RECAP: BURNA BOY awaumbua DIAMOND, ALIKIBA, HARMONIZE, ATOA SOMO, WASANII WET WAACHE KUJIDANGANYA

Ойын-сауық

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 72

  • @Akili820
    @Akili8203 күн бұрын

    Kiukweli leo umeongea vizuri watu wa Nigeria ni moto wa kuotea mbali 🔥🔥🇨🇩🇨🇩☝️

  • @BarakaNtale-xe3hx
    @BarakaNtale-xe3hx2 күн бұрын

    Aisee❤ Leo umejitahidi

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @EmmanuelMurhula-jb8cb
    @EmmanuelMurhula-jb8cb7 күн бұрын

    Kweli bro 🙌

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz2 күн бұрын

    Sahihi mkuu wasanii wetu waache majungu zaid washikamane tusogee mbele

  • @furahachuma9039
    @furahachuma90393 күн бұрын

    Diamond ni local artist

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa67406 күн бұрын

    Tell dem ma broda

  • @nickdemitychanell
    @nickdemitychanell7 күн бұрын

    Support kwa wasanii wetu🎉❤❤Spotify na boom ply iwe kubwa

  • @davidnyerere2474
    @davidnyerere24744 күн бұрын

    Kiswahili haiwezi kutufikisha huko kwenye unasema

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr7 күн бұрын

    Upo sahh xn

  • @kasereka-vy3mw
    @kasereka-vy3mw6 күн бұрын

    ome ona sasa brow navo asemaka kila mara kwamba tz bado yakwanza tz hatuya maliza sasa inje tuta wezanjee

  • @philipotieno9996
    @philipotieno99966 күн бұрын

    Weeeeh😂😂

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm6 күн бұрын

    Simbaaa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky7 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂Aaache alafu tuone km mziki utaishia hapa hapaaaa au utasongaaa☕️watu wote wanamtazama yeyeeee? How?

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u7 күн бұрын

    Wewe ni msumeno unakata mbele na nyuma Alikiba vitu vyake ni private hapendagi kuposti na Burna Boy pia kajaza watu lakini hajaposti kwanini usimfananishe Alikiba na Burna Boy kwa kua sifa zao ni moja?, we ni chawa wa Diamond huna unalolijua unabweka.

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    6 күн бұрын

    😂😂😂

  • @DrNdii
    @DrNdii6 күн бұрын

    Yani nyimbo kuchezwa na Chris brown nkama amechukua Grammy, realty bado sana

  • @furahachuma9039
    @furahachuma90393 күн бұрын

    Umezoea kutupatia mapungufu ya shoo za wasanii wengine wa kitanzania, ebu leo tupe mapungufu ya shoo ya diamond. Ukiongelea mapungufu ya shoo ya diamond niko pale nasubiria kupigwa mawe.

  • @furahachuma9039
    @furahachuma90393 күн бұрын

    Hata Diamond hana uwezo wa kuwekeza kama wanaigeria. Usimjaze..!

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi5 күн бұрын

    Cyo Tanzania tu burna boy kwa sasa ni msanii wa Dunia top ten ya Dunia yupo

  • @ValeryMungaSawamba
    @ValeryMungaSawamba7 күн бұрын

    Ivi kweli kuacha ishuu ya Chris brown kucheza komasava, komasava inazidi single again kwenda kimataifa na kupokelewa vizuri? Mbona unaenda sana ngambo Moya? Sijaona maajabu ya komasava kuzidi single again

  • @DrNdii
    @DrNdii6 күн бұрын

    Leo ndio umeongea ukweli

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz4 күн бұрын

    Haitotokea msani we2 kujaza uwanja kama uo ao kina Diamond wakenda kwenye show za wa2 ndo wanakuta wa2 wengie

  • @user-vl3zs5eu5l
    @user-vl3zs5eu5l5 күн бұрын

    Bro plz tujibu hili swali komassava na single again ukizicompare ngoma gani imefanya poa maana single again ilikua inaimbwa mpaka nawazungu wakati hamonizer alikua anapiga shoo akiwa ng'ambo .....bt cjaona komassava ikipokelewa kama single again juzi naona anaperfom anaimba yy pekee

  • @babalao3250

    @babalao3250

    3 күн бұрын

    We naye ni ng'ombe 2 kwani komasava huioni

  • @selemanirashidi-sc3pp
    @selemanirashidi-sc3pp7 күн бұрын

    Uchawi wa burnaboy ni mama yake kale ka mama nikikashika nitakafungiya ndani miezi sita kisha tuone uyo burnaboy atahenda wapi

  • @humbleshoal

    @humbleshoal

    7 күн бұрын

    Umejuaje kama ni mchawi! Kama huna cha kuongea kausha

  • @BebyKing-u9j
    @BebyKing-u9j4 күн бұрын

    Wewe unaongea Nini sasa komasava unaiweka mbele I am single again umeiwaka wapi??

  • @johnjay205
    @johnjay2057 күн бұрын

    We love your video but please make it more of English

  • @kiatu

    @kiatu

    7 күн бұрын

    English halafu SNS atafsiri, we vipi? 😅

  • @davidnyerere2474
    @davidnyerere24744 күн бұрын

    Otile alisema hilo but mkaona ni mpuuzi sasa mbona mnarudi huko

  • @sagatv4306
    @sagatv43066 күн бұрын

    Ila kumbuka tunatumiya kiswahili sio English kama tunatumiya Lugha yawo tutaza wapita

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats7 күн бұрын

    Burna boy Usimlinganishe na diamond, Burna boy kawazidi hata wasanii wa mbele huko. Hawajazi kama burna boy.

  • @aminamwinyi6004
    @aminamwinyi60046 күн бұрын

    ujajua kitu sisi tanzania asilimia 50 atendi kwenye mashoo hayo asilimia chache ndio wanaenda ktk show

  • @elvisceruvoyageur6998
    @elvisceruvoyageur69987 күн бұрын

    Wa bongo wali anza shindanisha king @Fally Ipupa Na dogo Diamond 😂😂 mukogo Aka wa chapa kwenye Afronation 🇨🇩👑🦅🦅

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi5 күн бұрын

    Hakuna msanii wa Africa wa kumfikia burna boy hata davido na wiz kid hawawez kumfikia burna boy

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby7 күн бұрын

    No bro is enough We are not going to take anything for Burna Boy let’s just appreciate what we have first every day you are comparing them to Burna Boy,davido,wizkid no we have diamond, alkiba, rayvanne,harmo, is enough for us and we are proud of them stop comparing them to anybody we will make it one day but lets appreciate what we have right now believe me this people work day and night to make 🇹🇿 proud what do they get in return we laugh at them for what? You sit there judging them did you ever do an interview with David or Burna Boy, no so work on yourself firs

  • @LazaroMartin-zn7zo
    @LazaroMartin-zn7zo3 күн бұрын

    Unavoongea hivo Wana igeriaa wakisikia watazidi kutupelekeaaa moto balaa ani bola ukae kimya ya kisikia tyuuu ani Yana kiwasha sana

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm7 күн бұрын

    Zombiii

  • @DidasSaousien
    @DidasSaousien7 күн бұрын

    Unamuacha wapi harmonize jeshiiii

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    7 күн бұрын

    Mmmmscheeew!

  • @jamalmuro
    @jamalmuro6 күн бұрын

    Wee n matakoo hujielewiii ,wingireza n kolon la nigeria,waambiee hao wanaijeriaa wakajazee ufaransaa kama watajazaaa

  • @MeshaLeckison
    @MeshaLeckison6 күн бұрын

    Arafu ww mbona sikuerewag Ray vanny anafanya mambomkubwa unakua Kama humuonag

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa33127 күн бұрын

    Uyu jamaa mjinga kwanza bado mtumwa ki fikra unafikiri ngozi nyeupe nzuri kuliko yako, tena, komasava bado, watu hawaja vibe ww si mwana habari ni chawa wa diamond, mkuze wasanii mnao kina Ray, harmo, alikiba, mario muwakuze kuliko kubania msanii aliye kwama. Mta ishiya kulalamika.

  • @joyhylton7901

    @joyhylton7901

    7 күн бұрын

    Sounds like a hater much. Diamond to the world hater. Let this sink in. He is the king hater. Harmonize for one looks like a boxer not a singer. Whenever her perform the man is out of breath. Anyhooooooooooooo without Diamond there is nothing for you people to talk about nothing nothing. ❤❤❤❤ Diamond🇺🇸

  • @thierrybisimwa3312

    @thierrybisimwa3312

    7 күн бұрын

    @@joyhylton7901 diamond ameshaku roga ww chawa.

  • @priscamrekoni3451

    @priscamrekoni3451

    7 күн бұрын

    ​@@joyhylton7901👎👎👎👎👎👎👎👎😏😏😏🤬🤬🤬🤬🤬

  • @BabeRymz
    @BabeRymz7 күн бұрын

    Yule ni SIMBA LAMA SIMBA DANGOTE 🦁🦁🦁

  • @AlhajiRocky-xd5vl
    @AlhajiRocky-xd5vl7 күн бұрын

    Hebu tuandalie kama docomentary ya mambo alofanya Diamond ili tujue plz

  • @barekebavugemasudi3436
    @barekebavugemasudi34367 күн бұрын

    Tatizo wa bongo hawamsapoti kila akifanya kitu wao wanaponda wa naigeri wanasapotiana sana wabongo wanapondana

  • @BadBadMpLiTe
    @BadBadMpLiTe6 күн бұрын

    Tulia wewe

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx7 күн бұрын

    Nenda kajaze wewe na huyo diamond wako unae muita big mngese wewe

  • @humbleshoal

    @humbleshoal

    7 күн бұрын

    Asa matusi ya nini na wewe

  • @philipotieno9996

    @philipotieno9996

    6 күн бұрын

    ​@@humbleshoal aleetee msaanii wakee aijaaazee😅😅 yeyeee

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    3 күн бұрын

    Tangia akupeleke Qatari kwenye kombe la dunia, umebakia kusifia tu.

  • @furahachuma9039

    @furahachuma9039

    3 күн бұрын

    Sio kweli, wala watanzania hawana habari naye😅😅, ndio kusema hata Mwijaku anamtazama diamond 😅😅😅😅

  • @mohamedassumanesumailassum1823
    @mohamedassumanesumailassum18237 күн бұрын

    Ww no chawa wa diamond, mbona aujaongoleia Ilê show mbovu, mbona aunglei show ya harmo, na matokeio anayofanya Ali kiba. Mm sikueleui ww.

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe1187 күн бұрын

    Burnboy sio mtu wa masifa kajaza na ajajitapa na na masifa.

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

  • @humbleshoal

    @humbleshoal

    7 күн бұрын

    We nae unakua km mgonjwa

  • @ZawadiRobati
    @ZawadiRobati7 күн бұрын

    Simba

Келесі