RECAP: UCHAMBUZI SHOW YA ALIKIBA CANADA, UONGOZI UNAMUANGUSHA, RAYAVANNY WAANDAAJI WANAMUANGUSHA

Ойын-сауық

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny

Пікірлер: 63

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq12 күн бұрын

    King kiba King 👑 ❤❤❤

  • @user-ix8kb1co9q
    @user-ix8kb1co9q11 күн бұрын

    Tmkiba oye yaaa❤❤❤❤❤

  • @Mbaley
    @Mbaley11 күн бұрын

    Guy unaupenda mziki wa bongofleva elmando

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g11 күн бұрын

    Kiba unyama sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PhilimoniLangeni
    @PhilimoniLangeni12 күн бұрын

    Wewe mutohe alikiba huko unasikia wewe uyo ndo msani namba Moja Tanzania hiiii umeona show hiyo mzee kaonesha ukumwa Sanaa alikiba wangekua wengine apo tungeongea mengine

  • @abcdefghijklmno59466
    @abcdefghijklmno5946611 күн бұрын

    Wewe ndie mtangazaji TZ, wengine wote wapambe.

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx11 күн бұрын

    Bro KingKiba ana heshima yake sema n msanii asieh na makuzi imagine alikiba na yeye angekuwa na mbwembwe kama hao wanaojikuta wakubwa 😂 ingekuwa ni balaaa

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr12 күн бұрын

    Ww tok lin rayvanny akaw International artist

  • @user-dy9tg3bp4w

    @user-dy9tg3bp4w

    11 күн бұрын

    Ko unataka kusema 😢

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway284310 күн бұрын

    sanaaaa manejment zinaua wasanii

  • @donbrighter
    @donbrighter12 күн бұрын

    So why would Alikiba afanye show yabure kama haowatu. Kwani ashakuomba hela yakula bro

  • @user-uf5eo9vy3d
    @user-uf5eo9vy3d12 күн бұрын

    Kiba ni fundi kitambo Sana aongeze bidii kweny kupush mbele mziki wake kimataifa

  • @blackchinaworldwide8292

    @blackchinaworldwide8292

    12 күн бұрын

    Sasa nawewe music wake umefika wapi 😂😂😂😂 ile tamasha ujue

  • @HakizimanaFiston

    @HakizimanaFiston

    12 күн бұрын

    Alikiba nini sasa Alikiba hapo walikuja kamakumuona R Kelly ao Nelly ivo

  • @WendoJuma

    @WendoJuma

    12 күн бұрын

    Show za kiba nizakibabe...sio upige pige vishow mchwara..afadhali akae miaka minne lakini akitangaza Show.. inakua kubwa

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o12 күн бұрын

    Kweli broo ,Kwa Rivanny inatia huzuni kuona show haikufanyika

  • @user-ki2wo7us1b
    @user-ki2wo7us1b12 күн бұрын

    ❤❤

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan-6 күн бұрын

    Sema huyu jamaa anatafuta kiki t 😂😂ila ache maneno yasiokuwa na ushahid ajitahid huenda kuitwa pale next level

  • @KipampeMedia
    @KipampeMedia12 күн бұрын

    😂😂😂 apo kwenye kupafom bure ndio kasheshe

  • @RahelYohana-xw5ve

    @RahelYohana-xw5ve

    11 күн бұрын

    Chizi huyu show bure yeye angeweza hajui kuwa hiyo ni kaz

  • @james-lx6rf
    @james-lx6rf12 күн бұрын

    umeongea kweli kuhusu alikiba anatuangusha saaaana sana sana anafanya vitu kwa kujiskia

  • @tomsijohni
    @tomsijohni12 күн бұрын

    Ndo shids za media za Tanzania kukandia Wasanii wengine ili wengine wakue juu miaka yote

  • @malishjimmy9529
    @malishjimmy95299 күн бұрын

    Hey Bomgo5, Afrofest is a free Afro-Canadian music event promoting African musical culture. Maybe Alikiba just came for the event to promote his fan base. There has been no gate collection at the event always. Lots of Bongo Flava artist are gonna lose their saving if they tyrina fake shows to match up Simba.

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx11 күн бұрын

    Mbona haja post huwo ubishi ili tukaona na tukaamini kama ni kweli muongo muongo muongo show yake asinge pata watu mbwa huyu sehem alie kuwepo king hao wasenge wote hawawezi kutamba

  • @user-zt1vu4ho2y
    @user-zt1vu4ho2y10 күн бұрын

    Hizo mambo intkw kufnywa na msanii undr ground na co lv aliyonayo kibao au mond

  • @iddysonyo1356
    @iddysonyo135611 күн бұрын

    Mando please naomba unijbu je Africa hiii ni msanii gani levo ya alikiba ambae bado ananguvu kama alikiba pia usisahau alikiba nimiongoni yawasanii waliofanya show nyingi nje zaidi kwahiyo pialazima kiwango kishuke

  • @barekebavugemasudi3436
    @barekebavugemasudi343611 күн бұрын

    Vany boy tatizo watu wanamsimamia ni wandugu zake njo shida hana chakuwafanya

  • @opsbunhalisi
    @opsbunhalisi11 күн бұрын

    Apana uyo ni Big brand anafanya biashara bro. Hawezi kwenda for free. Kunawa wasaani wangapi hawaendi huku bro Yani ni wasaani wadogo?

  • @davidsika5292
    @davidsika529211 күн бұрын

    Mziki wa kiba hauwezi kuingia afronation

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan-6 күн бұрын

    Broo ndio ujue huo ni uongo hapana ukwel yaan mtu mpk afike kwenye show alaf ndio pana ugomvi

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo757012 күн бұрын

    Hao wakina Ali, Rayvany, wakina Mario, konde hawanaga Ménagement ni washikaji zao wabeba begi na camera tu 🤣🤣

  • @Mbaley

    @Mbaley

    11 күн бұрын

    Are you serious ?

  • @kitunganolwebo7570

    @kitunganolwebo7570

    11 күн бұрын

    @@Mbaley 100%

  • @victorguapo7827

    @victorguapo7827

    11 күн бұрын

    @@kitunganolwebo7570acha uongo

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim648211 күн бұрын

    Alikiba kiboko

  • @user-zt1vu4ho2y
    @user-zt1vu4ho2y10 күн бұрын

    Wewe upo tayr kufnya kazi bila kulipwa?

  • @Hassanmoreno07
    @Hassanmoreno0712 күн бұрын

    Leo umeongey ukweli

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza811712 күн бұрын

    Huyu jamaa hajijui hajitambui anabadilika kama kinyonga

  • @natureboy972
    @natureboy97212 күн бұрын

    Uyujama anakwama wapi ivi unadhani kiba anaweza kupiga show yabule ? Acha upumbavu kijana kwani wew hutaki kua mutangazaji mukubwa mbona huendi inje

  • @rutimarlon

    @rutimarlon

    12 күн бұрын

    Ni kweli ilikuwa bure ndo tuliingia

  • @user-zl6hg9so6s

    @user-zl6hg9so6s

    11 күн бұрын

    Uyu kiaz kweli eti afanye kazi bule 😂

  • @davidsika5292
    @davidsika529211 күн бұрын

    Alikiba hajui mziki wa kisasa bado yupo na nyimbo za akina seya

  • @bizmaterial594

    @bizmaterial594

    7 күн бұрын

    Na anakubalika kuliko kina dadamond

  • @vanjay8685
    @vanjay868511 күн бұрын

    tatizo lenu ni kumpa rayvanny ukubwa asionao..show zote za international kadandia,,,show ya mtv ilikua ya maluma ,show zote mbili za albania kadandia dakika tatu na anatolewa,india kaenda harusini,dubai show ilikua ya norah fateh..sikumbuki show ya rayvanny yeyote yake mwenyewe aliyofanya maana hata london juzi aliitwa tu kama opening act...alafu huku mnamuita international

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato11 күн бұрын

    Kiba afanyi show za bure bro hayo mambo ya wale wasafi ya kufanya bure

  • @SokoroboyNdend-iv1js
    @SokoroboyNdend-iv1js11 күн бұрын

    Teem kiba sema yebaba

  • @yfhff5268
    @yfhff526812 күн бұрын

    Sasa si awafukuze hilo ndio tatizo la kubebana

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa641512 күн бұрын

    Jamaa anaongea ukweli wasanii wavivu kwenda kimataifa wanangojea watu wawafuate

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu66911 күн бұрын

    Kila kitu kingekuwa simple kama kuchukua camera na microphone then life was going to be easy😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani548111 күн бұрын

    Inaonyesha apo rayvann ndo Kila kitu ray yeye ndo management ndokila kitu ..iyo manegment sio professional haawapo kikaz

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito25411 күн бұрын

    Management tupo ila Rayvanny alikataa kutupatia simu yake ili tuandikie mashabiki msamaha.....ikabidi yeye mwenyewe aandike

  • @user-km4om6bw1j
    @user-km4om6bw1j8 күн бұрын

    Km

  • @ShabaniMussa-o4e
    @ShabaniMussa-o4e11 күн бұрын

    King kiba uko kasha yokakufany show za bure we kuweza wenziy wana ingiza pesa we upig show bule kisa uwonekan ume piga show nchi za nnje apo nime kupinga king hana shobo izo kk

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim648211 күн бұрын

    Hakuna ya KAZI ya bure

  • @juliuskafula-ee3yb
    @juliuskafula-ee3yb11 күн бұрын

    Yani msanii atengeneze brand yake na mziki wake kwa gharama kubwa alafu apige show Bure. Ebu na wewe nenda MTV Ukatangaze ....Kaa ukijua alikiba sio msanii wa kupiga show Bure brother msanii hawezi kula followers ..

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h11 күн бұрын

    Ivi wewe unaelewa nini kuhuss mziki na show

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj12 күн бұрын

    Tz tukobado

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r12 күн бұрын

    Ww uko fala acha utangazi br hujuw

  • @alexshabani2012
    @alexshabani201212 күн бұрын

    Show ya bure ao tunaitji pesa

  • @maxozone3762
    @maxozone376212 күн бұрын

    Jamaa ni mkweli na Hana cha utimu anaongea ukwel ..ingependeza wasanii wa eleke kimataifa zaidii ..management wengine sio wa kimataifa ndipo wanakwama bingo pekee

  • @ShabaniMussa-o4e

    @ShabaniMussa-o4e

    11 күн бұрын

    So Kwa alikiba kufany show bite sas

  • @user-rp5fe7ie7t
    @user-rp5fe7ie7t12 күн бұрын

    wewe nimpumbavu

Келесі