Shuhuda wa show ya DIAMOND Ureno afunguka "Wazungu walijua ni CHRIS BROWN,alimkimbiza BURNA BOY.."
Ойын-сауық
Please subscribe now on Our KZread channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#diamondplatnumz
Пікірлер: 170
Tatzo la diamond anatabia yakupania jukwaa haswa pale anapokutana namanguli wenzie nahakubali unyonge atkdg,,,simbaaaaaa!!!!
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
nahivo ndo inavo takiwa kwenye mstaa wengi ndo unatakiwa uoneshe mauwezo yako me nmemkubali xan huyu mwamba anajua kucheza na akili ya watu
@yuleboy9626
2 жыл бұрын
🔥
Safi Sana middle mnyama simba tunakushukuru kwa kutuletea story za diamond
Mhh Simba nouma nyie kucheza ndo hatar 🦁🦁🦁🙌🔥
Kiuhalisia burna boy hamuwez diamond kwenye perfomance,diamond n moto sn
@Oldskulgemini9991
2 жыл бұрын
Kwenye kudance sio performance msichanganye hapo
Diamond platnumz Michael Jackson anae ishi from Dr Congo 🇨🇩
@WamileleniYesu
2 жыл бұрын
🤣😂
@moham.279
2 жыл бұрын
Please stop disrespecting the Late Michael Jackson.
@nathaliefranswaza795
2 жыл бұрын
Moha Shut up now and find yourself something to do 😂😂
@Zanga93
2 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌
@changestv2125
2 жыл бұрын
Acha Usenge
East Africa tuache chuki Simba ni superstar 🔥🔥🔥
@ramayonline2281
2 жыл бұрын
It's clear
Diamond platnumz is the best of the best
Respect diamond peperusha bendera🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
NAMPENDA SANA DIAMOND PLATNUMZ I SWEAR GOD FORGIVE ME I FEEL LIKE KILA UNACHOZIFANYA NI MIMI LOVE YOU SO MUCH SIMBAAAAAA
Michael Jackson of Africa 🔥 🔥 🔥
Diamond est une star internationale,il ne faut jamais le comparer avec vos musiciens tanzanien,les performances parlent,les numbers sur les réseaux sociaux
@wisangoripheteugene5385
2 жыл бұрын
Les gens qui le comparent avec harmo,je les vois comme des inconscients,ils ne savent pas la musique.
@topactualite489
2 жыл бұрын
Vraiment
@samielvutsipa52
Жыл бұрын
Vraiment mon frère vous êtes intéresent
We should really be proud of harvesting someone like 🦁🦁🦁in our industry,, and i promise u,, he will one day come and beat burna in awards❤️❤️🔥🔥🔥
@habibamwanamsangu7343
2 жыл бұрын
True bro
Cimbaaa hatareee canaa🔥🔥🔥🔥🔥👏
Electricity diamond platinum chibu dii chibudee dangoteee Simba aaaaa 🔥🔥🔥 hujawahi tuangusha 💯
Midle simba unatuburudisha kwel2, big up
Lakini hiyo performance ya Diamond ilikuwa juu sana... Goodness, the guy ni fire kabisa kawaida huwa hatuangushi fans wake 😀😀
@Mohaa4309
2 жыл бұрын
Kabisa
@salawakishishi7435
2 жыл бұрын
sisi wabongo Huwa hatupend maendeleo ya wa2 kama diamond platnumz ni msanii mzur san
Yani diamond ukimpambanisha na wakubwa wenzake utamkimbia hanaga unyonge
Diamond ❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Hivi huyo diamond platnumz ni mmarekani au vip maana sielew jaman
Let's go DIAMOND PLATNUMZ,#FOA TO THE WORLD.
It's platnumz 🦁🦁🦁🔥🔥🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Simba simba 100 💥💥💥💥💥💥
Wa Nigeria wana wapiga kwenye ruga na pesa , lakini diamond platnumz ana jitahidi sna huyu ni moto sna , from Congo Goma 🇨🇩🇨🇩 Hâta hapa Goma ukisema diamond m'paka mtoto m'dogo Hana cheza ngoma zake bila kushoka kbisa
SIMBA diamond platnumz, HAKUNA WAKUFANANA NAE
daimondplatnumz 🦁💯✍️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Simba BIG 💥🙌🔥🔥❤
Ametuwakilisha pakubwa. God bless 🙏🙏🙏 you Simba
Show them platnum fireeeee
💎🦁🇲🇿🔥🔥🔥 safi sana
Aitwa simbaaaaaaaaa🔥🔥🔥
Watakuja Kama diaomond lakini sio karne hii tunayo ishi ndugu zangu!!
Big up Lion🔥🔥🔥
Diamond platnumz 🦁🔥🔥🔥🔥
Jamaa kamaliza utata bwana .🔥🔥🔥
Ni nyinyi watanzania tu ambaye amjuwe samani ya Diamond 💎
@milazoomilazoo4494
Жыл бұрын
Anajua Sanaa nanaa namkubali mtanzania apaaa
Best ni diamond 💎🔥
Diamonds are forever 🔥🔥🔥
IGA ufe Simba 🔥🔥🔥
Alikua na hamu nao
Middle Simba unatisha sana ❤️❤️❤️❤️🧡🧡🔥🔥
Noma
diamond platnumz hata wasipompa saport wenzake yey yupo good 👍 na atazidi kufany Bomba San 2
Wako Jackson East Africa diamond platinum
King of africa Simba🙏🇹🇿🇨🇩
Diamond 💎ni moto sana
Simba baba lao
Always diamond platnumz
Diamond noma
Ximbaaa 🔥🔥
Simba ni wamoto wazee!
🦁🦁🦁🦁 No 1
Middle Simba ni noma
Anaehoji mhojiwa wotemazuzu wamchongo
Anavyosema saa 7 anamaanisha saa 1 jioni
Simbah
Muhojiwa wa mchongo mshamba kwenye show wengine wanakaaa back bencha nyuma kabisa utaonaje wasaniii vizuri
Diamond kucheza ndio kinamsaidia sana
Uyu ni shabiki wa Diamond but kiukweli Diamond kwa show bado sana ajuwi kuimba live ndiomana ni msani wa play back
@dausonmwamle184
2 жыл бұрын
Wewe ni shabik wa nyoko
Simbaaa hapoiii
Kama mimi mganda kutoka uganda nakubali kua jamaa ni ever challenged but never equaled wee mtanzania kwanini unabisha ?
@donkaloza6985
2 жыл бұрын
70% ya watanzania c akili zao zimelala yooo ndio maana hawapendi vya kwao
@capteinchuimchafu7894
2 жыл бұрын
Watanzania baadhi n wa ovyo sana
Simba alifunika kinoma
Diamond is the best
Dah nazid kukua kuwa ww NI CHAWA WA diamond MTU anaimb hawamuelewi wanamshangaa tuu alafu unatafita visababu vya kutudanganya Acha ufalala jamaa kafanya show nzuri Kwa upande wake Ila MASHABIKI hawamuelewi
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
we mziki huujui vizur kaa mbali na wanaoujua mziki hizo ni kelele za kumshangilia michael jackson wa bongo asa we unasema nn kifilwe huko
@shwaibukhatibu2838
2 жыл бұрын
@@gemantadoda7396 MH wala siwezi kukujibu maana utaona umeandika cha maana
Jukwaa alilipania sana hadi nikasema nguvu kubwa mbona anatumia,
Diamond platnumz 😍😍
Uyo jamaa nimuongo sana tunapigwa apo
@Saidkhel
2 жыл бұрын
Kila kitu utabisha kwaiyo tuliza mzigo huo
@donkaloza6985
2 жыл бұрын
@@Saidkhel 🤣🤣🤣🤣🤣
@Saidkhel
2 жыл бұрын
@@donkaloza6985 si unajua mzigo wamuwasha anatafuta mkunaji
@landmadvdmbeyacity9561
21 күн бұрын
Alikupga Nan sas Kwan? nan kakutuma uje kusikilizaa
🔥🔥🔥
🦁🦁🦁pride of TANZANIA
Nic siiiimbaaaa ni 1 😍😍😍🙏🏿🙏🏿❤❤
Simbaaaaaa
💎💎💎💎💎💎💎💎💎💎💎💎
King
🔥🔥👍
Noma saaaaaaaaaaaana
Haha chawa kama chawa, Kumbe hawamjui msanii unayemuita mkubwa ndio maana wafikiri ni Chris brown. Tatizo la watu wengi ni kufikiria mziki ni kupanda na madancer na kumiliki stage akiruka ruka. Mziiki huanza kwa audio ukishateka akili za Wandu na msanii ajue kupiga Live performance na band anafanikiwa,ila mziiki ukiwa haujashika akili za watu na upande na dancer 100 ukiimba playback haitofanya uzidi wengine
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
na mondi anajua vyote hivo yuko vzur kwa vyote dunia nzima inamtambua kwa mambo yote hayo
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
na mondi anajua vyote hivo yuko vzur kwa vyote dunia nzima inamtambua kwa mambo yote hayo
@goldenfingers287
2 жыл бұрын
@@gemantadoda7396 mondi hawezi live performance huyo ni wa auto tube na playback, ndio maana hata show kubwa anabeba madancer maana anajua uwezo wake
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
@@goldenfingers287 kwa anacho kifanya mondi stejin hakuna msanii yoyote anaeweza kupambana nae duniani mond anauwezo binafsi hata hao akina chris brown me sion wanachokifanya sema t ndo tayali wako kimataifa ndo wanabebwa afu pia na lugha inawabeba iv unafkil kam sis Tz tungekua tunaongea kingereza upande wa mzik tungekua wakwanza africa ila kwakua nigeria ndo lugha yao ndo mana unawaona wako ivo akina wizkid na burnaboy hao levo zao bado mondi kafanya mengi mnoo sema nisis watanzania hatupendanagi ila kiukwel mondi anajua tena kwa kila kitu
@goldenfingers287
2 жыл бұрын
@@gemantadoda7396 we hujui mziki kabisaa, tatizo ni mnafikiria kuwa mziki ni kupanda jukwaani na Kucheza na madancer. Watu wanapenda mziki, performance inakua complimentary tu.
Ila wew middle Simba umeshaanza kutuzingua na tarifa zako uyo jamaa unaye muoji sio mwana sanaa uyo
Diamond platnumz ndo msani pekee anaye tuwakilisha EST AFRICAN....kama unabidha leta data✍️✍️✍️✍️✍️✍️fact .
We nimeanza kkuelewa ni kama diamond hkulipa um-brand,habari za harmonize zenye we hutuletea hku ni maybe kashindwa kitu fulani ama amechambwa pahali fulani.
Siku zote simba hawezi kuwa kuku
,,,nnaqbalii..xtory zko ilamtngazaj xomtme kam chaw hiv..,,unvyopromt kaz za WCB tft na kaz zngnee!!??
Nc
Mbona amjapost show ya Congo ama ilibuma bado yafanyiwa editing picha zionekane nyingi majanga
Walijua ni chris brown kwa sauti gan aliyonayo
Siku ya harusi ya chibu nialike mana harusi za wazanzibar my kiboko akiwa mkeo ana wivu.mtaachana hayo mapafyum na mauu
Nilikuwepo mimi
Kunazingine tarifa zako sitakua na click
Carten Riser
Acheni kujidanganya mm naishi ureno ni mtanzania show ilikuwa ya kawaida sana asiemfaham brown dunia hii nani mond huku wengine hawamfaham Kabisa tena ni wengi
@yunualihassan9140
2 жыл бұрын
Sawa ,si utulie sasa
@gemantadoda7396
2 жыл бұрын
bas tuambie alivopanda mondi ilikuaje
@tuliadamson3422
2 жыл бұрын
Eeeh tuelezeee sasa na ss tunajua mond kaenda kufanya show sehemu asiyo fahamik sasa tueleze ilkuajhe
@waziriamlike4703
2 жыл бұрын
Toka
🙏🙏🙏👈
Wa Tanzania mujivuniye kweli kuwa na Simba
Simba
Asikie huyo anae mdisi mondi
Daimond endeleea na mapamban
simbaaa
Duuh Simba mbugani
Acha zalau wewe watajuaje Ni Chis wakati wote wanatambua Ni Asake wa tandale😂😂🤣
Wcb
hahahaha mna Mambo
Ahsante Diamond kutuwakilisha lakini tuiangalie show hiii kwenye KZread wasanii wa Nigeria kimjula walichukua tamasha lote kwa shangwe kubwa kumzidi msanii wetu! Washangiliaji kidogo!
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Sio mbaya waxha wawashangilie but hao kdogo walomshangilia inatutosha alhamdulilah
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
Naipata wapi iyo show youtube
@faymalove5101
2 жыл бұрын
Hapana brother show ya wiz kid illibuma ,show ya bunaboy illibuma pia mpaka waandaaji wameandika na kusema wameshangazwa na show ya diamond na wamesema anastaili kuwa best performer
@josephstephen1079
2 жыл бұрын
@@faymalove5101 Waambie hao wanaomchukulia poa
@festovenas502
2 жыл бұрын
@@faymalove5101 🙌🙌🙌🙌🔥💪
Acheni uongo wabongo ureno iko juu zaid ushamba huu kenge wewe chris