DULVANI AMCHANA HARMONIZE BAADA YA KUSEMA DIAMOND SIO WA KWANZA KUPOSTIWA NA CHRIS ''ACHA WIVU'' !?
Ойын-сауық
East African number one KZread channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
WeAreEverywhere
#entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande
Пікірлер: 27
Asante dul van
Kweli kabisa dulvani wambie ukweli
Mtu ni diamond platinum pekeyake wengine wote sensema
Diamond apewe mauwa yake yawezekana sio mtu wa kwanza mondi kupostiwa ila ilo sio ajabu nikwamba mondi kapostiwa na msanii mkubwa hata mm nimependa sababu amefanya vizur na Tanzania kiujumla ebu tuacheni wivu tumpe hongera yake mondi
@BongoPlus
9 күн бұрын
kweli kaka
Mondi noma
Ku postiwa naku tsheza sio sawa
Vishoga jamani
Kuna ushahidi upi ? Km breezy kwa hiari kafanya ivyo ?😅
huyo niwivu mbn yeye aja post wana yoyote
Konde upo sahihi yy sio wakwanza kupostiwa
Misomisondo aliwapost ila walikwa wanacheza nyimbo ya chris brown ila alimpost mond komasava na dance yake
Kwanza huyo dulvan ni shoga
Kweli harmonize miyeyusho
Niwivu tu
Niwivu hamo ambae anayo
😂😂
Harmonize ni nafk
Wewe nawe tupische mashavu Kama mimba ya Bibi mwakangara🤮🤮🤮🤮🤮🤮
Sihukweli mtu hakisema hukweli anahonekana mubaya konde kasema hukweli kilasiku hukweli hunahuma sihoni mbaya konde kahongeya
@badeuxGerard
17 күн бұрын
Ukweli gani amesema kistuli wako? Eti yéyé kistuli ananyimbo ya kuchezwa na Chris Brown 😢 Chris Brown kahacha kucheza magoma yake lakini kacheza kamasava ya Simba weumeona jambo ndogo?
@seven127
17 күн бұрын
we ni kabila gani unaandika vibaya
@user-el1bm1is4b
17 күн бұрын
@@badeuxGerardandika kiswahil fasahaaa😅
@ShafiiRashid-zg3sh
17 күн бұрын
Nenda shule choko ww😂😂
@SaintBlvck-ff2gg
16 күн бұрын
Ona na ww hta kiswahili hujui vizur
We bwabwa kwendra😛😛😛😛