Vita ya DIAMOND na ALIKIBA yafikia pabaya,DIAMOND afichua kutembea na mke wa ALIKIBA amina "nakuzidi
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 151
Diamond platinum 👑 SIMBA BABA LAO... African icon 🎉🎉🎉 more love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Daah Yan middle Simba nakukubali paka kesho kwani utangazaji wako niwa ki super 🌟 naunaku balika nawatu wengi💯kiufupi ww ndo mtangazaji Bora💯 na alikiba kushindana na diamond atafeli sana maana mondi kamzidi kiba Kila kitu naombeni like zenu nawapenda sana
Kiukweli hata umchukie Mondi, hapa kasema ukweli, kiba ni msanii mzuri ila anafeli sana, nadhani management yake mbovu, Diamond anapo pata opportunity anaitumia vizuri sanaa, ila kiba anafanya mziki kama side hustle wakati ndo main job, all in all tupo kusubiria mziki mzuri. #Teamwcb.
@chizashungu1236
11 ай бұрын
NA TAYARI AMESHAZEEKA,UKIANGALIA SURA YAKE INAELEZA.DIAMOND PLATNUMZ KNOWS THE GAME.
@janetahmed6948
11 ай бұрын
ni kweli tuache unafki hup kiba anajifanya anajua kuimba bado aendelee na hio sauti akibaki hivo na wanyuma watamupita
@raindoro5201
11 ай бұрын
Diamond,the king of New and older generation...Platinum remains forever
The beast simba platnumz,yani mpaka fanbase ya kings na kondegang ukizijumlisha hawatatuweza,sio wakorofi kinyamaaaaa mamae
Mimi na furahi sana lakini isiwe vita kweli ila mungu awe nao wote
To be honest diamond platinumz ndie msanii mkali East Africa kwa sasa
Ukweli unauma Daimond mungu akubariki 🙏 anajitoa Sana kwa ajira na mambo mengine ya jamii. congulaturatio 🥀🥀🥀🥀🥀💯🔥🦁🏋️🇹🇿🤣🤣🤣
Simba ulisema hawakusikia waonyeshe 💥💥💥
Wakwanza from Canada 🇨🇦 😍😍😍
Simbaaaaa 😂😂😂🎉' 🔥🔥🔥🔥 hakuna waku kushusha ❤❤ from Congo 🇨🇩🇨🇩
Nikweli diamond anajitowa Sana kusaidia, Allah azidi kukubariki kila endapo leo🙏
@seiflugendo7141
11 ай бұрын
Allah hausishwi na wahuni.
Ila Simba anatishaaaa kweri, Alikiba anaimbaa ila Diamond anaimbaaaaaaa.
Jamanie Diamond sio level ya wadogo, alikiba mpaka ivi ni new school,mwambieni amwezi Diamond na amwombe msama
Kweli middle Simba
namkubali king kiba axilimia 100
Mambo imechemka 😂😂😂😂😂
Ushamba tu huu, bora Aslay 🔥
🤭🤭🤭🤭simbaaaaa diamond platnumz 🔥🔥🔥🔥
Amina kaishapakuliwa
Simba 4life ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuwache ushamba,usi Sifie mto bada ya Kufa. Mambo, kazi, vitendo , mafanikio na msada wa mtoto bora Diamond platinum, Simba, wasafi. IPO wazi. Diamond nr 1. Mwazako akakuzidi omba msada au nkubali. Ongera saaaana Tanzânia kumpada msani ya moyo mzuri. Diamond ni president mzuri.
Kuambiana ukweli imo hiyo😂😂😂😂😂😂
Simba la masimba🦁🦁🦁💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥
20year in the game ,umeshindwa kutoa msaniii alikiba nifelia
@ameirzapy1318
11 ай бұрын
Alietoa msanii akatoka ni nani?
@johnmwasilu7087
11 ай бұрын
@@ameirzapy1318Diamond
@ZINDUKAMUISILAMU30
11 ай бұрын
@@ameirzapy1318 mh, uko serious lkn
@kinyamal8201
11 ай бұрын
@@ameirzapy1318 harmonize kamtoa diamond, zuchu, rayvanny, lava lava na kamfikisha mbosso mjini. akili kichwani.
@ameirzapy1318
11 ай бұрын
@@kinyamal8201 Hormonize ?? Kamtoa Diamond !😂 hii itakuwa akili kichwani kwako kweli
Nilichopenda mimi Diamond 💎 siku zote anajua Ali anampatia wapi 😅so Ali angetulia tu manake Chibu Amejieneza mno ktk muziki wake
Diamond na kubali sana
King kama king 🔥🔥🔥
ALI KIBA ANAFELI SANA,ANABANA PUA SANA NA YOOOO.UKITAKA KUJUA VOCALIST NI BARNABA NA DAMIAN SOUL.ALI KIBA HUMUWEZI DIAMOND PLATNUMZ ,MIAKA ISHIRINI NA KITU KWENYE MUZIKI HUNA HATA MSANII ALIYEENDA MJINI,UNA WASANII WA MCHONGO TU.NILISHAWAHI KUWAAMBIA ALLY NI SUPER MNAFIKI.
@mashramadhani1989
11 ай бұрын
Diamond kaongea ukweli mtupu
Vita hawajawah kupigana ahaha, wapiga deals tu hao, nadhan wameambiwa wafanye hizi drama watu wasifatilie politic za Nay.
Wanangu unatisha sanaa❤❤❤
Simbaaaa
Apewa makavu kiba
Dah middle nakukubali sana toka mdaa ww ndo unaeimalizia bando na daimond nyinyi mtapata hela toka kwangu😂
@martinjosephat4694
11 ай бұрын
Nimekopa kwajil yao
Tuna enjoy Simba
Diamond baba lao alikiba yeye atulie
Mondii mpakee huyoo nakama mkewake umemla hapo utakua umefelii🤣🤣🤣
Daaaah kweli diamond ni mwehu sema haya mambo yanenikera sana
Hizisiku nawewe middle Simba unacelewesha habari bwana cangamka kama ulikuwaga mwanzo.
Ila mond amesema ukweli akitoa nakuwekeza niukweli anatenda hilo ila kamchamba to😊😊anyway waache hayo mabeef yao watupe collabo to
Kiukweli,King Kiba ndo mwenyewe maana sisi ndo tunajua, wengine ni sifa tu, kupenda kujionyesha watu hufanya makubwa na shahidi akawa Mungu lakini mambo kidogo ujitangaze
Simba una mpinzani bongo 😂😂😂😂
hiyo background music yaitwaje nimeitafuta sana sipati
Waishi vizur 2 kwan wote ni wasanii wazur ambao Tz tunajivunia so bifu hazina maana , kwan wasanii wadogo wanatakiwa kujifunza vitu vingi kutoka kwao
Simba la simba
💥💥💥
Bamdogo kwevo ana taka kutrend mm nashangaa alisema yy nmkubwa silinganishwe na wasanii wabongo nvip? Kaona amtaje amina ili aendeleze beef
❤
Ali adi kumzungumzia mondi kwa media anaona n kama anamuongezea umaarufu adi hua anakwepa maswali
Ukweli mtupu
Simba Baba Lao...😂😂😂
Kwl
Mwanangu faida Sawa bahari
Song name please?middle simba?
Diamond ndio king and huyo Ali ndio QUEEN wa Bongo flavor, kama anabisha atwambie anamshinda Platnumz nn
Mido simba uweuna changamka kutoa udaku simba babalao alikiba jina2😂😂😂😂
Diamond mshamba
Chibu akili nyingi sanaaa
Hapa +254 diamond anasubiria Ali Kiba ajibu hiyo ndio ampe lengine
Jaman jaman natalajia korabo yao
Simba
piece guyz kiba is mah guy 😅
Wasani wa Tanzania ni wapumbavu sana, they’re sticking on beefs than moving their music to the world, see Burna Boy and Davido they have beef and you never see them doing something like this, they do music as love
Wewe middle simba kuwa makini na huu umbeya
Wote ni Maku….tu wanatuzingua
Simba anaongea ukweli
Diamond amemaliza kiba tu facts
Mmmmh cyo pouwh 🤫🤫
Ase niupuzi diamond kumutania muke wa alikiba muke hataniwi
Ujawai kukosea
Daimonde amesema ukweli kabisa Mimi zamani nilikuwa sahabiki namba Moja wa alikiba.ila alipo toka dai kiukweli namwwndo aliye kuja nao nikasema Ali amekufa.ila nilihama Kwa dai juu ya uzemve wa Ali.namemb had kwawasani wake.
@martinjosephat4694
11 ай бұрын
😂😂😂😂
Umechelewa wapi weye
Kwani Diamond mademu wake wote walikua bikra nakama hawakua bikra basi ajue yakua kunawatu pia walipita na hizo K.
NASIBU NDE MBANAPUA KIBA MWANAMUZIKI
Malikia atuache kwanza
want to know the singer
Ingekuwa Kenya Kwa habari Kam hizi ungefunguliwa mashtaka
acha kuche eti ingekua wanahangalia vocol barnaboy asingekua anaimba ama davido😂😂😂😂komecha komecha
Daimondi Ali kiba vita imekuwa kubwa sanaa
Hihihih
Mnisaidiye ni title ya ile wimbo pls
Yeye salidai anapita na dadazake nayeye wanapta na beb wake
@raphaeladam8210
11 ай бұрын
Dada haumi kama Mke Tena wa ndoa, ni hatari mkondo huo ambao mond anauchukua..
bifu zisizo na faida hebu ziacheni kama umepita naye bas nae kapita ushapita na wangapi kam kusaidia watu tunajua unajtahidi tunacho hitaji ni juhudi za mafanikio yenu yasyo na faida acheni hayo siyo maisha sifa zinazidi SIMBA we hujioni unaropoka bila kufkiri.
Huo ndio ukweli alikiba anaokanao wanamdanganya sababu kama alikiba angekua anaroho nzuri mdogowake angemfikisha mbali mpe makavu abadilike asijite king ziro 😂😂😂😂😂😂
@user-qv8yj7lo4d
11 ай бұрын
Kwel kk king wadaftut
Nafkiri kuingililia familia ya mtu sio jambo nzuri aswa kwa ndoa
@rosemahenge9071
11 ай бұрын
Mbona hata yy malkia huwa anaingilia familia ya Diamond kwenye nyimbo zake alishawahi kuimba natoka mpk na dada zako 😂
@raphaeladam8210
11 ай бұрын
Dada sio mke bro, 2pac na big beef lilienda vibaya baada ya pac kusema kamnaniliiiuu Dem wa big.. baada ya hapo kilichofuata ni pah, Sasa hiv imebaki historia.. kama mond anamaamisha Amina mke wa Kiba, sio ujanja wala nini.. ni dangerous move..
Diamond is nothing we all know that😂😂😂
Ata labda sio Amina mke wa Kiba😂 labda ni Amina mwingine ambaye yeye tu na Kiba wanamjua.Ikafit context. Fear men, fear fear men. Haswaa wanaume kama Kiba ambao hukaa wapole. Hawa watu wawili nadhani wamekuwa na the same girlfriends over the years😂
@ramlaleila374
11 ай бұрын
Kama kweli vile😂
Middle acha mm nifunge mdomo maan Vijana wa Sheikh MANSOUR tukiongea MALKIA ataria
@TolaElisha
11 ай бұрын
anakujua nani nenda katawaze
Mondi punguza Ushamba ukitoka na dem so sawa kujitapa je itakuaje wakianza kutapa wale walio toka na mamaakoo nenda kausikilize mziki wa Alikiba kidela au karma ya Mario utajifunza vingi
Tabia za kusemeana mambo ya ndani sio sifa za wanaume halisi hayo tuwaachie akina hadija kopa na mashauz jameni mnaboa mastaa wetu
@martinjosephat4694
11 ай бұрын
Acha wachanane wandish wapat content
@mctcher9297
11 ай бұрын
@@martinjosephat4694 ushasema Martin wacha wengne nao wajipatie rzk zao
Hapa hakuna vita wamepanga
mpaka umoja afe ndo umoja utaonekana
Alikiba siomusani tena wakupinzanya na simba sema alikiba aombe musama.alikiba alishaga zimika zamani sasa habioni kweli anachoka .simba number 1 Istafrican
Yote ni chachu tu am a vita😂😂
Uyu Midole simba, awezi kufanha video mpaca diamond aongee
Kiba tafuta pesa acha makasiliko kwawenzio liziki mafungo Saba aliye kuzidi kakuzidi usishindane nauna Pesa.
🤔 duuuuh huku sasa ni kuchambana ally kiba ww sio mtu wa kuchambana na hawa watt wa uswahilini kk Fanya mziki wako diamond sio mtu poa huyu😄😆🤣😂unaona sasa unayapata hata usiyoyataka kusikia.
Bwana bwana hahahahahahahahahahahahaha, itaishaje hiii? Wakutane tu ulingoni wazichape
Simba kichwa Cha mwenzio dunia nyingine alaah hapendi mizozo isiyokuwa na tija by kupatakwako ndo kukosa kwa alikiba je inawezana kutokuwa management nzuri alikiba inakusaidia wewe kushinda, kosa kubwa usirudie kumeambia mwinine ulimkuta kimziki umemwacha pa kubwa kumbuka nawe kunawatu watakuja watakupita alafu maisha yetu hayana grant kwambs typo milele hizo kauli za so sahihi mtake radhi kaka yako
Middle simba hyo ngoma back sounds naitaka inaitwaje
@bodmasmashairi2445
11 ай бұрын
Wass ft rome wave
Hawa jamaa umri wao umepita wa kufanya huu utoto