RECAP: BURNA BOY awaumbua DIAMOND, ALIKIBA, HARMONIZE, ATOA SOMO, WASANII WET WAACHE KUJIDANGANYA
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 72
Kiukweli leo umeongea vizuri watu wa Nigeria ni moto wa kuotea mbali 🔥🔥🇨🇩🇨🇩☝️
Aisee❤ Leo umejitahidi
Simba
Kweli bro 🙌
Sahihi mkuu wasanii wetu waache majungu zaid washikamane tusogee mbele
Diamond ni local artist
Tell dem ma broda
Support kwa wasanii wetu🎉❤❤Spotify na boom ply iwe kubwa
Kiswahili haiwezi kutufikisha huko kwenye unasema
Upo sahh xn
ome ona sasa brow navo asemaka kila mara kwamba tz bado yakwanza tz hatuya maliza sasa inje tuta wezanjee
Weeeeh😂😂
Simbaaa
😂😂😂😂😂😂Aaache alafu tuone km mziki utaishia hapa hapaaaa au utasongaaa☕️watu wote wanamtazama yeyeeee? How?
Wewe ni msumeno unakata mbele na nyuma Alikiba vitu vyake ni private hapendagi kuposti na Burna Boy pia kajaza watu lakini hajaposti kwanini usimfananishe Alikiba na Burna Boy kwa kua sifa zao ni moja?, we ni chawa wa Diamond huna unalolijua unabweka.
@mrsinia3064
6 күн бұрын
😂😂😂
Yani nyimbo kuchezwa na Chris brown nkama amechukua Grammy, realty bado sana
Umezoea kutupatia mapungufu ya shoo za wasanii wengine wa kitanzania, ebu leo tupe mapungufu ya shoo ya diamond. Ukiongelea mapungufu ya shoo ya diamond niko pale nasubiria kupigwa mawe.
Hata Diamond hana uwezo wa kuwekeza kama wanaigeria. Usimjaze..!
Cyo Tanzania tu burna boy kwa sasa ni msanii wa Dunia top ten ya Dunia yupo
Ivi kweli kuacha ishuu ya Chris brown kucheza komasava, komasava inazidi single again kwenda kimataifa na kupokelewa vizuri? Mbona unaenda sana ngambo Moya? Sijaona maajabu ya komasava kuzidi single again
Leo ndio umeongea ukweli
Haitotokea msani we2 kujaza uwanja kama uo ao kina Diamond wakenda kwenye show za wa2 ndo wanakuta wa2 wengie
Bro plz tujibu hili swali komassava na single again ukizicompare ngoma gani imefanya poa maana single again ilikua inaimbwa mpaka nawazungu wakati hamonizer alikua anapiga shoo akiwa ng'ambo .....bt cjaona komassava ikipokelewa kama single again juzi naona anaperfom anaimba yy pekee
@babalao3250
3 күн бұрын
We naye ni ng'ombe 2 kwani komasava huioni
Uchawi wa burnaboy ni mama yake kale ka mama nikikashika nitakafungiya ndani miezi sita kisha tuone uyo burnaboy atahenda wapi
@humbleshoal
7 күн бұрын
Umejuaje kama ni mchawi! Kama huna cha kuongea kausha
Wewe unaongea Nini sasa komasava unaiweka mbele I am single again umeiwaka wapi??
We love your video but please make it more of English
@kiatu
7 күн бұрын
English halafu SNS atafsiri, we vipi? 😅
Otile alisema hilo but mkaona ni mpuuzi sasa mbona mnarudi huko
Ila kumbuka tunatumiya kiswahili sio English kama tunatumiya Lugha yawo tutaza wapita
Burna boy Usimlinganishe na diamond, Burna boy kawazidi hata wasanii wa mbele huko. Hawajazi kama burna boy.
ujajua kitu sisi tanzania asilimia 50 atendi kwenye mashoo hayo asilimia chache ndio wanaenda ktk show
Wa bongo wali anza shindanisha king @Fally Ipupa Na dogo Diamond 😂😂 mukogo Aka wa chapa kwenye Afronation 🇨🇩👑🦅🦅
Hakuna msanii wa Africa wa kumfikia burna boy hata davido na wiz kid hawawez kumfikia burna boy
No bro is enough We are not going to take anything for Burna Boy let’s just appreciate what we have first every day you are comparing them to Burna Boy,davido,wizkid no we have diamond, alkiba, rayvanne,harmo, is enough for us and we are proud of them stop comparing them to anybody we will make it one day but lets appreciate what we have right now believe me this people work day and night to make 🇹🇿 proud what do they get in return we laugh at them for what? You sit there judging them did you ever do an interview with David or Burna Boy, no so work on yourself firs
Unavoongea hivo Wana igeriaa wakisikia watazidi kutupelekeaaa moto balaa ani bola ukae kimya ya kisikia tyuuu ani Yana kiwasha sana
Zombiii
Unamuacha wapi harmonize jeshiiii
@BarbaraPatience-qt9cc
7 күн бұрын
Mmmmscheeew!
Wee n matakoo hujielewiii ,wingireza n kolon la nigeria,waambiee hao wanaijeriaa wakajazee ufaransaa kama watajazaaa
Arafu ww mbona sikuerewag Ray vanny anafanya mambomkubwa unakua Kama humuonag
Uyu jamaa mjinga kwanza bado mtumwa ki fikra unafikiri ngozi nyeupe nzuri kuliko yako, tena, komasava bado, watu hawaja vibe ww si mwana habari ni chawa wa diamond, mkuze wasanii mnao kina Ray, harmo, alikiba, mario muwakuze kuliko kubania msanii aliye kwama. Mta ishiya kulalamika.
@joyhylton7901
7 күн бұрын
Sounds like a hater much. Diamond to the world hater. Let this sink in. He is the king hater. Harmonize for one looks like a boxer not a singer. Whenever her perform the man is out of breath. Anyhooooooooooooo without Diamond there is nothing for you people to talk about nothing nothing. ❤❤❤❤ Diamond🇺🇸
@thierrybisimwa3312
7 күн бұрын
@@joyhylton7901 diamond ameshaku roga ww chawa.
@priscamrekoni3451
7 күн бұрын
@@joyhylton7901👎👎👎👎👎👎👎👎😏😏😏🤬🤬🤬🤬🤬
Yule ni SIMBA LAMA SIMBA DANGOTE 🦁🦁🦁
Hebu tuandalie kama docomentary ya mambo alofanya Diamond ili tujue plz
Tatizo wa bongo hawamsapoti kila akifanya kitu wao wanaponda wa naigeri wanasapotiana sana wabongo wanapondana
Tulia wewe
Nenda kajaze wewe na huyo diamond wako unae muita big mngese wewe
@humbleshoal
7 күн бұрын
Asa matusi ya nini na wewe
@philipotieno9996
6 күн бұрын
@@humbleshoal aleetee msaanii wakee aijaaazee😅😅 yeyeee
@furahachuma9039
3 күн бұрын
Tangia akupeleke Qatari kwenye kombe la dunia, umebakia kusifia tu.
@furahachuma9039
3 күн бұрын
Sio kweli, wala watanzania hawana habari naye😅😅, ndio kusema hata Mwijaku anamtazama diamond 😅😅😅😅
Ww no chawa wa diamond, mbona aujaongoleia Ilê show mbovu, mbona aunglei show ya harmo, na matokeio anayofanya Ali kiba. Mm sikueleui ww.
Burnboy sio mtu wa masifa kajaza na ajajitapa na na masifa.
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
@humbleshoal
7 күн бұрын
We nae unakua km mgonjwa
Simba