Raddi Kwa Dr. Islam Muhammad kwa Tuhuma Zake Dhidi ya Masalafy..🎙Sheikh Abdallah Humeid حفظه الله

Пікірлер: 243

  • @saidimadzumba2266
    @saidimadzumba22667 ай бұрын

    Allah amlinde sheikh Islam! Husda zimweepuke na ampe afya njema!

  • @Hibu730
    @Hibu730 Жыл бұрын

    MashaAllah Dr.Islam yuko sawa. Twamuomba Allah atuhifadhi na atuongoze njia iliyosawa pia twamuomba Allah awape busara,hekima na upole baadhi ya masheikh ambao hupendelea zaidi vurugu kuliko busara.

  • @lASChanel-di7ki
    @lASChanel-di7ki Жыл бұрын

    Allahu akuhifath shekh dkt islam na akupe afya njema ama shekh abdallah hueidi Allaah akuongoze maana katika watu alio wataja dkt islam nawe umo na ina sikitisha sana

  • @shabanedin5633
    @shabanedin56332 жыл бұрын

    Aty Radii, kwa nani? Amejitakasa aje? Dr. Islam ALLAH amehifadhi anasema haki. Alhamdulilah.

  • @officialJauzy
    @officialJauzy2 жыл бұрын

    Wallahy kwa fitina hii hamna cha zaidi unachotaka zaidi ya hizi views zetu na kufarakanisha waisilamu .....hii sio haqq tafuta elimu ya usawa ufundishe waisilamu

  • @iddinkupe7459
    @iddinkupe74592 жыл бұрын

    Allah akuongoze kijana mwenzetu umepotea Sana na hicho kibri ulichonacho daah!!unahali mbaya Sana akhy Ila Allah akuongoze

  • @awadhmchaki6567

    @awadhmchaki6567

    Жыл бұрын

    Ww utaenda kuulizwa mbele ya Allah ww unamfikia Elimu Hebu tia mbele ya Sheikh Abdallah Humeid ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_1882 жыл бұрын

    Dr .islam muhammad Allah amukhifadhi yuko sawa kabisa ,very true hamna makosa yoyote hapo

  • @abbasmohammed2321

    @abbasmohammed2321

    2 жыл бұрын

    Sioni makosa pia mimi

  • @babauna3458

    @babauna3458

    2 жыл бұрын

    Dr islam yuko sawa kabisa, Alhamdulillah , Allah atupe mwisho mwema sote sisi watu Ahli sunna wal jamaa . Na wewe Abdulli humeid uko sawa kabisa lakini kuwa mpole katika kuweka watu sawa kam hii clip maneno mazuri.( Quran 16 :125 ) Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

  • @chabunu3367

    @chabunu3367

    2 жыл бұрын

    Sheikh Islam utatulia tu ukweli maana hapo dalili sio Akili ALLAH akuhifadhi islam

  • @abdulhalim5950

    @abdulhalim5950

    Жыл бұрын

    @@babauna3458 sasa ww upo upande wa nani naona huelewek

  • @Neighborsjiran
    @Neighborsjiran2 жыл бұрын

    MashaAllah Dr Islam Muhammad unafundisha vema Alhamdulilah

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul76192 жыл бұрын

    Dr islam Allah azidi kumhifadhi. Tuna faidika sana kwa Elimu yake. Na anazungu mziya bidaada sana tu ila yeye hachanganiy madaa kama huyo mwengine

  • @babauna3458
    @babauna34582 жыл бұрын

    Dr islam yuko sawa kabisa, Alhamdulillah , Allah atupe mwisho mwema sote sisi watu Ahli sunna wal jamaa . Na wewe Abdallah humeid uko sawa kabisa lakini kuwa mpole katika kuweka watu sawa kam hii clip maneno mazuri.( Quran 16 :125 ) Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.

  • @tvstation6472
    @tvstation64722 жыл бұрын

    Sote tunakubali mmesoma Ila punguzeni ukali humeid na mwenzio ibn bachu,, mnakera sasa

  • @alakhy9448
    @alakhy94482 жыл бұрын

    Abdallah humeyd acha ufinyu wa fikra

  • @abdulazizmohammad1105
    @abdulazizmohammad1105 Жыл бұрын

    Alhamndulillah shukra shkh abul khatwab kwa kubainisha njia ya wema waliotangulia nmekuelew hakika

  • @Abuu-Ayman148

    @Abuu-Ayman148

    Жыл бұрын

    حفظه الله

  • @YusuphSadiki

    @YusuphSadiki

    19 күн бұрын

    Akh ujue watu wanamtetea Islam Hali yakua kapinda watakuja kuulizwa mbele ya Allah kiukweli watu hawamchi Allah

  • @mohamedali7544
    @mohamedali75442 ай бұрын

    Mashekhe tende tuu

  • @JK-um6op
    @JK-um6op2 жыл бұрын

    Doctor Islam spoke the bitter truth wallah, dilele you are taking your faith for granted. May Allah guide us all.. Wallah bro dilele be humble.. this Deen belongs to Allah not individuals.. Deen is advice.. Also Deen belongs to Allah.. He may take his Deen and demote you cos of KIBR (wal 3iyadh Billah).. May Allah guide us All Yaarab..

  • @ghaleebahmeed6454
    @ghaleebahmeed64542 жыл бұрын

    Modern salafi's quote more sheikhs than the prophet and the sahaba. Hakuna mahali inakubalika kujitakasa nafsi wacheni kudanganyana

  • @ibnomar8144
    @ibnomar81442 жыл бұрын

    Aliye kata maneno haya sijuwi anataka kufika mu kitu gani ao anataka kupotosha nini maneno ya Dr yako sahihi 100% wala hajataja Mtu yoyote lakini wale waliyokosa elimu na kuvamiya wanapata shida saaana alikata ichi kipande Allah atakuliza na ujipange kujibu kwa dalili tosha maana unatumiya fikra za kupotosha watu kisha usalafi sio kundi ni njiya na muongozo kisha Dr mnasamakama saaana yeye sio masumi asiyokeseya anaweza kukoseya saaana t kumbe wakati mwingine mpe heshima yake ao mumfate mumulize aliyekusudia yani unataka kusema kuwa Dr ana support bid'a alaaaaaa Dunia hiyi utaona mengi

  • @mutomubaya
    @mutomubaya2 жыл бұрын

    بارك الله فيك Umeeleza mambo kwa njia nzuri. Shukran

  • @abdulshakurwafula4248
    @abdulshakurwafula42482 жыл бұрын

    Subhanallah. Sina ilmu lakini maneno aliyoyazungumza Dr Islam hayakutaja kikundi chochote ila alikuwa anayataja maneno waziwazi tu.

  • @chabunu3367

    @chabunu3367

    2 жыл бұрын

    Ndiyo hivo mm mwenye na mshangaa

  • @abulhanifah254
    @abulhanifah2547 ай бұрын

    Tazkiyyah aliyokusudiaa Abdhalla Humeid ni ya kujiepusha na Bida'h, Shirk na Dalalat . Masalafy hawajitakasi kuwa wao ni wachaa mungu sana. Masalafy wajitakasa kutokana na Bida'h,shirk na dalalat. Jamaa kuweni na insa'f (fairness) na muache ushabiki .

  • @abuuaminah5655
    @abuuaminah56552 жыл бұрын

    Allah asema 'walaa tuzakkuu anfusakum' Humedi amesoma mienzi sita alafu awadogosha maulamaa.

  • @nzeyimanarahma137

    @nzeyimanarahma137

    Жыл бұрын

    Mche mola wako .ye humeid alikufata akakwambia kuwa alisoma miezi sita?? Usimuhukumie mtu aliyakuwa hujamfata kumuuliza uhakika wake

  • @muhammad-Swaabir
    @muhammad-Swaabir2 жыл бұрын

    Humeid soma mwanzo huna ilmu unayo toa zaidi ya matusi

  • @shebesalim6674
    @shebesalim6674 Жыл бұрын

    Mashallah Daktur Islam

  • @yussufhamad3721
    @yussufhamad37212 жыл бұрын

    Hamuwezikuinyamazisha dawatusallafiya nyinyi endeleeni na uadui wenu ila naona mumechelewa tu daawa imekuwa mm mwenyewe allah nishahid masalafi nikiwaona wabaya mno kila mda watu wanatahadharisha na salafy mm nikaamuwa nitie niende darasani kwao wallahi ilikuwa naingia darasani na suti hali ya watu wote wamevaa kanzu ila mm nimeenda kusikiliza uwoubaya wao na nimeenda kuwakebehi wallah maajabu allah katiya hidaya zilesuti ninazo na nimenunuwa bei sijui lini nemezivaa wamenisomesha kwasasa kanzu naipenda sana kuliko vazi jengine na mm bado ni kijana ila kwa daawahii Allhamdulillah dawaimetubadilisha sana tulikuwa waovu sana na ilikuwa tunazania haitafika siku tutaacha ila kweli ELIMU NI NURU YA MAISHA ila sisekula pekeyake na yadini ndo hususa na masalafy wanajitahidi kusomesha wallahi kherikubwa allah awahifadhi na maadui masheikh wetu

  • @mariamswaleh8209
    @mariamswaleh82092 жыл бұрын

    Shukran Allah akubarik

  • @Abuu-Ayman148

    @Abuu-Ayman148

    Жыл бұрын

    اللهم آمين

  • @saidishalako
    @saidishalako2 жыл бұрын

    Assalam Aleikum.Alhamdullah.Nimelipata jibu lako Al Akh Suyutwi.Kila Sh. Ana njia ya ufundishaji wake.Nami naamini pia Mashekhe wale wanaokubalia kamera wapo wazuri tu na wanaokemea bida'a kadiri ya uwezo wao.Pia jua namkubali sana Sh Kassim(ALLAH Amhifadhi) na Marjii yangu kwa masala mengi tu.Ila kumbuka zama za Imam Abu Hanifa na Imam Hassan Thauri (Rehmallahu Aleikum)

  • @abdulhafidhswaleh1174
    @abdulhafidhswaleh11742 жыл бұрын

    Ogopa الله dilele

  • @aliyahya5785
    @aliyahya57852 жыл бұрын

    Wew achakujisifu wew unaejiita salafi. . Allah anasema "namsijitakase nafsi zenu yeye Allah ndio ajuae alie mchamungu kati yenu" hawa watu wahatari sana ...... Allah awaongoze katka haki

  • @mohamedali7544
    @mohamedali75442 ай бұрын

    Madhhab yapo kwa sababu ya watu lakini dini ipo kwa sababu imeletwa na Allah

  • @mn-fy7oq
    @mn-fy7oq2 жыл бұрын

    Jamani na wasiokuwa na elimu hzi twawafundisha nini kwa sababu mwenye elimu kama haijakaa vzri utachanganikiwa Mashekh jamani Mcheni Allah

  • @bahashachembea6922

    @bahashachembea6922

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @sahraqaalib902
    @sahraqaalib9022 жыл бұрын

    Namuomba Allaah Subhana Wata'ala amuhifadhi Dr Islam,kwani anatuelemisha saana na tunafaidika nae saaana.

  • @abbasmohammed2321

    @abbasmohammed2321

    2 жыл бұрын

    Ameen yaa Rabb

  • @rahmaabdillahi2795

    @rahmaabdillahi2795

    2 жыл бұрын

    Aamiin wala hataji mtu katika Duruus zake... Wanajishuku wenye kujishuku.... Kutokana na chuki

  • @hay3_8kal

    @hay3_8kal

    2 жыл бұрын

    آمين❤️❤️

  • @mwarabuwamafia5590

    @mwarabuwamafia5590

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188

    @ibn_maleeqqeibraheem_188

    2 жыл бұрын

    Allah yibarik.....shekh islam anatoa msfunzo mazuri sana hata mm ni mwanafunzi wake namuamini mia mia

  • @ibn_maleeqqeibraheem_188
    @ibn_maleeqqeibraheem_1882 жыл бұрын

    humeid duktur sio size yako ilmu,nenda ukafunzwe

  • @abdallahsalim9265
    @abdallahsalim92652 жыл бұрын

    Nenda ukae chini ya daktur Islam usome… wacha kutafuta umaarufuu kwa kumpiga vita. Sisi tulioko Tanzania tunamtambua dr Islam ni nanii. Sheikh ameogelea katika bahari ya elimu wewe umeshazama. Allah amuhifadhi Dr Islam.

  • @ahmedburhan-pl9vm

    @ahmedburhan-pl9vm

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @collinskiamakiama5846

    @collinskiamakiama5846

    Жыл бұрын

    Wacha ushamba

  • @abuuzwiin1876
    @abuuzwiin18762 жыл бұрын

    masala FIL FIL ..mzushi huishimu ramadhan..

  • @allykais8478
    @allykais8478 Жыл бұрын

    Masha Allah dr islam

  • @mahmoudkullatein8733
    @mahmoudkullatein87332 жыл бұрын

    Lion of Kenya

  • @salhacker7728
    @salhacker77282 жыл бұрын

    Abdallah Humeid mpaka kufikia kujibu ni waz una sifa hzo

  • @rahmaabdillahi2795

    @rahmaabdillahi2795

    2 жыл бұрын

    Imagine na Dkt hakutaja jina

  • @hassanbinhalkano1616
    @hassanbinhalkano16162 жыл бұрын

    ماشاء الله

  • @johnthumbi2528
    @johnthumbi25282 жыл бұрын

    Sheikh umesoma lakini omba ALLAH Akuongoze,unabeta ki elimu.sheikh islam anafudisha wenye mumepotesha

  • @aishahashim.5079
    @aishahashim.50792 жыл бұрын

    Abdallah humeid nenda kasome Kwanza Acha kujiinua Hakuna anepinga kuwa mwenendo wa watu wema ndio wajibu wetu kuifuata lakini maradhi ya nafsi ndio Sheikh anayazungumza Acha kujiinua Acha kujiinua Acha kujiinua Acha kujiinua. Tutauona utakasifu wako mwishoni mwa uhai wako

  • @husseinsuleiman614

    @husseinsuleiman614

    2 жыл бұрын

    mwanamke wa kiislam unahangaika na sm janja,maneno ambayo hayana adab wayazungumza...mumeo utamuheshim kwa hali hii? hao wote ni daai wa ahlu sunna..waache wawekane sawa wenyewe,,pigia fatwa ya sheikh fauzan..mizozo ya watu daawa..ww swaghiir..achana nayo fanya ibaadat, af cha2 fatwa ya sheikh fauzan kuhus mwanamke na kadhia hizi pamoja na kutumia sm janja..haifai..ww si wakusema abdallah humeid akasome,, abdallah humeid na dr islam wote wamesoma..ALLAH huwalipa kwa daawa..jipime ww unafanya nn kupata thawab? ni ushaur tu ndg yang bint

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan14522 жыл бұрын

    HATA KAFIRI ANOABUDU YESU PIA HUJIONA YUPO SAWA KAMA HUYU HUMEID. HAJUI KUWA UONGOFU ANOONGOZA NI ALLAH SW PEKEAKE.

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv62452 жыл бұрын

    UNATAFUTA VIEWERS AU? MAANA HAMNA RADD HAPO NA ATARADIWA VIPI ILIHALI ALICHOSEMA DR ISLAM NI SAHIHI

  • @habibmohaa1733

    @habibmohaa1733

    Жыл бұрын

    Huyu amemraddi sheikh Uthaymin Kwasababu dr lslam alimnukuu sheikh Uthaymin na wala hakuongeza neno

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea50832 жыл бұрын

    Subhaanallah

  • @tahirissa6579
    @tahirissa65792 жыл бұрын

    Abdallah Humeid nenda kwanza kwa Dr Islam ukasome Hii bahari si saizi yako

  • @saidihaji3739
    @saidihaji37392 жыл бұрын

    MIMI LEO NAULIZA .. (( KAMA USALAFI NI KUFUATA KITABU NA SUNNA)) NANI KTK WAISLAMU HAFUATI KITABU NA SUNNA KWA UFAHAMU WA SALAFI ???

  • @saidhamad9723
    @saidhamad97232 жыл бұрын

    Acha sifa ww abdallah punguza ria unaonesha izo sifa mbya zilizotajwa unahusika

  • @qurantajweed3935
    @qurantajweed39352 жыл бұрын

    😂 Humeid hawezi kamwe kukubali... Always contradict Hadiths by which favours him

  • @abuJamal15
    @abuJamal152 жыл бұрын

    Shida ya huyu ndugu yetu kila anaemfundisha mwisho wake huyo mwalimu anakua hizbi kulingana na hicho Chama chao

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or11 күн бұрын

    Ikisha maanswari wazenj anashangaza utakuta msikiti mmoja waonamatabligh wanashirikiana utadhani wakopamoja nahli nyoyozao zikotofaiti nakuthibitisha hilo sheish Omar alifukuzwa na matabligh kwakua anasomesha sharhu sunna (sunna na bid,aa dhwiddan mutanakidhwan)

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 жыл бұрын

    RADD NDIYO FAGIO LA KUONDOA UCHAFU KWA UISILAM,BILA RADD UISLAM UTAJAA TAKATAKA!!

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy67702 жыл бұрын

    Sasa huo nduo ujinga wako wagawanya watu kwa lazima na hiyo ndio tazkiya na wakataa.

  • @awadhtwalal8951

    @awadhtwalal8951

    Жыл бұрын

    Fadhali uwaambie. Wamekosa kazi. Kazi kujitakasa na kujiona hamna kama wao.

  • @amnadegneh5328
    @amnadegneh53282 жыл бұрын

    Asalam aleykum...al akh dilele umezidi....ukijifananisha na Dr islam urongo....alafu ww ndio hizbi maanake una tahazub akhi...kweli manhaj haina makosa lkn ww una makosa maana hujui mfumo wa nasiha....

  • @mahmoudkullatein8733
    @mahmoudkullatein87332 жыл бұрын

    May Allah protect you Abdalla Humeid carry on da’watul Salafiya

  • @Daarul_Ghurabaa

    @Daarul_Ghurabaa

    2 жыл бұрын

    آمين

  • @abdulhafidhswaleh1174

    @abdulhafidhswaleh1174

    2 жыл бұрын

    @@Daarul_Ghurabaa اسلم عليكم sioni kosa kaka nifafanulie tafadhali

  • @ankaldally2734

    @ankaldally2734

    2 жыл бұрын

    👊

  • @omarrankstvchannel9917

    @omarrankstvchannel9917

    2 жыл бұрын

    subahanaAllah hawa masheikhe ni wote Abdallah Humeid,kassim mafuta, Mohammed bachu na Dr Islam ni masalafi ni masheikhe tunawategemea na wasikiliza sna na kuwafwatilia lakini vle wengne wanawakosoa na kuwatoa katika usalafi hainifurahishi kabisa wanatuchanganya kabisa kujua njia sahihi ni ipi,sio sahihi kukosoana kwa njia hii,kujiona ww ni bora kuliko mwngne sio sawa ni vzri kutafuta njia kumwambia hapa umekosea na sio hivi katika mtandao

  • @abdulhafidhswaleh1174

    @abdulhafidhswaleh1174

    2 жыл бұрын

    Siku hizi hakuna kurekebishana ama kumtoa makosa imagine mpka dkt islam wamemtoa neema ilioje Allah amejalia hesabu ya waja kwake yy...na neema kubwa ilioje mlango wa kumtoa muislamu katika uislamu ni ngumu...ila hilo masalafi wa zama hizi hawaliwezi

  • @abumaryam6909
    @abumaryam69092 жыл бұрын

    Sheikh Islam amezungumzia watu sio dini bado hata wewe hujielewi kama ulivyojiona wewe uko sahihi hata sheikh yuko sahihi kama asingekua sahihi angekua ameshatoka huko alipo tumu ogopeni Allah (s.w)

  • @mwanaimachayoa8217
    @mwanaimachayoa82172 жыл бұрын

    Sasa kipi umekosoa hapo mbona unafanya vitu vya kipuuz hata asie kua na elmu atakuona mjinga

  • @lubuva708
    @lubuva708 Жыл бұрын

    Doctor ISLAAM Yuko Sawa

  • @chemistrymadeeasy7706
    @chemistrymadeeasy77062 жыл бұрын

    Jamaa mbona mwatuchezea, Doktur amesema Abdallah Humeid aende wakajadili wazi ukweli ujulikane. Sasa mbona yuaogopa? Kama hawezi enda basi acheni kelele.Manhaj Salafiyyah si kujiita Bali ni kufahamu ilmu.

  • @muhammad-Swaabir

    @muhammad-Swaabir

    2 жыл бұрын

    Wacha yeye hata kasimu mafuta hawezi kaa mbele ya duktrur akapotosha

  • @bahashachembea6922

    @bahashachembea6922

    2 жыл бұрын

    @@muhammad-Swaabir ni wengi kumbe

  • @jumasibanilo2912

    @jumasibanilo2912

    Жыл бұрын

    Jamaa angalieni Saaaana masaala haya iwe ni salafiya au haul sunnah Tena nashua na wengine pia tusifuate upenzi kuweka comment s tu bila tafkur kweli tunafuata sunnah au tunashabikia tu kulingana na tarbia zetu na jamii mzima tuliomo, kwa kiswal kisanii tukichanganya na batri nyingi!!!! Haya tulio comment hapa tuna wake wangapi, watoto wangapi, vip sadaqa zetu , vip qyamolei tunasimama??kisha tunaishi Kama waislamu kweli?? Au modern life kisha twasema eeh so waoslaam et mmhhh!!! Hayaaa

  • @awadhtwalal8951

    @awadhtwalal8951

    Жыл бұрын

    Ati akae mbele ya daktoor? Akae kwanza asome sahihul bukhari kwanzia mwanzo wa kitabu hadi mwisho. Kazi matusi na kujitakasa kujiona hamna kama wao kwa usawa... Bullshit. Iko siku mtazidi kudhihirika kwa upuzi mulokua nao nyinyi watu wa vurugu

  • @ahmedkhamis9539
    @ahmedkhamis95398 ай бұрын

    Sijawahi kuandika comment ila kuna mashekh wengine wanajiona kwamba wako sawa kwa kila jambo

  • @saidikabuta4982
    @saidikabuta49822 жыл бұрын

    Kwani anaekufa na kalimatu tauheed katamka haasa laa illaaha Ila llah muhammadu rrasuulullaah ataigia peponi???

  • @nzeyimanarahma137

    @nzeyimanarahma137

    Жыл бұрын

    Point Ni kuijuwa na kuifwata ndo Apo umemaanisha kufa nayo ikiwa mtu atakufa nayo hiyo Kalimatu tauhid Basi ataingia peponi hiyo Ni sahihi kabis Ni Hadithi ya mtume S.A.W Kumbe si kila. atakae itamka ataingia peponi lakini kila aliye kufa anaijuwa ujuzi usio kuwa na ujinga Basi ataingia peponi

  • @ramadhanmbwana5718
    @ramadhanmbwana57185 ай бұрын

    MASHAALLAH BAYANI IKO VIZURI MAHIZBIY WATAAMKA HAPO LAKINI HAKI ITABAKI KUA NI HAKI جزاكم الله خيرا أبا الخطاب

  • @khamisibanikhalifa8332
    @khamisibanikhalifa83322 жыл бұрын

    jamani kwangu Mimi Dr Islam yupo sahihi Kila mtu abaki na itikadi yake Ila sishangai sana mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake alisema uma utagawanyika makundi mengi Ila litakalo faulu nilile lililo fwata Qur'an na suna hivi vikundi vya nini

  • @mmn595

    @mmn595

    2 жыл бұрын

    hilo linalofata quran na sunnah ndio kundi hilo

  • @mwarabuwamafia5590

    @mwarabuwamafia5590

    2 жыл бұрын

    Sahihi kabsaa

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Swadaktaaaaa

  • @IbrahimIsmail-te7mw
    @IbrahimIsmail-te7mw Жыл бұрын

    Dilele we hujielewii

  • @IbrahimIsmail-te7mw

    @IbrahimIsmail-te7mw

    Жыл бұрын

    Anzisha account tukuoneshe usitumie ya ibnu baaz

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab91542 жыл бұрын

    Hio manhaj anajaribu kuieleza nani kama si mtu?Hivyo huyo mtu ndie atakaejibiwa,si manhaj.Na Dr.Islam kakosea nini na watu wanatenda na kusema aliyoyasema.Hata sekunde hajaikosoa manhaj.Tumuogopeni Allah,tena ni Allah peke yake ndie anayemjua nana kaongoka na nani kapotea.

  • @abuahlaam

    @abuahlaam

    2 жыл бұрын

    Majibu yako kwa ufupi sana Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ... Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote . Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or11 күн бұрын

    Mtuhajiiti mtuwasunna kisha akawa hazipigivita bid,aa nakuhadharisha watu nawatu wabid ,aa isipokua Alwah atamshughulisha nakutafuta dunia au atamuingiza ktk hizo bid,aa kama huku zenj maanswari wengine wameingia ktk jamaat tabligh wenge wamerudi kwenye usufi wengine daaesh wengine kwenye demokras wengine wametafut mashamba wanalima wameacha kusomesha _

  • @omarbwanaali2871
    @omarbwanaali2871 Жыл бұрын

    Acha kujitakasa.. Dr. Anaelimisha watu Kwa njia ya usawa.. Yako mambo mengi muhimu ambao waislamu hawayajui wafundishee.. Sio kutoa Raddi Kila kukicha.. wakosoa watu tuu.. Alkamalulillah☝️.. walaa tuzakkuu anfusakum, hua a'alamu bimanittaqaa

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 Жыл бұрын

    Haman daawa mbovu yakujitukuza kama hii

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum72897 ай бұрын

    Remember one think 🤔 ALLAH ajatuhita sisi masalafi but Ametuhita waislam suratul al Imran sasa teambie wapi Allah ameita uyu umma wa mwisho kwa jina salafiℹ️👂

  • @Kekulebenzene

    @Kekulebenzene

    29 күн бұрын

    ALLAH amewaita wapi watu wa bidaa au hawapo? Mbona mnajiita masufi, mashia nk?

  • @muhammadnassibu7706
    @muhammadnassibu77062 жыл бұрын

    ولا تزكو بانفسكم هو اعلم بمن التقى

  • @saidihaji3739
    @saidihaji37392 жыл бұрын

    MAWAHABI WALIKUWA WANAWAGAWA WAISLAMU KWA MUDA MREFU SAANA SASA ALLAH ANAWALIPA HAPA HAPA DUNIANI WANAANZA KUTAFUNANA WAO KWA WAO . NA HIVI SASA WAKO MAKUNDI CHUNGU MZIMA NA KILA MMOJA ANAJIONA YEYE NDIO SALAFIY WA SAWA .

  • @saidishalako

    @saidishalako

    2 жыл бұрын

    Assalam Aleikum. Nakunasihi ndugu yangu usiwe miongoni mwa wale wajinga.Hakuna watu wajiitao au kujinasibisha wahabi.Hili ni neno walitumialo maadui wa Daawa Salafiya kwa njia kejeli na stihizai. Nawe kama waipenda Sunna jiepushe nalo.

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    2 жыл бұрын

    @@saidishalako Rudi ktk vitabu utaona mawahabi ni mafuasi wa Muhammad lbn Abdul wahhab nnajdiii .. Ambae alidai eti kipindi chake hakuna mwenye kuijua maana ya [لا إله إلا الله ۔۔ محمد رسول الله] Na Shaafiiyyah ni wafuasi wa lmam shafiiii . Maalikiyyah ni wafuasi wa lmam Malik bni Anas. ....... Halafu rudi ktk vitabu utakuta mawahabi wenyewe wanalitumia jina la uwahabi kwa kujiita wenyewe. ........ ..... Nayo ni daawa ya fitna angalia wafuasi wake kila mmoja anamtoa mwenzake kila siku takriban wanagawana makundi makundi .. Badala ya kuwa pmj. Utakuta kuna makundi kibao kama. HAJAAWIRA. MADAAKHILA. SURURUYYAH JAAMIYYAH. ALBANIYYAH. MAJADIIDA. MAHIZBIYYAH N.K Yapo zaidi ya makundi 20 . Kazi yao ni kuugawa umma tu . WA INNAA LILLAH WAINNAA ILAIHI RAJIUUN

  • @saidishalako

    @saidishalako

    2 жыл бұрын

    Nishakuelewa ndugu Haji.Ila siku nyingine tutajie jina la Kitabu,kimfano tu .

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum72897 ай бұрын

    Nimeisha kufatilia clip zako nyingi

  • @mmn595
    @mmn5952 жыл бұрын

    muwe waadilifu ikiwa mtu amesom fatawa ya shekh ibn baaz kisha muchukuwe maneno ya dr islam ndio muyape kipaumbele

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid74752 жыл бұрын

    Dr Islam Muhammad Allaah Amuhifadhi yuko Sawa kabisa sababu huku uk(Uingereza) pia tuko nao Mfano wa hao wanaojiita Super Salafi Mtihani mkubwa huu Allaah Awape Hidaayah na sisi pia Dr Islam Amesema ukweli kabisa kuhusu Fikra hizo na kwa Masikitiko makubwa Wapo Jamaa wa Ahlus sunnah wa Jamaa wameanzisha groups Mfano wa hizo Wengine hata Sheikh Abdallah Swaleh Al Farsy (Rahimahu'Alllaah) Wanampiga vita! Hatari hii...

  • @jamalsaid7475

    @jamalsaid7475

    2 жыл бұрын

    JazakaAllaahu'khayran Dr Islam Allaah'Maak Sheikh Tunapata faida nyingi sana Maa Shaa Allaah Alhamdulillah

  • @didaali4799
    @didaali47992 жыл бұрын

    Waeza face to face na Dr Islam,wacha kujigamba kijana...kama kweli wajua haki na usawa kuna watu wataka kufikishiwa uislamu nenda vijijini huko

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Kundi Zima la kina humeidy huwa liko mijini wala haliendi vijijini kupeleka dini.Kazi yao kubwa nikukaa mijini na kula wali wakishashiba watafute Kanda za masheikh wengine waangalie kisha wawapige raddi baasi.Mafuta na humeidy jamani raddi sio dini

  • @mohammedkhalid9975
    @mohammedkhalid99752 жыл бұрын

    Sasa Daktur ametaja kundi gani hapo ?? Dr Yuko sawa ….Sheikh Abdallah nakusikiza lakini leo kafail lakini ndo Binadamu alivyo lazima kuna mahali atakosea Shukran

  • @mwarabuwamafia5590

    @mwarabuwamafia5590

    2 жыл бұрын

    Apigwe raddi na yy kwa uzish wake dhidi ya daktur amezoea kutoa raddi bila hoja za kielem

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Dilele hakosei kabisaaa tena sio yeye tu kundi lao Zima liko sawa kabisaaa.Wenye kukosea ni hao masheikh wengine

  • @lubuva708
    @lubuva708 Жыл бұрын

    Abdullah humeyd sijaona unachotetea kwasababu Sisi NI watanzania na tunasoma dagh'wah zenu hata ww huko Kenya mnayoharibu mengi kuliko

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah75292 жыл бұрын

    Mhhhh mnaparurana nyinyi kwa nyinyi sasa

  • @salehabri6957
    @salehabri69572 жыл бұрын

    Acheni kuachanganya waislamu na maneno ya mipasho,,hamuezi kuijua haki mpaka muende tabligh

  • @abuahlaam

    @abuahlaam

    2 жыл бұрын

    Hahaha hii yako sasa ni comedy

  • @kassimmsuleyman1055
    @kassimmsuleyman1055 Жыл бұрын

    dr upo sahihi sisi wengine hatufat upepo tunapima dalili wallah baadh ya masheikh km utawasikiliza unaweza kuwaingiza moton wote washao tangulia mbele yahooأَسْتَغْفِرُ اللّٰه

  • @aliraso1129
    @aliraso11292 жыл бұрын

    Endelea Sheikh usichoke kuwaweka sawa hao tsalafu

  • @iddinkupe7459

    @iddinkupe7459

    2 жыл бұрын

    Daah!! Wew unafuata tu Kama mkia Allah akuongoze

  • @halimahussein6792
    @halimahussein679211 ай бұрын

    acheni mambo ya Raddi kila mmoja afundishe kile chenye ushahidi ndani ya Qur-an na sunna

  • @dassuabdullah867
    @dassuabdullah8672 күн бұрын

    Mlinganiaji kajaa kibri saana na kukosa hekma na busara

  • @halidijuma1884
    @halidijuma18842 жыл бұрын

    Mawahabi kwa Mawahabi

  • @abdulisomani2443

    @abdulisomani2443

    2 жыл бұрын

    unamjua Muhammad IBN Abdul wahab wewe ..kaa chini usome Allaah akuongoze

  • @halidijuma1884

    @halidijuma1884

    2 жыл бұрын

    Abdul somani Bora wewe unaemjuwa ulikaa chini ulisoma nae,,Babaa ,,,hatuwezi kuwa mawahabi kwa staili hiyo ya DHARAU kwa WENGINE,,

  • @abumuadh511
    @abumuadh5112 жыл бұрын

    Hawa wanafunzi ni wafitinishaji maana kukatakata video ni ujinga wao;na ukiuliza raddi yiko wapi hatokujibu;maneno ya Dr. Masha Allah yako sawa na ukiskia mwisho wa maneno ya Sheikh Dilele hayana tafauti.tena Dr. hajataja manhaj ametaja baadhi ya watu .wanafunzi tumche Allah

  • @abbasmohammed2321

    @abbasmohammed2321

    2 жыл бұрын

    Ni kiki tu wanatafuta hao

  • @mohamedalawyi8336
    @mohamedalawyi83362 жыл бұрын

    Dr Islam uko SAWA . Tunajua MaSheikh wengine kila kitu WAJUA wao . Achana nao .

  • @abuahlaam
    @abuahlaam2 жыл бұрын

    BAYANA KWA UFUPI kwa yule asofaham uhakika wa jambo Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ... Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote . Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

  • @hadanahadana4205

    @hadanahadana4205

    2 жыл бұрын

    Wewe kama huelewi wengine wanaelewa alicokifundisha

  • @halimakassimngare4873

    @halimakassimngare4873

    Жыл бұрын

    wacha ushabikii katika dini wacha kuzungmzia vibaya da'awa za mashekh mujtahidiin,,,, wacha kuftinisha watuu waislam wengi wanafaidika kwao...tafta ya kuzungumza na kama huna unyamazee

  • @shabanijuma4162
    @shabanijuma41622 жыл бұрын

    hakika manhaj salafiyaah imekingwa na makosaa

  • @salhacker7728

    @salhacker7728

    2 жыл бұрын

    Man haj imekingwa vp watu wake?!

  • @shabanijuma4162

    @shabanijuma4162

    2 жыл бұрын

    siasema watu wake nimesema manhaj kama manhaj

  • @shabanijuma4162

    @shabanijuma4162

    2 жыл бұрын

    usahihi ni kwamba ukifuataa manha unafuata njiaa sahih isiyonamashakaa ndani yake kwasabbu ni mafunzo ya uhakika lkn haimaanishii kuaa ukiwa unafuata dhambi hukosei katika makosaa ya kibiinaadamu hakuna binadamu asiekosea naa ukifuata manhaj ukakosea katika jambo ladini manhaj yenyewe inakurudishaa katka mrengo sahihi Allah mjuzi zaid

  • @salhacker7728

    @salhacker7728

    2 жыл бұрын

    @@shabanijuma4162 vzur nimekuelewa. Haya hyo jeuri na kibri kinacho fanywa na baadhi ya wanao jinasibisha na kujiona kwamba hyo njia ni yao na sio ya watu wengine na kujifadhilisha dhid ya wengine, na kutumia vpim ambavyo yanaenda kinyume na njia ya Mtume na maswahaba zake

  • @mahirjamir8528

    @mahirjamir8528

    2 жыл бұрын

    Naam

  • @ibnomar8144
    @ibnomar81442 жыл бұрын

    Maneno haya hayaendani acha kukosa kazi yakukata ma video pasina kufikiriya kwanza byenye Dr alisema ana umedi apa na wapi ? Na bid'a zipi zenye Dr ana support? Kisha hakuna mtu yoyote anayefata wema waliotanguliya akawa mwenye kutukana watu kunako baisha haki japo atajita jina gani kisha Allah anangaliya matendo ya mwisho ya mja kikubwa nikuomba mwisho mwema njoo cha lazima kisha u fan unaharibu dini saaana tu tafuta haqqi shikamana nayo kisha batili iyache

  • @rahmaabdillahi2795

    @rahmaabdillahi2795

    2 жыл бұрын

    Tatizo wanaingiza ubinadamu wao katika Daawa... Na chuki juu ya Neema aliowaruzuku baadhi yao juu ya baadhi

  • @salimuselemani8754
    @salimuselemani87542 жыл бұрын

    Humeid ninahisi kama uko na Hasad sana. Badilika kwa ajili ya Allah .

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Nakubaliana na wewe mia kwa mia.Humeidy ana shida kidogo naona akilini.Na wafuasi wao pia wakiambiwa twendeeeee hao wenda wala hawahoji.Mtazamo wangu mimi humeidy na mafuta wanadi kundi lao zaidi kuliko kuitangaza dini

  • @user-wu5gu2ny1v
    @user-wu5gu2ny1v5 ай бұрын

    Hii raddi ni ya mtu wa mwisho anapigwa na wa mwanzo . Sikilizeni uzuri

  • @JK-um6op
    @JK-um6op2 жыл бұрын

    ياشيخ عبدالله حميد اترك الفتنة يأخي.. خليك اديب وحشيم يأخي.. ولا تزكي نفسك زي ما انصحك الدكتور اسلام (حفظه الله) الله يهدينا جميعا

  • @AjsProSigns
    @AjsProSigns2 жыл бұрын

    hawa wanaoondesha hizi chanel inaonekana ni watoto kiakili hata kama wana watoto

  • @mwarabuwamafia5590
    @mwarabuwamafia55902 жыл бұрын

    ⚖️MAJIBU YA KIELIMU(رد علمي) KWA KASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID KWA KITENDO CHAO CHA KUMTOA KATIKA SUNNA SHEIKH DR ISLAM BILA HOJA WALA DALILI⚖️ ▪️Katika Majibu yake Sheikh Kassm alisikika akidai kuwa Sheikh Dr Islam Muhammad Saalim(Allah amhifadhi)eti halinganii Dawaah ya Kisalafu na Sunna kwa Maana analingia Batili na Upotevu !. ▪️Ni vizuri kwa Muislamu kujua Maana halisi ya Daawah ya Kisalafi (دعوة سلفية)ni atakudua kuwa maneno ya Kassim kwa Sheikh Islam ni Maneno ya Uongo na Uzushi. NI NINI MAANA YA DAAWAH YA KISALAF(الدعوة السلفية )? ▪️Ni kuwaliangia na Kuwaita watu kufata Uislamu sahihi alio ufundisha Bwana Mtume Muhammad (Sala lahu alayhi Wasallam),Maswahaba ,na Taabiina na wale wote walio fata kwa wema hadi Siku ya Qiyaama.Vile vile Ulinganio huu unaitwa Daawah ya Ahlu Sunnat Wal Jamaa. MISINGI MIKUBWA YA DAAWAH YA AHLU SUNNA ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejengwa juu ya Misingi mbali mbali ,Na Miongoni mwa Misingi hiyo:- 1.KULINGANIA WATU TAUHIID ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejikita katika kuwalingia watu katika kumpwekesha Allaah(Taalaa)Katika Matendo yake,Ibaada zake ,Majina na Sifa zake . ▪️Daawah ya Ahlu Sunna inapa Tauhiid kipao mbele katika yanja mbali mbali za Daawah ,ikiwemo :- (I)Kuifundisha (ii)Kundika Vitabu (iii)Kueleza katika Majukwaa na Mitandao mbali mbali ya Kijamii. 2.KUPIGA VITA SHIRKI ▪️Daawah ya Ahlu Sunna imejengwa katika msingi wa kupiga Vita Shirki ,Kufur na Washirikana kwa aina zake zote . 3.KUPIGA VITA BID'AA ▪️Daawah ya Ahlu Sunna ni yenye kupiga vita aina zote za Bidaa (Bidaa za Kiitikad,au bidaa za Matendo) vile kupiga vita Makundi yote ya watu Bidaa na kubainisha Upotevu wao ili waislmu watahadhari nao. 4.KUTILIA UMUHIMU ELIMU ▪️Daawah ya Ahul Sunna inahimiza watu kutafuta Elimu , kusoma ,Kufundisha na kuisambaza . ▪️Daawah ya Ahlu Sunna haibagui Elimu maadamu Elimu hiyo ina manuufaa kwa watu . 5.KUHIMIZA TABIA NJEMA ▪️Daawah ya Ahlu Sunna inahimiza watu kujipamba na Tabia njema za Kiislamu Mfano Ukweli,Uwadilifu,Uwamifu n.k,kutahadharisha watu na tabia Mbaya mfano Uongo ,Chuki,Khiyana ,Jeuri na n.k . ZINGATIA:- (i)Daawah ya Ahul Sunna sio Dawaah ya Kutukana watu,Kusambaza Majungu na Fitna,Kuhukumu watu Kwa Dhulma na Ujinga kwasabu ya kutofautina na Mtu Katika mambo ya Kifiqh ambayo yanakubali Ikhitilaaf (ii)Msingi gani ambao Sheikh Islamu ameghalifu au jambo gani la Batili ambalo amelilingia Katika Darasa zake ??? Ni wajubu likwe wazi na sio kungea kwa dhana tu . (iii)Usalafi sio Ukoo ,wala kabila la Mtu,bali Usalafi ni Kufata Mwenendo wa Mtume Muhammad (Salla Lahu alayhi Wasallam)mtu anaweza kuwa Salaf na wala hajiiti kwakuwa mazingatio ni kufata sio kujiita ,Vilevile sio Sharti la Mtu kuwa salafi katika Ukanda huu wa Afrika Mashariki lazima ashirikiane na Kassim Mafuta au lazima yeye ndio ampitishe kuwa fulani Salaf . (iv)Nilio yataja hapo juu ndio anayo yalingania Sheikh Islam kwa mujibu wa Darasa zake kupitia Akauti zake.kwa mtu ambae hana chembe ya Taasubi atembelee Akauti za Sheikh Dr Islam atajua kuwa Sheikh analingia Dawaah ya Ahlu Sunna wala halingii Batili kama anavyo dai Mafuta. Allaah atupe Elimu na Uwadilifu Inaendelea ... وصلى الله وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين . Muandishi :- Ally Yahya Al-Qusheiry Dar es Salaam ,Tanzania 📞+255652082775

  • @abuahlaam

    @abuahlaam

    2 жыл бұрын

    Majibu yako kwa ufupi sana Dr islam anashirikiana na watu wa bidaa katika Da'awa yake ... Ahudhuria makongamano ya watu wa bidaa tena wale wenyewe achana na mahzibi mfano wa yusufabd mbali ashirukiana na masufi ... Kwa mfano ashahudhiroa makongamano kadhaa ukumbi wa sh khalifa yalokia yamechanganya moka masufi wakubwa Dr islam hawapigi vita wazushi walo jazana katika mji wa mambasa mbali ataka kuonyesha daawa yao ni sawa tu na ndo asema watu wasibainishwe wasipigwe raddi wala wasitajwe kwa majina yao......... yeye hawataji watu wazushi wasanii kama yusufabd au kipozeo jambo ambalo limepelekea umma kuwaona wazushi hawa wako sawa ni watu wa sunna... Da'awa ya sunna akihitajika atajwe mzushi mtu muovu hutajwa tu kama vile Quran imetaja watu waovu kwa majina yao na mtumeﷺ pia kataja Dr islam hasomeshi tawhid hana hata kitabu kimoja ashawahi kusomesha cha tawhid na hilo ni kwa sababu ajua wafuasi wake watakimbia akisomesha tawhid na yeye ataka wingi wa watu ...sio usul thalatha wala kitabu tawhid wal qawaidul arbaa hana hata risala moja a Tawhid amesomesha Dr islam hana malezi katika Da'awa yake wanachuoni huanza kuwalea watu kwa elim ya chin wakipanda polepole.... dr islam hafanyi hivo ... Watu wengi wanaokaa chin ya dr katika watu wa kawaida hakuna faida wanapata asomesha mambo makubwa kuliko akil zao.... wengi wao hubakia tu kusifu umeskia darsa ya leo ilivokua kali lakn hana alilofaham ... Kwa mfano 40 nawawia amesomesha taqriban miaka 4 hio riyaadhu salihiina sjui atasomesha miaka mingapi .. usluubu huo haumnufaishi muislam wa kawaida asojua namna ya iutawadha kuoga janaba kuswali asojua tawhid atakufa bila kujua tawhid .. bali hata wanafunzi wanafatilia hadith moja moka unachoka wengi wao wanatoroka darsa zake unaenda unkaa mwaka mzima ukirud kitabu akijafika popote . Dr islam aweza maliza ramadhan nzima darsa ni neno ardhi tu bas ramadhan ikaisha hivo hajatoka hapo ... Suratul qaaf amesomesha saa hii naona ni karbia miaka minne ndani ya ramadhan Moinganizi ni yule anaelea umma kwanzia kwa elim ndogo akioanda juu awaam hawajui lolote yeye awapa masala makubwa kuwapotezea mda .... Mimi mwenyewe noimfatilia dr katika kusoma nkaona napoteza mda na sisongi mbele Najua haya kwa yule mwenye ushabiki kwa dr hatoelewa lakin atakaeyasoma kwa makin atajua ninachokusudia Qasim amafuta mfatilie katika darsa zake utaona faida kubwa sana Quran walalh tarjama yake ndo tarjama ulokua bora mara kumi ya Dr ina faida kemkem wala harefushi kwa namna ya kuchosha kama dr wala hafupishi ufupisho wa kumnyima mtu faida Na mimi nazungumza hivi kwa sababu niko na ujuzi na pande zote... kwa mda mrefu noikua mfuasi wa hao mashekhe akina dr. Yusufabdi ambae sasa hivi amekua msanii sh bahero kipozeo nurdin kishki wa kuacti na wengineo ambao hatukuwahi ifaham dini yetu mpka tulipojiliwa na daawa salafiya Allah awahifadhi mashekhe wa Da'awa hii mubarak

  • @jamalsaid7475

    @jamalsaid7475

    2 жыл бұрын

    JazakaAllaahu'khayran Sheikh Shukran sana kwani Umesema ukweli kabisa Alhamdulillah Dr Sheikh Islam Muhammad Yuko sawa kabisa Allaah Atuongoze sote Waislamu. Allaah'Maak Sheikh.

  • @user-bp6fb6wo5u

    @user-bp6fb6wo5u

    2 жыл бұрын

    @@abuahlaam barakallahu fiik akhy duh umefungua mambo wazi kabisaa..... anaetaka haki ameelewa, sikai tena chini yake...

  • @allykais8478
    @allykais8478 Жыл бұрын

    Mbna dr ajataja m2 hapo yy kaelezea tu

  • @macmilanisaac1708
    @macmilanisaac17082 жыл бұрын

    Shekhe wewe wamtoa mwenzako makosa? Kama hujamuelewa kwanini usimfuate ukamuliza uwazi wake badala kuleta fitna katika mitandao. ..

  • @bahashachembea6922

    @bahashachembea6922

    2 жыл бұрын

    Swadaqta

  • @rahmasaleh1984

    @rahmasaleh1984

    2 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa kama mtu ana makosa unamfuata lkn haya mambo ya kusema kwa mitandio si ktk uislam wakweli na inaonesha wazi huyo shekh anachuki na mashekh wenzake kwaajili video zake nyingi ni kuwakashifu mashekh wenzake na yy anajiona yuko perfect sasa huo ni uislam kweli,?

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Wana tabia ya kujiona wao ni mitume haswaaaa mafuta na huyo mwenziwe humeidy

  • @hassanlahm577
    @hassanlahm5772 жыл бұрын

    hapa ndio penye matatizo kwel ujitukuze nafs yako wakat allah anasema musijitukuze nafs zenu allah ndio anajua nan anafaa kutukuzwa

  • @salhacker7728
    @salhacker77282 жыл бұрын

    Hakuna ane kosoa manhaj, wanakosolewa ni watu waliopo hai kwakua ndio hawajasalimika na fitna ama mtume na maswahaba wao hawapo hai na mwisho wao unajulikana. Hay nyie wenzangu na mie ambao mpo hai mnao kosea na kutaraj vp hapo?!

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Жыл бұрын

    Humaidi Wewe ni Simba Wa East Africa Wataelewa tuu

  • @eddiesantos2888
    @eddiesantos28882 жыл бұрын

    Assalum Aliekum warahamatulahi wabarakatu I would advice Dr Islam NOT to respond to this Fellow.

  • @ophaid

    @ophaid

    2 жыл бұрын

    Dr will not waste his time at all. We feel sorry for this person

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri2 жыл бұрын

    Dr Islam kiboko hahahah... yaani ata ipe raddi ukimpiga ujipange hahaha. Maana ata cha kumsemea lazima ukipafute. Salafia jadida ifike siku mufahamu udhaifu wenu. Mnajitukuza sanaaaa

  • @adammgana5715
    @adammgana57152 жыл бұрын

    Hizi dawa za radi hushusha upendo baina ya waislam kwa waislam inawafanya mpaka kuwaona waislam wenzenu makafiri .... Muda wote salafi mpo kwaajili ya kuwafundisha watu ikhtaraafu tu hamuwafundishi watu namna ya kujishusha na kuwa wenyenyekevu baina waislam na kumcha mungu nyie mnawafundisha watu kuwa kibri acheni kibri .. Humeid kasome dawa yako bado haileti athari katika mioyo yetu ..

  • @husnamohamed9448

    @husnamohamed9448

    2 жыл бұрын

    Popote ulipo kunywa soda bro.

Келесі