Nikki MBISHI: Nay wa MITEGO sio MSANII wa Hip Hop, Haistahili kupewa TUZO. PART2
Ойын-сауық
LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com
Пікірлер: 102
Nasikiliza hii interview mpaka nataka nilie yan, naweza kusema nikimbishi nimempa tuzo ya uprofesa wa muziki especially hiphop. Ni mchambuzi mzuri sana.
Moja ya interview ambayo ctakuja kuisahau ktk maisha yangu NIKK MBISHI UNAJUA SANA WW NI MWANAHIPOP MKALI UNAJUA UNACHOFANYA NA UNACHOTAKA.KEEP IT UP
Jamaa Ana busara za kutisha kwenye maongezi duuuu¡ Hatari 👏👏👏
@catherinecharles932
6 жыл бұрын
Dkens Mo Pain atar aisee...anaongea mapaka unamuelewa
Napendaga sana muziki wako Nikki, na nausikiliza sana
Watu wanasalamia hadi kuku😂😂😂😂unajua sana unju bin unuki💯
Sio hadi ukifa bro, ur the best raper en MC in this industry
Big up Lil ommy ....watching all the way from Doha,Qatar.....show ya kibabe
You're the best Nikki, I learning one things from you. I love your words ,Very nice Interview, I like it
Mc hatarii sana ndani ya bongo nzimaa
Nikki mbishi unajua brooo Respect kwako
Babu Tale atawamiliki kina dogo janja nakuwabadilisha lakini siivi vichwa Dha! Mmbishi Og sana bro
Ni bora kuwa masikin jeuri Unju umetisha
Ni Rahisi Lil Wayne kujifanya Nas,Ila siyo rahisi Nas kujiita Lil Wayne of this generation. point yake Nikkimbishi ina mashiko kwa sababu hata Rakim nae awezi akajiita Nas of 90 Generation ila Nas Alijiita Rakim of 90 generation.
Nikki mbishi play boy hyo ngoma imeuwa
One of the best interview in this year...!!!
@rajabusanani4032
6 жыл бұрын
Rehema Ahmed Absolutely
@sammyhenry1356
Жыл бұрын
Nikki mbishi legendary sna
Uyu ndyo Alkua King wa interview Tambweee
Niki mbishi is the best hip-hop artist in Tanzania
@miltonemusumbah2544
6 жыл бұрын
Umemuacha wapi Nash MC na Fid Q?
@emmanelewalan9252
5 жыл бұрын
nay wa mitego ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥achamdomo
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
@@miltonemusumbah2544 after fidq ni nikk mbishi
DAAH NATAMANI HAYO MANENO ANGEYAONGEA AKIWA CLOUDS FM.. KWA MAANA NDO WANATABIA YA KUHARIBU VIPAJI VYA WASANII KWA MASIRAHI YAO BINAFSI
@catherinecharles932
6 жыл бұрын
Nelvis Paschal weach tu
@samwelmashauri9414
5 жыл бұрын
Jamaa kila mtu anamponda
@anelkaking9342
5 жыл бұрын
Sure
Nimependa hchi kipindi😘😘😍
Big thinking capacity bro Nikki mbishi
Ommy upo vizuri sanaaaa 👏
Amani sana unju
Twaitajii part 3 @ lilommy
Unju tunakubali xana kazi zako na lunduno kiujumla, kazeni buti tusonge, mdomdo washaanza kuelewa
Respect kwako Nikki mbishi unatisha sana
Nakukubali Nikki
No One Lyk nikki mbishi
Interview Kali kwa mwaka huuu ommy
Mii namuelewe unju forever ❤️🎤🎤🥾🛹🛴
nimekupata @Mbishi everything has changed nowadays.
Liomy umefanana nae uyo jamaa mbish ni ndugu nini
mbishi respect Sana nimekubal
nakukubalia san bro lilommy
Msaniii! Wanguu bola wa hip hop miaka yote unajua unju.
akili mingi sana I respect you Nikki mbishi
like nikki mbishi is real hphp
#Nikki Mbishi umeongea fact broh Kuna mtu anajua mziki na kuna mtu anafanya biashara ya mziki
@milimomashini9432
6 жыл бұрын
Jafari Sintoo kwa hyo sentens hyo moja ndio umeona fact na kuandika zingine sio fact ama vepe
@jafarisintoo3743
6 жыл бұрын
milimo mashini no kaongea mengi sana na sijaona alikokosea but thats sample of them so siwezi kuexpose kila kitu#Nikki yuko vyema
Kizazi sana...Tambweee
Ommy hii ni interview moja amaizing katikaa zotee
@LilOmmyTV
6 жыл бұрын
100
Gud
Pwaaaa
nakubali nikki mbishi
hahah bila msanii ,washika dau watakua washika nyau...dadeki UUUUUUNJU
Nakubali sana Lil ommy Dr unju nice interview
@bernard-deuly
6 жыл бұрын
Imependeza xna
Jiniiiiii
We omy unajua sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nikki mbishi....Sauti ya hip hop Ile kikweli
Interview ya kizazi sana
Baba Malcom mtata nakubali San👣
respect broo
nimekuelewa Nikki mbishi
Unju bin upupu 👊👍
unju bin unuki, 👊👊👊
Dr unju ww niatali kila kitengo play boy mwema nimekumiss wanadidai hw maboc fao awakosi
Kweli uyu Baharia..
😀😀☺☺☺☺ play boy
Oy!! mpunguze kusalimia kuku
U guys!! U should n't talk much ..du yr best ...respct u...
Lil ommy huo mziki unaoupiga kwa mbali huwaga ni mziki wa nani ?
Nikki mbishi baba malcom: unadinda mbele ya makinda wanakuita tundu lisu
zohan
سلام عليكم كيف الحال بيش
Oi
King Mbishi
Nikk mbishi unatokea mkoa gan chief
oi
Oiii
@fanleck2922
4 жыл бұрын
Ahahahahah...dah kmk .... oi
Interview ya kibabe sanaaa nimekubali
@jumaangombo7669
Жыл бұрын
Nikki mbishi hajui kuimba unatafuta kupitia wenzako. Ngoma gani yako yenye imehiti . Kumdis mtu vibaya nikwamba humuezi. Pambana na hali yako.
..........utakuwa mshika DAU, au Umeshika Nyau?????? teh teh teh
@pauloshija1793
5 жыл бұрын
Nikk mbishi nakukubal Toka nikiwa darasa la saba had now nina miaka 21 Na kupitiwa wew najaribu kurap kama ww kaka
👍👍
unju Bin unuk
.
Hkngaa km ww bocc w kufreestyre
UNJU BIN UNUQ, IS MORE THAN HIP HIP GENETICS, so! I call yo'DLOSOPHILLAR MELANOGASTER
LilOmyTv hakuna interview nzuri huwa mkipost nahis raha km za Unju bin unuq. Nikki hata ongea yake tu inaleta raha.
Play boy mwema ##
Hata wewe unafanya vitu kwa kutafuta maslahi yako wewe. Na hakuna mtu asiyependa kufanya mambo kwa maslahi yake. Halafu acha kuhangaika na hiyo station ya Clouds utapata tabu sana @ Nelvis Paschal.
Sasa we unaamini unachoamini mbona upendi wenzio wakiamini wanachoamini unalolote bagi
huyu niki mubishi nisawa na mange kimavi hatowi kazi sikasikika niyeye nakujuwa tu kwani hip hop ilitoka wapi mbona anajifanya anajuwa sana huyu fala hip hop aio music wa tanzania hip hop ni music wa mariakani tanzania music weni ni singeli fala wewe niki mubish haujieli wewe kengenge tu
@oscarcardozo2615
5 жыл бұрын
We ata kuandika ujui bora nani? Nenda shule kwanza
@gideonjulius9782
5 жыл бұрын
We nickson ni mkundu
@gideonjulius9782
5 жыл бұрын
Hii ni kwa watu makini tu
@testarguy8609
5 жыл бұрын
Kakojee ulale ww maana naona unapuyanga tu,huelewi kinachoendelea kwenye hii interview
@fanleck2922
4 жыл бұрын
Nikk mbishi na ulichokoment ni mita mia mbili ...
Nikki mbishi unajua brooo Respect kwako