ISHMAEL AU ISAKA? MAZINGE NA WAISLAMU WAWEKWA WAZI NA MWALIMU YOHANA OMARY.
Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023.
Жүктеу.....
Пікірлер: 65
@JumanneSelemani-kh6kj3 ай бұрын
Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana
@suzanstephen2691 Жыл бұрын
Daah! Kweli watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa. Waisilam kazi mnayo waalimu wenu hawajui chochote zaidi ya kufanya maigizo jukwaani. MUNGU awasaidie
@JumanneSelemani-kh6kj3 ай бұрын
Maneno hayo ❤ nimependa sana mwinjilist yohana kuwaambia watu ukweli
@allykijazy1557 Жыл бұрын
Mwalimu mwislamu kafundusha vizuri
@medardaloyce Жыл бұрын
Waislamu, muombeni MUNGU awape mafundisho yaliyo ya kweli🙏🙏
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Waubirie ufalme wa mungu mpaka waujuwe ukweli hao ni wa noko sana
Mbona Mda unajua hautoshi tengen Mda wa kutosha tupate elim
@chemstry409 Жыл бұрын
Bint wa BABA YANGU NDIPO AKAWA MKE WANGU...DUUUHH SARA MKE WA IBRAHIM NI DADA YAKE BABA MMOJA MAMA MBALI MBALI....TUMEKUELEWA SHEIKH...
@davidmghanga8502 Жыл бұрын
Mwalimu Omar MUNGU akubariki sana
@evanskengara19118 ай бұрын
Your presentation is wonderful be blessed.
@bigmanfish63468 ай бұрын
Hawa wakiristo ni mpaka mungu mwenyewe awaongoze lakini akili zao mbovu sana hawaelewi
@user-hp1im5ek4r2 ай бұрын
Kweli Ibrahim alizini kwani Uongo
@innocentmsoka78059 ай бұрын
Yesu ndio njia na uzima tele
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Huyu shekhe baada ya kwenda kwenye maada anapiga porojo tu hafu eti anapaniki duh hatari sana
@jamesrasi-co4py Жыл бұрын
Wasabato mkosawa na mm nimemkubali
@abuaminmadi4480 Жыл бұрын
Hajui kusoma kabisaa
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Alisikia kilio ya mtoto wakati walikuwa jwangwani waislamu wote ni makafiri wapingaji mazingi
@albertvalentino1307 ай бұрын
Duuu ! Kweli kuna mijitu iko gizani --- Bwana Yesu alisema " ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa ni Giza si giza hilo " yaani ni giza totoro --- giza kweli kweli ---- jifarijini tu kwa ujinga,lakini hukumu iko pale pale Mdo 30 ---- 31.
@Tonykatiko23 күн бұрын
wape neno. wataelewa tu
@JumanneSelemani-kh6kj3 ай бұрын
Mohamed ni binadamu kama sisi ila waislaam hawamtambui mungu wa kweli ni yupi wanamuabudu binadamu aliye kufa kwasasa kaoza kweli mwinjilist unavyo waambia waislamu waelewe
@sharon-xw8vf7 ай бұрын
Waisilam waokoke awana jia ya kweli kabisa.
@gracenjoroge5952 Жыл бұрын
Hoja sio Ibrahim alikuwa na wana wangapi,hoja ni nani katolewa sadaka??bibilia imesema mwana wa ahadi ni isaka
@classicvisiononline8334
Жыл бұрын
Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....
@user-ii4os8zl2l4 ай бұрын
Yohana enderea kuwaleta kwa yesu wote walio fumbwa kwa lgha yakiarabu
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
kuna wapiga porojo na wafundishaji
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Toka hapo kafiri bababu aliwafunguxa umezeka Sana mtoni
@sebastiansalamba3135 ай бұрын
Iliyotangulia ni bibria bwana ila Mohamed alipokuja jamaa akaona niunde dini tofauti na ukristo akafanya kama ilivyo mara anakubari torati mara kistu anampinga hamuoni ujanjanja huko.namkubari kristo yesu
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Yesu alikua muislam nae 4.16 kula
@binseif22166 ай бұрын
Quran itabaki kuwa ya kweli,mliulizwa je ibrahim ni mzinifu?ili ismail awe mtt wa zinaa?hamkutoa jibu
@unclejonah73508 ай бұрын
Kila aliyezaliwa na Adam ni mdhambi wa kuridhi.
@shizoshop24698 ай бұрын
Mazinge anatoka nje ya mada . Maada ilikuwa isihaka na ishimail nani mtoto wa agano ?
@felixgitonga6783 Жыл бұрын
Wewe tena sio muamini wewe ulisilumu tu waomini wako himeni na wewe uko Tanzania Dio kwasababu unasema ni simaili muongo uruke uiname ni isack Dio alikuwa kutoa kafara
@josephshusha3436 Жыл бұрын
Mwalim mazinge mm sikielewi kabisa.maana kumbe wewe unabishana.hautaki kutuelewesha au kuwaelewesha.
@shabanabdul8979 Жыл бұрын
Islam comedy
@ibrahimngitu6072 Жыл бұрын
Wakristo hamuielewi bible
@isihakajarika2668 Жыл бұрын
Wakristo hua wanasikiliza wachungaji wao alafu wanayabeba mafundisho Kama yalivyo lakini wislam wanafuatilia na kujifunza maandiko kiundani zaidi kwaio mie siwashangai
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Anaunganiza mandiko bilia sio Quran
@suzanaagustinookelo4953
Жыл бұрын
Unanipa moyo ndugu yangu
@jeunajuatv817
Жыл бұрын
hahaha 😂 ukiwa na ujinga ni ujinga tu
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Biblia ndio ya kwanza kabisa kuandikwa na inasadikika, Quran hicho kitabu Cha hadidhi n mahuburi ya mchungaji muhamadi aliyoyafanya uarabuni akihubiri Biblia Takatifu na nayo yakaandikwa mnamo Karne ya 7 yaani takribani miaka 100 baada ya kifo Cha Mtume huyo. Je ni maandiko yapi yaweza kua ni ya kughushi? Hiyo n historia ya dini na naiamini
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Mazinge amwagiwe maji tu akubali kuokoka
@binseif22166 ай бұрын
Me nilikuwa mkristo nashukru nimeingia kwenye dini ya ukweli uislamu
@user-hp1im5ek4r
2 ай бұрын
Umepotea tayari
@thobymsule6045
2 ай бұрын
Umefuata wanawake bikra 72 hahah pole sana
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Hongera sana
@shizoshop24698 ай бұрын
Huyu shekhe hajui maana hajilii hakuwa mke wa ndoa maana aliambiwa amuingilie hajilii ili apate uzao . Full stop
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Kwaio Ibrahim amezinii😂
@binseif22166 ай бұрын
Wakristo kwanini mnapenda kupotezwa na wachungaji hata wakimtusi yesu nyie mtawapigia makofi
@JumaLugendo-rk3rp8 ай бұрын
Isaka hajawahi kuwa Mtoto wa pekee maana alikuja kuzaliwa miaka 12 baada ya Ismail hivyo hajawahi kuwa pekee ila alikuwa na kaka yake Ismail lakini Ismail amekuwa Mwana wa pekee kabla ya kuzaliwa isaka
@mikgodnziku9438
8 ай бұрын
Neno (pekee)linamaana gan? Au linamaanisha nini
@RICHARDWAUSA7 ай бұрын
Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢
@singanoatanasi1994 Жыл бұрын
Safi Yohana omary yaani unafundisha vizuri afu vituko vyako vya akili lakini mazinge vituko vyake vya kijinga sana
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
Mazinge hana Elimu ya Theology ni porojo tu
@lisauroble31 Жыл бұрын
Waziri kiislamu mbongo na mazinge waalimu munguatawalipa mema kirsto hamutuwekei wazi maandiko bali mnatumia njiua mkato muñgu mwema😊
@classicvisiononline8334 Жыл бұрын
Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Hata mm baada ya kuisoma Quran na Biblia kwa mapana, niligundua Quran n nukuu ya Biblia Takatifu nayo si timilifu kama biblia. Nikifuatilia historia ya dini pia inasadiki hayo
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Mwana wa urithi wako wewe atakua Mwana wa mkeo wa kumuoa au wa mchepuko wako? Apo n akili za kawaida tu. Kumbe ndio maana waislum vita Yao yote n kumpigania Mungu wao kwa Njia ya jihadi, Mtume wenu n mpotofu Mungu hawezi kua dhaifu hivo
@stanleytemu5373 Жыл бұрын
Islam hadithi tu no original!!!
@bigmanfish63468 ай бұрын
Naomba number ya mbogo tafadhali
@JumanneSelemani-kh6kj3 ай бұрын
Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Yesu hajawahi kufa
@RICHARDWAUSA7 ай бұрын
Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢
@JumanneSelemani-kh6kj
3 ай бұрын
Wakuabudiwa ni kristo aliye juu TU wala si shekhe wala mohamad nampongeza mwinjilist yohana omary kwakuwagumbua macho hao watu 😂😂😂😂😂😂😂 jamani wabatizwe
Пікірлер: 65
Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana
Daah! Kweli watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa. Waisilam kazi mnayo waalimu wenu hawajui chochote zaidi ya kufanya maigizo jukwaani. MUNGU awasaidie
Maneno hayo ❤ nimependa sana mwinjilist yohana kuwaambia watu ukweli
Mwalimu mwislamu kafundusha vizuri
Waislamu, muombeni MUNGU awape mafundisho yaliyo ya kweli🙏🙏
Waubirie ufalme wa mungu mpaka waujuwe ukweli hao ni wa noko sana
❤❤❤❤❤🎉🎉mwalimu bongo ungekuwakaribu wallhi umewafunźahawo waislamu wameshindwakupigatakbra😢😢😢
@hamisahtuman5595
Жыл бұрын
Mbona Mda unajua hautoshi tengen Mda wa kutosha tupate elim
Bint wa BABA YANGU NDIPO AKAWA MKE WANGU...DUUUHH SARA MKE WA IBRAHIM NI DADA YAKE BABA MMOJA MAMA MBALI MBALI....TUMEKUELEWA SHEIKH...
Mwalimu Omar MUNGU akubariki sana
Your presentation is wonderful be blessed.
Hawa wakiristo ni mpaka mungu mwenyewe awaongoze lakini akili zao mbovu sana hawaelewi
Kweli Ibrahim alizini kwani Uongo
Yesu ndio njia na uzima tele
Huyu shekhe baada ya kwenda kwenye maada anapiga porojo tu hafu eti anapaniki duh hatari sana
Wasabato mkosawa na mm nimemkubali
Hajui kusoma kabisaa
Alisikia kilio ya mtoto wakati walikuwa jwangwani waislamu wote ni makafiri wapingaji mazingi
Duuu ! Kweli kuna mijitu iko gizani --- Bwana Yesu alisema " ile nuru iliyomo ndani yako ikiwa ni Giza si giza hilo " yaani ni giza totoro --- giza kweli kweli ---- jifarijini tu kwa ujinga,lakini hukumu iko pale pale Mdo 30 ---- 31.
wape neno. wataelewa tu
Mohamed ni binadamu kama sisi ila waislaam hawamtambui mungu wa kweli ni yupi wanamuabudu binadamu aliye kufa kwasasa kaoza kweli mwinjilist unavyo waambia waislamu waelewe
Waisilam waokoke awana jia ya kweli kabisa.
Hoja sio Ibrahim alikuwa na wana wangapi,hoja ni nani katolewa sadaka??bibilia imesema mwana wa ahadi ni isaka
@classicvisiononline8334
Жыл бұрын
Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....
Yohana enderea kuwaleta kwa yesu wote walio fumbwa kwa lgha yakiarabu
kuna wapiga porojo na wafundishaji
Toka hapo kafiri bababu aliwafunguxa umezeka Sana mtoni
Iliyotangulia ni bibria bwana ila Mohamed alipokuja jamaa akaona niunde dini tofauti na ukristo akafanya kama ilivyo mara anakubari torati mara kistu anampinga hamuoni ujanjanja huko.namkubari kristo yesu
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Yesu alikua muislam nae 4.16 kula
Quran itabaki kuwa ya kweli,mliulizwa je ibrahim ni mzinifu?ili ismail awe mtt wa zinaa?hamkutoa jibu
Kila aliyezaliwa na Adam ni mdhambi wa kuridhi.
Mazinge anatoka nje ya mada . Maada ilikuwa isihaka na ishimail nani mtoto wa agano ?
Wewe tena sio muamini wewe ulisilumu tu waomini wako himeni na wewe uko Tanzania Dio kwasababu unasema ni simaili muongo uruke uiname ni isack Dio alikuwa kutoa kafara
Mwalim mazinge mm sikielewi kabisa.maana kumbe wewe unabishana.hautaki kutuelewesha au kuwaelewesha.
Islam comedy
Wakristo hamuielewi bible
Wakristo hua wanasikiliza wachungaji wao alafu wanayabeba mafundisho Kama yalivyo lakini wislam wanafuatilia na kujifunza maandiko kiundani zaidi kwaio mie siwashangai
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Anaunganiza mandiko bilia sio Quran
@suzanaagustinookelo4953
Жыл бұрын
Unanipa moyo ndugu yangu
@jeunajuatv817
Жыл бұрын
hahaha 😂 ukiwa na ujinga ni ujinga tu
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Biblia ndio ya kwanza kabisa kuandikwa na inasadikika, Quran hicho kitabu Cha hadidhi n mahuburi ya mchungaji muhamadi aliyoyafanya uarabuni akihubiri Biblia Takatifu na nayo yakaandikwa mnamo Karne ya 7 yaani takribani miaka 100 baada ya kifo Cha Mtume huyo. Je ni maandiko yapi yaweza kua ni ya kughushi? Hiyo n historia ya dini na naiamini
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Mazinge amwagiwe maji tu akubali kuokoka
Me nilikuwa mkristo nashukru nimeingia kwenye dini ya ukweli uislamu
@user-hp1im5ek4r
2 ай бұрын
Umepotea tayari
@thobymsule6045
2 ай бұрын
Umefuata wanawake bikra 72 hahah pole sana
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Hongera sana
Huyu shekhe hajui maana hajilii hakuwa mke wa ndoa maana aliambiwa amuingilie hajilii ili apate uzao . Full stop
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Kwaio Ibrahim amezinii😂
Wakristo kwanini mnapenda kupotezwa na wachungaji hata wakimtusi yesu nyie mtawapigia makofi
Isaka hajawahi kuwa Mtoto wa pekee maana alikuja kuzaliwa miaka 12 baada ya Ismail hivyo hajawahi kuwa pekee ila alikuwa na kaka yake Ismail lakini Ismail amekuwa Mwana wa pekee kabla ya kuzaliwa isaka
@mikgodnziku9438
8 ай бұрын
Neno (pekee)linamaana gan? Au linamaanisha nini
Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢
Safi Yohana omary yaani unafundisha vizuri afu vituko vyako vya akili lakini mazinge vituko vyake vya kijinga sana
@stanslausmteme8455
Жыл бұрын
Mazinge hana Elimu ya Theology ni porojo tu
Waziri kiislamu mbongo na mazinge waalimu munguatawalipa mema kirsto hamutuwekei wazi maandiko bali mnatumia njiua mkato muñgu mwema😊
Kabla hujakurupuka kushangilia giza unatakiwa uelewe Biblia imetafsiliwa na nani na kutoka kwenye Lugha gani...Unatakiwa kujua Lugha Mama ya Ibrania kisha ufahamu nani aliye edit iyo tafsiri na kubadilisha maandiko....Kisha rudi hapa shangilia ila kama hakuna iyo lugha asili unasoma kiswahili au kingereza na sio yebrania basi elewaa kuna Editing ilifanyika kwa maslahi ya kupotosha watuuu ila Sababu Mungu alielewa haya yote na ufisadi uliofanyika kwenye vitabu vyake basi ndo maana akamleta mtume wawisho Muhammad na akaja na kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake (Qur'an) na mpaka dunia Italiaanse mwisho hakuna atakaeweza badilisha au kuongeza neno lolote katika Qur'an...Sasa anza kujitambua na soma kwanza kabla ya ushabiki ili uelewe....
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Hata mm baada ya kuisoma Quran na Biblia kwa mapana, niligundua Quran n nukuu ya Biblia Takatifu nayo si timilifu kama biblia. Nikifuatilia historia ya dini pia inasadiki hayo
@amankimaryo1809
Жыл бұрын
Mwana wa urithi wako wewe atakua Mwana wa mkeo wa kumuoa au wa mchepuko wako? Apo n akili za kawaida tu. Kumbe ndio maana waislum vita Yao yote n kumpigania Mungu wao kwa Njia ya jihadi, Mtume wenu n mpotofu Mungu hawezi kua dhaifu hivo
Islam hadithi tu no original!!!
Naomba number ya mbogo tafadhali
Hakuna rafiki wa thamani kama yesu aliye yatoa maisha kwaajili yetu njooni wote tumsifu tumshukuru yeye kwani ndiye njia ya uzima❤❤❤❤❤ pongezi sana mwinjilist yohana
@user-zh4np7kf5i
15 күн бұрын
Yesu hajawahi kufa
Yesu wangu ; naku shukuru kuni onyesha njia 😢
@JumanneSelemani-kh6kj
3 ай бұрын
Wakuabudiwa ni kristo aliye juu TU wala si shekhe wala mohamad nampongeza mwinjilist yohana omary kwakuwagumbua macho hao watu 😂😂😂😂😂😂😂 jamani wabatizwe