Kwa Nini Marekani na Ulaya Wamechukizwa na Ziara ya Putin Nchini Vietnam

Rais wa Urusi Vladimiri Putin amemaliza ziara yake nchini Vietnam baada ya kuwasili hapo jana asubuhi, Alhamisi Juni 20, 2023, ambapo alipokelewa na mwenyeji wake To Lam, Rais wa Vietnam.
Ziara hii imekosolewa vikali na nchi za magharibi zikiongozwa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 20

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234Ай бұрын

    Wakome ..wamarekani wadhalimu sana.. Wana roho mbaya

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967Ай бұрын

    Endeles Putin kupanua wigo na kutafuta wadau wa kunyoosha hao mashoga.

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9eАй бұрын

    Hivi wapi wadharimu km ya urusi na marekani urusi pga hayo mashoga

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254Ай бұрын

    Marekani ndiye anaestahili kutengwa na dunia, anavuruga amani kwa faida yake. Atengweee.

  • @rashidmollel529

    @rashidmollel529

    Ай бұрын

    Kabisa!!

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gАй бұрын

    Wamarekani na ulaya mashoga wanaona waume kwa waume na wanawake wanaona wake kwa wake 😢😢

  • @SalimuKimaro
    @SalimuKimaro28 күн бұрын

    Wamarekani bado wanandoto ya kuendelea kuitawala Dunia, ni jambo ngumu sana,manya nyaso yao ndiyo wamafanya mataifa mengine kujipanga, ss anapata taabu sana, China ni super power kiuchumi na kijeshi ,marekani na mashoga kwisha

  • @PUTINN365
    @PUTINN365Ай бұрын

    Urusi piga hao mashoga

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887Ай бұрын

    Upo vizuri

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354Ай бұрын

    Wivu tu

  • @user-xl9so6jg1e
    @user-xl9so6jg1e24 күн бұрын

    Hao wataungana mpaka wachoke lakn mzungu ana tumia akili sana sana.... Marekani hawezi shindwa kirahc hvo

  • @MohamediOmari-nz4vv
    @MohamediOmari-nz4vvАй бұрын

    Vietnam wanapigana hawa jamaa 😅😅😅

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe901129 күн бұрын

    Mandira boy anawasungua vichwa, ❤Putin. Kama wanaweza wafanye ziara kwa Kim

  • @adimudachi7984
    @adimudachi7984Ай бұрын

    Yaani mpaka waseme pakahao

  • @user-xo4qc2hk4j
    @user-xo4qc2hk4jАй бұрын

    Putni ongeza washirika uwe na G 10 muwapige hao mashoga

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108Ай бұрын

    Washindwe kbs wamarekani

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370Ай бұрын

    Hilo niswali la wasio elimu.

  • @RamoDee
    @RamoDeeАй бұрын

    Marekani ni mbwa

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuicheАй бұрын

    Marecani jasusi wa dunia.

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    Ай бұрын

    marekani mashoga ya dunia

Келесі