USAJILI WA LAMECK LAWI WAZUA GUMZO SIMBA | DOCTOR MOHAMED AFAFANUA JANJAJANJA YA COASTAL UNION.

Спорт

Пікірлер: 37

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038Ай бұрын

    Ka fei toto vile 😮😮 mama kasaidie haka katoto 🙏🙏🙏

  • @erickprotace9463
    @erickprotace946319 күн бұрын

    Waandishi mnajadili tukio lilivyoenda kuhusu LAMECK LAWI, inajulikana makubaliano yalikuwepo mnashindwa kuelimisha na kuelezea juu ya njia za kusitisha makubaliano kama zilifatwa kwa mashabiki. Kama walivyofanya coastal ndo hivyo haina haja ya kujadili mengi. Elimisha mwisho wa makubaliano na si walizingumza vipi.

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8tАй бұрын

    Tatizo LA simba ndiy mahana wanatolew wachesaji

  • @LeonorahLeonorah
    @LeonorahLeonorahАй бұрын

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    💕

  • @NassibuMussa-lu3vf
    @NassibuMussa-lu3vfАй бұрын

    Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188Ай бұрын

    Washanunuliwa na gsm hao control union

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    😂😆

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig23 күн бұрын

    Usiwe unaojiwa na midia za kisenge kama hzo ambazo Wala hazjulikani tz hapa

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749Ай бұрын

    Costal waache matamaa

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    🤣😂

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dqАй бұрын

    pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba

  • @msemakweli...
    @msemakweli...Ай бұрын

    Hata utambulisho wenyewe ukiwa na akili timamu utaelewa tu kuna vitu haviko sawa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842Ай бұрын

    Tamaa za Coastal Union zitawaponza mbona Bakari Nondo Mwamnyeto hakulipwa mbaka mwaka mzima ukakata why kwa Simba iwe kesi embu punguzeni tamaa

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    Kumbe

  • @khamismohammed7500

    @khamismohammed7500

    Ай бұрын

    Kwahio kila siku mnataka kuwachezea coastsl kuwaibia wachezsji wao

  • @msemakweli...

    @msemakweli...

    Ай бұрын

    Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dqАй бұрын

    mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho

  • @ramadhanichaurembokahunge
    @ramadhanichaurembokahungeАй бұрын

    Doctor mo uajua kujibu

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    🤣😂

  • @sakinasakina1286

    @sakinasakina1286

    Ай бұрын

    wewe nawe kafie mbele hajui kujibu hapo linajibu tako lako

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Ай бұрын

    ​@@sakinasakina1286LUGHA GONGANA 😂😂😂😂 ISOME TENA COMENT YAKE.

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503Ай бұрын

    KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2hАй бұрын

    Sasa huyo naye wakuhojiwa?.

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551Ай бұрын

    Coastal union wanajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe ...... Tamaa mbaya sana

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    🤣😂

  • @ismailmohamed502
    @ismailmohamed502Ай бұрын

    Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja

  • @msangya60manyanki27
    @msangya60manyanki27Ай бұрын

    kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    😂😆

  • @godfreymabula6858
    @godfreymabula6858Ай бұрын

    Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂

  • @ismailhassan5209

    @ismailhassan5209

    Ай бұрын

    Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano Haya we yamekuzidi funga domo lako

  • @saidalbakry1990

    @saidalbakry1990

    Ай бұрын

    😮​@@ismailhassan5209r800

  • @valentinemagige1840
    @valentinemagige1840Ай бұрын

    Utakulaje keki uliokwisha kuiuza?

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    😂😆

  • @BakarKhamis-iy8fh

    @BakarKhamis-iy8fh

    Ай бұрын

    Je unajua Simba lengolao 2024na2025

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5jАй бұрын

    Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule

  • @msntanzania

    @msntanzania

    Ай бұрын

    Big up

Келесі