Kumekucha! tazama alichokifanya DIAMOND baada ya HARMONIZE kudai amlipe hela zake na kuwasha moto.
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 285
Wale team wasafi tujuane kwa like wakwanza jmny
Diamond sio tapeli sio mnafiki....Kenya for simba
Wale wanaipenda team wasafi tia like yako
Yani huyo mjomba nchumari mpuuzi Sana Yani mm Simba alipo nipo 🔥🔥🔥🔥
Mtoto umutunzae ndio anakuombea ukilema nawaza tu
@thomasmagoti9040
Жыл бұрын
Ni noma mzee
Diamond platnumz the king of Africa
In truth, they are only wasting their time. It's been a long time since platnumz said he doesn't want to fight with lyrics in music anymore but he does it for the good of everyone. go ahead dear brother
@taysonelinda2211
Жыл бұрын
Traduction Française: En vérité, ils perdent leur temps seulement. Il y a longtemps que platnumz avais dit qu'il ne veut plus se battre avec des paroles dans la musique mais il le fait pour les bien de tout le monde. va de l'avant cher frère
Middle simba on toooop
Kuanzia leo mimi cyo team ya kolosho naomba mnipokee wcb jamani
Diamond platnumz simba baba Lao Africa
Simbaaa plutnumz huyo ni baba n'a kama Ni kweli ana haki ya kula hata pesa za uyo fala zote kwani bila Diamond hatunge mjua huyo... Tayari nime vuta nyimbo zake kwani hana shukran Platnumz baki kimya baba endelesha kazi kwani YATAPITA YANA MWISHO NA IPO SIKU UTA SAHAU HUYO ... haku aribii kitu ana ji aribia ku gombana na chuma na yeye ni udongo
@osmandingi
Жыл бұрын
Wewe ni mjinga sana unadhani kwandika nyimbo ni jokes
@lyssmithofficial7049
Жыл бұрын
@@osmandingi wewe ume andika ngapi mjinga mwenzangu
@zimondrenkz254
Жыл бұрын
Wacha unafki
@dynessminja9284
Жыл бұрын
Acha ujinga... unajuwa garama za kupandisha muziki... konde hajafika hapo kimchezo
Harmonize mshamba sana
Mwani unamsumbua harmonize tu,kafulia Sana
daaah harmonize hana shukurani kabisa nimeami mungu amsamehe amkumbushe alipo toka asante middle kwa habari
@sevastierkalumba7556
Жыл бұрын
You're right
@ahmadiimilongera7660
Жыл бұрын
Hana shukurani kivp na alishalipa dola 600 yeye anadai chake na mmakonde akidai lazima apewe
@osmandingi
Жыл бұрын
Alipwe pesa zake unadhani kwandika wimbo ni kitu cha jokes
@yasinhussen-2881
Жыл бұрын
unakumbuka pale airpot alisemaje baada ya kutoka kufanya utoporo marekani??? huyo tumuombee make bangi zinachukua sana nafasi yake ndo maana na ngamia mbebaji (kajala ) ame muve one malipo ni hapa hapa
@mtoobebe5778
Жыл бұрын
do aven know how is sex hundreds millionlook like if is u had give to someone else for ungekuwa busy n washawi kumuwuwa that's too much and are saying horm don't give thanks wt fro ?
Bado mwanzo wa mwaka tuu kijana ameshaanza kutetema kwangoma 3 za Simba. Na usubiri uyu mwaka atamu nyosha kwa hit songs nyingi sana sijui atakwepea wapi jamani. Huruma sana Harmo
Huyu dogo anafanya watu wengine wasisaidiwe😢
@shabaniibrahimu3868
Жыл бұрын
unaakili kubwa Sana kaka
@thomasmagoti9040
Жыл бұрын
Kwel kabisa
@ramayonline2281
Жыл бұрын
Broh wew n genius
Yaani kajala amemkula pesa zote kasota mpaka amekumbuka za wcb, makubwa haya
Pesa zimeicha dogo arudi zake wcb mlango uko wazi
Jaman wale mnaopenda mziki muzuri subilieni middle simba atawaletea kionjo changu cha nyimbo yangu mpya inaitwa mapenzi yataniuwa simba naomba sapport yako
Tembo tena ana lalamika nini ameacha kujigamba sas ana lalamika hahaha 😂😂🤣 Simba baba lake🦁🦁🦁🦁
Nampenda sana diamond huwa hapendi kujibu ujinga 😌♥️
Mmakonde ana njaa🤣🤣🤣
Simbaaaaaaa baba laoo
Hahaha izi Kiki now znatafutwa kwa nguv koz hata harmonize anayoongea hayamake sense
Aseme tu hana jipya lakufanya ndo anatafuta kiki hivyo 😂😂😂
Huyu mmakonde pure kaishiwa kila kitu
Ujanja shule acha wamnyoshe mmakonde.
Hiyo Mwamba kukaa kimya nikawaida yake inaitwa wapuuzaji clanks 😂😂😂
@philipotieno9996
Жыл бұрын
Kweeeeli🤣🤣
Harmoniz acha bangi
Harmonize arudi tu Wasafi mbona na tuzo yo yote apati ? Acha ujinga😂 wcb for live baby Congo
@fedyaalzadjali8597
Жыл бұрын
baby Congo Tena 🤣🤣😂
@tahasuleiman7174
Жыл бұрын
Tuzo nd nn 20 percent ana tuzo kibao lkn pesa ya kununua bangi inamshinda saiv
@yazidkarasu2497
Жыл бұрын
@@tahasuleiman7174 anatuzo kibao za wapi tuzo za kilimuziki aaha
Bangi ni mbaya jamani, watu wanatamani vya nyuma
#diamondplatnumzz🇹🇿……LIVE LONGER BROOH usisikilize maneno ya #harmonize🤬………Alidhani akiunyea mkono wako utaukata bali wewe ukauosha na kuendelea na mambo yako ONE LOVE BROOOH ❤
Namkubali sana midle simba
Njaa imeingia Makondeni hela alikula bata na Kajala imeisha...chukua contract nenda basata au Kotini.... MUFILISIKO 😂😂😂
Jibu safi sana
Yaani huyu akishavuta tu hizi bangi anabwatuka tu! Sasa kama ana uhakika na anayoyasema si akafungue kesi mahakamani? Sie watu wa mitandao tutamsaidia nini kama sio kutafuta huruma kwenye jamii. Kweli nimeamini Kajala kazikomba hela za huyu jamaa🤣🤣
Ila hamonize amekuwa mwanamke angependeza mno maana ana maneno maneno sana, mtoto wa kiume hapendezi kuwa na maneno maneno mengi mengi kama hamonize
Wa kwanza leo
Too much sasa..Analalamika sanaa kama demuu
Niatari kweli 😭😭
Baba TEE NA NNY HUYOOOH ACHA KENGE AJIFANANISHE NA MAMBA WE WILL ALWAYS KNOW DR DIFFERENCE.
My blood my Wasafi for rever
kana angaika haka kamakonde hahaha😂😂
Jamani k g nikichaaa
Uyu panya ni mngese sana yani inakuaje mkataba asaini yy afu pesa iende kwa mtu mwingine aaache uku....wake tushamchoka sasa na malalamiko yake yan uyu jmaa ni demu kabisaa yani middle simba mwambie uyo panya ata kama akiendelea kumsambazia chuki diamond Sisi tunaojua mziki toka zaman izo hatuwezi kumchukia diamond coz tunajua nn kafanya diamond kwenye ii game ya bongo ata yy uyo panya bila mond wala asingekua hapo alipo...sema mtt hana shukrani uyu afu anatamani nafasi alioipata diamond ndo ingekua yy iyo haiwezekani mana mungu ndo mtoaji yy apambane tu na hari yake mziki ukimshinda aende zake akalime korosho kwao
@tembarooney7899
Жыл бұрын
Mziki umemshinda huyo...
@abedysteven4930
Жыл бұрын
Dah hyu jamaa kweli 2lixhamchoka Kila cku hawez kuongea bila kumtaja diamond ajue 2memchoka!
@fadhilingari4427
Жыл бұрын
Amemtaja Diamond wap, Acha upuzi
@winnawiliamwinnawiliam8859
Жыл бұрын
unatoa ushauri au unatukana sijaelewa maumivu ya mtu ndo maumivu yako kesho tusikomenti kwa mapenzi
@bwejuubeach9280
Жыл бұрын
Kama Hana pesa aseme tu uyo kima
Nguruma midle simbaaaa
SIMBA✊
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Jike
Sasa siku zote alikua wap wakati hapat pesa yake kwenye KZread 😂
@dynessminja9284
Жыл бұрын
Alikuwa anawekeza tuu kibubu hicho anajuwa hana haraka nayo... sasa ndo wakati
W kwanza like zang
Mjomba nchumi ana wenge sanaaaa
🔥
Leongo lake mondi afirisike, anasaau kwamba mpaji ni mungu
Harmo tafuta pesa lawama achia Upcoming
@paulmbuthia9363
Жыл бұрын
Anakaa underground
He don't care ama he doesn't care 🙄🙄🙄
@sophiahmedza929
Жыл бұрын
😂😂😂😳😳😳😳💃💃💃
Mtu anipe jina la hiyo ngoma kwa background please
Hamo aache upumbavu kama Maisha yamemshinda arud him tumechoka malalamiko yake.
Ajuwi anapo helekea,
Mshaurini huyo kijana jaman anaongea sana
@fedrickaloyce9660
Жыл бұрын
Anafeli sana
kana angaika haka kamakonde hahaha😂😂ukisha ona mtu alikuwa na hela anaza kulalamika ujue kafuria anatafuta wa kumlaumu
Kaka uyo mvuta vida kasha pagawa mangoma dunia yatapita na zuwena hache maneno apige mziki kama anatafuta kiki kwa munyama ata mpa muuni anapiga mipago yake ya kibiashala zaidi yeye adili na mapezi ndio anayo yaweza mbwa mfuta sigala poli
Wasafi is gud and gud
Mungu atakulipia harmo pamban tu achan na hao wanyonyaj wanao tumia pesa zak kuzulumu wat wa hali y chini sis dua zet zik na wew tu 1day yes atakuj kuheshimu tu mond kila kit kina mwisho
@yazidkarasu2497
Жыл бұрын
Pole sana unateseka ukiwa wapi
Harminize hawez kwenda mjni bl umuomba diamond aweke daraja avuke,so tunaelewa siku zote akitaka.kutoa nyimbo au km ametoa anaomba msaada wa kuibust,hana lolote
kweli Kuna watu Awana shukulani namba Moja niuyu kenge konde boy
Anataka kujibiwa ili avume uyoo han jipya😂
Tabia ya Mtu Asiekua na Shukrani Hua Anapenda Kupakazia Watu Machafu Ili Awe Msafi Wakati Kaogotwa na Kukuzwa na Kulelewa Leo Anawatuc Mond Anayo Haki ya Kuka Pesa ya Wasanii Alio Wakuza Wawe Ndani ya Wasafi Au Nje ya Wasafi Maana Kaupa Dhamani Sana Mziki wa Bongo
Korosho afanye mambo yk. Na kama kelele apige yy pekeame ache kushirikisha wengine ktk upumbavu wk
As Mambo shuwari
Hyu,anastress za Kajala,hv nn maana ya kuwa huru,n Nan anaweza kuchukua hel Yako n wakati hati unayo,means kunavitu akuweka saw,....au mambo yameanza kwenda mrama
*hili jemba bhana sijui kajala Alisha lifanya nini kajala njoo ubebe mzigo wako*
Huyo mmakonde akafie mbere hanarorote zaidiyakiki
Hebu ni followe tupunguze zetuu stress tuuu 🔥🔥
Daah siopow
Yani hermonize ni wa ajabu sana akiona anapotea tu anaanza mambo yake ya ku attack wasafi khaaaaa
Fireeee
Maswali mengi kwa 🎶 🎵 hauna hela nini? Hi shingapi hi shingapi 😄 🤣. Toa upuzi apa kidudu mtu. Wenzako wanaomba kazi wewe unaomba pesa? 🎶 🎵 Mvalisheni chupi ya Bambino hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄
Bangi mbaya sana ss kama una miliki master atakama ww middle simba which means you have everything on you angi pashwa kujua kama wame mpa fake au really master so aache kelele everything single day niyetu aki lalamika wy and all about diamond even his music released since he moved from WCB its about crashing diamond platnumz wy but you have never diamond drop a song about him eshima muhimu bana
Anaishi Kwakiki tu amesha feli
Mibange 🚭🚭🚭🤭🤭🤭🤭
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
Nimecheka kama mazur😂😂😂😂😂😂shida hakujiandaa sasa pesa zinasha anaropoka tuu sifa mbaya
Sema huyo jamaa ndo hivo hivo tabia zake akipata stress za mapenzi The claim doesn't make sense in total line of reasoning
Huyu hamo kasha yakanyaga anaomba kiki
Hao ziiki Media wamempa simba pesa za harmonize kanunua marolly Royce kutoka Dubai used na maescalade
💥💥💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯🌎
Mi naona mond ndo anamdai huyu mtu
🦁🦁🦁
Konde boy is right 100 per cent
Harmonize alidanganywa na Eva ukitok WCB utamzid Diamond kweny mziki 🤣🤣🤣mjomb nchumali
@OFFICIAL21BZKING
Жыл бұрын
Bro Tuambie Full story please 😂
Song,s name plzz on background
Huyu mwehu kaishiwa pesa alizopewa alihisi zitakuja bila kuziheshimu
Kwani kuna mtu alimtimua wcb?alianzisha huu ujinga wa kukimbia na hela za watu,,sasa ngj ateseke na hkn mtu kutok wcb atakae kupa hela
Kondeboy siku zote wcb iliisha alipotoka
Harmoniz ni mi bangii
Atamaliza Sana watu wa kufanya nao kazi course watamuogopa Kwa haya yanayoendelea Kwa wauzaji wa kazi za mziki kweli huyu mmakonde
Kijito huyo hana esabu nimujinga ssns kibonge
Simbaaa
ndo anapotea juz alisema anapiga pesa nying leo anakataa
Kila siku Wewe ndo wakuliya
nacho mkubali middle simba hua anasema ukweli lakini kule SNS wao saivi wanapendelea upande wa harmonize
Mziki ushamshinda, alikuwa anabebwa na WCB ona sasa anavyotapatapa. Kikibwa nikufanyie remix za hit songs za watu. Ona Diamond na Ali kiba wanapeperusha Muziki bila vijimambo mambo ya kike mitandaoni. Ishakula kwako hata wasanii aliowasaini wamemkimbia. Angalia wati wangapi wamemkimbia ana kasoro huyu mwamba na watu washamchoka na tabia ya kumlilia Diamond na WCB. Kwenda kaskie vibaya hukoooo....
Bangi mbaya😂😂😂