JE. NI NANI ALIITIA MIKONO TORATI? MAJIBU KWA DR. SULLE 04
Bbilia ni kitabu pekee ambacho katika Historia ya dunia kimekuwa na mvuto mkubwa kwa ma millioni ya watu. Wengi wamebadirika maisha yao kutoka watu wakorofi, majambazi, makahaba na kuwa watu wema katika jamii. Kitabu hiki kimekuwa tumaini kwa wengi pale walipokosa tumaini. Wengi wamepoteza maisha yao kwa sababu ya kuamini Biblia, wamehukumiwa kifungo kwa sababu ya Biblia. Hata hivyo wapo wengi wapinzani wa kitabu hiki pia. Kitabu hiki kimepitia changamoto nyingi kutoka kwa wapinzani wake, lakini licha ya changamoto hizo, kinasimama imara hata leo kikivuta usikivu wa maelfu ya watu. Hivi Karibuni kumekuwa na mafundisho yanayoenea mitandaoni juu ya upinzani wa Biblia. Video hii ni ya kwanza katika mfululizo wa uchambuzi wa mada hizo na majibu ya maswali mengi yanayoulizwa juu ya Biblia. Usiache ku Subscribe na kushare na marafiki na endelea kufuatilia mada hizi.
Пікірлер: 4
Kazi njema wapendwa
Barikiweni sana. Naamini wengi watafunguliwa ufaham
Barikiwa sana watumishi huyo sule anaongea vitu vingi lakini akichanganya maana halisi.
Waongo nyinyi