SIMBA INAPITISHA FAGIO LA CHUMA/WACHEZAJI WENGI TUNAACHANA NAO/ SIMBA INAREJEA KWENYE UFALME

#MICHEZO:"Msimu ujao Simba anarejea kwenye ufalume wake, mpaka sasa ambao tumeachana nao ni wachezaji watano, lakini bado wachezaji wengine zaidi tunakwenda kuachana nao, wapo wengine tunakwenda kuachana nao ambao bado wana mkataba" Ahmed Ally - Meneja Habari na Mawasiliano Simba SC.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania

Пікірлер

    Келесі