SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO

Спорт

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 159

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x6 күн бұрын

    Very humble Man...Biteko ww ni hazina kama ukiendelea hv lakin Kikeke bado uko juu sanaa!! Big up to both of you

  • @dicksonkyando8989

    @dicksonkyando8989

    4 күн бұрын

    Awe Rais mtarajiwa! Anafaa Sanaa.

  • @vayeen
    @vayeen4 күн бұрын

    Now it make sense why he was crowned Deputy PM. Dotto is way ahead our local politicians, he is intelligent, humble, visionary, highly integrity and a man of people.

  • @SofiaSaidi-m9f

    @SofiaSaidi-m9f

    2 күн бұрын

    hajawahi kutokea kiongozi mwenye sifa hizo zote hapa tz😂

  • @salumjuma5642
    @salumjuma56422 күн бұрын

    Sincerely I see Biteko in presidential post some years to come. I once met him at terminal two before even he was appointed, I said to myself this man deserve to be the president one day. The action of being appointed and his presentation cement what exactly I observed. Wishing him all the best..!

  • @user-qp2mc4gq2q
    @user-qp2mc4gq2q2 күн бұрын

    Hongera sana crown media watanzania tunaitaji media kama hii na wanahabali Kama salim kikeke umenyooka sana kikeke

  • @user-uh9xg1pn6i
    @user-uh9xg1pn6i8 күн бұрын

    Dr biteko...uko smart sana kichwani...mungu akutunze i wish siku moja uwe President wa nchi yetu

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    6 күн бұрын

    Sio kwa sababu anajibu vizuri ndo Rais, tunataka kweny cheo chake hiki je umeme upo? na kama upo unakatika katika? watu wengi wanaweza kuongea sana lakini sio kwamba ndo kigezo pekee cha kuwa President. mbona RUTO wa Kenya ana akili nzuri..lakini kwa ss vijana wake wanamgomea kila kona...

  • @e.e5698
    @e.e56987 күн бұрын

    Crown media wanaweza iovertake hii industry kwa spidi kali sana...vipindi kama hivi na viongozi wakiulizwa maswali ya maana na sio ya kichwa ni muhimu sana...Pia kudos to Dr Biteko...he seems to be a very smart man...

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    7 күн бұрын

    Hivi redio yao ni ngapi nukta ngapi(masafa yapi)

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi71148 күн бұрын

    Jamani hiki kitu ndio Tanzania tulisubiri sana kikeke hongera sana crown media big up

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi90468 күн бұрын

    Mwandishi makini jasili mwenye experience ya Hali ya juu umetisha san ❤❤❤❤❤

  • @emmanuelmoses5881
    @emmanuelmoses58815 күн бұрын

    I real love this Man of fearing GOD , yaan ana kila kitu chema kwa watanzania . Bigup DOTTO .

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela11482 күн бұрын

    This man deserve even Presidential 👑 better than a half, than most of political leaders🇹🇿 we have with too much blaa..blaas! he's So logical, analytical and detailed as he speak it's real makes senses, I bet one day yes @Dotto Biteko

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82416 күн бұрын

    he is very good..great mind and ideas! kuddo deputy

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan98787 күн бұрын

    So humble Dr. Biteko God bless you.

  • @tumainimayala8187

    @tumainimayala8187

    6 күн бұрын

    Very humble kiongozi wetu huyu…🫡

  • @yohannatoroka-ie5ym
    @yohannatoroka-ie5ym9 күн бұрын

    Saf sana crown 👑👑

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis95795 күн бұрын

    Yaani hiki kipindi, kitaelimisha sana watanzania na kuanza kuwa wazalendo na kuwa na wivu na nchi yetu, maana haya maswali tunajiuliza wenyewe na hatupati majibu na kipinsi hiki ni zaidi ya kusikiliza bunge maswali na majibu. Hongera bro kikeke uko juu ya muda safi safi sana.

  • @samwellaurence7035
    @samwellaurence70355 күн бұрын

    Brother Kikeke wewe ni mfano wa kuigwa kwa wana habari wengine, hongera Crown kwa hiki kitu lkn mheshimiwa Biteko ni mtu makini sana... Watanzania tujivunie hiki kichwa, hajawahi kutuangusha hata alipokuwa wizara ya madini awamu ya tano.

  • @eliapendakileo
    @eliapendakileo8 күн бұрын

    Mheshimiwa biteko Tanzania ya baadae inakutegemea sana. Mko watatu lakini mmoja ni Kama nimemuondoa kwenye malengo yangu yaani kwenye serikali ya mama mawaziri vijana na makini ni wewe Bashe na bashungwa lakini Bashe ni Kama maji yamezidiwa na sumu. Chapa kazi mkuu nakuamini tupeleke kesho ilivyo bora

  • @user-ss6jm6jt3h
    @user-ss6jm6jt3h6 күн бұрын

    Mashaallah mmetisha sana crown mpo vizur sanaa

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx8 күн бұрын

    Dr Biteko anajua kujibu hana mihemko ,serikali inabdi ijipange sana maana ndio watu wanazd kuzaliwa

  • @abdulazizmputeni5416
    @abdulazizmputeni54165 күн бұрын

    Maswali na majibu yote yamenyooka! Legendary interview

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale54135 күн бұрын

    Hakika wewe ni Waziri wa pekee unae ongea ukweli mtupu kuhusu kazi yako asante sana mh

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu85467 күн бұрын

    Nilikuwa sijawahi kumsikiliza huyu jamaa anaonekana mzalendo sana huyu mwamba, afu siomnafiki

  • @NurdinZuberi
    @NurdinZuberi3 күн бұрын

    Hongera sana waziri pia hongereni sana crown media salim kikeke tunakuamini piga kazi kaka.

  • @omzedstationary932
    @omzedstationary9328 күн бұрын

    VIVAA..TZ..VIVAA

  • @faksa9607
    @faksa96074 күн бұрын

    Mh Nakuelewa Sana

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba16415 күн бұрын

    MH:umeeleweka vizuri sanaa hongera

  • @navioma4882
    @navioma48827 күн бұрын

    Hizi camera 🎉🎉🎉🎉❤❤😂

  • @ashaally6993
    @ashaally69934 күн бұрын

    Biteko anafanana na Uchebe wa Shishi😂...Crown🔥🎉

  • @ELITE779
    @ELITE7799 күн бұрын

    Salim wewe ni hazina ya taifa kwenye ubobevu wa habari," mimi unanipa fahari sana.

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    7 күн бұрын

    Jamaa anajua sana tena sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba78748 күн бұрын

    Ilove crown fm

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala81876 күн бұрын

    Habari zako za uhakika na maswali yako ndiyo yetu ..Kikeke mzalendo wetu🙏🏾🙏🏾Unafanya kazi njema siku zote kaka yangu…👏🏾🫡

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8095 күн бұрын

    Hivi doto huwezi kuchukua fomu au unamuogopa boss waka 😂😂😂

  • @emanuelwakawenga4023

    @emanuelwakawenga4023

    4 күн бұрын

    Nami nimewaza why asichikue form

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali19468 күн бұрын

    Kikeke 👍👍👍👍👍🙏

  • @RamadhanShwaibu
    @RamadhanShwaibu8 күн бұрын

    Crown muko vizuri sana maashaallaah

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo108 күн бұрын

    Big up oll fan's on crown media

  • @EtieniRama
    @EtieniRama9 күн бұрын

    Crown mme tisha sn❤❤❤

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh9 күн бұрын

    Am here 👋👋👋

  • @Abdul-azizSaidNassor
    @Abdul-azizSaidNassor8 күн бұрын

    noma sn crown❤❤

  • @user-bb4hy7xq9y
    @user-bb4hy7xq9y8 күн бұрын

    Big up kwa kazi mzuri crown

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba65027 күн бұрын

    Moja ya suala alilokwepa ni kwamba wakati wa JPM umeme ulikuwa haukatiki. Hivyo sababu ni hujuma hukohuko serikalini na wizarani. Walimwogopa jpm hawakuthubutu kukata umeme. Hizo rushwa alizozisema Biteko ndio chanzo cha kukatika umeme

  • @iskiji1240

    @iskiji1240

    2 күн бұрын

    Inategemea na sehemu, Mbeya mjini umeme ulikua ni changamoto sana hata kipindi cha Magufuli. Kila kona ilikua majenereta tuu. Toka mradi wa rufiji uwashe mtambo wa kwanza angalau tunamaliza wiki umeme haujakatika.

  • @mamoniniyoyishura3289
    @mamoniniyoyishura32898 күн бұрын

    Ahsante sana crown 👑

  • @erickkinyamagoha5618
    @erickkinyamagoha5618Күн бұрын

    Kikeke upo vizuli crown inakuwa kwa kas sanaa

  • @emmanuelmathiasmpesa9396
    @emmanuelmathiasmpesa93965 күн бұрын

    Uyu jamaa anaweza kuielezea hii sekta🙏

  • @ErnestMmeta-xu5gh
    @ErnestMmeta-xu5gh8 күн бұрын

    Natamani ck moja mh Dotto Biteko aje kuwa Rais yuko tofauti na watawala yeye ana simama cku zote kama kiongozi

  • @georgeigogo9259

    @georgeigogo9259

    6 күн бұрын

    Kwanini using ww

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73603 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂Kikeke ukitaka majibu nenda kwa Mweshimiwa Doto kifaa cha uhakika hicho😂😂😂😂

  • @Bama959
    @Bama9598 күн бұрын

    Sio jambo rahisi sana kwa sababu linahitaji kwa kasi mwingi sana na kila mtu lazima awe makini kwa kutaka kupata chochote kile kutokana na mradi huo tuwape hongera umefanya jambo la msingi sana lakini tusubiri tuone matokeo ni yapi kwa wananchi wote

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze22768 күн бұрын

    Very nice

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile3328 күн бұрын

    Big up kikeke

  • @jacobsimkoko3096
    @jacobsimkoko30969 күн бұрын

    Kuna sehemu nimecheka, na nimejifunza mengi nikafurahi. Thanks

  • @assanisass6641
    @assanisass66418 күн бұрын

    Waziri iko vizuri

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu73378 күн бұрын

    Hongera Mh kwa kazi iliotukuka

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r8 күн бұрын

    Noma

  • @shabaniswedi8333
    @shabaniswedi83338 күн бұрын

    Best interview ever

  • @ShortyShorty-mr3jb
    @ShortyShorty-mr3jb8 күн бұрын

    Safi sana mhe waziri

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani107 күн бұрын

    Yaan upembuzi ni miaka 2!! Mmh sidhan kama kipind cha mzee ilikuwa inafanyika hivyo🙆🙆

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry52415 күн бұрын

    Ukenda pale wasafi unamkuta lokole na baba levo

  • @machasofficialsite6221

    @machasofficialsite6221

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @samsonyemmanuel5160

    @samsonyemmanuel5160

    5 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @samsonyemmanuel5160

    @samsonyemmanuel5160

    5 күн бұрын

    Asante studio

  • @chiefnyanda3260
    @chiefnyanda32604 күн бұрын

    Good sir

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73603 күн бұрын

    Asante Biteko😂😂😂😂

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h8 күн бұрын

    Alikiba unatakiwa kumpa salim kikeke zawadi ya v8 mana ndie bora kwetu na crownmedia sikama hana garii hapana ila apewe zawadi ya gari v8 naapewe na dereva wakumuensesha mana bado tunatakiwa kujifunza kwake naujuzi atuachie crownmedia

  • @davidkitova7100

    @davidkitova7100

    Күн бұрын

    Anampaje gari boss wake

  • @rejobu9723
    @rejobu97238 күн бұрын

    🎉🎉

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x8 күн бұрын

    mora akunze, usipungukiwe uwezo huu ,wakusema nakutenda,wewe nisimutank ya kizazihiki,hongera sana mh.biteko

  • @SEBASTIANBEKKO-ni8nn

    @SEBASTIANBEKKO-ni8nn

    5 күн бұрын

    Amen

  • @MauBonde
    @MauBonde3 күн бұрын

    Kikeke kuna maswali hujamuliza na ushaiona system ya wakoloni,,,,,,,,kwanini kampuni za simu ziko nyingi kuliko za umeme na maji tangu Uhuru ,tuache kujiweka nyuma ,ndio mana hela yetu haina thamani mpaka Leo ,,,ni hayo tuuu.

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s8 күн бұрын

    Hii inapatikana kwenye ving'amuzi gani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25545 күн бұрын

    Kikeke uyo

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam95658 күн бұрын

    sawa kiongozi🎉🎉

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h8 күн бұрын

    Baba wataifa katika habari hongera kwakua bora sikuzote salim kikeke

  • @abatinkalango4571
    @abatinkalango45714 күн бұрын

    🙏🙏

  • @KapscomAfricaLtd
    @KapscomAfricaLtdКүн бұрын

    Hakuna selection niliyomuunga mkono Bi mkubwa kama hii, sio hao wengine wamekaa kidili dili tu!

  • @mbembelatv
    @mbembelatv6 күн бұрын

    Here

  • @jamesmbaraka634
    @jamesmbaraka6344 күн бұрын

    Biteku uko vizuri sana waswasi wangu watu ulio nao je watakusaport ufike mbali maana ndio maadui wakubwa wanaoturudisha nyuma.

  • @richardsule4454
    @richardsule44548 күн бұрын

    Kwa nchi yenye uchu na maendeleo Nishati ni uti wa mgongo wa maendeleo,,,Uthubutu wa serikali bado ni mdogo kwenye vyanzo vingine vya nishati, hususani upepo, jua na joto ardhi, kwani vyanzo hivi vimekua vikizungumzwa tu na tafiti zisizo kua na ukomo

  • @tazrywiser5126

    @tazrywiser5126

    7 күн бұрын

    Kwani hichi chanzo cha bwawa la umeme la nyerere unaona kitakuwa hakina tija?

  • @richardsule4454

    @richardsule4454

    7 күн бұрын

    ​kituo cha nyerere kina uwezo wa kuzalisha MW 2000+ na ukiweka vyanzo vingine vya nishati vilivyopo yaani vilivyokamilika ni kama MW 4000+, malengo ya serikali ilikuwa ni kuzalisha MW 10000 ifikapo 2025 yaani mwaka kesho ili kukidhi ongezeko la mahitaji na kuchochea maendeleo ya viwanda,,,Je, huoni kwamba tunaishi nyuma ya malengo na mipango?, Je, huoni kua kuna uitaji wa kua na vyanzo vya uhakika zaidi kama vile jua na upepo?

  • @tazrywiser5126

    @tazrywiser5126

    7 күн бұрын

    @@richardsule4454 unajua kwa sasa tunahitaji MW ngapi ili kukidhi mahitaji ambayo tunayo sasa ivi kwenye umeme? Hiyo MW ni malengo ya serikali kubaki na umeme mwingi wa ziada kwa miaka ya mbele lakini kama ulikuwa haujui sisi kwa sasa tunahitaji MW 400 bwawa litazalisha MW 2200 ,hivyo basi kwa miaka ya sasa utaweza kukidhi na ni hatua kubwa mnoo na ndio maana wanasema hawataishia hapo wataendelea kuangalia njia nyingine mpaka kufikia hizo MW 10000 , kwa maana ichi bado ipo na itaendelea kwa vizazi vijavyo hata kama sisi hatutakuwepo kwahiyo wako sawa kuendelea kuongeza

  • @tazrywiser5126

    @tazrywiser5126

    7 күн бұрын

    Lakini sio kwamba umeme utakaotoka bwawa la mwl nyerere hautatosha kwa mahitaji ya sasa na ziada kubwa itabakia ndio maana walisema tutautumia na hata kama kuna inchi itahitaji inaweza kufanya nao biashara maana ziada itakayobakia ni kubwa labda sasa huko mbeleni kasi ya maendeleo na viwanda iongezeke basi huo wa ziada utakuwa unaoungua kutokana na matumizi

  • @danielshauri6390
    @danielshauri63904 күн бұрын

    Biteko ni kichwa sana “ salute 🫡

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo6 күн бұрын

    👏👏

  • @abukhadija1993
    @abukhadija19939 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @MTSshebatiakilihalisi8787
    @MTSshebatiakilihalisi87878 күн бұрын

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg8 күн бұрын

    Salm kikeke upo vizuri

  • @chuseboy6325
    @chuseboy63255 күн бұрын

    Camera kali sana

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21168 күн бұрын

    Crown media, shikamooni, yaan inapofka sehemu mnazungumzia jambo Fulani, linaoneshwa, mfano mlipozungumzia Mambo ya mashine, mkaonyesha video ya mashine, HONGERENI SAAANA, HII NI KIWANGO CHA JUU SANA

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv76905 күн бұрын

    Hatari Sana

  • @user-uq6uv7mb4o
    @user-uq6uv7mb4o4 күн бұрын

    Biketo nimekuelewa sana Maheshimiwa unajibu vuzur sana sana unastahiki kuwa hapo asant

  • @user-xn3ju5gp5p
    @user-xn3ju5gp5p5 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-uq6uv7mb4o
    @user-uq6uv7mb4o4 күн бұрын

    Kikeke tutazid kukufatili adi mwisho wa maisha yako wanainchi wanataka kujua vitu kama ivo sasa watajuaje kama tusipo pata watu kama hawa mfano kikeke

  • @FIFO28
    @FIFO285 күн бұрын

    Hahhaha "mabadiliko ya tabia ya nchi si tu ukame" Mheshimiwa kwa hii punchline imenifanya nitambue wewe n mtu na nusu... una akili sana no wonder hiyo wizara umeimudu sana... hopefully utakuja kuwa Rais wa nchi yetu.

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld4 күн бұрын

    Samia team kama nikocha mama kikombe utachukua maana unavyojua kupanga inatisha kama gadioler

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything8 күн бұрын

    ✌️👊👍.

  • @user-qp2mc4gq2q
    @user-qp2mc4gq2q2 күн бұрын

    Hongera sana crown media kwa hichi kipindi big up kikeke upo vizuri sana kaka kwa taaruma yako unetufanya tuipokee crown kwa nguvu zote

  • @greysonmatogo4662
    @greysonmatogo46626 күн бұрын

    Kikeke na Biteko wote smart upstairs

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr6 күн бұрын

    Salim Kikeke mwambie waziri Dubai umeme hauzimwiii na huwezi kuwa na maendeleo ktk nchi bila ya energy by the way interview kama hii ungeeka hot line number wananchi wakamuuliza live

  • @MauBonde
    @MauBonde3 күн бұрын

    Nishati zote zipo zote hapo,........kunani,,,,,............

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb9 күн бұрын

    Safisana Kikeke

  • @hassanfidelity3028
    @hassanfidelity30282 күн бұрын

    Succession plan hii ya Rais miaka ijayo

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld4 күн бұрын

    Kijana mdogo hekma kubwa na busara mungu akuongoze

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah83213 күн бұрын

    Huyu mheshimiwa biteko namkubali sana yaaan anaongea ukweli mtupu

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga4 күн бұрын

    AYO TV Ajipange

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr6 күн бұрын

    Salim Kikete Umefanya jambo la muhimu sana Huwezi kuwa na maendelea au kupata maendeleo ni energy solution ni kujenga Umeme wa nuclear huo ni ujinga mambo ya miti sijui gari aache ujinga huyo wwziri Dubai umeme hauzimwiii

  • @sadile1057
    @sadile10579 күн бұрын

    Kikeke

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui8 күн бұрын

    Kikeke yunusi wazarendo

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo51397 күн бұрын

    Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu. Unatoa majibu sahihi as ante.

  • @ShortyShorty-mr3jb
    @ShortyShorty-mr3jb8 күн бұрын

    Mhe dotto yupo vizuri sana tena sana

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe7687 күн бұрын

    Kipindi hiki mngekiweka kwenye kingamuzi Azam tv ilikiwe juu zaidi

  • @albertjames6845
    @albertjames68456 күн бұрын

    Huyu ndugu ni kiongozi

Келесі