INASIKITISHA: Rais BIDEN alivyoganda na kuonekana kuchanganyikiwa kwenye hafla ya Juneteenth IKULU

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 215

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vjАй бұрын

    Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    Ай бұрын

    Hao unaohisi wanateswa ndio wanawaomba Wamarekani wapeleke majeshi yao kwao kwa ulinzi

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_Ай бұрын

    Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂

  • @debbymwaka4048

    @debbymwaka4048

    Ай бұрын

    Sio bongo angekua wa African ingekua ni shida

  • @missp1814

    @missp1814

    Ай бұрын

    yaan BBC wanakera,ni vile viongozi wa Africa wanawaogopa ila wale watu ni waongo na wachochezi balaa

  • @nasibugunda7927

    @nasibugunda7927

    Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @Gody360

    @Gody360

    Ай бұрын

    Mapema sana washa anza kumpondaaaa

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345Ай бұрын

    Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    Ай бұрын

    Mpuuzi mmoja 😅😅

  • @TrinaRoman345

    @TrinaRoman345

    Ай бұрын

    @@abuusufian6506 Bata wahed nimewaza pakubwa ujue🤣🤣🤣🤣🤣👍

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490Ай бұрын

    Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868Ай бұрын

    Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''

  • @MashaMbwana

    @MashaMbwana

    Ай бұрын

    😂😂

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868Ай бұрын

    Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto... Kwa maana mshindani wake ni mgonjwa na ahajitambui tafadhali

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    Ай бұрын

    Unafikiri Marekani ni kama mataifa yetu sisi huku? Wenzetu system zao za uongozi ziko vyema sana rais sio Kila kitu kwao kama sisi

  • @user-xl9so6jg1e

    @user-xl9so6jg1e

    Ай бұрын

    Hiyo marekani ni shughuli nyingne huyo rais Hana mamlaka makubwa sana kwa hapo marekani usije ukafikilia hvo Yan ingekuwa ni hvo mbona Putin angeshafanya anayotaka mda tu..... Narudia tena hiyo ni marekani syo tatzo 😂😂😂

  • @shukurumsebaloli
    @shukurumsebaloliАй бұрын

    Utakuta iyo mzee ashakufa kitamboo afu icho kinacho onekana ni mdoli waliyo tengeneza 😂😂

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    Ай бұрын

    Naawashundi😂😂😂

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    Ай бұрын

    Alikufa kitambo na Last month alikuwa na rais ruto?

  • @theafricanprincevivecongo8632

    @theafricanprincevivecongo8632

    Ай бұрын

    @@agwalubifaridah7079 😂😂😂 we aupo dunia hii

  • @HaikaFredrick

    @HaikaFredrick

    Ай бұрын

    Akili za kimasikini hizo

  • @shukurumsebaloli

    @shukurumsebaloli

    Ай бұрын

    @@HaikaFredrick Tuambie sasa wewe mwenye akili zakitajiri

  • @SalickSuleiman
    @SalickSuleimanАй бұрын

    Duh

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249Ай бұрын

    Dua hizo zinafanya kazi…na atajinyea sana tu😂

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    Ай бұрын

    Si zifanye kazi Gaza, Sudan, Nigeria , Pakistan nk? Au zinachagua pa kufanya kazi?

  • @SamwelSospeter-lz9fm

    @SamwelSospeter-lz9fm

    Ай бұрын

    Duuuuuh

  • @bindatalent6972

    @bindatalent6972

    Ай бұрын

    ​@@emmadora7848😅😅 asee una akili sana hata kwenye maisha yako ya kawaida

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    Ай бұрын

    Uzee huo hata wewe unaweza kufika huko

  • @Gody360
    @Gody360Ай бұрын

    Aseeee

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624Ай бұрын

    Nomaa

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491Ай бұрын

    Dah uzee ubaya sn

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tvАй бұрын

    Kwa hiyo alijinyea

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    Ай бұрын

    Kujinyehata jinye mamahako nachupiyake iliyotoboko nyuma

  • @user-hb7mq8lg9e

    @user-hb7mq8lg9e

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @Expl0rer.

    @Expl0rer.

    Ай бұрын

    Kavaa pempas 😂

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Ndio

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    ​@@user-tq4lx9si1nkashajinyea nawewe ukazoe

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263Ай бұрын

    Akili ya binadamu ni kinyume kabisa na akili ya Mungu, mipango ya mwanadamu ni tofauti kabisa na ya Mungu, vivyo hivyo matashi, mapenzi na maamuzi. Naona dua za waliowengi wakimwombea dua mbaya Rais Biden, wakitaka afe hata leo. Kuna wengi walimwombea Rais Raisi wa Iran aishi milele..... Mapenzi ya Mungu si ya kibinadamu. Huenda ni kweli "dua la kuku halimpati mwewe"!

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9csАй бұрын

    Atariiii

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vwАй бұрын

    Urusi wana ujasusi wa hali ya juu na mpaka kwenye ndani serikali ya marekani wapo watumishi ambao ni. Majasusi wa urusi hauwenda wamempiga sumu

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    Ай бұрын

    Hata marekani nao ivyoivyo hadikwenye serikali ya urusi wapoweng watumish hambao nilaia wamarekan

  • @JamesMtewa-ro1dh
    @JamesMtewa-ro1dhАй бұрын

    hahahaaaaaa hujafa huja umbika

  • @saidkhatib9146
    @saidkhatib9146Ай бұрын

    Yan mbona bado dua za wenye kudhulumiwa

  • @Expl0rer.

    @Expl0rer.

    Ай бұрын

    💯💯💯

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Bado saana mbona

  • @user-xl9so6jg1e

    @user-xl9so6jg1e

    Ай бұрын

    Viongoz wetu wenyewe hawana akili wanatudhulumu unashindwa kuomba Dua mbaya kwa hapa kwetu ukamuombee mtu mweupe

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081Ай бұрын

    Amezeeka

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fmАй бұрын

    Hatari ila taifa kubwa ilo kitaileweka

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970Ай бұрын

    Mbona mnamsimangaa Sana huyu mzeeer

  • @africanmandetraveler2847

    @africanmandetraveler2847

    Ай бұрын

    Sasa waone kibaya wanyamaze

  • @Yayouselim
    @YayouselimАй бұрын

    Kaishaa😂😂😂😂

  • @stiveerasto1683
    @stiveerasto1683Ай бұрын

    Kama huyu ndio atakuwa mgombea wa marekani basi Trump ushindi kwake ni asubuhi.

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    Ай бұрын

    Hawezi gombea

  • @hijazhija316
    @hijazhija316Ай бұрын

    Mafenesi

  • @MsAggie5
    @MsAggie5Ай бұрын

    Amekaa kama robot 😂😂😂

  • @wadantz123

    @wadantz123

    Ай бұрын

    😂😂😂😂jmn

  • @duhuzebosco6207
    @duhuzebosco6207Ай бұрын

    Atoke

  • @JafariHamisi-gu4ef
    @JafariHamisi-gu4efАй бұрын

    Si aachie madaraka?

  • @MHDFURNITURE-jn2rx
    @MHDFURNITURE-jn2rxАй бұрын

    afe tu mdhenzi huyo mzee ananyonga watoto parestn

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2edАй бұрын

    Pole Kiongozi Rais Baiden-Unaweza kuahilisha Matukio,Hadi utakapina Uko Vizuri.Matatizo humpata Binaadam yeyote.Sina Uhakika na Umri unaweza kusoma Mazingira sio Lazima usimame.Ongea Kwa Mtandao Bado Mawazo Yako yanahitajika.Tumuombe Manani Akufanyie wepesi .Amiina.

  • @RagnarSnow-oq3nt
    @RagnarSnow-oq3ntАй бұрын

    Kama Ulitazama na kuielewa vizuri series ya WESTWORLD basi huna shaka huyu ni HOST 😅😅📌

  • @tanzaleo8670
    @tanzaleo8670Ай бұрын

    MK ALTRA AT WORK THIS IS DARK WORLD MISSION

  • @DeusPaschal-g5q
    @DeusPaschal-g5q25 күн бұрын

    Tofauti kubwa miaka 4 mingi!

  • @MassoudSalim
    @MassoudSalimАй бұрын

    Mwamba alitokwa na mavi

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983Ай бұрын

    Na bado

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271Ай бұрын

    Afe kabisa huyo shetani

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192Ай бұрын

    Hana tofaut na robot za bongo

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Wewe unamacho makali sana

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848Ай бұрын

    Mbona mh Mkapa akiwa na miaka 83 alikuwa fiti sana tofauti na huyu Raisi wa USA.

  • @mosesgodfrey4143
    @mosesgodfrey4143Ай бұрын

    Mm

  • @user-oh4vg6rm9s
    @user-oh4vg6rm9s24 күн бұрын

    huyo ni IA jiongezeni sio mtu

  • @evancetilya167
    @evancetilya167Ай бұрын

    Daah kachoka san

  • @babuwajinaommy725
    @babuwajinaommy725Ай бұрын

    Dam za watoto wa Gaza zina watafuna 😂😂

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7giАй бұрын

    Rip 😅😅

  • @Gody360
    @Gody360Ай бұрын

    Au robot!

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын

    Angekuwa ni Rais kutoka Africa wangeongea sana..

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475Ай бұрын

    😂😂😂😂 Kawa Roboti

  • @sarahrashidi9558
    @sarahrashidi9558Ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @Expl0rer.
    @Expl0rer.Ай бұрын

    Na bado. 😂 . Atajuta kuzaliwa huyu.

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Analaana zadunia

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Kwann wanachagua Maraisi wazee sana wakat wapo vijana wengi wenye uwezo huo

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347Ай бұрын

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @MrA24G

    @MrA24G

    Ай бұрын

    Biden angepumzika kwanza kihistoria nyuma alipata tatzo la afya.Kapitia Mapito magumu maishani mkewe wa kwanza na mtoto walifariki kwa ajali jambo lililomtikisa sanaaa.Isitoshe kawa senator miaka mingi sanaaa mpk akawa makamu wa raisi.Vyema democrats wangemchagua raisi mpyaa.

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345Ай бұрын

    Mwenetu anatarajiw kugombea tena raundi ijayo miaka mi4 mbele

  • @Churchofecclesia
    @ChurchofecclesiaАй бұрын

    Wamekuwa cloned nyie ndo hamuelewi huyo sio original

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304Ай бұрын

    Hawa jamaa huwa wanatucheka sisi waafrika,vp nao mbona wana kiongozi mzee hivi?,sasa Biden na Paul Biya wana tofauti gani?

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214Ай бұрын

    Huyo atakua ROBOT au Reptile waliona tunaenda kuumbuka 😅😅😅

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757Ай бұрын

    Atakua hana marinda huyu mzee 😂😂😂

  • @frankmare1708
    @frankmare1708Ай бұрын

    Saving Private Ryan,ndio story ya hiyo beach ilitengenezwa hapo

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2xАй бұрын

    Huyu mungu. Amuweke amdhalilishe mpaka wengine wapateibra kupitiayeye

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Aamin

  • @susans4490
    @susans4490Ай бұрын

    Wacha kudanganya watu mtangazaji eti uhuru wa marekani, na kama alikuwa hazijui hizo nyimbo acheze nn

  • @sponsor7882
    @sponsor7882Ай бұрын

    Angejiuzulu

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448Ай бұрын

    hahaha tumbo limevurga watu bwana hahha

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663Ай бұрын

    Kuna mwingine huko Nigeria nae anaaguka kila wakt anasinzia kwny mikutano 😅😅😅

  • @abdulmruke2246

    @abdulmruke2246

    Ай бұрын

    Wallah yule wa nigeria umri wake ni zaidi ya mwinyo nilicheka😂😂😂😂

  • @paulinewangila-cs6ys

    @paulinewangila-cs6ys

    Ай бұрын

    ​@@abdulmruke2246nimejizuia nisicheke ilaaa😂

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846Ай бұрын

    Na ya hapa mwetu yaonesheni. C na sasha alipatwa na mdharuba huko (K)akakinbizwa uarabuni!

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5wАй бұрын

    Waarabu walishasoma Alibadri, na hiyo ikishik hakuna Dr anaetibu😂😂😂

  • @mangofish9079
    @mangofish9079Ай бұрын

    Huyu kaekwa kwa sababu ni takwa la elites na cia na hata huo uchaguzi uliomuweka hapo ktk urais hakushinda kweli huyu.

  • @ngadumbishi1405
    @ngadumbishi1405Ай бұрын

    Kweli uchawi hauna nchi 😂😂

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724Ай бұрын

    Huyu mzee amechanganyikiwa aende nyumbani aache kutuma silaha huko Israel kuua wapalestina

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024Ай бұрын

    Hasigombee mwakani jmn ila je Trump ndo atapita jmn😢

  • @shaibukhamis863
    @shaibukhamis863Ай бұрын

    Nasikiag hy mtu mdori yan 😅😅😅

  • @MamaLio475
    @MamaLio475Ай бұрын

    ❤ Trump ❤

  • @lastborn7810
    @lastborn7810Ай бұрын

    Afe tu firauni part 2 huyo

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847Ай бұрын

    Huyu faza amechoka asije akabonyeza kitufe chekundu aangamize dunia kwa Nuclear.

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43Ай бұрын

    Kwani kiti cha urais wa marekani c anacho?ss apo anatafuta chengine kisichoonekana?mh.ata bado wewe unasubiriwa uko kusikojulikana .

  • @user-yn7mt4mh8n
    @user-yn7mt4mh8nАй бұрын

    Hiyo ni robot

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbeАй бұрын

    DT yuko fiti kabisa mzee Joe uzee ushaamtawala.

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236Ай бұрын

    Mzee alikula kiporo!

  • @josephsamwel6511
    @josephsamwel6511Ай бұрын

    Hyo ni clone

  • @silviasaleh4667
    @silviasaleh4667Ай бұрын

    Donald Trump was a wrestler player

  • @user-wk4rc6cb4i
    @user-wk4rc6cb4iАй бұрын

    Atakuwa amejinyea

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179Ай бұрын

    Nae mzee apumzikeee atakufa anatembea

  • @novatv3970
    @novatv3970Ай бұрын

    interval ya miaka minne ya uzeeni ni kubwa kama miaka nane mzee

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10Ай бұрын

    Trump ndo rais ajae Wa marekani

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    Ай бұрын

    Trump ndio mbaya zaidi kuliko Biden

  • @Brunotarimo10

    @Brunotarimo10

    Ай бұрын

    Ubaya wake upi. Icho chama cha Biden kinapochukua madaraka Dunia inakua Na fita

  • @rumdeesonsoa1811

    @rumdeesonsoa1811

    Ай бұрын

    @@Brunotarimo10 Trump ni mbaguzi anaejionesha wazi wazi

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6mАй бұрын

    Apumzike hahahahahaha kiti kimejificha

  • @callywillison8685
    @callywillison8685Ай бұрын

    Mungu ampe shifaa

  • @user-tq4lx9si1n

    @user-tq4lx9si1n

    Ай бұрын

    Hahanze kwanza kumpa babahako

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Umefeli sana wewe Mungu ua amuongozi mtu zwalim kamayeye kaa ukijuawewe

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554Ай бұрын

    Muuaji huyo

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2xАй бұрын

    Wanafirana lazma maviyawatoke hovyo ndiowanataka africanzima iwehivyo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368Ай бұрын

    Huyu Trump ndo kichaa kabisa hawapendi watu weusi

  • @Bahati47
    @Bahati47Ай бұрын

    Unafikiri dam za watu ni nzuri?

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842Ай бұрын

    Biden ningekuwa mm binafsi ningejiudhulu siku hiyo hiyo ili kuepuka aibu kwa taifa

  • @Kulwakisansa-zk5yg
    @Kulwakisansa-zk5ygАй бұрын

    Ili life tu mm silipendi ili li babu

  • @FahmiNassor
    @FahmiNassorАй бұрын

    Hawezi kuzuia mavi tako lipo wazi

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343Ай бұрын

    Hao Wote hapo, wanaocheza ni Maroboti Tu, Wanapelekeshwa na Matajiri Wakubwa na CIA..

  • @humbimusisa-db1tg
    @humbimusisa-db1tgАй бұрын

    Robot Hilo 😂 Biden halisi washamsahau wenyewe 😅

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927Ай бұрын

    Anaumwa

  • @maryamtan682
    @maryamtan682Ай бұрын

    Tamaa za madaraka tu, alitakiwa kuwa nyumbani akicheza na vijukuuu.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899Ай бұрын

    Huyu mzee awezi kumaliza huu mwaka

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992Ай бұрын

    Anashida trump

  • @Phina01

    @Phina01

    Ай бұрын

    Ni bonge la racist mbaguzi balaa asikwambie mtu

  • @Mumewangu
    @MumewanguАй бұрын

    Huyu baiden amewekwa tu kama robot

  • @evelynemugeni2369
    @evelynemugeni2369Ай бұрын

    Ameva pumper

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759Ай бұрын

    They send robot to their voyage than real human UK and america they spend

  • @chachamturi259
    @chachamturi259Ай бұрын

    Hawa ma free masoni wanamambo mengi sana kwaiyo hamuwezi jua nini kinaendelea upande wapili wahiza

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184Ай бұрын

    Hata mseme biden mi nne 4 tena na msimsemee afya yake yuko fiti ninyi ndo wagonjwa

  • @OmaryMwacha

    @OmaryMwacha

    Ай бұрын

    Sio mi4 ataiwe400 ila waachane nasisi wasijafe watujua sana

Келесі