Kivumbi kuanza kutimka tuzo za GRAMMY baada ya kuweka kipengele cha Afrika,kupambana na wanaijeria..
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#Grammyawards
Пікірлер: 64
Wakwanza Leo nipe like zako middle simba
Kazi ipo Kwel Kwel but tukiwa na simba a👌👌👌
Mungu awabariki na wasanii wetu wafike mbali
Tutawakalisha wapopo..hatakama ningumu kuyameza tutampa support diamond wetu akatuwakilishe..hata tukikosa tuta cerebrate 2😎🇹🇿🎤
Diamond platnumz the king of Africa
@moham.279
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅, king of Tanzania. There are more than 10 African artists way ahead of him..
Diamond kashajitoa muhanga❤❤❤
Chuuuuuiiiiii foreva🔥🔥🔥🔥🔥
Diamond platnumz simba baba Lao Africa
wakwanza
Simba❤❤❤❤😢😢😢😢😮😮😮😮😮😮😊😊😊😊😊😊 yupo
Platnumzz zako izo sasa baba
Diamondplatnumz kakosa BET mara 10 itakuwa Grammy awards Bado kawekewa ukuta wapopo wapo wanigeria kipindi kile alikuwa davido na wizkid sasa hivi kaongezeka na Burnaboy African giant na watoto haatari wakina rema Fireboy ayra star tems
Kazi ipo ila yote yawezekana kwa imani❤
Mondy anabeba
Gramy is diamonde platinamz platinamz foods
Jeshiiiii anabeba
@cleveronlinemedia820
Жыл бұрын
Nimekaa pale mondy sio mjinga kuacha kutoa hovyo ngoma toka mwaka 2020
Huku ndo kukua Kwa mziki wetu tanzania
Ni kinto kizuri sana
Ishala tz
Kivyovyote diamond mshind
Daaah tuombe duwa
Umenichekesho tumalizane wenyewe
Harmonize na davido hamo c atapigwa c mpk alaliwe
uwaga nakuwa wamwisho kwani nakwama wapi like kama tuko pamoja
Naomba jina la huo mziki unaoimba back ground
Konde usiof 2nachukuwa hivyo aah ww2 siopowa ❤❤😂😂😊
Mi nasema kua Diamond Platnumz anaichukua hio grammy anaebisha tuwekeane pesa kwa pesa asipoichukua!
@MwizaMkiza-ml6ep
Жыл бұрын
Nipooo hapa
Mtu anaejaza arena usimshindanishe na anaepiga show za yanga😂 mkapa au uhuru
Aty unawa compare wasanii wa Tanzania na Nigeria 😂😂😂bado sana.. Nigeria no 1 forever 🇳🇬🇳🇬
@youngcarlos6343
Жыл бұрын
Kafie mbali mtumwa wewe 😂😂😂😂 kwani who are nigeria. Nigeria my foot 🦶 fuck them all 😂😂
@officialkassimu7791
Жыл бұрын
@@youngcarlos6343 skia vibaya na uko 🚮🚮
@soundmale
Жыл бұрын
Tutawakalisha tu wewe tulia utaona mwenyewe natukikosa tuta cerebrate 2🎤 tukiwa na diamond hakihalibiki kitu.
@officialkassimu7791
Жыл бұрын
@@soundmale tuwache kujidanganya bure 😂😂 Diamond alikuwa no 10 amelala kazini anapitwa tu
Ila kwa hap bila kupepes macho mond anachukua
Huy cy simba ten katusalit n chura
Konde gang fc tunahanza beba GRAMY
@kizdady2544
Жыл бұрын
Konde gang kina nani na walikimbiana wote 😂😂
Luoi
Hapa jeshi lazima aruke nazo
@festovenas502
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣nipo apa
Wapambane SAS waache kututia haibu
Apo atuwezi
😂😂😂
Kwa Mondi wenu bado sana kwa kumbizana na wapopo cheza na mpopo weeeee 🤣🤣😂
Hapo anayeshinda ni alikiba king of bongo flavour ndio anaimba pure bongo flavour wengine wanaimba kama wanigeria na amapiano tukishindwa alikiba akituangusha basi Tuzo zitaenda kwa wapopo afrobeats Burnaboy wizkid rema davido
@albertkadyanji9722
Жыл бұрын
Hamka kutoka ndotoni kibamia ata kwenye nominiiiii hawezi kuwepo hana mchongo kwa sasa zilipendwa kibamia
@fredrickmatiku7783
Жыл бұрын
@@albertkadyanji9722 tutampigia kura aingie kwenye nominations Si msaniiii ndio taratibu na atashinda wewe sio msaniii atakutambui
Apo simba atachukua yote
Kwa Sasa harmonize anajituma San, atazichukua San, maana kwa Sasa watu wanamckiliza san
@albertkadyanji9722
Жыл бұрын
Nani kakudanganya watu tunamsikiliza mvuta bangi uyo ukimsikiliza wewe inatosha
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
😂😂😂
@Saidkhel
Жыл бұрын
Katoa nyimbo 50 lkn hayupo nominate hata moja
@ednantabalwa1118
Жыл бұрын
Shida ya wabongo mnazngua sanaa mambo kama haya mnaanza kuleta u team cjui kama tutatoboa
Rayvan akashindane na rema mbona mbingu na ardhi
@MwizaMkiza-ml6ep
Жыл бұрын
Kwa kwl na ww umeonaa😆😆😆🤣🤣💔
Nipo pale nimekaaa tukileta Grammy awards Tanzania sidharau au sio kwamba hawawezi ila mmmh nina dought Kwa wasanii wetu mungu atusaidie KAZI tunayo kidogo wasanii wa nchi zingine afrika ila sisi ukanda wa afrika mashariki na kati we have long way to go Kwa wasanii wetu ni hatua kubwa kuona bongo fleva Iko Grammy ni kituo kikubwa Kwa Tanzania afrika na afrika mashariki na kati kuona mchango wetu Kwa dunia
Kaka middle walausijisumbue kumpa promo mondi wewe mpe promo harmonize mondi sasahiv anafanya show za utopolo mwenzake yupo Australia
Duuuh tabu iko palepale middle simbaa 🦁🦁
@AMOSSomela
Жыл бұрын
Inawezekana Dua Kwa daimondi