JE YESU ALIINGIA KANISANI? : SWALI LA MAZINGE LAJIBIWA KWA UFASAHA NA WAALIMU WA KIKRISTO

Mdahalo uliofanyika Tanga Tarehe 2 Hadi 3 Feb. 2023. Mada, Je Yesu alikuwa Mwislamu?

Пікірлер: 55

  • @josphat1780
    @josphat1780 Жыл бұрын

    Amina Amina tushindi kuwaelimisha waislam wapate kumjua yesu kristo Mimi ni JOSPHAT KARITHI nikiwa Kenya.

  • @walidamour867
    @walidamour8672 ай бұрын

    Sheikh othman mazinge na wengine wote mnaojitolea kuitangaza dini ya ALLAH m,mungu awajaalie umri mrefu na afya njema (In Sha ALLAH)

  • @binseif2216
    @binseif22166 ай бұрын

    Mazinge Allah akupe umri mrefu uzidi kuwaelimisha alhamdulillah wanasilimu sana

  • @jumakisaga8180
    @jumakisaga8180 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu shekhe mazinge

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677Ай бұрын

    I can’t believe the extent that people go with lies, Jesus…the way….the truth….the life 🙏🏿

  • @stevensawawa8359
    @stevensawawa8359 Жыл бұрын

    Asante Pastor Dominic Mapima BWANA akubariki kwa kazi njema ya kuwaangazia nuru

  • @user-jo4je4fv3o
    @user-jo4je4fv3o5 ай бұрын

    Mathayo 18:20 Kila walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa ajili ya jina langu nami nipo Kati yao,

  • @user-ip8te1ks4c
    @user-ip8te1ks4c8 ай бұрын

    Good presentation

  • @Fred-jd9ws
    @Fred-jd9ws7 ай бұрын

    Ubarikie pasta kingu akuinue kea elimi maana hilo ni kweli haipingiki wanao pinga wanapinga bure

  • @Fred-jd9ws

    @Fred-jd9ws

    7 ай бұрын

    Mungu akubariki

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya4050 Жыл бұрын

    Nmebarikiwa sana

  • @ommy3617
    @ommy3617 Жыл бұрын

    Uislam ndio dini ya Mungu

  • @user-jo4je4fv3o
    @user-jo4je4fv3o6 ай бұрын

    😢 Jee! Yesu aliingia Kanisani? Yohana 18:20 Yesu Kila siku alifundisha wakusanyikapo Wayahudi , Mathayo 18:20 walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina la Yesu naye yupo Katikati yao.

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Жыл бұрын

    Mbarikiwe watumishi🇰🇪🇰🇪

  • @eliasmatalamototv2850
    @eliasmatalamototv2850 Жыл бұрын

    Waislam awaijui din

  • @user-jo4je4fv3o
    @user-jo4je4fv3o5 ай бұрын

    Efeso 5:21 Nyenyekeeni katika kicho cha Kristo. Mdo 20:19 Mtume Paul alimtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote.

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    WATOKE NYUMA YA MUHAMAD WAJE KWA YESU

  • @bigmanfish6346

    @bigmanfish6346

    8 ай бұрын

    Umepotea ndugu soma bibilia vizuri

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt5 ай бұрын

    Wanasema sio dini

  • @emmanuelmatulanya9170
    @emmanuelmatulanya9170 Жыл бұрын

    Mungu awabariki Kwa mada nzuri

  • @adventsoundtv

    @adventsoundtv

    Жыл бұрын

    Ammmen mtumishi. (A K.A Presenter)

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Hahahaha…. Alaaa…. Kumbe ubatizo ni upagani 😂😂😂😂

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Жыл бұрын

    Yesu aliingia sinangogi akapewa chuo Cha nabii ISAYA asome..swali sinangogi yenyu waisalaam mna chuo Cha Nabii ISAYA?

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    KWAWA ISLAM MIMI NAONA NIUNABI WABIIBLIA WANATIMIZA

  • @user-wp9cq3gp6z
    @user-wp9cq3gp6z Жыл бұрын

    WaKristo .. Mafundisho hayo yako Wazi na ya Ukweli.. Hakuna na hakutakuweko ila ni UISILAMU. UISILAMU ndio DINI ya HAKI .. Uwamuzi ni Wenu WaKristo... Mimi ni kuwapa Habari Njema nayo ni UISILAMU .. KARIBUNI NJOONI KWA UISILAMU.

  • @johnmtangi9340
    @johnmtangi93403 ай бұрын

    Ipo ruhusa kwa wanadamu kusa hihisha maandiko matakatifu

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Lohhh hata sijui wanafata dini gani hawa wakiristo maana hawafati hata hio bibilia. Wako kinyume kabisa na bibilia. Wapumbavu hawa watu

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 Жыл бұрын

    Fundisha hao Waizilamu

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    UYU MAZING TUSEME KUWA MUPINGA CHRITSU

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    WAISLAM TABANI HAWAJUWI KITU

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Nataka number ya mazinge

  • @Juma95145
    @Juma95145 Жыл бұрын

    Jamani wakirisito hamuone ukweli Joo to islam

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya4050 Жыл бұрын

    Nitapataje Biblia ya kiarabu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Жыл бұрын

    Wamekamatika 🤣🤣🤣

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish63468 ай бұрын

    Mbogo kiboko

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Жыл бұрын

    mambo ni moro kuliko niwe mwislamu bora nile bangi

  • @user-wp9cq3gp6z

    @user-wp9cq3gp6z

    Жыл бұрын

    Na kama ni kidume.. (Mimi natoa GUARANTEE wewe ni Mwanamke ) hiyo Bangi nenda ukaitumie au uvute kwenye kituo cha .... ( Jazaa mwenyewe hapo) Jibu au toroka kama Mwanamke.

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    AFU MACHO YAO MAKAVU KABISA

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 Жыл бұрын

    Kwanini basi waislamu huomba mtu atoe Shahada Ili awe muislamu? Kwanini hawamuombe anyenyekee? Mbona huyu Yesu alimuita Mungu eti ni baba yake. Je waislamu wanakubali hii kauli?

  • @barakaharony4396
    @barakaharony4396 Жыл бұрын

    Et YESU alikuwa mnyenyekevu Kwa hivyo uislamu ni unyenyekevu Yan hana hoja kabisa Kwahiyo unyenyekevu ni uislamu Pekee?

  • @barakaharony4396
    @barakaharony4396 Жыл бұрын

    Hata makafiri ni wanyenyekevu wanapo kunywa pombe na bange wahesabieni nao ni waislamu mmfulaishe mioyo yenu

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Жыл бұрын

    Wakati alingia sinangongi alisoma Quran Hama isaya biblia mazinge muongo motoni

  • @bilalmunga6049

    @bilalmunga6049

    Жыл бұрын

    Sasa wewe nae hapo ulipo hujui bibilia si kitabu cha MWENYEZI MUNGU?

  • @rosetteuwase9765
    @rosetteuwase9765 Жыл бұрын

    KWAWA NDUGU WAWA ISLAM NI MUSIBA KABISA HAWAJUWI HATA MAANDIKO JAMENI UYU SIMUSIBA MKUBWA

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 Жыл бұрын

    Ubatizo sio upagani kama anavyosema Mazinge na hiyo biblia yake YAUONGO AU FEKI

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Жыл бұрын

    Sinagogi mbona lipo mpaka Leo huko Jerusalem na lina swaliwa na Waislam. Kwa hiyo ni msikiti Kweli.

  • @JESUSISLO891

    @JESUSISLO891

    Жыл бұрын

    Wanaswali kwa sababu ya ujinga WA kutojua

  • @ahmadmadaai1357

    @ahmadmadaai1357

    Жыл бұрын

    Ww unajua nn kafiri subiri a moto tu

  • @JESUSISLO891

    @JESUSISLO891

    Жыл бұрын

    @@ahmadmadaai1357 ati peponi tunafanya mema tuende kwa mapepo tena dini ya majini uislamu

  • @mansooralaisri5200

    @mansooralaisri5200

    Жыл бұрын

    @@ahmadmadaai1357 Nyie mnaingia Kanisani na mavi matakoni ndio mtakao pigwa marangu na kutupiwa Jehanamu.

  • @barakaharony4396

    @barakaharony4396

    Жыл бұрын

    @@mansooralaisri5200 acha ujinga kuna mtu asiye chamba ? Au nyinyi waislamu Huwa mnaenda Kwa wazazi wenu wawasafishe mavi ili muingie msikitini au mnaenda Kwa maimamu wawachokonoe mavi muingie msikitini mkiwa hamna mavi matkoni? Utuambie

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 Жыл бұрын

    Kwani waislamu wanaingia katika misikiti ya wayahudi? Hawa wafuasi wa marehemu Muhammad ni mbovu kabisa

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Жыл бұрын

    Maswali ya kijinga kabisa ni sawa muulize kua Muhamadi mkaingia msikitini?

  • @pascalngaya4050
    @pascalngaya4050 Жыл бұрын

    Nitapataje Biblia ya kiarabu

  • @JESUSISLO891

    @JESUSISLO891

    Жыл бұрын

    Labda ujiandikie🤣