MAZINGE AWAASA WAISLAM KUTUNZA SABATO PART 2: MASWALI NA MAJIBU

Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Vitabu vyote vinathibitisha kwamba, siku pekee aliyoagiza Mwenyezi Mungu kufanyika ibada takatifu ni siku ya Sabato-Jumamosi.
Historia inathibitisha kwama Siku ya Ijumaa haikuwa siku rasmi ya ibada katika Uislam. Siku hii ilianzishwa na Waislam wa Madina (Answar) kabla hata Muhammad hajahamia huko (Hijra). Lengo lao lilikuwa ni kujitofautisha na Wayahudi na Wakristo. Muhammad alipo hamia Madini alikuta waislam wa huko wanakusanyika katika siku ya Ijumaa. Siku moja siku ya Ijumaa, Muhammad akiwa anahutubia msikitini, msafara wa wafanya biashara wakaingia mjini kutoka sham, kukawa na vurugu na kelele za wafanya biashara. Masahaba wote wakakimbia kwenda huko na kumwacha anahudubia wakabaki watu 12 tu! Hapo ndipo ikashuka sura ya Ijumaa katika Qur'an kwa lengo la kuwafanya watu waache mambo ya biashara wakati wa Ibada unapokuwa umefika.

Пікірлер: 81

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Жыл бұрын

    Mch,Yohana amejaa Neno,Roho wA Mungu anamsaidia,

  • @freyzamsaidsaidmnken9585

    @freyzamsaidsaidmnken9585

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @edsonmasesa7966

    @edsonmasesa7966

    Жыл бұрын

    Mazinge hajui kujibu maswali yeye ni mbishitu hanaga point yoyote hadi huwaga nacheka

  • @eyelushshamschel

    @eyelushshamschel

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti roho wa Mungu

  • @mishaelmusiba305
    @mishaelmusiba305 Жыл бұрын

    Mungu akubariki muinjilisti Eliud

  • @cabylake2320
    @cabylake232010 ай бұрын

    Mashaallah

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Pro Mazinge DD Safi

  • @user-lg9hw4dm6x
    @user-lg9hw4dm6x7 ай бұрын

    Mazinge hana point yoyote, niku make comedian tu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Alaaa…. Kumbe wakiristo wakusanyika kanisani kwa hasara 😢 Sikujua mimi

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Жыл бұрын

    Jazaakallah khayrii mashekh

  • @freyzamsaidsaidmnken9585

    @freyzamsaidsaidmnken9585

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i3 ай бұрын

    Kubukeni wahisiram kusema muna mungu siyo ukweri chakwaza munatuhukum kimajini kwasambabu munavaa Pete zakuzim munaseme mungu arizariwa maka kumbe nikijinamiz chaserikari

  • @abdisalammohamed7687
    @abdisalammohamed7687 Жыл бұрын

    mazinge nakukubali mashallah

  • @KelvinMakwala-jw3xg
    @KelvinMakwala-jw3xg Жыл бұрын

    Mazinge acha siasa muogope Mungu

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Жыл бұрын

    Allah akusimamie mpenzi wetu kwajina la Allah mazinge wallah unajua unaweza

  • @rufuskinyua6938

    @rufuskinyua6938

    Жыл бұрын

    huyu jamaa mazinge atapeleka wengi kucmu, ndugu zangu tumieni mavikila.

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Жыл бұрын

    Mazinge hoja kashindwa na hoja

  • @michaelkarisa5270

    @michaelkarisa5270

    Жыл бұрын

    Uyu mzee sio kama haelewi, hawaezi kukubali, na anapotosha wasio jielewa

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h7 ай бұрын

    Sabato Haina makosaaa

  • @mussakamando2678
    @mussakamando2678 Жыл бұрын

    Mpiga picha hongera

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Жыл бұрын

    Ni rahisi sana kuelewa hapo wandugu, imetajwa ijumaa ikiongelewa kama siku ambayo maandalizi ya siku ya Sabato then inatajwa Jumapili kama siku ambayo wanawake walitoka kuelekea kaburini baada ya kupumzika katika siku ya Sabato ikiulizwa Sabato ni lini hata mtoto wa darasa la nne anajibu kuwa ni Jumamosi unless tuwe tunatafuta kubabaishana ila kama tupo kwenye kujifunza it's well understood kwamba Sabato ni Jumamosi... Niliacha kutazama mihadhara kwa muktadha wa kujifunza nilipomsikia prof Mazinge anasema Yesu hakwenda Hija kwa sababu alikuwa masikini na wanaoenda kule ni matajiri kuanzia hapo nikaanza kutazama ili nicheke nikiwa na stress 😂😂😂

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Lohhhh 😮😮 swali la ustadh mbogo dogo sana lakini gumu sana.. yesu kuingia kanisani sabato? Hamna aya hio. Wakiristo waongo

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Жыл бұрын

    What kind of professor is this? This Mazinge deserves to be a comedian.There isn't professors of this type in the world.

  • @mckobatz5861

    @mckobatz5861

    Жыл бұрын

    Absolutely 😂😂😂

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    9 ай бұрын

    Prossor wa wasiokuwa waisilamu .

  • @BON357
    @BON357 Жыл бұрын

    Mungu mkubwa Asante mola mmi bonface taysoni xhe nimelewa

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Жыл бұрын

    Mazinge umefilisika.

  • @mckobatz5861

    @mckobatz5861

    Жыл бұрын

    Anachekesha😂

  • @aliroro9344

    @aliroro9344

    10 ай бұрын

    😂😂Ww elewa madaa n sabato ni siku gani, sabato ipo lkn siku niipi 😂😂

  • @DifaRobelindo-cj2ij
    @DifaRobelindo-cj2ij8 ай бұрын

    Sabato ni luga ya kifariseu na portuguese, yani kuenye portuguese ni sabado mana yake ni jumamosi, someni portuguese mutaelewa Kuna sengunda feira yani juma tatu, terça feira yani juma mne, quarta feira juma tano . quinta feira ni alhamisi, sexta feira ijuma. . .. Sabado ni jumamos. Domingo ni juma pil

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Жыл бұрын

    Sabato ndo mpango mzima

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh Жыл бұрын

    😂😂😂🤝

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Жыл бұрын

    Yesu anakuwaje mkristo mwenzao wakati ye ndiye Kristo mwenyewe?

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68179 ай бұрын

    Wakiristo muelewe Dini y kiisilamu haina siku maalumu ya ibada, siku zote ni siku z ibada na wala hakuna mapumziko. Siku ya Ijumaa Allah ameiweka sala maalumu inayoitwa sala ya ijumaa tena kwa ummat Muhammad. Na Allah ndio aliyowaekea mayahudi siku ya sabato kwa sheria yao alivyowapa.

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Жыл бұрын

    Muone comedian Mazinge anavyojichekesha mwenyewe.Huna hats haya we mzee?.

  • @eyelushshamschel

    @eyelushshamschel

    Жыл бұрын

    Maneno ya mkosaji 🙄🙄🙄

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 Жыл бұрын

    Mna uhakika mazinge ni professor kweli???

  • @davidlintari8504
    @davidlintari8504 Жыл бұрын

    Waislamu wana matatizo kweli

  • @masala8099
    @masala8099 Жыл бұрын

    Shekhe mazinge asiyekuelewa ana matatizo

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Mbishi tu hamna kitu,. Mazinge mzee wakuchomekea ni msani 🤣🤣🤣 tangu lini sabato ikawa ijumaa huyo mzee wenu kapagawa

  • @massoudfaki6744

    @massoudfaki6744

    Жыл бұрын

    @@Mpakauseme kwa iyo na wewe unataka kutuelewesha kua jumamosi ni siku ya saba

  • @issafaquedalaura8279

    @issafaquedalaura8279

    Жыл бұрын

    Safi

  • @shabanchegama

    @shabanchegama

    Жыл бұрын

    Shaban chegama

  • @shabanchegama

    @shabanchegama

    Жыл бұрын

    Natafuta kaz kwenye kampun

  • @user-tk2ml1fn9e
    @user-tk2ml1fn9e10 ай бұрын

    Waislamu mtaeleweshwaje?

  • @abdulkarimnassor3128
    @abdulkarimnassor3128 Жыл бұрын

    Hauwezi kutumia akili zako kwenye dini

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Жыл бұрын

    Mazinge ni kichwa Cha panzi,hoja Iko wazi kubatizwa hataki,

  • @freyzamsaidsaidmnken9585

    @freyzamsaidsaidmnken9585

    Жыл бұрын

    Kondoo ulipotea panz ni chako

  • @nassorsultan8647

    @nassorsultan8647

    Жыл бұрын

    Katoka uko uko ukafirini Alipoona haki kaja kwenye haki

  • @nassorsultan8647

    @nassorsultan8647

    Жыл бұрын

    Akiwemo ustz kesi kaja kwenye mwanga katoka kwenye gizza

  • @husnaally7964

    @husnaally7964

    Жыл бұрын

    Mazinge Allah azid kukupa ujuz uwalete wengi katika Haq hata huyu anaekuita kichwa Cha panzi

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 Жыл бұрын

    Kumbukeni Isa utume wake na baada yake alitumwa mtume Mohammad kwa hiyo Isa twamuamini na mtume Mohammad alikuja na utume wake ndio tunaoufuata

  • @mahadboy5124
    @mahadboy51243 ай бұрын

    Wakiristo wamelaaniwa ndo maan hawaelew

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 Жыл бұрын

    Mnajifanya hamuelewi

  • @saiddgsmg

    @saiddgsmg

    2 ай бұрын

    hebu tfsiri kwa kiswahiri jumamosi inaweza kuwa siku ya saba kweli,kwa kiswahili ni siku ya kwanza sio saba hapa ndo panaubishi,😊😊😊😊

  • @patrickmshaughi4155
    @patrickmshaughi4155 Жыл бұрын

    Isa naamini ni mwislamu na ktk utume wake alibashiria kuja kwa mtume Mohammad baada yake

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    Жыл бұрын

    Unaamini hivyo ww siyo masndiko matskatifu.

  • @patrickmshaughi4155

    @patrickmshaughi4155

    Жыл бұрын

    @@miltonjohn9779 hey am a Muslim

  • @egidideule7285
    @egidideule72853 ай бұрын

    Sas elimu ya uprofs uliutoa wp wakati hujui biblia mimnaonakabisa hunajipya unabwabwaja tu

  • @jonathanmbise3115
    @jonathanmbise3115 Жыл бұрын

    Mwi wa midaalo hii matokeo ni nini?

  • @adventsoundtv

    @adventsoundtv

    Жыл бұрын

    Mwisho wa Mahubiri unayosikia Kanisani kwenu ni Nini?

  • @user-lp8ij1qv9h
    @user-lp8ij1qv9h7 ай бұрын

    Ukweli haupingwi kwa maneno yetu,nitafuata biblia siyo watu

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics1888 Жыл бұрын

    Mazinge ni Uswahili tu hoja za kidini hana kabisa nutaamaa niwe mkristo tu maana watu wanatoa hoja na siyo waswahili Swahili

  • @aliroro9344

    @aliroro9344

    10 ай бұрын

    Wew tupe hoja zako basi 😂😂😂😂

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Жыл бұрын

    Hawa ni wafilist

  • @eyelushshamschel

    @eyelushshamschel

    Жыл бұрын

    Na watanzania je?

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Жыл бұрын

    Kuna mchungaji wa mwanzo apo akaanza kuisifia Qur'an kwakua inakubaliana na sabato anasema kuwa mungu kaitaja sabato ndani ya Qur'an na kasema sheria zake lazima zifuatwe Sasa Qur'an ilipoitaja siku ya ijumaa anakataa anasema ijumaa imetungwa na watu. Wachungaji hamjielewi mshazoea katika kitabu kuyakubali nusu na mengine kuyakataa sasa kwann uikubali sabato ndani ya Qur'an na uikatae ijumaa ndani ya Qur'an? Au unafikili Qur'an ni kama biblia? Wakristo Mumepotea kweli

  • @benjaminsika1782

    @benjaminsika1782

    Жыл бұрын

    Sasa kwann usifate sabato kama Quran imekuamrisha ufate sabato

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Жыл бұрын

    @@benjaminsika1782 Kwann unilazimishe nifuate sabato wakati nimeamrishwa niifuate ijumaa?

  • @benjaminsika1782

    @benjaminsika1782

    Жыл бұрын

    @@faudhiasaidi3669 sio Mimi ni qoran yenu ndo imewataka mufute sabato hakuna andiko lolote kwenye qoran imesema ijumaa ni siku ya ibada hakuna na kama lipo toa

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Жыл бұрын

    @@benjaminsika1782 Nyie mumebaki viroja ambao sabato hamkuandikiwa nyinyi na mnaifuata wakati walioandikiwa sabato waliivunja wakabadilishwa wakawa manyani na mangurue Walioandikiwa sabato sio sisi إِنَّمَا جُعِلَ السَّبْتُ عَلَى الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ ۚ وَإِنَّ رَبَّكَ لَيَحْكُمُ بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ [ AN NAH'L - 124 ] Hakika siku ya Sabato (Jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake. Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitalifiana. Yakwetu tumeandikiwa ijumaa يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِن يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَّكُمْ إِن كُنتُمْ تَعْلَمُونَ [ AL - JUMUA' - 9 ] Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni biashara. Hayo ni bora kwenu, lau kama mnajua.

  • @nlsprotv2990

    @nlsprotv2990

    Жыл бұрын

    Nilivyo muelewa ijumaa ilianza kabla ya muhamad aliye shushiwa hilo andiko. Sas ijumaa kabla ya muhamad how it come

  • @jumamfinanga6867
    @jumamfinanga6867 Жыл бұрын

    Wakristo mtachomwa nyiee

  • @gracenjoroge5952

    @gracenjoroge5952

    Жыл бұрын

    Nani kawaambia waislamu waabudu siku ya ijumaa??

  • @petermollel58
    @petermollel58 Жыл бұрын

    HUKUMU zina yy Muumba wetu... mbona mwahukumu kuwa watu ni makafiri?

  • @GodyMussa-sc9fj
    @GodyMussa-sc9fj7 ай бұрын

    Na wewe mazinge kumbe mbabaishaji tu

  • @tonyasembo
    @tonyasembo11 ай бұрын

    Mazinge mjinga kweli kweli

  • @aliroro9344

    @aliroro9344

    10 ай бұрын

    😂😂Wewe unamjua mazinge au

  • @tonyasembo

    @tonyasembo

    10 ай бұрын

    @@aliroro9344 Anauliza maswali ya kijinga kweli kweli na hata waislamu hawawezi gundua.

Келесі