Leonardo your the best comedian ni Tz am Joe Mose from Kenya Nakuru
@zuhuraMangapi2 ай бұрын
Leonard is the price of comedy Kwan anatumiy akili kuliko kawaida
@bensonkambona15672 жыл бұрын
Leonardo is a genius❤️
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Tuweke na said said. Nawengineo pia shukran sn coy mana tulisubir sn hizi
@mcsirjames44872 жыл бұрын
AINA YA STAND UP COMEDIAN AMBAYE MIMI NAWEZA KUMSIKILIZA. 💥💥💥
@emmanuelkidunu4078
2 ай бұрын
😅
@elizayanga97562 жыл бұрын
Leonard kaza mwaya ata ao wengine walianza km ww yan mi nimecheka sana upigi mikelele mifujo kutembea mimwendo flan mara kuruka mara kukaa kifup hutumii nguvu tucheke km uyo....kila la kher na Mungu akupiganie sana
@yuzotv458
2 жыл бұрын
daaah eliza umeongea point ila apo kwenye yanga sasa mwe hahahahahahah!!!!!!.
@queenandchill91
2 жыл бұрын
Kila mtu ana upekee wake....
@norbypoltv2 жыл бұрын
This guy is talented 🙌🙌🙌🙌😁😁😁😁
@ommyorrymmy63362 жыл бұрын
Comedy ya akili wala hatatariki kucekesha kibusara kabisa saluti sana Leonardo
@mcdugange45512 жыл бұрын
Leonard unajua unatumia akili sana usikate tamaa sikuzote mti wenye matunda upigwa mawe pambana
@johanesjofrey21052 жыл бұрын
Comedy yako ni nzuri, akili nyingi.lakni jitahidi kupanga content zako.Big up sana leonardo
@egbertcarter3665
3 ай бұрын
😂unazingua
@mosesmhina99802 жыл бұрын
Huyu mwamba kumuelewa unahitaji uwe na akili kubwa.....ila mwamba anacomed flan ya kinyamwezi na yakiakili saaana
@apleyboniface2959
2 жыл бұрын
Kwl man
@francembepi2709
Жыл бұрын
Comedy zake kama za idris ili ucheke inadi utumie akili,
@anniepatrick6909
2 ай бұрын
Bila D mbili hutoboi🤣🤣
@MariamSekwao
Ай бұрын
Kabisa🎉🎉🎉
@user-kk7wd1sm3x
Ай бұрын
Yan mm Sijawah kuwaelewa kabisa mnachomaanisha akili akili akili Kwan wengine wanatumia ? 😅
@joemosemediaproductions96672 жыл бұрын
Am your namba one fan you make my day always
@Rikas_Riphin2 жыл бұрын
You are the best💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@edwinmwambene37432 жыл бұрын
Good commedian napenda sanaaa
@yonicdontah63922 жыл бұрын
Jol master’s generation 🙌🏿❤️
@nzeyimanaabdallah1312 жыл бұрын
Cheka now mko juu sana mpka basi kwa huyu bro mmepata kifaa cha kutupa burudani
@Bongovlogs2 жыл бұрын
Leo Leonardo hajajiandaa kabisa asijisahau anakae chini aweke content nzuri leo nampa 5/10
@nicholausmbilinyi3587
2 жыл бұрын
Leo hajafanya vzuri kwakweli
@allyismail455
2 жыл бұрын
4 out of 10
@alexalen6799
2 жыл бұрын
Msapoti kwanza mnakuwa wakosoaji kwa kila kitu ebu tuonesheni nyie kha mnaniboa sana
@moziidavchonchi33382 жыл бұрын
Show zako ni Ugenius kma babu yako Leonard Da'vinc wee jamaa unaeza piga izo standup NY + UK
@ericksonmichael327
2 жыл бұрын
Da vinci's demons moja hiyooo, naqbal pia kuna michael Scolfield
@joshuamoshi52912 жыл бұрын
Ila mwamba ni super talented🤣🤣🤣🤣
@jacksonpeter74842 жыл бұрын
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
@chicharito42012 жыл бұрын
LEONARDO KAZA SANA STAND UP COMEDY NI NGUMU SANA TO MAINTAIN
@issaally4103
2 жыл бұрын
Sana ana content ila ajipange sana.
@alhabeebsulesh1925
4 ай бұрын
Saa hivi wa moto sana
@saidiramadhan87512 жыл бұрын
Good work 👍👏🔥🔥
@victoranizeth87642 жыл бұрын
Leonardo ur so funny crazy person never happen in this industry 🤓🤓🤓🤓🤓🤓 sharout sana
@strong8534
4 ай бұрын
Shout out/ sharout😢😢
@geofreydaud4702 жыл бұрын
So talented
@WILLIAMMRICHARD-jm7yh11 ай бұрын
Huyu ndo mwamb anaefanya ninunue bando kila mda....respect brother Leonardo.....
@omarathuman58132 жыл бұрын
Apo Amna wakulingalishwa lionado na eliud
@witneywilly2 жыл бұрын
Kumuelewa akil kubwa inahitajika🔥🔥🔥❣❣
@khalossalim37232 жыл бұрын
Umeua 🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@gaurekhalifa52562 жыл бұрын
Kijana ana materials big up kwake
@maxbeatz__88132 жыл бұрын
Anajua lakini navomsikiliza ni jolmaster mtupu big up kwake
@kleofacejerome90252 жыл бұрын
Wamempa ushndi tu yulelkn umemgaragaza yule cjaskia ata punch kali Kama hzi unajua mzee yule hata nusu hakufkii
@volderbnbyjuka4906
2 жыл бұрын
Yupii
@kleofacejerome9025
2 жыл бұрын
S Joel et kwenye battle kamshnda mwan
@volderbnbyjuka4906
2 жыл бұрын
@@kleofacejerome9025 ah
@josefitina26332 жыл бұрын
Balaaaa zitoooo😂😂😂😂🤙
@emmanueljuma78232 жыл бұрын
Anajua sana 😂😹
@fzlcomrajabu95142 жыл бұрын
Katisha sana 💯
@hmanyinja2 жыл бұрын
Kwa akili ya kawaida leo ulitetemeka!!
@modybrowny12062 жыл бұрын
Nakubl hautumii nguvuu kwanz😂😂😂
@theafricanprincevivecongo8632
2 жыл бұрын
Yeah
@brothersalim53592 жыл бұрын
NAWAKUBALIII sanaaaa wote kutoka Kenya
@arnoldalmachius36662 жыл бұрын
Jamaa anajua sana
@jadenbarick30612 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua anahasira san na huu mchezo
@shadhiryissah26932 жыл бұрын
💥💥💖💖 GOOD WORK 💋
@damianjeremia38212 жыл бұрын
Huyu ni fire watu wanacheka balaa sio yule jamaa joemaster mbwembwe nyiiiingi
@jescaprojest7262
2 жыл бұрын
Nampenda Sana Joel master
@kenmbarikiwa891229 күн бұрын
Huyu jamaa@leonardo Mungu Baba ampe maisha marefu...anafanya ya wengi ya marefu
@abelianraphili51502 жыл бұрын
First view
@geoffreykirway9367
2 жыл бұрын
First viewer sio view
@sophiaaloyce87442 жыл бұрын
Comedian ya Leonardo ni ya kufikirika sana
@andulilemwakihabha20482 жыл бұрын
Leonardo 🔥
@stephenmalilo98333 ай бұрын
Comedy + shule = Fireeeeee......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dtvonline.97292 жыл бұрын
Big up broo
@omarathuman58132 жыл бұрын
Eliud mpango mzima
@denicnyalusi2986
2 жыл бұрын
Eliud baba yao anawakarisha wote humu cheka 2
@ibrahimsadick6137
2 жыл бұрын
Eliud Fundi
@selemanimkonga81502 жыл бұрын
Jamaa 😂😂umekuja moto
@malaikamushi2417
2 жыл бұрын
Bigapi sana 🤝
@mwljuliuskiwovele2232 жыл бұрын
Imekaa poa sana
@geofreydaud4702 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kutumia akili sana
@fatmakhamis99822 жыл бұрын
Mm leonardo nishabik wko wakwanza yaan km siww nisingepoteza mda kuwaangalia awo wengne nakukubali sana yaan sichoshwi na vitu vyako dah Allah azid kukusimamia kaza but uzid zaid nakukubal sn
@ferouzmasoud48702 жыл бұрын
Mnajuwa Sanaaa 👊👊👊
@goodlucktemu31492 жыл бұрын
Joel Masta auawezi uu moto jamaa atumii nguvu uyu utacheka tuu na usipocheka ukapimwe mbavu utakua na matatizo.
@sirorisimbamovietalents51512 жыл бұрын
Wakuu tunaomba spot zenu katika kikundi chetu cha sirori simba movie talents 🙏🙏🙏🙏🙏
@dianerditto2 жыл бұрын
Ur the best leo...said said whre a u brothr
@marokeyLFM Жыл бұрын
King of young generation in stand up comedy 🎭
@VintanMfaume
Жыл бұрын
5 to m
@marysiom63212 жыл бұрын
Leo umetokotesha,INAONEKANA Kweli umepanic na millioni kumi na kiwanja but, 50 enough for you.
@adelinatate97042 жыл бұрын
Leonardo 👏👏👏👏
@shijandobehe495315 күн бұрын
See you at the top man
@vicentmayanda39352 жыл бұрын
Leo ame underperfom 50/100
@chief2177
2 жыл бұрын
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
@chief2177
2 жыл бұрын
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
@mararegiononline3457
2 жыл бұрын
Kabisaaaaaaa, Perfomance ya leo kawaida saanaaaaaaaaa
@josephmeshack3147
2 жыл бұрын
Absolutely..yule headmaster yuko form
@joelteti1464
2 жыл бұрын
Nikweli
@Emmamusiccmb2 жыл бұрын
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 💥🇹🇿🇰🇪💥*
@truthspeaker2405
2 жыл бұрын
umejitahidi
@lawabidingcitizen34272 жыл бұрын
Tatizo storylines za standup comedians wetu huwa sio consistent. Mambo mengi wakati mmoja, vitu kibao wakati mmoja bila muunganiko. Kuchekesha kunawezekana kwenye story moja tu yenye vituko vingi ndani yake...
@alphoncemnyambwa9720
2 жыл бұрын
Sure
@jimsonndelwa9935
6 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@CharlesRutandula
3 ай бұрын
Si uchekeshe na wewe kwani lazima afanye yeyee
@jamalally6280
12 күн бұрын
Nmekupat as a future stand up comedy I will deal with it bro
@imasanga75232 жыл бұрын
Nzuri bro
@mzenjikichaa86952 жыл бұрын
Smart sana
@magiclab64352 жыл бұрын
Anafel kuish na attention za watu, a real comedian , every step every move is a laughter pia ni unpredictable wapi utacheka, but ana fail ku maintain interval iko very regular audience washamsoma wapi watacheka wapi hawatocheka, kimsingi anaenda kuboa, ajifunze kwa Mpoki au Basket Mouth..All in all ako na something extra.. akizingatia ni mtu hatari sana coz comedy yake imekomaa sio ya kitoto
@allyismail455
2 жыл бұрын
Sure...
@BsekoMimi
2 жыл бұрын
Yeah
@clintonarnold62912 жыл бұрын
Kawaida sana leo
@hunchoderatihno45992 жыл бұрын
Jamn @leonardo n anajua sanaaaa
@pmall88672 жыл бұрын
😂😂Well Done 😂😂nakubali Sana Man
@gospelvibestv39142 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua asee...comedy yake ina IQ kubwa mnaemponda sijui mnampondea nini kwangu mm ni 90/100
@samaduabdallah9476
2 жыл бұрын
upo sahihi kabisa. Dogo yupo vizuri sana ana contents nyingi anajitahidi
@abuukishkiassalafiyyukishk62112 жыл бұрын
Nitumie number yko Leonard kuna issue ntaka kukuulizia plz
@NEXTtz2 жыл бұрын
Uwiii🔥🔥🙌
@centyshmuuda86332 жыл бұрын
Daahh umeuaaaaa
@dawoodlewa67752 жыл бұрын
Good work...
@brianamugune20102 жыл бұрын
Amazing
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
🤨🤨🤨daaaa kucheka kipajii aiseee mm najaribu lakini waapiii
@Snipperthebabslow2 жыл бұрын
Hongeraaaa Sana pull up
@truthnafact90812 жыл бұрын
Bongo comedy tunajitahidi Ila vistory vyetu viko short short hakuna story muendelezo...mada kipisi,kipisi inaangukia kwengineko
@user-ih7zp7kc2u2 ай бұрын
Hakika kaka yetu uko safiii
@ericktanzanite49072 жыл бұрын
Leonardo kichwa sana 👏
@arnoldkaholwe59892 жыл бұрын
Mnyama kbsa Leonardo
@khadijarashid41652 жыл бұрын
Somehow work hard broooo😓😓
@zenaycechanzinho67024 ай бұрын
😢HAKUNA MUNGU WA DUNIAN ACHA KUPOTOSHA WATU WAZIMA. SOMA DINI KIJANA. MUNGU NI MMOJA TUUUUU HANA MSHIRIKA ,HAJAZAA NA WALA HAJAZALIWA NA HAFANANI NA KITU WALA KIUMBE CHOCHOTE.
@godygcgranty8243
Ай бұрын
wewe ndo usome vizuri bible
@richardmichael59912 жыл бұрын
Umetisha kaka
@tonyi68072 жыл бұрын
Morogoro stand up....!
@user-qf9nn2ye2bАй бұрын
Aa yego wimanyile sana go
@joetemba63762 жыл бұрын
Huyu mshikaji anajua mpeni sifa zake
@abasinaomie76812 жыл бұрын
🙌🙌👏
@kondoatown87652 жыл бұрын
Dogo Kawa wa Moro tena Leo uko chini ya kiwango , ila kaka una comedy Safi Sana sio wale wengine wanajichetua Sana.
@directorimmah_vfx30432 жыл бұрын
mbna kam milion 10 zmekosewa kuenda kwke
@gdozenbless6955
2 жыл бұрын
Sure dzain kama kapoa hii show... Tofauti na kwenye mashindano
@jozmikeofficial5347
2 жыл бұрын
Apana ata haija kosewa kak
@einsteinmandilindi7396
2 жыл бұрын
Kapoa nn sasa mshkaji wa motto hivyo
@gdozenbless6955
2 жыл бұрын
@@einsteinmandilindi7396 ni kwa mtazamo wangu tu, alianza vizur katikati akapoa kisha naona akamaliza pia vizur... Ila kwenye mashindano jamaa alikuwa anakiwasha mwanzo mwisho ni vibe tu, na ukitaka kuamini kuwa alipoa angalia tu watazamaji kama nao walikuwa wametulia ila yote kwa yote mwamba ni mkali, na he deserve hongera zote
@donaldtadeodontado9991
2 жыл бұрын
Roho mbaya .......chuki ....wivu....uchawii Ndio vinakusumbua TU
Пікірлер: 315
Leonardo your the best comedian ni Tz am Joe Mose from Kenya Nakuru
Leonard is the price of comedy Kwan anatumiy akili kuliko kawaida
Leonardo is a genius❤️
Tuweke na said said. Nawengineo pia shukran sn coy mana tulisubir sn hizi
AINA YA STAND UP COMEDIAN AMBAYE MIMI NAWEZA KUMSIKILIZA. 💥💥💥
@emmanuelkidunu4078
2 ай бұрын
😅
Leonard kaza mwaya ata ao wengine walianza km ww yan mi nimecheka sana upigi mikelele mifujo kutembea mimwendo flan mara kuruka mara kukaa kifup hutumii nguvu tucheke km uyo....kila la kher na Mungu akupiganie sana
@yuzotv458
2 жыл бұрын
daaah eliza umeongea point ila apo kwenye yanga sasa mwe hahahahahahah!!!!!!.
@queenandchill91
2 жыл бұрын
Kila mtu ana upekee wake....
This guy is talented 🙌🙌🙌🙌😁😁😁😁
Comedy ya akili wala hatatariki kucekesha kibusara kabisa saluti sana Leonardo
Leonard unajua unatumia akili sana usikate tamaa sikuzote mti wenye matunda upigwa mawe pambana
Comedy yako ni nzuri, akili nyingi.lakni jitahidi kupanga content zako.Big up sana leonardo
@egbertcarter3665
3 ай бұрын
😂unazingua
Huyu mwamba kumuelewa unahitaji uwe na akili kubwa.....ila mwamba anacomed flan ya kinyamwezi na yakiakili saaana
@apleyboniface2959
2 жыл бұрын
Kwl man
@francembepi2709
Жыл бұрын
Comedy zake kama za idris ili ucheke inadi utumie akili,
@anniepatrick6909
2 ай бұрын
Bila D mbili hutoboi🤣🤣
@MariamSekwao
Ай бұрын
Kabisa🎉🎉🎉
@user-kk7wd1sm3x
Ай бұрын
Yan mm Sijawah kuwaelewa kabisa mnachomaanisha akili akili akili Kwan wengine wanatumia ? 😅
Am your namba one fan you make my day always
You are the best💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Good commedian napenda sanaaa
Jol master’s generation 🙌🏿❤️
Cheka now mko juu sana mpka basi kwa huyu bro mmepata kifaa cha kutupa burudani
Leo Leonardo hajajiandaa kabisa asijisahau anakae chini aweke content nzuri leo nampa 5/10
@nicholausmbilinyi3587
2 жыл бұрын
Leo hajafanya vzuri kwakweli
@allyismail455
2 жыл бұрын
4 out of 10
@alexalen6799
2 жыл бұрын
Msapoti kwanza mnakuwa wakosoaji kwa kila kitu ebu tuonesheni nyie kha mnaniboa sana
Show zako ni Ugenius kma babu yako Leonard Da'vinc wee jamaa unaeza piga izo standup NY + UK
@ericksonmichael327
2 жыл бұрын
Da vinci's demons moja hiyooo, naqbal pia kuna michael Scolfield
Ila mwamba ni super talented🤣🤣🤣🤣
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
LEONARDO KAZA SANA STAND UP COMEDY NI NGUMU SANA TO MAINTAIN
@issaally4103
2 жыл бұрын
Sana ana content ila ajipange sana.
@alhabeebsulesh1925
4 ай бұрын
Saa hivi wa moto sana
Good work 👍👏🔥🔥
Leonardo ur so funny crazy person never happen in this industry 🤓🤓🤓🤓🤓🤓 sharout sana
@strong8534
4 ай бұрын
Shout out/ sharout😢😢
So talented
Huyu ndo mwamb anaefanya ninunue bando kila mda....respect brother Leonardo.....
Apo Amna wakulingalishwa lionado na eliud
Kumuelewa akil kubwa inahitajika🔥🔥🔥❣❣
Umeua 🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Kijana ana materials big up kwake
Anajua lakini navomsikiliza ni jolmaster mtupu big up kwake
Wamempa ushndi tu yulelkn umemgaragaza yule cjaskia ata punch kali Kama hzi unajua mzee yule hata nusu hakufkii
@volderbnbyjuka4906
2 жыл бұрын
Yupii
@kleofacejerome9025
2 жыл бұрын
S Joel et kwenye battle kamshnda mwan
@volderbnbyjuka4906
2 жыл бұрын
@@kleofacejerome9025 ah
Balaaaa zitoooo😂😂😂😂🤙
Anajua sana 😂😹
Katisha sana 💯
Kwa akili ya kawaida leo ulitetemeka!!
Nakubl hautumii nguvuu kwanz😂😂😂
@theafricanprincevivecongo8632
2 жыл бұрын
Yeah
NAWAKUBALIII sanaaaa wote kutoka Kenya
Jamaa anajua sana
Huyu jamaa anajua anahasira san na huu mchezo
💥💥💖💖 GOOD WORK 💋
Huyu ni fire watu wanacheka balaa sio yule jamaa joemaster mbwembwe nyiiiingi
@jescaprojest7262
2 жыл бұрын
Nampenda Sana Joel master
Huyu jamaa@leonardo Mungu Baba ampe maisha marefu...anafanya ya wengi ya marefu
First view
@geoffreykirway9367
2 жыл бұрын
First viewer sio view
Comedian ya Leonardo ni ya kufikirika sana
Leonardo 🔥
Comedy + shule = Fireeeeee......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Big up broo
Eliud mpango mzima
@denicnyalusi2986
2 жыл бұрын
Eliud baba yao anawakarisha wote humu cheka 2
@ibrahimsadick6137
2 жыл бұрын
Eliud Fundi
Jamaa 😂😂umekuja moto
@malaikamushi2417
2 жыл бұрын
Bigapi sana 🤝
Imekaa poa sana
Huyu jamaa anajua kutumia akili sana
Mm leonardo nishabik wko wakwanza yaan km siww nisingepoteza mda kuwaangalia awo wengne nakukubali sana yaan sichoshwi na vitu vyako dah Allah azid kukusimamia kaza but uzid zaid nakukubal sn
Mnajuwa Sanaaa 👊👊👊
Joel Masta auawezi uu moto jamaa atumii nguvu uyu utacheka tuu na usipocheka ukapimwe mbavu utakua na matatizo.
Wakuu tunaomba spot zenu katika kikundi chetu cha sirori simba movie talents 🙏🙏🙏🙏🙏
Ur the best leo...said said whre a u brothr
King of young generation in stand up comedy 🎭
@VintanMfaume
Жыл бұрын
5 to m
Leo umetokotesha,INAONEKANA Kweli umepanic na millioni kumi na kiwanja but, 50 enough for you.
Leonardo 👏👏👏👏
See you at the top man
Leo ame underperfom 50/100
@chief2177
2 жыл бұрын
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
@chief2177
2 жыл бұрын
Panda wewe kwa jukwaa watu wakuskize
@mararegiononline3457
2 жыл бұрын
Kabisaaaaaaa, Perfomance ya leo kawaida saanaaaaaaaaa
@josephmeshack3147
2 жыл бұрын
Absolutely..yule headmaster yuko form
@joelteti1464
2 жыл бұрын
Nikweli
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 💥🇹🇿🇰🇪💥*
@truthspeaker2405
2 жыл бұрын
umejitahidi
Tatizo storylines za standup comedians wetu huwa sio consistent. Mambo mengi wakati mmoja, vitu kibao wakati mmoja bila muunganiko. Kuchekesha kunawezekana kwenye story moja tu yenye vituko vingi ndani yake...
@alphoncemnyambwa9720
2 жыл бұрын
Sure
@jimsonndelwa9935
6 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@CharlesRutandula
3 ай бұрын
Si uchekeshe na wewe kwani lazima afanye yeyee
@jamalally6280
12 күн бұрын
Nmekupat as a future stand up comedy I will deal with it bro
Nzuri bro
Smart sana
Anafel kuish na attention za watu, a real comedian , every step every move is a laughter pia ni unpredictable wapi utacheka, but ana fail ku maintain interval iko very regular audience washamsoma wapi watacheka wapi hawatocheka, kimsingi anaenda kuboa, ajifunze kwa Mpoki au Basket Mouth..All in all ako na something extra.. akizingatia ni mtu hatari sana coz comedy yake imekomaa sio ya kitoto
@allyismail455
2 жыл бұрын
Sure...
@BsekoMimi
2 жыл бұрын
Yeah
Kawaida sana leo
Jamn @leonardo n anajua sanaaaa
😂😂Well Done 😂😂nakubali Sana Man
Huyu jamaa anajua asee...comedy yake ina IQ kubwa mnaemponda sijui mnampondea nini kwangu mm ni 90/100
@samaduabdallah9476
2 жыл бұрын
upo sahihi kabisa. Dogo yupo vizuri sana ana contents nyingi anajitahidi
Nitumie number yko Leonard kuna issue ntaka kukuulizia plz
Uwiii🔥🔥🙌
Daahh umeuaaaaa
Good work...
Amazing
🤨🤨🤨daaaa kucheka kipajii aiseee mm najaribu lakini waapiii
Hongeraaaa Sana pull up
Bongo comedy tunajitahidi Ila vistory vyetu viko short short hakuna story muendelezo...mada kipisi,kipisi inaangukia kwengineko
Hakika kaka yetu uko safiii
Leonardo kichwa sana 👏
Mnyama kbsa Leonardo
Somehow work hard broooo😓😓
😢HAKUNA MUNGU WA DUNIAN ACHA KUPOTOSHA WATU WAZIMA. SOMA DINI KIJANA. MUNGU NI MMOJA TUUUUU HANA MSHIRIKA ,HAJAZAA NA WALA HAJAZALIWA NA HAFANANI NA KITU WALA KIUMBE CHOCHOTE.
@godygcgranty8243
Ай бұрын
wewe ndo usome vizuri bible
Umetisha kaka
Morogoro stand up....!
Aa yego wimanyile sana go
Huyu mshikaji anajua mpeni sifa zake
🙌🙌👏
Dogo Kawa wa Moro tena Leo uko chini ya kiwango , ila kaka una comedy Safi Sana sio wale wengine wanajichetua Sana.
mbna kam milion 10 zmekosewa kuenda kwke
@gdozenbless6955
2 жыл бұрын
Sure dzain kama kapoa hii show... Tofauti na kwenye mashindano
@jozmikeofficial5347
2 жыл бұрын
Apana ata haija kosewa kak
@einsteinmandilindi7396
2 жыл бұрын
Kapoa nn sasa mshkaji wa motto hivyo
@gdozenbless6955
2 жыл бұрын
@@einsteinmandilindi7396 ni kwa mtazamo wangu tu, alianza vizur katikati akapoa kisha naona akamaliza pia vizur... Ila kwenye mashindano jamaa alikuwa anakiwasha mwanzo mwisho ni vibe tu, na ukitaka kuamini kuwa alipoa angalia tu watazamaji kama nao walikuwa wametulia ila yote kwa yote mwamba ni mkali, na he deserve hongera zote
@donaldtadeodontado9991
2 жыл бұрын
Roho mbaya .......chuki ....wivu....uchawii Ndio vinakusumbua TU
Leo km hauko poa shenziii😂😂😂
Anajua mnoo
Uyu jamaa ndio comedy bola tanzania
Talented
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️
100%❤❤❤❤
❤❤❤🇹🇿
ubatizo wa moto
Noma xanaa kijan
💝