SHEKH OTHMANI MAIKO ANASEMA SWALA HII YA MTUME NDIO IMEMPA UTAJIRI HUU WOTE sehemu 02
Жүктеу.....
Пікірлер: 640
@tamemahmad9902 Жыл бұрын
Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).
@user-pw6oc4jr2e
Жыл бұрын
Mashaalwa she mm natakA quwa ya kuwa mwepes wajambo jambo lakes Ni swala
@swalehekahema8072
9 ай бұрын
Allah akulipe kheri shekh kwani wengine tulikua hatujui haya
@user-ro6xn3ms5w
7 ай бұрын
Mashaallah
@muddymuzungu4357
7 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@user-xd1wu4tu3n
4 ай бұрын
Mashallah
@AziziZainabu-jl5tu Жыл бұрын
MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah
@ElizabethLizzy-pk3zj
Жыл бұрын
MASHALLAH
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Niandikie nami niisome siijui swalaganihiyo?
@ag3044
Жыл бұрын
Salatu Ibrahimiya
@maryammaryam7773
Жыл бұрын
Mashaa Allah Tabarakallah
@maryamalli9090
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 sikiliza video mwanzo mwisho utaelewa tu
@neemamihiko54295 ай бұрын
Mimi pia nilijaribu siku moja nilipata pesa siku hiyo mashaallah
@umfahad2609 Жыл бұрын
Nampenda saana, kwa ajili ya ALLAH huyu sheikh. Ma sha allah. Namuomba ALLAH ampe afya, uzima na umri mrefu Yaarab. 🤲🇴🇲🇹🇿💕
@ala1608
Жыл бұрын
Amiin ya Rabbi 🤲🇴🇲
@karimufernandes9985
Жыл бұрын
Amin
@rajabmwalimu6350
Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah jazzaka llahu hkeri
@MohammedAllysaid-kn3jh
Жыл бұрын
Ammin Allahuma Ammin 🤲 kwa sote inshallah
@malina9320
Жыл бұрын
Ameen Yarab
@radhiamohaa3723 Жыл бұрын
MashaAllah kuanzia leo nitakuwa namswalia mtume Mohamed (SAW)
@suleymanjuma4309
Жыл бұрын
Kwa hiyo siku zote ulikuwagi humswalii mtume ?
@mariamkibindo1741
Жыл бұрын
@@suleymanjuma4309 Bora qmekiri kwa maandishi yake ndio wengineo hawamswalii mtu s.a.w
@godwinkileo7702
Жыл бұрын
😂😂😂😂mtume anaswaliwa we una utukufu gani wa kumswalia mtume, mtume ndo akuswalie wewe, sasa ukimswalia ndo haendi motoni au😂
@latifaahmed38285 күн бұрын
Allahu maswalli Alaa sayyidina Muhammad waalihi waas haahabihi wasallim
Allahuma swaali wasalim wabaarik ala seyidna Muhammad walaa alihi wa swahbihi wasallam.
@DogoMjukuu
Жыл бұрын
Inshaalah
@malina9320 Жыл бұрын
In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen
@mahmoudmzee-pr3vs
Жыл бұрын
Àmmin Kwa sote inshaalah
@carlitacelestino5548
Жыл бұрын
Como se reza irmão por favor preciso aprender 😢
@fatumaibrahim8973 Жыл бұрын
Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏
@ashaali7209
Жыл бұрын
Allahumma Aamiin
@wanusuleiman169 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah yaa sheikh Oathman .Allaah akulipe kheri na akuepushe kilalashari uzidi kuitetea kalima ya Allaah .
@w4058 Жыл бұрын
Alhamdulilah Rabilaalamin tunamshukuru Allaah anaetupa uwezo wa kumsalia Mtume SAW Alhamdulilah Rabilaalamin tunapata faraja nafsini mwetu
@hhussein8416
Жыл бұрын
Mshallah shekhe othumani maiko
@maimunamohamed35585 ай бұрын
Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah
@bellasi349
3 ай бұрын
Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu
@sitnafaraj2813 Жыл бұрын
Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman
@WadahKalumna-gs2kd
6 ай бұрын
ämën
@imanipirfa225 Жыл бұрын
Leo usiku Nitanzisha dua iyo, incha Allah Allah aikubalie🙏🙏🙏
@nassorrama6839 Жыл бұрын
Allahumma swali alaa Sayyidna Muhammad wa alaaa aaaly Sayyidna Muhammad S.A.W
@queennana8971
Жыл бұрын
Allahumma Swali Alaa Sayyidna Muhammad Wa Alaa aaaly Sayyidna Muhammad 🙏S. A. W
@FatumaBegamu-cy6ue
6 ай бұрын
Shukran sheikh
@user-he8kt9ep1n Жыл бұрын
Asalamu alaykum sheghe wangu othmani maiko umenipa elmu ambayo sijawahi kuipata kwa sheghe yyte alhamdulillah Allah akupe umri mrefuu wenye manufaaa
@MimahYaseenАй бұрын
Tunashukur sheh wetu kq kutupa darasa zuri na kutujaza imani mioyo yetu...allah akufanyie wepec kila hitaji lako na akupe maish marefu
@aminamansoor2131 Жыл бұрын
Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH
@stoic_guild
Жыл бұрын
Pole sana. Hata mimi nilisilimu ila kwa sasa nipo vizuri Alhamdulillah.
@aminamansoor2131
Жыл бұрын
@@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
مبروووك الف مبروك allah awajaalie nuru ya dunia na akhera allahumma amiin.
@naseeha450
Жыл бұрын
اميين يا اختي وانتي الله يجزاك خير
@yahyahassan8422
9 ай бұрын
MAASHALAAH
@gamarmahsan82544 ай бұрын
Alla Akupe Afya shekhe kutu ilimisha fayda na sifa zake mtumi wetu اللهم صل وسليم عليه
@aminamansoor2131 Жыл бұрын
Naitaji elimu uwa dua zngu n soma Kiswahili wallaih n pia ALLAH AKBAR 💯 uwa ananifanikisha Alhamdulillaah
@mamiabdallamohamed3896 Жыл бұрын
Shekhe othamani nakupenda kwaajili ya Allah Allah akudizishie akujaalie kauli thabiti muachie Allah anaekudharau
@saeedbarma8729 Жыл бұрын
Kila kitu changu kimefunguka kwa sbbu yakumsalia mtume.allahuma swalli ala Nuri Rahman wamaadhinil maarif rabania sayyid na maullana Muhammad wala ashabihi wasalim
@user-xt3zz7uj4g
4 ай бұрын
Mashaallah
@user-xt3zz7uj4g
4 ай бұрын
Unaeza kutuandikia izo dua zingine alozitaja tatu
@rahmaqasim5143
3 ай бұрын
@@user-xt3zz7uj4gNaomba iwe ivo pia mm ndio iwe rahisi kwetu
@abdulrazackkipingu5437 Жыл бұрын
Mashaaa Allah..Nakupenda kwa ajili ya Allah shekh Allah Akijaalie umri mrefu shekh tuzidi kufaidika na faida unazotupa inshaa Allah.
@shamsaalrahbi7593 Жыл бұрын
Shekhe mbn unaongea harak harak Jmn Asante kwa darsa zuli Allah akubariki dunian na akhera
@shaphaina994111 ай бұрын
Allahuma swali alaa sayidina muhamadi waali sayid na Muhammad
@shaharikaratafighter98432 ай бұрын
Allahu maswali alaa sayyidina muhhammad
@aslially6539 Жыл бұрын
Allahumma swali alaa sayyidna mohammad waali alaa sayyid aaly Muhammad
@Mr.aboualhabbash Жыл бұрын
Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲
@aminmicky7221 Жыл бұрын
Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii
SHEKH nami niombe dua nikikaa nakosa amani mjomba wangu anaumwa mwanangu saleh abdullah anashida ya mkono ya kushoto nilishawah kuja ila nikakuta umesafiri dua yako tafadhali
@mwanaidhusen7551 Жыл бұрын
Mashaallah in sha Allah mungu anipe nguvu na umri niwe miongoni wa ku msalia mtume yarabh...
@malina9320
Жыл бұрын
Ameen
@riyadhasalim2528
Жыл бұрын
Ameen in sha Allah soteni kwa uwezo wa Allah
@AllyMuhange-px2sj8 ай бұрын
Mashallah maalim mwenyezi mungu akupe Afya njema na umri mrefu wenye manufaa duniani mpaka Akhera.kwa faida hiyo
@user-eh7sg9ny2i Жыл бұрын
ALLAHU AKBAR SHEKHE OTHMAN MICHAEL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA WA HAPA DUNIANI KABURINI NA KESHO AKHERA
@khadijaibrahim870 Жыл бұрын
Hata mimi nimeshuhudia uzuri wa swala ya mtume swa
@ashaabeid4520
Жыл бұрын
Sheikh JAZAKALLAHU KHAIRY
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Ila ndefu , inachukuwa mda kama 25 minutes.
@suphiansuphian8684
Жыл бұрын
@@ashaabeid4520 è4
@mwinyially9646 Жыл бұрын
Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa
@MuniraYahaya-y9n6 күн бұрын
Mwenyewe ninamswalia sana mtume,mengi nimeyaona wallah!
@mdogwa Жыл бұрын
Jazakaallah I'm starting to day tu do what you teach
@asiyaalamudy1671 Жыл бұрын
Allahumma swalli alaa sayyidina mohammadi wa aalihii waswahbihii wasallam
@MubarakHaza-Ug
Жыл бұрын
Shukran
@user-rx5pj5zp6g
4 ай бұрын
Shukran
@femidayahaya4882
Ай бұрын
Shukran
@HilaliFeza5 ай бұрын
Asalamwaleykum warahmatullah wabarakatu shukran tabaraka Allah shekh wewe sina lakisema Acha tu nikuombee duwaa Allah azidi kukuhifazh natunakupenda sana nimefayidika nadarsa lako
@aminachiziamina9 ай бұрын
Allah hadhu lillah shukurura sheikh kwa ukumbusho wakijitahidi kumsalia mthumee inshallah inshallah
@SaudaHassan-bk4wy Жыл бұрын
Danke sehr Shech. Ich liebe Muhammadin Swalla Llahu Alayhi Wasallam
@user-yr3mn6nn7l4 ай бұрын
In sha Allah Allah anijaalie na mm nipate haja zangu Asante shekhe kwa elimu
@HalimaNadio-uj7tj Жыл бұрын
Alhamdulillah 🙏 kwa mafunzo, ila nami nitajitahidi kumswalia mtume inshallah 🙏
@gamarmahsan82544 ай бұрын
Ni hakika siri kubwa ya kumswaliya mtumi wetu nimei iyona اللهم صل وسليم عليه
@SabiraRodrigues-js5sf3 ай бұрын
MashaAllah, Sheikh it's very true, I'm a living proof of swala za mtume, mashaAllah ziko na manufaa makubwa. Shukran sana
@aishavogelmann5021 Жыл бұрын
Shukran Shehk mola akujalie maisha marefu sina likubwa na weza kukupa ila mola akupe maisha marefu
@AshaAlly-vy1yl9 ай бұрын
Shukrani sheikh Allah akulipe kila la kheri kwa kutujuza mengi mazuri
@mamafahad27824 ай бұрын
Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alaa Aaaaly Sayyidna Muhammad S.A.W
@bahatilaizer8706 Жыл бұрын
❤❤ mashaa Allah Sheikh Osman Maiko Allah atufanyie wepesi Inshallah
@user-jq3li2hj8v10 ай бұрын
Inshallah mungu akujalie neemah na pia unifanyie Dua nami niweze kufuata mtume Muhammad
@nhamoabdalanze341 Жыл бұрын
Sheikhe alhamdu linlah nimefurahi sana kuhusu hayo maji aliooshwa mtume.
@kareefsmoker4685 Жыл бұрын
Salam aleykhum sheekh naitwa Abdulkarim juma usiku wa alhamisi tareh 20/04/2023 nilimuota mtume mohamad s.a.w kaja nafarasi mwenyew mabawa Kisha nikatoa shahada nikashtuka kutoka usingizini ilikuwa alfajir
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy
@safiyahabib1230 Жыл бұрын
Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa. Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi? Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani. Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.
@JamilaLutanjuka-op6rn4 ай бұрын
Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab
@abdallahluhinda8 ай бұрын
Shukrani sheikh ntaanza leo uradi huu na inshaallah nisiusahau na kuuacha kabisa.
Allah atie baraka katika maisha yako sheikh, Amiin
@butulihassan4344
Жыл бұрын
Mashallaah Allah akuifaizi
@chikudunia6273
Жыл бұрын
Allahumma amiin
@KhashimYussuq
Жыл бұрын
W
@KhashimYussuq
Жыл бұрын
A
@wardaomar30018 ай бұрын
Shukraan sheikh Aĺlah akujaze kheir naanza na hili in shaa Allah
@maimunfaridah5448 Жыл бұрын
MashaAllah ustadh mawaidha mazuri kwel mwenyez mung akukinde na nakupendaaa Kwa ajili ya Allah
@khamismtaly3825 Жыл бұрын
Inshallah nitafanya nitie Nia niwe msomaji mzur wa qoran
@SaudaMfaume23 күн бұрын
Masha Allah sheh mm ndiy Natal nianze mungu anifanyie wepes
@JacksonMandela-mc2ei Жыл бұрын
Walahi sheikh Othman nashkur mafunzo yako yamenighuza na kujiona tajir ila Kwanzia Leo naanza kumswalia Mtume, Allah akujarie zaidi na zaidi nakuskiza tikea Nairobi
@woah.africa99
Жыл бұрын
Mashaaalah
@aishangina8588
Жыл бұрын
Wallahi sheikh na kushukuru kwa mafunzo yako na kwa zia Leo nitaanza kumswalia mtume
@BilalAhmad-vj5wp9 ай бұрын
Mashaallah sheikh letu,twakupenda kwa Ajili ya Allah
@hadijasaidi3315 ай бұрын
Mashaallah,Alihamundulillah nashukuru kwa mafunzo mazuri,endelea vyema kutupa darsa nasi tupate fursa zaidi kujua zaidi mambo mbalimbali kuhusu dini
@ibnaliytv7907 Жыл бұрын
Masha allah mungu akulipe sheikh kwa swadaka hii inayoendelea
@user-gy6xz5xh3f Жыл бұрын
MASHA ALLAH JAZAKA ALLAH KHEER SHEKHE ATHMAN KWA MASOMO ULIOTUPATIA YA KUMSWALIA MTUME S,A,W
@DelightfulPenguin-wk4kv6 ай бұрын
Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin
@faoziyaziyaa84432 ай бұрын
Hata mimi naipenda hii kumswalia mtume nakushukuru allah akupe wepesi
@user-jy5mf9xd2s Жыл бұрын
Mashallah Shukran sanaaa kwa Mawidha yako mzuuur
@adijahmdosi5863 Жыл бұрын
Shukran jazzaka Allah kheri inshallah Mwenyezi Mungu atujalie wepesi kwa hilo yarabialamin
@faridaali1580 Жыл бұрын
Allah akulipe pepo ameen. Nimeipata clip hii wakati muafaka. Alhamdulillah ala kulli haal
@BalqisKeita-ub6mb
Жыл бұрын
Ma asha Allah shukran kwa dawwa sheikh Allah akuhifadh tutazidisha kumswalia mtume in Sha Allah 🙏
@NtandusdaughterNtandu2 ай бұрын
Asante sana Allah akubarki na aendelee kukueka uwe unatupatia mafunzo matam.
Пікірлер: 640
Alhamdulillah kila baada ya swala namswalia mtume mara 100. Na nikikaa ndio uradi wangu hata km nnakazi gani hata nikilala nasoma dua ya kulala kisha namswalia mtume mpaka napata usingizi. Namshukur Allah kwa kunipa wepesi wa kuitamka namuomba Allah anidumishe iwe uradi wakudumu ktk ulimi wangu. Nawaombea pia wenzangu Allah awape wepesi wa kumswalia Mtume Muhammad (S. A. W).
@user-pw6oc4jr2e
Жыл бұрын
Mashaalwa she mm natakA quwa ya kuwa mwepes wajambo jambo lakes Ni swala
@swalehekahema8072
9 ай бұрын
Allah akulipe kheri shekh kwani wengine tulikua hatujui haya
@user-ro6xn3ms5w
7 ай бұрын
Mashaallah
@muddymuzungu4357
7 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@user-xd1wu4tu3n
4 ай бұрын
Mashallah
MashaAllah sheikh mm mwenyewe nimefanya ila si kwa kutaka utajiri kwa kumuombea mgonjwa wng na wallah kapona na alikua hata hawezi kuinuka Alhamdulillah
@ElizabethLizzy-pk3zj
Жыл бұрын
MASHALLAH
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Niandikie nami niisome siijui swalaganihiyo?
@ag3044
Жыл бұрын
Salatu Ibrahimiya
@maryammaryam7773
Жыл бұрын
Mashaa Allah Tabarakallah
@maryamalli9090
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 sikiliza video mwanzo mwisho utaelewa tu
Mimi pia nilijaribu siku moja nilipata pesa siku hiyo mashaallah
Nampenda saana, kwa ajili ya ALLAH huyu sheikh. Ma sha allah. Namuomba ALLAH ampe afya, uzima na umri mrefu Yaarab. 🤲🇴🇲🇹🇿💕
@ala1608
Жыл бұрын
Amiin ya Rabbi 🤲🇴🇲
@karimufernandes9985
Жыл бұрын
Amin
@rajabmwalimu6350
Жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah jazzaka llahu hkeri
@MohammedAllysaid-kn3jh
Жыл бұрын
Ammin Allahuma Ammin 🤲 kwa sote inshallah
@malina9320
Жыл бұрын
Ameen Yarab
MashaAllah kuanzia leo nitakuwa namswalia mtume Mohamed (SAW)
@suleymanjuma4309
Жыл бұрын
Kwa hiyo siku zote ulikuwagi humswalii mtume ?
@mariamkibindo1741
Жыл бұрын
@@suleymanjuma4309 Bora qmekiri kwa maandishi yake ndio wengineo hawamswalii mtu s.a.w
@godwinkileo7702
Жыл бұрын
😂😂😂😂mtume anaswaliwa we una utukufu gani wa kumswalia mtume, mtume ndo akuswalie wewe, sasa ukimswalia ndo haendi motoni au😂
Allahu maswalli Alaa sayyidina Muhammad waalihi waas haahabihi wasallim
Allahumma swalli a'laa sayyidina Mohammadin waa'lihy waas'habihy wasallim
Allahuma swaali wasalim wabaarik ala seyidna Muhammad walaa alihi wa swahbihi wasallam.
@DogoMjukuu
Жыл бұрын
Inshaalah
In shaa Allah mwenyezi mungu anijalie uzima na afya leo naanza allah atufanyie wepesi atujalie kila mwenye uzito atufanyie wepesi ameen 🤲 sheikh Allah akujalie imani uzime na afya atuongoze sote kwenye khery ameen
@mahmoudmzee-pr3vs
Жыл бұрын
Àmmin Kwa sote inshaalah
@carlitacelestino5548
Жыл бұрын
Como se reza irmão por favor preciso aprender 😢
Mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe nimejifunza jambo.eemwenyenzi.mungu.naomba.unipe.afya.na.uniondolee.maradhi.na.unifungulie.mirango.ya.ridhiki.Yaaarab✍️🙏
@ashaali7209
Жыл бұрын
Allahumma Aamiin
Maashaallah maashaallah yaa sheikh Oathman .Allaah akulipe kheri na akuepushe kilalashari uzidi kuitetea kalima ya Allaah .
Alhamdulilah Rabilaalamin tunamshukuru Allaah anaetupa uwezo wa kumsalia Mtume SAW Alhamdulilah Rabilaalamin tunapata faraja nafsini mwetu
@hhussein8416
Жыл бұрын
Mshallah shekhe othumani maiko
Shukran sheih mafunzo yako yamenipa faraja ya moyo kwa jinsi maisha yangu yalivyo kuwa magumu hadi nimeenza kufa moyo kila cku kulia, ila kuanzia sasa nitalitilia maanani na kumswalia mtume saw kila cku, jazzah yako iko kwa Allah
@bellasi349
3 ай бұрын
Waswalie wazazi wako acha upumbavu kwani muhamadi ndo kakuzaa ndo maana huna maisha ju unaacha kumswalia Mama yako alokubebea tumboni miezi 9 eti unamswalia muhamadi mtu ambae humjui pumbavu
Assalam aleykum sheikh othman maiko , shukran kwa mawaitha yako na kutuelekeza kwa kumswalia mtume wetu mpendwa Muhammad SWA na kumuomba Allah atujaalie tupate yale yote tunayo muomba,tumuombe Allah atupe nguvu ya kufanya ibaada ya usiku ili tupate neema zake, Inn Shaa Allah, Allah akujaalie mema kwa kutupa siri ambayo wengi wetu hatukuwa tunajua, Allah akupe afya na nguvu kueneza neema za Allah kwa wasio jua na kuwa fungua macho kuweza kuona mbale na kufanya kazi yake Allah, shukran sana sheikh Othman
@WadahKalumna-gs2kd
6 ай бұрын
ämën
Leo usiku Nitanzisha dua iyo, incha Allah Allah aikubalie🙏🙏🙏
Allahumma swali alaa Sayyidna Muhammad wa alaaa aaaly Sayyidna Muhammad S.A.W
@queennana8971
Жыл бұрын
Allahumma Swali Alaa Sayyidna Muhammad Wa Alaa aaaly Sayyidna Muhammad 🙏S. A. W
@FatumaBegamu-cy6ue
6 ай бұрын
Shukran sheikh
Asalamu alaykum sheghe wangu othmani maiko umenipa elmu ambayo sijawahi kuipata kwa sheghe yyte alhamdulillah Allah akupe umri mrefuu wenye manufaaa
Tunashukur sheh wetu kq kutupa darasa zuri na kutujaza imani mioyo yetu...allah akufanyie wepec kila hitaji lako na akupe maish marefu
Wallaih mm nmelelewa kikiristo lakini Baba yngu kizazi changu n Islam ata hizi mm n Muslim Kwa kweli nmepitia changa Moto nyingi tangu nlivyo slimu Alhamdulillaah 😍 naitaji mm pia n kizazi changu kiwe kimesimama ima n dini ya ALLAH AMIIN RABHI AMIN SHUKURU ALLAH
@stoic_guild
Жыл бұрын
Pole sana. Hata mimi nilisilimu ila kwa sasa nipo vizuri Alhamdulillah.
@aminamansoor2131
Жыл бұрын
@@stoic_guild Npitia ila naami Allah Kareem najaribu ata ninapo mitiani mizito vp bsi nasumama n swala za ucku n zikr bsi Allah Akbar 😍 tusaidiane Kwa Kheri yke Allah n uslam tuzidi kuwa n ujasiri n kusamama n Kwa Kheri insha'Allah
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
مبروووك الف مبروك allah awajaalie nuru ya dunia na akhera allahumma amiin.
@naseeha450
Жыл бұрын
اميين يا اختي وانتي الله يجزاك خير
@yahyahassan8422
9 ай бұрын
MAASHALAAH
Alla Akupe Afya shekhe kutu ilimisha fayda na sifa zake mtumi wetu اللهم صل وسليم عليه
Naitaji elimu uwa dua zngu n soma Kiswahili wallaih n pia ALLAH AKBAR 💯 uwa ananifanikisha Alhamdulillaah
Shekhe othamani nakupenda kwaajili ya Allah Allah akudizishie akujaalie kauli thabiti muachie Allah anaekudharau
Kila kitu changu kimefunguka kwa sbbu yakumsalia mtume.allahuma swalli ala Nuri Rahman wamaadhinil maarif rabania sayyid na maullana Muhammad wala ashabihi wasalim
@user-xt3zz7uj4g
4 ай бұрын
Mashaallah
@user-xt3zz7uj4g
4 ай бұрын
Unaeza kutuandikia izo dua zingine alozitaja tatu
@rahmaqasim5143
3 ай бұрын
@@user-xt3zz7uj4gNaomba iwe ivo pia mm ndio iwe rahisi kwetu
Mashaaa Allah..Nakupenda kwa ajili ya Allah shekh Allah Akijaalie umri mrefu shekh tuzidi kufaidika na faida unazotupa inshaa Allah.
Shekhe mbn unaongea harak harak Jmn Asante kwa darsa zuli Allah akubariki dunian na akhera
Allahuma swali alaa sayidina muhamadi waali sayid na Muhammad
Allahu maswali alaa sayyidina muhhammad
Allahumma swali alaa sayyidna mohammad waali alaa sayyid aaly Muhammad
Mashallah shukran saaana sheikh' wetu allah akulinde akupe mwisho mwema mimi alhamndulillah huwa namswaliya rasuul llah nishawahi kulala namuota mtume nahisi nipo nae kwenye ndoto nahisi namuona mtume lakin simuoni nahisi kama nipo nae karibu 😢dah allah atupe yale tunayo yataka na mwisho mwema amiiiin 🤲
Assalam alaikum: Mimi ninapenda Kufanya Adh-kari, nyiradi zangu imo Swala ya mtume, na ninaisoma mara mia tu, unaloliongea Shekhe wangu ni ukweli mtupu, pesa ni zinaingia tu bila kutegemea, hapo ni mara miamoja, acha niongeze bidii
Shekhe mwenyezi Mungu akupe afya njema namimi natia Nia yakumswalia mtume muhammadi swala llahu alayh wasalama,
SHEKH nami niombe dua nikikaa nakosa amani mjomba wangu anaumwa mwanangu saleh abdullah anashida ya mkono ya kushoto nilishawah kuja ila nikakuta umesafiri dua yako tafadhali
Mashaallah in sha Allah mungu anipe nguvu na umri niwe miongoni wa ku msalia mtume yarabh...
@malina9320
Жыл бұрын
Ameen
@riyadhasalim2528
Жыл бұрын
Ameen in sha Allah soteni kwa uwezo wa Allah
Mashallah maalim mwenyezi mungu akupe Afya njema na umri mrefu wenye manufaa duniani mpaka Akhera.kwa faida hiyo
ALLAHU AKBAR SHEKHE OTHMAN MICHAEL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA WA HAPA DUNIANI KABURINI NA KESHO AKHERA
Hata mimi nimeshuhudia uzuri wa swala ya mtume swa
@ashaabeid4520
Жыл бұрын
Sheikh JAZAKALLAHU KHAIRY
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Ila ndefu , inachukuwa mda kama 25 minutes.
@suphiansuphian8684
Жыл бұрын
@@ashaabeid4520 è4
Shekh Shukrani nilijua nipo peke yangu kwenye hili ila nimefanya uzembe miezi kadhaa Mm sijitambulishi kwako tutakutana inshallah acha leo hii ni rudi kwenye hiyo kazi inshallah mwanza tena nitarudi hapa
Mwenyewe ninamswalia sana mtume,mengi nimeyaona wallah!
Jazakaallah I'm starting to day tu do what you teach
Allahumma swalli alaa sayyidina mohammadi wa aalihii waswahbihii wasallam
@MubarakHaza-Ug
Жыл бұрын
Shukran
@user-rx5pj5zp6g
4 ай бұрын
Shukran
@femidayahaya4882
Ай бұрын
Shukran
Asalamwaleykum warahmatullah wabarakatu shukran tabaraka Allah shekh wewe sina lakisema Acha tu nikuombee duwaa Allah azidi kukuhifazh natunakupenda sana nimefayidika nadarsa lako
Allah hadhu lillah shukurura sheikh kwa ukumbusho wakijitahidi kumsalia mthumee inshallah inshallah
Danke sehr Shech. Ich liebe Muhammadin Swalla Llahu Alayhi Wasallam
In sha Allah Allah anijaalie na mm nipate haja zangu Asante shekhe kwa elimu
Alhamdulillah 🙏 kwa mafunzo, ila nami nitajitahidi kumswalia mtume inshallah 🙏
Ni hakika siri kubwa ya kumswaliya mtumi wetu nimei iyona اللهم صل وسليم عليه
MashaAllah, Sheikh it's very true, I'm a living proof of swala za mtume, mashaAllah ziko na manufaa makubwa. Shukran sana
Shukran Shehk mola akujalie maisha marefu sina likubwa na weza kukupa ila mola akupe maisha marefu
Shukrani sheikh Allah akulipe kila la kheri kwa kutujuza mengi mazuri
Allahumma swaliiAlaa Sayyidnn Muhammad Wa alaa Aaaaly Sayyidna Muhammad S.A.W
❤❤ mashaa Allah Sheikh Osman Maiko Allah atufanyie wepesi Inshallah
Inshallah mungu akujalie neemah na pia unifanyie Dua nami niweze kufuata mtume Muhammad
Sheikhe alhamdu linlah nimefurahi sana kuhusu hayo maji aliooshwa mtume.
Salam aleykhum sheekh naitwa Abdulkarim juma usiku wa alhamisi tareh 20/04/2023 nilimuota mtume mohamad s.a.w kaja nafarasi mwenyew mabawa Kisha nikatoa shahada nikashtuka kutoka usingizini ilikuwa alfajir
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Ulikula chakula gan ndugiangu isje ikawa ulivimbiwa 😂 nakutania lkn kma ww ni mtu wa ibada bs ni kweli umemuota mtume maaan kwenye ndoto hizi huwa mtume umemuota kweli yy
Wala sio uongo ni kua na imani na nia tu kila amal na nia ikiwa huna imani huwezi fanikuwa. Mtume mwenyewe S.A.W kasema ukimswalia swala zinamfikia aliko uongo wapi? Hata hio pepo huwezi ipata kama huna imani. Shaikh Othman Allah akuhifadhi umefikisha ilobakia kazi mtu kwake.
Alhamdulillah! Shekhe nakupenda kwa ajili ya Allah has unavyotoa mawaidha kidogo kidogo mtu anaelewa, Allah atufanyie wepesi katika kuyafanyia kazi mawqidha haya mujarab
Shukrani sheikh ntaanza leo uradi huu na inshaallah nisiusahau na kuuacha kabisa.
Asalm walko Shee nakufatilir nakuombey mang hazid kukupa muli mulefu
Allah atie baraka katika maisha yako sheikh, Amiin
@butulihassan4344
Жыл бұрын
Mashallaah Allah akuifaizi
@chikudunia6273
Жыл бұрын
Allahumma amiin
@KhashimYussuq
Жыл бұрын
W
@KhashimYussuq
Жыл бұрын
A
Shukraan sheikh Aĺlah akujaze kheir naanza na hili in shaa Allah
MashaAllah ustadh mawaidha mazuri kwel mwenyez mung akukinde na nakupendaaa Kwa ajili ya Allah
Inshallah nitafanya nitie Nia niwe msomaji mzur wa qoran
Masha Allah sheh mm ndiy Natal nianze mungu anifanyie wepes
Walahi sheikh Othman nashkur mafunzo yako yamenighuza na kujiona tajir ila Kwanzia Leo naanza kumswalia Mtume, Allah akujarie zaidi na zaidi nakuskiza tikea Nairobi
@woah.africa99
Жыл бұрын
Mashaaalah
@aishangina8588
Жыл бұрын
Wallahi sheikh na kushukuru kwa mafunzo yako na kwa zia Leo nitaanza kumswalia mtume
Mashaallah sheikh letu,twakupenda kwa Ajili ya Allah
Mashaallah,Alihamundulillah nashukuru kwa mafunzo mazuri,endelea vyema kutupa darsa nasi tupate fursa zaidi kujua zaidi mambo mbalimbali kuhusu dini
Masha allah mungu akulipe sheikh kwa swadaka hii inayoendelea
MASHA ALLAH JAZAKA ALLAH KHEER SHEKHE ATHMAN KWA MASOMO ULIOTUPATIA YA KUMSWALIA MTUME S,A,W
Mashallah allahmdullah Allah akuajalie miongoni mwa waja wake wema akuajalie na mwisho mwema inshallah nitaifanyia kazi iyo swala na naamin Allah na mm ataniajalia inshalla amin
Hata mimi naipenda hii kumswalia mtume nakushukuru allah akupe wepesi
Mashallah Shukran sanaaa kwa Mawidha yako mzuuur
Shukran jazzaka Allah kheri inshallah Mwenyezi Mungu atujalie wepesi kwa hilo yarabialamin
Allah akulipe pepo ameen. Nimeipata clip hii wakati muafaka. Alhamdulillah ala kulli haal
@BalqisKeita-ub6mb
Жыл бұрын
Ma asha Allah shukran kwa dawwa sheikh Allah akuhifadh tutazidisha kumswalia mtume in Sha Allah 🙏
Asante sana Allah akubarki na aendelee kukueka uwe unatupatia mafunzo matam.
Shekh nakushukulu kwa uradi Mzuri ulio tufundisha inshallah nita dumu nao
@MdraaKapoor-ox5gc
Жыл бұрын
Shekh Allah akuzidishiye elimu
اللهم صلي وسلم وبارك على حبيبنا محمد صلى الله عليه وسلم عدد خلقه ورضا نفسه وزنة عرشه ومداد كلماته
@kizanagri-ke8zu
8 ай бұрын
Abdul
@user-ro6xn3ms5w
7 ай бұрын
Amiin
Mimi ni mkristo lakin nimekuelewa , Duniani mara mia Kisha Uzima wa milele
Mashaalla Alhamdhulillah kwa neema za Allah mungu atuzidishie kheri
ALLAH AKUHAALIE JANNAH,AAMIIN KWA KUTUPA ILMU HIYO BILA CHOYO.
Mashaallah Alhamdulillah Alhamdulillah Allah akuhifadhi shekh
Asalm alkm shekhe naomba hiyo ya kuondosha maradhi shekhe tafadhali
Allahumma swali alaa sayyidina Muhammad walii waswahbii wasalim
Asalamualeikum warahamatulwahi mashaalwa kwa jina naitwa Abdalla Ahmed kutoka Mombasa umenizidishia moyo wa kumswalia mtume tuko pamoja inshaalwa
@wahidakhalfan241
Жыл бұрын
Aww je Shekh Hii Swala ya Twibilkulubi unasoma Mara Ngapi
Allahu Akbar takbiri nakuombeya Allah akuzidishiye kheira akupe mwisho mwema 🤲 😭😭😭 Wallahi 🤲🤲🤲
Mashaallah Allah akuweke
Masha Allah shekh nakupenda Sana Kwa ajili ya Allah
Jazak llahu kheir 🙏 shukran jazila 🙏❤
Mashaallah sheikh Allah atujaze Iman na elimu sisi pia na akuzidishie umri uzidi kutuelimisha
Mwenye kutaka dunia anapewa na mwenye kupata akhera anapesa
Alhamdulilah elimu imenifikia wakati muafaka.
Mambo ya utajiri na mashekhe tofauti kabisaa, mnalazimisha yasiyokuwepo
@mohdchuma78
2 ай бұрын
Kivp?
MaaShaAllah sheikh Jazakallahu Khair From Kenya
Shekh ottman inshallah nitakuletea mrejesho
Shukran Djazakallah khay'iran Sheikh
Allah akuhifadhi sheikh wetu hakika unatuamsha katka dini
Mashaallah shukran saana shekhe
Allah akulipe
ماشاءالله تبارك الرحمن
Ahsante maghalimu kwa somo zuri Allah akuzidishie zaid na Zaid uzid kutupa ghelim ameen inshallah
Saleh fadhili Temba,allah akupe umri mrefu wenye manfaa sheikh wangu uzidi kutupa darsa.