ROMA ANAIMBA NGONJERA/ TUMEMFUNDISHA SISI HIP HOP/ NI MUONGO - NIKKI MBISHI

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 242

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper2 жыл бұрын

    Kwa tunaoijua HIPHOP vizuri tumeelewa alichokisema Nikki Kwa wasiojua hawawezi kuelewa Heshima sana Unju ✊

  • @elisantemsumanje1381
    @elisantemsumanje13813 жыл бұрын

    Mtu ambaye sio smart hawezi kuelewa hi extremely important session

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini39383 жыл бұрын

    Anaesema Nikki hana ngoma kali... Atafute kitu inaitwa jogoo atamjua Nikki ni nani?

  • @djalminhagamari4642
    @djalminhagamari46423 жыл бұрын

    Nikki mbishi watoto wengi wamekujua miaka ya 2019

  • @ayubdax3977
    @ayubdax39772 жыл бұрын

    Nikk mbish, Aminia sana Unju, Kichwa Makini.

  • @Junilito
    @Junilito3 жыл бұрын

    Rhymes Of Magic Attraction yuko juu

  • @mklarazaa719
    @mklarazaa7193 жыл бұрын

    Tunamsikiliza roma sana kwa maana tuna mwelewe...na kuna kurap na kuna hip hop.Hip Hop ni maisha ya kila siku yenye kila aina ya changamoto hivyo

  • @gospelvibestv3914

    @gospelvibestv3914

    3 жыл бұрын

    agiza pepsi popote nitalipaa

  • @realnine..

    @realnine..

    3 жыл бұрын

    Umenena naaam umesema na ukaeleweka

  • @daudishabani1587

    @daudishabani1587

    2 жыл бұрын

    Dah umewaza kk

  • @yasirimavere7729
    @yasirimavere77293 жыл бұрын

    Unju for ever

  • @footballclips1617
    @footballclips16173 жыл бұрын

    Ukitaja marapa wanaoelimisha huwezi kumuacha roma

  • @alexmwalim9714
    @alexmwalim97143 жыл бұрын

    Roma yupo juu kwenye hip hop so ili ufkie level alofika Roma jitaidi ju saii bado sana Roma yupo juu mzee

  • @impeccable6974

    @impeccable6974

    3 жыл бұрын

    Hivi unamjua Niki mbishi WEWE?

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    3 жыл бұрын

    @@impeccable6974 kwwnda huko hajui ku paform jukwaani anashushwa aende uko 😏😏😏

  • @tonianosoprano117

    @tonianosoprano117

    3 жыл бұрын

    Utakuwa umjui nikki mbishi ki mziki

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    3 жыл бұрын

    @@tonianosoprano117 nikki na roma ni wana hip hop wawili tofauti, roma rap style yake ni kama Eminem Nikk mbishi ni kama nas

  • @khojarobebebebebebebebe9329

    @khojarobebebebebebebebe9329

    3 жыл бұрын

    @@sifatiiman pamoja mwana mtell huyo twampenda natwamkubari saaaana Roma tangu natangu

  • @OFFICIALMABY
    @OFFICIALMABY2 жыл бұрын

    Sema jamaa anaongeaga fact sana

  • @johnnabie5445
    @johnnabie54453 жыл бұрын

    Mimi nilishamkubali Roma mkatoliki 🇰🇪🤜🤛🙏🔥

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma54283 жыл бұрын

    Mashallah

  • @pawizo5006
    @pawizo50062 жыл бұрын

    Sema wasanii wa hip hop wanaaminigi wao miamba😂😂😂😂😂

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc3 жыл бұрын

    #7 Nikki Mbishi chuki inammaliza, watu mtaani hawajui ngoma yake hata moja anaishia kuchukia wenzake ambao wanasikilizwa na kila rika.

  • @simonlukiko2850

    @simonlukiko2850

    2 жыл бұрын

    WEWE USIE JUA MZIKI WA RAP NDO UMJUI

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Nikki n zaman za freestyle now n wivu amezdsha

  • @davidmbwilo4954

    @davidmbwilo4954

    Жыл бұрын

    Jamaa anaongea ukweli ndio maana anaonekana mkorofi

  • @daviezaghalinho2480
    @daviezaghalinho24803 жыл бұрын

    Roma kabla ajatekwa alikua na ngoma Kali nyingi kapata tuzo kibao Ngoma kama mathematics all the best

  • @arinestaanton9895

    @arinestaanton9895

    3 жыл бұрын

    Kwel bob

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Huyu nikki saivi ana kinyongo sjui ana shda gan

  • @bizbiz5023
    @bizbiz50233 жыл бұрын

    Niki maku wew tena siyo kidogo sanaaaaa yaan maku kwel kweliiii

  • @kessykadema180
    @kessykadema1803 жыл бұрын

    Nilichogundua kwa huyu jamaa hamna kitu kabisa.. huwezi shindana na roma bro acha chuki

  • @samkitwima7933

    @samkitwima7933

    2 жыл бұрын

    Humjui Nikki wewe mjomba. Bora unyamaze.......kujimwambafai kwa wasanii ni kawaida ila Niki Mbishi ni level zingine. Sema umaarufu ishu nyingine.

  • @stephanomosses3743
    @stephanomosses37433 жыл бұрын

    Mkatoliki kitambonino ANA WATU.

  • @chingychingy2066
    @chingychingy20663 жыл бұрын

    ila we nikki unajikuta mgumu lkn mchumba tu huna lolote.....hiphop sio mziki kama unavofikiria ww kwa apa bongo hiphop ni maisha tu ambayo tunayaishi kitaa

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Uko sahihi

  • @saidymo8307
    @saidymo83073 жыл бұрын

    Niki nakukubali lakin kumsema roma daah sijapenda 🥺

  • @cosmoantonio5682
    @cosmoantonio56822 жыл бұрын

    Unju!!!! 🔥🔥

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame53042 жыл бұрын

    Unjuu lile disi ulopigwa p mc ni ukweli mipasho sana m mshabik wko unjuu sana ila ushindane na roma .

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo68483 жыл бұрын

    Kumbe unachuki bro

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Sasa hujui huyu n baba wa kinyongo.hamna msanii aliewah kumsifu labda kwa unafki..nikki fala tu

  • @jihadjiha1017
    @jihadjiha10173 жыл бұрын

    Umesahau brand ya 26 life ndio iko juu than any brand

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman98072 жыл бұрын

    I love yu nikki

  • @emmympangala2411
    @emmympangala24113 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😁😁😁😀😀😀😀 #acha #kiherehere #roma 😀😁😀😀😀

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56483 жыл бұрын

    Nikki mbishi jina la pili linamwarbu roma mkali zaidi yako roma alikuwa noma kabla ajatekwa

  • @erikimethod6246
    @erikimethod62463 жыл бұрын

    # mbali na kutekwa

  • @arkamhamad5072
    @arkamhamad50723 жыл бұрын

    Kwani we umeimba nyimbo gani mana za Roma tunazijuwa

  • @stephanomosses3743

    @stephanomosses3743

    3 жыл бұрын

    Hapo sasa

  • @omary3238

    @omary3238

    3 жыл бұрын

    Mfatirie then Utajua unjuu nani..

  • @khojarobebebebebebebebe9329

    @khojarobebebebebebebebe9329

    3 жыл бұрын

    HahHahahahahahah nimecheka sana mwana kumbe tuko wengi harijulikani hilooooooh si twamtambua ROMA natwamkubari saaaana

  • @eliaminishembazi6804
    @eliaminishembazi68043 жыл бұрын

    Achakumsema mwana kwa ubaya mzee .wewe jitahidi ili uweze kumfikia mzee.

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Nikki ndipo napomzaraugi anakuwa na kinyongo cha kijinga

  • @benmbuya1814
    @benmbuya18143 жыл бұрын

    Nikki acha wivu

  • @sidemiela3597
    @sidemiela35972 жыл бұрын

    Sawa sawa nakubali nashkuru kusikia hiyo mchane tu muimba taarifa za habari

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto35143 жыл бұрын

    Umezingua

  • @pierlomakavel4169
    @pierlomakavel41692 жыл бұрын

    Mbinu hazifi

  • @denismvula6713
    @denismvula67133 жыл бұрын

    Was Kwanzaa😂😂😂

  • @maxcharles5436
    @maxcharles54363 жыл бұрын

    Roma ni bora kuliko Nick kwa hip hop Roma ni namba moja

  • @warith..

    @warith..

    3 жыл бұрын

    Hujuwi HIP HOP kaa pembeni

  • @kilayogeyejakobo6688

    @kilayogeyejakobo6688

    3 жыл бұрын

    Hujui hip hop kaa kwa Kutulia

  • @changanataliforlife3760

    @changanataliforlife3760

    3 жыл бұрын

    Ujui ki2 kuhsu Hip Hop bro

  • @attainer-jr7494
    @attainer-jr74943 жыл бұрын

    Nicas mzee unachanika tu 😁

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko93 жыл бұрын

    1

  • @petroladslaus563
    @petroladslaus5633 жыл бұрын

    Nilijuaga huyu jamaa AMEKUFA kumbe bado yupo?, duh! ni kufulia tu😁😁😁😁😁😁achana na Roma

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Mshamba anaangaika na roma bdala awaze life yake

  • @antonychristian1369
    @antonychristian13693 жыл бұрын

    Na wewe katekweee😂😂😂

  • @andulilemwakihabha2048

    @andulilemwakihabha2048

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi75552 жыл бұрын

    true 100 ujuaji unamponza

  • @jenifersamwel8990
    @jenifersamwel89903 жыл бұрын

    Af tatzoo la nikii n wivu na roho mbayaa

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica91282 жыл бұрын

    maneno mengi kimziki hata ngambo hujavuka unatabia za wanawake wakizamani 80s

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Ana kinyongo sana

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum68063 жыл бұрын

    Acha kuimba taarab ww Shoga ake Minaj

  • @francomwacha2262
    @francomwacha22623 жыл бұрын

    Kwa roma apo umezngua brother.. ata kabla ya tukio mbona mwamba ni mkali tuu..

  • @SIMULIZIZONE
    @SIMULIZIZONE3 жыл бұрын

    Nikki taarabu nyingi sana, umezeeka Sasa, jitahidi uwe na busara

  • @asantesangawe1366
    @asantesangawe13663 жыл бұрын

    Kwel roma ilikua nikiki yakutekwa

  • @idrisahussein6654
    @idrisahussein66542 жыл бұрын

    Unakomaa mwanangu Wewe kweli mbish

  • @frankchamba8894
    @frankchamba88943 жыл бұрын

    hii list ya uongo

  • @cassianclement34
    @cassianclement343 жыл бұрын

    Uyu jamaa anafaa kuimba tarabu bwege sana

  • @alfoncemalamsha455

    @alfoncemalamsha455

    2 жыл бұрын

    Limekuwa la ajabu sana kaz majungu tu bdal liwaze yake

  • @joebanda5475
    @joebanda54753 жыл бұрын

    Akili nyingi

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv39142 жыл бұрын

    Kitu watu wanashindwa kuelewa ni kuwa KUNA SOFT HIP HOP NA HARDCORE HIP HOP.Nikki Mbishi anaimba Hardcore Hiphop Ndo maana hata audience inayomfuatilia ni chachee

  • @mimisir5717

    @mimisir5717

    2 жыл бұрын

    Umeongea pumba

  • @makangeofficialmediatz6715
    @makangeofficialmediatz67153 жыл бұрын

    Nikki anavuta sana bangi ndo mana,,bangi ni mbaya mno

  • @samwelikimati5863
    @samwelikimati58632 жыл бұрын

    we roma ni mkali tena mkali kwelikweli

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @mabaazizitigermnyama5254
    @mabaazizitigermnyama52543 жыл бұрын

    Unjuu....!!!!🙌

  • @richshayo4924
    @richshayo49243 жыл бұрын

    Hate won't make you succeed bruh umezingua kinoma

  • @mosesshelukindo6478
    @mosesshelukindo64782 жыл бұрын

    Nikki mbishi ni msanii mzuri sana wa hiphop TZ na ni kati ya wasanii bora sana wa hiphop... Ila kumdiss roma amezingua tena sanaaa, yani nikki anadiss wasanii wengi mara kawa diss weusi, mara p the mc sasa hv roma.. hawezi fika mbali kwa hiyo attitude japo kuwa anajua.

  • @allykiukala3693

    @allykiukala3693

    2 жыл бұрын

    Aja mdisi kajibu alichoulizw na ukweli upo apoo

  • @calvinmaimu3366
    @calvinmaimu33663 жыл бұрын

    Huna maajabu Nikki acha kumdis Roma aisee

  • @krazywizzy4736
    @krazywizzy47363 жыл бұрын

    Jamaa yupo ndumu yupo stimu nomaaa

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    3 жыл бұрын

    Ganja on fleek.

  • @krazywizzy4736

    @krazywizzy4736

    3 жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 nomaaa

  • @davieed1427

    @davieed1427

    3 жыл бұрын

    yuko Dawai

  • @sefoo8084
    @sefoo80843 жыл бұрын

    Niki ujuaji mwingi utabaki na ubishi wako km jina lako

  • @babaluxe8626

    @babaluxe8626

    3 жыл бұрын

    Hhhhh

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak10432 жыл бұрын

    Lazima tuendeleze hippop tz

  • @zackypapla5511
    @zackypapla55113 жыл бұрын

    Upupuuu

  • @nacebamr4722
    @nacebamr4722 Жыл бұрын

    Wajanja ndo tunaelewa hii interview ya nikky ila maakanyaboya yatamsapoti Roma

  • @allykiukala3693
    @allykiukala36932 жыл бұрын

    Roma mshamba anazinguwa 2.

  • @zainabmbarak1043
    @zainabmbarak10432 жыл бұрын

    Roma teacher wacha awesome she wenye chuki

  • @frankmichael1307
    @frankmichael13073 жыл бұрын

    Bingo116

  • @simonmlisa4311
    @simonmlisa43113 жыл бұрын

    Niki alikua yule wa Play boy na Friday feat Belle 9& Godzilla Kwa sasa kajaa chuki

  • @Dee_76

    @Dee_76

    3 жыл бұрын

    tatizo anaona yeye ndo anajua kila kitu

  • @makangeofficialmediatz6715

    @makangeofficialmediatz6715

    3 жыл бұрын

    Yes,,zile nyimbo me mwenyew nnazo...zile sasa ndo kaimba!ila hzi blaa blaa za siku hizi Nikki naona ni bangi tu ndo zinamchanganya

  • @nikodemuschacha

    @nikodemuschacha

    3 жыл бұрын

    Na izo alibahatisha tu ndio maana hawezi kufanya kama vile tena.we unafikiri hapendi kufanya kama vile arudi mtaani 😀😀😀😀😀.

  • @cathbertkilingo4472
    @cathbertkilingo44722 жыл бұрын

    Nilimkubali Niki mbishi kwenye Playboy Fanya blayboy2 bro

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16503 жыл бұрын

    Vifuata upepo 😁😁

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba76122 жыл бұрын

    Nataka bidhaa za unju napataje

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu78823 жыл бұрын

    Huyu nikki mbishi ndo vitu gani??😂😂😂 embu atuachie bongo hiphop yetu ...ye bado sana

  • @anytime5685

    @anytime5685

    3 жыл бұрын

    Bado sema hujafatilia hip hop wakina roma wanaijua hip hop kweli au mazingila ya siasa yanawabeba

  • @kakakuonamprubenikakakuona1387
    @kakakuonamprubenikakakuona13872 жыл бұрын

    Mbishi hana hoja hana jipya

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai65093 жыл бұрын

    Kali kalipsyo unapotea unarudi

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy43573 жыл бұрын

    Tunakubali nikki lakini ukiendelea kwa Roma tunakuacha kweli make roma ni fire

  • @arinestaanton9895

    @arinestaanton9895

    3 жыл бұрын

    Kweli asee

  • @shekhally5741
    @shekhally57413 жыл бұрын

    Niki umezingua roma yupo juu na huwezi mshusha kwa maneno coz watu ndio washamuelewa

  • @daviezaghalinho2480
    @daviezaghalinho24803 жыл бұрын

    Roma anakuzidi kila kitu broo so toa hit song hata moja af ndio uongee

  • @denicemwitakabwere7726
    @denicemwitakabwere77263 жыл бұрын

    Mm huyu ndo namskia leo.... Roma,,, Zimbabwe for life

  • @kombobomayee1745

    @kombobomayee1745

    3 жыл бұрын

    Utakua chizi we Kama humjui unju

  • @josephdonald6199
    @josephdonald61992 жыл бұрын

    Jux na Jackline wolper hawajuani na Nash emcee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita66193 жыл бұрын

    Wivu

  • @lujenjejr3628
    @lujenjejr36283 жыл бұрын

    Duuh!

  • @deedollarsdeedollars9909
    @deedollarsdeedollars99093 жыл бұрын

    #Tonge mdomoni

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia3 жыл бұрын

    The Last Man Stand

  • @ibrahimmsham1099
    @ibrahimmsham10993 жыл бұрын

    Nikki mbishi kumuongelea Roma ni HIP HOP...ila kwa wasioelewa industry ya music wanaweza wakamchukulia doctor UNJU miyeyusho...kawaongelea CHIDY na Q-CHILA yani anawakumbusha watu wawasikilize vizuri hao watu i mean wawafatilie vizuri hao watu..sema kama IQ yako ndogo...uwezi kung'amua kitu huyu mtu ni wa pekee

  • @kombobomayee1745

    @kombobomayee1745

    3 жыл бұрын

    Sahh

  • @johnamos2050

    @johnamos2050

    3 жыл бұрын

    Saaaan bro hauko makin q na chid wamezungumziwa kwenye swala la kuji brand naamepitisha kama kautam kuwa qchila alipo sema nipo geto naj brand ,,ndo nik akasema huwez kujibrand ukiwa geto toka kitaaa,, ss ww unachangany bro

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19893 жыл бұрын

    Huyu jamaa mbishi sana ndicho kitu kinachofanya hasikiki kimuziki

  • @emmympangala2411
    @emmympangala24113 жыл бұрын

    Big up Dr. Unju ukweli unauma siku zte

  • @elisantemsumanje1381
    @elisantemsumanje13813 жыл бұрын

    Hiphop

  • @izackbarnaba9510
    @izackbarnaba95103 жыл бұрын

    Nick wwe mama tuu

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf92233 жыл бұрын

    Unaweza sema ana chuki. lkn ukweli hua haupendezi masikioni mwa watu. Good nikki

  • @arinestaanton9895

    @arinestaanton9895

    3 жыл бұрын

    Amna ukwel wowote apo roma yuko juu ww wivu tu umezid ndo maana anachukia wasanii wenzake kila siku bifu yaani ameachana na weusi anakuja kwa roma wakati roma sio levo yake,, anataka kujulikana kwa beef kama anaona kutekwa kwa roma ni kiki atekwe nayeye

  • @lughanojohn4211

    @lughanojohn4211

    2 жыл бұрын

    @@arinestaanton9895 tupe mfano kamchukia nani sisi tu kujibu sasa maana naona kama wewe ndio hujitambui

  • @averynusrwebangila4119
    @averynusrwebangila41193 жыл бұрын

    Huu mda wa kuja kuongea ukovid si bora ukae studio

  • @israelmwasenga9288
    @israelmwasenga92883 жыл бұрын

    We pimbi huwezi kujicompare na roma acha chuki za kipimbi

  • @lazarokisenya5457
    @lazarokisenya54573 жыл бұрын

    unjuu

  • @zackypapla5511
    @zackypapla55113 жыл бұрын

    Mcee wa karne

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega57813 жыл бұрын

    Wewe imebaki kupiga kelele kama mama mjamzito na ungekuwa dem niki mbishi ungezaa mapacha maana wewe ndio unakiherehere cha mimba VIVA ROMA mkali kuliko wewe acha wivu niki chick fanya kazi

  • @allysonjohn8578
    @allysonjohn85783 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @taizmigo2649
    @taizmigo26493 жыл бұрын

    Wengi hawajui industry ya hip hop ndo maana hawaelew anachoongelea Unju , Nikk kazungumza fact sn

  • @kombobomayee1745

    @kombobomayee1745

    3 жыл бұрын

    Wengi mziki makelele ndomana

  • @arinestaanton9895

    @arinestaanton9895

    3 жыл бұрын

    Ata kama ila kwa roma anakaa angalia ata shoo za roma af ulinganishe na mbish ,,

  • @lughanojohn4211

    @lughanojohn4211

    2 жыл бұрын

    @@arinestaanton9895 sisi atutaki show ambazo zinawatetea wapuuzi eti ndio dili ila sisi tunataka ujumbe wakutuelimisha kutoka studio tu inatosha sio lazima mpaka show, hiphop ni reality tunayoishi na sio Kiki na maigizo ya stage kuwa na akili

  • @arinestaanton9895
    @arinestaanton98953 жыл бұрын

    Mtu akiwa juu yako usimchukie

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga64723 жыл бұрын

    >>>Mbishi 🙌

  • @captaindunga.5849
    @captaindunga.58493 жыл бұрын

    Chuki inakutafuna broo wee pambana na muziki wako naamini utafanikiwa... ila ukumbuke roma ni mkali kuliko wewe na roma tunamjua kitambo usituambie alijulikana baada ya kutekwa acha wivu niga

  • @arinestaanton9895

    @arinestaanton9895

    3 жыл бұрын

    Kweli roma tunamjuatangia kitambo na yuko juu chuki na wivu sio ishu

Келесі