ROMA ANAIMBA NGONJERA/ TUMEMFUNDISHA SISI HIP HOP/ NI MUONGO - NIKKI MBISHI
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 242
Kwa tunaoijua HIPHOP vizuri tumeelewa alichokisema Nikki Kwa wasiojua hawawezi kuelewa Heshima sana Unju ✊
Mtu ambaye sio smart hawezi kuelewa hi extremely important session
Anaesema Nikki hana ngoma kali... Atafute kitu inaitwa jogoo atamjua Nikki ni nani?
Nikki mbishi watoto wengi wamekujua miaka ya 2019
Nikk mbish, Aminia sana Unju, Kichwa Makini.
Rhymes Of Magic Attraction yuko juu
Tunamsikiliza roma sana kwa maana tuna mwelewe...na kuna kurap na kuna hip hop.Hip Hop ni maisha ya kila siku yenye kila aina ya changamoto hivyo
@gospelvibestv3914
3 жыл бұрын
agiza pepsi popote nitalipaa
@realnine..
3 жыл бұрын
Umenena naaam umesema na ukaeleweka
@daudishabani1587
2 жыл бұрын
Dah umewaza kk
Unju for ever
Ukitaja marapa wanaoelimisha huwezi kumuacha roma
Roma yupo juu kwenye hip hop so ili ufkie level alofika Roma jitaidi ju saii bado sana Roma yupo juu mzee
@impeccable6974
3 жыл бұрын
Hivi unamjua Niki mbishi WEWE?
@sifatiiman
3 жыл бұрын
@@impeccable6974 kwwnda huko hajui ku paform jukwaani anashushwa aende uko 😏😏😏
@tonianosoprano117
3 жыл бұрын
Utakuwa umjui nikki mbishi ki mziki
@hkmeme5437
3 жыл бұрын
@@tonianosoprano117 nikki na roma ni wana hip hop wawili tofauti, roma rap style yake ni kama Eminem Nikk mbishi ni kama nas
@khojarobebebebebebebebe9329
3 жыл бұрын
@@sifatiiman pamoja mwana mtell huyo twampenda natwamkubari saaaana Roma tangu natangu
Sema jamaa anaongeaga fact sana
Mimi nilishamkubali Roma mkatoliki 🇰🇪🤜🤛🙏🔥
Mashallah
Sema wasanii wa hip hop wanaaminigi wao miamba😂😂😂😂😂
#7 Nikki Mbishi chuki inammaliza, watu mtaani hawajui ngoma yake hata moja anaishia kuchukia wenzake ambao wanasikilizwa na kila rika.
@simonlukiko2850
2 жыл бұрын
WEWE USIE JUA MZIKI WA RAP NDO UMJUI
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Nikki n zaman za freestyle now n wivu amezdsha
@davidmbwilo4954
Жыл бұрын
Jamaa anaongea ukweli ndio maana anaonekana mkorofi
Roma kabla ajatekwa alikua na ngoma Kali nyingi kapata tuzo kibao Ngoma kama mathematics all the best
@arinestaanton9895
3 жыл бұрын
Kwel bob
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Huyu nikki saivi ana kinyongo sjui ana shda gan
Niki maku wew tena siyo kidogo sanaaaaa yaan maku kwel kweliiii
Nilichogundua kwa huyu jamaa hamna kitu kabisa.. huwezi shindana na roma bro acha chuki
@samkitwima7933
2 жыл бұрын
Humjui Nikki wewe mjomba. Bora unyamaze.......kujimwambafai kwa wasanii ni kawaida ila Niki Mbishi ni level zingine. Sema umaarufu ishu nyingine.
Mkatoliki kitambonino ANA WATU.
ila we nikki unajikuta mgumu lkn mchumba tu huna lolote.....hiphop sio mziki kama unavofikiria ww kwa apa bongo hiphop ni maisha tu ambayo tunayaishi kitaa
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Uko sahihi
Niki nakukubali lakin kumsema roma daah sijapenda 🥺
Unju!!!! 🔥🔥
Unjuu lile disi ulopigwa p mc ni ukweli mipasho sana m mshabik wko unjuu sana ila ushindane na roma .
Kumbe unachuki bro
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Sasa hujui huyu n baba wa kinyongo.hamna msanii aliewah kumsifu labda kwa unafki..nikki fala tu
Umesahau brand ya 26 life ndio iko juu than any brand
I love yu nikki
😀😀😀😀😀😁😁😁😀😀😀😀 #acha #kiherehere #roma 😀😁😀😀😀
Nikki mbishi jina la pili linamwarbu roma mkali zaidi yako roma alikuwa noma kabla ajatekwa
# mbali na kutekwa
Kwani we umeimba nyimbo gani mana za Roma tunazijuwa
@stephanomosses3743
3 жыл бұрын
Hapo sasa
@omary3238
3 жыл бұрын
Mfatirie then Utajua unjuu nani..
@khojarobebebebebebebebe9329
3 жыл бұрын
HahHahahahahahah nimecheka sana mwana kumbe tuko wengi harijulikani hilooooooh si twamtambua ROMA natwamkubari saaaana
Achakumsema mwana kwa ubaya mzee .wewe jitahidi ili uweze kumfikia mzee.
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Nikki ndipo napomzaraugi anakuwa na kinyongo cha kijinga
Nikki acha wivu
Sawa sawa nakubali nashkuru kusikia hiyo mchane tu muimba taarifa za habari
Umezingua
Mbinu hazifi
Was Kwanzaa😂😂😂
Roma ni bora kuliko Nick kwa hip hop Roma ni namba moja
@warith..
3 жыл бұрын
Hujuwi HIP HOP kaa pembeni
@kilayogeyejakobo6688
3 жыл бұрын
Hujui hip hop kaa kwa Kutulia
@changanataliforlife3760
3 жыл бұрын
Ujui ki2 kuhsu Hip Hop bro
Nicas mzee unachanika tu 😁
1
Nilijuaga huyu jamaa AMEKUFA kumbe bado yupo?, duh! ni kufulia tu😁😁😁😁😁😁achana na Roma
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Mshamba anaangaika na roma bdala awaze life yake
Na wewe katekweee😂😂😂
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
true 100 ujuaji unamponza
Af tatzoo la nikii n wivu na roho mbayaa
maneno mengi kimziki hata ngambo hujavuka unatabia za wanawake wakizamani 80s
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Ana kinyongo sana
Acha kuimba taarab ww Shoga ake Minaj
Kwa roma apo umezngua brother.. ata kabla ya tukio mbona mwamba ni mkali tuu..
Nikki taarabu nyingi sana, umezeeka Sasa, jitahidi uwe na busara
Kwel roma ilikua nikiki yakutekwa
Unakomaa mwanangu Wewe kweli mbish
hii list ya uongo
Uyu jamaa anafaa kuimba tarabu bwege sana
@alfoncemalamsha455
2 жыл бұрын
Limekuwa la ajabu sana kaz majungu tu bdal liwaze yake
Akili nyingi
Kitu watu wanashindwa kuelewa ni kuwa KUNA SOFT HIP HOP NA HARDCORE HIP HOP.Nikki Mbishi anaimba Hardcore Hiphop Ndo maana hata audience inayomfuatilia ni chachee
@mimisir5717
2 жыл бұрын
Umeongea pumba
Nikki anavuta sana bangi ndo mana,,bangi ni mbaya mno
we roma ni mkali tena mkali kwelikweli
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Unjuu....!!!!🙌
Hate won't make you succeed bruh umezingua kinoma
Nikki mbishi ni msanii mzuri sana wa hiphop TZ na ni kati ya wasanii bora sana wa hiphop... Ila kumdiss roma amezingua tena sanaaa, yani nikki anadiss wasanii wengi mara kawa diss weusi, mara p the mc sasa hv roma.. hawezi fika mbali kwa hiyo attitude japo kuwa anajua.
@allykiukala3693
2 жыл бұрын
Aja mdisi kajibu alichoulizw na ukweli upo apoo
Huna maajabu Nikki acha kumdis Roma aisee
Jamaa yupo ndumu yupo stimu nomaaa
@unclepwechnov1381
3 жыл бұрын
Ganja on fleek.
@krazywizzy4736
3 жыл бұрын
@@unclepwechnov1381 nomaaa
@davieed1427
3 жыл бұрын
yuko Dawai
Niki ujuaji mwingi utabaki na ubishi wako km jina lako
@babaluxe8626
3 жыл бұрын
Hhhhh
Lazima tuendeleze hippop tz
Upupuuu
Wajanja ndo tunaelewa hii interview ya nikky ila maakanyaboya yatamsapoti Roma
Roma mshamba anazinguwa 2.
Roma teacher wacha awesome she wenye chuki
Bingo116
Niki alikua yule wa Play boy na Friday feat Belle 9& Godzilla Kwa sasa kajaa chuki
@Dee_76
3 жыл бұрын
tatizo anaona yeye ndo anajua kila kitu
@makangeofficialmediatz6715
3 жыл бұрын
Yes,,zile nyimbo me mwenyew nnazo...zile sasa ndo kaimba!ila hzi blaa blaa za siku hizi Nikki naona ni bangi tu ndo zinamchanganya
@nikodemuschacha
3 жыл бұрын
Na izo alibahatisha tu ndio maana hawezi kufanya kama vile tena.we unafikiri hapendi kufanya kama vile arudi mtaani 😀😀😀😀😀.
Nilimkubali Niki mbishi kwenye Playboy Fanya blayboy2 bro
Vifuata upepo 😁😁
Nataka bidhaa za unju napataje
Huyu nikki mbishi ndo vitu gani??😂😂😂 embu atuachie bongo hiphop yetu ...ye bado sana
@anytime5685
3 жыл бұрын
Bado sema hujafatilia hip hop wakina roma wanaijua hip hop kweli au mazingila ya siasa yanawabeba
Mbishi hana hoja hana jipya
Kali kalipsyo unapotea unarudi
Tunakubali nikki lakini ukiendelea kwa Roma tunakuacha kweli make roma ni fire
@arinestaanton9895
3 жыл бұрын
Kweli asee
Niki umezingua roma yupo juu na huwezi mshusha kwa maneno coz watu ndio washamuelewa
Roma anakuzidi kila kitu broo so toa hit song hata moja af ndio uongee
Mm huyu ndo namskia leo.... Roma,,, Zimbabwe for life
@kombobomayee1745
3 жыл бұрын
Utakua chizi we Kama humjui unju
Jux na Jackline wolper hawajuani na Nash emcee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wivu
Duuh!
#Tonge mdomoni
The Last Man Stand
Nikki mbishi kumuongelea Roma ni HIP HOP...ila kwa wasioelewa industry ya music wanaweza wakamchukulia doctor UNJU miyeyusho...kawaongelea CHIDY na Q-CHILA yani anawakumbusha watu wawasikilize vizuri hao watu i mean wawafatilie vizuri hao watu..sema kama IQ yako ndogo...uwezi kung'amua kitu huyu mtu ni wa pekee
@kombobomayee1745
3 жыл бұрын
Sahh
@johnamos2050
3 жыл бұрын
Saaaan bro hauko makin q na chid wamezungumziwa kwenye swala la kuji brand naamepitisha kama kautam kuwa qchila alipo sema nipo geto naj brand ,,ndo nik akasema huwez kujibrand ukiwa geto toka kitaaa,, ss ww unachangany bro
Huyu jamaa mbishi sana ndicho kitu kinachofanya hasikiki kimuziki
Big up Dr. Unju ukweli unauma siku zte
Hiphop
Nick wwe mama tuu
Unaweza sema ana chuki. lkn ukweli hua haupendezi masikioni mwa watu. Good nikki
@arinestaanton9895
3 жыл бұрын
Amna ukwel wowote apo roma yuko juu ww wivu tu umezid ndo maana anachukia wasanii wenzake kila siku bifu yaani ameachana na weusi anakuja kwa roma wakati roma sio levo yake,, anataka kujulikana kwa beef kama anaona kutekwa kwa roma ni kiki atekwe nayeye
@lughanojohn4211
2 жыл бұрын
@@arinestaanton9895 tupe mfano kamchukia nani sisi tu kujibu sasa maana naona kama wewe ndio hujitambui
Huu mda wa kuja kuongea ukovid si bora ukae studio
We pimbi huwezi kujicompare na roma acha chuki za kipimbi
unjuu
Mcee wa karne
Wewe imebaki kupiga kelele kama mama mjamzito na ungekuwa dem niki mbishi ungezaa mapacha maana wewe ndio unakiherehere cha mimba VIVA ROMA mkali kuliko wewe acha wivu niki chick fanya kazi
😁😁😁😁
Wengi hawajui industry ya hip hop ndo maana hawaelew anachoongelea Unju , Nikk kazungumza fact sn
@kombobomayee1745
3 жыл бұрын
Wengi mziki makelele ndomana
@arinestaanton9895
3 жыл бұрын
Ata kama ila kwa roma anakaa angalia ata shoo za roma af ulinganishe na mbish ,,
@lughanojohn4211
2 жыл бұрын
@@arinestaanton9895 sisi atutaki show ambazo zinawatetea wapuuzi eti ndio dili ila sisi tunataka ujumbe wakutuelimisha kutoka studio tu inatosha sio lazima mpaka show, hiphop ni reality tunayoishi na sio Kiki na maigizo ya stage kuwa na akili
Mtu akiwa juu yako usimchukie
>>>Mbishi 🙌
Chuki inakutafuna broo wee pambana na muziki wako naamini utafanikiwa... ila ukumbuke roma ni mkali kuliko wewe na roma tunamjua kitambo usituambie alijulikana baada ya kutekwa acha wivu niga
@arinestaanton9895
3 жыл бұрын
Kweli roma tunamjuatangia kitambo na yuko juu chuki na wivu sio ishu