HII SALA YA MTUME USIIWACHE FUNGUA RIZIKI POA MARADHI BADILISHA MAISHA

Пікірлер: 184

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw11 ай бұрын

    Shekh Michael tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AsnatiAmiri
    @AsnatiAmiriАй бұрын

    Shukran sana shekh wetu Allah akuingize pepo ya juu uingie pamoja na mtume wetu Muhammad kwa utukufu wake Allah

  • @Marjeby
    @Marjeby11 ай бұрын

    Mungu akujaze kheri nyingi wallah wangu Sheikh Othuman ni mtu wa kwanza kabisa kupitia kwake nimejua umuhimu wa swala ya bwana mtume na nimekuwa nafata maelekezo yake tangu kipindi hicho mungu shahidi yangu nimebadilisha maisha yangu sana sana mie ni msomi wa degree ya sheria lakini ilifikia kipindi hata sioni umuhimu wa kuwa na degree ya sheria but tangu nilipo mjua sheikh Othuman na maelekezo yake juu ya swala ya bwana mtume wallah naona umuhimu wa elimu yangu,mungu amenifungulia neema mpaka nashangaa nna kila kitu nimeoa pia naishi vizuri sana hakuna mtu atakuja niachanisha na swala za bwana mtume mpaka kufa kwangu. Nakuombea sana mungu akupe umri mrefu akupe zaidi ya anayotupa sisi kupitia mawadhi yako wewe na kizazi chako pamoja na walimu wako pia sijawahi kukusahau kwenye dua zangu. Now nafanya kazi nje ya Tanzania but siku nikifika Tanzania sheikh wangu lazma nije kukueleza ushuhuda wangu uso kwa macho.

  • @user-do8yb7ff3v

    @user-do8yb7ff3v

    11 ай бұрын

    Mashalah ntaanza kesho inshalh

  • @mwadawaidd1751

    @mwadawaidd1751

    11 ай бұрын

    Unaifanya Mara ngapi,usiku au mchana,

  • @Marjeby

    @Marjeby

    11 ай бұрын

    Nafanya usiku siku nikiwa na nguvu nafanya mara 1570 but nyingi nafanya si chini ya 1000

  • @mwadawaidd1751

    @mwadawaidd1751

    11 ай бұрын

    Shukraan ,unatia vipi Nia,Kuna wakati nikifanya mwili unasisimka ,je hizi hal ni za kawaida?na zina maana gani

  • @samiraselemani8045

    @samiraselemani8045

    11 ай бұрын

    🎉sawa

  • @SumaiyahHassan-yr1pr
    @SumaiyahHassan-yr1prАй бұрын

    Swala hii inanipa aman kila nikihisi tafran😭❤❤❤❤Alhamndulilh Allah akuhifadh shekh othman

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw11 ай бұрын

    Shekh Michael unatupa masomo mazuri sana. Tunashiba, tunajisikia vizuri moyoni. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu

  • @usseneabelnfalume-sr2kx
    @usseneabelnfalume-sr2kx9 ай бұрын

    Sheikh Othman Eu te Amo por causa de Allah, Sou de Moçambique🇲🇿

  • @user-kl4km4tj3q
    @user-kl4km4tj3qАй бұрын

    Walahi from tha bottom of my ❤️.....l love this guy Allahu Akbar

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen157211 ай бұрын

    Swala ya mtume imenipa vitu siku tarajia ntavipata..jazzakallahu kheir😢❤

  • @saidbahanuzi

    @saidbahanuzi

    11 ай бұрын

    Unamswalie unatumia swala ipi ya mtu ndugu yangu

  • @yusufmod1437

    @yusufmod1437

    11 ай бұрын

    Tupeni Siri ndugu zetu

  • @user-db3hv6zq1d

    @user-db3hv6zq1d

    11 ай бұрын

    @@saidbahanuzi mimi natumia ile ya allahumma swalii Alaa sayyidna Muhammad waalaa alihii wa as'wahabihii.

  • @saidbahanuzi

    @saidbahanuzi

    11 ай бұрын

    @@yusufmod1437Asalamu aleykum kaka nilicho gundua mpaka sasa ukimswalia sana mtume swalallahu alayhiwasalm unakuwa na Furaha atakama lileunaloliomba halijakuwa unahisi Kama sasa ivi litakuwa ishallah tusiwache kumswalia ili tupate wepesi katika harakati za maisha

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    11 ай бұрын

    ​@@user-db3hv6zq1dunasoma ngapi kwa siku?

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r9 ай бұрын

    Nakupenda kwa ajil ya m/ mungu wew na sheikh othuman maalim,,,sheikh walid Alhad jazzaqalah kh'aira allah akulipen

  • @BABYRAMAMINA-rj4vy
    @BABYRAMAMINA-rj4vy11 ай бұрын

    Mm na na namuomba allah anijaalie pepo ya dunia na ahera nautlivu INSHAALAH KWA SIFA HABIBUNA MUHAMMAD( S. A.w)

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi603011 ай бұрын

    Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @SaalimmodyAbubakar-mn1sg
    @SaalimmodyAbubakar-mn1sg18 күн бұрын

    Mashallaah sheikh wangu

  • @BimwanaMohamedi-ql4ph
    @BimwanaMohamedi-ql4ph8 ай бұрын

    Mashaallah sheghe Osman mungu akupe maisha marefu na akuepushie na moto na akupe Nuru kwenye kaburi lako

  • @user-kl4km4tj3q
    @user-kl4km4tj3qАй бұрын

    ❤Masha ALLAH

  • @user-ll2ti1yk7c
    @user-ll2ti1yk7c4 ай бұрын

    Shehe jitahidi kutoka daawa maana watu wengi wanarudi upande wa Allah na fadhwila zako ziko kwa Allah inshaallah hakika Dunia nzima inakupenda mashaallah Mimi nafulahi kwa majambo unayofanya shehe

  • @user-pk3si6ku4f
    @user-pk3si6ku4f19 күн бұрын

    Mansha’Allah Jazaakum Allah Kheir Shukran Shekh

  • @chimamyjey1479
    @chimamyjey147911 ай бұрын

    Shukrani shekh Allah akulipe ujira mkubwa sana na ukawe mja WA Pepo ya firsaus kesho Kwa Allah,,,,,,,nimeona maajabuu makubwa ambayo sijategemea km ipo siku neema hizi zitatokea.... Alhamdhulilh,swala ya mtume hakika ndio kiboko ya mafanikio Ila zingatio ,ukianza tu usiache iwe kawaida utaona maajabuu mengi sana.

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed738111 ай бұрын

    Masha Allah very beneficial lecture BarakAllah feek

  • @jumadawa1968

    @jumadawa1968

    11 ай бұрын

    Asalaamu alaykumu warahmutullahi naomba uniherekeze jisi nya kuswalia mtume tafadhali

  • @user-kl4km4tj3q
    @user-kl4km4tj3qАй бұрын

    Ninapo sikia sauti hii najihisi kana kwamba tuko peponi.....😂

  • @nasradada7050
    @nasradada705011 ай бұрын

    ماشاء الله تبارك الله. Allah atu raisishie kweli mi wakati Niki leta dhikri iyo Hua afanya moyo baridi na pia kua na furaha Ila bada YA mm ukiacha siku mbili Allahu Akbar mtihani kweli

  • @miishhassn

    @miishhassn

    11 ай бұрын

    Same to me🥰

  • @AyshaHamis-qw3gi

    @AyshaHamis-qw3gi

    6 ай бұрын

    Kumbe tuko wengi hata sitak tena kuacha Inshaallah Allah atufanyie wepes kwa hili

  • @user-zz5ng1yb8d

    @user-zz5ng1yb8d

    6 ай бұрын

    Nami nitaanza leo

  • @fayokassim6339
    @fayokassim633911 ай бұрын

    Jazakallahu khyran

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m9 ай бұрын

    Jazakallahu lkheri shekhe wetu allah akuhifadhi na kila hasadi za ndani na nje nakupenda kwa ajili ya allah

  • @nafisagashu5361
    @nafisagashu536111 ай бұрын

    Alhamdulillah shukran,mafundisho yako nimeridhika nayo naona noor njema

  • @zainabiddi8650
    @zainabiddi86509 ай бұрын

    Mashaallah. Jazakallahu kheir sheikh

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi96011 ай бұрын

    MASHALLAH SHEHK MWENYEZI MUNGU ATUWEZESHE INSHALLAH

  • @sadalujuo6624
    @sadalujuo662411 ай бұрын

    Wallahi shekh Othman mungu akulipe kila la kheri mm ni miongoni mwao

  • @mebazaunga8652
    @mebazaunga865211 ай бұрын

    Mashallah!! Allah akuhifadhi sheikh Othman.

  • @mozamoza3960
    @mozamoza396010 ай бұрын

    Masha Allah tabarak Rahman❤

  • @HusseinBahati-wb1gz
    @HusseinBahati-wb1gz5 ай бұрын

    Maashaallah tabbarakallahu.Allah akuhifadhi

  • @MunaYusuf-pv1xu
    @MunaYusuf-pv1xu3 ай бұрын

    Mashallah Allah Shekh Allah akuzidishie kheri na ss uzidi kutupa Elimu na tutumie kwa kheri

  • @MudyChuma-mm9pb
    @MudyChuma-mm9pb12 күн бұрын

    Shukra alhabib twakueleeeeewa shk❤

  • @zainababass2407
    @zainababass2407Ай бұрын

    Naam lnshaallah 🤲🙏🙏🙏

  • @SociedadeSust1234
    @SociedadeSust123411 ай бұрын

    Sheikh Othman Allah akuifadh

  • @zuberhamza7852
    @zuberhamza7852Ай бұрын

    Allaahu akbar

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein418011 ай бұрын

    Allaahuma swalli alaa sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa Swahbihi wa sallim

  • @daudkipkare7550

    @daudkipkare7550

    9 ай бұрын

    Allaahuma swalli Alaah sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa swahbihi wa saliim

  • @user-zz5ng1yb8d

    @user-zz5ng1yb8d

    6 ай бұрын

    Kumbe ni hii allah awalipe kheri zaid

  • @user-jh5px2xl8u

    @user-jh5px2xl8u

    Ай бұрын

    Asanteeni saana kwa kutufungua

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi337711 ай бұрын

    بارك الله فيك اخي الكريم

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan705911 ай бұрын

    MashaaAllah jazakAllah ukheri

  • @salimbiaisha6466
    @salimbiaisha64664 ай бұрын

    Shukran sheikh wetu. Allah akubariki

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65242 ай бұрын

    Ya salam ya salam

  • @zahrabonaya659
    @zahrabonaya65911 ай бұрын

    JazzakAllah khry

  • @zainabuabdi8549
    @zainabuabdi85499 ай бұрын

    Jazakalahu kher

  • @MwanaishaSaid-tw6en
    @MwanaishaSaid-tw6enАй бұрын

    Jamaan me mwenzenu nkisoma napatwa na jisingizi ziitoo Hata sifiki mahali

  • @rayamussa8915
    @rayamussa891511 ай бұрын

    Walwah unafufua imani zetu mana husubutu kukata tamaa Allah akulipe kheir

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi809211 ай бұрын

    Mashallah tabarakalah

  • @abdulnuruhassan8611
    @abdulnuruhassan861111 ай бұрын

    Shukran shekh hosman mayco

  • @athumanimachozi3360
    @athumanimachozi33605 ай бұрын

    Jazzakallahu kheri yaa Sheikh othmani

  • @alisaidabdallah1480
    @alisaidabdallah148011 ай бұрын

    Swadakta Sheikh wetu

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi807911 ай бұрын

    Mashaallah tabarak Allah

  • @mwantumjaff1602
    @mwantumjaff160210 ай бұрын

    A.alaykum, shukran Sheikh ALLAH akulipe dunian na akhera

  • @halimakenya3632
    @halimakenya363211 ай бұрын

    Mashallah

  • @niilmabakar8108
    @niilmabakar810811 ай бұрын

    Allahu maswali wasalim alleh

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki2 ай бұрын

    Shekh unsatisfactory m.mungu akuongize akupe upendeleo waelimu..unachambuwa inaeleweka

  • @nayeemn9275
    @nayeemn927510 ай бұрын

    Mashaa Allah tabaraka Rahman, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka.

  • @mariamkai2705
    @mariamkai270511 ай бұрын

    Mashallah naipenda

  • @DannielMwakyusa-vm8sc
    @DannielMwakyusa-vm8sc9 ай бұрын

    Manshallah shekhe othiman allah akulipe

  • @ibrahimkombe5855
    @ibrahimkombe58553 ай бұрын

    Sheikh wangu leo naskiza mawaidha yako lakini kwenye background nkaskia wimbo wa Zuchu "hunnie" 😂😂

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy2 ай бұрын

    Yani kumswalia mtume ht ukiingia kokote heshima yako inazid ht mabos unashangaa ht ukipanda basi wanakutetemekea. Ht ukikuta watu sehemu wewe unakuwa juu yao. Niamin nawambia

  • @omaryissa2562
    @omaryissa256211 ай бұрын

    Barakallah fiki

  • @Adriana-cs1js
    @Adriana-cs1js5 ай бұрын

    Mashallah sheikh

  • @user-do3zz3ju6s
    @user-do3zz3ju6s11 ай бұрын

    Mashallaah .

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi65848 ай бұрын

    Mashaallah.....kazana Ndugu yangu .

  • @musoneraantoine3649
    @musoneraantoine364911 ай бұрын

    Barakallah fiik

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw10 ай бұрын

    Maashallahu shekhe inshaallah

  • @Azuu-rq6te
    @Azuu-rq6te10 ай бұрын

    MaashaAllah

  • @bahatikatanga
    @bahatikatanga11 ай бұрын

    Mashallah❤❤

  • @fatmahajj8324
    @fatmahajj832411 ай бұрын

    Mashaallah y

  • @SmilingBirdwingButterfly-yq5qt
    @SmilingBirdwingButterfly-yq5qt5 ай бұрын

    Mashaallahu

  • @MudyChuma-mm9pb
    @MudyChuma-mm9pb12 күн бұрын

    Shukra alhabib twakueleeeeewa shk

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki2 ай бұрын

    SHEKH KWAREHMA YA MAMA YAKO.UNAVYO UNAVYO MUENZ MAMA WALLAH.UNAMPA FURAHA ALLAH.ZIDISHA ZAIDI..PIA TUOKOLEE VIZAZI VYETU PLS

  • @user-bt8bk7pm6e
    @user-bt8bk7pm6e8 ай бұрын

    Mimi kweli imeniokoa azkar ya Yunuss. Alhamdulillah.

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r9 ай бұрын

    Assalam alaykum sheikh othman. Allah akulipe kwa kutuelimisha allah akup umr mrefu uendlee kutufundish tucyoyafaham

  • @HabibaSwalehe-bx4wr
    @HabibaSwalehe-bx4wr3 ай бұрын

    Mashaalla allaa ni mwingi wa rehema tumuombe sana sana sana yote yanawezekana

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid45794 ай бұрын

    asalam alykm sheikh. daah mi nakupenda kw ajili y Allah. 😂😂😂😂😂😂👊🏿👊🏿👊🏿🙏🏿

  • @miishhassn
    @miishhassn11 ай бұрын

    Allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰 swala ya mtume inekuwa kam nuru kwang 🥰🥰🥰🥰

  • @user-zz5ng1yb8d

    @user-zz5ng1yb8d

    6 ай бұрын

    Ipi hiyo niandikie tafadhari

  • @miishhassn

    @miishhassn

    6 ай бұрын

    @@user-zz5ng1yb8d allahu maswall alaa sayyidinaa muhammad wa aalihi wa aswhaabihi wasallam 🥰

  • @user-zz5ng1yb8d

    @user-zz5ng1yb8d

    6 ай бұрын

    Shukran sana allah akupe heri Zaid.

  • @miishhassn

    @miishhassn

    6 ай бұрын

    @@user-zz5ng1yb8d aamin

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki2 ай бұрын

    ❤❤❤❤allah akuzidishie ilimu

  • @animamichael3968
    @animamichael396811 ай бұрын

    Shukran

  • @salmakhatib4932
    @salmakhatib49328 ай бұрын

    shukran❤

  • @user-rn1qr8xu9i
    @user-rn1qr8xu9i7 ай бұрын

    mungu akupe maisha marefu ttzd kumswalia ili mungu atusaidie

  • @user-db3hv6zq1d
    @user-db3hv6zq1d11 ай бұрын

    Jazaqallahu kheir.mimi bado napapbana nayo.nafkia hadi 3000 kila siku.nna mwezi mzima.sijafaanikiwa,ila sijakata tamaa na pambana tu

  • @salmaalkyumi6030

    @salmaalkyumi6030

    11 ай бұрын

    Inawezekana hujapata unachokita lkn Allah pengine anakuepusha na mabalaa mengine muhimu tusikate tamaa tuendelezee kwasabb hii ni ibada ukifanya unapata thawabu.

  • @user-db3hv6zq1d

    @user-db3hv6zq1d

    11 ай бұрын

    @@salmaalkyumi6030 ndio.ndo maana nimesema sikati tamaa,naendelea kupambana

  • @zaidinakimolo4538

    @zaidinakimolo4538

    11 ай бұрын

    Kuna sehem unakosea maan swala ya mtu haimuachi mtu tena ndani ya sk 3 au Saba angalia vzr Kuna kitu apo

  • @jabirhussein4180

    @jabirhussein4180

    11 ай бұрын

    Mmhh! Mi nikisoma mara 1500 silali njaa siku hiyo kwa uwezo wa Allaah! Tatizo nna uvivu nikisoma napewa rizqi mfululizo matokeo yake najisahau naacha mpaka nikiishiwa ndio nazinduka niimbeeni Kwa Allaah nidumu na kumswalia mtume

  • @zaidinakimolo4538

    @zaidinakimolo4538

    11 ай бұрын

    @@jabirhussein4180 MashaAllah wallah waislam tunaneema kubwa San twashindwa tu kuitumia

  • @saidfaiz8483
    @saidfaiz84832 ай бұрын

    Aslaam alaikum vipi hali

  • @lelooolomy3105
    @lelooolomy3105Ай бұрын

    Mwenye kuifahamu namna yakuiandika tafadhali aiyandike hapa nii copy

  • @ahmedtalbu5193
    @ahmedtalbu51938 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ShabaniMlangusi
    @ShabaniMlangusi2 ай бұрын

    Shekh elim zote hizi,tiba kumswalia mtume mambo ya uchawi namengine ulisoma miaka mingapi hadi nakuonea wivu wallahi siulizi kwaubaya wallah umejaaliwa

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    Na alikua mkristo kasilimu

  • @HasnutMfuruki
    @HasnutMfuruki2 ай бұрын

    Waliyullah hapana bwana.wewe unashushiwa elimu.sio kawaida.

  • @omanmct135
    @omanmct13510 ай бұрын

    Kiumbe borA kuliko viumbe vyote duniyani❤❤❤❤

  • @Twahilikhamisi
    @Twahilikhamisi11 ай бұрын

    M Allah ajanipa nachokitak ila siku nisipofnya adhikari :basi nahisi kqm Kuna kitu sijafnya na piah nautulivu San katka moyo

  • @samiraselemani8045
    @samiraselemani804511 ай бұрын

    🎉mungu akubaluki

  • @hakizimanaramadhani5222
    @hakizimanaramadhani52223 ай бұрын

    Tusaidiyeni ni ipi swala hiyo ya mtume tutumiyeni nayo.ao ni ile inayosema ALLAHUMMA SWALLI ALA MUHAMMADIN HADI MWISHO ???

  • @ummyayman9449
    @ummyayman94494 ай бұрын

    Tufundishe na ufunguo wa pepo za umasikini tushazisikia

  • @user-lx4bj8di6h
    @user-lx4bj8di6h8 ай бұрын

    Mm pia nishuhuda swala ya mtume tusiiache

  • @ElizabethLizzy-pk3zj
    @ElizabethLizzy-pk3zj10 ай бұрын

    Assallam walky warakumatullah wabrakatullah,,niulize sheikh huna what'sp

  • @sadamakame7684
    @sadamakame768410 ай бұрын

    Assalamu alaykum, shekh othman naomba no zako nnashida binafsi kuhusu izo dhikr

  • @user-xx9nu4ks3j
    @user-xx9nu4ks3j7 ай бұрын

    Assalamu Alaykum sheikh mie natimiza mwezi namsalim bw Mtume ila bado rizki zangu ni ngumu jee nina tatizo gani

  • @zainabuabdi8549
    @zainabuabdi85499 ай бұрын

    Swadhakat

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon184011 ай бұрын

    Mashaaallaah

  • @user-ep7we8br6r
    @user-ep7we8br6r9 ай бұрын

    Kiukwel nafx yngu husuuzika niwackiapo kwa darsa zenu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania974311 ай бұрын

    Wallah nimejikuta tu natabasamu kusikia allah alimuita kwa jina lautani ni kweli hapo kweli ulikuwa utani

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw11 ай бұрын

    Yani kwenye channel tunashiba. Kama tunakula chakula kitamu. Alhamdulilah.

  • @araphabaraza3997

    @araphabaraza3997

    11 ай бұрын

    Alhamdulliahi! Shekh, binafsi nimeanza kupata majibu Shekh! Nimepata vile Vifaa nilivyokupigia kukueleza Shekh! Muda si mrefu kiwanda kitaanza. Naendekea kumsalia mtume wetu Muhammad! Swallallauwasallam! Amina!

  • @faridaikussi

    @faridaikussi

    9 ай бұрын

    ​@@araphabaraza3997subhaanallah Allahu akbaru

  • @user-ko4wq5eu1z
    @user-ko4wq5eu1z7 ай бұрын

    Mashaalla aallahu akuzidishiye elimu akupe umri murefu

  • @flowerbee5704
    @flowerbee570411 ай бұрын

    Mashallah

Келесі