Waziri Mkuu wa Hungary azidi kuwaumiza vichwa Magharibi, baada ya PUTIN akutana na XI Jinping China

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 24

  • @johnsam4942
    @johnsam494215 күн бұрын

    Anatumwa uyo vita imewashinda NATO God blessing #RUSSIA

  • @JacksonLukumayi

    @JacksonLukumayi

    15 күн бұрын

    Ni kweli mkuuu

  • @omarisombi9284
    @omarisombi928413 күн бұрын

    Hongera sana waziri Orban kwa juhudi zako, M.Mungu atakulipa

  • @fellaforlife2948
    @fellaforlife294815 күн бұрын

    Masubi upo vizuri sana broo

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m15 күн бұрын

    Hii vita haiwezi kuisha mpaka ukrein ikubali kuacha mpango wake wa kujiunga na NATO, afu hiyo ukrein ikubali kuachia maeneo yake yaliyochukuliwa na Urusi, afu na marekani na NATO waache kupeleka silaha pale ukrein. Hapo kweli itakuwa mwisho wa hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Bila ya hivo ujue ni vita mwanzo mwisho hadi kieleweke.

  • @malkiawagiza1327

    @malkiawagiza1327

    15 күн бұрын

    Nakubaliana nawe kabisa, umegonga ndipo 👍

  • @user-cw8zn2dn6m

    @user-cw8zn2dn6m

    13 күн бұрын

    @@malkiawagiza1327 hahahahahahaha ahsanteeeeeee

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1015 күн бұрын

    Habari Kama isi kaka Fredrick bundala ndo anafaa kuripoti

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba105415 күн бұрын

    Leo wa kwanza ally unaanza kuongea kama mchambuzi sasa maana awali ulikuwa unaongea as if hauna uhakika na unachoongea good job keep it up

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu893415 күн бұрын

    Good

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde513815 күн бұрын

    kwani hao wa US safari km hizi hawazijui kwani....? m nahisi km wamemtuma huyu jamaa ilimradi dunia isjue km wamesanda

  • @DottoMussa-ro6rw

    @DottoMussa-ro6rw

    14 күн бұрын

    kabisaaa ila wanataka waimalize hii vita ki propaganda flani hv,,yaani wasionekane wameshindwa Bali wametafuta mpango wa amani ambao Russia na Ukraine wameridhia,,ila ukweli ni kuwa NATO na kafara wao wamecheze,, ndio maana jamaa anazunguka kumaliza vita,Putin kashajua hiyo mbinu ndio maana kule kwenye uwanja wa vita dozi inaendelea mpaka zelensky asipo kimbia basi kwa kunywa chake akiri kushinda,ili Dunia ijue ukitoa USA ipo nguvu nyingine kubwa na yenye uwezo wa juu kivita,,hivo mezani ubalanse,,na mataifa yanayo ishi kwa hofu ya america yatoe hiyo hofu,,yaanze kujiamulia mambo yake mwenyewe bila hofu ya kumuudhi america yakitumai kuwa Russia nae yupo..na kwa hii vita japo Russia kawekewa vikwazo lukuki ila imemsadia sana kumtangaza duniani kuwa Russia ninani na kupata marafiki wengi na wapya ambao zamani hawakumjua,,hivo Putin ameshinda vita mbili kwenye uwanja mmoja

  • @user-lv1ki7nn7t
    @user-lv1ki7nn7t15 күн бұрын

    Good job Russia ❤❤❤❤❤

  • @ce-08
    @ce-0813 күн бұрын

    Hii safari mbona alisema baada ya kutoka Ujerumani

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n15 күн бұрын

    Midia ii yaunazi mamboleo

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d14 күн бұрын

    Marekani akili Awana eti aman bila urusi ni kujichokonoa puani

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha89415 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART15 күн бұрын

    Kawani nchi kuwa kwenye nato ndio hairuhusiwi kutembelea nchi nyengine

  • @fellaforlife2948

    @fellaforlife2948

    15 күн бұрын

    Hpn unaruhusiwa, sema ni janja janja za marekani tu izo

  • @hamisisalum6116

    @hamisisalum6116

    15 күн бұрын

    Ulaya wanashikiwa akili na Marekani, wakija kushtuka wamechelewa na uchumi wao utakuwa umekufa kabisa

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    15 күн бұрын

    ​​@@hamisisalum6116Watachapisha pesa nyingi na kuja Afrika huku na kununua madini,gesi,mafuta,mbao,magogo,mazao na n.k.Wao hawana shida na pesa maana wanauwezo wa kuchapisha makaratasi mengi Yale na kuyaleta nchi masikini.

  • @hamisisalum6116

    @hamisisalum6116

    14 күн бұрын

    @@GeorgeAkasha-zx2rj Hapana, Urusi tayari ameshaanza kuweka misingi ya uhusiano na nchi za Afrika, hao mashoga wakija watakuta Putin ameshaziba njia zao zite za ujanja ujanja. Ameanzia africa magharibi huko kawatimua Ufaransa, na sasa anamshikisha adabu Ruto anayejifanya kibaraka wa Marekani

  • @GeorgeAkasha-zx2rj

    @GeorgeAkasha-zx2rj

    14 күн бұрын

    @@hamisisalum6116 Tatizo mkuu Mifumo ya pesa na masoko bado unashikiliwa na magharibi zaidi kwa sasa, Russia ana kazi nzito sana kwa sasa kuweza kubadilisha kutoka unipolar to Multi-polar world

Келесі