Siku ya 8 kati ya zile siku 10 za maangamizi ndani ya planetbongo na vinakutana vichwa viwili vya hip hop bongo..wakazi na country boy
Жүктеу.....
Пікірлер: 127
@lukoyoyojr2932 жыл бұрын
Wakazi made it very clear big up to the guy ....let him get another chance next time.
@frankmrema22895 жыл бұрын
Oyaaaaaaaa ahaaaaa yule boy cantry wiz gadafiiiiiiiiiiii
@spiritmusic38796 жыл бұрын
Nomaa!wakazi na country wamekamua mbaya freeflow na freestlye za kbabe sky level.. af nashangaa haters wanaponda nmegundua hata ushabik una level kutokana na upeo, kuna mashabik underground humu upeo mdogo kwa kujaji vitu!
@abdulrahmanilikavala73176 жыл бұрын
Tutafurahi BOSHOO akiangamiza wanaokuja hapo hawajaangamiza zaidi ya Boshoo.
@acleysteven69516 жыл бұрын
Aysee HIDARY SCODA plzzz arudishwe apoo... Before New Year
@pembesellah61064 жыл бұрын
Dah country nomaaa
@andersonsteven91546 жыл бұрын
Ni kama unadem mzur af unapiga nyeto big up xna country wizy umefunka hatareeee
@nyumbumctz26696 жыл бұрын
Safi @Wakazi
@sofyhamis86926 жыл бұрын
country katishaaaaaa mnooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mwafrikabarz45076 жыл бұрын
Word up ma nigga WAKAZI workethic, #lala mchana Kesha usiku
@cheaffundikila97276 жыл бұрын
Sijawahi kumuelewa Wakazi lakini humu amefanya kitu cha tofauti Sana nampa 🎤5....
@yusufadam49536 жыл бұрын
plez let true mc on ze battle i mean p the mc vs nikki mbishi
@EarningsEdge1016 жыл бұрын
Iii ni kali sanaa, tuwekee na ya boshooo mzee
@promramson806 жыл бұрын
Country ameua kuliko wakazi
@mnyakitz20076 жыл бұрын
Kwenye ngoma ya SONGA inaitwa #worning! anasema "utaweza kurap bongo ikiwa ulishindwa kurap Chicago..." wakaz sio mburudishaji
@muhidinkibwana6366 жыл бұрын
WAKAZI umezingua asee....kimeo sana leo
@officiallyimo6772
5 жыл бұрын
Kajitaidi
@milimomashini94326 жыл бұрын
Wakaz badooo hana swaga
@mrquality10806 жыл бұрын
Wakazi umezingua imba mistali yako.freestyle UNAZINGUAAA
@selehassan97246 жыл бұрын
wakazi bhana umezingua mzee baba
@brizyescoba90066 жыл бұрын
Boy country wizy killed it, and shout out to wakaz for a dope freestyle
@chidybwax80806 жыл бұрын
Ushabiki WA bongo wakishamba Sana hatucmami ukweli utopia really kabisa wote niwakali
@georgieskeneth72026 жыл бұрын
you all haters mnaodis what swagger bovu did..MCEE'S Wakiimba verse zao mnataka freestyle .wakazi ka freestyle i see dem haters dropping hating comments...BIG UP SWAGGER BOVU you did it well as well as country whizzy
@rajabseif2301
6 жыл бұрын
georgies keneth kaangalie freestyle ya haidaly uje u compare na hiyo
@stevensamwel75436 жыл бұрын
gadafi wa mtaa ni noma sana
@shaggyjuma15776 жыл бұрын
Wakaaaaaaaaaazzzz na countryyyyyyyy n full swaggaaaa
@masaimara37506 жыл бұрын
swagga bovu, mingi sanaa humooo😁😂😂😂😁
@jamesmoto_tz96796 жыл бұрын
wakazi amezingua sana asee oi dulla mtafte Dogo dee wa mwanza mwanza ahusike hapo mzee
@mwikaabas27636 жыл бұрын
Wakazi mbio nyingi bro flow zinakosa pozi otherwise u good
@nelsonrevocatus18756 жыл бұрын
wakazi u killin em
@kelvinkened86686 жыл бұрын
hamja zingua machaliii wakazi umeua country km kawaida ako unakiwashaga kina wakaaa
@yefterngabo21385 жыл бұрын
Wakaz respect sanaa
@salimsalum77965 жыл бұрын
Wakzi toka kkmmyo
@josephmwangomo94046 жыл бұрын
hyu country boy katishaaaaaa
@sehemunzuri6 жыл бұрын
Moto uooo
@ramatraveller97096 жыл бұрын
Country boy yo the best bro 🙌
@kajaradotto90426 жыл бұрын
wakaz kazingua bra bra nyingi km freestyle ni shida c bora arap mistar yake OG
@luki27386 жыл бұрын
country boi noma
@mickskillstechnology75116 жыл бұрын
Summer anazingua biti za kiboya,,na wakazi alikuwa anamdiss Godzilla kuchana kingereza na yy kaenda kule kule na hana lolote
@osmogangs60516 жыл бұрын
Hapa sasa Summer ndiye anayezingua..Hz beats niaje zinapigwa low kinoma...
@ibraahmapexah54186 жыл бұрын
dulla Fanya kuwaleta dizasta vinna Vs dubro Jesus au Algebra Tng Vs mad kachaa
@zackchriss94556 жыл бұрын
Ebhnaa nomaa xna country swaga A wakazi kayumba
@tumainzacharia9176 жыл бұрын
tuleteen Nikki mbishi Zohan na Zilla black zizi
@mdachiog52116 жыл бұрын
Country unajua kufree Ninja noma mastyree mengi
@milimomashini94326 жыл бұрын
Tunataka siku kablaaaa hazijaishaaa mtuleteee stereeo...dulla fanya mambo
@Cyper255
6 жыл бұрын
milimo mashini, Samahani Stereo yupo WCB hatuwezi kumpa airplay kwenye radio yetu.
@elishaworkout61165 жыл бұрын
ajeee slimsal apo asee
@rajabseif23016 жыл бұрын
Wakazi unaboa freestyle huwez we endelea kurap kingereza kiswahili unazngua
@lazarolazaro55356 жыл бұрын
😀😀😀 Country boy
@felicianbwinyende48845 жыл бұрын
Wakaz hamna kitu uyo
@tonyelshabbaz6 жыл бұрын
beat zipo chin sana ni kweli tunaitaji kusikia verses lakin beat angalau isikike ili tuone uwezo wa kunata nayo
@asjoh53906 жыл бұрын
Swaga Bovu all day🔥🔥🔥
@barakaluladya90566 жыл бұрын
Stereo wapi
@bakarikambutu48856 жыл бұрын
kwel bosho noma kila MTU anamtaka
@kulindwamakila6 жыл бұрын
Kaka tuwekee Boshoo na wakiafrika #Siku10zaMaangamizi aisee KZread itakuwa poa sana mzee
@kulindwamakila
6 жыл бұрын
ARK TV TZ Nimeona sema walichelewa kuweka.
@issamakamba55696 жыл бұрын
Wizy anaswaga hatar
@bonnysure10826 жыл бұрын
Afuh Dulah...mazingua Veepe Masera wana floo kinohma hata kushangilia budah mnazinguwa mjue... Tunawakubali 1) WakaWakazi 2) Country
@streetboy89504 жыл бұрын
ndio maana kingZallah alikuliza wakazi uwezo bado mwanangu ukifreestyle ueleweki
@faroukmdigo92376 жыл бұрын
boshoo vs wakiafrika ishawekwa ktk ukurasa wa east africa radio.
@saidmohammed48156 жыл бұрын
Kwahiyo day 6 ya boshoo hamuiweki....
@mathayomatondo4024
6 жыл бұрын
Said Mohammed ishawekwea dear
@mbwanabakary46686 жыл бұрын
stereo vs Nikki mbish
@aloycemrosso47776 жыл бұрын
Boshooo kafunika wot wakax umezingua kinom
@hammytherapper55026 жыл бұрын
wakaz umwzingua kaka
@hammytherapper55026 жыл бұрын
jamni bosho ndo nyoko wahiz kaz tanga city wasaaaa
@djunction41276 жыл бұрын
wakaz umeuwa
@nurdinahmed4226 жыл бұрын
Wakazi anazingua
@angelgaudance79426 жыл бұрын
this hw we do kwa #planetbongo ni fireee
@hbmweusisalasala2772
6 жыл бұрын
county boy umetisha sana
@mbwanabakary46686 жыл бұрын
Stereo vs Nikki mbishi
@abbymwangomile392 Жыл бұрын
Wote hakuna ki2
@Edward_Simon611 ай бұрын
Sijaelewa wakazi anaimba Nini kiukweli ndio mara ya kwanza namuona huyu jamaa anafnya pumba @wakazi
@tafawasaid47406 жыл бұрын
wakazi ametisha tuuu baaaab
@izzy76436 жыл бұрын
wakazi akale ugali hakuna kaz hapo
@mdachiog52116 жыл бұрын
Wakazi hamna kitu una free bila styreee haaaahaaa
@movahussein15326 жыл бұрын
Hilo nn halina swaga bora zizii yan zilla
@niggabasta94636 жыл бұрын
yule boy
@nickherman46 жыл бұрын
Wakazi leo kafanya chini ya Kiwango
@dericelliud5295 жыл бұрын
wakazi Yupovzur kwenye frctyle Ilaa badae anapoteza mwelekeo kabsa haelewek anachozungumzia..hyo c hphap coz hphap n maana c kuropoka nooh.
@mrjackchananashon4
5 жыл бұрын
Naomba mtrex arundishwe ndo mkal wa kumi za maangamizi
@mrjackchananashon4
5 жыл бұрын
Jackchana
@mbwanabakary46686 жыл бұрын
Stereo vs Nikki mbish
@nickherman46 жыл бұрын
Hatari tupu lkn Mleteni Nikki Mbishi na Stereo
@cabbonecs6 жыл бұрын
tuleteeni stereo
@josephmasenga7718
6 жыл бұрын
Kabo Mbishi stereo cyo mzuri kwenye free style Nikki mbish ndo king wao
@kidengatv44666 жыл бұрын
Wakazi fala tu hata usimamishwe na mm hutoboi
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Kiukweli, haikuwa hot. Afu mkiwa mnafyetua video angalieni sana kuna wengine hawakupaswa kuonekana kama huyu boya aliyevaa miwani & portable yellow hand bag hakuwa na faida hapa yeye naselfie za kisenge tu! Wa Mbwinde huyu raia.
@enockibrahim3510
6 жыл бұрын
ussikhamis ussi 🙄😂😂😂😂😂
@movieskalinaseries62326 жыл бұрын
country boi kakimbiza
@mailerajabu87446 жыл бұрын
gaaadafiiii
@movahussein15326 жыл бұрын
Kam unapenda zilla gonga like
@kajaradotto90426 жыл бұрын
bado sijamuona aliefika level za boshoo
@eliamgata39586 жыл бұрын
Swagga bovu
@brisketkidari16236 жыл бұрын
dizaster vs sterio
@ibraahmapexah5418
6 жыл бұрын
upo makn bro ......apo professor tungo vs singanga ak.a chundabad
@movieskalinaseries62326 жыл бұрын
wakazi hana uwezo ndez tuu
@wankyroshna55446 жыл бұрын
Wiz kama katisha ivi
@haruniamri81715 жыл бұрын
Wakaz rinda heshima yako
@martinmpusso87036 жыл бұрын
Wakazi tafuta kazi nyingine ya kufanya.....mc mwepec
@salimsalum77965 жыл бұрын
Unarap kiingereza wakati sie wabongo? wacha hiyo michongo
@emmanuelmpangile23776 жыл бұрын
Watu wana diss wakaz kaharibu wakat in reality jamaa ndo kafreestyle...
@ismailseiphuy85546 жыл бұрын
wakazi unaye pumz lkn mistar yk aielewekii
@mirajifikirini63056 жыл бұрын
Streeo ahusike kabla mwaka hujaita
@kinarazemaster73216 жыл бұрын
Ya Boshoo ndi0 aj3¿
@kinarazemaster7321
6 жыл бұрын
+ARK TV TZ pouwaaaaa
@abdallahmchange13706 жыл бұрын
Wakaz hamna kitu
@jumamisinzo92346 жыл бұрын
#NchamaDebect again please kwenye siku 10 za maangamizi😀😁😀😁😂#j4pc
@frankjokonea56536 жыл бұрын
wakazi kweli umefreestly big up
@nwntz6 жыл бұрын
KILA LINE UTASIKIA wakazi swaga bovu, FUCK FREESTYLE
Пікірлер: 127
Wakazi made it very clear big up to the guy ....let him get another chance next time.
Oyaaaaaaaa ahaaaaa yule boy cantry wiz gadafiiiiiiiiiiii
Nomaa!wakazi na country wamekamua mbaya freeflow na freestlye za kbabe sky level.. af nashangaa haters wanaponda nmegundua hata ushabik una level kutokana na upeo, kuna mashabik underground humu upeo mdogo kwa kujaji vitu!
Tutafurahi BOSHOO akiangamiza wanaokuja hapo hawajaangamiza zaidi ya Boshoo.
Aysee HIDARY SCODA plzzz arudishwe apoo... Before New Year
Dah country nomaaa
Ni kama unadem mzur af unapiga nyeto big up xna country wizy umefunka hatareeee
Safi @Wakazi
country katishaaaaaa mnooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Word up ma nigga WAKAZI workethic, #lala mchana Kesha usiku
Sijawahi kumuelewa Wakazi lakini humu amefanya kitu cha tofauti Sana nampa 🎤5....
plez let true mc on ze battle i mean p the mc vs nikki mbishi
Iii ni kali sanaa, tuwekee na ya boshooo mzee
Country ameua kuliko wakazi
Kwenye ngoma ya SONGA inaitwa #worning! anasema "utaweza kurap bongo ikiwa ulishindwa kurap Chicago..." wakaz sio mburudishaji
WAKAZI umezingua asee....kimeo sana leo
@officiallyimo6772
5 жыл бұрын
Kajitaidi
Wakaz badooo hana swaga
Wakazi umezingua imba mistali yako.freestyle UNAZINGUAAA
wakazi bhana umezingua mzee baba
Boy country wizy killed it, and shout out to wakaz for a dope freestyle
Ushabiki WA bongo wakishamba Sana hatucmami ukweli utopia really kabisa wote niwakali
you all haters mnaodis what swagger bovu did..MCEE'S Wakiimba verse zao mnataka freestyle .wakazi ka freestyle i see dem haters dropping hating comments...BIG UP SWAGGER BOVU you did it well as well as country whizzy
@rajabseif2301
6 жыл бұрын
georgies keneth kaangalie freestyle ya haidaly uje u compare na hiyo
gadafi wa mtaa ni noma sana
Wakaaaaaaaaaazzzz na countryyyyyyyy n full swaggaaaa
swagga bovu, mingi sanaa humooo😁😂😂😂😁
wakazi amezingua sana asee oi dulla mtafte Dogo dee wa mwanza mwanza ahusike hapo mzee
Wakazi mbio nyingi bro flow zinakosa pozi otherwise u good
wakazi u killin em
hamja zingua machaliii wakazi umeua country km kawaida ako unakiwashaga kina wakaaa
Wakaz respect sanaa
Wakzi toka kkmmyo
hyu country boy katishaaaaaa
Moto uooo
Country boy yo the best bro 🙌
wakaz kazingua bra bra nyingi km freestyle ni shida c bora arap mistar yake OG
country boi noma
Summer anazingua biti za kiboya,,na wakazi alikuwa anamdiss Godzilla kuchana kingereza na yy kaenda kule kule na hana lolote
Hapa sasa Summer ndiye anayezingua..Hz beats niaje zinapigwa low kinoma...
dulla Fanya kuwaleta dizasta vinna Vs dubro Jesus au Algebra Tng Vs mad kachaa
Ebhnaa nomaa xna country swaga A wakazi kayumba
tuleteen Nikki mbishi Zohan na Zilla black zizi
Country unajua kufree Ninja noma mastyree mengi
Tunataka siku kablaaaa hazijaishaaa mtuleteee stereeo...dulla fanya mambo
@Cyper255
6 жыл бұрын
milimo mashini, Samahani Stereo yupo WCB hatuwezi kumpa airplay kwenye radio yetu.
ajeee slimsal apo asee
Wakazi unaboa freestyle huwez we endelea kurap kingereza kiswahili unazngua
😀😀😀 Country boy
Wakaz hamna kitu uyo
beat zipo chin sana ni kweli tunaitaji kusikia verses lakin beat angalau isikike ili tuone uwezo wa kunata nayo
Swaga Bovu all day🔥🔥🔥
Stereo wapi
kwel bosho noma kila MTU anamtaka
Kaka tuwekee Boshoo na wakiafrika #Siku10zaMaangamizi aisee KZread itakuwa poa sana mzee
@kulindwamakila
6 жыл бұрын
ARK TV TZ Nimeona sema walichelewa kuweka.
Wizy anaswaga hatar
Afuh Dulah...mazingua Veepe Masera wana floo kinohma hata kushangilia budah mnazinguwa mjue... Tunawakubali 1) WakaWakazi 2) Country
ndio maana kingZallah alikuliza wakazi uwezo bado mwanangu ukifreestyle ueleweki
boshoo vs wakiafrika ishawekwa ktk ukurasa wa east africa radio.
Kwahiyo day 6 ya boshoo hamuiweki....
@mathayomatondo4024
6 жыл бұрын
Said Mohammed ishawekwea dear
stereo vs Nikki mbish
Boshooo kafunika wot wakax umezingua kinom
wakaz umwzingua kaka
jamni bosho ndo nyoko wahiz kaz tanga city wasaaaa
wakaz umeuwa
Wakazi anazingua
this hw we do kwa #planetbongo ni fireee
@hbmweusisalasala2772
6 жыл бұрын
county boy umetisha sana
Stereo vs Nikki mbishi
Wote hakuna ki2
Sijaelewa wakazi anaimba Nini kiukweli ndio mara ya kwanza namuona huyu jamaa anafnya pumba @wakazi
wakazi ametisha tuuu baaaab
wakazi akale ugali hakuna kaz hapo
Wakazi hamna kitu una free bila styreee haaaahaaa
Hilo nn halina swaga bora zizii yan zilla
yule boy
Wakazi leo kafanya chini ya Kiwango
wakazi Yupovzur kwenye frctyle Ilaa badae anapoteza mwelekeo kabsa haelewek anachozungumzia..hyo c hphap coz hphap n maana c kuropoka nooh.
@mrjackchananashon4
5 жыл бұрын
Naomba mtrex arundishwe ndo mkal wa kumi za maangamizi
@mrjackchananashon4
5 жыл бұрын
Jackchana
Stereo vs Nikki mbish
Hatari tupu lkn Mleteni Nikki Mbishi na Stereo
tuleteeni stereo
@josephmasenga7718
6 жыл бұрын
Kabo Mbishi stereo cyo mzuri kwenye free style Nikki mbish ndo king wao
Wakazi fala tu hata usimamishwe na mm hutoboi
Kiukweli, haikuwa hot. Afu mkiwa mnafyetua video angalieni sana kuna wengine hawakupaswa kuonekana kama huyu boya aliyevaa miwani & portable yellow hand bag hakuwa na faida hapa yeye naselfie za kisenge tu! Wa Mbwinde huyu raia.
@enockibrahim3510
6 жыл бұрын
ussikhamis ussi 🙄😂😂😂😂😂
country boi kakimbiza
gaaadafiiii
Kam unapenda zilla gonga like
bado sijamuona aliefika level za boshoo
Swagga bovu
dizaster vs sterio
@ibraahmapexah5418
6 жыл бұрын
upo makn bro ......apo professor tungo vs singanga ak.a chundabad
wakazi hana uwezo ndez tuu
Wiz kama katisha ivi
Wakaz rinda heshima yako
Wakazi tafuta kazi nyingine ya kufanya.....mc mwepec
Unarap kiingereza wakati sie wabongo? wacha hiyo michongo
Watu wana diss wakaz kaharibu wakat in reality jamaa ndo kafreestyle...
wakazi unaye pumz lkn mistar yk aielewekii
Streeo ahusike kabla mwaka hujaita
Ya Boshoo ndi0 aj3¿
@kinarazemaster7321
6 жыл бұрын
+ARK TV TZ pouwaaaaa
Wakaz hamna kitu
#NchamaDebect again please kwenye siku 10 za maangamizi😀😁😀😁😂#j4pc
wakazi kweli umefreestly big up
KILA LINE UTASIKIA wakazi swaga bovu, FUCK FREESTYLE
Country ni nyokooo
Wakazi mzinguaji tu