MAZINGE AWAASA WAISLAM KUTUNZA SABATO PART 2: MASWALI NA MAJIBU
Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Vitabu vyote vinathibitisha kwamba, siku pekee aliyoagiza Mwenyezi Mungu kufanyika ibada takatifu ni siku ya Sabato-Jumamosi.
Historia inathibitisha kwama Siku ya Ijumaa haikuwa siku rasmi ya ibada katika Uislam. Siku hii ilianzishwa na Waislam wa Madina (Answar) kabla hata Muhammad hajahamia huko (Hijra). Lengo lao lilikuwa ni kujitofautisha na Wayahudi na Wakristo. Muhammad alipo hamia Madini alikuta waislam wa huko wanakusanyika katika siku ya Ijumaa. Siku moja siku ya Ijumaa, Muhammad akiwa anahutubia msikitini, msafara wa wafanya biashara wakaingia mjini kutoka sham, kukawa na vurugu na kelele za wafanya biashara. Masahaba wote wakakimbia kwenda huko na kumwacha anahudubia wakabaki watu 12 tu! Hapo ndipo ikashuka sura ya Ijumaa katika Qur'an kwa lengo la kuwafanya watu waache mambo ya biashara wakati wa Ibada unapokuwa umefika.
Пікірлер: 81
Mch,Yohana amejaa Neno,Roho wA Mungu anamsaidia,
@freyzamsaidsaidmnken9585
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@edsonmasesa7966
Жыл бұрын
Mazinge hajui kujibu maswali yeye ni mbishitu hanaga point yoyote hadi huwaga nacheka
@eyelushshamschel
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti roho wa Mungu
Mungu akubariki muinjilisti Eliud
Mashaallah
Pro Mazinge DD Safi
Mazinge hana point yoyote, niku make comedian tu
Alaaa…. Kumbe wakiristo wakusanyika kanisani kwa hasara 😢 Sikujua mimi
Jazaakallah khayrii mashekh
@freyzamsaidsaidmnken9585
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kubukeni wahisiram kusema muna mungu siyo ukweri chakwaza munatuhukum kimajini kwasambabu munavaa Pete zakuzim munaseme mungu arizariwa maka kumbe nikijinamiz chaserikari
mazinge nakukubali mashallah
Mazinge acha siasa muogope Mungu
Allah akusimamie mpenzi wetu kwajina la Allah mazinge wallah unajua unaweza
@rufuskinyua6938
Жыл бұрын
huyu jamaa mazinge atapeleka wengi kucmu, ndugu zangu tumieni mavikila.
Mazinge hoja kashindwa na hoja
@michaelkarisa5270
Жыл бұрын
Uyu mzee sio kama haelewi, hawaezi kukubali, na anapotosha wasio jielewa
Sabato Haina makosaaa
Mpiga picha hongera
Ni rahisi sana kuelewa hapo wandugu, imetajwa ijumaa ikiongelewa kama siku ambayo maandalizi ya siku ya Sabato then inatajwa Jumapili kama siku ambayo wanawake walitoka kuelekea kaburini baada ya kupumzika katika siku ya Sabato ikiulizwa Sabato ni lini hata mtoto wa darasa la nne anajibu kuwa ni Jumamosi unless tuwe tunatafuta kubabaishana ila kama tupo kwenye kujifunza it's well understood kwamba Sabato ni Jumamosi... Niliacha kutazama mihadhara kwa muktadha wa kujifunza nilipomsikia prof Mazinge anasema Yesu hakwenda Hija kwa sababu alikuwa masikini na wanaoenda kule ni matajiri kuanzia hapo nikaanza kutazama ili nicheke nikiwa na stress 😂😂😂
Lohhhh 😮😮 swali la ustadh mbogo dogo sana lakini gumu sana.. yesu kuingia kanisani sabato? Hamna aya hio. Wakiristo waongo
What kind of professor is this? This Mazinge deserves to be a comedian.There isn't professors of this type in the world.
@mckobatz5861
Жыл бұрын
Absolutely 😂😂😂
@zulekhaa6817
9 ай бұрын
Prossor wa wasiokuwa waisilamu .
Mungu mkubwa Asante mola mmi bonface taysoni xhe nimelewa
Mazinge umefilisika.
@mckobatz5861
Жыл бұрын
Anachekesha😂
@aliroro9344
10 ай бұрын
😂😂Ww elewa madaa n sabato ni siku gani, sabato ipo lkn siku niipi 😂😂
Sabato ni luga ya kifariseu na portuguese, yani kuenye portuguese ni sabado mana yake ni jumamosi, someni portuguese mutaelewa Kuna sengunda feira yani juma tatu, terça feira yani juma mne, quarta feira juma tano . quinta feira ni alhamisi, sexta feira ijuma. . .. Sabado ni jumamos. Domingo ni juma pil
Sabato ndo mpango mzima
😂😂😂🤝
Yesu anakuwaje mkristo mwenzao wakati ye ndiye Kristo mwenyewe?
Wakiristo muelewe Dini y kiisilamu haina siku maalumu ya ibada, siku zote ni siku z ibada na wala hakuna mapumziko. Siku ya Ijumaa Allah ameiweka sala maalumu inayoitwa sala ya ijumaa tena kwa ummat Muhammad. Na Allah ndio aliyowaekea mayahudi siku ya sabato kwa sheria yao alivyowapa.
Muone comedian Mazinge anavyojichekesha mwenyewe.Huna hats haya we mzee?.
@eyelushshamschel
Жыл бұрын
Maneno ya mkosaji 🙄🙄🙄
Mna uhakika mazinge ni professor kweli???
Waislamu wana matatizo kweli
Shekhe mazinge asiyekuelewa ana matatizo
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Mbishi tu hamna kitu,. Mazinge mzee wakuchomekea ni msani 🤣🤣🤣 tangu lini sabato ikawa ijumaa huyo mzee wenu kapagawa
@massoudfaki6744
Жыл бұрын
@@Mpakauseme kwa iyo na wewe unataka kutuelewesha kua jumamosi ni siku ya saba
@issafaquedalaura8279
Жыл бұрын
Safi
@shabanchegama
Жыл бұрын
Shaban chegama
@shabanchegama
Жыл бұрын
Natafuta kaz kwenye kampun
Waislamu mtaeleweshwaje?
Hauwezi kutumia akili zako kwenye dini
Mazinge ni kichwa Cha panzi,hoja Iko wazi kubatizwa hataki,
@freyzamsaidsaidmnken9585
Жыл бұрын
Kondoo ulipotea panz ni chako
@nassorsultan8647
Жыл бұрын
Katoka uko uko ukafirini Alipoona haki kaja kwenye haki
@nassorsultan8647
Жыл бұрын
Akiwemo ustz kesi kaja kwenye mwanga katoka kwenye gizza
@husnaally7964
Жыл бұрын
Mazinge Allah azid kukupa ujuz uwalete wengi katika Haq hata huyu anaekuita kichwa Cha panzi
Kumbukeni Isa utume wake na baada yake alitumwa mtume Mohammad kwa hiyo Isa twamuamini na mtume Mohammad alikuja na utume wake ndio tunaoufuata
Wakiristo wamelaaniwa ndo maan hawaelew
Mnajifanya hamuelewi
@saiddgsmg
2 ай бұрын
hebu tfsiri kwa kiswahiri jumamosi inaweza kuwa siku ya saba kweli,kwa kiswahili ni siku ya kwanza sio saba hapa ndo panaubishi,😊😊😊😊
Isa naamini ni mwislamu na ktk utume wake alibashiria kuja kwa mtume Mohammad baada yake
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Unaamini hivyo ww siyo masndiko matskatifu.
@patrickmshaughi4155
Жыл бұрын
@@miltonjohn9779 hey am a Muslim
Sas elimu ya uprofs uliutoa wp wakati hujui biblia mimnaonakabisa hunajipya unabwabwaja tu
Mwi wa midaalo hii matokeo ni nini?
@adventsoundtv
Жыл бұрын
Mwisho wa Mahubiri unayosikia Kanisani kwenu ni Nini?
Ukweli haupingwi kwa maneno yetu,nitafuata biblia siyo watu
Mazinge ni Uswahili tu hoja za kidini hana kabisa nutaamaa niwe mkristo tu maana watu wanatoa hoja na siyo waswahili Swahili
@aliroro9344
10 ай бұрын
Wew tupe hoja zako basi 😂😂😂😂
Hawa ni wafilist
@eyelushshamschel
Жыл бұрын
Na watanzania je?
Kuna mchungaji wa mwanzo apo akaanza kuisifia Qur'an kwakua inakubaliana na sabato anasema kuwa mungu kaitaja sabato ndani ya Qur'an na kasema sheria zake lazima zifuatwe Sasa Qur'an ilipoitaja siku ya ijumaa anakataa anasema ijumaa imetungwa na watu. Wachungaji hamjielewi mshazoea katika kitabu kuyakubali nusu na mengine kuyakataa sasa kwann uikubali sabato ndani ya Qur'an na uikatae ijumaa ndani ya Qur'an? Au unafikili Qur'an ni kama biblia? Wakristo Mumepotea kweli
@benjaminsika1782
Жыл бұрын
Sasa kwann usifate sabato kama Quran imekuamrisha ufate sabato
@faudhiasaidi3669
Жыл бұрын
@@benjaminsika1782 Kwann unilazimishe nifuate sabato wakati nimeamrishwa niifuate ijumaa?
@benjaminsika1782
Жыл бұрын
@@faudhiasaidi3669 sio Mimi ni qoran yenu ndo imewataka mufute sabato hakuna andiko lolote kwenye qoran imesema ijumaa ni siku ya ibada hakuna na kama lipo toa
@faudhiasaidi3669
Жыл бұрын
@@benjaminsika1782 Nyie mumebaki viroja ambao sabato hamkuandikiwa nyinyi na mnaifuata wakati walioandikiwa sabato waliivunja wakabadilishwa wakawa manyani na mangurue Walioandikiwa sabato sio sisi إِنَّمَا جُعِلَ السَّبْتُ عَلَى الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ ۚ وَإِنَّ رَبَّكَ لَيَحْكُمُ بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ [ AN NAH'L - 124 ] Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitalifiana. Yakwetu tumeandikiwa ijumaa يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَّكُمْ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ [ AL - JUMUA' - 9 ] Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni biashara. Hayo ni bora kwenu, lau kama mnajua.
@nlsprotv2990
Жыл бұрын
Nilivyo muelewa ijumaa ilianza kabla ya muhamad aliye shushiwa hilo andiko. Sas ijumaa kabla ya muhamad how it come
Wakristo mtachomwa nyiee
@gracenjoroge5952
Жыл бұрын
Nani kawaambia waislamu waabudu siku ya ijumaa??
HUKUMU zina yy Muumba wetu... mbona mwahukumu kuwa watu ni makafiri?
Na wewe mazinge kumbe mbabaishaji tu
Mazinge mjinga kweli kweli
@aliroro9344
10 ай бұрын
😂😂Wewe unamjua mazinge au
@tonyasembo
10 ай бұрын
@@aliroro9344 Anauliza maswali ya kijinga kweli kweli na hata waislamu hawawezi gundua.