Kivumbi kuanza kutimka tuzo za GRAMMY baada ya kuweka kipengele cha Afrika,kupambana na wanaijeria..

Ойын-сауық

Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#Grammyawards

Пікірлер: 64

  • @saidiamani2876
    @saidiamani2876 Жыл бұрын

    Wakwanza Leo nipe like zako middle simba

  • @burundianosammy8984
    @burundianosammy8984 Жыл бұрын

    Kazi ipo Kwel Kwel but tukiwa na simba a👌👌👌

  • @memorydaniely9247
    @memorydaniely9247 Жыл бұрын

    Mungu awabariki na wasanii wetu wafike mbali

  • @soundmale
    @soundmale Жыл бұрын

    Tutawakalisha wapopo..hatakama ningumu kuyameza tutampa support diamond wetu akatuwakilishe..hata tukikosa tuta cerebrate 2😎🇹🇿🎤

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Жыл бұрын

    Diamond platnumz the king of Africa

  • @moham.279

    @moham.279

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅😅, king of Tanzania. There are more than 10 African artists way ahead of him..

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z Жыл бұрын

    Diamond kashajitoa muhanga❤❤❤

  • @paulocheiacachimo2913
    @paulocheiacachimo2913 Жыл бұрын

    Chuuuuuiiiiii foreva🔥🔥🔥🔥🔥

  • @coachissah7703
    @coachissah7703 Жыл бұрын

    Diamond platnumz simba baba Lao Africa

  • @imraankawambwa578
    @imraankawambwa578 Жыл бұрын

    wakwanza

  • @YabesG.Daniely
    @YabesG.Daniely9 ай бұрын

    Simba❤❤❤❤😢😢😢😢😮😮😮😮😮😮😊😊😊😊😊😊 yupo

  • @AlhajiRocky-xd5vl
    @AlhajiRocky-xd5vl Жыл бұрын

    Platnumzz zako izo sasa baba

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Diamondplatnumz kakosa BET mara 10 itakuwa Grammy awards Bado kawekewa ukuta wapopo wapo wanigeria kipindi kile alikuwa davido na wizkid sasa hivi kaongezeka na Burnaboy African giant na watoto haatari wakina rema Fireboy ayra star tems

  • @sai-pro_music
    @sai-pro_music Жыл бұрын

    Kazi ipo ila yote yawezekana kwa imani❤

  • @dappygang7619
    @dappygang7619 Жыл бұрын

    Mondy anabeba

  • @user-nv8rr7jq9j
    @user-nv8rr7jq9j25 күн бұрын

    Gramy is diamonde platinamz platinamz foods

  • @mohamedsangara8637
    @mohamedsangara8637 Жыл бұрын

    Jeshiiiii anabeba

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    Жыл бұрын

    Nimekaa pale mondy sio mjinga kuacha kutoa hovyo ngoma toka mwaka 2020

  • @daudianderson2546
    @daudianderson2546 Жыл бұрын

    Huku ndo kukua Kwa mziki wetu tanzania

  • @dappygang7619
    @dappygang7619 Жыл бұрын

    Ni kinto kizuri sana

  • @user-bg4ni6bj1o
    @user-bg4ni6bj1o Жыл бұрын

    Ishala tz

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Жыл бұрын

    Kivyovyote diamond mshind

  • @thelight-ur3oi
    @thelight-ur3oi Жыл бұрын

    Daaah tuombe duwa

  • @SalutShebe-yp3wv
    @SalutShebe-yp3wv Жыл бұрын

    Umenichekesho tumalizane wenyewe

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 Жыл бұрын

    Harmonize na davido hamo c atapigwa c mpk alaliwe

  • @edsonsizoki9693
    @edsonsizoki9693 Жыл бұрын

    uwaga nakuwa wamwisho kwani nakwama wapi like kama tuko pamoja

  • @adelmassamweli2657
    @adelmassamweli2657 Жыл бұрын

    Naomba jina la huo mziki unaoimba back ground

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 Жыл бұрын

    Konde usiof 2nachukuwa hivyo aah ww2 siopowa ❤❤😂😂😊

  • @HamadAliy-pw6bu
    @HamadAliy-pw6bu Жыл бұрын

    Mi nasema kua Diamond Platnumz anaichukua hio grammy anaebisha tuwekeane pesa kwa pesa asipoichukua!

  • @MwizaMkiza-ml6ep

    @MwizaMkiza-ml6ep

    Жыл бұрын

    Nipooo hapa

  • @salumsalim7564
    @salumsalim7564 Жыл бұрын

    Mtu anaejaza arena usimshindanishe na anaepiga show za yanga😂 mkapa au uhuru

  • @officialkassimu7791
    @officialkassimu7791 Жыл бұрын

    Aty unawa compare wasanii wa Tanzania na Nigeria 😂😂😂bado sana.. Nigeria no 1 forever 🇳🇬🇳🇬

  • @youngcarlos6343

    @youngcarlos6343

    Жыл бұрын

    Kafie mbali mtumwa wewe 😂😂😂😂 kwani who are nigeria. Nigeria my foot 🦶 fuck them all 😂😂

  • @officialkassimu7791

    @officialkassimu7791

    Жыл бұрын

    @@youngcarlos6343 skia vibaya na uko 🚮🚮

  • @soundmale

    @soundmale

    Жыл бұрын

    Tutawakalisha tu wewe tulia utaona mwenyewe natukikosa tuta cerebrate 2🎤 tukiwa na diamond hakihalibiki kitu.

  • @officialkassimu7791

    @officialkassimu7791

    Жыл бұрын

    @@soundmale tuwache kujidanganya bure 😂😂 Diamond alikuwa no 10 amelala kazini anapitwa tu

  • @saidi1365
    @saidi1365 Жыл бұрын

    Ila kwa hap bila kupepes macho mond anachukua

  • @saidi1365
    @saidi1365 Жыл бұрын

    Huy cy simba ten katusalit n chura

  • @abasijeshiboysbdi8120
    @abasijeshiboysbdi8120 Жыл бұрын

    Konde gang fc tunahanza beba GRAMY

  • @kizdady2544

    @kizdady2544

    Жыл бұрын

    Konde gang kina nani na walikimbiana wote 😂😂

  • @SalimuChadma-kd1to
    @SalimuChadma-kd1to Жыл бұрын

    Luoi

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Жыл бұрын

    Hapa jeshi lazima aruke nazo

  • @festovenas502

    @festovenas502

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣nipo apa

  • @rojamasoud7049
    @rojamasoud7049 Жыл бұрын

    Wapambane SAS waache kututia haibu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Жыл бұрын

    Apo atuwezi

  • @desanta.017
    @desanta.017 Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @jafarisaidia4127
    @jafarisaidia4127 Жыл бұрын

    Kwa Mondi wenu bado sana kwa kumbizana na wapopo cheza na mpopo weeeee 🤣🤣😂

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Жыл бұрын

    Hapo anayeshinda ni alikiba king of bongo flavour ndio anaimba pure bongo flavour wengine wanaimba kama wanigeria na amapiano tukishindwa alikiba akituangusha basi Tuzo zitaenda kwa wapopo afrobeats Burnaboy wizkid rema davido

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    Жыл бұрын

    Hamka kutoka ndotoni kibamia ata kwenye nominiiiii hawezi kuwepo hana mchongo kwa sasa zilipendwa kibamia

  • @fredrickmatiku7783

    @fredrickmatiku7783

    Жыл бұрын

    @@albertkadyanji9722 tutampigia kura aingie kwenye nominations Si msaniiii ndio taratibu na atashinda wewe sio msaniii atakutambui

  • @JaydenKariuki
    @JaydenKariuki Жыл бұрын

    Apo simba atachukua yote

  • @rashidingole1588
    @rashidingole1588 Жыл бұрын

    Kwa Sasa harmonize anajituma San, atazichukua San, maana kwa Sasa watu wanamckiliza san

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    Жыл бұрын

    Nani kakudanganya watu tunamsikiliza mvuta bangi uyo ukimsikiliza wewe inatosha

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @Saidkhel

    @Saidkhel

    Жыл бұрын

    Katoa nyimbo 50 lkn hayupo nominate hata moja

  • @ednantabalwa1118

    @ednantabalwa1118

    Жыл бұрын

    Shida ya wabongo mnazngua sanaa mambo kama haya mnaanza kuleta u team cjui kama tutatoboa

  • @erasmimasharecharlesimboya6762
    @erasmimasharecharlesimboya6762 Жыл бұрын

    Rayvan akashindane na rema mbona mbingu na ardhi

  • @MwizaMkiza-ml6ep

    @MwizaMkiza-ml6ep

    Жыл бұрын

    Kwa kwl na ww umeonaa😆😆😆🤣🤣💔

  • @daudianderson2546
    @daudianderson2546 Жыл бұрын

    Nipo pale nimekaaa tukileta Grammy awards Tanzania sidharau au sio kwamba hawawezi ila mmmh nina dought Kwa wasanii wetu mungu atusaidie KAZI tunayo kidogo wasanii wa nchi zingine afrika ila sisi ukanda wa afrika mashariki na kati we have long way to go Kwa wasanii wetu ni hatua kubwa kuona bongo fleva Iko Grammy ni kituo kikubwa Kwa Tanzania afrika na afrika mashariki na kati kuona mchango wetu Kwa dunia

  • @franccoz94
    @franccoz94 Жыл бұрын

    Kaka middle walausijisumbue kumpa promo mondi wewe mpe promo harmonize mondi sasahiv anafanya show za utopolo mwenzake yupo Australia

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej Жыл бұрын

    Duuuh tabu iko palepale middle simbaa 🦁🦁

  • @AMOSSomela

    @AMOSSomela

    Жыл бұрын

    Inawezekana Dua Kwa daimondi

Келесі