SAMATTA AONGEA NA RAIS SAMIA AMUAHIDI MAKUBWA MECHI YA STARS

Пікірлер: 52

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020246 ай бұрын

    Dr. Samia, asante sana kwa wema wako na hekima yako ya kuwa-encourage wachezaji wa timu yetu ya Taifa. Tunakushukuru kwa ku-promote michezo nchini na nje ya nchi yetu.

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario88956 ай бұрын

    Yan inauma mpaka nachekaa tu mwenyewe

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_6 ай бұрын

    Mmejitahid Saaana Ndugu zetu mnatuwakilisha vema Saaana , Morocco sio timu ndogo saana

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja70056 ай бұрын

    Kupambania timu ni jambo na kutoiangusha chini ni jambo lingune mikono hiyo sisi Bado sanaaa.

  • @Mikael-xh4cp
    @Mikael-xh4cp6 ай бұрын

    drama nyingi mpira sio drama take notes from the other AFCON teams acheni usenge wa kiki na siasa spend money on investing in the team mnakazwa sana wanasiasa wa TZ

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr6 ай бұрын

    Morocco nitimu ngumu sana hamuwezi

  • @charlesmoremi7262
    @charlesmoremi72626 ай бұрын

    Makubwa aliyomwahidi tumeyaona. 3:0

  • @shabanisaleeh4541

    @shabanisaleeh4541

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 chukuwa ww na refa

  • @user-ry9yw6mn4x
    @user-ry9yw6mn4x5 ай бұрын

    Mungu ilinde taifa sta

  • @SebastianDaniel-es4rf
    @SebastianDaniel-es4rf6 ай бұрын

    Hata moroco nao wameongea na Rais wao😂

  • @amedeuskimario8895

    @amedeuskimario8895

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅

  • @davidsika5292
    @davidsika52926 ай бұрын

    Daaaaa😂😂😂 tz nchi yangu tumefungwa 3

  • @Abdulmarickshamsi-xl7ry
    @Abdulmarickshamsi-xl7ry6 ай бұрын

    No discussion no performance no getting yields

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf6 ай бұрын

    Bora ingeenda mlandege ingetobowa maaana.mlandegee wapo kiushindani hawa wavivu.halafu washachoka

  • @ImmaThelonewolf-bk2cx
    @ImmaThelonewolf-bk2cx6 ай бұрын

    Hapa ndipo tatizo lilianzia

  • @hoseajankey3668
    @hoseajankey36686 ай бұрын

    Natamani kuiombea ushindi taifa stars, Nikikumbuka ikishinda mtaanza kusema Mama anaupiga mwingi mara ni mafanikio ya Mama Naona tu bora ipigwe zakutosha huko

  • @hoseajankey3668
    @hoseajankey36686 ай бұрын

    Mnaleta siasa kwenye soccer, mkapigwe tu hadi mshangae

  • @user-xe7wx1xu3k
    @user-xe7wx1xu3k6 ай бұрын

    😅😂😂😂😂😂 siasa na mpira ndomana tumekandwa

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab91036 ай бұрын

    Makubwa yepi offtime goli moja tyr 😂

  • @anoldjose7793

    @anoldjose7793

    6 ай бұрын

    😁😁😁

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu6 ай бұрын

    MBwana samata use mkweli kwamba kuna kitu gani kinakufanya usiparfome Vizuri kwenye timu ya Taifa star! Mbona vilabu vya Huko uliko unafanya Vizuri Sana! Jamani mbona Aishi kaonyesha jitihada zake?

  • @vibetz9991
    @vibetz99916 ай бұрын

    Taifa stars kichwa cha mwendawazimu,,, kuongea na mama haina faida yoyote ni matumizi mabaya ya bando tu😢

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    Mzee Morocco ni semi finalist wa kombe la dunia usidhani walicheza na burundi

  • @anoldjose7793

    @anoldjose7793

    6 ай бұрын

    😂😂😂 au kacheza na Djubut

  • @josephkiwale374

    @josephkiwale374

    6 ай бұрын

    Kiongz morroco ipo nafasi ya ishirini kwenye rank ya FIFA wakat tz ni ya 120 na kitu ,,hlo nalo uliangalie kabla yakutukana

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    @@josephkiwale374 imezizidi nchi kibao za ulaya

  • @japhetkavishe2347

    @japhetkavishe2347

    6 ай бұрын

    Usisahau kuweka rank za msumbiji na misri au Namibia na Tunisia pia

  • @revocatusnyerenga5914
    @revocatusnyerenga59146 ай бұрын

    😅😅😅 kupambanaa

  • @user-vu5yp6tu2e
    @user-vu5yp6tu2e6 ай бұрын

    Nadhani umeona mambo yanavyo kwenda Morocco wametembea juu ya mpira

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian6616 ай бұрын

    Tuweke wanajeshi ktk timu ya taifa stars

  • @selemaniomari158
    @selemaniomari1586 ай бұрын

    Hatujakataa tumefungwa ila na refaa kachangia kutumatisha tamaa

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah66696 ай бұрын

    Ni feki huyo hajitumi na Hana msaada kabisa uwanjani

  • @magorymara5515
    @magorymara55156 ай бұрын

    Kaputen amechoka toka kipindi cha TP Mazembe ya zaman mpaka sasa bado yupo tim ya taifa wenzake wote walishatemwa akina Tomas ulimwengu Shishimbi na wengneo ni wakati wa kuwafukuza hao vikongwe

  • @hans_tech0015
    @hans_tech00156 ай бұрын

    tuliion makubw like hp

  • @chitwangandembo6302
    @chitwangandembo63026 ай бұрын

    Wampumzishe manura hamna kipa hapo😂

  • @midfieldrhythm
    @midfieldrhythm6 ай бұрын

    Haisaidi chochote😂

  • @flm1530
    @flm15306 ай бұрын

    Ataweza kwel?😂

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo6 ай бұрын

    Refa kazinguwa

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61246 ай бұрын

    😂😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs6 ай бұрын

    Tumekandwa😂😂😂😂3kwa 0

  • @SATZ-news
    @SATZ-news6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ReganKimaro-kr7nn
    @ReganKimaro-kr7nn6 ай бұрын

    Hata mimi naona😅 Gongo tatu murua kabisa. Tusidanganyane bana N'gombe hanenepi siku ya mnada. Maandali ni zero zero hamna kitu..na uwezo wetu umeishia hapo.

  • @alexandersanga8461

    @alexandersanga8461

    6 ай бұрын

    Kabisa

  • @hanafhamad2801
    @hanafhamad28016 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 kazi imeendelea vyema mm ushauri wangu sijui nishauri nn 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi2116 ай бұрын

    Şamata zilipendwa??? Nothing to offer

  • @aloyceayubu2887
    @aloyceayubu28876 ай бұрын

    Mnaleta wazee Samatta hakosi 40 years

  • @SATZ-news
    @SATZ-news6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Келесі