Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia
@BigZhumbe
Ай бұрын
Hao unaohisi wanateswa ndio wanawaomba Wamarekani wapeleke majeshi yao kwao kwa ulinzi
@NdovuDentalClinic_Ай бұрын
Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂
@debbymwaka4048
Ай бұрын
Sio bongo angekua wa African ingekua ni shida
@missp1814
Ай бұрын
yaan BBC wanakera,ni vile viongozi wa Africa wanawaogopa ila wale watu ni waongo na wachochezi balaa
@nasibugunda7927
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Gody360
Ай бұрын
Mapema sana washa anza kumpondaaaa
@TrinaRoman345Ай бұрын
Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂
@abuusufian6506
Ай бұрын
Mpuuzi mmoja 😅😅
@TrinaRoman345
Ай бұрын
@@abuusufian6506 Bata wahed nimewaza pakubwa ujue🤣🤣🤣🤣🤣👍
@ngendakumanajeanmarrie7490Ай бұрын
Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂
@pauldotto7868Ай бұрын
Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''
@MashaMbwana
Ай бұрын
😂😂
@pauldotto7868Ай бұрын
Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto... Kwa maana mshindani wake ni mgonjwa na ahajitambui tafadhali
@emmadora7848
Ай бұрын
Unafikiri Marekani ni kama mataifa yetu sisi huku? Wenzetu system zao za uongozi ziko vyema sana rais sio Kila kitu kwao kama sisi
@user-xl9so6jg1e
Ай бұрын
Hiyo marekani ni shughuli nyingne huyo rais Hana mamlaka makubwa sana kwa hapo marekani usije ukafikilia hvo Yan ingekuwa ni hvo mbona Putin angeshafanya anayotaka mda tu..... Narudia tena hiyo ni marekani syo tatzo 😂😂😂
Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!
@Officialjidaa-sn9csАй бұрын
Atariiii
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Urusi wana ujasusi wa hali ya juu na mpaka kwenye ndani serikali ya marekani wapo watumishi ambao ni. Majasusi wa urusi hauwenda wamempiga sumu
@user-tq4lx9si1n
Ай бұрын
Hata marekani nao ivyoivyo hadikwenye serikali ya urusi wapoweng watumish hambao nilaia wamarekan
@JamesMtewa-ro1dhАй бұрын
hahahaaaaaa hujafa huja umbika
@saidkhatib9146Ай бұрын
Yan mbona bado dua za wenye kudhulumiwa
@Expl0rer.
Ай бұрын
💯💯💯
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Bado saana mbona
@user-xl9so6jg1e
Ай бұрын
Viongoz wetu wenyewe hawana akili wanatudhulumu unashindwa kuomba Dua mbaya kwa hapa kwetu ukamuombee mtu mweupe
@meryamabdullah2081Ай бұрын
Amezeeka
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Hatari ila taifa kubwa ilo kitaileweka
@donaldmgunda4970Ай бұрын
Mbona mnamsimangaa Sana huyu mzeeer
@africanmandetraveler2847
Ай бұрын
Sasa waone kibaya wanyamaze
@YayouselimАй бұрын
Kaishaa😂😂😂😂
@stiveerasto1683Ай бұрын
Kama huyu ndio atakuwa mgombea wa marekani basi Trump ushindi kwake ni asubuhi.
@faidhamyovela179
Ай бұрын
Hawezi gombea
@hijazhija316Ай бұрын
Mafenesi
@MsAggie5Ай бұрын
Amekaa kama robot 😂😂😂
@wadantz123
Ай бұрын
😂😂😂😂jmn
@duhuzebosco6207Ай бұрын
Atoke
@JafariHamisi-gu4efАй бұрын
Si aachie madaraka?
@MHDFURNITURE-jn2rxАй бұрын
afe tu mdhenzi huyo mzee ananyonga watoto parestn
@habibaramadhani-xv2edАй бұрын
Pole Kiongozi Rais Baiden-Unaweza kuahilisha Matukio,Hadi utakapina Uko Vizuri.Matatizo humpata Binaadam yeyote.Sina Uhakika na Umri unaweza kusoma Mazingira sio Lazima usimame.Ongea Kwa Mtandao Bado Mawazo Yako yanahitajika.Tumuombe Manani Akufanyie wepesi .Amiina.
@RagnarSnow-oq3ntАй бұрын
Kama Ulitazama na kuielewa vizuri series ya WESTWORLD basi huna shaka huyu ni HOST 😅😅📌
@tanzaleo8670Ай бұрын
MK ALTRA AT WORK THIS IS DARK WORLD MISSION
@DeusPaschal-g5q25 күн бұрын
Tofauti kubwa miaka 4 mingi!
@MassoudSalimАй бұрын
Mwamba alitokwa na mavi
@saumbliz8983Ай бұрын
Na bado
@malickabbas8271Ай бұрын
Afe kabisa huyo shetani
@husseinkonz5192Ай бұрын
Hana tofaut na robot za bongo
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Wewe unamacho makali sana
@pastorgodwinchengula7848Ай бұрын
Mbona mh Mkapa akiwa na miaka 83 alikuwa fiti sana tofauti na huyu Raisi wa USA.
@mosesgodfrey4143Ай бұрын
Mm
@user-oh4vg6rm9s24 күн бұрын
huyo ni IA jiongezeni sio mtu
@evancetilya167Ай бұрын
Daah kachoka san
@babuwajinaommy725Ай бұрын
Dam za watoto wa Gaza zina watafuna 😂😂
@SaraphinaKidoti-qe7giАй бұрын
Rip 😅😅
@Gody360Ай бұрын
Au robot!
@HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын
Angekuwa ni Rais kutoka Africa wangeongea sana..
@aminatanzanya7475Ай бұрын
😂😂😂😂 Kawa Roboti
@sarahrashidi9558Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Expl0rer.Ай бұрын
Na bado. 😂 . Atajuta kuzaliwa huyu.
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Analaana zadunia
@abdull_hafidhАй бұрын
Kwann wanachagua Maraisi wazee sana wakat wapo vijana wengi wenye uwezo huo
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@MrA24G
Ай бұрын
Biden angepumzika kwanza kihistoria nyuma alipata tatzo la afya.Kapitia Mapito magumu maishani mkewe wa kwanza na mtoto walifariki kwa ajali jambo lililomtikisa sanaaa.Isitoshe kawa senator miaka mingi sanaaa mpk akawa makamu wa raisi.Vyema democrats wangemchagua raisi mpyaa.
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Mwenetu anatarajiw kugombea tena raundi ijayo miaka mi4 mbele
@ChurchofecclesiaАй бұрын
Wamekuwa cloned nyie ndo hamuelewi huyo sio original
@pascalmanyama2304Ай бұрын
Hawa jamaa huwa wanatucheka sisi waafrika,vp nao mbona wana kiongozi mzee hivi?,sasa Biden na Paul Biya wana tofauti gani?
@esterkimath1214Ай бұрын
Huyo atakua ROBOT au Reptile waliona tunaenda kuumbuka 😅😅😅
@piterasifa3757Ай бұрын
Atakua hana marinda huyu mzee 😂😂😂
@frankmare1708Ай бұрын
Saving Private Ryan,ndio story ya hiyo beach ilitengenezwa hapo
@user-hj4bc5uh2xАй бұрын
Huyu mungu. Amuweke amdhalilishe mpaka wengine wapateibra kupitiayeye
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Aamin
@susans4490Ай бұрын
Wacha kudanganya watu mtangazaji eti uhuru wa marekani, na kama alikuwa hazijui hizo nyimbo acheze nn
@sponsor7882Ай бұрын
Angejiuzulu
@jeanmusamba8448Ай бұрын
hahaha tumbo limevurga watu bwana hahha
@yahayaannu3663Ай бұрын
Kuna mwingine huko Nigeria nae anaaguka kila wakt anasinzia kwny mikutano 😅😅😅
@abdulmruke2246
Ай бұрын
Wallah yule wa nigeria umri wake ni zaidi ya mwinyo nilicheka😂😂😂😂
@paulinewangila-cs6ys
Ай бұрын
@@abdulmruke2246nimejizuia nisicheke ilaaa😂
@xaixaiobrigado4846Ай бұрын
Na ya hapa mwetu yaonesheni. C na sasha alipatwa na mdharuba huko (K)akakinbizwa uarabuni!
@user-cq2lt6ho5wАй бұрын
Waarabu walishasoma Alibadri, na hiyo ikishik hakuna Dr anaetibu😂😂😂
@mangofish9079Ай бұрын
Huyu kaekwa kwa sababu ni takwa la elites na cia na hata huo uchaguzi uliomuweka hapo ktk urais hakushinda kweli huyu.
@ngadumbishi1405Ай бұрын
Kweli uchawi hauna nchi 😂😂
@philiplugalia3724Ай бұрын
Huyu mzee amechanganyikiwa aende nyumbani aache kutuma silaha huko Israel kuua wapalestina
@lilianjeremia1024Ай бұрын
Hasigombee mwakani jmn ila je Trump ndo atapita jmn😢
@shaibukhamis863Ай бұрын
Nasikiag hy mtu mdori yan 😅😅😅
@MamaLio475Ай бұрын
❤ Trump ❤
@lastborn7810Ай бұрын
Afe tu firauni part 2 huyo
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Huyu faza amechoka asije akabonyeza kitufe chekundu aangamize dunia kwa Nuclear.
@mohammedmfamau43Ай бұрын
Kwani kiti cha urais wa marekani c anacho?ss apo anatafuta chengine kisichoonekana?mh.ata bado wewe unasubiriwa uko kusikojulikana .
@user-yn7mt4mh8nАй бұрын
Hiyo ni robot
@BigZhumbeАй бұрын
DT yuko fiti kabisa mzee Joe uzee ushaamtawala.
@thelaoban6236Ай бұрын
Mzee alikula kiporo!
@josephsamwel6511Ай бұрын
Hyo ni clone
@silviasaleh4667Ай бұрын
Donald Trump was a wrestler player
@user-wk4rc6cb4iАй бұрын
Atakuwa amejinyea
@faidhamyovela179Ай бұрын
Nae mzee apumzikeee atakufa anatembea
@novatv3970Ай бұрын
interval ya miaka minne ya uzeeni ni kubwa kama miaka nane mzee
@Brunotarimo10Ай бұрын
Trump ndo rais ajae Wa marekani
@rumdeesonsoa1811
Ай бұрын
Trump ndio mbaya zaidi kuliko Biden
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Ubaya wake upi. Icho chama cha Biden kinapochukua madaraka Dunia inakua Na fita
@rumdeesonsoa1811
Ай бұрын
@@Brunotarimo10 Trump ni mbaguzi anaejionesha wazi wazi
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Apumzike hahahahahaha kiti kimejificha
@callywillison8685Ай бұрын
Mungu ampe shifaa
@user-tq4lx9si1n
Ай бұрын
Hahanze kwanza kumpa babahako
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Umefeli sana wewe Mungu ua amuongozi mtu zwalim kamayeye kaa ukijuawewe
Пікірлер: 215
Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia
@BigZhumbe
Ай бұрын
Hao unaohisi wanateswa ndio wanawaomba Wamarekani wapeleke majeshi yao kwao kwa ulinzi
Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂
@debbymwaka4048
Ай бұрын
Sio bongo angekua wa African ingekua ni shida
@missp1814
Ай бұрын
yaan BBC wanakera,ni vile viongozi wa Africa wanawaogopa ila wale watu ni waongo na wachochezi balaa
@nasibugunda7927
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Gody360
Ай бұрын
Mapema sana washa anza kumpondaaaa
Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂
@abuusufian6506
Ай бұрын
Mpuuzi mmoja 😅😅
@TrinaRoman345
Ай бұрын
@@abuusufian6506 Bata wahed nimewaza pakubwa ujue🤣🤣🤣🤣🤣👍
Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂
Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''
@MashaMbwana
Ай бұрын
😂😂
Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto... Kwa maana mshindani wake ni mgonjwa na ahajitambui tafadhali
@emmadora7848
Ай бұрын
Unafikiri Marekani ni kama mataifa yetu sisi huku? Wenzetu system zao za uongozi ziko vyema sana rais sio Kila kitu kwao kama sisi
@user-xl9so6jg1e
Ай бұрын
Hiyo marekani ni shughuli nyingne huyo rais Hana mamlaka makubwa sana kwa hapo marekani usije ukafikilia hvo Yan ingekuwa ni hvo mbona Putin angeshafanya anayotaka mda tu..... Narudia tena hiyo ni marekani syo tatzo 😂😂😂
Utakuta iyo mzee ashakufa kitamboo afu icho kinacho onekana ni mdoli waliyo tengeneza 😂😂
@deogratiusyudatadei5658
Ай бұрын
Naawashundi😂😂😂
@agwalubifaridah7079
Ай бұрын
Alikufa kitambo na Last month alikuwa na rais ruto?
@theafricanprincevivecongo8632
Ай бұрын
@@agwalubifaridah7079 😂😂😂 we aupo dunia hii
@HaikaFredrick
Ай бұрын
Akili za kimasikini hizo
@shukurumsebaloli
Ай бұрын
@@HaikaFredrick Tuambie sasa wewe mwenye akili zakitajiri
Duh
Dua hizo zinafanya kazi…na atajinyea sana tu😂
@emmadora7848
Ай бұрын
Si zifanye kazi Gaza, Sudan, Nigeria , Pakistan nk? Au zinachagua pa kufanya kazi?
@SamwelSospeter-lz9fm
Ай бұрын
Duuuuuh
@bindatalent6972
Ай бұрын
@@emmadora7848😅😅 asee una akili sana hata kwenye maisha yako ya kawaida
@lucasmhagama8166
Ай бұрын
Uzee huo hata wewe unaweza kufika huko
Aseeee
Nomaa
Dah uzee ubaya sn
Kwa hiyo alijinyea
@user-tq4lx9si1n
Ай бұрын
Kujinyehata jinye mamahako nachupiyake iliyotoboko nyuma
@user-hb7mq8lg9e
Ай бұрын
😂😂😂😂
@Expl0rer.
Ай бұрын
Kavaa pempas 😂
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Ndio
@OmaryMwacha
Ай бұрын
@@user-tq4lx9si1nkashajinyea nawewe ukazoe
Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!
Atariiii
Urusi wana ujasusi wa hali ya juu na mpaka kwenye ndani serikali ya marekani wapo watumishi ambao ni. Majasusi wa urusi hauwenda wamempiga sumu
@user-tq4lx9si1n
Ай бұрын
Hata marekani nao ivyoivyo hadikwenye serikali ya urusi wapoweng watumish hambao nilaia wamarekan
hahahaaaaaa hujafa huja umbika
Yan mbona bado dua za wenye kudhulumiwa
@Expl0rer.
Ай бұрын
💯💯💯
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Bado saana mbona
@user-xl9so6jg1e
Ай бұрын
Viongoz wetu wenyewe hawana akili wanatudhulumu unashindwa kuomba Dua mbaya kwa hapa kwetu ukamuombee mtu mweupe
Amezeeka
Hatari ila taifa kubwa ilo kitaileweka
Mbona mnamsimangaa Sana huyu mzeeer
@africanmandetraveler2847
Ай бұрын
Sasa waone kibaya wanyamaze
Kaishaa😂😂😂😂
Kama huyu ndio atakuwa mgombea wa marekani basi Trump ushindi kwake ni asubuhi.
@faidhamyovela179
Ай бұрын
Hawezi gombea
Mafenesi
Amekaa kama robot 😂😂😂
@wadantz123
Ай бұрын
😂😂😂😂jmn
Atoke
Si aachie madaraka?
afe tu mdhenzi huyo mzee ananyonga watoto parestn
Pole Kiongozi Rais Baiden-Unaweza kuahilisha Matukio,Hadi utakapina Uko Vizuri.Matatizo humpata Binaadam yeyote.Sina Uhakika na Umri unaweza kusoma Mazingira sio Lazima usimame.Ongea Kwa Mtandao Bado Mawazo Yako yanahitajika.Tumuombe Manani Akufanyie wepesi .Amiina.
Kama Ulitazama na kuielewa vizuri series ya WESTWORLD basi huna shaka huyu ni HOST 😅😅📌
MK ALTRA AT WORK THIS IS DARK WORLD MISSION
Tofauti kubwa miaka 4 mingi!
Mwamba alitokwa na mavi
Na bado
Afe kabisa huyo shetani
Hana tofaut na robot za bongo
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Wewe unamacho makali sana
Mbona mh Mkapa akiwa na miaka 83 alikuwa fiti sana tofauti na huyu Raisi wa USA.
Mm
huyo ni IA jiongezeni sio mtu
Daah kachoka san
Dam za watoto wa Gaza zina watafuna 😂😂
Rip 😅😅
Au robot!
Angekuwa ni Rais kutoka Africa wangeongea sana..
😂😂😂😂 Kawa Roboti
😂😂😂😂😂😂😂
Na bado. 😂 . Atajuta kuzaliwa huyu.
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Analaana zadunia
Kwann wanachagua Maraisi wazee sana wakat wapo vijana wengi wenye uwezo huo
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@MrA24G
Ай бұрын
Biden angepumzika kwanza kihistoria nyuma alipata tatzo la afya.Kapitia Mapito magumu maishani mkewe wa kwanza na mtoto walifariki kwa ajali jambo lililomtikisa sanaaa.Isitoshe kawa senator miaka mingi sanaaa mpk akawa makamu wa raisi.Vyema democrats wangemchagua raisi mpyaa.
Mwenetu anatarajiw kugombea tena raundi ijayo miaka mi4 mbele
Wamekuwa cloned nyie ndo hamuelewi huyo sio original
Hawa jamaa huwa wanatucheka sisi waafrika,vp nao mbona wana kiongozi mzee hivi?,sasa Biden na Paul Biya wana tofauti gani?
Huyo atakua ROBOT au Reptile waliona tunaenda kuumbuka 😅😅😅
Atakua hana marinda huyu mzee 😂😂😂
Saving Private Ryan,ndio story ya hiyo beach ilitengenezwa hapo
Huyu mungu. Amuweke amdhalilishe mpaka wengine wapateibra kupitiayeye
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Aamin
Wacha kudanganya watu mtangazaji eti uhuru wa marekani, na kama alikuwa hazijui hizo nyimbo acheze nn
Angejiuzulu
hahaha tumbo limevurga watu bwana hahha
Kuna mwingine huko Nigeria nae anaaguka kila wakt anasinzia kwny mikutano 😅😅😅
@abdulmruke2246
Ай бұрын
Wallah yule wa nigeria umri wake ni zaidi ya mwinyo nilicheka😂😂😂😂
@paulinewangila-cs6ys
Ай бұрын
@@abdulmruke2246nimejizuia nisicheke ilaaa😂
Na ya hapa mwetu yaonesheni. C na sasha alipatwa na mdharuba huko (K)akakinbizwa uarabuni!
Waarabu walishasoma Alibadri, na hiyo ikishik hakuna Dr anaetibu😂😂😂
Huyu kaekwa kwa sababu ni takwa la elites na cia na hata huo uchaguzi uliomuweka hapo ktk urais hakushinda kweli huyu.
Kweli uchawi hauna nchi 😂😂
Huyu mzee amechanganyikiwa aende nyumbani aache kutuma silaha huko Israel kuua wapalestina
Hasigombee mwakani jmn ila je Trump ndo atapita jmn😢
Nasikiag hy mtu mdori yan 😅😅😅
❤ Trump ❤
Afe tu firauni part 2 huyo
Huyu faza amechoka asije akabonyeza kitufe chekundu aangamize dunia kwa Nuclear.
Kwani kiti cha urais wa marekani c anacho?ss apo anatafuta chengine kisichoonekana?mh.ata bado wewe unasubiriwa uko kusikojulikana .
Hiyo ni robot
DT yuko fiti kabisa mzee Joe uzee ushaamtawala.
Mzee alikula kiporo!
Hyo ni clone
Donald Trump was a wrestler player
Atakuwa amejinyea
Nae mzee apumzikeee atakufa anatembea
interval ya miaka minne ya uzeeni ni kubwa kama miaka nane mzee
Trump ndo rais ajae Wa marekani
@rumdeesonsoa1811
Ай бұрын
Trump ndio mbaya zaidi kuliko Biden
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Ubaya wake upi. Icho chama cha Biden kinapochukua madaraka Dunia inakua Na fita
@rumdeesonsoa1811
Ай бұрын
@@Brunotarimo10 Trump ni mbaguzi anaejionesha wazi wazi
Apumzike hahahahahaha kiti kimejificha
Mungu ampe shifaa
@user-tq4lx9si1n
Ай бұрын
Hahanze kwanza kumpa babahako
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Umefeli sana wewe Mungu ua amuongozi mtu zwalim kamayeye kaa ukijuawewe
Muuaji huyo
Wanafirana lazma maviyawatoke hovyo ndiowanataka africanzima iwehivyo
Huyu Trump ndo kichaa kabisa hawapendi watu weusi
Unafikiri dam za watu ni nzuri?
Biden ningekuwa mm binafsi ningejiudhulu siku hiyo hiyo ili kuepuka aibu kwa taifa
Ili life tu mm silipendi ili li babu
Hawezi kuzuia mavi tako lipo wazi
Hao Wote hapo, wanaocheza ni Maroboti Tu, Wanapelekeshwa na Matajiri Wakubwa na CIA..
Robot Hilo 😂 Biden halisi washamsahau wenyewe 😅
Anaumwa
Tamaa za madaraka tu, alitakiwa kuwa nyumbani akicheza na vijukuuu.
Huyu mzee awezi kumaliza huu mwaka
Anashida trump
@Phina01
Ай бұрын
Ni bonge la racist mbaguzi balaa asikwambie mtu
Huyu baiden amewekwa tu kama robot
Ameva pumper
They send robot to their voyage than real human UK and america they spend
Hawa ma free masoni wanamambo mengi sana kwaiyo hamuwezi jua nini kinaendelea upande wapili wahiza
Hata mseme biden mi nne 4 tena na msimsemee afya yake yuko fiti ninyi ndo wagonjwa
@OmaryMwacha
Ай бұрын
Sio mi4 ataiwe400 ila waachane nasisi wasijafe watujua sana