DUDU BAYA ,HARMONIZE AMESHAPOTEA SHOW YA TAIAFA HAKUNA ALICHOKIFANYA MAMBO YALEYAL

Ойын-сауық

#bongo24 #harmonize #dudubaya

Пікірлер: 29

  • @alibinali_
    @alibinali_3 күн бұрын

    Dudu Baya anaongea ukweli big up Konki Master 🔥🔥🔥

  • @HangiMakina-wf8hw
    @HangiMakina-wf8hw6 күн бұрын

    Dudubaya Yuko sawa

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u11 сағат бұрын

    Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano

  • @Direct-0000
    @Direct-00006 күн бұрын

    UKO SAHIHI DUDU

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand5664 күн бұрын

    Mamba uko sahihi 😂😂😂

  • @alibinali_
    @alibinali_3 күн бұрын

    DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga77945 күн бұрын

    Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.

  • @user-rh4ue7rb6t
    @user-rh4ue7rb6t5 күн бұрын

    Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana

  • @AndrewMajingwa-ln7oi
    @AndrewMajingwa-ln7oi4 күн бұрын

    😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga

  • @RodaMwakatundu
    @RodaMwakatundu5 күн бұрын

    Trueee konk3masta

  • @AishaYahaya-ld5lb
    @AishaYahaya-ld5lb3 күн бұрын

    Msema ukweli ❤❤

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    10 сағат бұрын

  • @AckriniSikulumbwe2000
    @AckriniSikulumbwe20005 күн бұрын

    HHaahahhahahaah hii nchi

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka54165 күн бұрын

    Wewe umefanyanini enzi zako?

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews6 күн бұрын

    Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo

  • @johnmike6059
    @johnmike60595 күн бұрын

    We nimuongo

  • @barakarobert1029
    @barakarobert10296 күн бұрын

    Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde

  • @Legends_Interviews

    @Legends_Interviews

    6 күн бұрын

    Nashangaa kazi yake kuwasema wasanii tu

  • @redockbracard9455
    @redockbracard94554 күн бұрын

    Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v3 күн бұрын

    Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    3 күн бұрын

    Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli

  • @evansobewa7741
    @evansobewa77416 күн бұрын

    Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo

  • @user-nx4eg7sf8u

    @user-nx4eg7sf8u

    5 күн бұрын

    Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    10 сағат бұрын

    Loloote analoo

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi6 күн бұрын

    We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    10 сағат бұрын

    Huyu kipaji kingi wewe

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny6 күн бұрын

    Huyu kaka hampendi konde boi

  • @AckriniSikulumbwe2000

    @AckriniSikulumbwe2000

    5 күн бұрын

    Hapan ukwel anaseama

Келесі