SIRI IMEMSHINDA NASSOR | WANASIMBA KILIO CHENU KINAKUJA | MNAJUA INONGA ALIUZWA KWENDA TIMU GANI? 😂😂
Жүктеу.....
Пікірлер: 22
@mussalimbe667316 сағат бұрын
YANGA kusajili MAKOMBO WALIOACHWA NA SIMBA
@mohdyussah82514 сағат бұрын
Makolo Vilaza sana
@chillogeorge138319 сағат бұрын
Kwa simba, msimu huu ujao, kwao, naufananisha na ule msimu injinia hersi alipowaambia wanayanga kuwa wakiukosa ubingwa aulizwe yeye...
@user-lr6kf6bf9l19 сағат бұрын
Vyuma vimeshuka ,Tafuta Mzee said
@athmanimkangara929016 сағат бұрын
Wananchi wanasajili maduka yao
@kingochee8819 сағат бұрын
Kaka chagamba Leo mzee said vp au mda wake bado
@bone10219 сағат бұрын
Watu wa Yanga wajinga sana Ahly kashaenda shirikisho tena mwaka 2014 hivi hawa watu wa Yanga mpira wanaujua kweli😂😂
@omarymwenebatu19 сағат бұрын
Marahoo tutaamia ligi ya Zanzibar ndowaohao UTOPOLO
@evansmoshi192319 сағат бұрын
Broo wewe ropoka2 ila ngojea tupewe kijiti
@raymondsekabigwa590719 сағат бұрын
Kama alitusaliti unadhani hatawaliza Yanga? Hatujali wewe
@evansmoshi192319 сағат бұрын
Mtaongea sana ila hapa tz ubimgwa huwa tupokezanakijiti, saiv najua nizamu ya yanga ila simba tukipewa kijiti yan ikifika zamu yetu, hapo yanga ata aje haland bado tutafumua kila kitu.
@sakinasakina128619 сағат бұрын
wambie hayo mizige ya jangwani yasijujuwa hayo mijinga vyura fc
@nurdinmfamau349319 сағат бұрын
Hivyo Vyuma Vilivoshuka Mnaenda Kuteneza Wapi.
@saidihaibe237519 сағат бұрын
Yusuf manji ndio kibopa wa kwanza east Africa kununua game ya mpira washabiki kuingia Bure apewe maua yake inataka moyo si tajiri yoyote anaweza
Пікірлер: 22
YANGA kusajili MAKOMBO WALIOACHWA NA SIMBA
Makolo Vilaza sana
Kwa simba, msimu huu ujao, kwao, naufananisha na ule msimu injinia hersi alipowaambia wanayanga kuwa wakiukosa ubingwa aulizwe yeye...
Vyuma vimeshuka ,Tafuta Mzee said
Wananchi wanasajili maduka yao
Kaka chagamba Leo mzee said vp au mda wake bado
Watu wa Yanga wajinga sana Ahly kashaenda shirikisho tena mwaka 2014 hivi hawa watu wa Yanga mpira wanaujua kweli😂😂
Marahoo tutaamia ligi ya Zanzibar ndowaohao UTOPOLO
Broo wewe ropoka2 ila ngojea tupewe kijiti
Kama alitusaliti unadhani hatawaliza Yanga? Hatujali wewe
Mtaongea sana ila hapa tz ubimgwa huwa tupokezanakijiti, saiv najua nizamu ya yanga ila simba tukipewa kijiti yan ikifika zamu yetu, hapo yanga ata aje haland bado tutafumua kila kitu.
wambie hayo mizige ya jangwani yasijujuwa hayo mijinga vyura fc
Hivyo Vyuma Vilivoshuka Mnaenda Kuteneza Wapi.
Yusuf manji ndio kibopa wa kwanza east Africa kununua game ya mpira washabiki kuingia Bure apewe maua yake inataka moyo si tajiri yoyote anaweza
mitahira ya yanga utayajuwa tu