Mwandishi wa Nigeria adai DIAMOND anamzidi WIZKID na DAVIDO,mjadala mkubwa waibuka Nigeria,tazama...
Ойын-сауық
Please subscribe now on Our KZread channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 368
*Jaman watanzania inapofika swala na muziki wetu kidunia tumsupport Diamond jaman Diamond ni mkubwa kwel kuzidi hata hao wanao wataja*
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
So Tzd I ilo jaaa. Rohobaya chuki fyuuu
@unclepwechnov1381
2 жыл бұрын
Wabongo wamejaa roho za kichawi, wao ndiyo kwanza wanaombea ashuke ili alingane na local artists wanaowapenda wao.
@geomasdeluta4515
2 жыл бұрын
🔥🔥💯
sema tu nabii akubaliki kwao, uyu atabaki légende, from congo DRC
Diamond kweli ni mkubwa sana sana
Diamond Platnumz is shining globally
Huyo Ndo Diamond 💎 Platnumz yupo Tz anajadiliwa nigeria. Nigerians are fear of Diamond 💎 always. Keep giving them fire 🔥 we sent a hero to represent and waving our flag internationally.
That's the meaning of super star diamond platnumz iz a super star of Africa
Very true. Simba 🐅 is big artist. And that's the fact,
Tanzania pple should support diamond because Nigerian fear him ❤️ ❤️ ❤️
@mashramadhani1989
2 жыл бұрын
Well said
@mashakanyale2637
2 жыл бұрын
Let support him diamond platnumz is the king in Africa
@Markhomestz
2 жыл бұрын
Sure thing ✊🏾✊🏾
@sulemanoladipo3462
2 жыл бұрын
How dose Nigeria fear him is not even known in Nigeria
@ab3ab313
2 жыл бұрын
tanzania❤❤❤❤❤❤
Diamond Ni noma sana
Diamond is the King Of Music in Africa...huyu Jamaa ana Uwezo Mkubwa sn na Mbunifu sn kimuziki 🔥🔥🔥🔥🔥
Simba for life ❤❤❤
Ilisemwa hadi kwa dini "a prophet is not welcome in his own home" 😂😂. Cha ajabu ni Watanzania wengine watapinga tu ukubwa wa Diamond nchini kwao huku watu wa nje wanamsifia huko😂.
Jaman tukienda ki Africa au kidunia kwa ujumla kabisa inabid tumpe saport mwamba Yuko vizuri
Simba never disappoints
Diamond is the best African artist
Diamond platnumz he's No1 Africa, because he has the biggest no in you tube.lets support this man he's doing well.burna boy, wizkid en davido these aren't big to diamond platnumz
@sulemanoladipo3462
2 жыл бұрын
Burnaboy has 4 billion streams on boomplay while diamond has 100 million you see the difference
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
@@sulemanoladipo3462 4 billions not true
@sulemanoladipo3462
2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 go check he is the most streamed artist on boomplay in the world
@sulemanoladipo3462
2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 Nigeria don't use KZread that much
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
Kbs broo is truu
diamond sio level ya east africa ni mtu wa africa nzima
Simba BIG 💥🔥🔥🔥
Oya Middle Simba,hebu waambie hao wanigeria huo mjadala waulete huku Instagram uone tutakavyowacharaza ,kwanza cc wabongo siku hizi wengi kimombo twakijua ,Rasi Simba alitufundisha tukafundishika ,wambie waje huku dadadeki zao 👌
@lovemwagala8259
2 жыл бұрын
Ndio waulete kwl
@IbrahimIbrahim-xe1hv
Ай бұрын
😂😂😂
Simba is the most versatile among all 3... he kills Bongo flavor, Afro beat , Amapiano , Bolingo etc plus he is the best performer.
Nigeria fear diamondplantumz
@sulemanoladipo3462
2 жыл бұрын
How does Nigeria fear him his not known in Nigeria
Diamond deserves. And soon 'em nigerians will appreciate it. Time will tell.
Diamond anawazidi wote hao sema tu sisi taifa letu linamuangusha. Diamond angekuwa anaishi nigeria tungekuwa hatumlinganishi na ye yote Africa.
@michaelngoda3959
2 жыл бұрын
Niukweli mtupu nduguyangu mondi habali nyingine kabisa Africa
@msalabanireko1518
2 жыл бұрын
Sikupingi ww
@jastiniririk7420
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@jonasbogohe7262
2 жыл бұрын
😅😅😅
@eliaskassim5684
2 жыл бұрын
Kweli kabisa uko sahihi
Diamond siyo level tena za East African ila wa bongo ndo wanapenda kushusha eshima ya mond 🔥🔥🔥🔥ila hata wanigeria wanamuongopa simba 🔥🔥🔥🔥ila shida ni kwamba NABII HANA ESHIMA KWAO ILA SIMBA AAAAAA NI NUMBER ONE ☝️ 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
Nikweli. Kbs wasani wakubwa WA naijeria anamuogopa mono mondi
@nishaabdula5015
2 жыл бұрын
Nikweli. Kbs wasani wakubwa WA naijeria anamuogopa mono mondi ww
Simba ni mmoja tu tz na Africa nzima 🌍💪
@justineramse6264
2 жыл бұрын
Simba sio levo ya Afrika tena una mvunjia heshima uki mfananisha na ao jamaaa
@msalabanireko1518
2 жыл бұрын
Sikupingi mwanangu
Simba 🦁🦁❤🦁🦁🦁❤🦁❤ Simba ni wa kwanza Africa
Minataka niurize awo wasanii wawiri wanamiriki Nini ao sio manenotu🦁🦁🎶🎶🎤🌍🇹🇿
Simba diamond is no go zone again level changed tuko kwa rihana, edsheran lets go together
Plutnumz huyo icone of Tz & Africa akidiskasiwa tu mana ake ni fire
Yani sio kwamba anawazidi 2 hao wawili ni wote kama wanabisha waulize kuwa africa kuna simba tofauti na diamond platnum
Diamonds👑👑 his big they just don't know about him 🤣🤣🤣but his so fire
Mwamba Yuko vizuri tuu sema tatizo majungu kibao .kwasabab wengine hawatak hata kusikia habar njema Kama hizi
You have come for a long way diamond , now we are debating you not us only even Nigerian mmmm Africa ooo world toboa dunia simba wataongopa sana Tena saaaah ......
middle Simba 4 life
"Kwani Kingi na Mmakonde hawawaoni hao ndio wakubwa kuliko Diamond" Amesikika mlevi akisema 😂😂😂😂😂😂😂
@directorfredyezzy7742
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🍻
Zambia,Malawi, Zimbabwe, Mozambique, south Africa ,Botswana,Lesotho... If you're not recognized to these countries up there you aren't big at all ..those three tomatoes from Nigeria they are not recognized to the countries mentioned above.... Simba is well recognized to those countries ..so don't compere diamond and those three tomatoes okay ..much respect to simba
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Maaaaahn you spoke like 100k people 😂😂😂😂
@directorfredyezzy7742
2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣🤣🍻🍻
ila diamond ana kubalika sana naijaa ila bongo tuna gubu sana
Mond mkubwa,kuliko wizkid au barba boy.simba mfalme...🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Diamond ni artist mkubwa saaana africa
Diamond platnumz ni msanii bora n ni mkubwa kwanzia Numbers mpaka uimbaji wake ila tu yeye mwenyew binafsi anasema watu wengi hupata riski kwa kutumia jina lake kwaiyo huwa wanaju simba ninani lkn huwa wanatunza Ugali wao Davido na wizkid hawana wanacho kifanya n hawamuwezi na wanajua Diamond ni nani
Diamond is number 1 in africa
Nabii ana he's heshima kwao. Tunamzarau Diamond kwasababu atujatembea nchi za nje ili tujue ukubwawake 🦾🦾🦾
Nigerian what carry you is English,diamond is the best because he use swahili language which isnt known by every body in the world but still doing good in Afrca and out of Afrca as well.
Siongei ila nachojua Simba Ni mmoja tu na mkubwa, wanamtaja na wanazidi kumpandisha
Alafu unamkuta mtu anamfananiaha diamond na vitu vya ovyo kumbe wenzetu wenyewe wanamuohofia na wanajua balaa lake
@msalabanireko1518
2 жыл бұрын
Kbsa
SIMBAAA1🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌 DIAMOND PLATÑUMZ ☠️🔥
Diamond is big koz He can switch to any style and kill it.... he can do Afrobeat and and sound like Nigerian, he can do Amapiano and sound like South African, he can sing Bolingo and sound like Congolese...... he can sing all genres Simba is G.O.A.T
@directorfredyezzy7742
2 жыл бұрын
you have spoken the truth
@yogopalasolbyogo5219
2 жыл бұрын
Fact ❤💪👍
@messi-iv7jw
Жыл бұрын
Exactly
Nitumie number za uyoo jamaaa nimtumie hata hela💵💵 maaana amewajibu vizuri hao makenge wanao mdharau diamond
Sisi Kwetu Ni Ushindi Tu Tunajivunia Diamond platinum Kuzaliwa Tanzania 🇹🇿
@haroldkayanda7092
Жыл бұрын
Good
Diamond is the big of African
SIMBA 👑.The only Goat 🔥✊
Ila huu Mjadala utapeleka chuki kwa Wanigeria watapungua kumpa Airtime kwenye Chart zao ili waprovee kuwa @diamond Platinumz ni Under dog kwao..... sio poa kabisaaa hii....
Simbaaaa ongeza bidi uwa oneshe hawo mapimbi
Diamond 💎 anawazid kwel awo jamaa kwakuwa Diamond ni mtazania ndomana azingatiw snaaaa ata awo wenyew wanatambua ukubwa wa Diamond. Tanzania 🇹🇿 tungekuwa kama wanaija kuwa bize na watu wao wasanii wetu wangefika mbali ila apa tu kweny hi mada atakuja mtazania na kuja kubisha Diamond siyo mkubwa kuliko awo wkt apa om.akuna anayemfikia
@danielpascal3110
2 жыл бұрын
Bado san jaman wizkid mnamkosea heshima kbx co wakumfananisha na diamond kbx msiforce time ikifika anawz ila now bd
@jacksonnathan7053
2 жыл бұрын
@@danielpascal3110 Ndy anazidiwa ila je angalia Diamond amepushiwa na nani marekan ila awo wamefanya kazi na wasanii wakubwa wa marekan tofaut na aliyo fanya nayo diamond ila tujue mond ni Mtu wa mbl sanana ila atujui kumtumia wa bongo wa Nigeria 🇳🇬 wangekuwa na mtu kama mond kwao nikitu kikubwa snaa
Nimemkubari sana huyo jamaa
@youngcarlos6343
2 жыл бұрын
Jaribu kuandika vizuri than urudi tena ku type
Yes platnumz is number 2 in Africa
Diamond is number one in Africa
Always nabii hakubaliki kwao
@officialdemand6358
2 жыл бұрын
💪💪💪💪
@officialdemand6358
2 жыл бұрын
👊👊👊
@officialdemand6358
2 жыл бұрын
👍👍👍👍
@officialdemand6358
2 жыл бұрын
🎵🎶🎵🎶🎶
@009biafra8
2 жыл бұрын
Hata serikali inajua Diamond 💎 n nan
Diamond ni msanii number 1 africa.hilo halipingiki.o2 Arena ndo Nini? O2 Arena inaingiwa na wanaija tu. Kama wanaija wanajiamini kiukweli waingie omani au Dubaï wajaze tuobe!!!
@harunasaidmussa8585
2 жыл бұрын
Iko mbali waje uwanja wataifa TU Kwa mkapa tuone kama wataujaza uwanja
@festovenas502
2 жыл бұрын
@@harunasaidmussa8585 nimecheka 😅😅😅😅
@009biafra8
2 жыл бұрын
Kweli kabisa kule Arena wanajaza wanaijaza nigeria wenyw.
@festovenas502
2 жыл бұрын
@@009biafra8 waje Kwa mkapa wakijaza tutakubal niwakubwa 😅😅😅
@009biafra8
2 жыл бұрын
@@festovenas502 Hawawez kujaza kwa mkapa hata siku na moja. Kwanza mziki wa nigeria umesambazwa sana na cloud humu ndani kwa chuki zao kwa Diamond 💎 baada ya kuona hakuna msanii anamuweza Diamond 💎 kwa humu wakaanza kuwaporomote wapopo na kuwapa Show humu ndani
King never die🦁🦁🔥🔥
Middle simba for good intertaiment
Thanks diamond to platnamz he represents us tanzania
Kiufupi kama tungekuwa tunatumia kiingereza basis mondi angekuwa mbali zaidi
@shabanhassan9224
2 жыл бұрын
Point ,hapa ndo tulipofeli sisi kuongea kiswahili tu ila wasanii wetu wazuri
@mlelwatv5831
2 жыл бұрын
Shida kimombo kaka🤣🤣
Barna boy,davido and wizkid are big to there country not Africa.... They can't beat diamond,simba is untouchable..they are afraid of him
❤❤❤ Simba mkubwa xn
It's platnumz 🦁
Mimi namjubali sana diamond plathumz ni msabii mkubwa Africa namkubali kinoma
Simba diamond baba lao
Ni kweli diamond 02 soon🔥🔥
🔥🔥🔥❤️❤️❤️
evil spirits are full of them 😂 but they know who the diamond platnum is 👌🏿
Diamond 💎 ndo maana huwa Anasema kumlinganisha na wasanii wa Tz n kulikosea heshima taifa na sanaa yetu.. Diamond m naona n mkubwa kuliko wote watatu kwa hapa Afrika ila nje Burnaboy na wizkid wanaomzidi ila Davido hamfikii Diamond 💎.. Kujaza O2 Arena sio kigezo maana wanajaza nguruwe weusi wenzao.
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
Kila show hao watatu wakikutana na Mondi, Mondi anawafunika..... Simba ndio aliwafunika adi wakamuita Mr. Electricity. Mondi must be respected.
@009biafra8
2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Kuona nigeria wanavojpendelea lkn inafika hatua wanakuba Aseeh Diamond 💎 n kiboko akiih
@danielpascal3110
2 жыл бұрын
Hata ufe hawazi kuwafikia middle simba anawabeba tu huyo ni chawa😀😀😀😀😀
@BigZhumbe
2 жыл бұрын
@@danielpascal3110 Hawezi kufikiwa ama kuwafikia???? Hebu nyoosha maelezo
@009biafra8
2 жыл бұрын
@@danielpascal3110 DIAMOND kuwapasua vichwa mashabiki wa Nigeria kuanza kubishana wenyewe hiyo tu inadhihirisha Diamond n nan kaa kwa kutulia Mbwa ww 🖕 hajawah kutokea msanii kama Diamond 💎 ES hii
Tell the Nigerians to come to Zambia and Malawi and say barna boy ,davido and wizkid are big than diamond, kama hujapigwa namawe ...
@hanschuma7734
2 жыл бұрын
Hahahaaaahaaahah
Platnumz
😂😂😂😂😂i guess he was joking
Diamond is the best now among all african artist fact 👍💪❤💪❤💪🦁🦁🦁🦁🦁🦁
simba ana wapiku wote
Ni kwel kabisaa simba .No1
Ni no 1 middle Simba ndo baba lao
Simba number one in Africa 🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi na Simama na diamond
Simba niko naye paka Spotify ituelewee
fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Diamond ni moto mwingine huyu Mwamba
simbaaa anajua sana yan sana
You know what guyz diamond platinum is always biggest
Simba ini ferry 🔥🔥
Diamond platmamz ndio simba wa africa
Nimeupenda huo mjadala Ila jamaa kasimama vyema kwa chibuu But cmbaaaaaaaaaaaaaa is a bigge than almost of them
Simba🐅🐅🐅🐅🐅🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yes
,,, SIMBA..🔥🔥🔥
Diamond is big than Davido and Wizkid
FACT SURE BECAUSE sisi tunaimba Shwahil tena bila ivyo Tungelikuwa juu sana sana
King platnumz 🔥
Oyoooo sawa bora waseme wao
Tatizo awo watu awa elewi kama diamond anaongeya swahili hila dunia Ina musikiliza, waangaliye English inaongelewa inchi ngapi 🤦♂️
Diamond nimukali sana And is thé fist all
I appreciate guys
Diamond is a king