REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA DADA ALIYEPATA UKICHAA BAADA YA MUME WAKE KUOA MWANAMKE MWINGINE

Пікірлер: 78

  • @lynnelee7286
    @lynnelee7286 Жыл бұрын

    Hii nayo ilishanikutaa... tunaishi Nchi za nje Ili kuinuka ila watu walio nyuma yetu hutuponza aiseee😌😌🇰🇪🙌

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Жыл бұрын

    Leo umenigusa mimi Baba😭😭😭 Binadamu weng wanatufanyia ubaya sana baada ya sisi kuwaonesha wema kwao

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 Жыл бұрын

    Eeeeeh mungu yamenikutaa hayaa mimi tenaa familia haswaa namshukuru mungu sijapataa kichaa

  • @happylynguya3464

    @happylynguya3464

    Жыл бұрын

    Masikini , pole Amina wangu tupo wengi.

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    Жыл бұрын

    @@happylynguya3464 it's painful my lovely sister for really

  • @gracesilayo7670

    @gracesilayo7670

    Жыл бұрын

    Polen jaman

  • @monicamwandemele2648
    @monicamwandemele2648 Жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe baba angu kimaro tuchape baba hadi tuelewe Mungu wa Kwanza siku zote

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Жыл бұрын

    Katika viumbe nawaogopa apa Duniani ni wanaume woiii 🙌

  • @doreenkahunde3186
    @doreenkahunde3186 Жыл бұрын

    I blame the family members they would have told her the truth ,why did they wait until she comes back

  • @neemawillison891
    @neemawillison891 Жыл бұрын

    Nakuelewa Sana mchungaji mungu akubaliki

  • @priscaangwenyi2206
    @priscaangwenyi2206 Жыл бұрын

    I also took medication for 3.5 years. Mental illness is not a joke

  • @habibahabiba7128

    @habibahabiba7128

    Жыл бұрын

    Very sorry dear

  • @edgerkessydeogratius5167
    @edgerkessydeogratius5167 Жыл бұрын

    Mungu atuongoze sisi maan dunian hap bila Kristo ni kz bure

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭nimeumia sana jamani binadamu sisi

  • @surkozytm3331
    @surkozytm33315 ай бұрын

    well said kuna kitu kikubwa sn cha kujifunza hp

  • @dainessnungwe2621
    @dainessnungwe2621 Жыл бұрын

    Jamani jamani!; Nimeumia sana na hii story

  • @gililwise
    @gililwise Жыл бұрын

    Mungu atusaidie jamani maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu.

  • @hosianaisrael8939
    @hosianaisrael8939 Жыл бұрын

    Duhh imenigusaa baba barikiwa mnoo babab

  • @glorynassary8799
    @glorynassary8799 Жыл бұрын

    Mungu akubariki baba, Mungu atutie nguvu jamani.

  • @veronicapaul9067
    @veronicapaul9067 Жыл бұрын

    Yalishawagawah kunikuta haya japo story ipo tofaut kidogo nlmtendea wema mzaz mwenzang matokeo yake ctakuja kusahau hii😭😭

  • @gracesilayo7670

    @gracesilayo7670

    Жыл бұрын

    Pole my

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Жыл бұрын

    Hii ni ukweliiiii kuna dada mmoja hivyo hivyo uingereza alifanyiwa hivyo hivyoooo kumbe hewaaaa

  • @veronicamokiwa4315

    @veronicamokiwa4315

    Жыл бұрын

    Ndugu yangu kafanyiwa hivyo nae alikuwa UK aliacha mume wake huku

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Жыл бұрын

    Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona

  • @agnessima5032

    @agnessima5032

    10 ай бұрын

    Hicho kiswahili hakieleweki.

  • @anandegodfrey9025
    @anandegodfrey9025 Жыл бұрын

    Mungu atupe macho y rohoni

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 Жыл бұрын

    Wanaume ukiaminiwa aminika kuna dhambi zinaumiza sana watoto ndoo hazina yetu ya badae jamani tuwapende

  • @juliethkimati4647

    @juliethkimati4647

    Жыл бұрын

    Mungu tusaidiane Bila wewe hatuwezi

  • @vailetmapolu6363
    @vailetmapolu6363 Жыл бұрын

    Napenda sana mahubili yako

  • @biamungunestory1935
    @biamungunestory1935 Жыл бұрын

    This was so unfortunate for her and her children

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 Жыл бұрын

    Duh

  • @jacquelinemushi2014
    @jacquelinemushi2014 Жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @rosetemu2194
    @rosetemu2194 Жыл бұрын

    😭😭

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 Жыл бұрын

    WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13

  • @mussajumannendanzi9451
    @mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын

    😭

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 Жыл бұрын

    Huyu mchungaji nampenda vile anatoa mifano ya mafundisho

  • @marryngaa3195
    @marryngaa3195 Жыл бұрын

    Mie alinifanyia dada yangu watumbo moja alikula17 milioni ya kwangu

  • @jenifamoshi1219
    @jenifamoshi1219 Жыл бұрын

    Maubiri yako yanatusaidia sana baba

  • @queenyakinangop4096
    @queenyakinangop4096 Жыл бұрын

    😭😭😭🙆

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Жыл бұрын

    Hawajawah kusoma wala hawajui kusoma na pesa nimetuma wala siangaik kujichanganya nipate kichaa namtupia Mungu na majibu atayapata tu, ndioo

  • @princeshafeen-official
    @princeshafeen-official Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @doreenkahunde3186
    @doreenkahunde3186 Жыл бұрын

    Oh dear may God punish this man,

  • @mussajumannendanzi9451
    @mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын

    Mwisho wa huyo dada ilikuwaje kumalizua stori inapendeza mtumishi

  • @faustinahugo9621
    @faustinahugo9621 Жыл бұрын

    Nimesikia kulia😭😭😭😭

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Жыл бұрын

    Hawa ndio binadamu😭😭😭😭, mwaminifu ni Mungu peke yake..

  • @willykikwete8626
    @willykikwete8626 Жыл бұрын

    Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.

  • @johnmapunda3474

    @johnmapunda3474

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂watu wanastress za maisha hawajalala home

  • @millieholmst6628

    @millieholmst6628

    Жыл бұрын

    Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 Жыл бұрын

    Mm kunamtu kala milioni moja yangu siwezi msamehe. Na Bado naendelea kupambana hajanikata mikono naamini ipo siku Mungu atamuonyesha hapahapa Duniani

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    Жыл бұрын

    Samehe Dada yangu wapo watu wameliwa million 10 nakusihi samehe maana unajizulu ww wenyewe.

  • @olivajoseph1697

    @olivajoseph1697

    Жыл бұрын

    @@rezegerezege691 siwezi Kila siku ntamsomea mabaya tu

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    Жыл бұрын

    Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema. Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako. Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde. Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu. Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.

  • @rezegerezege691

    @rezegerezege691

    Жыл бұрын

    Da oliva samehe kila kitu Riziki itakuijia japo itachelewa.

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Жыл бұрын

    Njo hivo mchungaji. Wandugu tena hawaeleweki wamesha tuumiza sana tuna tafuta kwa jasho lakini wawo hawa oni mwishowe .unakuwa nima umivu tu

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Жыл бұрын

    Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.

  • @anandegodfrey9025

    @anandegodfrey9025

    Жыл бұрын

    Roho ya uvumilivu wengi hawawezi.piaa inategemea labda Ni pressure imepelekea haya yt😭

  • @johnmapunda3474

    @johnmapunda3474

    Жыл бұрын

    Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢

  • @florencebudoya3814

    @florencebudoya3814

    Жыл бұрын

    @@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Жыл бұрын

    story

  • @emanuelgodlisten9477
    @emanuelgodlisten9477 Жыл бұрын

    Nakupenda sana

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 Жыл бұрын

    DUUUUUUH

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Жыл бұрын

    Mafundisho mazuri na yamenijenga sana,,,,,, japo ulisema hutoitaja nchi ............😂

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 Жыл бұрын

    😂😂😂😂 watu hatuonani barabarani

  • @liliantirimo7993
    @liliantirimo7993 Жыл бұрын

    Na hicho kibanda hasara kitakuja kuwehuka ogopa machozi ya wale watoto

  • @anitasamson7850
    @anitasamson7850 Жыл бұрын

    Jasho la mtu haliliwi mwenye kiburi hafikagi mbali.

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Жыл бұрын

    Hafahi huyo mwanaume

  • @liliantirimo7993
    @liliantirimo7993 Жыл бұрын

    Na yeye awe kichaa.

  • @joynessmhalila811
    @joynessmhalila811 Жыл бұрын

    Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm, Mungu aendelee kukupa neema yake , Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.

  • @neemaloy889

    @neemaloy889

    Жыл бұрын

    Poole dear

  • @jennykeya3756

    @jennykeya3756

    Жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu kwa mahubiri mema wanaume mungu hawaone

  • @allenmhando8443
    @allenmhando8443 Жыл бұрын

    Hizi story zingine, ni mifano, ukiangalia si kweli, si alipata Green visa kwanini ahangaike hivyo. Mzee wa mastori.

  • @brysonkaale3003

    @brysonkaale3003

    Жыл бұрын

    Green card siyo tiba ya kichaa!

  • @nsiandekweka8373

    @nsiandekweka8373

    Жыл бұрын

    Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.

  • @dorothyjoseph28

    @dorothyjoseph28

    Жыл бұрын

    Kwani angeenda aje akiwa mwenda wazimu? Yes,ni mzee wa story lakini elewa anacho kisema kwanza kabla ujamuhukumu.

  • @amyesanga2004

    @amyesanga2004

    Жыл бұрын

    Kuna siku yatakukuta ndo utaelewa Nini amefundisha

  • @allenmhando8443

    @allenmhando8443

    Жыл бұрын

    @@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 Жыл бұрын

    Laana hii