DIAMOND amewakimbiza DAVIDO,BURNABOY na WIZKID kwa kujaza watu wengi kwenye show moja,ashika namba..
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 114
Simba🦁 Ajawaiii muacha Mtu salama ... . Bigapuu sana 🇹🇿
Diamond Platnumz ni level nyingine , mi huwa nawashangaa watu wanaomfananisha na wasanii wengine ambao hata Burundi hawajawahi kufanya show huko
Simba nimkubwa teana sana kuona msani anaeimba Swahili mpaka anafika apo sio kazi ndogo nivile tuu watuu hawariziki 🤌🤌kwaio tumupe respect yake kama msani kutoka Afrika mashariki ❣️❣️Mimi wakwanza namupa heshima yake 🙏
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
QATAR WATCHING💯
Tatizo letu ss mashabi uwa tunashabikia bili kuchunguza ila kiukweli diamond platnumz anatufanya ss mashabiki zake Tue na furaha sana ❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥 Simba East Africa
Wcb wasafi tujuane apooh ndugu zanguni ❤❤❤❤
Ogera sana mr diamond platnumz
Simba big one
WA kwanza nipewe like zangu
Mashaallah diamond🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Kweli middle Simba umekuja n'a fact Kila mtu ashinde merch zake , Diamond Plantamz anatuwakilisha East Africa
We zombie!!🔥🔥🔥🔥
@babalao3250
3 ай бұрын
Haujui
🦁 simba 🔥
courage Diamond Platnumz je t'aime fort malgré je suis congolais 🇨🇩
Washabiki wa harmonize huku wakizani diamond alikua anaboost watu 😂
@ShafiiRashid-zg3sh
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@SilaMinanda
3 ай бұрын
Mnaamini ujinga kutoka kwenye channel za wajinga, hv huyu awe wakwanza kupost ishu kama hyo bila wasafi? Acheni kukurupuka watu wabafosi viewers kwenye channel zao ili waingiza pesa
@DjemsTorontos
3 ай бұрын
😮😮we vipi kwahiyo unataka ku mlinganisha diamond plantumz na harmonize? Harmonize msanii mkubwa ww sio levo za diamond plantumz.
@BigZhumbe
3 ай бұрын
@@DjemsTorontos Harmonize ana ukubwa kwa vigezo gani?
Sikupingi Middle uko sahihi kaka mkubwa akili kichwani😅
Good job
Simba in Africa 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
💥💥🔥🔥🔥🦁🦁
Wanaongea sana ila mwishowe simba anawin🎉🎉😂😂
💥💥💥💥🤝🙌
Uyo ndo msani mwenye nguvu apo kwenu tanzania alikiba yy anajua redio tu na mademu 😂😂😂
Simba
Daaa hiyoo ngoma au hilo biti Linalo lia mwisho ngoma gani please
Simbaaaa
𝓝𝓲𝓹𝓸 ❤
Wezombie🦁
I understand Diamond is ur boss 😂😂😂😂😂😂
big unahuwa sana
Oyaa hiki kiumbeee kina barha
Kwenye wasani wenye wamefanya vizuri kwaku jaza watu kwa kweli diamond platnumz ayupo ata kwenye top 10 barani Africa
@user-jq9rj4dm5u
3 ай бұрын
Huyu Somali nae wawapi kw maana Kila mara yy akonyuma na masaa!!!😂😂😂
@BigZhumbe
3 ай бұрын
Toa list yako basi tuone
Simba i love you so much I'm from kenya but huyu KRG the don ako na utoto sana please middle simba can you explain to this ktg about currency pay ,,he disrespect diamond platnumz because he is from Tanzania
❤❤❤❤❤
First from namibia
SIMBA 🔥🔥 MUNGU AKUZIDISHIE MAISHA MAREFU ILI UZD KUTUWAKILISHA WATZ.
middle simba am ur big fun from 254 say hi to mee plz
Ooooh les golois où es tu? 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@marlodemarlove9281
3 ай бұрын
😂😂 français swahili Noma sana Il faut savoir parler
now tunajua
Simba🔥🔥🔥💐💐💐💐💐
The one and only 💯💯💯
Sasa kumbe😂😂😂
Manguli hao ❤❤❤simba
❤
Big mwongo san sikuelewag
dimond tunamukubari🎉🎉🎉 sisis
Anawanyoosha bila huruma❤❤❤
Oya tunaangalia international west Africa ndio wababe ni hilo tu,🙌
Pongezi sana middle 🦁
Simba si mchezo
Simba noma Mungu mbariki sana ❤❤❤
Simba mNyama mwingine wewe mwacheni alivyo
Wow fally ipupa
Mapenz ua sio nakiwango
Simba la Simba
Kweli
🙌🙌🙌
We tunakujua kama choko daimondi anakugonga na ndomaana unamsifia hata akiwa hafanyi kit cha kueleweka labda awazidi kutoboa toboa pua
@paschalekagito3507
3 ай бұрын
Yaa nimekubali
Sasa wasifia Simba mtu ambaye anajaza Africa aenda uko o2arena mambele we wamsifia apa kweli hauko sawa
@amilyabdu1563
3 ай бұрын
Fuatilia Hapo Juu Kabla Middle Hajasema Akili Kumkichwa
@user-jq9rj4dm5u
3 ай бұрын
Sasa 02 arena inauwezo wakubeba watu elfu 60 pekeake wakati mwamba kashajaza watu laki mmoja Ethiopian akili kichwani zombie 😅😅😅
@MattarSalim-jw3lp
3 ай бұрын
Acha utoto diamond hiyo amejaza South Sudan wa naijeria hata pale kwao kwa nini washindwe kujaza hivyo, hata kama wamewahi kujaza pale nyumbani kwao iyo dadi ingaliwekwa kwenye mkeka acheni roho mbaya
Diamond mnao mchujulia poa endereeni tu ila huyu mtu sio wakitoto tuache naziea ukisikiriza rekodi hizi ndio unajua diamond sio wamchezo
Simbaaaaa
😂😂😂 toka wacha kudanganya watu
Middo hiyo goma ya nani please nisaidie jina lake.l ask for help support
Simbaa anatisha
hiyo ni kitambo sana wewe ndo unasema saizi
Ndiomana wabongo wengi hawaelewi wanapoambiwa Mondi ni msanii mkubwa wanataka awe anaongea kizulu au kifaransa ndipo watakubali
Kuna watu hawamini kuhusu diamond😂..hata kukisema burna boy aje bongo na diamond aende nigeria lzma mondi ampiku burna😂
simbaaaaa
Jamaa balaa na nusu
Alf unaskia alikiba akijitamba kua nimsanii mkubwa kumzidi mwamba kweli?? Ahahahahah 😂
Mond ni habari nyengine
Kajaza wapi we naye mjinga wewe middlia simba harmonize msanii mkubwa kuliko uyo diamond plantumz wenu mjinga mwenzenu 😮😮
@user-re4ve4nf3p
3 ай бұрын
Maskini yaani mna force harmonize mahali kuna facts wow
😂😂😂😂😂😂 tunajitekenya na kucheka 😅😅😅😅😅
Bonn yan wakajaze mambeke hilo sasa
Bro samahani sana nimefatilia ila nimeshindwa naomba nisaidie jina la song linalool play nyuma apo ukiwa unaongea pleasee
DPM weka mbali na watoto ni noma
Uyu atakua anakanyangwa na mondi
ni simba la Masimba dangote
Kk mbona sijasikiya uyoo harmo ambaye iko nataka kushindana na mondi
sinbaaaaaa
mbona haukuzungumuzia arena England kama diamond nimusani mkubwa anawazidi wasani kutoka Nigerian
We middle sijui km hukanyagwi watu wanajaza arena unasigia east afrika 😂
@MattarSalim-jw3lp
3 ай бұрын
Acheni utoto sisi tu naangalia numbers kwa nini wao washindwe kujaza hata pale nyumbani kwao Ah! Bro mbona ingaliwekwa kwenye mkeka pia
Mwamba. Anapepeaa
Burna boy South Africa ame Jaza watu laki 100.000 mbona sioni apo fake news
@MattarSalim-jw3lp
3 ай бұрын
Nyinyi ni wapuuzi mliokuwa hathamini vya kwenu hiyo ni moja ya record ambazo mpaka sasa wasanii wa naijeria hawajaweza kuvunja na wataumia sana
@erickrugabela7747
3 ай бұрын
Hakunaga laki 100 mkuu
Vipi kuhusiana na numbers kwenye digital platforms kama Spotify na nyinginezo
@user-ut1oz6yn1g
3 ай бұрын
Kamulize mamaako
Toka uko muongo wewe
@user-uf6gt4bt4y
3 ай бұрын
W2 wabixh takwim bado wabixhna
👏👏👏👏👏👏👏
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba
Simba