HII SALA YA MTUME USIIWACHE FUNGUA RIZIKI POA MARADHI BADILISHA MAISHA
Жүктеу.....
Пікірлер: 184
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
Shekh Michael tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AsnatiAmiriАй бұрын
Shukran sana shekh wetu Allah akuingize pepo ya juu uingie pamoja na mtume wetu Muhammad kwa utukufu wake Allah
@Marjeby11 ай бұрын
Mungu akujaze kheri nyingi wallah wangu Sheikh Othuman ni mtu wa kwanza kabisa kupitia kwake nimejua umuhimu wa swala ya bwana mtume na nimekuwa nafata maelekezo yake tangu kipindi hicho mungu shahidi yangu nimebadilisha maisha yangu sana sana mie ni msomi wa degree ya sheria lakini ilifikia kipindi hata sioni umuhimu wa kuwa na degree ya sheria but tangu nilipo mjua sheikh Othuman na maelekezo yake juu ya swala ya bwana mtume wallah naona umuhimu wa elimu yangu,mungu amenifungulia neema mpaka nashangaa nna kila kitu nimeoa pia naishi vizuri sana hakuna mtu atakuja niachanisha na swala za bwana mtume mpaka kufa kwangu. Nakuombea sana mungu akupe umri mrefu akupe zaidi ya anayotupa sisi kupitia mawadhi yako wewe na kizazi chako pamoja na walimu wako pia sijawahi kukusahau kwenye dua zangu. Now nafanya kazi nje ya Tanzania but siku nikifika Tanzania sheikh wangu lazma nije kukueleza ushuhuda wangu uso kwa macho.
@user-do8yb7ff3v
11 ай бұрын
Mashalah ntaanza kesho inshalh
@mwadawaidd1751
11 ай бұрын
Unaifanya Mara ngapi,usiku au mchana,
@Marjeby
11 ай бұрын
Nafanya usiku siku nikiwa na nguvu nafanya mara 1570 but nyingi nafanya si chini ya 1000
@mwadawaidd1751
11 ай бұрын
Shukraan ,unatia vipi Nia,Kuna wakati nikifanya mwili unasisimka ,je hizi hal ni za kawaida?na zina maana gani
@samiraselemani8045
11 ай бұрын
🎉sawa
@SumaiyahHassan-yr1prАй бұрын
Swala hii inanipa aman kila nikihisi tafran😭❤❤❤❤Alhamndulilh Allah akuhifadh shekh othman
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
Shekh Michael unatupa masomo mazuri sana. Tunashiba, tunajisikia vizuri moyoni. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu
@usseneabelnfalume-sr2kx9 ай бұрын
Sheikh Othman Eu te Amo por causa de Allah, Sou de Moçambique🇲🇿
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Walahi from tha bottom of my ❤️.....l love this guy Allahu Akbar
@najlaskitchen157211 ай бұрын
Swala ya mtume imenipa vitu siku tarajia ntavipata..jazzakallahu kheir😢❤
@saidbahanuzi
11 ай бұрын
Unamswalie unatumia swala ipi ya mtu ndugu yangu
@yusufmod1437
11 ай бұрын
Tupeni Siri ndugu zetu
@user-db3hv6zq1d
11 ай бұрын
@@saidbahanuzi mimi natumia ile ya allahumma swalii Alaa sayyidna Muhammad waalaa alihii wa as'wahabihii.
@saidbahanuzi
11 ай бұрын
@@yusufmod1437Asalamu aleykum kaka nilicho gundua mpaka sasa ukimswalia sana mtume swalallahu alayhiwasalm unakuwa na Furaha atakama lileunaloliomba halijakuwa unahisi Kama sasa ivi litakuwa ishallah tusiwache kumswalia ili tupate wepesi katika harakati za maisha
@Catherine-mh8sw
11 ай бұрын
@@user-db3hv6zq1dunasoma ngapi kwa siku?
@user-ep7we8br6r9 ай бұрын
Nakupenda kwa ajil ya m/ mungu wew na sheikh othuman maalim,,,sheikh walid Alhad jazzaqalah kh'aira allah akulipen
@BABYRAMAMINA-rj4vy11 ай бұрын
Mm na na namuomba allah anijaalie pepo ya dunia na ahera nautlivu INSHAALAH KWA SIFA HABIBUNA MUHAMMAD( S. A.w)
@salmaalkyumi603011 ай бұрын
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@SaalimmodyAbubakar-mn1sg18 күн бұрын
Mashallaah sheikh wangu
@BimwanaMohamedi-ql4ph8 ай бұрын
Mashaallah sheghe Osman mungu akupe maisha marefu na akuepushie na moto na akupe Nuru kwenye kaburi lako
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
❤Masha ALLAH
@user-ll2ti1yk7c4 ай бұрын
Shehe jitahidi kutoka daawa maana watu wengi wanarudi upande wa Allah na fadhwila zako ziko kwa Allah inshaallah hakika Dunia nzima inakupenda mashaallah Mimi nafulahi kwa majambo unayofanya shehe
@user-pk3si6ku4f19 күн бұрын
Mansha’Allah Jazaakum Allah Kheir Shukran Shekh
@chimamyjey147911 ай бұрын
Shukrani shekh Allah akulipe ujira mkubwa sana na ukawe mja WA Pepo ya firsaus kesho Kwa Allah,,,,,,,nimeona maajabuu makubwa ambayo sijategemea km ipo siku neema hizi zitatokea.... Alhamdhulilh,swala ya mtume hakika ndio kiboko ya mafanikio Ila zingatio ,ukianza tu usiache iwe kawaida utaona maajabuu mengi sana.
@saeedsaeed738111 ай бұрын
Masha Allah very beneficial lecture BarakAllah feek
@jumadawa1968
11 ай бұрын
Asalaamu alaykumu warahmutullahi naomba uniherekeze jisi nya kuswalia mtume tafadhali
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Ninapo sikia sauti hii najihisi kana kwamba tuko peponi.....😂
@nasradada705011 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله. Allah atu raisishie kweli mi wakati Niki leta dhikri iyo Hua afanya moyo baridi na pia kua na furaha Ila bada YA mm ukiacha siku mbili Allahu Akbar mtihani kweli
@miishhassn
11 ай бұрын
Same to me🥰
@AyshaHamis-qw3gi
6 ай бұрын
Kumbe tuko wengi hata sitak tena kuacha Inshaallah Allah atufanyie wepes kwa hili
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Nami nitaanza leo
@fayokassim633911 ай бұрын
Jazakallahu khyran
@user-sh7id8of5m9 ай бұрын
Jazakallahu lkheri shekhe wetu allah akuhifadhi na kila hasadi za ndani na nje nakupenda kwa ajili ya allah
@nafisagashu536111 ай бұрын
Alhamdulillah shukran,mafundisho yako nimeridhika nayo naona noor njema
@zainabiddi86509 ай бұрын
Mashaallah. Jazakallahu kheir sheikh
@fatumakambi96011 ай бұрын
MASHALLAH SHEHK MWENYEZI MUNGU ATUWEZESHE INSHALLAH
@sadalujuo662411 ай бұрын
Wallahi shekh Othman mungu akulipe kila la kheri mm ni miongoni mwao
@mebazaunga865211 ай бұрын
Mashallah!! Allah akuhifadhi sheikh Othman.
@mozamoza396010 ай бұрын
Masha Allah tabarak Rahman❤
@HusseinBahati-wb1gz5 ай бұрын
Maashaallah tabbarakallahu.Allah akuhifadhi
@MunaYusuf-pv1xu3 ай бұрын
Mashallah Allah Shekh Allah akuzidishie kheri na ss uzidi kutupa Elimu na tutumie kwa kheri
@MudyChuma-mm9pb12 күн бұрын
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk❤
@zainababass2407Ай бұрын
Naam lnshaallah 🤲🙏🙏🙏
@SociedadeSust123411 ай бұрын
Sheikh Othman Allah akuifadh
@zuberhamza7852Ай бұрын
Allaahu akbar
@jabirhussein418011 ай бұрын
Allaahuma swalli alaa sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa Swahbihi wa sallim
@daudkipkare7550
9 ай бұрын
Allaahuma swalli Alaah sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa swahbihi wa saliim
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Kumbe ni hii allah awalipe kheri zaid
@user-jh5px2xl8u
Ай бұрын
Asanteeni saana kwa kutufungua
@athumanikhamisi337711 ай бұрын
بارك الله فيك اخي الكريم
@mwanaramadhan705911 ай бұрын
MashaaAllah jazakAllah ukheri
@salimbiaisha64664 ай бұрын
Shukran sheikh wetu. Allah akubariki
@yusufuheri65242 ай бұрын
Ya salam ya salam
@zahrabonaya65911 ай бұрын
JazzakAllah khry
@zainabuabdi85499 ай бұрын
Jazakalahu kher
@MwanaishaSaid-tw6enАй бұрын
Jamaan me mwenzenu nkisoma napatwa na jisingizi ziitoo Hata sifiki mahali
@rayamussa891511 ай бұрын
Walwah unafufua imani zetu mana husubutu kukata tamaa Allah akulipe kheir
@umazimwambezi809211 ай бұрын
Mashallah tabarakalah
@abdulnuruhassan861111 ай бұрын
Shukran shekh hosman mayco
@athumanimachozi33605 ай бұрын
Jazzakallahu kheri yaa Sheikh othmani
@alisaidabdallah148011 ай бұрын
Swadakta Sheikh wetu
@faridahkavochi807911 ай бұрын
Mashaallah tabarak Allah
@mwantumjaff160210 ай бұрын
A.alaykum, shukran Sheikh ALLAH akulipe dunian na akhera
Mashaa Allah tabaraka Rahman, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka.
@mariamkai270511 ай бұрын
Mashallah naipenda
@DannielMwakyusa-vm8sc9 ай бұрын
Manshallah shekhe othiman allah akulipe
@ibrahimkombe58553 ай бұрын
Sheikh wangu leo naskiza mawaidha yako lakini kwenye background nkaskia wimbo wa Zuchu "hunnie" 😂😂
@TwaliathAndrea-dm3dy2 ай бұрын
Yani kumswalia mtume ht ukiingia kokote heshima yako inazid ht mabos unashangaa ht ukipanda basi wanakutetemekea. Ht ukikuta watu sehemu wewe unakuwa juu yao. Niamin nawambia
@omaryissa256211 ай бұрын
Barakallah fiki
@Adriana-cs1js5 ай бұрын
Mashallah sheikh
@user-do3zz3ju6s11 ай бұрын
Mashallaah .
@rahmahersi65848 ай бұрын
Mashaallah.....kazana Ndugu yangu .
@musoneraantoine364911 ай бұрын
Barakallah fiik
@AshaHassan-fl8tw10 ай бұрын
Maashallahu shekhe inshaallah
@Azuu-rq6te10 ай бұрын
MaashaAllah
@bahatikatanga11 ай бұрын
Mashallah❤❤
@fatmahajj832411 ай бұрын
Mashaallah y
@SmilingBirdwingButterfly-yq5qt5 ай бұрын
Mashaallahu
@MudyChuma-mm9pb12 күн бұрын
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk
@HasnutMfuruki2 ай бұрын
SHEKH KWAREHMA YA MAMA YAKO.UNAVYO UNAVYO MUENZ MAMA WALLAH.UNAMPA FURAHA ALLAH.ZIDISHA ZAIDI..PIA TUOKOLEE VIZAZI VYETU PLS
@user-bt8bk7pm6e8 ай бұрын
Mimi kweli imeniokoa azkar ya Yunuss. Alhamdulillah.
@user-ep7we8br6r9 ай бұрын
Assalam alaykum sheikh othman. Allah akulipe kwa kutuelimisha allah akup umr mrefu uendlee kutufundish tucyoyafaham
@HabibaSwalehe-bx4wr3 ай бұрын
Mashaalla allaa ni mwingi wa rehema tumuombe sana sana sana yote yanawezekana
@abdulsaid45794 ай бұрын
asalam alykm sheikh. daah mi nakupenda kw ajili y Allah. 😂😂😂😂😂😂👊🏿👊🏿👊🏿🙏🏿
@miishhassn11 ай бұрын
Allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰 swala ya mtume inekuwa kam nuru kwang 🥰🥰🥰🥰
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Ipi hiyo niandikie tafadhari
@miishhassn
6 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d allahu maswall alaa sayyidinaa muhammad wa aalihi wa aswhaabihi wasallam 🥰
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Shukran sana allah akupe heri Zaid.
@miishhassn
6 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d aamin
@HasnutMfuruki2 ай бұрын
❤❤❤❤allah akuzidishie ilimu
@animamichael396811 ай бұрын
Shukran
@salmakhatib49328 ай бұрын
shukran❤
@user-rn1qr8xu9i7 ай бұрын
mungu akupe maisha marefu ttzd kumswalia ili mungu atusaidie
@user-db3hv6zq1d11 ай бұрын
Jazaqallahu kheir.mimi bado napapbana nayo.nafkia hadi 3000 kila siku.nna mwezi mzima.sijafaanikiwa,ila sijakata tamaa na pambana tu
@salmaalkyumi6030
11 ай бұрын
Inawezekana hujapata unachokita lkn Allah pengine anakuepusha na mabalaa mengine muhimu tusikate tamaa tuendelezee kwasabb hii ni ibada ukifanya unapata thawabu.
@user-db3hv6zq1d
11 ай бұрын
@@salmaalkyumi6030 ndio.ndo maana nimesema sikati tamaa,naendelea kupambana
@zaidinakimolo4538
11 ай бұрын
Kuna sehem unakosea maan swala ya mtu haimuachi mtu tena ndani ya sk 3 au Saba angalia vzr Kuna kitu apo
@jabirhussein4180
11 ай бұрын
Mmhh! Mi nikisoma mara 1500 silali njaa siku hiyo kwa uwezo wa Allaah! Tatizo nna uvivu nikisoma napewa rizqi mfululizo matokeo yake najisahau naacha mpaka nikiishiwa ndio nazinduka niimbeeni Kwa Allaah nidumu na kumswalia mtume
@zaidinakimolo4538
11 ай бұрын
@@jabirhussein4180 MashaAllah wallah waislam tunaneema kubwa San twashindwa tu kuitumia
@saidfaiz84832 ай бұрын
Aslaam alaikum vipi hali
@lelooolomy3105Ай бұрын
Mwenye kuifahamu namna yakuiandika tafadhali aiyandike hapa nii copy
@ahmedtalbu51938 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ShabaniMlangusi2 ай бұрын
Shekh elim zote hizi,tiba kumswalia mtume mambo ya uchawi namengine ulisoma miaka mingapi hadi nakuonea wivu wallahi siulizi kwaubaya wallah umejaaliwa
Пікірлер: 184
Shekh Michael tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shukran sana shekh wetu Allah akuingize pepo ya juu uingie pamoja na mtume wetu Muhammad kwa utukufu wake Allah
Mungu akujaze kheri nyingi wallah wangu Sheikh Othuman ni mtu wa kwanza kabisa kupitia kwake nimejua umuhimu wa swala ya bwana mtume na nimekuwa nafata maelekezo yake tangu kipindi hicho mungu shahidi yangu nimebadilisha maisha yangu sana sana mie ni msomi wa degree ya sheria lakini ilifikia kipindi hata sioni umuhimu wa kuwa na degree ya sheria but tangu nilipo mjua sheikh Othuman na maelekezo yake juu ya swala ya bwana mtume wallah naona umuhimu wa elimu yangu,mungu amenifungulia neema mpaka nashangaa nna kila kitu nimeoa pia naishi vizuri sana hakuna mtu atakuja niachanisha na swala za bwana mtume mpaka kufa kwangu. Nakuombea sana mungu akupe umri mrefu akupe zaidi ya anayotupa sisi kupitia mawadhi yako wewe na kizazi chako pamoja na walimu wako pia sijawahi kukusahau kwenye dua zangu. Now nafanya kazi nje ya Tanzania but siku nikifika Tanzania sheikh wangu lazma nije kukueleza ushuhuda wangu uso kwa macho.
@user-do8yb7ff3v
11 ай бұрын
Mashalah ntaanza kesho inshalh
@mwadawaidd1751
11 ай бұрын
Unaifanya Mara ngapi,usiku au mchana,
@Marjeby
11 ай бұрын
Nafanya usiku siku nikiwa na nguvu nafanya mara 1570 but nyingi nafanya si chini ya 1000
@mwadawaidd1751
11 ай бұрын
Shukraan ,unatia vipi Nia,Kuna wakati nikifanya mwili unasisimka ,je hizi hal ni za kawaida?na zina maana gani
@samiraselemani8045
11 ай бұрын
🎉sawa
Swala hii inanipa aman kila nikihisi tafran😭❤❤❤❤Alhamndulilh Allah akuhifadh shekh othman
Shekh Michael unatupa masomo mazuri sana. Tunashiba, tunajisikia vizuri moyoni. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu
Sheikh Othman Eu te Amo por causa de Allah, Sou de Moçambique🇲🇿
Walahi from tha bottom of my ❤️.....l love this guy Allahu Akbar
Swala ya mtume imenipa vitu siku tarajia ntavipata..jazzakallahu kheir😢❤
@saidbahanuzi
11 ай бұрын
Unamswalie unatumia swala ipi ya mtu ndugu yangu
@yusufmod1437
11 ай бұрын
Tupeni Siri ndugu zetu
@user-db3hv6zq1d
11 ай бұрын
@@saidbahanuzi mimi natumia ile ya allahumma swalii Alaa sayyidna Muhammad waalaa alihii wa as'wahabihii.
@saidbahanuzi
11 ай бұрын
@@yusufmod1437Asalamu aleykum kaka nilicho gundua mpaka sasa ukimswalia sana mtume swalallahu alayhiwasalm unakuwa na Furaha atakama lileunaloliomba halijakuwa unahisi Kama sasa ivi litakuwa ishallah tusiwache kumswalia ili tupate wepesi katika harakati za maisha
@Catherine-mh8sw
11 ай бұрын
@@user-db3hv6zq1dunasoma ngapi kwa siku?
Nakupenda kwa ajil ya m/ mungu wew na sheikh othuman maalim,,,sheikh walid Alhad jazzaqalah kh'aira allah akulipen
Mm na na namuomba allah anijaalie pepo ya dunia na ahera nautlivu INSHAALAH KWA SIFA HABIBUNA MUHAMMAD( S. A.w)
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mashallaah sheikh wangu
Mashaallah sheghe Osman mungu akupe maisha marefu na akuepushie na moto na akupe Nuru kwenye kaburi lako
❤Masha ALLAH
Shehe jitahidi kutoka daawa maana watu wengi wanarudi upande wa Allah na fadhwila zako ziko kwa Allah inshaallah hakika Dunia nzima inakupenda mashaallah Mimi nafulahi kwa majambo unayofanya shehe
Mansha’Allah Jazaakum Allah Kheir Shukran Shekh
Shukrani shekh Allah akulipe ujira mkubwa sana na ukawe mja WA Pepo ya firsaus kesho Kwa Allah,,,,,,,nimeona maajabuu makubwa ambayo sijategemea km ipo siku neema hizi zitatokea.... Alhamdhulilh,swala ya mtume hakika ndio kiboko ya mafanikio Ila zingatio ,ukianza tu usiache iwe kawaida utaona maajabuu mengi sana.
Masha Allah very beneficial lecture BarakAllah feek
@jumadawa1968
11 ай бұрын
Asalaamu alaykumu warahmutullahi naomba uniherekeze jisi nya kuswalia mtume tafadhali
Ninapo sikia sauti hii najihisi kana kwamba tuko peponi.....😂
ماشاء الله تبارك الله. Allah atu raisishie kweli mi wakati Niki leta dhikri iyo Hua afanya moyo baridi na pia kua na furaha Ila bada YA mm ukiacha siku mbili Allahu Akbar mtihani kweli
@miishhassn
11 ай бұрын
Same to me🥰
@AyshaHamis-qw3gi
6 ай бұрын
Kumbe tuko wengi hata sitak tena kuacha Inshaallah Allah atufanyie wepes kwa hili
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Nami nitaanza leo
Jazakallahu khyran
Jazakallahu lkheri shekhe wetu allah akuhifadhi na kila hasadi za ndani na nje nakupenda kwa ajili ya allah
Alhamdulillah shukran,mafundisho yako nimeridhika nayo naona noor njema
Mashaallah. Jazakallahu kheir sheikh
MASHALLAH SHEHK MWENYEZI MUNGU ATUWEZESHE INSHALLAH
Wallahi shekh Othman mungu akulipe kila la kheri mm ni miongoni mwao
Mashallah!! Allah akuhifadhi sheikh Othman.
Masha Allah tabarak Rahman❤
Maashaallah tabbarakallahu.Allah akuhifadhi
Mashallah Allah Shekh Allah akuzidishie kheri na ss uzidi kutupa Elimu na tutumie kwa kheri
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk❤
Naam lnshaallah 🤲🙏🙏🙏
Sheikh Othman Allah akuifadh
Allaahu akbar
Allaahuma swalli alaa sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa Swahbihi wa sallim
@daudkipkare7550
9 ай бұрын
Allaahuma swalli Alaah sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa swahbihi wa saliim
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Kumbe ni hii allah awalipe kheri zaid
@user-jh5px2xl8u
Ай бұрын
Asanteeni saana kwa kutufungua
بارك الله فيك اخي الكريم
MashaaAllah jazakAllah ukheri
Shukran sheikh wetu. Allah akubariki
Ya salam ya salam
JazzakAllah khry
Jazakalahu kher
Jamaan me mwenzenu nkisoma napatwa na jisingizi ziitoo Hata sifiki mahali
Walwah unafufua imani zetu mana husubutu kukata tamaa Allah akulipe kheir
Mashallah tabarakalah
Shukran shekh hosman mayco
Jazzakallahu kheri yaa Sheikh othmani
Swadakta Sheikh wetu
Mashaallah tabarak Allah
A.alaykum, shukran Sheikh ALLAH akulipe dunian na akhera
Mashallah
Allahu maswali wasalim alleh
Shekh unsatisfactory m.mungu akuongize akupe upendeleo waelimu..unachambuwa inaeleweka
Mashaa Allah tabaraka Rahman, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka.
Mashallah naipenda
Manshallah shekhe othiman allah akulipe
Sheikh wangu leo naskiza mawaidha yako lakini kwenye background nkaskia wimbo wa Zuchu "hunnie" 😂😂
Yani kumswalia mtume ht ukiingia kokote heshima yako inazid ht mabos unashangaa ht ukipanda basi wanakutetemekea. Ht ukikuta watu sehemu wewe unakuwa juu yao. Niamin nawambia
Barakallah fiki
Mashallah sheikh
Mashallaah .
Mashaallah.....kazana Ndugu yangu .
Barakallah fiik
Maashallahu shekhe inshaallah
MaashaAllah
Mashallah❤❤
Mashaallah y
Mashaallahu
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk
SHEKH KWAREHMA YA MAMA YAKO.UNAVYO UNAVYO MUENZ MAMA WALLAH.UNAMPA FURAHA ALLAH.ZIDISHA ZAIDI..PIA TUOKOLEE VIZAZI VYETU PLS
Mimi kweli imeniokoa azkar ya Yunuss. Alhamdulillah.
Assalam alaykum sheikh othman. Allah akulipe kwa kutuelimisha allah akup umr mrefu uendlee kutufundish tucyoyafaham
Mashaalla allaa ni mwingi wa rehema tumuombe sana sana sana yote yanawezekana
asalam alykm sheikh. daah mi nakupenda kw ajili y Allah. 😂😂😂😂😂😂👊🏿👊🏿👊🏿🙏🏿
Allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰 swala ya mtume inekuwa kam nuru kwang 🥰🥰🥰🥰
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Ipi hiyo niandikie tafadhari
@miishhassn
6 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d allahu maswall alaa sayyidinaa muhammad wa aalihi wa aswhaabihi wasallam 🥰
@user-zz5ng1yb8d
6 ай бұрын
Shukran sana allah akupe heri Zaid.
@miishhassn
6 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d aamin
❤❤❤❤allah akuzidishie ilimu
Shukran
shukran❤
mungu akupe maisha marefu ttzd kumswalia ili mungu atusaidie
Jazaqallahu kheir.mimi bado napapbana nayo.nafkia hadi 3000 kila siku.nna mwezi mzima.sijafaanikiwa,ila sijakata tamaa na pambana tu
@salmaalkyumi6030
11 ай бұрын
Inawezekana hujapata unachokita lkn Allah pengine anakuepusha na mabalaa mengine muhimu tusikate tamaa tuendelezee kwasabb hii ni ibada ukifanya unapata thawabu.
@user-db3hv6zq1d
11 ай бұрын
@@salmaalkyumi6030 ndio.ndo maana nimesema sikati tamaa,naendelea kupambana
@zaidinakimolo4538
11 ай бұрын
Kuna sehem unakosea maan swala ya mtu haimuachi mtu tena ndani ya sk 3 au Saba angalia vzr Kuna kitu apo
@jabirhussein4180
11 ай бұрын
Mmhh! Mi nikisoma mara 1500 silali njaa siku hiyo kwa uwezo wa Allaah! Tatizo nna uvivu nikisoma napewa rizqi mfululizo matokeo yake najisahau naacha mpaka nikiishiwa ndio nazinduka niimbeeni Kwa Allaah nidumu na kumswalia mtume
@zaidinakimolo4538
11 ай бұрын
@@jabirhussein4180 MashaAllah wallah waislam tunaneema kubwa San twashindwa tu kuitumia
Aslaam alaikum vipi hali
Mwenye kuifahamu namna yakuiandika tafadhali aiyandike hapa nii copy
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Shekh elim zote hizi,tiba kumswalia mtume mambo ya uchawi namengine ulisoma miaka mingapi hadi nakuonea wivu wallahi siulizi kwaubaya wallah umejaaliwa
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Na alikua mkristo kasilimu
Waliyullah hapana bwana.wewe unashushiwa elimu.sio kawaida.
Kiumbe borA kuliko viumbe vyote duniyani❤❤❤❤
M Allah ajanipa nachokitak ila siku nisipofnya adhikari :basi nahisi kqm Kuna kitu sijafnya na piah nautulivu San katka moyo
🎉mungu akubaluki
Tusaidiyeni ni ipi swala hiyo ya mtume tutumiyeni nayo.ao ni ile inayosema ALLAHUMMA SWALLI ALA MUHAMMADIN HADI MWISHO ???
Tufundishe na ufunguo wa pepo za umasikini tushazisikia
Mm pia nishuhuda swala ya mtume tusiiache
Assallam walky warakumatullah wabrakatullah,,niulize sheikh huna what'sp
Assalamu alaykum, shekh othman naomba no zako nnashida binafsi kuhusu izo dhikr
Assalamu Alaykum sheikh mie natimiza mwezi namsalim bw Mtume ila bado rizki zangu ni ngumu jee nina tatizo gani
Swadhakat
Mashaaallaah
Kiukwel nafx yngu husuuzika niwackiapo kwa darsa zenu
Wallah nimejikuta tu natabasamu kusikia allah alimuita kwa jina lautani ni kweli hapo kweli ulikuwa utani
Yani kwenye channel tunashiba. Kama tunakula chakula kitamu. Alhamdulilah.
@araphabaraza3997
11 ай бұрын
Alhamdulliahi! Shekh, binafsi nimeanza kupata majibu Shekh! Nimepata vile Vifaa nilivyokupigia kukueleza Shekh! Muda si mrefu kiwanda kitaanza. Naendekea kumsalia mtume wetu Muhammad! Swallallauwasallam! Amina!
@faridaikussi
9 ай бұрын
@@araphabaraza3997subhaanallah Allahu akbaru
Mashaalla aallahu akuzidishiye elimu akupe umri murefu
Mashallah