Vita ya DIAMOND na ALIKIBA yafikia pabaya,DIAMOND afichua kutembea na mke wa ALIKIBA amina "nakuzidi

Ойын-сауық

Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz

Пікірлер: 151

  • @dericksonmahindu8873
    @dericksonmahindu887311 ай бұрын

    Diamond platinum 👑 SIMBA BABA LAO... African icon 🎉🎉🎉 more love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-bv8ql2qs6x
    @user-bv8ql2qs6x11 ай бұрын

    Daah Yan middle Simba nakukubali paka kesho kwani utangazaji wako niwa ki super 🌟 naunaku balika nawatu wengi💯kiufupi ww ndo mtangazaji Bora💯 na alikiba kushindana na diamond atafeli sana maana mondi kamzidi kiba Kila kitu naombeni like zenu nawapenda sana

  • @kinyamal8201
    @kinyamal820111 ай бұрын

    Kiukweli hata umchukie Mondi, hapa kasema ukweli, kiba ni msanii mzuri ila anafeli sana, nadhani management yake mbovu, Diamond anapo pata opportunity anaitumia vizuri sanaa, ila kiba anafanya mziki kama side hustle wakati ndo main job, all in all tupo kusubiria mziki mzuri. #Teamwcb.

  • @chizashungu1236

    @chizashungu1236

    11 ай бұрын

    NA TAYARI AMESHAZEEKA,UKIANGALIA SURA YAKE INAELEZA.DIAMOND PLATNUMZ KNOWS THE GAME.

  • @janetahmed6948

    @janetahmed6948

    11 ай бұрын

    ni kweli tuache unafki hup kiba anajifanya anajua kuimba bado aendelee na hio sauti akibaki hivo na wanyuma watamupita

  • @raindoro5201

    @raindoro5201

    11 ай бұрын

    Diamond,the king of New and older generation...Platinum remains forever

  • @chrisk.efreestylerofficial149
    @chrisk.efreestylerofficial14911 ай бұрын

    The beast simba platnumz,yani mpaka fanbase ya kings na kondegang ukizijumlisha hawatatuweza,sio wakorofi kinyamaaaaa mamae

  • @tozaah2680
    @tozaah268011 ай бұрын

    Mimi na furahi sana lakini isiwe vita kweli ila mungu awe nao wote

  • @silageorge1638
    @silageorge163811 ай бұрын

    To be honest diamond platinumz ndie msanii mkali East Africa kwa sasa

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy152311 ай бұрын

    Ukweli unauma Daimond mungu akubariki 🙏 anajitoa Sana kwa ajira na mambo mengine ya jamii. congulaturatio 🥀🥀🥀🥀🥀💯🔥🦁🏋️🇹🇿🤣🤣🤣

  • @mwatimeathumani
    @mwatimeathumani11 ай бұрын

    Simba ulisema hawakusikia waonyeshe 💥💥💥

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa447711 ай бұрын

    Wakwanza from Canada 🇨🇦 😍😍😍

  • @user-oy2eu8gz2e
    @user-oy2eu8gz2e11 ай бұрын

    Simbaaaaa 😂😂😂🎉' 🔥🔥🔥🔥 hakuna waku kushusha ❤❤ from Congo 🇨🇩🇨🇩

  • @channyanjen9047
    @channyanjen904711 ай бұрын

    Nikweli diamond anajitowa Sana kusaidia, Allah azidi kukubariki kila endapo leo🙏

  • @seiflugendo7141

    @seiflugendo7141

    11 ай бұрын

    Allah hausishwi na wahuni.

  • @georgefmichael3919
    @georgefmichael391911 ай бұрын

    Ila Simba anatishaaaa kweri, Alikiba anaimbaa ila Diamond anaimbaaaaaaa.

  • @arcanjoxavier8102
    @arcanjoxavier810211 ай бұрын

    Jamanie Diamond sio level ya wadogo, alikiba mpaka ivi ni new school,mwambieni amwezi Diamond na amwombe msama

  • @masoudkashato1378
    @masoudkashato137811 ай бұрын

    Kweli middle Simba

  • @user-bh1cr7fz8w
    @user-bh1cr7fz8w11 ай бұрын

    namkubali king kiba axilimia 100

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge907111 ай бұрын

    Mambo imechemka 😂😂😂😂😂

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait694011 ай бұрын

    Ushamba tu huu, bora Aslay 🔥

  • @ramadhanmsangi4676
    @ramadhanmsangi467611 ай бұрын

    🤭🤭🤭🤭simbaaaaa diamond platnumz 🔥🔥🔥🔥

  • @user-jo8pj9kr5s
    @user-jo8pj9kr5s11 ай бұрын

    Amina kaishapakuliwa

  • @hassansammy1076
    @hassansammy107611 ай бұрын

    Simba 4life ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @domingostomasnhalapila656
    @domingostomasnhalapila65611 ай бұрын

    Tuwache ushamba,usi Sifie mto bada ya Kufa. Mambo, kazi, vitendo , mafanikio na msada wa mtoto bora Diamond platinum, Simba, wasafi. IPO wazi. Diamond nr 1. Mwazako akakuzidi omba msada au nkubali. Ongera saaaana Tanzânia kumpada msani ya moyo mzuri. Diamond ni president mzuri.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani198911 ай бұрын

    Kuambiana ukweli imo hiyo😂😂😂😂😂😂

  • @festovenas502
    @festovenas50211 ай бұрын

    Simba la masimba🦁🦁🦁💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mrtwo-b9056
    @mrtwo-b905611 ай бұрын

    20year in the game ,umeshindwa kutoa msaniii alikiba nifelia

  • @ameirzapy1318

    @ameirzapy1318

    11 ай бұрын

    Alietoa msanii akatoka ni nani?

  • @johnmwasilu7087

    @johnmwasilu7087

    11 ай бұрын

    @@ameirzapy1318Diamond

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    11 ай бұрын

    @@ameirzapy1318 mh, uko serious lkn

  • @kinyamal8201

    @kinyamal8201

    11 ай бұрын

    @@ameirzapy1318 harmonize kamtoa diamond, zuchu, rayvanny, lava lava na kamfikisha mbosso mjini. akili kichwani.

  • @ameirzapy1318

    @ameirzapy1318

    11 ай бұрын

    @@kinyamal8201 Hormonize ?? Kamtoa Diamond !😂 hii itakuwa akili kichwani kwako kweli

  • @Kakahhandsome76
    @Kakahhandsome7611 ай бұрын

    Nilichopenda mimi Diamond 💎 siku zote anajua Ali anampatia wapi 😅so Ali angetulia tu manake Chibu Amejieneza mno ktk muziki wake

  • @shamakisimba7991
    @shamakisimba799111 ай бұрын

    Diamond na kubali sana

  • @tinershayo6191
    @tinershayo619111 ай бұрын

    King kama king 🔥🔥🔥

  • @chizashungu1236
    @chizashungu123611 ай бұрын

    ALI KIBA ANAFELI SANA,ANABANA PUA SANA NA YOOOO.UKITAKA KUJUA VOCALIST NI BARNABA NA DAMIAN SOUL.ALI KIBA HUMUWEZI DIAMOND PLATNUMZ ,MIAKA ISHIRINI NA KITU KWENYE MUZIKI HUNA HATA MSANII ALIYEENDA MJINI,UNA WASANII WA MCHONGO TU.NILISHAWAHI KUWAAMBIA ALLY NI SUPER MNAFIKI.

  • @mashramadhani1989

    @mashramadhani1989

    11 ай бұрын

    Diamond kaongea ukweli mtupu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness118111 ай бұрын

    Vita hawajawah kupigana ahaha, wapiga deals tu hao, nadhan wameambiwa wafanye hizi drama watu wasifatilie politic za Nay.

  • @ramadhanihoti2376
    @ramadhanihoti237611 ай бұрын

    Wanangu unatisha sanaa❤❤❤

  • @josephsampamba7263
    @josephsampamba726311 ай бұрын

    Simbaaaa

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu94211 ай бұрын

    Apewa makavu kiba

  • @Chrisjr-ib3fs
    @Chrisjr-ib3fs11 ай бұрын

    Dah middle nakukubali sana toka mdaa ww ndo unaeimalizia bando na daimond nyinyi mtapata hela toka kwangu😂

  • @martinjosephat4694

    @martinjosephat4694

    11 ай бұрын

    Nimekopa kwajil yao

  • @internationchampion1216
    @internationchampion121611 ай бұрын

    Tuna enjoy Simba

  • @user-wn4sj4gk1v
    @user-wn4sj4gk1v11 ай бұрын

    Diamond baba lao alikiba yeye atulie

  • @hassanamran1639
    @hassanamran163911 ай бұрын

    Mondii mpakee huyoo nakama mkewake umemla hapo utakua umefelii🤣🤣🤣

  • @user-xv8xz7tb7j
    @user-xv8xz7tb7j11 ай бұрын

    Daaaah kweli diamond ni mwehu sema haya mambo yanenikera sana

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn11 ай бұрын

    Hizisiku nawewe middle Simba unacelewesha habari bwana cangamka kama ulikuwaga mwanzo.

  • @jayBabakaila9883
    @jayBabakaila988311 ай бұрын

    Ila mond amesema ukweli akitoa nakuwekeza niukweli anatenda hilo ila kamchamba to😊😊anyway waache hayo mabeef yao watupe collabo to

  • @suleimanmussa5792
    @suleimanmussa57922 ай бұрын

    Kiukweli,King Kiba ndo mwenyewe maana sisi ndo tunajua, wengine ni sifa tu, kupenda kujionyesha watu hufanya makubwa na shahidi akawa Mungu lakini mambo kidogo ujitangaze

  • @dannystar5975
    @dannystar597511 ай бұрын

    Simba una mpinzani bongo 😂😂😂😂

  • @mathekamuoki9161
    @mathekamuoki916111 ай бұрын

    hiyo background music yaitwaje nimeitafuta sana sipati

  • @JACKSONMABANILA-jq9ds
    @JACKSONMABANILA-jq9ds11 ай бұрын

    Waishi vizur 2 kwan wote ni wasanii wazur ambao Tz tunajivunia so bifu hazina maana , kwan wasanii wadogo wanatakiwa kujifunza vitu vingi kutoka kwao

  • @KelvinMaimba
    @KelvinMaimba11 ай бұрын

    Simba la simba

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy11 ай бұрын

    💥💥💥

  • @amirjuma8020
    @amirjuma802011 ай бұрын

    Bamdogo kwevo ana taka kutrend mm nashangaa alisema yy nmkubwa silinganishwe na wasanii wabongo nvip? Kaona amtaje amina ili aendeleze beef

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4ty11 ай бұрын

  • @ljluwks
    @ljluwks11 ай бұрын

    Ali adi kumzungumzia mondi kwa media anaona n kama anamuongezea umaarufu adi hua anakwepa maswali

  • @benitokibwaa4251
    @benitokibwaa425111 ай бұрын

    Ukweli mtupu

  • @manixawadh7198
    @manixawadh719811 ай бұрын

    Simba Baba Lao...😂😂😂

  • @damasimatata7353
    @damasimatata735311 ай бұрын

    Kwl

  • @ramadhanhamisi7405
    @ramadhanhamisi740511 ай бұрын

    Mwanangu faida Sawa bahari

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola925111 ай бұрын

    Song name please?middle simba?

  • @calexwayne4378
    @calexwayne437810 ай бұрын

    Diamond ndio king and huyo Ali ndio QUEEN wa Bongo flavor, kama anabisha atwambie anamshinda Platnumz nn

  • @user-qv8yj7lo4d
    @user-qv8yj7lo4d11 ай бұрын

    Mido simba uweuna changamka kutoa udaku simba babalao alikiba jina2😂😂😂😂

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo11 ай бұрын

    Diamond mshamba

  • @mussarwambo1556
    @mussarwambo155611 ай бұрын

    Chibu akili nyingi sanaaa

  • @stafordmangeni9448
    @stafordmangeni944811 ай бұрын

    Hapa +254 diamond anasubiria Ali Kiba ajibu hiyo ndio ampe lengine

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat469411 ай бұрын

    Jaman jaman natalajia korabo yao

  • @user-wn4sj4gk1v
    @user-wn4sj4gk1v11 ай бұрын

    Simba

  • @anthonycarlos1486
    @anthonycarlos148611 ай бұрын

    piece guyz kiba is mah guy 😅

  • @theblxck
    @theblxck11 ай бұрын

    Wasani wa Tanzania ni wapumbavu sana, they’re sticking on beefs than moving their music to the world, see Burna Boy and Davido they have beef and you never see them doing something like this, they do music as love

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo11 ай бұрын

    Wewe middle simba kuwa makini na huu umbeya

  • @allymoja1289
    @allymoja128911 ай бұрын

    Wote ni Maku….tu wanatuzingua

  • @sadibatangalwa5890
    @sadibatangalwa589011 ай бұрын

    Simba anaongea ukweli

  • @austinewayne6929
    @austinewayne692911 ай бұрын

    Diamond amemaliza kiba tu facts

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej11 ай бұрын

    Mmmmh cyo pouwh 🤫🤫

  • @user-pq1ul4hb8n
    @user-pq1ul4hb8n11 ай бұрын

    Ase niupuzi diamond kumutania muke wa alikiba muke hataniwi

  • @jboy9813
    @jboy981311 ай бұрын

    Ujawai kukosea

  • @abubakari8684
    @abubakari868411 ай бұрын

    Daimonde amesema ukweli kabisa Mimi zamani nilikuwa sahabiki namba Moja wa alikiba.ila alipo toka dai kiukweli namwwndo aliye kuja nao nikasema Ali amekufa.ila nilihama Kwa dai juu ya uzemve wa Ali.namemb had kwawasani wake.

  • @martinjosephat4694

    @martinjosephat4694

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @idarsaide2932
    @idarsaide293211 ай бұрын

    Umechelewa wapi weye

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo714111 ай бұрын

    Kwani Diamond mademu wake wote walikua bikra nakama hawakua bikra basi ajue yakua kunawatu pia walipita na hizo K.

  • @ramadhanomar2562
    @ramadhanomar256211 ай бұрын

    NASIBU NDE MBANAPUA KIBA MWANAMUZIKI

  • @YohanaPili
    @YohanaPili11 ай бұрын

    Malikia atuache kwanza

  • @anthonycarlos1486
    @anthonycarlos148611 ай бұрын

    want to know the singer

  • @geraldgerrytrump254
    @geraldgerrytrump25411 ай бұрын

    Ingekuwa Kenya Kwa habari Kam hizi ungefunguliwa mashtaka

  • @janetahmed6948
    @janetahmed694811 ай бұрын

    acha kuche eti ingekua wanahangalia vocol barnaboy asingekua anaimba ama davido😂😂😂😂komecha komecha

  • @ramadhanihoti2376
    @ramadhanihoti237611 ай бұрын

    Daimondi Ali kiba vita imekuwa kubwa sanaa

  • @ibraahSalumu-ke1tt
    @ibraahSalumu-ke1tt11 ай бұрын

    Hihihih

  • @wisangoripheteugene5385
    @wisangoripheteugene538511 ай бұрын

    Mnisaidiye ni title ya ile wimbo pls

  • @audaxonesmo263
    @audaxonesmo26311 ай бұрын

    Yeye salidai anapita na dadazake nayeye wanapta na beb wake

  • @raphaeladam8210

    @raphaeladam8210

    11 ай бұрын

    Dada haumi kama Mke Tena wa ndoa, ni hatari mkondo huo ambao mond anauchukua..

  • @georgekato9409
    @georgekato940911 ай бұрын

    bifu zisizo na faida hebu ziacheni kama umepita naye bas nae kapita ushapita na wangapi kam kusaidia watu tunajua unajtahidi tunacho hitaji ni juhudi za mafanikio yenu yasyo na faida acheni hayo siyo maisha sifa zinazidi SIMBA we hujioni unaropoka bila kufkiri.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb280811 ай бұрын

    Huo ndio ukweli alikiba anaokanao wanamdanganya sababu kama alikiba angekua anaroho nzuri mdogowake angemfikisha mbali mpe makavu abadilike asijite king ziro 😂😂😂😂😂😂

  • @user-qv8yj7lo4d

    @user-qv8yj7lo4d

    11 ай бұрын

    Kwel kk king wadaftut

  • @mrbashe.a8509
    @mrbashe.a850911 ай бұрын

    Nafkiri kuingililia familia ya mtu sio jambo nzuri aswa kwa ndoa

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    11 ай бұрын

    Mbona hata yy malkia huwa anaingilia familia ya Diamond kwenye nyimbo zake alishawahi kuimba natoka mpk na dada zako 😂

  • @raphaeladam8210

    @raphaeladam8210

    11 ай бұрын

    Dada sio mke bro, 2pac na big beef lilienda vibaya baada ya pac kusema kamnaniliiiuu Dem wa big.. baada ya hapo kilichofuata ni pah, Sasa hiv imebaki historia.. kama mond anamaamisha Amina mke wa Kiba, sio ujanja wala nini.. ni dangerous move..

  • @alibachirofficial3939
    @alibachirofficial393911 ай бұрын

    Diamond is nothing we all know that😂😂😂

  • @sophieatieno5148
    @sophieatieno514811 ай бұрын

    Ata labda sio Amina mke wa Kiba😂 labda ni Amina mwingine ambaye yeye tu na Kiba wanamjua.Ikafit context. Fear men, fear fear men. Haswaa wanaume kama Kiba ambao hukaa wapole. Hawa watu wawili nadhani wamekuwa na the same girlfriends over the years😂

  • @ramlaleila374

    @ramlaleila374

    11 ай бұрын

    Kama kweli vile😂

  • @mbungemuhaji2878
    @mbungemuhaji287811 ай бұрын

    Middle acha mm nifunge mdomo maan Vijana wa Sheikh MANSOUR tukiongea MALKIA ataria

  • @TolaElisha

    @TolaElisha

    11 ай бұрын

    anakujua nani nenda katawaze

  • @linahpsdaughter1639
    @linahpsdaughter163911 ай бұрын

    Mondi punguza Ushamba ukitoka na dem so sawa kujitapa je itakuaje wakianza kutapa wale walio toka na mamaakoo nenda kausikilize mziki wa Alikiba kidela au karma ya Mario utajifunza vingi

  • @mctcher9297
    @mctcher929711 ай бұрын

    Tabia za kusemeana mambo ya ndani sio sifa za wanaume halisi hayo tuwaachie akina hadija kopa na mashauz jameni mnaboa mastaa wetu

  • @martinjosephat4694

    @martinjosephat4694

    11 ай бұрын

    Acha wachanane wandish wapat content

  • @mctcher9297

    @mctcher9297

    11 ай бұрын

    @@martinjosephat4694 ushasema Martin wacha wengne nao wajipatie rzk zao

  • @kambaragemwagara1420
    @kambaragemwagara142011 ай бұрын

    Hapa hakuna vita wamepanga

  • @edsonsizoki9693
    @edsonsizoki969311 ай бұрын

    mpaka umoja afe ndo umoja utaonekana

  • @PepiteSquare-cp9wd
    @PepiteSquare-cp9wd11 ай бұрын

    Alikiba siomusani tena wakupinzanya na simba sema alikiba aombe musama.alikiba alishaga zimika zamani sasa habioni kweli anachoka .simba number 1 Istafrican

  • @pablohpaul560
    @pablohpaul56011 ай бұрын

    Yote ni chachu tu am a vita😂😂

  • @mesatagirassane4853
    @mesatagirassane485311 ай бұрын

    Uyu Midole simba, awezi kufanha video mpaca diamond aongee

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi41411 ай бұрын

    Kiba tafuta pesa acha makasiliko kwawenzio liziki mafungo Saba aliye kuzidi kakuzidi usishindane nauna Pesa.

  • @thomaswilbert6431
    @thomaswilbert643111 ай бұрын

    🤔 duuuuh huku sasa ni kuchambana ally kiba ww sio mtu wa kuchambana na hawa watt wa uswahilini kk Fanya mziki wako diamond sio mtu poa huyu😄😆🤣😂unaona sasa unayapata hata usiyoyataka kusikia.

  • @georgefmichael3919
    @georgefmichael391911 ай бұрын

    Bwana bwana hahahahahahahahahahahahaha, itaishaje hiii? Wakutane tu ulingoni wazichape

  • @augustinonkundambale8107
    @augustinonkundambale810711 ай бұрын

    Simba kichwa Cha mwenzio dunia nyingine alaah hapendi mizozo isiyokuwa na tija by kupatakwako ndo kukosa kwa alikiba je inawezana kutokuwa management nzuri alikiba inakusaidia wewe kushinda, kosa kubwa usirudie kumeambia mwinine ulimkuta kimziki umemwacha pa kubwa kumbuka nawe kunawatu watakuja watakupita alafu maisha yetu hayana grant kwambs typo milele hizo kauli za so sahihi mtake radhi kaka yako

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej11 ай бұрын

    Middle simba hyo ngoma back sounds naitaka inaitwaje

  • @bodmasmashairi2445

    @bodmasmashairi2445

    11 ай бұрын

    Wass ft rome wave

  • @juma3049
    @juma304911 ай бұрын

    Hawa jamaa umri wao umepita wa kufanya huu utoto

Келесі