Rais Samia: Mnashuhudia ninavyotukanwa, 'mpuuzi, huyu bibi' lakini najigeuza chura, sisikii

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 240

  • @user-ve9sb4lz3u
    @user-ve9sb4lz3u27 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uweza wa kusoma mioyo ya wanadamu na kuelewa kilichomo. Binafsi yangu namuombea Rais Samia hekima na afya njema. Aliposema kazi iendelee hakika alikuwa amedhamiria. Kazi inaendelea.

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht

    @ARNOLDKARISA-fs3ht

    27 күн бұрын

    amiin

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    24 күн бұрын

    Amiin amiin ya Rabialamin

  • @RamaMbwambo-ru8ym
    @RamaMbwambo-ru8ym28 күн бұрын

    Excellent mama...piga KAZI. .....MAJUNGU YAPO TU NA HUWA HAYANA MAANA YOYOTE...

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana627028 күн бұрын

    Hata aje nani kuongoza as long atakua anaongoza watu, watasema na sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary556727 күн бұрын

    Rais wangu pole sana. Uwezi kupendwa na wote lazima watatokea wa kukuchukia:cha msingi chapa kazi tu. ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @comics3437
    @comics343727 күн бұрын

    Huyu mama yuko vizuri sana

  • @faridaalwaily-hk4xf
    @faridaalwaily-hk4xf28 күн бұрын

    MashaAllaah MashaAllaah mama ni mamaa msikizeeeni mama haaauwiiiiiii huletaaa memaaa na mafukamanooo.kuishiiikwa uumojaaa na furahaaaa.

  • @naisonmhelela240
    @naisonmhelela24027 күн бұрын

    Congratulations mama🎉 Wenzetu majiran kenya wametuzid kiuchumi kwasababu ya aina hii ya uchumi unayoifanya ktk nch hii binafsi naona tumechelewa lakin kwa kas ulionayo mama hakika mwanga umelipa taifa hili la Tanzania. Mungu AKUONGOZE

  • @user-jn2qj5wf6c

    @user-jn2qj5wf6c

    27 күн бұрын

    Taja wametuzid kwenye nin mbona??

  • @user-eg6ec2mq3g
    @user-eg6ec2mq3g27 күн бұрын

    Huwezi kumfurahisha kila mtu fanya kazi rais wetu

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    27 күн бұрын

    Anafanya kazi gani ukweli utabaki pale pale rais tz alikuwa magufuli TU

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    27 күн бұрын

    Katika raisi atakaye ongoza miaka mingi ni samia

  • @salimali-rf9er

    @salimali-rf9er

    27 күн бұрын

    ​@@deogratiusyudatadei5658kwa kwako wewe tu

  • @erickgeneration

    @erickgeneration

    27 күн бұрын

    ​@@deogratiusyudatadei5658 ata huyo naye alikua anatukanwa,dunia hii ata uwe unamlipa mtu pesa bila kufanya kazi atakusema vbaya tu kamwe usije ukatenda wema utegemee ulipwe mazuri,tenda kwasababu ya wenye uhitaji,usitegemee fadhila mpendwa,

  • @alzawahirabdallah2299

    @alzawahirabdallah2299

    18 күн бұрын

    @@deogratiusyudatadei5658 asokuwepo na lake halipo

  • @user-iy4yg4sg6l
    @user-iy4yg4sg6l28 күн бұрын

    Hongera sana mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama yetu na Boss wangu mkuu kwa kazi nzuri sisi tupo pamoja na ww usijali wala usipate hasira ukaanza kujibizana nao tupo nyuma yako tutapambana mpaka mwisho

  • @thomsanga7956

    @thomsanga7956

    27 күн бұрын

    Utaoelewa babu

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    27 күн бұрын

    @@thomsanga7956Mgala FANYA kazi wacha KUBWEKA 😢😢😢😢😢

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    27 күн бұрын

    @@thomsanga7956 kama ulivyoolewa wewe

  • @user-ow9gy1if6b
    @user-ow9gy1if6b28 күн бұрын

    Wallah nimecheka 😂😂😂😂 asante mama chura😂

  • @felisteronesmo3091

    @felisteronesmo3091

    27 күн бұрын

    Apo apo kwenye mwanamke chura ..

  • @AlliyMohamedAlliy

    @AlliyMohamedAlliy

    27 күн бұрын

    🤦‍♂️mama chura😂

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Chura 😂😂 katika ubora wake, piga pesa mama waache wapige kelele na njaa zao 😂😂😂😂

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru914027 күн бұрын

    Hamna kitu apo unajifariji tu

  • @user-pn4gt7wf8y
    @user-pn4gt7wf8y27 күн бұрын

    Raisi wangu

  • @madreks253
    @madreks25327 күн бұрын

    Acha kudanganya wa Tanzania...wizi umejaa bila nidhamu...macho yanaonyesha ukweli....iko siku wote mafisadi mtalipa kwa uovu wenu...

  • @NdageKitahama

    @NdageKitahama

    27 күн бұрын

    Hao mafisadi mbona hawakamatwi lipot ya CAG hatujaona waliohusika na huo ubadhilifu wa pesa za umma wakichukuliwa hatua

  • @samorajama8833
    @samorajama883327 күн бұрын

    MAAA SHAAA ALLLAAAH TABAARAKA LLAAHU MAMA YANGU HATA KAMA HUJANIZAA MAMA WA MWENZANGU NI MAMA YANGU NNAMUOMBA ALLAAH AKUHIFADHI NA HUSDA NA MAHASIDI.

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo630227 күн бұрын

    Mbona Magufuli alikuwa anasifiwa na wananchi Halafu maendeleo mengi yalionekana na alikuwa anahangaika kukusanya mapato ya ndani 😢😢

  • @IbnuAlly-wm8il

    @IbnuAlly-wm8il

    27 күн бұрын

    Ni ubaguzi tu

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana65027 күн бұрын

    hutukanwi wanakwambia mapufu yako kubali kuambiwa ukweli

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa530627 күн бұрын

    Pole Mama Samia. Kazi yako ni nzuri. Mimi siambiwi kitu juu yako. Umetutetea wanyonge. "MSADA WA MAMA SAMIA SHERIA" umetuletea hivi ni nani km mama SAMIA. Mungu akulinde.

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j26 күн бұрын

    Mh rais tenda wema usisubiri shukuran, kwa hakika wema huiishi milele, Mungu akuongoze yaliyo ya heri kwa taifa letu, ameen...

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda255427 күн бұрын

    Mm namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hasani.

  • @rashidiiddi2433

    @rashidiiddi2433

    27 күн бұрын

    Ikiwezekana muunge hata mguu

  • @user-tn4ny3ii2t
    @user-tn4ny3ii2t27 күн бұрын

    Duu Leo mutanisamee kwasababu huyumama nimuongo wanaofulahia uongoziwake nimatajili ila sisi wenyehaliyachini hatuwezikumuelewa kwasababu hatujali

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    27 күн бұрын

    Unataka akufanyie nn kijana hebu pambana bd nafasi unayo

  • @user-tn4ny3ii2t

    @user-tn4ny3ii2t

    27 күн бұрын

    @@KassimAlly-xp4dz kupambana napamban ila hatusamini sisi wenyehaliyachini ivi ulishawai kufika kalume na boma uone machinga anavopigwa nakunyang'anywa vitu kitu amba malehem mh magufuli akikataa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Mama yeye na matajiri na hao machawa wake walala hoi hawajari. TRA kutwa kwenye viduka Kwa matajiri ambao ni vitega uchumi WA viongozi WA mama hawagusi, ndo tofauti yake na Magu angalau alipenda watu WA chini wawe na kitu

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    27 күн бұрын

    mfano tukikwita useme alichokuongopea utasema? unamwita Rais wa nchi muongo? unahisi huwezi kufikiwa ulipo??

  • @user-tn4ny3ii2t

    @user-tn4ny3ii2t

    27 күн бұрын

    @@user-nq4md3sj6d ndiyo nitasema kwasababu nilichokiongea Nina uhakika nacho

  • @silverman6930
    @silverman693027 күн бұрын

    Makonda hoyeee… those who started talking trash 🗑️

  • @allymohamed4764

    @allymohamed4764

    27 күн бұрын

    Makonda kafanyeje kaka

  • @reginas1832
    @reginas183227 күн бұрын

    Hatukupa kazi ya kuuza rasilimali zetu

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    27 күн бұрын

    2lia ww

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Mpaka aondoke kazi ipo, shamba la bibi 😂😂😂

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora18927 күн бұрын

    Mama ukitukanwa ujue Kuna shida

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar198327 күн бұрын

    Pole Mama hao wanakubeza watoto wakikua wataacha, Allah (SWT) ndo pekee anayejua dhamira uliyonayo ndani ya moyo wako kwa maslahi ya Nchi yetu.

  • @jacksule7557
    @jacksule755727 күн бұрын

    Wasukuma kibao wanyakyusa wakurya wachaga waha et tumekosa mwanaume mpk tunaongozwa na dem wa kipemba

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    27 күн бұрын

    Jitokeze ugombee uongoze

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo78028 күн бұрын

    Mama mbolea ya Ruzuku bado bei siyo rafiki kwa Wakulima, ila tunashukuri kwa kuwepo mbolea ya Ruzu

  • @ShaibMohammed-lg5sk
    @ShaibMohammed-lg5sk27 күн бұрын

    Wao mama

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo694026 күн бұрын

    Very good mama nimependa hi ndo inatakiwa 💪💪💪

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy736027 күн бұрын

    Well done Madame laugh Presidaar 😅😅😅😅😅 Komaa kama kisiki mpingo

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Madame Chura 😂😂

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga950925 күн бұрын

    mama bila katiba bila kushughulikia mafisadi Asee itakua kazi kubwa sana ccm kuiludsha madarakani haki haifai

  • @harrywarren61
    @harrywarren6127 күн бұрын

    Rais Samia Mimi ni mtu wa kwanza Kukusema tena sana tena sana tena sana SI kwa ubaya ila kwa maendeleo ya uchumi SI nzuri lakini nimestuka kwa neno umelisema humu nguru naona kama Imani inaniludi kwako ila Hawa nguru ufanye kwa vitendo Yani hapo nitakukupongeza zaidi sana😂maana wamezidi sana uwapunguze wanakudondosha ufatiliaji ni muhimu sana hongera sana rais wangu

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    27 күн бұрын

    Mbona huyu mama hana tabu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Kasema eti wasimkanyagie uchumi wake wakati wanajua wanakula hela za nchi kila kukicha? Watu sasa wanakula kama serikali yao, ona madudu anayoyaibua Makonda si ndo hiyo miradi yake au? Aongeze ukali au yeye mwenyewe aache Kula ili nao wasile 😂

  • @MayalakusekwaNkwabi

    @MayalakusekwaNkwabi

    27 күн бұрын

    Umaskini na Ujinga unaongezeka kwa mifumo yenu mibovu iliyojaa dhuluma, rushwa, ufisadi, wizi na udalali wa Rasilimali zetu , mitandao ya WIZI inayohamisha Pesa zetu nakuzificha Nje hawakamatwi mnawalinda, acheni UONGO Nchi imewashinda , Mnakopa kopa ovyo huku PESA nyingi zinaibiwa Maisha ya Watanzania ni shida ,Bunge limejaa CCM wanapitisha mikataba mibovu, Tozo na utitiri wa kodi bila kujali kipato cha mtanzania wa chini acheni sifa za kipumbavu tendeni HAKI kwa Watanzania acheni POROJO zenu .

  • @user-to4mj3di9m
    @user-to4mj3di9m27 күн бұрын

    #Mama wa manakasa❤ from Kenya

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki547826 күн бұрын

    Mungu yupo halali

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb27 күн бұрын

    Mama uko vzuri sema watumishi wako sio wazalendo hao ndio wanaokuangusha, wanaokifanya chama chetu CCM kinaonekana hakina maana. Tunamshukuru Mungu umeleta kiongozi mahiri na mtenda kazi yaan mzalendo kama Mh. Paul makonda. Hao ambao wanakanyaga uchumi(nguru) wako mama piga chini tuu

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Anashindwa kuwa mkali na hao watendaji wake au ni vile wanajua na yeye ni mpigaji? Ninacho sikitika ni pale tra wanavyo wasumbua wenye biashara ndogo ndogo na kuwaacha mapapa na pale mama anapowasaidia wenye kupato hawaangalii WA Hali ya chini

  • @iam_deo
    @iam_deo27 күн бұрын

    100% kama wakifuata itasaidia sana sana. Lakini ungetoa wazee wote hao ( maana wamefikia ukingo wa mawazo positive), kwenye hizo bodi na management nakuhakikishia utafanikiwa Your Excellence

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Si mpaka ....

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m27 күн бұрын

    Wewe pia mwizi una mana wewe sio raia

  • @mcback4384
    @mcback438427 күн бұрын

    Kumbe inauma kutukanwa, ulikua unaenjoy sana Magufuli alivyokua akitukanwa ndio maana ulivyoenda marekani ukapiga picture kabisa na Mange

  • @MwanakomboNassor-bw3by

    @MwanakomboNassor-bw3by

    27 күн бұрын

    Hebu mtukane mama yako alafu muulize kama anasikia raha

  • @mcback4384

    @mcback4384

    27 күн бұрын

    @@MwanakomboNassor-bw3by yeye alivyokua akifurahia magufuli akitukanwa na kina mange hakujua magufuli ni baba na mume wa mtu ambae nae familia yake inaumia matusi mange aliokua akimtukana? Muache nae ayaoge sababu alijiona yeye ni mkamilifu

  • @eddedd5453
    @eddedd545327 күн бұрын

    Pmoja sana piga kazi mama

  • @muxfilmproduct
    @muxfilmproduct27 күн бұрын

    MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KelvinAlfred-rc1hq
    @KelvinAlfred-rc1hq27 күн бұрын

    Rais wangu ni makondà

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Bora ana uchungu na nchi na anaangalia WA Hali ya chini

  • @EstherYoram
    @EstherYoram28 күн бұрын

    hiyo ndio siasa dr samia raisi wetu

  • @raphaelkessy7360

    @raphaelkessy7360

    28 күн бұрын

    Cvvvvv wvvcvvc cc

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie27 күн бұрын

    Mama, mageuz ya kiuchumi yanatokea endapo unaunza sana, sio kukopa sana. Mama kwenye mikopo hapo sikuungi mkono

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    27 күн бұрын

    Ili uwe na uchumi bora lazima ukope haswa mikopo itakayo lipwa mbeleni na riba yake ndogo

  • @OscarAsukenie

    @OscarAsukenie

    27 күн бұрын

    @@KassimAlly-xp4dz nipe mifano ya nchi 10 tu ambayo imeendelea kwa kukopa

  • @dassustephen731
    @dassustephen73127 күн бұрын

    When you are head of state you have no control over noises made by your detractors or critics.I watch American media in which some critics hurl vituperative or excoriating remarks against officials in Washington sometimes describing them as fools,dunderheads or morons. Criticisms no matter how ugly it is can help leaders to improve on how they govern the state.I think it s wise to allow your critics speak their minds rather than suppressing them.That is true democracy. Mama should continue working hard for good of his Country And shouldn't ignore criticisms from some country folks.

  • @hoseaissangya5201
    @hoseaissangya520127 күн бұрын

    Nakubali mama

  • @malkavoice2570
    @malkavoice257028 күн бұрын

    Anajua makosa yake na anaijua kinga yake ndiomana anajiamini vile

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru914027 күн бұрын

    Zaman ulijigeza rambo sasahv umekuw chura nenda kajiunge adija kopa mama wa mipasho ili muwe weng

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u28 күн бұрын

    Hongera sana mama kwa juhudi kubwa unazozifanya kuinua uchumi ndani ya taifa letu. Mungu akutie nguvu.

  • @samniza1763

    @samniza1763

    27 күн бұрын

    Uchumi, Mimi nipo hapa na enjoy £1 almost 4000? Kazi na iendelee shikilia hapo hapo na sisi tucheze na forex.

  • @mwessamkala8051
    @mwessamkala805127 күн бұрын

    Nonsense

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa425228 күн бұрын

    Huyu atakuja kufunga labda afe ngoja apatikane mwanaume

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei565827 күн бұрын

    Ukikopa ww mama inatosha usiambukize utumwa kwa nguvu

  • @atutweve4160
    @atutweve416028 күн бұрын

    SAUTI YA MAMA KIDOGO LEO INA MAMLAKA KIDOGO KAJITAHIDI KUGOMBA 🤣🤣🤣🤣

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    27 күн бұрын

    Huyu ni mama

  • @danymak5800
    @danymak580027 күн бұрын

    Nampenda sana huyu mama Samia. Despite insults from Mange, mama wewe Chapa kazi. Ulichaguliwa na WaTZ kwani Iko nini!!!

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq28 күн бұрын

    Mm hawa hawasiki dawa nikuwa piga supana za makonda miradi wanavurunda ww watembelee kwenye halmashauri zao uone niuozo mtu mafisadi humo wengi

  • @dandara008
    @dandara00827 күн бұрын

    Haha kazi imekushinda mamaetu kubali tu yaishe 😅

  • @rahplenyengerahplenyenge722
    @rahplenyengerahplenyenge72227 күн бұрын

    Mama uyu nimujinga sana avayi kuwa kiongisi waichi

  • @user-kb6pz9dk8n
    @user-kb6pz9dk8n27 күн бұрын

    Utatoka utake usitake usituletee misemo ya ki Zanzibar huku ni bara

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    27 күн бұрын

    Hii ni Tanzania yeye ni Rais wa Tanzania.

  • @user-kb6pz9dk8n

    @user-kb6pz9dk8n

    27 күн бұрын

    @@hajihassan5433 nani alimpigia kura? aliwekwa na katiba ya kijinga wa Tanzania sasa wameelewa madudu yake atatoka iwe kwa kheri au kwa shari

  • @MkamiSamweli
    @MkamiSamweli28 күн бұрын

    Bora wali tembele kuliko wali mwengu mama

  • @abuusalum928

    @abuusalum928

    28 күн бұрын

    😂

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    27 күн бұрын

    Utaka mtaji kwanguvu hamla lolote unafki tu

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official27 күн бұрын

    Lakini si ulisikia ndio maana unajibu Mama. Piga jazi tu mama,lakini kuwa makini mama hao wanaokupigia makofi ndio watakuja kuwa wasaliti wako

  • @user-hu8ke4gx1j
    @user-hu8ke4gx1j28 күн бұрын

    MAKONDA ANGEKUSAIDA KIUTAWALA MPE UWEZO ZAIDI NA ULINZI

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    27 күн бұрын

    umeongea vyema

  • @sponsor7882
    @sponsor788227 күн бұрын

    huyu mama mtamuelewa baadaye tatizo wabongo akili ndogo

  • @fedyaalzadjali8597

    @fedyaalzadjali8597

    27 күн бұрын

    Kabisa

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Akili ndogo ni zako huna macho wala husikii. Bandari hao waarabu wako busy kusafirisha wanyama wetu, Makonda kila siku anaona madudu ya miradi ya mama, hela nyingi, mikopo kibao lakini usimamizi ziro na vile na yeye kaamua kula ndo basi tena ...... 🐸🐸🐸🐸🐸

  • @Castory-ri9hd

    @Castory-ri9hd

    23 күн бұрын

    Bado mtoto ww ukikua utaacha bado akili yako hajakua kwanza hujui chochote chunga mdomo sana

  • @user-qk3jr8pj9j
    @user-qk3jr8pj9j27 күн бұрын

    Hakuna kama jpm

  • @wanzakleruu8648
    @wanzakleruu864828 күн бұрын

    Braza Sky nlijua utaruka na hii😊😊

  • @samniza1763

    @samniza1763

    27 күн бұрын

    Si ndio wanaogopa kufungiwa radio zao.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo582727 күн бұрын

    Mmh

  • @DeusAloyce
    @DeusAloyce27 күн бұрын

    Mama nimekuelewa piga kazi usijali rais wangu tuko pamoja na wewe

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Iko au tupo

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe81427 күн бұрын

    Kumbe tunavyo lalamika mnaiba pesa kwenye nchi, wewe unaziba masikio

  • @NdageKitahama

    @NdageKitahama

    27 күн бұрын

    Mama ufisadi umezidi cc wananchi wanalipa Kodi mafisadi wanazichota shida iko hapo tunalalamika wezi wa pesa za umma hawakamatwi lipot ya CAG mpaka Leo hatujaona waliotajwa wakichukuliwa hatua Kali

  • @abdimustafa220
    @abdimustafa22027 күн бұрын

    Tunakupa miaka 5 ya kukupima Imani yako sisi wanao utampendelea yupi au utatulea sawa bila ya kusikiliza manung'uniko yetu?, ukitulie vizuri hiyo mitano tunakupa mitano tena iwe n8 haki na lulu ya uwongozi wa TANZANIA. MAMA NI MAMA HATA AKISEMWA NI MAMA HATA AKIANDAMWA NA LAWAMA NI MAMA ule msemo wa rikwama ni kwa zile zama.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv28 күн бұрын

    Tupo kimasilai zaid kama hutaki andamana

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq27 күн бұрын

    Hakuna kiongozi au raisi asie sema hata mjomba magu wapo waliomsema na kumpinga mama piga kazi ila tunapoona si sahihi Wacha tuseme tu😂😂 🙌😂🙌

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76327 күн бұрын

    Mama mola akulinde uhudumu kwa amani na wale wasiokukubali kwa wivu tu mola awashinde

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman547728 күн бұрын

    Swsw mam 🙏🤲

  • @user-iy4yg4sg6l
    @user-iy4yg4sg6l28 күн бұрын

    Pole sana mama yetu pambana hao wanao kuangusha na kusababisha utukanwe kula vichwa

  • @ce-08

    @ce-08

    27 күн бұрын

    Mmmh angekuwa kala vchwa mda huenda sababu uchaguzi upo mbele ndyo maana hiv

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu985028 күн бұрын

    Makonda hapo sawa mama

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga956628 күн бұрын

    Lakini maoni mengine ni muhimu kuyafanyia kazi na si makelele ya kudharaulika

  • @user-pw9ir4fg7x
    @user-pw9ir4fg7x27 күн бұрын

    Hapo wanakua kam wanakuskua kumbe hamna kitu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km27 күн бұрын

    Huna lolote wewe maneno tu

  • @frocoissango8973
    @frocoissango897327 күн бұрын

    Simlisema amta zugumzia ya ndani kwanini sasa umeyaweka apa? Wekeni na yavyama vigine sasa lasivyo SNS mna ubaguzi wa kivyama

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Waoga kwani hujui Mama kawashika waandishi na celebrities kama Wana music na waigizaji? Umeshawahi ona negativities yoyote magazetini au radio? Watangazaji wote machawa wake😂! Simshangai sns

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    27 күн бұрын

    huyu ni RAIS wa nchi na Amiri jeshi mkuu wa Tanzania..

  • @frocoissango8973

    @frocoissango8973

    27 күн бұрын

    Anachama au? Kahuli waliyo itowa SNS walitutamkiya wenyewe eti atutakuja tuzugumziye ya ndani icho ndo tunacho fuhata kama vipi wateguwe kahuli basi

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    26 күн бұрын

    @@user-nq4md3sj6d Kwa hiyo?

  • @ShedrackFchirstian-vp1bn
    @ShedrackFchirstian-vp1bn25 күн бұрын

    Umeuza mali zote unataka mageuzi gani, ogea make una ulinzi et uchumi wangu

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly568627 күн бұрын

    Uyu mama nimstarabu😮😂 avumilie tu matusi ya mange😅

  • @martinkisha6307
    @martinkisha630727 күн бұрын

    Mama wakikosa hao wa kukukosoa utajisahau punguza tozo umeme ushuke bei ya kuvuta iwe kama Magufuli 😊

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl27 күн бұрын

    mama nakupenda bure laisi wangu mpendwa

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji27 күн бұрын

    SSH ❤🇹🇿🇹🇿

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u27 күн бұрын

    Mama kwenye suala la mafao kwa watumishi wa umma usiwahurumie wanaokuangusha. Malalamiko ni mengi. Wanaotumia madaraka vibaya wakae pembeni. CCM daima.

  • @EmmanuelLupoja

    @EmmanuelLupoja

    27 күн бұрын

    Sahau

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    27 күн бұрын

    Hivi umesikiliza hicho kipande vizuri au unashadadia ujinga tu nanjaa zenu😏

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li25 күн бұрын

    Mm

  • @erickmshoboth4705
    @erickmshoboth470527 күн бұрын

    We mama chura hospital za serikali kichefu chefu na madoctor wamekuwa vyura

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo27 күн бұрын

    Tundu lissu niko pale nimekaa...

  • @user-gh3zf4ow4c

    @user-gh3zf4ow4c

    27 күн бұрын

    umekaa unafanyaje

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi412227 күн бұрын

    Mama mimi binafsi na kuelewa piga kazi tusonge mbele nipo pamoja nawe sina gubu umenifraisha kwa kazi zako

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743827 күн бұрын

    Mama Samantha sisi Wajane hatupati kwa wakati pesheni za waume tunakwenda kila aiku tunapigwa tarehe njoo kesho imezidi mpaka tunaanguka kwenye ngazi mjini Hazina

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel615327 күн бұрын

    Matako uko kazi gani unafanya

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji27 күн бұрын

    Viongozi wote duniani ni kawaida wala usijali sababu huwezi pendwa na wote tena nchi za wenzetu ndio matusi hasaa

  • @evelina9621
    @evelina962124 күн бұрын

    Mama.etu.sikia..kilio. cha.wstu Msovu..wanayoyanya.mamba.wasikiloze Mungu.snssikis.maombi.wenyehski.wakiomba.kwa.bidii

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76327 күн бұрын

    Mama samiya tunakuunga mkono mama mola akulinde afya njema hekima busara vyote mola akuruzuku

  • @surusuru1994
    @surusuru199427 күн бұрын

    😂😂❤❤

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl27 күн бұрын

    Kumbe munachambuwa Hadiyahuko Tanzaniya? Endeleyeni Atahuku KENYA.

  • @evelina9621
    @evelina962127 күн бұрын

    Pesa.ipo.mbona.mishara.Hapandishi

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe345127 күн бұрын

    Hapa nimegundua nimwendo wakujigeuza chura .Hapa ofisini nitakuwa chura

  • @samniza1763
    @samniza176327 күн бұрын

    Serikali itakupa? Utakuwa replaced, aje wa kuja manage vizuri.

  • @piusmaduka
    @piusmaduka27 күн бұрын

    tatizo na ww mama ni mwepesi mno wa kushauriwa na kukubali, makonda anafanya vizuri lakn ww hueleweki na panga pangua yako hata kwa wanaokusaidia

  • @MsAggie5

    @MsAggie5

    27 күн бұрын

    Urais sio kazi ndogo, hauwezi ni vile kashanogewa na ulaji ndo basi tena

  • @evelina9621
    @evelina962127 күн бұрын

    Mam.ongea.pointi.kama.raisi.kemea.maovu.usafiri.punguza.watu.wafurahi.asante.mama

  • @mudrickkisinda1515
    @mudrickkisinda151528 күн бұрын

    Yeye mwenywe Kuna siku alisema watu wanachuma sana matumboni ndio maana watu wanakusema kwann unawacha hao watu

  • @Lejinachalessi
    @Lejinachalessi17 күн бұрын

    Kwel😂

Келесі