Wanapaswa wawaulize wakristo na mayahudi watapata kufunguliwe af mabishano yataisha amen
@user-cg9tl3ys5l2 ай бұрын
Mmekata nyaya ili sauti isitoke mmeshindwa kujibu tu
@user-cg9tl3ys5l2 ай бұрын
Mungu Yuko upande wetu kina la bwana libalikiwe
@RayaRashid-dc2hn2 ай бұрын
Always mazinge jembe
@ericlondonmuwazijimmy12214 ай бұрын
Mazinge kapata kibano na ndancha 😂😅😅
@collinsbarasa11264 ай бұрын
Ni mnyazi Mungu au mwenyezi Mungu?
@markorudonya18515 ай бұрын
Mkirugenzi Mariamu nakupa big up
@HarithJ.R-qf3ww9 ай бұрын
Sas mbon kakata saut
@KoomeNzima-lp4ql10 ай бұрын
Wamecdwa wa kasima
@benedictinestory145411 ай бұрын
Huyooooooo swali kashindwa
@yusuphmussa554 Жыл бұрын
Tuliosoma gesture tunaelewa
@user-hk8gi8rn2y Жыл бұрын
The
@mohfadhaTv Жыл бұрын
Halafu Hawa siyo waislam 😂😂
@111dudi Жыл бұрын
Mmemzimia mic Mazinge ili jibu lake lisisike.ujanja wa wakristo daima
@111dudi Жыл бұрын
Swali.Vipi mungu amuue mwanae wa pekee kwa ajili ya makosa ya shetani, badala ya kumuua shetani?
@raymondkiwale-tu1iy Жыл бұрын
Mazinge jibu swali acha propaganda.
@thomasaimuiah9906 Жыл бұрын
Usifiche tofauti iliyo pale
@thomasaimuiah9906 Жыл бұрын
Nilitamani sana kusikia kutoka Kwako ndugu lakini nimeishiwa na nguvu. Hawa huwezi waleta pamoja. Hizi dini zote haiwezi zikawa sawa. Ufanyacho hakiwezekani kamwe.
@fareidykugwile3998 Жыл бұрын
Hakuna Aya iliosema moja kwa moja kwamba ukristo Ni dini ya mungu
@gilbertwes529 Жыл бұрын
Ikiandikwa ndo nini iwe sasa wakati uislamu ni dini yake Mohammed tu kawafunga macho nyie hamuoni
@SalmaAbdul-zz7dy Жыл бұрын
@@gilbertwes529 uislamu ni dini ya mwenyezimungu mungu Quran 3:19 Na wewe toa andiko la biblia ukristo ni dini ya .mungu
@gilbertwes529 Жыл бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy mwenyezi Mungu yupi Allah sio Mungu wa wa Israel wajua ivo Allah ni miungu waliowaabudu waarabu kitambo jielimishe bro na dini ni njia hio ndo maana ya dini alosema yeye ndio njia ya kweli twamjua ni nani Kristo jibu lako hilo
@SalmaAbdul-zz7dy Жыл бұрын
@@gilbertwes529 toa andiko kuwa Allah ni mungu waloabudu waarabu na ukristo ni dini ya mungu Kwanza Allah Hana udhaifu kama mungu wako wa bandia
@gilbertwes529 Жыл бұрын
@@SalmaAbdul-zz7dy Nenda ukasome kuran bro inasemaje dini zilizo tangulia ni gani wacha kurudia maswali yakipuzi ya mashekh wenu ilhali Quran inasema uyahudi na ukristo ni dini za Mungu zilizo tangulia ama waogopa kufikiria, alafu toa andiko alafu nakushauri uende uangalie maana ya neno dini ni nn ndo uje ulize Hilo swali lako mana naona ni kaa ambae hujui maana ya dini ni nn
@RamadanPaul Жыл бұрын
Achen kupondea dini msiyoijua hakuna dini inayo amini Mungu mmoja tofaut na uislam ,,, na yesu ni nabii wa mwenyez Mungu sio mungu.... Na anae stahili kuabudiwa ni Mungu sio yesu yesu ni mtume wa mwenyez Mungu
@cabylake2320 Жыл бұрын
Asalm alaykum mbona sauti akuna masheikh wameshidwa kivp yani Imani yangu imani Yang inanituma kama wameweza masheikh wetu Allah awazidishie umri 🤲🤲🤲
@mwashambamakame4435 Жыл бұрын
Hajajibu swali mbona,.... Namsaidia ebu asome 39 :22 QUR-AN achane na ukiristo
@ahmadamwawalo5651 Жыл бұрын
Nilifikiri limeshinda kweli kumbe sauti haitoki . Basi ingeandikwa ivi. Swali lililotolewa sauti wakati wakujibu Habib Mazinge
@bentajay8973 Жыл бұрын
Lies of the devil Arabs are not ethnic groups but it means people of the desert There is no geological evidence that Muhammed came from the lineage of Ishmael
@salehsuleiman1218 Жыл бұрын
Uislam ndio Dini ya kweli na Qur an ndio kitabu chenye uongofu kwa jamii
@kostansiandunguru1507 Жыл бұрын
Fine
@josephhjackson76322 жыл бұрын
Mungu alisaidie kanisa lake (SDA) kwa kazi nzuri
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Kipindi kizuri ila mafundi mitambo mmeharibu
@noorbinmohamed88772 жыл бұрын
Sauti wapi anko
@mohammedrajabumwamba13222 жыл бұрын
Wakristo Hawana maswali yakuwashida Waisilam Hatasiku MOJA acheni kupotoa ktk Title
@shabanzunguozil78202 жыл бұрын
Sheikh wa mchongo huyo
@africrowd45592 жыл бұрын
Sema dunia ya Sasa hivi tunakufulu Mungu alikuwepo TOKA zamani Sasa mbona manabii hawakuelezwa kwa Kuna Mungu anaitwa yesu jamani imani zenu mbona zinawafanya mumfanye Mungu kuwa anawashilika tumtukuze yeye peke yake yesu alikuwa ni nabii tu
@Stayawayfromislam22 жыл бұрын
Wa islam ni wa ignorant. Allah's Messenger (Allah pray on him and salute him) said, "If a man and a woman agree to share the bed their time should last for three nights, and if they like to con- tinue (their sexual practice), they can do so; and if they want to separate, they can do so." Sahih al-Bukhari 5119. This is a religion of LUST. manuscript exposing the founder of Islam Book of Musnad Ahamad, the 10 who've been promised to go to heaven hadith number 26837 (Holy Hadith). The prophet said: "Allah created Adam on the time of his creation, and he hit him on his right shoulder therefore the race of the white people came to existence as pearls, and He(Allah) hit the left shoulder (of Adam) therefore the black race came to existence as if they are volcano Charcoal, and then He said to the one on the right those are in the right side(the white race) you enter paradise and I don't care, and he said to the those in his left(the black race) hand you go to hell fire and I don't care" sasa nyie watu weusi Quran yenyewe imesema mtahenda motoni na wazungu mbinguni lakini bado na ujinga wote mnamshangilia Muhammad
@ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын
Mashallah wislam raha kabisa
@anumuddy39632 жыл бұрын
Mme pangana nyie wenyewe waisilam nyie ndowa pinga krsto tuli kwisha ambia ila siku ya mwisho magoti mtapiga
@shalommdolindo97752 жыл бұрын
Unashndwa upambane kwenda mbingun unakmbzana na siku sa ibada ngoja kitaeleweka tu inachekesha sana kzaz cha leo
@rbagha52802 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@isyokyusa51972 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa hekima uliyo nayo
@rbagha52802 жыл бұрын
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
@abeidmrengaofficial17922 жыл бұрын
What u have said it make sense. May Allah grant us understanding. Greetings from capetown Rsa.
@RodgersMae Жыл бұрын
Ikiwa utume wa Mohamed ni wizi wa aya za bibilia nabii alie umi bt Torati alio iba 18:18-20 Mohammed akakufa kudhihirisha ule wizi yan uongo
@elsoody88682 жыл бұрын
Naah hamn swaly gumu apo...hamjamuelew ndio shida🙌
@naimamwambe16052 жыл бұрын
Chanel kama hizi za kuandika uongo kwenye mambo ya dini zingekuwa zinafungiwa shwain kabisa kichwa Cha habari waongo kabisa
@bashirabdalla28432 жыл бұрын
Mbona Mme poteza sauti ama tusipate ukweli ndio maanake subhana Allah
@paulkaranja30992 жыл бұрын
Jesus is God
@mwichandemuyinga60072 жыл бұрын
Penye ukweli uongo hujitenga asante
@busindevyote35192 жыл бұрын
Mijadala hii naipenda sana.
@jacoblongo68142 жыл бұрын
Sauti hakuna ila jamaa naona wanahangaika tu hawana jipya
@morinyoparks80732 жыл бұрын
Waislamu hamna point nyie mmejidanganya na mwaona aibu kutoka kwa dini iliyoko ya dunia
@muryangoissa7942 жыл бұрын
Washamba mnakata sauti panya nyie
@mukrimmohd89542 жыл бұрын
Toa aya inayothibitisha ukristo dini
@hijatumbo87092 жыл бұрын
Wakristo wakiuliza swali nje ya mada na wakajibiwa sema mda wa Mazinge uliisha.
Пікірлер
Wanapaswa wawaulize wakristo na mayahudi watapata kufunguliwe af mabishano yataisha amen
Mmekata nyaya ili sauti isitoke mmeshindwa kujibu tu
Mungu Yuko upande wetu kina la bwana libalikiwe
Always mazinge jembe
Mazinge kapata kibano na ndancha 😂😅😅
Ni mnyazi Mungu au mwenyezi Mungu?
Mkirugenzi Mariamu nakupa big up
Sas mbon kakata saut
Wamecdwa wa kasima
Huyooooooo swali kashindwa
Tuliosoma gesture tunaelewa
The
Halafu Hawa siyo waislam 😂😂
Mmemzimia mic Mazinge ili jibu lake lisisike.ujanja wa wakristo daima
Swali.Vipi mungu amuue mwanae wa pekee kwa ajili ya makosa ya shetani, badala ya kumuua shetani?
Mazinge jibu swali acha propaganda.
Usifiche tofauti iliyo pale
Nilitamani sana kusikia kutoka Kwako ndugu lakini nimeishiwa na nguvu. Hawa huwezi waleta pamoja. Hizi dini zote haiwezi zikawa sawa. Ufanyacho hakiwezekani kamwe.
Hakuna Aya iliosema moja kwa moja kwamba ukristo Ni dini ya mungu
Ikiandikwa ndo nini iwe sasa wakati uislamu ni dini yake Mohammed tu kawafunga macho nyie hamuoni
@@gilbertwes529 uislamu ni dini ya mwenyezimungu mungu Quran 3:19 Na wewe toa andiko la biblia ukristo ni dini ya .mungu
@@SalmaAbdul-zz7dy mwenyezi Mungu yupi Allah sio Mungu wa wa Israel wajua ivo Allah ni miungu waliowaabudu waarabu kitambo jielimishe bro na dini ni njia hio ndo maana ya dini alosema yeye ndio njia ya kweli twamjua ni nani Kristo jibu lako hilo
@@gilbertwes529 toa andiko kuwa Allah ni mungu waloabudu waarabu na ukristo ni dini ya mungu Kwanza Allah Hana udhaifu kama mungu wako wa bandia
@@SalmaAbdul-zz7dy Nenda ukasome kuran bro inasemaje dini zilizo tangulia ni gani wacha kurudia maswali yakipuzi ya mashekh wenu ilhali Quran inasema uyahudi na ukristo ni dini za Mungu zilizo tangulia ama waogopa kufikiria, alafu toa andiko alafu nakushauri uende uangalie maana ya neno dini ni nn ndo uje ulize Hilo swali lako mana naona ni kaa ambae hujui maana ya dini ni nn
Achen kupondea dini msiyoijua hakuna dini inayo amini Mungu mmoja tofaut na uislam ,,, na yesu ni nabii wa mwenyez Mungu sio mungu.... Na anae stahili kuabudiwa ni Mungu sio yesu yesu ni mtume wa mwenyez Mungu
Asalm alaykum mbona sauti akuna masheikh wameshidwa kivp yani Imani yangu imani Yang inanituma kama wameweza masheikh wetu Allah awazidishie umri 🤲🤲🤲
Hajajibu swali mbona,.... Namsaidia ebu asome 39 :22 QUR-AN achane na ukiristo
Nilifikiri limeshinda kweli kumbe sauti haitoki . Basi ingeandikwa ivi. Swali lililotolewa sauti wakati wakujibu Habib Mazinge
Lies of the devil Arabs are not ethnic groups but it means people of the desert There is no geological evidence that Muhammed came from the lineage of Ishmael
Uislam ndio Dini ya kweli na Qur an ndio kitabu chenye uongofu kwa jamii
Fine
Mungu alisaidie kanisa lake (SDA) kwa kazi nzuri
Kipindi kizuri ila mafundi mitambo mmeharibu
Sauti wapi anko
Wakristo Hawana maswali yakuwashida Waisilam Hatasiku MOJA acheni kupotoa ktk Title
Sheikh wa mchongo huyo
Sema dunia ya Sasa hivi tunakufulu Mungu alikuwepo TOKA zamani Sasa mbona manabii hawakuelezwa kwa Kuna Mungu anaitwa yesu jamani imani zenu mbona zinawafanya mumfanye Mungu kuwa anawashilika tumtukuze yeye peke yake yesu alikuwa ni nabii tu
Wa islam ni wa ignorant. Allah's Messenger (Allah pray on him and salute him) said, "If a man and a woman agree to share the bed their time should last for three nights, and if they like to con- tinue (their sexual practice), they can do so; and if they want to separate, they can do so." Sahih al-Bukhari 5119. This is a religion of LUST. manuscript exposing the founder of Islam Book of Musnad Ahamad, the 10 who've been promised to go to heaven hadith number 26837 (Holy Hadith). The prophet said: "Allah created Adam on the time of his creation, and he hit him on his right shoulder therefore the race of the white people came to existence as pearls, and He(Allah) hit the left shoulder (of Adam) therefore the black race came to existence as if they are volcano Charcoal, and then He said to the one on the right those are in the right side(the white race) you enter paradise and I don't care, and he said to the those in his left(the black race) hand you go to hell fire and I don't care" sasa nyie watu weusi Quran yenyewe imesema mtahenda motoni na wazungu mbinguni lakini bado na ujinga wote mnamshangilia Muhammad
Mashallah wislam raha kabisa
Mme pangana nyie wenyewe waisilam nyie ndowa pinga krsto tuli kwisha ambia ila siku ya mwisho magoti mtapiga
Unashndwa upambane kwenda mbingun unakmbzana na siku sa ibada ngoja kitaeleweka tu inachekesha sana kzaz cha leo
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Mungu akubariki sana kwa hekima uliyo nayo
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
What u have said it make sense. May Allah grant us understanding. Greetings from capetown Rsa.
Ikiwa utume wa Mohamed ni wizi wa aya za bibilia nabii alie umi bt Torati alio iba 18:18-20 Mohammed akakufa kudhihirisha ule wizi yan uongo
Naah hamn swaly gumu apo...hamjamuelew ndio shida🙌
Chanel kama hizi za kuandika uongo kwenye mambo ya dini zingekuwa zinafungiwa shwain kabisa kichwa Cha habari waongo kabisa
Mbona Mme poteza sauti ama tusipate ukweli ndio maanake subhana Allah
Jesus is God
Penye ukweli uongo hujitenga asante
Mijadala hii naipenda sana.
Sauti hakuna ila jamaa naona wanahangaika tu hawana jipya
Waislamu hamna point nyie mmejidanganya na mwaona aibu kutoka kwa dini iliyoko ya dunia
Washamba mnakata sauti panya nyie
Toa aya inayothibitisha ukristo dini
Wakristo wakiuliza swali nje ya mada na wakajibiwa sema mda wa Mazinge uliisha.