Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uweza wa kusoma mioyo ya wanadamu na kuelewa kilichomo. Binafsi yangu namuombea Rais Samia hekima na afya njema. Aliposema kazi iendelee hakika alikuwa amedhamiria. Kazi inaendelea.
@ARNOLDKARISA-fs3ht
27 күн бұрын
amiin
@hadijamandanje6189
24 күн бұрын
Amiin amiin ya Rabialamin
@RamaMbwambo-ru8ym28 күн бұрын
Excellent mama...piga KAZI. .....MAJUNGU YAPO TU NA HUWA HAYANA MAANA YOYOTE...
@barrynzeyimana627028 күн бұрын
Hata aje nani kuongoza as long atakua anaongoza watu, watasema na sana
@aminaomary556727 күн бұрын
Rais wangu pole sana. Uwezi kupendwa na wote lazima watatokea wa kukuchukia:cha msingi chapa kazi tu. ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@comics343727 күн бұрын
Huyu mama yuko vizuri sana
@faridaalwaily-hk4xf28 күн бұрын
MashaAllaah MashaAllaah mama ni mamaa msikizeeeni mama haaauwiiiiiii huletaaa memaaa na mafukamanooo.kuishiiikwa uumojaaa na furahaaaa.
@naisonmhelela24027 күн бұрын
Congratulations mama🎉 Wenzetu majiran kenya wametuzid kiuchumi kwasababu ya aina hii ya uchumi unayoifanya ktk nch hii binafsi naona tumechelewa lakin kwa kas ulionayo mama hakika mwanga umelipa taifa hili la Tanzania. Mungu AKUONGOZE
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Taja wametuzid kwenye nin mbona??
@user-eg6ec2mq3g27 күн бұрын
Huwezi kumfurahisha kila mtu fanya kazi rais wetu
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Anafanya kazi gani ukweli utabaki pale pale rais tz alikuwa magufuli TU
@alzawahirabdallah2299
27 күн бұрын
Katika raisi atakaye ongoza miaka mingi ni samia
@salimali-rf9er
27 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658kwa kwako wewe tu
@erickgeneration
27 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 ata huyo naye alikua anatukanwa,dunia hii ata uwe unamlipa mtu pesa bila kufanya kazi atakusema vbaya tu kamwe usije ukatenda wema utegemee ulipwe mazuri,tenda kwasababu ya wenye uhitaji,usitegemee fadhila mpendwa,
@alzawahirabdallah2299
18 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 asokuwepo na lake halipo
@user-iy4yg4sg6l28 күн бұрын
Hongera sana mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama yetu na Boss wangu mkuu kwa kazi nzuri sisi tupo pamoja na ww usijali wala usipate hasira ukaanza kujibizana nao tupo nyuma yako tutapambana mpaka mwisho
@thomsanga7956
27 күн бұрын
Utaoelewa babu
@OmmyJames-xn7ji
27 күн бұрын
@@thomsanga7956Mgala FANYA kazi wacha KUBWEKA 😢😢😢😢😢
@walidmgonja3644
27 күн бұрын
@@thomsanga7956 kama ulivyoolewa wewe
@user-ow9gy1if6b28 күн бұрын
Wallah nimecheka 😂😂😂😂 asante mama chura😂
@felisteronesmo3091
27 күн бұрын
Apo apo kwenye mwanamke chura ..
@AlliyMohamedAlliy
27 күн бұрын
🤦♂️mama chura😂
@MsAggie5
27 күн бұрын
Chura 😂😂 katika ubora wake, piga pesa mama waache wapige kelele na njaa zao 😂😂😂😂
@ponsianomnyaru914027 күн бұрын
Hamna kitu apo unajifariji tu
@user-pn4gt7wf8y27 күн бұрын
Raisi wangu
@madreks25327 күн бұрын
Acha kudanganya wa Tanzania...wizi umejaa bila nidhamu...macho yanaonyesha ukweli....iko siku wote mafisadi mtalipa kwa uovu wenu...
@NdageKitahama
27 күн бұрын
Hao mafisadi mbona hawakamatwi lipot ya CAG hatujaona waliohusika na huo ubadhilifu wa pesa za umma wakichukuliwa hatua
@samorajama883327 күн бұрын
MAAA SHAAA ALLLAAAH TABAARAKA LLAAHU MAMA YANGU HATA KAMA HUJANIZAA MAMA WA MWENZANGU NI MAMA YANGU NNAMUOMBA ALLAAH AKUHIFADHI NA HUSDA NA MAHASIDI.
@tausikiyabo630227 күн бұрын
Mbona Magufuli alikuwa anasifiwa na wananchi Halafu maendeleo mengi yalionekana na alikuwa anahangaika kukusanya mapato ya ndani 😢😢
Pole Mama Samia. Kazi yako ni nzuri. Mimi siambiwi kitu juu yako. Umetutetea wanyonge. "MSADA WA MAMA SAMIA SHERIA" umetuletea hivi ni nani km mama SAMIA. Mungu akulinde.
@user-ue2nz3vc4j26 күн бұрын
Mh rais tenda wema usisubiri shukuran, kwa hakika wema huiishi milele, Mungu akuongoze yaliyo ya heri kwa taifa letu, ameen...
@omarybakunda255427 күн бұрын
Mm namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hasani.
@rashidiiddi2433
27 күн бұрын
Ikiwezekana muunge hata mguu
@user-tn4ny3ii2t27 күн бұрын
Duu Leo mutanisamee kwasababu huyumama nimuongo wanaofulahia uongoziwake nimatajili ila sisi wenyehaliyachini hatuwezikumuelewa kwasababu hatujali
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Unataka akufanyie nn kijana hebu pambana bd nafasi unayo
@user-tn4ny3ii2t
27 күн бұрын
@@KassimAlly-xp4dz kupambana napamban ila hatusamini sisi wenyehaliyachini ivi ulishawai kufika kalume na boma uone machinga anavopigwa nakunyang'anywa vitu kitu amba malehem mh magufuli akikataa
@MsAggie5
27 күн бұрын
Mama yeye na matajiri na hao machawa wake walala hoi hawajari. TRA kutwa kwenye viduka Kwa matajiri ambao ni vitega uchumi WA viongozi WA mama hawagusi, ndo tofauti yake na Magu angalau alipenda watu WA chini wawe na kitu
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
mfano tukikwita useme alichokuongopea utasema? unamwita Rais wa nchi muongo? unahisi huwezi kufikiwa ulipo??
@user-tn4ny3ii2t
27 күн бұрын
@@user-nq4md3sj6d ndiyo nitasema kwasababu nilichokiongea Nina uhakika nacho
@silverman693027 күн бұрын
Makonda hoyeee… those who started talking trash 🗑️
@allymohamed4764
27 күн бұрын
Makonda kafanyeje kaka
@reginas183227 күн бұрын
Hatukupa kazi ya kuuza rasilimali zetu
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
2lia ww
@MsAggie5
27 күн бұрын
Mpaka aondoke kazi ipo, shamba la bibi 😂😂😂
@gracekaboigora18927 күн бұрын
Mama ukitukanwa ujue Kuna shida
@hilmialiomar198327 күн бұрын
Pole Mama hao wanakubeza watoto wakikua wataacha, Allah (SWT) ndo pekee anayejua dhamira uliyonayo ndani ya moyo wako kwa maslahi ya Nchi yetu.
@jacksule755727 күн бұрын
Wasukuma kibao wanyakyusa wakurya wachaga waha et tumekosa mwanaume mpk tunaongozwa na dem wa kipemba
@walidmgonja3644
27 күн бұрын
Jitokeze ugombee uongoze
@hemedmwipopo78028 күн бұрын
Mama mbolea ya Ruzuku bado bei siyo rafiki kwa Wakulima, ila tunashukuri kwa kuwepo mbolea ya Ruzu
@ShaibMohammed-lg5sk27 күн бұрын
Wao mama
@rashidlwengo694026 күн бұрын
Very good mama nimependa hi ndo inatakiwa 💪💪💪
@raphaelkessy736027 күн бұрын
Well done Madame laugh Presidaar 😅😅😅😅😅 Komaa kama kisiki mpingo
@MsAggie5
27 күн бұрын
Madame Chura 😂😂
@josephmkinga950925 күн бұрын
mama bila katiba bila kushughulikia mafisadi Asee itakua kazi kubwa sana ccm kuiludsha madarakani haki haifai
@harrywarren6127 күн бұрын
Rais Samia Mimi ni mtu wa kwanza Kukusema tena sana tena sana tena sana SI kwa ubaya ila kwa maendeleo ya uchumi SI nzuri lakini nimestuka kwa neno umelisema humu nguru naona kama Imani inaniludi kwako ila Hawa nguru ufanye kwa vitendo Yani hapo nitakukupongeza zaidi sana😂maana wamezidi sana uwapunguze wanakudondosha ufatiliaji ni muhimu sana hongera sana rais wangu
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Mbona huyu mama hana tabu
@MsAggie5
27 күн бұрын
Kasema eti wasimkanyagie uchumi wake wakati wanajua wanakula hela za nchi kila kukicha? Watu sasa wanakula kama serikali yao, ona madudu anayoyaibua Makonda si ndo hiyo miradi yake au? Aongeze ukali au yeye mwenyewe aache Kula ili nao wasile 😂
@MayalakusekwaNkwabi
27 күн бұрын
Umaskini na Ujinga unaongezeka kwa mifumo yenu mibovu iliyojaa dhuluma, rushwa, ufisadi, wizi na udalali wa Rasilimali zetu , mitandao ya WIZI inayohamisha Pesa zetu nakuzificha Nje hawakamatwi mnawalinda, acheni UONGO Nchi imewashinda , Mnakopa kopa ovyo huku PESA nyingi zinaibiwa Maisha ya Watanzania ni shida ,Bunge limejaa CCM wanapitisha mikataba mibovu, Tozo na utitiri wa kodi bila kujali kipato cha mtanzania wa chini acheni sifa za kipumbavu tendeni HAKI kwa Watanzania acheni POROJO zenu .
@user-to4mj3di9m27 күн бұрын
#Mama wa manakasa❤ from Kenya
@ntangiregemfuruki547826 күн бұрын
Mungu yupo halali
@AnthonySindabaha-de3xb27 күн бұрын
Mama uko vzuri sema watumishi wako sio wazalendo hao ndio wanaokuangusha, wanaokifanya chama chetu CCM kinaonekana hakina maana. Tunamshukuru Mungu umeleta kiongozi mahiri na mtenda kazi yaan mzalendo kama Mh. Paul makonda. Hao ambao wanakanyaga uchumi(nguru) wako mama piga chini tuu
@MsAggie5
27 күн бұрын
Anashindwa kuwa mkali na hao watendaji wake au ni vile wanajua na yeye ni mpigaji? Ninacho sikitika ni pale tra wanavyo wasumbua wenye biashara ndogo ndogo na kuwaacha mapapa na pale mama anapowasaidia wenye kupato hawaangalii WA Hali ya chini
@iam_deo27 күн бұрын
100% kama wakifuata itasaidia sana sana. Lakini ungetoa wazee wote hao ( maana wamefikia ukingo wa mawazo positive), kwenye hizo bodi na management nakuhakikishia utafanikiwa Your Excellence
@MsAggie5
27 күн бұрын
Si mpaka ....
@user-yr4pv2vj7m27 күн бұрын
Wewe pia mwizi una mana wewe sio raia
@mcback438427 күн бұрын
Kumbe inauma kutukanwa, ulikua unaenjoy sana Magufuli alivyokua akitukanwa ndio maana ulivyoenda marekani ukapiga picture kabisa na Mange
@MwanakomboNassor-bw3by
27 күн бұрын
Hebu mtukane mama yako alafu muulize kama anasikia raha
@mcback4384
27 күн бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by yeye alivyokua akifurahia magufuli akitukanwa na kina mange hakujua magufuli ni baba na mume wa mtu ambae nae familia yake inaumia matusi mange aliokua akimtukana? Muache nae ayaoge sababu alijiona yeye ni mkamilifu
@eddedd545327 күн бұрын
Pmoja sana piga kazi mama
@muxfilmproduct27 күн бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@KelvinAlfred-rc1hq27 күн бұрын
Rais wangu ni makondà
@MsAggie5
27 күн бұрын
Bora ana uchungu na nchi na anaangalia WA Hali ya chini
@EstherYoram28 күн бұрын
hiyo ndio siasa dr samia raisi wetu
@raphaelkessy7360
28 күн бұрын
Cvvvvv wvvcvvc cc
@OscarAsukenie27 күн бұрын
Mama, mageuz ya kiuchumi yanatokea endapo unaunza sana, sio kukopa sana. Mama kwenye mikopo hapo sikuungi mkono
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Ili uwe na uchumi bora lazima ukope haswa mikopo itakayo lipwa mbeleni na riba yake ndogo
@OscarAsukenie
27 күн бұрын
@@KassimAlly-xp4dz nipe mifano ya nchi 10 tu ambayo imeendelea kwa kukopa
@dassustephen73127 күн бұрын
When you are head of state you have no control over noises made by your detractors or critics.I watch American media in which some critics hurl vituperative or excoriating remarks against officials in Washington sometimes describing them as fools,dunderheads or morons. Criticisms no matter how ugly it is can help leaders to improve on how they govern the state.I think it s wise to allow your critics speak their minds rather than suppressing them.That is true democracy. Mama should continue working hard for good of his Country And shouldn't ignore criticisms from some country folks.
@hoseaissangya520127 күн бұрын
Nakubali mama
@malkavoice257028 күн бұрын
Anajua makosa yake na anaijua kinga yake ndiomana anajiamini vile
@ponsianomnyaru914027 күн бұрын
Zaman ulijigeza rambo sasahv umekuw chura nenda kajiunge adija kopa mama wa mipasho ili muwe weng
@user-qc9jf6rn7u28 күн бұрын
Hongera sana mama kwa juhudi kubwa unazozifanya kuinua uchumi ndani ya taifa letu. Mungu akutie nguvu.
@samniza1763
27 күн бұрын
Uchumi, Mimi nipo hapa na enjoy £1 almost 4000? Kazi na iendelee shikilia hapo hapo na sisi tucheze na forex.
Ukikopa ww mama inatosha usiambukize utumwa kwa nguvu
@atutweve416028 күн бұрын
SAUTI YA MAMA KIDOGO LEO INA MAMLAKA KIDOGO KAJITAHIDI KUGOMBA 🤣🤣🤣🤣
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Huyu ni mama
@danymak580027 күн бұрын
Nampenda sana huyu mama Samia. Despite insults from Mange, mama wewe Chapa kazi. Ulichaguliwa na WaTZ kwani Iko nini!!!
@FilbertKalembe-fy4oq28 күн бұрын
Mm hawa hawasiki dawa nikuwa piga supana za makonda miradi wanavurunda ww watembelee kwenye halmashauri zao uone niuozo mtu mafisadi humo wengi
@dandara00827 күн бұрын
Haha kazi imekushinda mamaetu kubali tu yaishe 😅
@rahplenyengerahplenyenge72227 күн бұрын
Mama uyu nimujinga sana avayi kuwa kiongisi waichi
@user-kb6pz9dk8n27 күн бұрын
Utatoka utake usitake usituletee misemo ya ki Zanzibar huku ni bara
@hajihassan5433
27 күн бұрын
Hii ni Tanzania yeye ni Rais wa Tanzania.
@user-kb6pz9dk8n
27 күн бұрын
@@hajihassan5433 nani alimpigia kura? aliwekwa na katiba ya kijinga wa Tanzania sasa wameelewa madudu yake atatoka iwe kwa kheri au kwa shari
@MkamiSamweli28 күн бұрын
Bora wali tembele kuliko wali mwengu mama
@abuusalum928
28 күн бұрын
😂
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Utaka mtaji kwanguvu hamla lolote unafki tu
@Mimi.Official27 күн бұрын
Lakini si ulisikia ndio maana unajibu Mama. Piga jazi tu mama,lakini kuwa makini mama hao wanaokupigia makofi ndio watakuja kuwa wasaliti wako
@user-hu8ke4gx1j28 күн бұрын
MAKONDA ANGEKUSAIDA KIUTAWALA MPE UWEZO ZAIDI NA ULINZI
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
umeongea vyema
@sponsor788227 күн бұрын
huyu mama mtamuelewa baadaye tatizo wabongo akili ndogo
@fedyaalzadjali8597
27 күн бұрын
Kabisa
@MsAggie5
27 күн бұрын
Akili ndogo ni zako huna macho wala husikii. Bandari hao waarabu wako busy kusafirisha wanyama wetu, Makonda kila siku anaona madudu ya miradi ya mama, hela nyingi, mikopo kibao lakini usimamizi ziro na vile na yeye kaamua kula ndo basi tena ...... 🐸🐸🐸🐸🐸
@Castory-ri9hd
23 күн бұрын
Bado mtoto ww ukikua utaacha bado akili yako hajakua kwanza hujui chochote chunga mdomo sana
@user-qk3jr8pj9j27 күн бұрын
Hakuna kama jpm
@wanzakleruu864828 күн бұрын
Braza Sky nlijua utaruka na hii😊😊
@samniza1763
27 күн бұрын
Si ndio wanaogopa kufungiwa radio zao.
@hildandumbalo582727 күн бұрын
Mmh
@DeusAloyce27 күн бұрын
Mama nimekuelewa piga kazi usijali rais wangu tuko pamoja na wewe
@MsAggie5
27 күн бұрын
Iko au tupo
@romanamassawe81427 күн бұрын
Kumbe tunavyo lalamika mnaiba pesa kwenye nchi, wewe unaziba masikio
@NdageKitahama
27 күн бұрын
Mama ufisadi umezidi cc wananchi wanalipa Kodi mafisadi wanazichota shida iko hapo tunalalamika wezi wa pesa za umma hawakamatwi lipot ya CAG mpaka Leo hatujaona waliotajwa wakichukuliwa hatua Kali
@abdimustafa22027 күн бұрын
Tunakupa miaka 5 ya kukupima Imani yako sisi wanao utampendelea yupi au utatulea sawa bila ya kusikiliza manung'uniko yetu?, ukitulie vizuri hiyo mitano tunakupa mitano tena iwe n8 haki na lulu ya uwongozi wa TANZANIA. MAMA NI MAMA HATA AKISEMWA NI MAMA HATA AKIANDAMWA NA LAWAMA NI MAMA ule msemo wa rikwama ni kwa zile zama.
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv28 күн бұрын
Tupo kimasilai zaid kama hutaki andamana
@mtulivu-ir1nq27 күн бұрын
Hakuna kiongozi au raisi asie sema hata mjomba magu wapo waliomsema na kumpinga mama piga kazi ila tunapoona si sahihi Wacha tuseme tu😂😂 🙌😂🙌
@roudhamahmoud76327 күн бұрын
Mama mola akulinde uhudumu kwa amani na wale wasiokukubali kwa wivu tu mola awashinde
@ebrahimosman547728 күн бұрын
Swsw mam 🙏🤲
@user-iy4yg4sg6l28 күн бұрын
Pole sana mama yetu pambana hao wanao kuangusha na kusababisha utukanwe kula vichwa
@ce-08
27 күн бұрын
Mmmh angekuwa kala vchwa mda huenda sababu uchaguzi upo mbele ndyo maana hiv
@stephenmsanzu985028 күн бұрын
Makonda hapo sawa mama
@hashimchaoga956628 күн бұрын
Lakini maoni mengine ni muhimu kuyafanyia kazi na si makelele ya kudharaulika
@user-pw9ir4fg7x27 күн бұрын
Hapo wanakua kam wanakuskua kumbe hamna kitu
@Chettymlambalipsi-lb9km27 күн бұрын
Huna lolote wewe maneno tu
@frocoissango897327 күн бұрын
Simlisema amta zugumzia ya ndani kwanini sasa umeyaweka apa? Wekeni na yavyama vigine sasa lasivyo SNS mna ubaguzi wa kivyama
@MsAggie5
27 күн бұрын
Waoga kwani hujui Mama kawashika waandishi na celebrities kama Wana music na waigizaji? Umeshawahi ona negativities yoyote magazetini au radio? Watangazaji wote machawa wake😂! Simshangai sns
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
huyu ni RAIS wa nchi na Amiri jeshi mkuu wa Tanzania..
@frocoissango8973
27 күн бұрын
Anachama au? Kahuli waliyo itowa SNS walitutamkiya wenyewe eti atutakuja tuzugumziye ya ndani icho ndo tunacho fuhata kama vipi wateguwe kahuli basi
@MsAggie5
26 күн бұрын
@@user-nq4md3sj6d Kwa hiyo?
@ShedrackFchirstian-vp1bn25 күн бұрын
Umeuza mali zote unataka mageuzi gani, ogea make una ulinzi et uchumi wangu
@khurlainashly568627 күн бұрын
Uyu mama nimstarabu😮😂 avumilie tu matusi ya mange😅
@martinkisha630727 күн бұрын
Mama wakikosa hao wa kukukosoa utajisahau punguza tozo umeme ushuke bei ya kuvuta iwe kama Magufuli 😊
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl27 күн бұрын
mama nakupenda bure laisi wangu mpendwa
@OmmyJames-xn7ji27 күн бұрын
SSH ❤🇹🇿🇹🇿
@user-qc9jf6rn7u27 күн бұрын
Mama kwenye suala la mafao kwa watumishi wa umma usiwahurumie wanaokuangusha. Malalamiko ni mengi. Wanaotumia madaraka vibaya wakae pembeni. CCM daima.
@EmmanuelLupoja
27 күн бұрын
Sahau
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Hivi umesikiliza hicho kipande vizuri au unashadadia ujinga tu nanjaa zenu😏
@AMENMUSHI-wt4li25 күн бұрын
Mm
@erickmshoboth470527 күн бұрын
We mama chura hospital za serikali kichefu chefu na madoctor wamekuwa vyura
@NoName-pp4lo27 күн бұрын
Tundu lissu niko pale nimekaa...
@user-gh3zf4ow4c
27 күн бұрын
umekaa unafanyaje
@jacksonngusi412227 күн бұрын
Mama mimi binafsi na kuelewa piga kazi tusonge mbele nipo pamoja nawe sina gubu umenifraisha kwa kazi zako
@margarethpolepole743827 күн бұрын
Mama Samantha sisi Wajane hatupati kwa wakati pesheni za waume tunakwenda kila aiku tunapigwa tarehe njoo kesho imezidi mpaka tunaanguka kwenye ngazi mjini Hazina
@deniccgabriel615327 күн бұрын
Matako uko kazi gani unafanya
@lailafakhihaji27 күн бұрын
Viongozi wote duniani ni kawaida wala usijali sababu huwezi pendwa na wote tena nchi za wenzetu ndio matusi hasaa
Пікірлер: 240
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uweza wa kusoma mioyo ya wanadamu na kuelewa kilichomo. Binafsi yangu namuombea Rais Samia hekima na afya njema. Aliposema kazi iendelee hakika alikuwa amedhamiria. Kazi inaendelea.
@ARNOLDKARISA-fs3ht
27 күн бұрын
amiin
@hadijamandanje6189
24 күн бұрын
Amiin amiin ya Rabialamin
Excellent mama...piga KAZI. .....MAJUNGU YAPO TU NA HUWA HAYANA MAANA YOYOTE...
Hata aje nani kuongoza as long atakua anaongoza watu, watasema na sana
Rais wangu pole sana. Uwezi kupendwa na wote lazima watatokea wa kukuchukia:cha msingi chapa kazi tu. ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu mama yuko vizuri sana
MashaAllaah MashaAllaah mama ni mamaa msikizeeeni mama haaauwiiiiiii huletaaa memaaa na mafukamanooo.kuishiiikwa uumojaaa na furahaaaa.
Congratulations mama🎉 Wenzetu majiran kenya wametuzid kiuchumi kwasababu ya aina hii ya uchumi unayoifanya ktk nch hii binafsi naona tumechelewa lakin kwa kas ulionayo mama hakika mwanga umelipa taifa hili la Tanzania. Mungu AKUONGOZE
@user-jn2qj5wf6c
27 күн бұрын
Taja wametuzid kwenye nin mbona??
Huwezi kumfurahisha kila mtu fanya kazi rais wetu
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Anafanya kazi gani ukweli utabaki pale pale rais tz alikuwa magufuli TU
@alzawahirabdallah2299
27 күн бұрын
Katika raisi atakaye ongoza miaka mingi ni samia
@salimali-rf9er
27 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658kwa kwako wewe tu
@erickgeneration
27 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 ata huyo naye alikua anatukanwa,dunia hii ata uwe unamlipa mtu pesa bila kufanya kazi atakusema vbaya tu kamwe usije ukatenda wema utegemee ulipwe mazuri,tenda kwasababu ya wenye uhitaji,usitegemee fadhila mpendwa,
@alzawahirabdallah2299
18 күн бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 asokuwepo na lake halipo
Hongera sana mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama yetu na Boss wangu mkuu kwa kazi nzuri sisi tupo pamoja na ww usijali wala usipate hasira ukaanza kujibizana nao tupo nyuma yako tutapambana mpaka mwisho
@thomsanga7956
27 күн бұрын
Utaoelewa babu
@OmmyJames-xn7ji
27 күн бұрын
@@thomsanga7956Mgala FANYA kazi wacha KUBWEKA 😢😢😢😢😢
@walidmgonja3644
27 күн бұрын
@@thomsanga7956 kama ulivyoolewa wewe
Wallah nimecheka 😂😂😂😂 asante mama chura😂
@felisteronesmo3091
27 күн бұрын
Apo apo kwenye mwanamke chura ..
@AlliyMohamedAlliy
27 күн бұрын
🤦♂️mama chura😂
@MsAggie5
27 күн бұрын
Chura 😂😂 katika ubora wake, piga pesa mama waache wapige kelele na njaa zao 😂😂😂😂
Hamna kitu apo unajifariji tu
Raisi wangu
Acha kudanganya wa Tanzania...wizi umejaa bila nidhamu...macho yanaonyesha ukweli....iko siku wote mafisadi mtalipa kwa uovu wenu...
@NdageKitahama
27 күн бұрын
Hao mafisadi mbona hawakamatwi lipot ya CAG hatujaona waliohusika na huo ubadhilifu wa pesa za umma wakichukuliwa hatua
MAAA SHAAA ALLLAAAH TABAARAKA LLAAHU MAMA YANGU HATA KAMA HUJANIZAA MAMA WA MWENZANGU NI MAMA YANGU NNAMUOMBA ALLAAH AKUHIFADHI NA HUSDA NA MAHASIDI.
Mbona Magufuli alikuwa anasifiwa na wananchi Halafu maendeleo mengi yalionekana na alikuwa anahangaika kukusanya mapato ya ndani 😢😢
@IbnuAlly-wm8il
27 күн бұрын
Ni ubaguzi tu
hutukanwi wanakwambia mapufu yako kubali kuambiwa ukweli
Pole Mama Samia. Kazi yako ni nzuri. Mimi siambiwi kitu juu yako. Umetutetea wanyonge. "MSADA WA MAMA SAMIA SHERIA" umetuletea hivi ni nani km mama SAMIA. Mungu akulinde.
Mh rais tenda wema usisubiri shukuran, kwa hakika wema huiishi milele, Mungu akuongoze yaliyo ya heri kwa taifa letu, ameen...
Mm namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hasani.
@rashidiiddi2433
27 күн бұрын
Ikiwezekana muunge hata mguu
Duu Leo mutanisamee kwasababu huyumama nimuongo wanaofulahia uongoziwake nimatajili ila sisi wenyehaliyachini hatuwezikumuelewa kwasababu hatujali
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Unataka akufanyie nn kijana hebu pambana bd nafasi unayo
@user-tn4ny3ii2t
27 күн бұрын
@@KassimAlly-xp4dz kupambana napamban ila hatusamini sisi wenyehaliyachini ivi ulishawai kufika kalume na boma uone machinga anavopigwa nakunyang'anywa vitu kitu amba malehem mh magufuli akikataa
@MsAggie5
27 күн бұрын
Mama yeye na matajiri na hao machawa wake walala hoi hawajari. TRA kutwa kwenye viduka Kwa matajiri ambao ni vitega uchumi WA viongozi WA mama hawagusi, ndo tofauti yake na Magu angalau alipenda watu WA chini wawe na kitu
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
mfano tukikwita useme alichokuongopea utasema? unamwita Rais wa nchi muongo? unahisi huwezi kufikiwa ulipo??
@user-tn4ny3ii2t
27 күн бұрын
@@user-nq4md3sj6d ndiyo nitasema kwasababu nilichokiongea Nina uhakika nacho
Makonda hoyeee… those who started talking trash 🗑️
@allymohamed4764
27 күн бұрын
Makonda kafanyeje kaka
Hatukupa kazi ya kuuza rasilimali zetu
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
2lia ww
@MsAggie5
27 күн бұрын
Mpaka aondoke kazi ipo, shamba la bibi 😂😂😂
Mama ukitukanwa ujue Kuna shida
Pole Mama hao wanakubeza watoto wakikua wataacha, Allah (SWT) ndo pekee anayejua dhamira uliyonayo ndani ya moyo wako kwa maslahi ya Nchi yetu.
Wasukuma kibao wanyakyusa wakurya wachaga waha et tumekosa mwanaume mpk tunaongozwa na dem wa kipemba
@walidmgonja3644
27 күн бұрын
Jitokeze ugombee uongoze
Mama mbolea ya Ruzuku bado bei siyo rafiki kwa Wakulima, ila tunashukuri kwa kuwepo mbolea ya Ruzu
Wao mama
Very good mama nimependa hi ndo inatakiwa 💪💪💪
Well done Madame laugh Presidaar 😅😅😅😅😅 Komaa kama kisiki mpingo
@MsAggie5
27 күн бұрын
Madame Chura 😂😂
mama bila katiba bila kushughulikia mafisadi Asee itakua kazi kubwa sana ccm kuiludsha madarakani haki haifai
Rais Samia Mimi ni mtu wa kwanza Kukusema tena sana tena sana tena sana SI kwa ubaya ila kwa maendeleo ya uchumi SI nzuri lakini nimestuka kwa neno umelisema humu nguru naona kama Imani inaniludi kwako ila Hawa nguru ufanye kwa vitendo Yani hapo nitakukupongeza zaidi sana😂maana wamezidi sana uwapunguze wanakudondosha ufatiliaji ni muhimu sana hongera sana rais wangu
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Mbona huyu mama hana tabu
@MsAggie5
27 күн бұрын
Kasema eti wasimkanyagie uchumi wake wakati wanajua wanakula hela za nchi kila kukicha? Watu sasa wanakula kama serikali yao, ona madudu anayoyaibua Makonda si ndo hiyo miradi yake au? Aongeze ukali au yeye mwenyewe aache Kula ili nao wasile 😂
@MayalakusekwaNkwabi
27 күн бұрын
Umaskini na Ujinga unaongezeka kwa mifumo yenu mibovu iliyojaa dhuluma, rushwa, ufisadi, wizi na udalali wa Rasilimali zetu , mitandao ya WIZI inayohamisha Pesa zetu nakuzificha Nje hawakamatwi mnawalinda, acheni UONGO Nchi imewashinda , Mnakopa kopa ovyo huku PESA nyingi zinaibiwa Maisha ya Watanzania ni shida ,Bunge limejaa CCM wanapitisha mikataba mibovu, Tozo na utitiri wa kodi bila kujali kipato cha mtanzania wa chini acheni sifa za kipumbavu tendeni HAKI kwa Watanzania acheni POROJO zenu .
#Mama wa manakasa❤ from Kenya
Mungu yupo halali
Mama uko vzuri sema watumishi wako sio wazalendo hao ndio wanaokuangusha, wanaokifanya chama chetu CCM kinaonekana hakina maana. Tunamshukuru Mungu umeleta kiongozi mahiri na mtenda kazi yaan mzalendo kama Mh. Paul makonda. Hao ambao wanakanyaga uchumi(nguru) wako mama piga chini tuu
@MsAggie5
27 күн бұрын
Anashindwa kuwa mkali na hao watendaji wake au ni vile wanajua na yeye ni mpigaji? Ninacho sikitika ni pale tra wanavyo wasumbua wenye biashara ndogo ndogo na kuwaacha mapapa na pale mama anapowasaidia wenye kupato hawaangalii WA Hali ya chini
100% kama wakifuata itasaidia sana sana. Lakini ungetoa wazee wote hao ( maana wamefikia ukingo wa mawazo positive), kwenye hizo bodi na management nakuhakikishia utafanikiwa Your Excellence
@MsAggie5
27 күн бұрын
Si mpaka ....
Wewe pia mwizi una mana wewe sio raia
Kumbe inauma kutukanwa, ulikua unaenjoy sana Magufuli alivyokua akitukanwa ndio maana ulivyoenda marekani ukapiga picture kabisa na Mange
@MwanakomboNassor-bw3by
27 күн бұрын
Hebu mtukane mama yako alafu muulize kama anasikia raha
@mcback4384
27 күн бұрын
@@MwanakomboNassor-bw3by yeye alivyokua akifurahia magufuli akitukanwa na kina mange hakujua magufuli ni baba na mume wa mtu ambae nae familia yake inaumia matusi mange aliokua akimtukana? Muache nae ayaoge sababu alijiona yeye ni mkamilifu
Pmoja sana piga kazi mama
MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Rais wangu ni makondà
@MsAggie5
27 күн бұрын
Bora ana uchungu na nchi na anaangalia WA Hali ya chini
hiyo ndio siasa dr samia raisi wetu
@raphaelkessy7360
28 күн бұрын
Cvvvvv wvvcvvc cc
Mama, mageuz ya kiuchumi yanatokea endapo unaunza sana, sio kukopa sana. Mama kwenye mikopo hapo sikuungi mkono
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Ili uwe na uchumi bora lazima ukope haswa mikopo itakayo lipwa mbeleni na riba yake ndogo
@OscarAsukenie
27 күн бұрын
@@KassimAlly-xp4dz nipe mifano ya nchi 10 tu ambayo imeendelea kwa kukopa
When you are head of state you have no control over noises made by your detractors or critics.I watch American media in which some critics hurl vituperative or excoriating remarks against officials in Washington sometimes describing them as fools,dunderheads or morons. Criticisms no matter how ugly it is can help leaders to improve on how they govern the state.I think it s wise to allow your critics speak their minds rather than suppressing them.That is true democracy. Mama should continue working hard for good of his Country And shouldn't ignore criticisms from some country folks.
Nakubali mama
Anajua makosa yake na anaijua kinga yake ndiomana anajiamini vile
Zaman ulijigeza rambo sasahv umekuw chura nenda kajiunge adija kopa mama wa mipasho ili muwe weng
Hongera sana mama kwa juhudi kubwa unazozifanya kuinua uchumi ndani ya taifa letu. Mungu akutie nguvu.
@samniza1763
27 күн бұрын
Uchumi, Mimi nipo hapa na enjoy £1 almost 4000? Kazi na iendelee shikilia hapo hapo na sisi tucheze na forex.
Nonsense
Huyu atakuja kufunga labda afe ngoja apatikane mwanaume
Ukikopa ww mama inatosha usiambukize utumwa kwa nguvu
SAUTI YA MAMA KIDOGO LEO INA MAMLAKA KIDOGO KAJITAHIDI KUGOMBA 🤣🤣🤣🤣
@KassimAlly-xp4dz
27 күн бұрын
Huyu ni mama
Nampenda sana huyu mama Samia. Despite insults from Mange, mama wewe Chapa kazi. Ulichaguliwa na WaTZ kwani Iko nini!!!
Mm hawa hawasiki dawa nikuwa piga supana za makonda miradi wanavurunda ww watembelee kwenye halmashauri zao uone niuozo mtu mafisadi humo wengi
Haha kazi imekushinda mamaetu kubali tu yaishe 😅
Mama uyu nimujinga sana avayi kuwa kiongisi waichi
Utatoka utake usitake usituletee misemo ya ki Zanzibar huku ni bara
@hajihassan5433
27 күн бұрын
Hii ni Tanzania yeye ni Rais wa Tanzania.
@user-kb6pz9dk8n
27 күн бұрын
@@hajihassan5433 nani alimpigia kura? aliwekwa na katiba ya kijinga wa Tanzania sasa wameelewa madudu yake atatoka iwe kwa kheri au kwa shari
Bora wali tembele kuliko wali mwengu mama
@abuusalum928
28 күн бұрын
😂
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Utaka mtaji kwanguvu hamla lolote unafki tu
Lakini si ulisikia ndio maana unajibu Mama. Piga jazi tu mama,lakini kuwa makini mama hao wanaokupigia makofi ndio watakuja kuwa wasaliti wako
MAKONDA ANGEKUSAIDA KIUTAWALA MPE UWEZO ZAIDI NA ULINZI
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
umeongea vyema
huyu mama mtamuelewa baadaye tatizo wabongo akili ndogo
@fedyaalzadjali8597
27 күн бұрын
Kabisa
@MsAggie5
27 күн бұрын
Akili ndogo ni zako huna macho wala husikii. Bandari hao waarabu wako busy kusafirisha wanyama wetu, Makonda kila siku anaona madudu ya miradi ya mama, hela nyingi, mikopo kibao lakini usimamizi ziro na vile na yeye kaamua kula ndo basi tena ...... 🐸🐸🐸🐸🐸
@Castory-ri9hd
23 күн бұрын
Bado mtoto ww ukikua utaacha bado akili yako hajakua kwanza hujui chochote chunga mdomo sana
Hakuna kama jpm
Braza Sky nlijua utaruka na hii😊😊
@samniza1763
27 күн бұрын
Si ndio wanaogopa kufungiwa radio zao.
Mmh
Mama nimekuelewa piga kazi usijali rais wangu tuko pamoja na wewe
@MsAggie5
27 күн бұрын
Iko au tupo
Kumbe tunavyo lalamika mnaiba pesa kwenye nchi, wewe unaziba masikio
@NdageKitahama
27 күн бұрын
Mama ufisadi umezidi cc wananchi wanalipa Kodi mafisadi wanazichota shida iko hapo tunalalamika wezi wa pesa za umma hawakamatwi lipot ya CAG mpaka Leo hatujaona waliotajwa wakichukuliwa hatua Kali
Tunakupa miaka 5 ya kukupima Imani yako sisi wanao utampendelea yupi au utatulea sawa bila ya kusikiliza manung'uniko yetu?, ukitulie vizuri hiyo mitano tunakupa mitano tena iwe n8 haki na lulu ya uwongozi wa TANZANIA. MAMA NI MAMA HATA AKISEMWA NI MAMA HATA AKIANDAMWA NA LAWAMA NI MAMA ule msemo wa rikwama ni kwa zile zama.
Tupo kimasilai zaid kama hutaki andamana
Hakuna kiongozi au raisi asie sema hata mjomba magu wapo waliomsema na kumpinga mama piga kazi ila tunapoona si sahihi Wacha tuseme tu😂😂 🙌😂🙌
Mama mola akulinde uhudumu kwa amani na wale wasiokukubali kwa wivu tu mola awashinde
Swsw mam 🙏🤲
Pole sana mama yetu pambana hao wanao kuangusha na kusababisha utukanwe kula vichwa
@ce-08
27 күн бұрын
Mmmh angekuwa kala vchwa mda huenda sababu uchaguzi upo mbele ndyo maana hiv
Makonda hapo sawa mama
Lakini maoni mengine ni muhimu kuyafanyia kazi na si makelele ya kudharaulika
Hapo wanakua kam wanakuskua kumbe hamna kitu
Huna lolote wewe maneno tu
Simlisema amta zugumzia ya ndani kwanini sasa umeyaweka apa? Wekeni na yavyama vigine sasa lasivyo SNS mna ubaguzi wa kivyama
@MsAggie5
27 күн бұрын
Waoga kwani hujui Mama kawashika waandishi na celebrities kama Wana music na waigizaji? Umeshawahi ona negativities yoyote magazetini au radio? Watangazaji wote machawa wake😂! Simshangai sns
@user-nq4md3sj6d
27 күн бұрын
huyu ni RAIS wa nchi na Amiri jeshi mkuu wa Tanzania..
@frocoissango8973
27 күн бұрын
Anachama au? Kahuli waliyo itowa SNS walitutamkiya wenyewe eti atutakuja tuzugumziye ya ndani icho ndo tunacho fuhata kama vipi wateguwe kahuli basi
@MsAggie5
26 күн бұрын
@@user-nq4md3sj6d Kwa hiyo?
Umeuza mali zote unataka mageuzi gani, ogea make una ulinzi et uchumi wangu
Uyu mama nimstarabu😮😂 avumilie tu matusi ya mange😅
Mama wakikosa hao wa kukukosoa utajisahau punguza tozo umeme ushuke bei ya kuvuta iwe kama Magufuli 😊
mama nakupenda bure laisi wangu mpendwa
SSH ❤🇹🇿🇹🇿
Mama kwenye suala la mafao kwa watumishi wa umma usiwahurumie wanaokuangusha. Malalamiko ni mengi. Wanaotumia madaraka vibaya wakae pembeni. CCM daima.
@EmmanuelLupoja
27 күн бұрын
Sahau
@deogratiusyudatadei5658
27 күн бұрын
Hivi umesikiliza hicho kipande vizuri au unashadadia ujinga tu nanjaa zenu😏
Mm
We mama chura hospital za serikali kichefu chefu na madoctor wamekuwa vyura
Tundu lissu niko pale nimekaa...
@user-gh3zf4ow4c
27 күн бұрын
umekaa unafanyaje
Mama mimi binafsi na kuelewa piga kazi tusonge mbele nipo pamoja nawe sina gubu umenifraisha kwa kazi zako
Mama Samantha sisi Wajane hatupati kwa wakati pesheni za waume tunakwenda kila aiku tunapigwa tarehe njoo kesho imezidi mpaka tunaanguka kwenye ngazi mjini Hazina
Matako uko kazi gani unafanya
Viongozi wote duniani ni kawaida wala usijali sababu huwezi pendwa na wote tena nchi za wenzetu ndio matusi hasaa
Mama.etu.sikia..kilio. cha.wstu Msovu..wanayoyanya.mamba.wasikiloze Mungu.snssikis.maombi.wenyehski.wakiomba.kwa.bidii
Mama samiya tunakuunga mkono mama mola akulinde afya njema hekima busara vyote mola akuruzuku
😂😂❤❤
Kumbe munachambuwa Hadiyahuko Tanzaniya? Endeleyeni Atahuku KENYA.
Pesa.ipo.mbona.mishara.Hapandishi
Hapa nimegundua nimwendo wakujigeuza chura .Hapa ofisini nitakuwa chura
Serikali itakupa? Utakuwa replaced, aje wa kuja manage vizuri.
tatizo na ww mama ni mwepesi mno wa kushauriwa na kukubali, makonda anafanya vizuri lakn ww hueleweki na panga pangua yako hata kwa wanaokusaidia
@MsAggie5
27 күн бұрын
Urais sio kazi ndogo, hauwezi ni vile kashanogewa na ulaji ndo basi tena
Mam.ongea.pointi.kama.raisi.kemea.maovu.usafiri.punguza.watu.wafurahi.asante.mama
Yeye mwenywe Kuna siku alisema watu wanachuma sana matumboni ndio maana watu wanakusema kwann unawacha hao watu
Kwel😂