SAMATTA AONGEA NA RAIS SAMIA AMUAHIDI MAKUBWA MECHI YA STARS
Жүктеу.....
Пікірлер: 52
@kambamazig020246 ай бұрын
Dr. Samia, asante sana kwa wema wako na hekima yako ya kuwa-encourage wachezaji wa timu yetu ya Taifa. Tunakushukuru kwa ku-promote michezo nchini na nje ya nchi yetu.
@amedeuskimario88956 ай бұрын
Yan inauma mpaka nachekaa tu mwenyewe
@ndukulusudikucho_6 ай бұрын
Mmejitahid Saaana Ndugu zetu mnatuwakilisha vema Saaana , Morocco sio timu ndogo saana
@uthmanmaluja70056 ай бұрын
Kupambania timu ni jambo na kutoiangusha chini ni jambo lingune mikono hiyo sisi Bado sanaaa.
@Mikael-xh4cp6 ай бұрын
drama nyingi mpira sio drama take notes from the other AFCON teams acheni usenge wa kiki na siasa spend money on investing in the team mnakazwa sana wanasiasa wa TZ
@GeraldSwai-ty1hr6 ай бұрын
Morocco nitimu ngumu sana hamuwezi
@charlesmoremi72626 ай бұрын
Makubwa aliyomwahidi tumeyaona. 3:0
@shabanisaleeh4541
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 chukuwa ww na refa
@user-ry9yw6mn4x5 ай бұрын
Mungu ilinde taifa sta
@SebastianDaniel-es4rf6 ай бұрын
Hata moroco nao wameongea na Rais wao😂
@amedeuskimario8895
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@davidsika52926 ай бұрын
Daaaaa😂😂😂 tz nchi yangu tumefungwa 3
@Abdulmarickshamsi-xl7ry6 ай бұрын
No discussion no performance no getting yields
@OmanOman-iu7jf6 ай бұрын
Bora ingeenda mlandege ingetobowa maaana.mlandegee wapo kiushindani hawa wavivu.halafu washachoka
@ImmaThelonewolf-bk2cx6 ай бұрын
Hapa ndipo tatizo lilianzia
@hoseajankey36686 ай бұрын
Natamani kuiombea ushindi taifa stars, Nikikumbuka ikishinda mtaanza kusema Mama anaupiga mwingi mara ni mafanikio ya Mama Naona tu bora ipigwe zakutosha huko
@hoseajankey36686 ай бұрын
Mnaleta siasa kwenye soccer, mkapigwe tu hadi mshangae
@user-xe7wx1xu3k6 ай бұрын
😅😂😂😂😂😂 siasa na mpira ndomana tumekandwa
@awadhally1052
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@hudhaimarajab91036 ай бұрын
Makubwa yepi offtime goli moja tyr 😂
@anoldjose7793
6 ай бұрын
😁😁😁
@SubilagaKabango-bu8tu6 ай бұрын
MBwana samata use mkweli kwamba kuna kitu gani kinakufanya usiparfome Vizuri kwenye timu ya Taifa star! Mbona vilabu vya Huko uliko unafanya Vizuri Sana! Jamani mbona Aishi kaonyesha jitihada zake?
@vibetz99916 ай бұрын
Taifa stars kichwa cha mwendawazimu,,, kuongea na mama haina faida yoyote ni matumizi mabaya ya bando tu😢
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
Mzee Morocco ni semi finalist wa kombe la dunia usidhani walicheza na burundi
@anoldjose7793
6 ай бұрын
😂😂😂 au kacheza na Djubut
@josephkiwale374
6 ай бұрын
Kiongz morroco ipo nafasi ya ishirini kwenye rank ya FIFA wakat tz ni ya 120 na kitu ,,hlo nalo uliangalie kabla yakutukana
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
@@josephkiwale374 imezizidi nchi kibao za ulaya
@japhetkavishe2347
6 ай бұрын
Usisahau kuweka rank za msumbiji na misri au Namibia na Tunisia pia
@revocatusnyerenga59146 ай бұрын
😅😅😅 kupambanaa
@user-vu5yp6tu2e6 ай бұрын
Nadhani umeona mambo yanavyo kwenda Morocco wametembea juu ya mpira
@davidsebastian6616 ай бұрын
Tuweke wanajeshi ktk timu ya taifa stars
@selemaniomari1586 ай бұрын
Hatujakataa tumefungwa ila na refaa kachangia kutumatisha tamaa
@eddsonjeremiah66696 ай бұрын
Ni feki huyo hajitumi na Hana msaada kabisa uwanjani
@magorymara55156 ай бұрын
Kaputen amechoka toka kipindi cha TP Mazembe ya zaman mpaka sasa bado yupo tim ya taifa wenzake wote walishatemwa akina Tomas ulimwengu Shishimbi na wengneo ni wakati wa kuwafukuza hao vikongwe
@hans_tech00156 ай бұрын
tuliion makubw like hp
@chitwangandembo63026 ай бұрын
Wampumzishe manura hamna kipa hapo😂
@midfieldrhythm6 ай бұрын
Haisaidi chochote😂
@flm15306 ай бұрын
Ataweza kwel?😂
@SalimAbdallah-tg1yo6 ай бұрын
Refa kazinguwa
@sheryphamwenevalley61246 ай бұрын
😂😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs6 ай бұрын
Tumekandwa😂😂😂😂3kwa 0
@SATZ-news6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ReganKimaro-kr7nn6 ай бұрын
Hata mimi naona😅 Gongo tatu murua kabisa. Tusidanganyane bana N'gombe hanenepi siku ya mnada. Maandali ni zero zero hamna kitu..na uwezo wetu umeishia hapo.
@alexandersanga8461
6 ай бұрын
Kabisa
@hanafhamad28016 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kazi imeendelea vyema mm ushauri wangu sijui nishauri nn 😂😂😂😂😂😂😂😂
Пікірлер: 52
Dr. Samia, asante sana kwa wema wako na hekima yako ya kuwa-encourage wachezaji wa timu yetu ya Taifa. Tunakushukuru kwa ku-promote michezo nchini na nje ya nchi yetu.
Yan inauma mpaka nachekaa tu mwenyewe
Mmejitahid Saaana Ndugu zetu mnatuwakilisha vema Saaana , Morocco sio timu ndogo saana
Kupambania timu ni jambo na kutoiangusha chini ni jambo lingune mikono hiyo sisi Bado sanaaa.
drama nyingi mpira sio drama take notes from the other AFCON teams acheni usenge wa kiki na siasa spend money on investing in the team mnakazwa sana wanasiasa wa TZ
Morocco nitimu ngumu sana hamuwezi
Makubwa aliyomwahidi tumeyaona. 3:0
@shabanisaleeh4541
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 chukuwa ww na refa
Mungu ilinde taifa sta
Hata moroco nao wameongea na Rais wao😂
@amedeuskimario8895
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
Daaaaa😂😂😂 tz nchi yangu tumefungwa 3
No discussion no performance no getting yields
Bora ingeenda mlandege ingetobowa maaana.mlandegee wapo kiushindani hawa wavivu.halafu washachoka
Hapa ndipo tatizo lilianzia
Natamani kuiombea ushindi taifa stars, Nikikumbuka ikishinda mtaanza kusema Mama anaupiga mwingi mara ni mafanikio ya Mama Naona tu bora ipigwe zakutosha huko
Mnaleta siasa kwenye soccer, mkapigwe tu hadi mshangae
😅😂😂😂😂😂 siasa na mpira ndomana tumekandwa
@awadhally1052
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Makubwa yepi offtime goli moja tyr 😂
@anoldjose7793
6 ай бұрын
😁😁😁
MBwana samata use mkweli kwamba kuna kitu gani kinakufanya usiparfome Vizuri kwenye timu ya Taifa star! Mbona vilabu vya Huko uliko unafanya Vizuri Sana! Jamani mbona Aishi kaonyesha jitihada zake?
Taifa stars kichwa cha mwendawazimu,,, kuongea na mama haina faida yoyote ni matumizi mabaya ya bando tu😢
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
Mzee Morocco ni semi finalist wa kombe la dunia usidhani walicheza na burundi
@anoldjose7793
6 ай бұрын
😂😂😂 au kacheza na Djubut
@josephkiwale374
6 ай бұрын
Kiongz morroco ipo nafasi ya ishirini kwenye rank ya FIFA wakat tz ni ya 120 na kitu ,,hlo nalo uliangalie kabla yakutukana
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
@@josephkiwale374 imezizidi nchi kibao za ulaya
@japhetkavishe2347
6 ай бұрын
Usisahau kuweka rank za msumbiji na misri au Namibia na Tunisia pia
😅😅😅 kupambanaa
Nadhani umeona mambo yanavyo kwenda Morocco wametembea juu ya mpira
Tuweke wanajeshi ktk timu ya taifa stars
Hatujakataa tumefungwa ila na refaa kachangia kutumatisha tamaa
Ni feki huyo hajitumi na Hana msaada kabisa uwanjani
Kaputen amechoka toka kipindi cha TP Mazembe ya zaman mpaka sasa bado yupo tim ya taifa wenzake wote walishatemwa akina Tomas ulimwengu Shishimbi na wengneo ni wakati wa kuwafukuza hao vikongwe
tuliion makubw like hp
Wampumzishe manura hamna kipa hapo😂
Haisaidi chochote😂
Ataweza kwel?😂
Refa kazinguwa
😂😂😂
Tumekandwa😂😂😂😂3kwa 0
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata mimi naona😅 Gongo tatu murua kabisa. Tusidanganyane bana N'gombe hanenepi siku ya mnada. Maandali ni zero zero hamna kitu..na uwezo wetu umeishia hapo.
@alexandersanga8461
6 ай бұрын
Kabisa
😂😂😂😂😂 kazi imeendelea vyema mm ushauri wangu sijui nishauri nn 😂😂😂😂😂😂😂😂
Şamata zilipendwa??? Nothing to offer
Mnaleta wazee Samatta hakosi 40 years
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂