SAFARI ZA SGR DAR - MORO KUONGEZEKA KUANZIA JULAI 5
Жүктеу.....
Пікірлер: 18
@williamssempoli229415 күн бұрын
Good job! Hongeren sana
@user-cg9oz3rd5h15 күн бұрын
Nice
@user-fb5tj5zy4z14 күн бұрын
Mifumo ya tiketi bado haijakaa vizuri, boresheni ili iwe rahis zaid
@Official-bataboy17 күн бұрын
😢
@swahilitherapytv384617 күн бұрын
Haziwezi kukongana hiyo ndio hofu yangu.....??
@UnitedAfrica-uw9ct
17 күн бұрын
Mabasi ya kwenda mikoani hazigongani , Ndege hazigongani , leo Treni zinagongana vipi
@h.alshidhani8971
16 күн бұрын
Akili zako ziko miguuni
@zolongOne
15 күн бұрын
😂😂😂😂
@frankmushendwas3717 күн бұрын
Kwanini msiweke duka la tiketi maeneo ya mjini hasa morogoro mjini ili mtu anaeondoka kesho anakata tiket mapema au station ya treni ya zamani muweke kituo cha kuuza tiketi
@UnitedAfrica-uw9ct
17 күн бұрын
ticketi zinauzwa kwenye mtandao ..hatuhitaji kukutana na wafanyakazi wa TRC....kama ilivyo kwenye ndege unanunua ticketi kwenye mtandao unakwenda kusafiri
@magorymara5515
17 күн бұрын
Duh kweli @@UnitedAfrica-uw9ct
@magorymara5515
17 күн бұрын
Duh kweli @@UnitedAfrica-uw9ct
@frankmushendwas37
17 күн бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct mimi ndiyo nimejua kununua tiket mtandaoni cku ya kwanza watanzania wengi sio watumiaji wazuri wa mtandao mpaka wapo wasomi hawajui kutumia mtandao ingerahisisha msongamano wa tiket station tosa safariza treni zianze nimewafundisha watu wengi kununua tiket mtandaoni tiket nilizowanunulia watu karibu 40 kituo cha mauzo ya tiket kikiwa mjini inasaidia mtu kununua tiket mapema kule stationya morogoro mbali uwezi kwenda kukata tiket ya kusafiri kesho nikiwa natiket mkononi nikifika station hata dakika 20 kabla nascan tiketi napanda treni
Пікірлер: 18
Good job! Hongeren sana
Nice
Mifumo ya tiketi bado haijakaa vizuri, boresheni ili iwe rahis zaid
😢
Haziwezi kukongana hiyo ndio hofu yangu.....??
@UnitedAfrica-uw9ct
17 күн бұрын
Mabasi ya kwenda mikoani hazigongani , Ndege hazigongani , leo Treni zinagongana vipi
@h.alshidhani8971
16 күн бұрын
Akili zako ziko miguuni
@zolongOne
15 күн бұрын
😂😂😂😂
Kwanini msiweke duka la tiketi maeneo ya mjini hasa morogoro mjini ili mtu anaeondoka kesho anakata tiket mapema au station ya treni ya zamani muweke kituo cha kuuza tiketi
@UnitedAfrica-uw9ct
17 күн бұрын
ticketi zinauzwa kwenye mtandao ..hatuhitaji kukutana na wafanyakazi wa TRC....kama ilivyo kwenye ndege unanunua ticketi kwenye mtandao unakwenda kusafiri
@magorymara5515
17 күн бұрын
Duh kweli @@UnitedAfrica-uw9ct
@magorymara5515
17 күн бұрын
Duh kweli @@UnitedAfrica-uw9ct
@frankmushendwas37
17 күн бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct mimi ndiyo nimejua kununua tiket mtandaoni cku ya kwanza watanzania wengi sio watumiaji wazuri wa mtandao mpaka wapo wasomi hawajui kutumia mtandao ingerahisisha msongamano wa tiket station tosa safariza treni zianze nimewafundisha watu wengi kununua tiket mtandaoni tiket nilizowanunulia watu karibu 40 kituo cha mauzo ya tiket kikiwa mjini inasaidia mtu kununua tiket mapema kule stationya morogoro mbali uwezi kwenda kukata tiket ya kusafiri kesho nikiwa natiket mkononi nikifika station hata dakika 20 kabla nascan tiketi napanda treni
@frankmushendwas37
17 күн бұрын
Wekeni lipa namba mitandao ya simu