Ndaro, Steve Mweusi walivyoondoka na kijiji chao - Uzinduzi CHEKA Plus TV
UZINDIZI WA @chekaplustv CH 414: Huyu hapa @ndaro__ aliyeamua kuondoka na mbavu za watu usiku kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya Cheka Plus TV inayopatikana kwenye #AzamTV pekee kwa kifurushi cha shilingi 17,000/= tu mwezi au 6,000/= kwa wiki.
Uzinduzi ulikuwa LIVE muda mfupi uliopita kupitia #UTV108 @utvtz
#ChekaTu #ChekaTu414 #ChekaTuPlus
Пікірлер: 98
Hongereni sana Steve na Ndaro mko vizuri sana
Konde boy ndani nae kwenye mjengo
pamoja na steve no stress
Asante sana ndugu yangu
KUBWA SANA HII, AZAM KWA WOTE
Hiyo ajiieni mc trick ❤❤❤ Kenya to the world 🌍🌎🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪#yobramgenge
@RKBro-jr1ts
2 ай бұрын
Wako chini hawa
@RKBro-jr1ts
2 ай бұрын
Wako chini hawa hii ni money laundering 😅
Vraiment nibien sana stive nakukumbali sana
😢SOUND PRODUCTION MBOVUUUU
Azam tv on top 🔥🔥🔥
Noma san🎉
Jmbo ndugu naomba namba Yako ya WhatsApp, mimi ni wmana comedia toka inchini Congo🇨🇩🇨🇩
@user-pc1rf5sq4f
3 күн бұрын
Jambo
Alitisha said said
Yeees
Nakubali chal wangu
From kajiado 🇰🇪🇰🇪
❤
Good🎉🎉
Wajua.sana🔥🔥🔥🔥🔥
tuna kupenda saana hapa kwetu drc 🇨🇩🇨🇩 {l'ado 🇨🇩}
Nimependa ya ally kamwe mdomo uo usinifukuzie mteja wangu
Might
Nawakubar sana
Leooo umetumika ukongweeee
💥💥💥💥💥💥
Tunaomba mtuwekee na ile ya Chad Talent
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Leonardo tu ndy anajua kuchekesha kuliko
@richmages1372
2 ай бұрын
Eliud unamuach wap
@user-bx1cj7yh6u
2 ай бұрын
Kuna MC eliudi ww
@eggysulle7988
Ай бұрын
Upo saaii
@user-ih1ig9lk2j
Ай бұрын
Hassani
@imanuelzakayo8703
Ай бұрын
Mmmmh mtie mtu moyoo bhnaaa
Jamani hivi mnamuona poshy anavompiga kijicho mwana fa hapo......???? kheeee
@user-pz9bh3pl4t
2 ай бұрын
Kumbe na ww umeona hapo amna Mwanamke Bali anajali maslah
@mozuu1260
2 ай бұрын
Nashukuru nimepata wambea wenzangu😂
@Lilcfanstv9
2 ай бұрын
Hahaa
Bado kwa Stand Up Comedy TZ mko chini sanaaa
@silashemed4849
Ай бұрын
wapo,
@uwizeyimanapatrick6201
Ай бұрын
Tena saana
Ndaroo na stevee n wakaliii
Steve ni balaa
😂😂😂😂 nakuku bari sana brooooooooo unavityuuu
Wabebesha kombe 😂😂😂😂😂😂😂 Stephanie Aziz ki
❤❤❤🇨🇩
Kamtambulisha mwanae
😂😂😂 Steve kwamba huyo baba ni mbwa
Aziz ki anaelewa kweli
Ila nlchogundua watu weny Hela wepec kucheka😂
Hill wotee oyeeeee
Aziz umekuja Hadi uku😅😅😅
@AbdallahKizwezwe
Ай бұрын
❤
😂😂😂 meniuwa mbav aiseh
Unayuwa
Pamojasana ndalo nasitivu
harmonize mke huna anampiga mwana FA jicho 😂😂😂😂
Pia nashangaa wanacheka nn
Ndaro najiuliza hao watu wanacheka nini
@narrosmohammed169
2 ай бұрын
Comedy sio sehemu yako usifoce kufanana Na pia usichukizwe na kinachowapa faraja wengine.
@mussakarata6650
2 ай бұрын
@@narrosmohammed169jibu zuri sana ndugu♥️
@paulopau-ln4tt
2 ай бұрын
Kwani lazima wewe ucheke
@jamesmsaki4371
2 ай бұрын
Ww ulitak wachek nn
@eliyajosephkituye931
2 ай бұрын
Ucheke mikopo uachie nani broo
Eti yule baba ni mbwaaa
Steve kauwa
Poshi ach kumuanglia mh FA😂🙌
@bestalex4010
2 ай бұрын
Nilikua naitafuta hii comment 😂😂
Stev simpingi
Nyie miamba
😂😂😂
Jicho la Posh Mmh
Inabid na tunda awe comedy 😅
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
😂😂😂😂
Kuogaa
hhh😂
Ndaro huwa simkubali, hachekeshi
@bennyframa4505
Ай бұрын
Anajua sana , ufundi wa ndaro upo kwenye ku freestyle ( kuchekesha papo kwa hapo) na hao ndo macomedian wazuri. Leonardo ana material nyingi za kuandaa. Ila ndaro ni hapohapo anakuaaa
Hamna kitu huyu jamaa
@shadracknyese3307
2 ай бұрын
ulienacho sasa hicho kitu ukowap
@jamesmsaki4371
2 ай бұрын
Fany ww tukuone
@user-mr3qg9iq5k
2 ай бұрын
@@shadracknyese3307😂😂😂😂😂 bola umemjibu
@mgimbaboniphace
2 ай бұрын
Umekuja na mastress yako ya kupiga vizinga unategemea ucheke