SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO
Спорт
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 159
Very humble Man...Biteko ww ni hazina kama ukiendelea hv lakin Kikeke bado uko juu sanaa!! Big up to both of you
@dicksonkyando8989
4 күн бұрын
Awe Rais mtarajiwa! Anafaa Sanaa.
Now it make sense why he was crowned Deputy PM. Dotto is way ahead our local politicians, he is intelligent, humble, visionary, highly integrity and a man of people.
@SofiaSaidi-m9f
2 күн бұрын
hajawahi kutokea kiongozi mwenye sifa hizo zote hapa tz😂
Sincerely I see Biteko in presidential post some years to come. I once met him at terminal two before even he was appointed, I said to myself this man deserve to be the president one day. The action of being appointed and his presentation cement what exactly I observed. Wishing him all the best..!
Hongera sana crown media watanzania tunaitaji media kama hii na wanahabali Kama salim kikeke umenyooka sana kikeke
Dr biteko...uko smart sana kichwani...mungu akutunze i wish siku moja uwe President wa nchi yetu
@jedidahbintidaudi8241
6 күн бұрын
Sio kwa sababu anajibu vizuri ndo Rais, tunataka kweny cheo chake hiki je umeme upo? na kama upo unakatika katika? watu wengi wanaweza kuongea sana lakini sio kwamba ndo kigezo pekee cha kuwa President. mbona RUTO wa Kenya ana akili nzuri..lakini kwa ss vijana wake wanamgomea kila kona...
Crown media wanaweza iovertake hii industry kwa spidi kali sana...vipindi kama hivi na viongozi wakiulizwa maswali ya maana na sio ya kichwa ni muhimu sana...Pia kudos to Dr Biteko...he seems to be a very smart man...
@GeorgeAkasha-zx2rj
7 күн бұрын
Hivi redio yao ni ngapi nukta ngapi(masafa yapi)
Jamani hiki kitu ndio Tanzania tulisubiri sana kikeke hongera sana crown media big up
Mwandishi makini jasili mwenye experience ya Hali ya juu umetisha san ❤❤❤❤❤
I real love this Man of fearing GOD , yaan ana kila kitu chema kwa watanzania . Bigup DOTTO .
This man deserve even Presidential 👑 better than a half, than most of political leaders🇹🇿 we have with too much blaa..blaas! he's So logical, analytical and detailed as he speak it's real makes senses, I bet one day yes @Dotto Biteko
he is very good..great mind and ideas! kuddo deputy
So humble Dr. Biteko God bless you.
@tumainimayala8187
6 күн бұрын
Very humble kiongozi wetu huyu…🫡
Saf sana crown 👑👑
Yaani hiki kipindi, kitaelimisha sana watanzania na kuanza kuwa wazalendo na kuwa na wivu na nchi yetu, maana haya maswali tunajiuliza wenyewe na hatupati majibu na kipinsi hiki ni zaidi ya kusikiliza bunge maswali na majibu. Hongera bro kikeke uko juu ya muda safi safi sana.
Brother Kikeke wewe ni mfano wa kuigwa kwa wana habari wengine, hongera Crown kwa hiki kitu lkn mheshimiwa Biteko ni mtu makini sana... Watanzania tujivunie hiki kichwa, hajawahi kutuangusha hata alipokuwa wizara ya madini awamu ya tano.
Mheshimiwa biteko Tanzania ya baadae inakutegemea sana. Mko watatu lakini mmoja ni Kama nimemuondoa kwenye malengo yangu yaani kwenye serikali ya mama mawaziri vijana na makini ni wewe Bashe na bashungwa lakini Bashe ni Kama maji yamezidiwa na sumu. Chapa kazi mkuu nakuamini tupeleke kesho ilivyo bora
Mashaallah mmetisha sana crown mpo vizur sanaa
Dr Biteko anajua kujibu hana mihemko ,serikali inabdi ijipange sana maana ndio watu wanazd kuzaliwa
Maswali na majibu yote yamenyooka! Legendary interview
Hakika wewe ni Waziri wa pekee unae ongea ukweli mtupu kuhusu kazi yako asante sana mh
Nilikuwa sijawahi kumsikiliza huyu jamaa anaonekana mzalendo sana huyu mwamba, afu siomnafiki
Hongera sana waziri pia hongereni sana crown media salim kikeke tunakuamini piga kazi kaka.
VIVAA..TZ..VIVAA
Mh Nakuelewa Sana
MH:umeeleweka vizuri sanaa hongera
Hizi camera 🎉🎉🎉🎉❤❤😂
Biteko anafanana na Uchebe wa Shishi😂...Crown🔥🎉
Salim wewe ni hazina ya taifa kwenye ubobevu wa habari," mimi unanipa fahari sana.
@GeorgeAkasha-zx2rj
7 күн бұрын
Jamaa anajua sana tena sana
Ilove crown fm
Habari zako za uhakika na maswali yako ndiyo yetu ..Kikeke mzalendo wetu🙏🏾🙏🏾Unafanya kazi njema siku zote kaka yangu…👏🏾🫡
Hivi doto huwezi kuchukua fomu au unamuogopa boss waka 😂😂😂
@emanuelwakawenga4023
4 күн бұрын
Nami nimewaza why asichikue form
Kikeke 👍👍👍👍👍🙏
Crown muko vizuri sana maashaallaah
Big up oll fan's on crown media
Crown mme tisha sn❤❤❤
Am here 👋👋👋
noma sn crown❤❤
Big up kwa kazi mzuri crown
Moja ya suala alilokwepa ni kwamba wakati wa JPM umeme ulikuwa haukatiki. Hivyo sababu ni hujuma hukohuko serikalini na wizarani. Walimwogopa jpm hawakuthubutu kukata umeme. Hizo rushwa alizozisema Biteko ndio chanzo cha kukatika umeme
@iskiji1240
2 күн бұрын
Inategemea na sehemu, Mbeya mjini umeme ulikua ni changamoto sana hata kipindi cha Magufuli. Kila kona ilikua majenereta tuu. Toka mradi wa rufiji uwashe mtambo wa kwanza angalau tunamaliza wiki umeme haujakatika.
Ahsante sana crown 👑
Kikeke upo vizuli crown inakuwa kwa kas sanaa
Uyu jamaa anaweza kuielezea hii sekta🙏
Natamani ck moja mh Dotto Biteko aje kuwa Rais yuko tofauti na watawala yeye ana simama cku zote kama kiongozi
@georgeigogo9259
6 күн бұрын
Kwanini using ww
😂😂😂😂😂😂Kikeke ukitaka majibu nenda kwa Mweshimiwa Doto kifaa cha uhakika hicho😂😂😂😂
Sio jambo rahisi sana kwa sababu linahitaji kwa kasi mwingi sana na kila mtu lazima awe makini kwa kutaka kupata chochote kile kutokana na mradi huo tuwape hongera umefanya jambo la msingi sana lakini tusubiri tuone matokeo ni yapi kwa wananchi wote
Very nice
Big up kikeke
Kuna sehemu nimecheka, na nimejifunza mengi nikafurahi. Thanks
Waziri iko vizuri
Hongera Mh kwa kazi iliotukuka
Noma
Best interview ever
Safi sana mhe waziri
Yaan upembuzi ni miaka 2!! Mmh sidhan kama kipind cha mzee ilikuwa inafanyika hivyo🙆🙆
Ukenda pale wasafi unamkuta lokole na baba levo
@machasofficialsite6221
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@samsonyemmanuel5160
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@samsonyemmanuel5160
5 күн бұрын
Asante studio
Good sir
Asante Biteko😂😂😂😂
Alikiba unatakiwa kumpa salim kikeke zawadi ya v8 mana ndie bora kwetu na crownmedia sikama hana garii hapana ila apewe zawadi ya gari v8 naapewe na dereva wakumuensesha mana bado tunatakiwa kujifunza kwake naujuzi atuachie crownmedia
@davidkitova7100
Күн бұрын
Anampaje gari boss wake
🎉🎉
mora akunze, usipungukiwe uwezo huu ,wakusema nakutenda,wewe nisimutank ya kizazihiki,hongera sana mh.biteko
@SEBASTIANBEKKO-ni8nn
5 күн бұрын
Amen
Kikeke kuna maswali hujamuliza na ushaiona system ya wakoloni,,,,,,,,kwanini kampuni za simu ziko nyingi kuliko za umeme na maji tangu Uhuru ,tuache kujiweka nyuma ,ndio mana hela yetu haina thamani mpaka Leo ,,,ni hayo tuuu.
Hii inapatikana kwenye ving'amuzi gani
Kikeke uyo
sawa kiongozi🎉🎉
Baba wataifa katika habari hongera kwakua bora sikuzote salim kikeke
🙏🙏
Hakuna selection niliyomuunga mkono Bi mkubwa kama hii, sio hao wengine wamekaa kidili dili tu!
Here
Biteku uko vizuri sana waswasi wangu watu ulio nao je watakusaport ufike mbali maana ndio maadui wakubwa wanaoturudisha nyuma.
Kwa nchi yenye uchu na maendeleo Nishati ni uti wa mgongo wa maendeleo,,,Uthubutu wa serikali bado ni mdogo kwenye vyanzo vingine vya nishati, hususani upepo, jua na joto ardhi, kwani vyanzo hivi vimekua vikizungumzwa tu na tafiti zisizo kua na ukomo
@tazrywiser5126
7 күн бұрын
Kwani hichi chanzo cha bwawa la umeme la nyerere unaona kitakuwa hakina tija?
@richardsule4454
7 күн бұрын
kituo cha nyerere kina uwezo wa kuzalisha MW 2000+ na ukiweka vyanzo vingine vya nishati vilivyopo yaani vilivyokamilika ni kama MW 4000+, malengo ya serikali ilikuwa ni kuzalisha MW 10000 ifikapo 2025 yaani mwaka kesho ili kukidhi ongezeko la mahitaji na kuchochea maendeleo ya viwanda,,,Je, huoni kwamba tunaishi nyuma ya malengo na mipango?, Je, huoni kua kuna uitaji wa kua na vyanzo vya uhakika zaidi kama vile jua na upepo?
@tazrywiser5126
7 күн бұрын
@@richardsule4454 unajua kwa sasa tunahitaji MW ngapi ili kukidhi mahitaji ambayo tunayo sasa ivi kwenye umeme? Hiyo MW ni malengo ya serikali kubaki na umeme mwingi wa ziada kwa miaka ya mbele lakini kama ulikuwa haujui sisi kwa sasa tunahitaji MW 400 bwawa litazalisha MW 2200 ,hivyo basi kwa miaka ya sasa utaweza kukidhi na ni hatua kubwa mnoo na ndio maana wanasema hawataishia hapo wataendelea kuangalia njia nyingine mpaka kufikia hizo MW 10000 , kwa maana ichi bado ipo na itaendelea kwa vizazi vijavyo hata kama sisi hatutakuwepo kwahiyo wako sawa kuendelea kuongeza
@tazrywiser5126
7 күн бұрын
Lakini sio kwamba umeme utakaotoka bwawa la mwl nyerere hautatosha kwa mahitaji ya sasa na ziada kubwa itabakia ndio maana walisema tutautumia na hata kama kuna inchi itahitaji inaweza kufanya nao biashara maana ziada itakayobakia ni kubwa labda sasa huko mbeleni kasi ya maendeleo na viwanda iongezeke basi huo wa ziada utakuwa unaoungua kutokana na matumizi
Biteko ni kichwa sana “ salute 🫡
👏👏
❤❤❤
❤
Salm kikeke upo vizuri
Camera kali sana
Crown media, shikamooni, yaan inapofka sehemu mnazungumzia jambo Fulani, linaoneshwa, mfano mlipozungumzia Mambo ya mashine, mkaonyesha video ya mashine, HONGERENI SAAANA, HII NI KIWANGO CHA JUU SANA
Hatari Sana
Biketo nimekuelewa sana Maheshimiwa unajibu vuzur sana sana unastahiki kuwa hapo asant
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kikeke tutazid kukufatili adi mwisho wa maisha yako wanainchi wanataka kujua vitu kama ivo sasa watajuaje kama tusipo pata watu kama hawa mfano kikeke
Hahhaha "mabadiliko ya tabia ya nchi si tu ukame" Mheshimiwa kwa hii punchline imenifanya nitambue wewe n mtu na nusu... una akili sana no wonder hiyo wizara umeimudu sana... hopefully utakuja kuwa Rais wa nchi yetu.
Samia team kama nikocha mama kikombe utachukua maana unavyojua kupanga inatisha kama gadioler
✌️👊👍.
Hongera sana crown media kwa hichi kipindi big up kikeke upo vizuri sana kaka kwa taaruma yako unetufanya tuipokee crown kwa nguvu zote
Kikeke na Biteko wote smart upstairs
Salim Kikeke mwambie waziri Dubai umeme hauzimwiii na huwezi kuwa na maendeleo ktk nchi bila ya energy by the way interview kama hii ungeeka hot line number wananchi wakamuuliza live
Nishati zote zipo zote hapo,........kunani,,,,,............
Safisana Kikeke
Succession plan hii ya Rais miaka ijayo
Kijana mdogo hekma kubwa na busara mungu akuongoze
Huyu mheshimiwa biteko namkubali sana yaaan anaongea ukweli mtupu
AYO TV Ajipange
Salim Kikete Umefanya jambo la muhimu sana Huwezi kuwa na maendelea au kupata maendeleo ni energy solution ni kujenga Umeme wa nuclear huo ni ujinga mambo ya miti sijui gari aache ujinga huyo wwziri Dubai umeme hauzimwiii
Kikeke
Kikeke yunusi wazarendo
Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu. Unatoa majibu sahihi as ante.
Mhe dotto yupo vizuri sana tena sana
Kipindi hiki mngekiweka kwenye kingamuzi Azam tv ilikiwe juu zaidi
Huyu ndugu ni kiongozi