Kumekucha! tazama alichokifanya DIAMOND baada ya HARMONIZE kudai amlipe hela zake na kuwasha moto.

Ойын-сауық

Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz

Пікірлер: 285

  • @issamjuma7871
    @issamjuma7871 Жыл бұрын

    Wale team wasafi tujuane kwa like wakwanza jmny

  • @zachariamuthui1650
    @zachariamuthui1650 Жыл бұрын

    Diamond sio tapeli sio mnafiki....Kenya for simba

  • @youngstirio6444
    @youngstirio6444 Жыл бұрын

    Wale wanaipenda team wasafi tia like yako

  • @zenahbayeh7371
    @zenahbayeh7371 Жыл бұрын

    Yani huyo mjomba nchumari mpuuzi Sana Yani mm Simba alipo nipo 🔥🔥🔥🔥

  • @silageorge1638
    @silageorge1638 Жыл бұрын

    Mtoto umutunzae ndio anakuombea ukilema nawaza tu

  • @thomasmagoti9040

    @thomasmagoti9040

    Жыл бұрын

    Ni noma mzee

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Жыл бұрын

    Diamond platnumz the king of Africa

  • @taysonelinda2211
    @taysonelinda2211 Жыл бұрын

    In truth, they are only wasting their time. It's been a long time since platnumz said he doesn't want to fight with lyrics in music anymore but he does it for the good of everyone. go ahead dear brother

  • @taysonelinda2211

    @taysonelinda2211

    Жыл бұрын

    Traduction Française: En vérité, ils perdent leur temps seulement. Il y a longtemps que platnumz avais dit qu'il ne veut plus se battre avec des paroles dans la musique mais il le fait pour les bien de tout le monde. va de l'avant cher frère

  • @issamjuma7871
    @issamjuma7871 Жыл бұрын

    Middle simba on toooop

  • @destausngenzi9654
    @destausngenzi9654 Жыл бұрын

    Kuanzia leo mimi cyo team ya kolosho naomba mnipokee wcb jamani

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Жыл бұрын

    Diamond platnumz simba baba Lao Africa

  • @lyssmithofficial7049
    @lyssmithofficial7049 Жыл бұрын

    Simbaaa plutnumz huyo ni baba n'a kama Ni kweli ana haki ya kula hata pesa za uyo fala zote kwani bila Diamond hatunge mjua huyo... Tayari nime vuta nyimbo zake kwani hana shukran Platnumz baki kimya baba endelesha kazi kwani YATAPITA YANA MWISHO NA IPO SIKU UTA SAHAU HUYO ... haku aribii kitu ana ji aribia ku gombana na chuma na yeye ni udongo

  • @osmandingi

    @osmandingi

    Жыл бұрын

    Wewe ni mjinga sana unadhani kwandika nyimbo ni jokes

  • @lyssmithofficial7049

    @lyssmithofficial7049

    Жыл бұрын

    @@osmandingi wewe ume andika ngapi mjinga mwenzangu

  • @zimondrenkz254

    @zimondrenkz254

    Жыл бұрын

    Wacha unafki

  • @dynessminja9284

    @dynessminja9284

    Жыл бұрын

    Acha ujinga... unajuwa garama za kupandisha muziki... konde hajafika hapo kimchezo

  • @basickasote538
    @basickasote538 Жыл бұрын

    Harmonize mshamba sana

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Жыл бұрын

    Mwani unamsumbua harmonize tu,kafulia Sana

  • @yasinhussen-2881
    @yasinhussen-2881 Жыл бұрын

    daaah harmonize hana shukurani kabisa nimeami mungu amsamehe amkumbushe alipo toka asante middle kwa habari

  • @sevastierkalumba7556

    @sevastierkalumba7556

    Жыл бұрын

    You're right

  • @ahmadiimilongera7660

    @ahmadiimilongera7660

    Жыл бұрын

    Hana shukurani kivp na alishalipa dola 600 yeye anadai chake na mmakonde akidai lazima apewe

  • @osmandingi

    @osmandingi

    Жыл бұрын

    Alipwe pesa zake unadhani kwandika wimbo ni kitu cha jokes

  • @yasinhussen-2881

    @yasinhussen-2881

    Жыл бұрын

    unakumbuka pale airpot alisemaje baada ya kutoka kufanya utoporo marekani??? huyo tumuombee make bangi zinachukua sana nafasi yake ndo maana na ngamia mbebaji (kajala ) ame muve one malipo ni hapa hapa

  • @mtoobebe5778

    @mtoobebe5778

    Жыл бұрын

    do aven know how is sex hundreds millionlook like if is u had give to someone else for ungekuwa busy n washawi kumuwuwa that's too much and are saying horm don't give thanks wt fro ?

  • @rushanikaaime6560
    @rushanikaaime6560 Жыл бұрын

    Bado mwanzo wa mwaka tuu kijana ameshaanza kutetema kwangoma 3 za Simba. Na usubiri uyu mwaka atamu nyosha kwa hit songs nyingi sana sijui atakwepea wapi jamani. Huruma sana Harmo

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Жыл бұрын

    Huyu dogo anafanya watu wengine wasisaidiwe😢

  • @shabaniibrahimu3868

    @shabaniibrahimu3868

    Жыл бұрын

    unaakili kubwa Sana kaka

  • @thomasmagoti9040

    @thomasmagoti9040

    Жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @ramayonline2281

    @ramayonline2281

    Жыл бұрын

    Broh wew n genius

  • @flavourboyke
    @flavourboyke Жыл бұрын

    Yaani kajala amemkula pesa zote kasota mpaka amekumbuka za wcb, makubwa haya

  • @titusnailstz6478
    @titusnailstz6478 Жыл бұрын

    Pesa zimeicha dogo arudi zake wcb mlango uko wazi

  • @youngstirio6444
    @youngstirio6444 Жыл бұрын

    Jaman wale mnaopenda mziki muzuri subilieni middle simba atawaletea kionjo changu cha nyimbo yangu mpya inaitwa mapenzi yataniuwa simba naomba sapport yako

  • @babudicky
    @babudicky Жыл бұрын

    Tembo tena ana lalamika nini ameacha kujigamba sas ana lalamika hahaha 😂😂🤣 Simba baba lake🦁🦁🦁🦁

  • @mamtuhhassan809
    @mamtuhhassan809 Жыл бұрын

    Nampenda sana diamond huwa hapendi kujibu ujinga 😌♥️

  • @mr.romancer9160
    @mr.romancer9160 Жыл бұрын

    Mmakonde ana njaa🤣🤣🤣

  • @juniorwilliam6338
    @juniorwilliam6338 Жыл бұрын

    Simbaaaaaaa baba laoo

  • @vemakaskoss4305
    @vemakaskoss4305 Жыл бұрын

    Hahaha izi Kiki now znatafutwa kwa nguv koz hata harmonize anayoongea hayamake sense

  • @chdmsafitz
    @chdmsafitz Жыл бұрын

    Aseme tu hana jipya lakufanya ndo anatafuta kiki hivyo 😂😂😂

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Жыл бұрын

    Huyu mmakonde pure kaishiwa kila kitu

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Жыл бұрын

    Ujanja shule acha wamnyoshe mmakonde.

  • @chdmsafitz
    @chdmsafitz Жыл бұрын

    Hiyo Mwamba kukaa kimya nikawaida yake inaitwa wapuuzaji clanks 😂😂😂

  • @philipotieno9996

    @philipotieno9996

    Жыл бұрын

    Kweeeeli🤣🤣

  • @jalude6710
    @jalude6710 Жыл бұрын

    Harmoniz acha bangi

  • @heritierndalamba1707
    @heritierndalamba1707 Жыл бұрын

    Harmonize arudi tu Wasafi mbona na tuzo yo yote apati ? Acha ujinga😂 wcb for live baby Congo

  • @fedyaalzadjali8597

    @fedyaalzadjali8597

    Жыл бұрын

    baby Congo Tena 🤣🤣😂

  • @tahasuleiman7174

    @tahasuleiman7174

    Жыл бұрын

    Tuzo nd nn 20 percent ana tuzo kibao lkn pesa ya kununua bangi inamshinda saiv

  • @yazidkarasu2497

    @yazidkarasu2497

    Жыл бұрын

    @@tahasuleiman7174 anatuzo kibao za wapi tuzo za kilimuziki aaha

  • @nestonmarko395
    @nestonmarko395 Жыл бұрын

    Bangi ni mbaya jamani, watu wanatamani vya nyuma

  • @Thunderboe_066
    @Thunderboe_066 Жыл бұрын

    #diamondplatnumzz🇹🇿……LIVE LONGER BROOH usisikilize maneno ya #harmonize🤬………Alidhani akiunyea mkono wako utaukata bali wewe ukauosha na kuendelea na mambo yako ONE LOVE BROOOH ❤

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Жыл бұрын

    Namkubali sana midle simba

  • @patrickndumba7855
    @patrickndumba7855 Жыл бұрын

    Njaa imeingia Makondeni hela alikula bata na Kajala imeisha...chukua contract nenda basata au Kotini.... MUFILISIKO 😂😂😂

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 Жыл бұрын

    Jibu safi sana

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 Жыл бұрын

    Yaani huyu akishavuta tu hizi bangi anabwatuka tu! Sasa kama ana uhakika na anayoyasema si akafungue kesi mahakamani? Sie watu wa mitandao tutamsaidia nini kama sio kutafuta huruma kwenye jamii. Kweli nimeamini Kajala kazikomba hela za huyu jamaa🤣🤣

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Жыл бұрын

    Ila hamonize amekuwa mwanamke angependeza mno maana ana maneno maneno sana, mtoto wa kiume hapendezi kuwa na maneno maneno mengi mengi kama hamonize

  • @subo2667
    @subo2667 Жыл бұрын

    Wa kwanza leo

  • @iezdollar8175
    @iezdollar8175 Жыл бұрын

    Too much sasa..Analalamika sanaa kama demuu

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Жыл бұрын

    Niatari kweli 😭😭

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 Жыл бұрын

    Baba TEE NA NNY HUYOOOH ACHA KENGE AJIFANANISHE NA MAMBA WE WILL ALWAYS KNOW DR DIFFERENCE.

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Жыл бұрын

    My blood my Wasafi for rever

  • @happynjukiz6495
    @happynjukiz6495 Жыл бұрын

    kana angaika haka kamakonde hahaha😂😂

  • @giftmwalyego4912
    @giftmwalyego4912 Жыл бұрын

    Jamani k g nikichaaa

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 Жыл бұрын

    Uyu panya ni mngese sana yani inakuaje mkataba asaini yy afu pesa iende kwa mtu mwingine aaache uku....wake tushamchoka sasa na malalamiko yake yan uyu jmaa ni demu kabisaa yani middle simba mwambie uyo panya ata kama akiendelea kumsambazia chuki diamond Sisi tunaojua mziki toka zaman izo hatuwezi kumchukia diamond coz tunajua nn kafanya diamond kwenye ii game ya bongo ata yy uyo panya bila mond wala asingekua hapo alipo...sema mtt hana shukrani uyu afu anatamani nafasi alioipata diamond ndo ingekua yy iyo haiwezekani mana mungu ndo mtoaji yy apambane tu na hari yake mziki ukimshinda aende zake akalime korosho kwao

  • @tembarooney7899

    @tembarooney7899

    Жыл бұрын

    Mziki umemshinda huyo...

  • @abedysteven4930

    @abedysteven4930

    Жыл бұрын

    Dah hyu jamaa kweli 2lixhamchoka Kila cku hawez kuongea bila kumtaja diamond ajue 2memchoka!

  • @fadhilingari4427

    @fadhilingari4427

    Жыл бұрын

    Amemtaja Diamond wap, Acha upuzi

  • @winnawiliamwinnawiliam8859

    @winnawiliamwinnawiliam8859

    Жыл бұрын

    unatoa ushauri au unatukana sijaelewa maumivu ya mtu ndo maumivu yako kesho tusikomenti kwa mapenzi

  • @bwejuubeach9280

    @bwejuubeach9280

    Жыл бұрын

    Kama Hana pesa aseme tu uyo kima

  • @duniayona6262
    @duniayona6262 Жыл бұрын

    Nguruma midle simbaaaa

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Жыл бұрын

    SIMBA✊

  • @jiweg-unit5408

    @jiweg-unit5408

    Жыл бұрын

    Jike

  • @chdmsafitz
    @chdmsafitz Жыл бұрын

    Sasa siku zote alikua wap wakati hapat pesa yake kwenye KZread 😂

  • @dynessminja9284

    @dynessminja9284

    Жыл бұрын

    Alikuwa anawekeza tuu kibubu hicho anajuwa hana haraka nayo... sasa ndo wakati

  • @tnews6230
    @tnews6230 Жыл бұрын

    W kwanza like zang

  • @bilaliabdallah4606
    @bilaliabdallah4606 Жыл бұрын

    Mjomba nchumi ana wenge sanaaaa

  • @shaksyskills4884
    @shaksyskills4884 Жыл бұрын

    🔥

  • @saidilukoloma5832
    @saidilukoloma5832 Жыл бұрын

    Leongo lake mondi afirisike, anasaau kwamba mpaji ni mungu

  • @Itskeyzmusic
    @Itskeyzmusic Жыл бұрын

    Harmo tafuta pesa lawama achia Upcoming

  • @paulmbuthia9363

    @paulmbuthia9363

    Жыл бұрын

    Anakaa underground

  • @strong8534
    @strong8534 Жыл бұрын

    He don't care ama he doesn't care 🙄🙄🙄

  • @sophiahmedza929

    @sophiahmedza929

    Жыл бұрын

    😂😂😂😳😳😳😳💃💃💃

  • @mchovu4761
    @mchovu4761 Жыл бұрын

    Mtu anipe jina la hiyo ngoma kwa background please

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Жыл бұрын

    Hamo aache upumbavu kama Maisha yamemshinda arud him tumechoka malalamiko yake.

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 Жыл бұрын

    Ajuwi anapo helekea,

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy5696 Жыл бұрын

    Mshaurini huyo kijana jaman anaongea sana

  • @fedrickaloyce9660

    @fedrickaloyce9660

    Жыл бұрын

    Anafeli sana

  • @happynjukiz6495
    @happynjukiz6495 Жыл бұрын

    kana angaika haka kamakonde hahaha😂😂ukisha ona mtu alikuwa na hela anaza kulalamika ujue kafuria anatafuta wa kumlaumu

  • @tysonking9675
    @tysonking9675 Жыл бұрын

    Kaka uyo mvuta vida kasha pagawa mangoma dunia yatapita na zuwena hache maneno apige mziki kama anatafuta kiki kwa munyama ata mpa muuni anapiga mipago yake ya kibiashala zaidi yeye adili na mapezi ndio anayo yaweza mbwa mfuta sigala poli

  • @siamejerry9239
    @siamejerry9239 Жыл бұрын

    Wasafi is gud and gud

  • @saidi1365
    @saidi1365 Жыл бұрын

    Mungu atakulipia harmo pamban tu achan na hao wanyonyaj wanao tumia pesa zak kuzulumu wat wa hali y chini sis dua zet zik na wew tu 1day yes atakuj kuheshimu tu mond kila kit kina mwisho

  • @yazidkarasu2497

    @yazidkarasu2497

    Жыл бұрын

    Pole sana unateseka ukiwa wapi

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 Жыл бұрын

    Harminize hawez kwenda mjni bl umuomba diamond aweke daraja avuke,so tunaelewa siku zote akitaka.kutoa nyimbo au km ametoa anaomba msaada wa kuibust,hana lolote

  • @weselysimbeye3054
    @weselysimbeye3054 Жыл бұрын

    kweli Kuna watu Awana shukulani namba Moja niuyu kenge konde boy

  • @shakabwyg
    @shakabwyg Жыл бұрын

    Anataka kujibiwa ili avume uyoo han jipya😂

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Жыл бұрын

    Tabia ya Mtu Asiekua na Shukrani Hua Anapenda Kupakazia Watu Machafu Ili Awe Msafi Wakati Kaogotwa na Kukuzwa na Kulelewa Leo Anawatuc Mond Anayo Haki ya Kuka Pesa ya Wasanii Alio Wakuza Wawe Ndani ya Wasafi Au Nje ya Wasafi Maana Kaupa Dhamani Sana Mziki wa Bongo

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Жыл бұрын

    Korosho afanye mambo yk. Na kama kelele apige yy pekeame ache kushirikisha wengine ktk upumbavu wk

  • @abdulrahmanhaitham-pg7yu
    @abdulrahmanhaitham-pg7yu Жыл бұрын

    As Mambo shuwari

  • @experiusalex6986
    @experiusalex6986 Жыл бұрын

    Hyu,anastress za Kajala,hv nn maana ya kuwa huru,n Nan anaweza kuchukua hel Yako n wakati hati unayo,means kunavitu akuweka saw,....au mambo yameanza kwenda mrama

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Жыл бұрын

    *hili jemba bhana sijui kajala Alisha lifanya nini kajala njoo ubebe mzigo wako*

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini9995 Жыл бұрын

    Huyo mmakonde akafie mbere hanarorote zaidiyakiki

  • @martinhit400
    @martinhit400 Жыл бұрын

    Hebu ni followe tupunguze zetuu stress tuuu 🔥🔥

  • @mg.general7710
    @mg.general7710 Жыл бұрын

    Daah siopow

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Жыл бұрын

    Yani hermonize ni wa ajabu sana akiona anapotea tu anaanza mambo yake ya ku attack wasafi khaaaaa

  • @kulwajeremiah1576
    @kulwajeremiah1576 Жыл бұрын

    Fireeee

  • @ados2305
    @ados2305 Жыл бұрын

    Maswali mengi kwa 🎶 🎵 hauna hela nini? Hi shingapi hi shingapi 😄 🤣. Toa upuzi apa kidudu mtu. Wenzako wanaomba kazi wewe unaomba pesa? 🎶 🎵 Mvalisheni chupi ya Bambino hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄

  • @ismailkitundira1976
    @ismailkitundira1976 Жыл бұрын

    Bangi mbaya sana ss kama una miliki master atakama ww middle simba which means you have everything on you angi pashwa kujua kama wame mpa fake au really master so aache kelele everything single day niyetu aki lalamika wy and all about diamond even his music released since he moved from WCB its about crashing diamond platnumz wy but you have never diamond drop a song about him eshima muhimu bana

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 Жыл бұрын

    Anaishi Kwakiki tu amesha feli

  • @Zanga93
    @Zanga93 Жыл бұрын

    Mibange 🚭🚭🚭🤭🤭🤭🤭

  • @zulfasaeed7445

    @zulfasaeed7445

    Жыл бұрын

    Nimecheka kama mazur😂😂😂😂😂😂shida hakujiandaa sasa pesa zinasha anaropoka tuu sifa mbaya

  • @barakamclean6758
    @barakamclean6758 Жыл бұрын

    Sema huyo jamaa ndo hivo hivo tabia zake akipata stress za mapenzi The claim doesn't make sense in total line of reasoning

  • @alexaidan6437
    @alexaidan6437 Жыл бұрын

    Huyu hamo kasha yakanyaga anaomba kiki

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Hao ziiki Media wamempa simba pesa za harmonize kanunua marolly Royce kutoka Dubai used na maescalade

  • @petromsigwa2589
    @petromsigwa2589 Жыл бұрын

    💥💥💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯🌎

  • @nurumwakisu3335
    @nurumwakisu3335 Жыл бұрын

    Mi naona mond ndo anamdai huyu mtu

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Жыл бұрын

    🦁🦁🦁

  • @KingFerran-wr3ql
    @KingFerran-wr3ql Жыл бұрын

    Konde boy is right 100 per cent

  • @Phat-23
    @Phat-23 Жыл бұрын

    Harmonize alidanganywa na Eva ukitok WCB utamzid Diamond kweny mziki 🤣🤣🤣mjomb nchumali

  • @OFFICIAL21BZKING

    @OFFICIAL21BZKING

    Жыл бұрын

    Bro Tuambie Full story please 😂

  • @lapourgahb8935
    @lapourgahb8935 Жыл бұрын

    Song,s name plzz on background

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Жыл бұрын

    Huyu mwehu kaishiwa pesa alizopewa alihisi zitakuja bila kuziheshimu

  • @johnhanga7583
    @johnhanga7583 Жыл бұрын

    Kwani kuna mtu alimtimua wcb?alianzisha huu ujinga wa kukimbia na hela za watu,,sasa ngj ateseke na hkn mtu kutok wcb atakae kupa hela

  • @thenyarikifranklin2910
    @thenyarikifranklin2910 Жыл бұрын

    Kondeboy siku zote wcb iliisha alipotoka

  • @vicentnkumi915
    @vicentnkumi915 Жыл бұрын

    Harmoniz ni mi bangii

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert6431 Жыл бұрын

    Atamaliza Sana watu wa kufanya nao kazi course watamuogopa Kwa haya yanayoendelea Kwa wauzaji wa kazi za mziki kweli huyu mmakonde

  • @alainkubwimana5061
    @alainkubwimana5061 Жыл бұрын

    Kijito huyo hana esabu nimujinga ssns kibonge

  • @opajumaismail8621
    @opajumaismail8621 Жыл бұрын

    Simbaaa

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental Жыл бұрын

    ndo anapotea juz alisema anapiga pesa nying leo anakataa

  • @asukulubashilwango1907
    @asukulubashilwango1907 Жыл бұрын

    Kila siku Wewe ndo wakuliya

  • @BuraK-bk9iw
    @BuraK-bk9iw Жыл бұрын

    nacho mkubali middle simba hua anasema ukweli lakini kule SNS wao saivi wanapendelea upande wa harmonize

  • @baimbabwika4544
    @baimbabwika4544 Жыл бұрын

    Mziki ushamshinda, alikuwa anabebwa na WCB ona sasa anavyotapatapa. Kikibwa nikufanyie remix za hit songs za watu. Ona Diamond na Ali kiba wanapeperusha Muziki bila vijimambo mambo ya kike mitandaoni. Ishakula kwako hata wasanii aliowasaini wamemkimbia. Angalia wati wangapi wamemkimbia ana kasoro huyu mwamba na watu washamchoka na tabia ya kumlilia Diamond na WCB. Kwenda kaskie vibaya hukoooo....

  • @husseinhassan9635
    @husseinhassan9635 Жыл бұрын

    Bangi mbaya😂😂😂

Келесі