RAYVANNY Alivyopagawa na MIUNO ya Mrembo huyu/Ammwagia MIHELA Jukwaani LIVE
Ойын-сауық
Hii hapa Show ya Rayvanny kwenye tamasha la Serengeti Lite Gwambina Lounge Jijini Dar es Salaam
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Rayvanny
Пікірлер: 281
Chui Safi sana,kipaji na hela.hongera kaka
Ryvanny ni mnoma adi ana tengeneza song kwa Stage.wah kaliii.
The real mean of talent 🔥🔥🔥🔥
its fantastic
Inchalla dina bakhe courage frère
Kazi nzuriii❤
It's fantastic
❤❤❤kali sana
🎉🎉🎉❤❤❤more fire
Chuwi the number one freestyle
Nice❤❤❤❤❤
King of free style chuii is fire
Wewe ni mwanaume Rayvanny 💪💪💪
@YusuphKaju
6 ай бұрын
Yes
Asante sana, Shukla ✍️😊😅😋😌🙃🙂😌😴☺️
I love that free style 6:00
Injoy ur valentine
First one
Eti hiyo miuno ifike wasafi imfikie chibu, rayvan huwa anamchokoza sana diamond
Waaah wanawezah
Be blessed
On fire 🔥 chuii
Asante Sana CHUI ❤❤💫💪✨💪🐆
Daa mungu awasaidie sana wadad
@paulinaswai6661
5 ай бұрын
Hakika Rehema za Mungu ziingilie kati
Nice
Ktk mabaunsa wa next level music km nimemuona mwanangu Azizi Membe.!
@Luffyteam32
6 ай бұрын
Wow that's great ❤️❤️ 8:06
Bless bless young boy angu❤🎤🎙️.. Mungu akuinue zaidi na zaidi... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana.
Wow happ kwa kusurprise nmefurai
Msichokijuwa adi mond nyimb anatungiwa na rayvny
Wadada samani zetu zimeshuka san mungu tu naitaji mkono wako peke yetu hatuwez
@bethueltahash927
6 ай бұрын
Nakuambia hii dunia hata sijui mwanaume wataoa nani kwa kweli
@bethueltahash927
6 ай бұрын
Mtoto wangu hawezi toka kama amevaa mavazi haya
@AishaMaganga-vd1jg
6 ай бұрын
@@bethueltahash927my dear. Tumuombe sana Mungu! Kilamzaz hupenda mtoto wake avae mavazi ya khekima. Utakuta watoto wanafanya haya, nawazaz wao hawajui😢😢🤲🤲🙏🙏
@rahimaaaaa5682
6 ай бұрын
@@bethueltahash927😂😂😂😂
@HappyArcticBirds-iy3dg
6 ай бұрын
😭😭😭😭😭
Chui umetisha
Chui ni🔥🔥🔥
The most multitalented artist in East Africa
❤chui unajua tena sana💋💯👌👈
So nice Aki💕❣️💕💕✔️✔️✔️✔️✔️✔️
Dah uyo dada mwenye gushape natako kubwa Jinsi anacheza wallah mungu ndo anaejua 😅😅😅😅 yaan utafikir kambale yupo kwatope kakosa maji 😂😂😂😂😂
7:24 nimeipenda Hi you choose
What were they real doing😅😅 anyway much love to Rayvanny❤
@Jackline139
5 ай бұрын
My kwesheni too😂😂😂
Wanawake wamekuwa sanaa yaani ni chombo Cha kujifurahisha..
Safi😂😂
Huyo mwenye dress ya pink❤
Mm nimebakisha kiuno cha kitandani tu niwe na mme wangu sio cha kuonasha watu najuwa ikifika chumbani ni ngongo mwali mungu aniepushe na hii hali ya kujiweke belebele pasipo na fainda
@hellenkarisa639
6 ай бұрын
nakwambia mm nguvu nlizo baki nazo n za kitandani tu, ila shida hizi apana 😂😂😂😂
@Isakatoosey16
6 ай бұрын
Kwanza hawana nyama
@wilsoncrespo6544
6 ай бұрын
❤
@HarrisonMwasirya-dh1xk
Ай бұрын
😂😂
😮 kweny hii dunia ogopa sana mwanamke,mzungu na teknolojia
Hatari
❤
The one with dress 4 me
wow
Wow 😂😂😂❤❤❤😅😅😅
Hahaaa nakubali .
🔥🔥
Hawajui hata kujua😢😢
Kak nakubali
Mimi naombatu brother ninakijanna anaitwa killy blanks anaimba vizur sana naana andika vizur sana anaitwa killy blanks naomba mumu sapos
chuiii❤
😅😅😅😅😅😅 iyoo nomaaaa sanaaaa
🥰🥰
Watu wana mshepu kucheza hawawezi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Katikati ìnaua 😊😊😊😊😊
Tanzania nzima rayvanny niwakwanza kwakuimba nakuva
Mhhh atar hii😂😂😂😂😂
✌️💥💥✌️✌️✌️
Wela mr vp
😂😂😂😂😂kukosa kazi pia kazi
🎉🎉🎉🙏🙏🙏
VANIBOY Chui 🐅🙏😃
Ndo hivo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bro hiro song ritoe
😮
🙆🏽♂️👍
❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Imeweza
Kila nikiangalia shoo hii jaman napendaga sana maana watu wembamba hua tunadharaulika sana, ila shoo bwana tunaipiga popote tena bila jasho wadau
Mmmm! huyo dada kwa kukata viuno wa kupambana nae ni diamond tu 😂😂 dada ni balaa
Ndunia imeisha i say
Kumbe Rayvanny anajuaga commedy
Yule mwenye kibukta cheusi n kisidiria kundi la 1 kacheza vizuri
Vanny bway
Serikali tusaidie miziki ya kupoteza maadili mema
LGB IS AROUND THE COURNET FOR THAT 🏃
Chui hyo ngoma
Doooooh wanawakeeee hovyo
@RaisaM.Khalfan
2 ай бұрын
Hovy mwenzang
Haaa
Wale wakwanza kucheza baada ya kuona mwenzao amefunika wakaanza kujadiliana 😅😅😅😅
Kweli wana wake tuna moyo tunamoyo jaman😢😢😢😢
Hao ni wadangaji tu
Ray acha kuwadhalilisha wanawake japo wao ndio wameitoa thamani yao ila jukumu lakonni kuitunza thamani ya mwanamke
President chui
SUBHANALLAH N UYU RAYVANNY N MUSLIM JAMAN WW KUMBUKA AKHERAA KUNA MOTO AYAA😢😢😢
@jurmainezaidi739
6 ай бұрын
Umefata nn uku nawewe kama sio umalaya tuu
@EstherJoram-gt4lt
6 ай бұрын
😂😂😂😂@@jurmainezaidi739
Mbona wasichana wa Kenya wako na viuno vigumu kama maisha yetu watanzania
@mariammwangare8015
6 ай бұрын
Skiliza acent zao ndio useme n wakenya au tz
@user-ih7gv4us4u
6 ай бұрын
Kenya hakuna serengeti
Nimependa michano
@MussaHussein-hx9zc
Жыл бұрын
Ama
Joshua kwani huyo Mzee ana shida Gani Kila wakati ni kuharibu mambo tu😮😮😮
Huyu ni chui bana wengine ni paka tu.
Hahaaaaaa 😂😂😂huyo rayvanny atacheka cku nyingine hili sekeseke la skukuu za December likiisha
@ummycheedy2809
6 ай бұрын
Kabsa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Huyo wa kwanza kambe haelewi mchezoo kumbe hatari
mhhh
Aya kak
Riski tu
Hawa nawasubiri jehanam 😂 niwaongezee moto
@user-pp5lz9qs9k
6 ай бұрын
S2 sw
Nani ameskia dada anakula sana ila chui😂😂😂