Ndaro, Steve Mweusi walivyoondoka na kijiji chao - Uzinduzi CHEKA Plus TV

UZINDIZI WA @chekaplustv CH 414: Huyu hapa @ndaro__ aliyeamua kuondoka na mbavu za watu usiku kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya Cheka Plus TV inayopatikana kwenye #AzamTV pekee kwa kifurushi cha shilingi 17,000/= tu mwezi au 6,000/= kwa wiki.
Uzinduzi ulikuwa LIVE muda mfupi uliopita kupitia #UTV108 @utvtz
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus

Пікірлер: 98

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter49472 ай бұрын

    Hongereni sana Steve na Ndaro mko vizuri sana

  • @Abdulaziz-tb1gd
    @Abdulaziz-tb1gd4 күн бұрын

    Konde boy ndani nae kwenye mjengo

  • @OneRigovic
    @OneRigovic8 күн бұрын

    pamoja na steve no stress

  • @Isaaclevis
    @IsaaclevisАй бұрын

    Asante sana ndugu yangu

  • @bullychandy6509
    @bullychandy65092 ай бұрын

    KUBWA SANA HII, AZAM KWA WOTE

  • @Urahyobra-xg7qn
    @Urahyobra-xg7qn2 ай бұрын

    Hiyo ajiieni mc trick ❤❤❤ Kenya to the world 🌍🌎🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪#yobramgenge

  • @RKBro-jr1ts

    @RKBro-jr1ts

    2 ай бұрын

    Wako chini hawa

  • @RKBro-jr1ts

    @RKBro-jr1ts

    2 ай бұрын

    Wako chini hawa hii ni money laundering 😅

  • @Denisemuyerekana
    @Denisemuyerekana2 ай бұрын

    Vraiment nibien sana stive nakukumbali sana

  • @JAYLABELS
    @JAYLABELS2 ай бұрын

    😢SOUND PRODUCTION MBOVUUUU

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79402 ай бұрын

    Azam tv on top 🔥🔥🔥

  • @Kelvinihuncho
    @KelvinihunchoАй бұрын

    Noma san🎉

  • @KitweraCommedien
    @KitweraCommedienАй бұрын

    Jmbo ndugu naomba namba Yako ya WhatsApp, mimi ni wmana comedia toka inchini Congo🇨🇩🇨🇩

  • @user-pc1rf5sq4f

    @user-pc1rf5sq4f

    3 күн бұрын

    Jambo

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn2 ай бұрын

    Alitisha said said

  • @yoshuapaul8300
    @yoshuapaul83002 ай бұрын

    Yeees

  • @alexkivuyo3576
    @alexkivuyo35762 ай бұрын

    Nakubali chal wangu

  • @JuniorProsperswai-fy8eb
    @JuniorProsperswai-fy8ebАй бұрын

    From kajiado 🇰🇪🇰🇪

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel68922 ай бұрын

  • @MichaelJoseph-q7j
    @MichaelJoseph-q7j22 күн бұрын

    Good🎉🎉

  • @user-ot8xo4vo6d
    @user-ot8xo4vo6dАй бұрын

    Wajua.sana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tyxeladoemerry
    @tyxeladoemerryАй бұрын

    tuna kupenda saana hapa kwetu drc 🇨🇩🇨🇩 {l'ado 🇨🇩}

  • @rehemaothuman3764
    @rehemaothuman37642 ай бұрын

    Nimependa ya ally kamwe mdomo uo usinifukuzie mteja wangu

  • @AdrawThoya
    @AdrawThoya2 күн бұрын

    Might

  • @user-kx2om3di8u
    @user-kx2om3di8uАй бұрын

    Nawakubar sana

  • @tanacksheyo7380
    @tanacksheyo73802 ай бұрын

    Leooo umetumika ukongweeee

  • @NiyoLucas
    @NiyoLucas2 ай бұрын

    💥💥💥💥💥💥

  • @prosrm1172
    @prosrm11722 ай бұрын

    Tunaomba mtuwekee na ile ya Chad Talent

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga2 ай бұрын

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲

  • @barakakusa7606
    @barakakusa76062 ай бұрын

    Leonardo tu ndy anajua kuchekesha kuliko

  • @richmages1372

    @richmages1372

    2 ай бұрын

    Eliud unamuach wap

  • @user-bx1cj7yh6u

    @user-bx1cj7yh6u

    2 ай бұрын

    Kuna MC eliudi ww

  • @eggysulle7988

    @eggysulle7988

    Ай бұрын

    Upo saaii

  • @user-ih1ig9lk2j

    @user-ih1ig9lk2j

    Ай бұрын

    Hassani

  • @imanuelzakayo8703

    @imanuelzakayo8703

    Ай бұрын

    Mmmmh mtie mtu moyoo bhnaaa

  • @deeher-tp1fn
    @deeher-tp1fn2 ай бұрын

    Jamani hivi mnamuona poshy anavompiga kijicho mwana fa hapo......???? kheeee

  • @user-pz9bh3pl4t

    @user-pz9bh3pl4t

    2 ай бұрын

    Kumbe na ww umeona hapo amna Mwanamke Bali anajali maslah

  • @mozuu1260

    @mozuu1260

    2 ай бұрын

    Nashukuru nimepata wambea wenzangu😂

  • @Lilcfanstv9

    @Lilcfanstv9

    2 ай бұрын

    Hahaa

  • @ojazi321
    @ojazi321Ай бұрын

    Bado kwa Stand Up Comedy TZ mko chini sanaaa

  • @silashemed4849

    @silashemed4849

    Ай бұрын

    wapo,

  • @uwizeyimanapatrick6201

    @uwizeyimanapatrick6201

    Ай бұрын

    Tena saana

  • @AmiryShine
    @AmiryShineАй бұрын

    Ndaroo na stevee n wakaliii

  • @kilinakoshengelo2944
    @kilinakoshengelo29442 ай бұрын

    Steve ni balaa

  • @JasmineBrown-sq3wz
    @JasmineBrown-sq3wzАй бұрын

    😂😂😂😂 nakuku bari sana brooooooooo unavityuuu

  • @IssaSalmin
    @IssaSalmin2 ай бұрын

    Wabebesha kombe 😂😂😂😂😂😂😂 Stephanie Aziz ki

  • @T-MaxPalukuKabuyaya
    @T-MaxPalukuKabuyayaАй бұрын

    ❤❤❤🇨🇩

  • @moudys
    @moudys2 ай бұрын

    Kamtambulisha mwanae

  • @bonniventuresylivester3133
    @bonniventuresylivester31332 ай бұрын

    😂😂😂 Steve kwamba huyo baba ni mbwa

  • @DannyPhillip-bj2bl
    @DannyPhillip-bj2bl2 ай бұрын

    Aziz ki anaelewa kweli

  • @FurahaPeter-iz7ef
    @FurahaPeter-iz7ef2 ай бұрын

    Ila nlchogundua watu weny Hela wepec kucheka😂

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141Ай бұрын

    Hill wotee oyeeeee

  • @AbdallahKizwezwe
    @AbdallahKizwezweАй бұрын

    Aziz umekuja Hadi uku😅😅😅

  • @AbdallahKizwezwe

    @AbdallahKizwezwe

    Ай бұрын

  • @Gallo_Decoration
    @Gallo_Decoration2 ай бұрын

    😂😂😂 meniuwa mbav aiseh

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo2 ай бұрын

    Unayuwa

  • @SINKOLONGOISAAC-kz5jk
    @SINKOLONGOISAAC-kz5jkАй бұрын

    Pamojasana ndalo nasitivu

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94652 ай бұрын

    harmonize mke huna anampiga mwana FA jicho 😂😂😂😂

  • @OnlyJesushasMylife
    @OnlyJesushasMylife2 ай бұрын

    Pia nashangaa wanacheka nn

  • @maliqdapainkiller8203
    @maliqdapainkiller82032 ай бұрын

    Ndaro najiuliza hao watu wanacheka nini

  • @narrosmohammed169

    @narrosmohammed169

    2 ай бұрын

    Comedy sio sehemu yako usifoce kufanana Na pia usichukizwe na kinachowapa faraja wengine.

  • @mussakarata6650

    @mussakarata6650

    2 ай бұрын

    ​@@narrosmohammed169jibu zuri sana ndugu♥️

  • @paulopau-ln4tt

    @paulopau-ln4tt

    2 ай бұрын

    Kwani lazima wewe ucheke

  • @jamesmsaki4371

    @jamesmsaki4371

    2 ай бұрын

    Ww ulitak wachek nn

  • @eliyajosephkituye931

    @eliyajosephkituye931

    2 ай бұрын

    Ucheke mikopo uachie nani broo

  • @mcnyoka6420
    @mcnyoka642022 күн бұрын

    Eti yule baba ni mbwaaa

  • @sassboy9360
    @sassboy93602 ай бұрын

    Steve kauwa

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto72102 ай бұрын

    Poshi ach kumuanglia mh FA😂🙌

  • @bestalex4010

    @bestalex4010

    2 ай бұрын

    Nilikua naitafuta hii comment 😂😂

  • @JohnShirima-re4hw
    @JohnShirima-re4hw2 ай бұрын

    Stev simpingi

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614Ай бұрын

    Nyie miamba

  • @ngoshaog1255
    @ngoshaog12552 ай бұрын

    😂😂😂

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid37432 ай бұрын

    Jicho la Posh Mmh

  • @petermloka7608
    @petermloka7608Ай бұрын

    Inabid na tunda awe comedy 😅

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q2 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @francepaul7711
    @francepaul77112 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @Gentanyisenior254
    @Gentanyisenior2542 ай бұрын

    Kuogaa

  • @ElizabethKeneth
    @ElizabethKeneth2 ай бұрын

    hhh😂

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395Ай бұрын

    Ndaro huwa simkubali, hachekeshi

  • @bennyframa4505

    @bennyframa4505

    Ай бұрын

    Anajua sana , ufundi wa ndaro upo kwenye ku freestyle ( kuchekesha papo kwa hapo) na hao ndo macomedian wazuri. Leonardo ana material nyingi za kuandaa. Ila ndaro ni hapohapo anakuaaa

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen60082 ай бұрын

    Hamna kitu huyu jamaa

  • @shadracknyese3307

    @shadracknyese3307

    2 ай бұрын

    ulienacho sasa hicho kitu ukowap

  • @jamesmsaki4371

    @jamesmsaki4371

    2 ай бұрын

    Fany ww tukuone

  • @user-mr3qg9iq5k

    @user-mr3qg9iq5k

    2 ай бұрын

    ​@@shadracknyese3307😂😂😂😂😂 bola umemjibu

  • @mgimbaboniphace

    @mgimbaboniphace

    2 ай бұрын

    Umekuja na mastress yako ya kupiga vizinga unategemea ucheke