REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA DADA ALIYEPATA UKICHAA BAADA YA MUME WAKE KUOA MWANAMKE MWINGINE
Жүктеу.....
Пікірлер: 78
@lynnelee7286 Жыл бұрын
Hii nayo ilishanikutaa... tunaishi Nchi za nje Ili kuinuka ila watu walio nyuma yetu hutuponza aiseee😌😌🇰🇪🙌
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Leo umenigusa mimi Baba😭😭😭 Binadamu weng wanatufanyia ubaya sana baada ya sisi kuwaonesha wema kwao
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Eeeeeh mungu yamenikutaa hayaa mimi tenaa familia haswaa namshukuru mungu sijapataa kichaa
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Masikini , pole Amina wangu tupo wengi.
@aminakasim1198
Жыл бұрын
@@happylynguya3464 it's painful my lovely sister for really
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Polen jaman
@monicamwandemele2648 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe baba angu kimaro tuchape baba hadi tuelewe Mungu wa Kwanza siku zote
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Katika viumbe nawaogopa apa Duniani ni wanaume woiii 🙌
@doreenkahunde3186 Жыл бұрын
I blame the family members they would have told her the truth ,why did they wait until she comes back
@neemawillison891 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mchungaji mungu akubaliki
@priscaangwenyi2206 Жыл бұрын
I also took medication for 3.5 years. Mental illness is not a joke
@habibahabiba7128
Жыл бұрын
Very sorry dear
@edgerkessydeogratius5167 Жыл бұрын
Mungu atuongoze sisi maan dunian hap bila Kristo ni kz bure
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimeumia sana jamani binadamu sisi
@surkozytm33315 ай бұрын
well said kuna kitu kikubwa sn cha kujifunza hp
@dainessnungwe2621 Жыл бұрын
Jamani jamani!; Nimeumia sana na hii story
@gililwise Жыл бұрын
Mungu atusaidie jamani maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu.
@hosianaisrael8939 Жыл бұрын
Duhh imenigusaa baba barikiwa mnoo babab
@glorynassary8799 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba, Mungu atutie nguvu jamani.
@veronicapaul9067 Жыл бұрын
Yalishawagawah kunikuta haya japo story ipo tofaut kidogo nlmtendea wema mzaz mwenzang matokeo yake ctakuja kusahau hii😭😭
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Pole my
@demicratia4071 Жыл бұрын
Hii ni ukweliiiii kuna dada mmoja hivyo hivyo uingereza alifanyiwa hivyo hivyoooo kumbe hewaaaa
@veronicamokiwa4315
Жыл бұрын
Ndugu yangu kafanyiwa hivyo nae alikuwa UK aliacha mume wake huku
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona
@agnessima5032
10 ай бұрын
Hicho kiswahili hakieleweki.
@anandegodfrey9025 Жыл бұрын
Mungu atupe macho y rohoni
@laurencemassawe9100 Жыл бұрын
Wanaume ukiaminiwa aminika kuna dhambi zinaumiza sana watoto ndoo hazina yetu ya badae jamani tuwapende
@juliethkimati4647
Жыл бұрын
Mungu tusaidiane Bila wewe hatuwezi
@vailetmapolu6363 Жыл бұрын
Napenda sana mahubili yako
@biamungunestory1935 Жыл бұрын
This was so unfortunate for her and her children
@priscajoseph261 Жыл бұрын
Duh
@jacquelinemushi2014 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@rosetemu2194 Жыл бұрын
😭😭
@endtimes9850 Жыл бұрын
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
@mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын
😭
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Huyu mchungaji nampenda vile anatoa mifano ya mafundisho
@marryngaa3195 Жыл бұрын
Mie alinifanyia dada yangu watumbo moja alikula17 milioni ya kwangu
@jenifamoshi1219 Жыл бұрын
Maubiri yako yanatusaidia sana baba
@queenyakinangop4096 Жыл бұрын
😭😭😭🙆
@joycekalago532 Жыл бұрын
Hawajawah kusoma wala hawajui kusoma na pesa nimetuma wala siangaik kujichanganya nipate kichaa namtupia Mungu na majibu atayapata tu, ndioo
@princeshafeen-official Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@doreenkahunde3186 Жыл бұрын
Oh dear may God punish this man,
@mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын
Mwisho wa huyo dada ilikuwaje kumalizua stori inapendeza mtumishi
@faustinahugo9621 Жыл бұрын
Nimesikia kulia😭😭😭😭
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Hawa ndio binadamu😭😭😭😭, mwaminifu ni Mungu peke yake..
@willykikwete8626 Жыл бұрын
Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.
@johnmapunda3474
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂watu wanastress za maisha hawajalala home
@millieholmst6628
Жыл бұрын
Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu
@olivajoseph1697 Жыл бұрын
Mm kunamtu kala milioni moja yangu siwezi msamehe. Na Bado naendelea kupambana hajanikata mikono naamini ipo siku Mungu atamuonyesha hapahapa Duniani
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Samehe Dada yangu wapo watu wameliwa million 10 nakusihi samehe maana unajizulu ww wenyewe.
@olivajoseph1697
Жыл бұрын
@@rezegerezege691 siwezi Kila siku ntamsomea mabaya tu
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema. Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako. Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde. Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu. Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Da oliva samehe kila kitu Riziki itakuijia japo itachelewa.
@RandB_Channel Жыл бұрын
Njo hivo mchungaji. Wandugu tena hawaeleweki wamesha tuumiza sana tuna tafuta kwa jasho lakini wawo hawa oni mwishowe .unakuwa nima umivu tu
@florencebudoya3814 Жыл бұрын
Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.
@anandegodfrey9025
Жыл бұрын
Roho ya uvumilivu wengi hawawezi.piaa inategemea labda Ni pressure imepelekea haya yt😭
@johnmapunda3474
Жыл бұрын
Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢
@florencebudoya3814
Жыл бұрын
@@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.
@verdianabanabi2205 Жыл бұрын
story
@emanuelgodlisten9477 Жыл бұрын
Nakupenda sana
@aaaaaah290 Жыл бұрын
DUUUUUUH
@godfreymagoso5334 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri na yamenijenga sana,,,,,, japo ulisema hutoitaja nchi ............😂
@yunislemnge5558 Жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hatuonani barabarani
@liliantirimo7993 Жыл бұрын
Na hicho kibanda hasara kitakuja kuwehuka ogopa machozi ya wale watoto
@anitasamson7850 Жыл бұрын
Jasho la mtu haliliwi mwenye kiburi hafikagi mbali.
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Hafahi huyo mwanaume
@liliantirimo7993 Жыл бұрын
Na yeye awe kichaa.
@joynessmhalila811 Жыл бұрын
Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm, Mungu aendelee kukupa neema yake , Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.
@neemaloy889
Жыл бұрын
Poole dear
@jennykeya3756
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kwa mahubiri mema wanaume mungu hawaone
@allenmhando8443 Жыл бұрын
Hizi story zingine, ni mifano, ukiangalia si kweli, si alipata Green visa kwanini ahangaike hivyo. Mzee wa mastori.
@brysonkaale3003
Жыл бұрын
Green card siyo tiba ya kichaa!
@nsiandekweka8373
Жыл бұрын
Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.
@dorothyjoseph28
Жыл бұрын
Kwani angeenda aje akiwa mwenda wazimu? Yes,ni mzee wa story lakini elewa anacho kisema kwanza kabla ujamuhukumu.
@amyesanga2004
Жыл бұрын
Kuna siku yatakukuta ndo utaelewa Nini amefundisha
@allenmhando8443
Жыл бұрын
@@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.
Пікірлер: 78
Hii nayo ilishanikutaa... tunaishi Nchi za nje Ili kuinuka ila watu walio nyuma yetu hutuponza aiseee😌😌🇰🇪🙌
Leo umenigusa mimi Baba😭😭😭 Binadamu weng wanatufanyia ubaya sana baada ya sisi kuwaonesha wema kwao
Eeeeeh mungu yamenikutaa hayaa mimi tenaa familia haswaa namshukuru mungu sijapataa kichaa
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Masikini , pole Amina wangu tupo wengi.
@aminakasim1198
Жыл бұрын
@@happylynguya3464 it's painful my lovely sister for really
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Polen jaman
Bwana Yesu asifiwe baba angu kimaro tuchape baba hadi tuelewe Mungu wa Kwanza siku zote
Katika viumbe nawaogopa apa Duniani ni wanaume woiii 🙌
I blame the family members they would have told her the truth ,why did they wait until she comes back
Nakuelewa Sana mchungaji mungu akubaliki
I also took medication for 3.5 years. Mental illness is not a joke
@habibahabiba7128
Жыл бұрын
Very sorry dear
Mungu atuongoze sisi maan dunian hap bila Kristo ni kz bure
😭😭😭😭😭nimeumia sana jamani binadamu sisi
well said kuna kitu kikubwa sn cha kujifunza hp
Jamani jamani!; Nimeumia sana na hii story
Mungu atusaidie jamani maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu.
Duhh imenigusaa baba barikiwa mnoo babab
Mungu akubariki baba, Mungu atutie nguvu jamani.
Yalishawagawah kunikuta haya japo story ipo tofaut kidogo nlmtendea wema mzaz mwenzang matokeo yake ctakuja kusahau hii😭😭
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Pole my
Hii ni ukweliiiii kuna dada mmoja hivyo hivyo uingereza alifanyiwa hivyo hivyoooo kumbe hewaaaa
@veronicamokiwa4315
Жыл бұрын
Ndugu yangu kafanyiwa hivyo nae alikuwa UK aliacha mume wake huku
Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona
@agnessima5032
10 ай бұрын
Hicho kiswahili hakieleweki.
Mungu atupe macho y rohoni
Wanaume ukiaminiwa aminika kuna dhambi zinaumiza sana watoto ndoo hazina yetu ya badae jamani tuwapende
@juliethkimati4647
Жыл бұрын
Mungu tusaidiane Bila wewe hatuwezi
Napenda sana mahubili yako
This was so unfortunate for her and her children
Duh
😭😭😭😭
😭😭
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
😭
Huyu mchungaji nampenda vile anatoa mifano ya mafundisho
Mie alinifanyia dada yangu watumbo moja alikula17 milioni ya kwangu
Maubiri yako yanatusaidia sana baba
😭😭😭🙆
Hawajawah kusoma wala hawajui kusoma na pesa nimetuma wala siangaik kujichanganya nipate kichaa namtupia Mungu na majibu atayapata tu, ndioo
😭😭😭😭😭😭😭😭
Oh dear may God punish this man,
Mwisho wa huyo dada ilikuwaje kumalizua stori inapendeza mtumishi
Nimesikia kulia😭😭😭😭
Hawa ndio binadamu😭😭😭😭, mwaminifu ni Mungu peke yake..
Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.
@johnmapunda3474
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂watu wanastress za maisha hawajalala home
@millieholmst6628
Жыл бұрын
Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu
Mm kunamtu kala milioni moja yangu siwezi msamehe. Na Bado naendelea kupambana hajanikata mikono naamini ipo siku Mungu atamuonyesha hapahapa Duniani
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Samehe Dada yangu wapo watu wameliwa million 10 nakusihi samehe maana unajizulu ww wenyewe.
@olivajoseph1697
Жыл бұрын
@@rezegerezege691 siwezi Kila siku ntamsomea mabaya tu
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema. Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako. Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde. Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu. Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.
@rezegerezege691
Жыл бұрын
Da oliva samehe kila kitu Riziki itakuijia japo itachelewa.
Njo hivo mchungaji. Wandugu tena hawaeleweki wamesha tuumiza sana tuna tafuta kwa jasho lakini wawo hawa oni mwishowe .unakuwa nima umivu tu
Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.
@anandegodfrey9025
Жыл бұрын
Roho ya uvumilivu wengi hawawezi.piaa inategemea labda Ni pressure imepelekea haya yt😭
@johnmapunda3474
Жыл бұрын
Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢
@florencebudoya3814
Жыл бұрын
@@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.
story
Nakupenda sana
DUUUUUUH
Mafundisho mazuri na yamenijenga sana,,,,,, japo ulisema hutoitaja nchi ............😂
😂😂😂😂 watu hatuonani barabarani
Na hicho kibanda hasara kitakuja kuwehuka ogopa machozi ya wale watoto
Jasho la mtu haliliwi mwenye kiburi hafikagi mbali.
Hafahi huyo mwanaume
Na yeye awe kichaa.
Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm, Mungu aendelee kukupa neema yake , Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.
@neemaloy889
Жыл бұрын
Poole dear
@jennykeya3756
Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kwa mahubiri mema wanaume mungu hawaone
Hizi story zingine, ni mifano, ukiangalia si kweli, si alipata Green visa kwanini ahangaike hivyo. Mzee wa mastori.
@brysonkaale3003
Жыл бұрын
Green card siyo tiba ya kichaa!
@nsiandekweka8373
Жыл бұрын
Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.
@dorothyjoseph28
Жыл бұрын
Kwani angeenda aje akiwa mwenda wazimu? Yes,ni mzee wa story lakini elewa anacho kisema kwanza kabla ujamuhukumu.
@amyesanga2004
Жыл бұрын
Kuna siku yatakukuta ndo utaelewa Nini amefundisha
@allenmhando8443
Жыл бұрын
@@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.
Laana hii