Nikki MBISHI: Nay wa MITEGO sio MSANII wa Hip Hop, Haistahili kupewa TUZO. PART2

Ойын-сауық

LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com

Пікірлер: 102

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko87675 жыл бұрын

    Nasikiliza hii interview mpaka nataka nilie yan, naweza kusema nikimbishi nimempa tuzo ya uprofesa wa muziki especially hiphop. Ni mchambuzi mzuri sana.

  • @mussalwila9951
    @mussalwila99516 жыл бұрын

    Moja ya interview ambayo ctakuja kuisahau ktk maisha yangu NIKK MBISHI UNAJUA SANA WW NI MWANAHIPOP MKALI UNAJUA UNACHOFANYA NA UNACHOTAKA.KEEP IT UP

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36836 жыл бұрын

    Jamaa Ana busara za kutisha kwenye maongezi duuuu¡ Hatari 👏👏👏

  • @catherinecharles932

    @catherinecharles932

    6 жыл бұрын

    Dkens Mo Pain atar aisee...anaongea mapaka unamuelewa

  • @flyboiog9346
    @flyboiog93466 жыл бұрын

    Napendaga sana muziki wako Nikki, na nausikiliza sana

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid23316 жыл бұрын

    Watu wanasalamia hadi kuku😂😂😂😂unajua sana unju bin unuki💯

  • @donprince9752
    @donprince97526 жыл бұрын

    Sio hadi ukifa bro, ur the best raper en MC in this industry

  • @stevewanga957
    @stevewanga9576 жыл бұрын

    Big up Lil ommy ....watching all the way from Doha,Qatar.....show ya kibabe

  • @dan-konjembe5913
    @dan-konjembe59136 жыл бұрын

    You're the best Nikki, I learning one things from you. I love your words ,Very nice Interview, I like it

  • @jamalmbishi9074
    @jamalmbishi90746 жыл бұрын

    Mc hatarii sana ndani ya bongo nzimaa

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17126 жыл бұрын

    Nikki mbishi unajua brooo Respect kwako

  • @abdullrazack5406
    @abdullrazack54065 жыл бұрын

    Babu Tale atawamiliki kina dogo janja nakuwabadilisha lakini siivi vichwa Dha! Mmbishi Og sana bro

  • @nicholaussaket6602
    @nicholaussaket66026 жыл бұрын

    Ni bora kuwa masikin jeuri Unju umetisha

  • @japharyidrissa6139
    @japharyidrissa61396 жыл бұрын

    Ni Rahisi Lil Wayne kujifanya Nas,Ila siyo rahisi Nas kujiita Lil Wayne of this generation. point yake Nikkimbishi ina mashiko kwa sababu hata Rakim nae awezi akajiita Nas of 90 Generation ila Nas Alijiita Rakim of 90 generation.

  • @sammyhenry1356
    @sammyhenry1356 Жыл бұрын

    Nikki mbishi play boy hyo ngoma imeuwa

  • @rehemaahmed8120
    @rehemaahmed81206 жыл бұрын

    One of the best interview in this year...!!!

  • @rajabusanani4032

    @rajabusanani4032

    6 жыл бұрын

    Rehema Ahmed Absolutely

  • @sammyhenry1356

    @sammyhenry1356

    Жыл бұрын

    Nikki mbishi legendary sna

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr10 күн бұрын

    Uyu ndyo Alkua King wa interview Tambweee

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman1886 жыл бұрын

    Niki mbishi is the best hip-hop artist in Tanzania

  • @miltonemusumbah2544

    @miltonemusumbah2544

    6 жыл бұрын

    Umemuacha wapi Nash MC na Fid Q?

  • @emmanelewalan9252

    @emmanelewalan9252

    5 жыл бұрын

    nay wa mitego ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥achamdomo

  • @hkmeme5437

    @hkmeme5437

    4 жыл бұрын

    @@miltonemusumbah2544 after fidq ni nikk mbishi

  • @nelvispaschal389
    @nelvispaschal3896 жыл бұрын

    DAAH NATAMANI HAYO MANENO ANGEYAONGEA AKIWA CLOUDS FM.. KWA MAANA NDO WANATABIA YA KUHARIBU VIPAJI VYA WASANII KWA MASIRAHI YAO BINAFSI

  • @catherinecharles932

    @catherinecharles932

    6 жыл бұрын

    Nelvis Paschal weach tu

  • @samwelmashauri9414

    @samwelmashauri9414

    5 жыл бұрын

    Jamaa kila mtu anamponda

  • @anelkaking9342

    @anelkaking9342

    5 жыл бұрын

    Sure

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah56266 жыл бұрын

    Nimependa hchi kipindi😘😘😍

  • @testarguy8609
    @testarguy86096 жыл бұрын

    Big thinking capacity bro Nikki mbishi

  • @lucky9285
    @lucky92856 жыл бұрын

    Ommy upo vizuri sanaaaa 👏

  • @ramadhanhassan8059
    @ramadhanhassan80596 жыл бұрын

    Amani sana unju

  • @jamalmbishi9074
    @jamalmbishi90746 жыл бұрын

    Twaitajii part 3 @ lilommy

  • @mahrizainobaranchas7589
    @mahrizainobaranchas75896 жыл бұрын

    Unju tunakubali xana kazi zako na lunduno kiujumla, kazeni buti tusonge, mdomdo washaanza kuelewa

  • @barackjustine183
    @barackjustine1836 жыл бұрын

    Respect kwako Nikki mbishi unatisha sana

  • @barakasaimon2396
    @barakasaimon23963 жыл бұрын

    Nakukubali Nikki

  • @kastomalila4298
    @kastomalila42986 жыл бұрын

    No One Lyk nikki mbishi

  • @salehcharles4835
    @salehcharles48356 жыл бұрын

    Interview Kali kwa mwaka huuu ommy

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare21182 жыл бұрын

    Mii namuelewe unju forever ❤️🎤🎤🥾🛹🛴

  • @saulsalim426
    @saulsalim4266 жыл бұрын

    nimekupata @Mbishi everything has changed nowadays.

  • @brudatv3539
    @brudatv35395 жыл бұрын

    Liomy umefanana nae uyo jamaa mbish ni ndugu nini

  • @manmtondo9120
    @manmtondo91206 жыл бұрын

    mbishi respect Sana nimekubal

  • @jovinhosantls428
    @jovinhosantls4286 жыл бұрын

    nakukubalia san bro lilommy

  • @abrahamansuleiman1401
    @abrahamansuleiman1401 Жыл бұрын

    Msaniii! Wanguu bola wa hip hop miaka yote unajua unju.

  • @salimmawazo4813
    @salimmawazo48135 жыл бұрын

    akili mingi sana I respect you Nikki mbishi

  • @GERSHONMISPERES-ve9fr
    @GERSHONMISPERES-ve9fr Жыл бұрын

    like nikki mbishi is real hphp

  • @jafarisintoo3743
    @jafarisintoo37436 жыл бұрын

    #Nikki Mbishi umeongea fact broh Kuna mtu anajua mziki na kuna mtu anafanya biashara ya mziki

  • @milimomashini9432

    @milimomashini9432

    6 жыл бұрын

    Jafari Sintoo kwa hyo sentens hyo moja ndio umeona fact na kuandika zingine sio fact ama vepe

  • @jafarisintoo3743

    @jafarisintoo3743

    6 жыл бұрын

    milimo mashini no kaongea mengi sana na sijaona alikokosea but thats sample of them so siwezi kuexpose kila kitu#Nikki yuko vyema

  • @bossomar8090
    @bossomar80906 жыл бұрын

    Kizazi sana...Tambweee

  • @jamalmbishi9074
    @jamalmbishi90746 жыл бұрын

    Ommy hii ni interview moja amaizing katikaa zotee

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    6 жыл бұрын

    100

  • @bignunda480
    @bignunda4805 жыл бұрын

    Gud

  • @hamadyamon7692
    @hamadyamon76926 жыл бұрын

    Pwaaaa

  • @chindothefuture9118
    @chindothefuture91186 жыл бұрын

    nakubali nikki mbishi

  • @issaomary7718
    @issaomary77186 жыл бұрын

    hahah bila msanii ,washika dau watakua washika nyau...dadeki UUUUUUNJU

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68056 жыл бұрын

    Nakubali sana Lil ommy Dr unju nice interview

  • @bernard-deuly

    @bernard-deuly

    6 жыл бұрын

    Imependeza xna

  • @talazain1017
    @talazain10176 жыл бұрын

    Jiniiiiii

  • @danjafari5086
    @danjafari50866 жыл бұрын

    We omy unajua sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @kitatangematabibu6427
    @kitatangematabibu64272 жыл бұрын

    Nikki mbishi....Sauti ya hip hop Ile kikweli

  • @gabylovestech
    @gabylovestech6 жыл бұрын

    Interview ya kizazi sana

  • @makarangaemmanuel6996
    @makarangaemmanuel69966 жыл бұрын

    Baba Malcom mtata nakubali San👣

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu78566 жыл бұрын

    respect broo

  • @tunguizengo1722
    @tunguizengo17226 жыл бұрын

    nimekuelewa Nikki mbishi

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare21182 жыл бұрын

    Unju bin upupu 👊👍

  • @peterjoseph4454
    @peterjoseph44546 жыл бұрын

    unju bin unuki, 👊👊👊

  • @cosmasdonasiani8105
    @cosmasdonasiani81056 жыл бұрын

    Dr unju ww niatali kila kitengo play boy mwema nimekumiss wanadidai hw maboc fao awakosi

  • @sharulchenja2167
    @sharulchenja21676 жыл бұрын

    Kweli uyu Baharia..

  • @suedissa7500
    @suedissa75006 жыл бұрын

    😀😀☺☺☺☺ play boy

  • @fredygeorge3107
    @fredygeorge31076 жыл бұрын

    Oy!! mpunguze kusalimia kuku

  • @kipenyasoso8881
    @kipenyasoso88815 жыл бұрын

    U guys!! U should n't talk much ..du yr best ...respct u...

  • @lucaslucaswalogwa9524
    @lucaslucaswalogwa95245 жыл бұрын

    Lil ommy huo mziki unaoupiga kwa mbali huwaga ni mziki wa nani ?

  • @issaaron2007
    @issaaron20076 жыл бұрын

    Nikki mbishi baba malcom: unadinda mbele ya makinda wanakuita tundu lisu

  • @abdullahhamed2197
    @abdullahhamed21976 жыл бұрын

    zohan

  • @abdullahhamed2197
    @abdullahhamed21976 жыл бұрын

    ‏سلام عليكم كيف الحال بيش

  • @olivernichy7750
    @olivernichy77506 жыл бұрын

    Oi

  • @nickherman4
    @nickherman46 жыл бұрын

    King Mbishi

  • @yusuphlusinde9832
    @yusuphlusinde98326 жыл бұрын

    Nikk mbishi unatokea mkoa gan chief

  • @louism.mutayoba9151
    @louism.mutayoba91516 жыл бұрын

    oi

  • @gideonjulius9782
    @gideonjulius97825 жыл бұрын

    Oiii

  • @fanleck2922

    @fanleck2922

    4 жыл бұрын

    Ahahahahah...dah kmk .... oi

  • @emmanuelkivenule875
    @emmanuelkivenule8756 жыл бұрын

    Interview ya kibabe sanaaa nimekubali

  • @jumaangombo7669

    @jumaangombo7669

    Жыл бұрын

    Nikki mbishi hajui kuimba unatafuta kupitia wenzako. Ngoma gani yako yenye imehiti . Kumdis mtu vibaya nikwamba humuezi. Pambana na hali yako.

  • @nicksonpascal4976
    @nicksonpascal49766 жыл бұрын

    ..........utakuwa mshika DAU, au Umeshika Nyau?????? teh teh teh

  • @pauloshija1793

    @pauloshija1793

    5 жыл бұрын

    Nikk mbishi nakukubal Toka nikiwa darasa la saba had now nina miaka 21 Na kupitiwa wew najaribu kurap kama ww kaka

  • @jeremiahdaniford3615
    @jeremiahdaniford36156 жыл бұрын

    👍👍

  • @assaandrew2411
    @assaandrew24116 жыл бұрын

    unju Bin unuk

  • @joelmasweke5044
    @joelmasweke50444 жыл бұрын

    .

  • @dottonestory5098
    @dottonestory50986 жыл бұрын

    Hkngaa km ww bocc w kufreestyre

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45076 жыл бұрын

    UNJU BIN UNUQ, IS MORE THAN HIP HIP GENETICS, so! I call yo'DLOSOPHILLAR MELANOGASTER

  • @harunafundi1560
    @harunafundi15602 жыл бұрын

    LilOmyTv hakuna interview nzuri huwa mkipost nahis raha km za Unju bin unuq. Nikki hata ongea yake tu inaleta raha.

  • @paulo6130
    @paulo61305 жыл бұрын

    Play boy mwema ##

  • @roberttagaya3498
    @roberttagaya34986 жыл бұрын

    Hata wewe unafanya vitu kwa kutafuta maslahi yako wewe. Na hakuna mtu asiyependa kufanya mambo kwa maslahi yake. Halafu acha kuhangaika na hiyo station ya Clouds utapata tabu sana @ Nelvis Paschal.

  • @saimonkimodoi1173
    @saimonkimodoi11735 жыл бұрын

    Sasa we unaamini unachoamini mbona upendi wenzio wakiamini wanachoamini unalolote bagi

  • @nicksonchiko9913
    @nicksonchiko99135 жыл бұрын

    huyu niki mubishi nisawa na mange kimavi hatowi kazi sikasikika niyeye nakujuwa tu kwani hip hop ilitoka wapi mbona anajifanya anajuwa sana huyu fala hip hop aio music wa tanzania hip hop ni music wa mariakani tanzania music weni ni singeli fala wewe niki mubish haujieli wewe kengenge tu

  • @oscarcardozo2615

    @oscarcardozo2615

    5 жыл бұрын

    We ata kuandika ujui bora nani? Nenda shule kwanza

  • @gideonjulius9782

    @gideonjulius9782

    5 жыл бұрын

    We nickson ni mkundu

  • @gideonjulius9782

    @gideonjulius9782

    5 жыл бұрын

    Hii ni kwa watu makini tu

  • @testarguy8609

    @testarguy8609

    5 жыл бұрын

    Kakojee ulale ww maana naona unapuyanga tu,huelewi kinachoendelea kwenye hii interview

  • @fanleck2922

    @fanleck2922

    4 жыл бұрын

    Nikk mbishi na ulichokoment ni mita mia mbili ...

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo17126 жыл бұрын

    Nikki mbishi unajua brooo Respect kwako

Келесі