ADI DOTTO MAGARI KASHANGA JINSI DUDU BAYA ALIVYO ONESHA MACHUNGU YAKE NAKUCHANA DOTTO HU MZIKII

Ойын-сауық

Пікірлер: 17

  • @HitsAnalysis
    @HitsAnalysis17 күн бұрын

    Dudu ni mtu mwenye mtazamo mpana wa maisha

  • @fidelisokemwa4827
    @fidelisokemwa482717 күн бұрын

    Mimi ni mwenyeji wa Kenya, nilishangaa sana huyu jamaa akikadhiria matukio ya huku kwetu hata kuliko Wakenya wengi mbali na kuwa msanii shupavu huyu Dudu Baya anaelewa maswala ya kisiasa na hata duniani...msomi huyu.

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole771417 күн бұрын

    Uwe mtangazaji wa radio nakukubari dudu ni zaidi ya baba Revo na mwijaku una IQ mkubwa sana

  • @JJ-fb9jp
    @JJ-fb9jp17 күн бұрын

    Dudu ni mchambuzi wa siasa mashuhuri nchini Tz

  • @benmjomi4431
    @benmjomi443117 күн бұрын

    🎉

  • @feisalkhamis7370
    @feisalkhamis737013 күн бұрын

    Big brain dudu

  • @salisali3738
    @salisali373817 күн бұрын

    Mashenzi majizi yana kula haki za watu 😂😅

  • @allysudi4429
    @allysudi442917 күн бұрын

    Fact sana ankal KONK💥

  • @ntakirutimanarukundo6237
    @ntakirutimanarukundo623714 күн бұрын

    Dudu baya namukubari

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199517 күн бұрын

    Tatizo mondi mzulumati

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa512017 күн бұрын

    WEWE MATAGAZAJI WA MPALLA UPDATES NA DUDU BAYA NYOTE MNAMATATIZO YA AKILI NIMTUGANI WAKWEDAKUMULIZA MASWALI YEYE MWEYEWE HAJIELEWI NIMTU TU HATA JAMI ATAIAMBIA NINI IMUELEWE AJIWEKEVIZU KWAZA AWE MTU WA MUONEKANO WA HISHIMA

  • @ArnoldaCyprianhamis

    @ArnoldaCyprianhamis

    17 күн бұрын

    Sura sio roho,konk3 masta mwendo mdundo

  • @ArnoldaCyprianhamis

    @ArnoldaCyprianhamis

    17 күн бұрын

    We ndo mbugila kabisa

  • @Ancy_Conscious_Tz

    @Ancy_Conscious_Tz

    16 күн бұрын

    Kajifunze kuandika kwanza ndo uje hapa ukosoe!

  • @RabihuHussein

    @RabihuHussein

    11 күн бұрын

    ww una muonekano gan kwenye jamii? yaan inakutambuaje, umefanya nn?🤣😅

  • @calvinsande5116

    @calvinsande5116

    11 күн бұрын

    Kajifunze kuandika then urudi

  • @MalangaMartin
    @MalangaMartin17 күн бұрын

    🎉

Келесі