Anatumwa uyo vita imewashinda NATO God blessing #RUSSIA
@JacksonLukumayi
15 күн бұрын
Ni kweli mkuuu
@omarisombi928413 күн бұрын
Hongera sana waziri Orban kwa juhudi zako, M.Mungu atakulipa
@fellaforlife294815 күн бұрын
Masubi upo vizuri sana broo
@user-cw8zn2dn6m15 күн бұрын
Hii vita haiwezi kuisha mpaka ukrein ikubali kuacha mpango wake wa kujiunga na NATO, afu hiyo ukrein ikubali kuachia maeneo yake yaliyochukuliwa na Urusi, afu na marekani na NATO waache kupeleka silaha pale ukrein. Hapo kweli itakuwa mwisho wa hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Bila ya hivo ujue ni vita mwanzo mwisho hadi kieleweke.
@malkiawagiza1327
15 күн бұрын
Nakubaliana nawe kabisa, umegonga ndipo 👍
@user-cw8zn2dn6m
13 күн бұрын
@@malkiawagiza1327 hahahahahahaha ahsanteeeeeee
@Brunotarimo1015 күн бұрын
Habari Kama isi kaka Fredrick bundala ndo anafaa kuripoti
@amosstimamaroba105415 күн бұрын
Leo wa kwanza ally unaanza kuongea kama mchambuzi sasa maana awali ulikuwa unaongea as if hauna uhakika na unachoongea good job keep it up
@dominicksangu893415 күн бұрын
Good
@ajsmainde513815 күн бұрын
kwani hao wa US safari km hizi hawazijui kwani....? m nahisi km wamemtuma huyu jamaa ilimradi dunia isjue km wamesanda
@DottoMussa-ro6rw
14 күн бұрын
kabisaaa ila wanataka waimalize hii vita ki propaganda flani hv,,yaani wasionekane wameshindwa Bali wametafuta mpango wa amani ambao Russia na Ukraine wameridhia,,ila ukweli ni kuwa NATO na kafara wao wamecheze,, ndio maana jamaa anazunguka kumaliza vita,Putin kashajua hiyo mbinu ndio maana kule kwenye uwanja wa vita dozi inaendelea mpaka zelensky asipo kimbia basi kwa kunywa chake akiri kushinda,ili Dunia ijue ukitoa USA ipo nguvu nyingine kubwa na yenye uwezo wa juu kivita,,hivo mezani ubalanse,,na mataifa yanayo ishi kwa hofu ya america yatoe hiyo hofu,,yaanze kujiamulia mambo yake mwenyewe bila hofu ya kumuudhi america yakitumai kuwa Russia nae yupo..na kwa hii vita japo Russia kawekewa vikwazo lukuki ila imemsadia sana kumtangaza duniani kuwa Russia ninani na kupata marafiki wengi na wapya ambao zamani hawakumjua,,hivo Putin ameshinda vita mbili kwenye uwanja mmoja
@user-lv1ki7nn7t15 күн бұрын
Good job Russia ❤❤❤❤❤
@ce-0813 күн бұрын
Hii safari mbona alisema baada ya kutoka Ujerumani
@user-tq4lx9si1n15 күн бұрын
Midia ii yaunazi mamboleo
@user-lv4cx1sc5d14 күн бұрын
Marekani akili Awana eti aman bila urusi ni kujichokonoa puani
@aishaarusha89415 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@MAHAN-SMART15 күн бұрын
Kawani nchi kuwa kwenye nato ndio hairuhusiwi kutembelea nchi nyengine
@fellaforlife2948
15 күн бұрын
Hpn unaruhusiwa, sema ni janja janja za marekani tu izo
@hamisisalum6116
15 күн бұрын
Ulaya wanashikiwa akili na Marekani, wakija kushtuka wamechelewa na uchumi wao utakuwa umekufa kabisa
@GeorgeAkasha-zx2rj
15 күн бұрын
@@hamisisalum6116Watachapisha pesa nyingi na kuja Afrika huku na kununua madini,gesi,mafuta,mbao,magogo,mazao na n.k.Wao hawana shida na pesa maana wanauwezo wa kuchapisha makaratasi mengi Yale na kuyaleta nchi masikini.
@hamisisalum6116
14 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj Hapana, Urusi tayari ameshaanza kuweka misingi ya uhusiano na nchi za Afrika, hao mashoga wakija watakuta Putin ameshaziba njia zao zite za ujanja ujanja. Ameanzia africa magharibi huko kawatimua Ufaransa, na sasa anamshikisha adabu Ruto anayejifanya kibaraka wa Marekani
@GeorgeAkasha-zx2rj
14 күн бұрын
@@hamisisalum6116 Tatizo mkuu Mifumo ya pesa na masoko bado unashikiliwa na magharibi zaidi kwa sasa, Russia ana kazi nzito sana kwa sasa kuweza kubadilisha kutoka unipolar to Multi-polar world
Пікірлер: 24
Anatumwa uyo vita imewashinda NATO God blessing #RUSSIA
@JacksonLukumayi
15 күн бұрын
Ni kweli mkuuu
Hongera sana waziri Orban kwa juhudi zako, M.Mungu atakulipa
Masubi upo vizuri sana broo
Hii vita haiwezi kuisha mpaka ukrein ikubali kuacha mpango wake wa kujiunga na NATO, afu hiyo ukrein ikubali kuachia maeneo yake yaliyochukuliwa na Urusi, afu na marekani na NATO waache kupeleka silaha pale ukrein. Hapo kweli itakuwa mwisho wa hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Bila ya hivo ujue ni vita mwanzo mwisho hadi kieleweke.
@malkiawagiza1327
15 күн бұрын
Nakubaliana nawe kabisa, umegonga ndipo 👍
@user-cw8zn2dn6m
13 күн бұрын
@@malkiawagiza1327 hahahahahahaha ahsanteeeeeee
Habari Kama isi kaka Fredrick bundala ndo anafaa kuripoti
Leo wa kwanza ally unaanza kuongea kama mchambuzi sasa maana awali ulikuwa unaongea as if hauna uhakika na unachoongea good job keep it up
Good
kwani hao wa US safari km hizi hawazijui kwani....? m nahisi km wamemtuma huyu jamaa ilimradi dunia isjue km wamesanda
@DottoMussa-ro6rw
14 күн бұрын
kabisaaa ila wanataka waimalize hii vita ki propaganda flani hv,,yaani wasionekane wameshindwa Bali wametafuta mpango wa amani ambao Russia na Ukraine wameridhia,,ila ukweli ni kuwa NATO na kafara wao wamecheze,, ndio maana jamaa anazunguka kumaliza vita,Putin kashajua hiyo mbinu ndio maana kule kwenye uwanja wa vita dozi inaendelea mpaka zelensky asipo kimbia basi kwa kunywa chake akiri kushinda,ili Dunia ijue ukitoa USA ipo nguvu nyingine kubwa na yenye uwezo wa juu kivita,,hivo mezani ubalanse,,na mataifa yanayo ishi kwa hofu ya america yatoe hiyo hofu,,yaanze kujiamulia mambo yake mwenyewe bila hofu ya kumuudhi america yakitumai kuwa Russia nae yupo..na kwa hii vita japo Russia kawekewa vikwazo lukuki ila imemsadia sana kumtangaza duniani kuwa Russia ninani na kupata marafiki wengi na wapya ambao zamani hawakumjua,,hivo Putin ameshinda vita mbili kwenye uwanja mmoja
Good job Russia ❤❤❤❤❤
Hii safari mbona alisema baada ya kutoka Ujerumani
Midia ii yaunazi mamboleo
Marekani akili Awana eti aman bila urusi ni kujichokonoa puani
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kawani nchi kuwa kwenye nato ndio hairuhusiwi kutembelea nchi nyengine
@fellaforlife2948
15 күн бұрын
Hpn unaruhusiwa, sema ni janja janja za marekani tu izo
@hamisisalum6116
15 күн бұрын
Ulaya wanashikiwa akili na Marekani, wakija kushtuka wamechelewa na uchumi wao utakuwa umekufa kabisa
@GeorgeAkasha-zx2rj
15 күн бұрын
@@hamisisalum6116Watachapisha pesa nyingi na kuja Afrika huku na kununua madini,gesi,mafuta,mbao,magogo,mazao na n.k.Wao hawana shida na pesa maana wanauwezo wa kuchapisha makaratasi mengi Yale na kuyaleta nchi masikini.
@hamisisalum6116
14 күн бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj Hapana, Urusi tayari ameshaanza kuweka misingi ya uhusiano na nchi za Afrika, hao mashoga wakija watakuta Putin ameshaziba njia zao zite za ujanja ujanja. Ameanzia africa magharibi huko kawatimua Ufaransa, na sasa anamshikisha adabu Ruto anayejifanya kibaraka wa Marekani
@GeorgeAkasha-zx2rj
14 күн бұрын
@@hamisisalum6116 Tatizo mkuu Mifumo ya pesa na masoko bado unashikiliwa na magharibi zaidi kwa sasa, Russia ana kazi nzito sana kwa sasa kuweza kubadilisha kutoka unipolar to Multi-polar world