wangu watu tumche MWENYEZI MUNGU ili kujiwekea amali yako ya kesho utakapo lejea kwa MOLLA wako lakini haya mambo mengine sioni kama yana mantiki
@shabanimaarifa33362 жыл бұрын
Nafikiri mashekhe upo sahihi
@hussaynmuhammad87822 жыл бұрын
Hapa mtafaidika tu na views lakini Mna cha maana
@frankjohn87062 жыл бұрын
Mic haisemi lkn wanaongelea kwenye mic ,kujibu swali sasa wamezima kabisa mic ambayo mda wakuuliza na kutaka swali lirudiwe mic ziko vzr ,ujanja huo
@achuzesalim83612 жыл бұрын
Makafiki muko na shida mumeamua mukate sauti isiskike
@adamrusheke22242 жыл бұрын
Sauti mlinyakua
@user-cg9tl3ys5l2 ай бұрын
Mungu Yuko upande wetu kina la bwana libalikiwe
@haronokesa95452 жыл бұрын
Mazinge leo amelemewa mpka akapoteza sauti..Tumia sign language please
@cathiberteliastesha29282 жыл бұрын
Sauti mmekata kabisa
@millitarybattalion75152 жыл бұрын
Hata sauti yenyewe mmekata
@shufaamwambashi15472 жыл бұрын
Majibu bila sauti tutayasikia vp
@salhatyjuma21312 жыл бұрын
Mmekata sauti ya nini???Hamjielewiii kabisaaaa,wakati Wa kuuliza sauti IPO ila wakati Wa majibu sauti hamna??Sheikh Mazinge hakuwahi kushindwa na swalii
@loudcrytv8949
2 жыл бұрын
Waislam ndiyo walikata Sauti kwenye vyombo vyao vilivyokuwa vikirekodi Sauti. Wewe huoni mwisho mwenyekiti wa Waislam anampa mipasho Mazinge kwamba hakutumia muda vizuri anaeleza utumbo. Na Mara ya Pili hakurudi Tena ikabidi mwenyekiti atafite Mwalimu mwingine naye swali likamshinda
@user-hb8vi9fx6g2 жыл бұрын
MBONA SAUTI YA MAZINGE HAISIKIKI
@cathiberteliastesha2928
2 жыл бұрын
Wamezingua
@eliapendamollel44862 жыл бұрын
Huu mjadala mzuri Sana nimeupenda
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Hawana majibu hao
@danielnyerera2 жыл бұрын
Very well Jesus said i am the way the true and the life no one comes to the father true way ... I dont know this kind of Prophet Muhammed... Yeyote aki amini kwamba Yesu ndie Bwana ataokoka
@keddydonchedda1894
2 жыл бұрын
all the prophet of god they are the way to father ,and if jesus is way to go to the father why you people you plaised him as father .
@danielnyerera
2 жыл бұрын
@@keddydonchedda1894 Every thing about the father is possible is the way and the life
@issackabdi70012 жыл бұрын
Mtatendo ya mitume 11.25.26
@RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын
Always mazinge jembe
@sootb84702 жыл бұрын
God is one and that's it
@111dudi Жыл бұрын
Mmemzimia mic Mazinge ili jibu lake lisisike.ujanja wa wakristo daima
@bashirabdalla28432 жыл бұрын
Mbona Mme poteza sauti ama tusipate ukweli ndio maanake subhana Allah
@emmanuelmogela58712 жыл бұрын
Waislam Kwa ubish ukristo raha najivunia kua ma mkristo
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Wakristo Hawana maswali yakuwashida Waisilam Hatasiku MOJA acheni kupotoa ktk Title
@yassirrashid78022 жыл бұрын
Takbiiiiir
@ericlondonmuwazijimmy12214 ай бұрын
Mazinge kapata kibano na ndancha 😂😅😅
@najmahyerkhan21572 жыл бұрын
Mmekata sauti nyooo shekh mazinge angewanyoosha
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
Mazinge hana ubavu wa kuinyoosha Injili. Maana injili ya Yesu imenyooka kama chuma cha pua
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Anyooshe wapi Mada manabii wa kale ni wakristo na Quran imesema jadilianeni na Dini zilizo tangulia ambazo ni waislam na Wakristo sasa anabishana na kitabu chake mwenyewe si Chizi huyo mzee? Jibu ndio au hapana basi sasa yeye anaanza Ukristo sio Dini mara Wasabato sijui nini hapo hakuna blabla jibu kutokana na Quran ilivyo jieleza Kafiri mkubwa Mfuga Majini Mazinge.
@sdasongswithlyrics39782 жыл бұрын
Wel
@willysospeter92702 жыл бұрын
Nyie Pimbi mmeandika heading mkijua kbs mkitumia jina la Mazinge watazamaji watakuwa wengi na mtapiga hela ya kutisha. Mi nilitaka kushangaa, swali Nyanya Kama Hilo Mazinge ashindwe!!!???
@111dudi2 жыл бұрын
Wakristo wamemfungia sauti Mazinge
@abdulsayid8742 жыл бұрын
Hapa mazinge aliwanyoosha ....na sizani kama ipo siku tena wakristo mtakuja waita waislamu ....maana mkutano huu haaa mligalagazwa haswaaaaa ....na kwa hila zenu na kibri cha kukataa ukweli ....bado na nyinyi eti mnapost kudawi kuna kilicho shindwa ....balaa ni kuwa tunazo hizo clip .....na video kabisaaa
@111dudi2 жыл бұрын
Huyu mchungaji anashangaza sana. Wanadai ukristo ni dini ya "Kristo" yaani Yesu, Yesu mwenyewe kaja baada ya manabii wengine, vipi hao wlmanabii wengine wawe wakristo? Akili ni mali
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Kumbe kuruani inasema inawatambua wakristo hao bana Wanashida
@achanifumos10932 жыл бұрын
Si uhodari wa mazinge bali ni maneno ya kweli ya Allah ndio mazinge hwezi kushindwa na swali...na munamuongopea mbona mumemnyima time na sauti mulimuondolea aliposhika mic...wacheni kujidanganya rudini kwa Allah...
@kuy4011
2 жыл бұрын
Tusiwe na ubishi
@achanifumos1093
2 жыл бұрын
@@kuy4011 si ubishi...someni maandiko ndio mutajua kuwa wachungaji wanawapoteza
@ibrahimgumbo68142 жыл бұрын
Nyie makaafiri mmeondoa sauti
@mwechizumbabaraka7082 жыл бұрын
Makafiri mnatabu sana,
@ayubukhamis8673
2 жыл бұрын
Kafiri ndonin ndugu
@benedictinestory145411 ай бұрын
Huyooooooo swali kashindwa
@mahmoudkoyama59512 жыл бұрын
Mazinge
@kostansiandunguru1507 Жыл бұрын
Fine
@antipastarimo84682 жыл бұрын
Amini
@paulkaranja30992 жыл бұрын
Jesus is God
@janiaoma70932 жыл бұрын
KUNAWALI LAKUMSHIDA MAIGE MAZIGE HATAFUTI SWALI MAZIGE ANA JIBU KUTOKANA NA VITABU VYA DINI YAUKWELI SIYO WAKIRISTO KUBABAISHA
@musamulungu8222 жыл бұрын
Swali safi hilo
@111dudi Жыл бұрын
Swali.Vipi mungu amuue mwanae wa pekee kwa ajili ya makosa ya shetani, badala ya kumuua shetani?
@yassirrashid78022 жыл бұрын
Mmeona bora mtoe saut ili watu waamini kua mazinge kashindwa kujib swali poleni 😀
@Ngudure2 жыл бұрын
Lugha ya huyu muinjilist insonesha kabisa sio wa upande huo ni implant tu
@sitihassan43092 жыл бұрын
Hmm mnaminya sauti kisha eti wameshindwa kujibu Weka sauti upate majibu usiyoyapenda hapo Umeishiwa hoja kaa pembeni
Пікірлер: 476
Sio mnyazi mungu bali mwenye enzi mungu msomaji wa kikristo mbona anakosea Mungu Heshima.
@thingsidotobeatboredom6132
2 жыл бұрын
Kizuri umemkosoa maana yake
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@abeidmrengaofficial1792
2 жыл бұрын
What u have said it make sense. May Allah grant us understanding. Greetings from capetown Rsa.
@RodgersMae
Жыл бұрын
Ikiwa utume wa Mohamed ni wizi wa aya za bibilia nabii alie umi bt Torati alio iba 18:18-20 Mohammed akakufa kudhihirisha ule wizi yan uongo
Sasa ndio unasema. Mashekhe wameshindwa kujibu swali wakati sauti mafundi wenu sauti wametoa. Pumbavu Sana
@ismailponda1269
2 жыл бұрын
Wanajifanya wajanja sna awa muhubri wao alivo ulza swli sauti imetoka vzri lkn wakat wa kuonge shekhe saut inaktshw katshw
@mohdkibaba8285
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Assalam Aleikum, napenda nichangie kwa wanaoshuhulika na vipaza sauti maranyingi vinapoteza mawasiliano nayanaporudi huwa tumepitwa na mengi sana
Wanapaswa wawaulize wakristo na mayahudi watapata kufunguliwe af mabishano yataisha amen
Mazinge Allahuma barik
Hugo mazinge ajifurahisha Hugo kesho kutwa atatokewa na Yesu MWENYEWE na ataokoka kama Alijojo makanzu alivyookolewa mazinge silolote hiyo inakuja waisla mazinge ukweri anaujua
@omaniomani643
2 жыл бұрын
Mwehu wewe huko ndo aliko toka kwa yesu
@khuzeimaabdul4275
2 жыл бұрын
Jipe moyo wa kujidanganya
Hamna sauti wakat wa majib ya mazinge hahaha....
Kidume akifika jukwaani, mnatoa sauti, si mgeacha tu myoroshwe tu😂😂
UHUNII HUO KIDUME KINALETA MAJIBU NYIE MMEKATA SAUTI IMEISHA HIYOO
@saifalhajari4491
2 жыл бұрын
Hapa nikupamban na iman yako tu jamn hayo yote mwachien tu mungu jamn yey do anajua
@omanbarka1588
2 жыл бұрын
😀😀😀😂😁😂
Allah akupe umri mreefu sheikhe wangu ustadh Mazinge💯🔥
Mbona mumekataa sauti ya mazinge kipindi kirudiwe ....ndo maana nashangaa ati ni swali gani mashiekh wameshindwa kujibu..Bali munakataa sauti huwa hamukubali kushindwa....
Mashallah Allah
Mnajaribu kuficha Haki wakati Haki Unadhihirika!!!! Kwani hamzingatii
Majibu ya mazige mnayakata alafu mnasema kashidwa
Mazinge sio mchezo hili swali ni ndogo sana kwa mazinge
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
mbona sasa amechemka
hakuna suali gumu lisilo na jibu...
Sas ss tunajuaje mazinge kashindwa swali hali yakua mmekata saut nyie vp ,,,,,,mazinge niswali gani alishindwa kujibu nandomana tukaangalia tujue kidume was Allah anashindwaje swali .. waislamu takbiiiiiirii🌟🌙
@istambuliahmedi8203
2 жыл бұрын
الله اكبر
Kweli akili zwnu sizo tutajua vpi kama swali limemshinda n hakuna tunachoskia zaid y salam .
@martinnkuba6683
2 жыл бұрын
Mambo ya fundi mitambo ka mute sound
@ameenaghubra4224
Жыл бұрын
Mungu akupe uml mlefu shehk wangu mazinge
Penye ukweli uongo hujitenga asante
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
@salumali868
Жыл бұрын
Kwaiyo yesu ni mtoto was mungu. Je Huyo mungu ni mwanamme au mwanamke.
@fredrickonyango94
Жыл бұрын
Dini ni lugha ya kiarabu inayomaanisha njia .....hapo wameshindwa kujibu ni kurukaruka tu because you are more antichrist and na kama mnaelewa yesu ni nani lazima muamini pia maneno yake maana yesu anasema Mimi ndimi njia ya kwenda Kwa baba hakuna haendae isipokua kupitia kwangu. Wapi kataja Mohamed...... bible has a hidden meaning to the antichrist they will never understand because they expect it to work with the world science not knowing God is above everything we are discovering and that's why He sent his son to prove that he has power over nature and science.
Kichwa cha habari ni kibovu shehe wangu mazinge anakipaji kkubwa alichpewa na Allah mashaallah
Allah Akbaru 🥰
Kweli kakaa kama mchungaji wako kweli hujakosea au Nina wasisi yupo juu zaidi ya askofu wako.
UNAONA UJANJA WA WAKRISTO WAMEKATA SAUTI HALAFU WANASEMA WAMESHINDWA KUJIBU SWALI ACHENI LONGOLONGO
So malicious! Wamefunga sauti du!!!!
Waisilamu lini mtaacha majivuno na kipri ilali ? Odoweki majivuno na kipri mpate kujuwa kweli
@frankellyswaggz1651
2 жыл бұрын
Ukweli Gani?
@hadijahshabani2674
2 жыл бұрын
Ww ndo hujui ukwel
Mungu alisaidie kanisa lake (SDA) kwa kazi nzuri
Muislamu hawez kishindwa kwacbb dini yake imekamilika na hakuna kisicho wazi kidalili nyinyi makafiri sio Kama hamuamini Ila tu munaukaidi na mishipa ya kiyahudi rudini kwa Allah na mtume Muhammad awe ni kiongozi wenu , njia munayo fata nyinyi ni yakwenda motoni hiyo Allah awaongoze in shaa Allah
Mnakazi ya kubishania dini tumnaboa
Haiko full n maneno ya mazinge yamekatwa ili msifahamu huyo ni professor hashindwi na jibu Al Hajj Usthadh Professor mazinge
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Professar wa Majini hana lolote zaidi yakulazimisha nyekundu kuwa kijani ingawa ukweli anaujua. Atachomwa sana huyu Mzee Mshirikina
@SAM_163
2 жыл бұрын
Eti Professor 😆😆😆😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kapewa na Nani huo uprofessor au mnapeana kwenye vigenge vyenu?🤣🤣🤣
@SAM_163
2 жыл бұрын
Mazinge mjanja mjanja tu. Elimu hakuna 😄😄😄😄😄
Asalm alaykum mbona sauti akuna masheikh wameshidwa kivp yani Imani yangu imani Yang inanituma kama wameweza masheikh wetu Allah awazidishie umri 🤲🤲🤲
Hakika ni mafundisho ya mhimu Mungu abaliki watu wake
Wakristo wakiuliza swali nje ya mada na wakajibiwa sema mda wa Mazinge uliisha.
mbona sauti imekatwa ya Mazinge? tutajuaje kama Ustadh Mazinge kashindwa kujibu, Ndugu zetu wakristo acheni ujanja, swali mboga kabisa hilo, Mazinge haezi kushindwa kujibu swali hilo
Mnakata sauti ya mazinge
Sauti hakuna kipindi kirudiwe hatusikii kabisaaaa
Naah hamn swaly gumu apo...hamjamuelew ndio shida🙌
Akili huna wewe unasemaje mazinge ameshindwa kujibu swali wakati video sauti inakatakata
Ukweli ndivyo ulivyo,huwezi ikalazimisha uongo uwe ni ukweli. Dini ya zamani inajulikana ,
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
Waislam ni wabishi achana nao
@luckygmdegela8477
2 жыл бұрын
Hizi dini zitawasaidia nn , amini nawambia yeyote asie amini na kukili kuwa yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima na kumfuata yeye Kisha aka okoka , hato uona ufalme wa mbinguni.
@mbwanarajab4756
2 жыл бұрын
Dini zilizotangulia zilikua kwa wanaoamini na kuabudu MASANAMU kisha Mungu akatuma manabii waje kuwaonyesha ipi dini ya Mungu ambayo ameridhika nayo
@blueeyes5952
2 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 mbona bado mnafuata inshala ya mwezi unapo andama ndipo mnafanya ramazani?? Je kufuata inshala ya mwezi sio kuabudu sanamu??? Je unafahama mtume Muhammad alipovunja sanamu zote pale makha mu na sanamu ya Allah nayo ilikua miongoni ??? Je unajua kabla ya kifo cha Muhammad alisema anaogopa kifo chake ju anajua baada ya kufa kwake wafuasi wake wanaweza kugeuka?? 1. Point of correction dini ilio tangulia ni ya wayahudi, na mwanzilishi ni Abraham sasa ni wapi Abraham aliabudu sanamu????? Ya pili ni ukristo na sio ukatoliki. 3. Ukatoliki sio ukristo bali ni upangani , (roman empire in religion) na izo misanamu ni viongozi wa roman empire wakafanya uongo na kujingiza katika ukristo lakini ki ualisia sio bali ni waongo na mashetani
@flova7022
2 жыл бұрын
@@blueeyes5952 duu uromani ni upagani hivi maana ya upagani nini?
Ninyi nyote hamjui maana ya Imani. Imani huwa haina mjadala.
Mazinge kawashinda siku nyingi tuu bona
Hahaha c kweli tulioiyo tunajua achen uwongo hii channel mwogopeni Allah bhna daah
Sasa mbona Mlikata sauti hiyo ni ishara ya kushindwa tusidanganyane. Tena hapa mmeshindwa kujibu.
Maiki imefeli hapo yaonyesha.
Mazinge Allah akurehemu
Sauti wameipoteza sio
Always waislam ni Pasua kichwa hawajui lolote hukalia sana Ubishi na ujuaji feki
@yahyawanjiku
2 жыл бұрын
Toa hoja kwa vitabu sio kwa kichwa ndugu yangu😹😹😹😹
@ibnseyf5724
2 жыл бұрын
Hao wanaojiita wakristo mm naona wasaelewi wana akili gani kila wanavofahamishwa haki wao wanapinga na kutanga batili au ndio wanatetea vibarua vyao
@gracegelege1706
2 жыл бұрын
Jamani nenda You tube tafuta Christian Prince mwanafunzi mahiri wa kitabu cha Allah atakutafsria kiarabu uelewe
Mbn mmetoa sauti😂ukorofi uwwoo
Wameshindwa jukwaaani wanakuja taka kushinda kweny youtube 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hapo mbele kwa mazinge mbona sauti jameni hatuski😹😹😹😹😹.....
watu wa injili ni watu wa Nabii Issa (yesu )ambae ni mtume wa Mungu..waislamu...
@zainaikoki4954
2 жыл бұрын
Wallahi ukweli wanauona wanafanya ubishi kwa kichwa
@jabirsaid4245
2 жыл бұрын
Naona wakristo mnakaza vichwa achen jeuri muaminini Allah
Jamani mie ushauli wangu watu tumche MWENYEZI MUNGU ili kujiwekea amali yako ya kesho utakapo lejea kwa MOLLA wako lakini haya mambo mengine sioni kama yana mantiki
Nafikiri mashekhe upo sahihi
Hapa mtafaidika tu na views lakini Mna cha maana
Mic haisemi lkn wanaongelea kwenye mic ,kujibu swali sasa wamezima kabisa mic ambayo mda wakuuliza na kutaka swali lirudiwe mic ziko vzr ,ujanja huo
Makafiki muko na shida mumeamua mukate sauti isiskike
Sauti mlinyakua
Mungu Yuko upande wetu kina la bwana libalikiwe
Mazinge leo amelemewa mpka akapoteza sauti..Tumia sign language please
Sauti mmekata kabisa
Hata sauti yenyewe mmekata
Majibu bila sauti tutayasikia vp
Mmekata sauti ya nini???Hamjielewiii kabisaaaa,wakati Wa kuuliza sauti IPO ila wakati Wa majibu sauti hamna??Sheikh Mazinge hakuwahi kushindwa na swalii
@loudcrytv8949
2 жыл бұрын
Waislam ndiyo walikata Sauti kwenye vyombo vyao vilivyokuwa vikirekodi Sauti. Wewe huoni mwisho mwenyekiti wa Waislam anampa mipasho Mazinge kwamba hakutumia muda vizuri anaeleza utumbo. Na Mara ya Pili hakurudi Tena ikabidi mwenyekiti atafite Mwalimu mwingine naye swali likamshinda
MBONA SAUTI YA MAZINGE HAISIKIKI
@cathiberteliastesha2928
2 жыл бұрын
Wamezingua
Huu mjadala mzuri Sana nimeupenda
Hawana majibu hao
Very well Jesus said i am the way the true and the life no one comes to the father true way ... I dont know this kind of Prophet Muhammed... Yeyote aki amini kwamba Yesu ndie Bwana ataokoka
@keddydonchedda1894
2 жыл бұрын
all the prophet of god they are the way to father ,and if jesus is way to go to the father why you people you plaised him as father .
@danielnyerera
2 жыл бұрын
@@keddydonchedda1894 Every thing about the father is possible is the way and the life
Mtatendo ya mitume 11.25.26
Always mazinge jembe
God is one and that's it
Mmemzimia mic Mazinge ili jibu lake lisisike.ujanja wa wakristo daima
Mbona Mme poteza sauti ama tusipate ukweli ndio maanake subhana Allah
Waislam Kwa ubish ukristo raha najivunia kua ma mkristo
Wakristo Hawana maswali yakuwashida Waisilam Hatasiku MOJA acheni kupotoa ktk Title
Takbiiiiir
Mazinge kapata kibano na ndancha 😂😅😅
Mmekata sauti nyooo shekh mazinge angewanyoosha
@sarahmichael7538
2 жыл бұрын
Mazinge hana ubavu wa kuinyoosha Injili. Maana injili ya Yesu imenyooka kama chuma cha pua
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Anyooshe wapi Mada manabii wa kale ni wakristo na Quran imesema jadilianeni na Dini zilizo tangulia ambazo ni waislam na Wakristo sasa anabishana na kitabu chake mwenyewe si Chizi huyo mzee? Jibu ndio au hapana basi sasa yeye anaanza Ukristo sio Dini mara Wasabato sijui nini hapo hakuna blabla jibu kutokana na Quran ilivyo jieleza Kafiri mkubwa Mfuga Majini Mazinge.
Wel
Nyie Pimbi mmeandika heading mkijua kbs mkitumia jina la Mazinge watazamaji watakuwa wengi na mtapiga hela ya kutisha. Mi nilitaka kushangaa, swali Nyanya Kama Hilo Mazinge ashindwe!!!???
Wakristo wamemfungia sauti Mazinge
Hapa mazinge aliwanyoosha ....na sizani kama ipo siku tena wakristo mtakuja waita waislamu ....maana mkutano huu haaa mligalagazwa haswaaaaa ....na kwa hila zenu na kibri cha kukataa ukweli ....bado na nyinyi eti mnapost kudawi kuna kilicho shindwa ....balaa ni kuwa tunazo hizo clip .....na video kabisaaa
Huyu mchungaji anashangaza sana. Wanadai ukristo ni dini ya "Kristo" yaani Yesu, Yesu mwenyewe kaja baada ya manabii wengine, vipi hao wlmanabii wengine wawe wakristo? Akili ni mali
Kumbe kuruani inasema inawatambua wakristo hao bana Wanashida
Si uhodari wa mazinge bali ni maneno ya kweli ya Allah ndio mazinge hwezi kushindwa na swali...na munamuongopea mbona mumemnyima time na sauti mulimuondolea aliposhika mic...wacheni kujidanganya rudini kwa Allah...
@kuy4011
2 жыл бұрын
Tusiwe na ubishi
@achanifumos1093
2 жыл бұрын
@@kuy4011 si ubishi...someni maandiko ndio mutajua kuwa wachungaji wanawapoteza
Nyie makaafiri mmeondoa sauti
Makafiri mnatabu sana,
@ayubukhamis8673
2 жыл бұрын
Kafiri ndonin ndugu
Huyooooooo swali kashindwa
Mazinge
Fine
Amini
Jesus is God
KUNAWALI LAKUMSHIDA MAIGE MAZIGE HATAFUTI SWALI MAZIGE ANA JIBU KUTOKANA NA VITABU VYA DINI YAUKWELI SIYO WAKIRISTO KUBABAISHA
Swali safi hilo
Swali.Vipi mungu amuue mwanae wa pekee kwa ajili ya makosa ya shetani, badala ya kumuua shetani?
Mmeona bora mtoe saut ili watu waamini kua mazinge kashindwa kujib swali poleni 😀
Lugha ya huyu muinjilist insonesha kabisa sio wa upande huo ni implant tu
Hmm mnaminya sauti kisha eti wameshindwa kujibu Weka sauti upate majibu usiyoyapenda hapo Umeishiwa hoja kaa pembeni
Masha Allah
Alaah barok