KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Жүктеу.....
Пікірлер: 67
@EliasSoggy2 ай бұрын
Nilichogundua jamaa ametambua mahitaji ya timu coz viongozi wamechemka so mi naona very good safi mchungaji.
@Hussein-cx3zt2 ай бұрын
Kweli mushikamano Doo unajega timu wew nimuzaledo wakweli simba
@IssaHussen-qb8kzАй бұрын
Kweli mungu ananmendelea kua upande wetu Kam itakua kweli kk nakubali san😊
@coolsinare8824Ай бұрын
mgunda apewe team alipwe vizuri,benchi zito halafu apimwe angalau nusu msimu
@sekrommbaga62342 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi
@leonardlunguya7112Ай бұрын
Mchungaji nakuunga mkono Kwa hoja zako nyingi lakini Kwa habari ya Try Again na Mangungu kusalia Simba HAPANA.Mbadala wa Try Again ni Magoli na Mangungu mbadala wapo wengi tuvakiwemo aliyedhulumiwa kwenye uchaguzi
@user-yw7uu6mc3mАй бұрын
Na we boya simba timu kubwa haiwezi kosa wawekezaji
@user-bb8de4bl5n2 ай бұрын
Jamaa ni mkweli sanaaaa
@user-pj4mx2ro4h2 ай бұрын
Mchungaji katika kitu umeongea sawa kwenye historia ya simba ni wachezaji wa east africa ndio wameifikisha simba kwenye ubora wa hali ya juu sanaaa.na hata mie nimekuwa nikifikiria kwamba ili simba irudi ni lazima tuwatumie wachezaji wengi wa tanzania,kenya na uganda.maana yake simba inahitaji kuwa na watu ambao wanajua historia ya simba.bila hivyo simba haiji kuwa kama ilivyokuwa kipindi cha akina okwi,kahata,fransis fraga,kina kotei,john bocco na wngine wengii
@bedomgwalupogo2652Ай бұрын
Simba sc hata msajili vipi hamuwezi kufanya lofoten bila kubadili mfumo wa kutoka guest kwenda mazoezini na vile vile kidudu mtu kocha matola.... tutazomewa sana mitaani kuangalia yanga iko kambini muda mrefu sana miaka mitano
@athuman74802 ай бұрын
Unamaono mazuri lakn kitendo cha kuwakumbatia mangungu na try again nakuona boya tu
@user-yh3dv2bl7uАй бұрын
Mm kwamaono yangu umefanya vizur ishu wawe wachezaji wanao pambana wenye viwango vya juu wasje kujalibu tutashukuru kwakuliona hilo
@user-lr2ff5mp5tАй бұрын
Braza turete wachezaji ila ombilangu kocha to awape nafasi ao wachezaji utakao warete braza man wapigaji wengi
@muridundhikri2 ай бұрын
Huyu sjui kaletwa awatetee viongozi kwa kisingizio cha kuleta wachezaji
@nascoba97472 ай бұрын
Huyo winga alikuwa anaitwa Mack sirengo
@yusufsong79932 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢 viongozi wa simba wabovu mtaienda kujifunza nini
@johnurassa32092 ай бұрын
Nenda na Uganda pia uivunje vippers, Villa, na KCC
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤❤
@BarakaMwaikenda-ty1btАй бұрын
Akina Try again wangekuwa na uzalendo wa uyu kweli tungefika mbali wana Simba
@yusufsong79932 ай бұрын
Utulivu miaka mitatu
@user-vb8ki3jo9tАй бұрын
Kusema nimuhimu sana iliwatu wajuwe kuwa kunawazalendo wakweli ndani ya vilabu vyetu
@yusufsong79932 ай бұрын
Kwa Try again ata mini naongoza vzuri
@leonardlunguya7112
Ай бұрын
Ni kweli kabisa Try Again atupishe
@yusufukim84392 ай бұрын
Wachezaji wa makundi hatutaki tunataka wachezaji kuwe na mfumo maalumu wa usajili hio ni Timu sio Ndondo Cup
@user-lr2ff5mp5t
Ай бұрын
Kama tasisi yako imeshindwa kuleta wachezaj uhuu mwak wa tatu naubingwa atuja pat ulitemea wanachm wafanye nn nyie ndo mamruki inaopenda kuona simba ina teke tea pumbavu ww
@yusufukim8439
Ай бұрын
Viongozi ndio wenye shida sasa angalia kufukuzwa Kwa Makocha, usajili unaanza kocha hayupo hata kila mtu akileta mchezaji wake nanma ya kuwa manage hao wachezaji ni ngumu sana ndio maana tunahitaji uongozi bora
@allygoodboytzsdoneintanzan3970Ай бұрын
kaka Upo sawa
@stellaassaa7141Ай бұрын
Yanga walijufunza kwetu so Sisi hatuna cha kujifunza kwao Ila tunatafuta kingine kitakachotuvusha hapa tulipofikia
@user-sy3mj5gh5gАй бұрын
Timu Ina uongoz ni vyema ukawakaribu na uongoz ili maoni na wazo lako liwe ktk utaratibu ucije kutufikisha pabaya hata ndoa huanza kwa Amani nyingine hua na ubaya baadae ,,,wazo zuri ila cio ndondo Cup
@user-sy3mj5gh5gАй бұрын
Wana Simba tuchangie mawazo magumu ila yenye kujenga timu tucije tukaumia Tena... muda tunao jmn
ok kaka pambanana ila kwa wabongo wakifel wabongo unawajua
@AmourKingungeАй бұрын
Sawa
@DenisLeonard-ex3qg2 ай бұрын
Having uyujamaa anawachezaji kweri au niware waking jobe wasituokotee wachezaji, yani simba wanahifanya kama danguro
@athmanimkangara92902 ай бұрын
Tatizo Simba ni uongozi
@urban_selectАй бұрын
Tuko pamoja nae
@charleskuyeko4400Ай бұрын
Acheni kumpa sifa asizostahili. Huyu hata robo ya Hancepope hana. Elimu hana. Kazi yake kubwa ni kuisifia yanga. Inaelekea huyu jamaa muda mrefu alikuwa yanga ndiyo maana anawafagilia kila wakati. Ni mwaka huu tu tumeanza kumwona Simba. Simba hata mfanye jambo gani zuri hakuna mwanachama au Shabiki wa yanga atakayewasifia. Siku hizi kuna akina Mchome wengi kwa style mbalimbali.
@user-yr4pv2vj7mАй бұрын
Wewe chawa wa mangungu
@user-tr9me7ey2n2 ай бұрын
Mung akubalik
@josephbufu1363Ай бұрын
Kama nimekuelewe kwa wachezaji wa ndani kama namba 8 ya Tabora Ile namba nyumbufu sana naielewa
Wewe mpira hujui, Azam ndo waluwaacha Yanga wacheze Zaidi ya 65% ya mchezo umechezwa langoni Kwa azam
@michaelmbeti5040Ай бұрын
Hata dilunga
@SuleimanIbrahim-lp7qsАй бұрын
Mx serengo mkenya
@user-bb8de4bl5n2 ай бұрын
Jamaa huyu ni kiboko hana mfano
@JulianaJaphethmwakililoАй бұрын
Kahata
@stellaassaa7141Ай бұрын
Sasa wewe umependekeza au umechukua wachezaji, Mgunda anasemaje
@stellaassaa7141Ай бұрын
Au huyu mamluki
@charleskuyeko44002 ай бұрын
Ulipaswa kushirikisha Uongozi kabla ya kwenda kutafuta Wachezaji ili wakubali na wakueleze mahitaji ya klabu yakoje. Lakini kitendo cha kujiamlia kwenda kusajili bila ruhusa, umepigwa. Labda kama umewaleta wafanye majaribio.
@jonamnyone8014
2 ай бұрын
Mimi sidhani kama amelazimisha wachezaji wake wasajiliwe. Uongozi wawatathmini kama wanaviwango na wanafaa.
@maulidmango1087
2 ай бұрын
Ligi ya kenya au Uganda,haina mchezaji wa kuisaidia simba
@chuchufplatnumz4888
2 ай бұрын
@@maulidmango1087unazifatilia lakini?
@abudalaabdumalik9362
2 ай бұрын
Fiatilia mpira
@JosephEmmanuel-eb7gj
2 ай бұрын
Sas si bora maisha iki wasajili maan viongozi pia wanasajili hovyohovyo😅😅😅
@user-st8hd9iq4o2 ай бұрын
Embu toka hpa mo AFUKUZE mangngu na tryageni fasta aweke wengine wenye akili
@ChandeMuinde-zs6rj
Ай бұрын
Coment yako 0000001
@EmanuelMwambu2 ай бұрын
Safi Sana ungewataja majina .
@stellaassaa7141Ай бұрын
Kwani Yanga wewe unawaogopa?? Unawaogopea nn mbona a kawaida sana
Пікірлер: 67
Nilichogundua jamaa ametambua mahitaji ya timu coz viongozi wamechemka so mi naona very good safi mchungaji.
Kweli mushikamano Doo unajega timu wew nimuzaledo wakweli simba
Kweli mungu ananmendelea kua upande wetu Kam itakua kweli kk nakubali san😊
mgunda apewe team alipwe vizuri,benchi zito halafu apimwe angalau nusu msimu
Uko vizuri kiongozi
Mchungaji nakuunga mkono Kwa hoja zako nyingi lakini Kwa habari ya Try Again na Mangungu kusalia Simba HAPANA.Mbadala wa Try Again ni Magoli na Mangungu mbadala wapo wengi tuvakiwemo aliyedhulumiwa kwenye uchaguzi
Na we boya simba timu kubwa haiwezi kosa wawekezaji
Jamaa ni mkweli sanaaaa
Mchungaji katika kitu umeongea sawa kwenye historia ya simba ni wachezaji wa east africa ndio wameifikisha simba kwenye ubora wa hali ya juu sanaaa.na hata mie nimekuwa nikifikiria kwamba ili simba irudi ni lazima tuwatumie wachezaji wengi wa tanzania,kenya na uganda.maana yake simba inahitaji kuwa na watu ambao wanajua historia ya simba.bila hivyo simba haiji kuwa kama ilivyokuwa kipindi cha akina okwi,kahata,fransis fraga,kina kotei,john bocco na wngine wengii
Simba sc hata msajili vipi hamuwezi kufanya lofoten bila kubadili mfumo wa kutoka guest kwenda mazoezini na vile vile kidudu mtu kocha matola.... tutazomewa sana mitaani kuangalia yanga iko kambini muda mrefu sana miaka mitano
Unamaono mazuri lakn kitendo cha kuwakumbatia mangungu na try again nakuona boya tu
Mm kwamaono yangu umefanya vizur ishu wawe wachezaji wanao pambana wenye viwango vya juu wasje kujalibu tutashukuru kwakuliona hilo
Braza turete wachezaji ila ombilangu kocha to awape nafasi ao wachezaji utakao warete braza man wapigaji wengi
Huyu sjui kaletwa awatetee viongozi kwa kisingizio cha kuleta wachezaji
Huyo winga alikuwa anaitwa Mack sirengo
😢😢😢😢😢😢 viongozi wa simba wabovu mtaienda kujifunza nini
Nenda na Uganda pia uivunje vippers, Villa, na KCC
SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤❤
Akina Try again wangekuwa na uzalendo wa uyu kweli tungefika mbali wana Simba
Utulivu miaka mitatu
Kusema nimuhimu sana iliwatu wajuwe kuwa kunawazalendo wakweli ndani ya vilabu vyetu
Kwa Try again ata mini naongoza vzuri
@leonardlunguya7112
Ай бұрын
Ni kweli kabisa Try Again atupishe
Wachezaji wa makundi hatutaki tunataka wachezaji kuwe na mfumo maalumu wa usajili hio ni Timu sio Ndondo Cup
@user-lr2ff5mp5t
Ай бұрын
Kama tasisi yako imeshindwa kuleta wachezaj uhuu mwak wa tatu naubingwa atuja pat ulitemea wanachm wafanye nn nyie ndo mamruki inaopenda kuona simba ina teke tea pumbavu ww
@yusufukim8439
Ай бұрын
Viongozi ndio wenye shida sasa angalia kufukuzwa Kwa Makocha, usajili unaanza kocha hayupo hata kila mtu akileta mchezaji wake nanma ya kuwa manage hao wachezaji ni ngumu sana ndio maana tunahitaji uongozi bora
kaka Upo sawa
Yanga walijufunza kwetu so Sisi hatuna cha kujifunza kwao Ila tunatafuta kingine kitakachotuvusha hapa tulipofikia
Timu Ina uongoz ni vyema ukawakaribu na uongoz ili maoni na wazo lako liwe ktk utaratibu ucije kutufikisha pabaya hata ndoa huanza kwa Amani nyingine hua na ubaya baadae ,,,wazo zuri ila cio ndondo Cup
Wana Simba tuchangie mawazo magumu ila yenye kujenga timu tucije tukaumia Tena... muda tunao jmn
Viongo hao wakuwakata wachezaji mishahara bado mmewa n'gan'gani wanini minawasifu yanga wanamaamuzi Simba midomo imezidi hakunalamaana
Uko vizuli hiyo ndiyo zana.ya nguvu mojaa
ok kaka pambanana ila kwa wabongo wakifel wabongo unawajua
Sawa
Having uyujamaa anawachezaji kweri au niware waking jobe wasituokotee wachezaji, yani simba wanahifanya kama danguro
Tatizo Simba ni uongozi
Tuko pamoja nae
Acheni kumpa sifa asizostahili. Huyu hata robo ya Hancepope hana. Elimu hana. Kazi yake kubwa ni kuisifia yanga. Inaelekea huyu jamaa muda mrefu alikuwa yanga ndiyo maana anawafagilia kila wakati. Ni mwaka huu tu tumeanza kumwona Simba. Simba hata mfanye jambo gani zuri hakuna mwanachama au Shabiki wa yanga atakayewasifia. Siku hizi kuna akina Mchome wengi kwa style mbalimbali.
Wewe chawa wa mangungu
Mung akubalik
Kama nimekuelewe kwa wachezaji wa ndani kama namba 8 ya Tabora Ile namba nyumbufu sana naielewa
nahao wachezaji wanapendekezwa na kocha yupi
Fransis kahata pia
Simba haiwezi kuujifunza kwayanga hata siku1.hawana jambo lakuipa simba wajifunze.hiyo nimihemukoyenu tuu.Simba wana robo fainali 4 yanga 1 sasahapo nani mpumbavu?
Wewe mpira hujui, Azam ndo waluwaacha Yanga wacheze Zaidi ya 65% ya mchezo umechezwa langoni Kwa azam
Hata dilunga
Mx serengo mkenya
Jamaa huyu ni kiboko hana mfano
Kahata
Sasa wewe umependekeza au umechukua wachezaji, Mgunda anasemaje
Au huyu mamluki
Ulipaswa kushirikisha Uongozi kabla ya kwenda kutafuta Wachezaji ili wakubali na wakueleze mahitaji ya klabu yakoje. Lakini kitendo cha kujiamlia kwenda kusajili bila ruhusa, umepigwa. Labda kama umewaleta wafanye majaribio.
@jonamnyone8014
2 ай бұрын
Mimi sidhani kama amelazimisha wachezaji wake wasajiliwe. Uongozi wawatathmini kama wanaviwango na wanafaa.
@maulidmango1087
2 ай бұрын
Ligi ya kenya au Uganda,haina mchezaji wa kuisaidia simba
@chuchufplatnumz4888
2 ай бұрын
@@maulidmango1087unazifatilia lakini?
@abudalaabdumalik9362
2 ай бұрын
Fiatilia mpira
@JosephEmmanuel-eb7gj
2 ай бұрын
Sas si bora maisha iki wasajili maan viongozi pia wanasajili hovyohovyo😅😅😅
Embu toka hpa mo AFUKUZE mangngu na tryageni fasta aweke wengine wenye akili
@ChandeMuinde-zs6rj
Ай бұрын
Coment yako 0000001
Safi Sana ungewataja majina .
Kwani Yanga wewe unawaogopa?? Unawaogopea nn mbona a kawaida sana
Bogus