RADDI KWA JAFAR SAGGAF ||Sheikh Abdallah Humeid حفظه الله
Жүктеу.....
Пікірлер: 38
@ZuberiGau3 ай бұрын
Amiina. allah akupe dhabapi kuwarudd hawa watu
@gmai4465 ай бұрын
MASHA, ALLAH SAYYID JAAFARI ALLAH AKULIPE KHERI DUNIA NA AKHERA
@ramadhanabdallah94768 ай бұрын
Uko vizur mzee ALLAH AKUHIFADHI
@ramadhanabdallah94768 ай бұрын
Nimekuelewa ❤ allaah akupe umru mrefu wenye kheri na barka
@AbduNgarubulwa7 ай бұрын
Mashaalah!!!
@YousofShaamal-bt3br Жыл бұрын
mashaalaa baraka alaahaa na wapndasana mashehe kwajili ya allah k7unazungumza hakii
@husseinvarvani982311 ай бұрын
This innovaters need to be educated
@sultansaidsalehe3805 Жыл бұрын
Mashaallah Allah ukuhifadh Abul khatwab
@abdulkhalfan8586 Жыл бұрын
Sheikh Jafar Saggaf siyo mzee ni kijana bado
@jumanneissa7118
Жыл бұрын
Bc abdallah humeid anamiaka takriban 31 saagaf zaid ya 45 Nani aitwe mzee bc achana na umli chukua maneno ya raad
@ndongeyejackobo40597 ай бұрын
Salaaaaaaala ,hahahahaha, in short i love you sheikhe for the sake of Allaah
@khamisiiddi24706 ай бұрын
Wallaahi nilikua nikisikia eti uliensa kusoma miez sita naomba unijibu kwa inswafu na kwa ikh,laaswi je nikweli ulikwenda kusoma nje ya tanzania miez 6?
@Abdulrahman.84 Жыл бұрын
Aslm alykm Sheikh Abdalla Humeid... Naomba kuuliza baadhi ya masaala ili nipate jawabu kwa Inswaf..Hii Hadith ya Ukba Bin Ameer ndio iliokuja mwanzo ama hili tukio la Sayyid na Bilal Bin Rabbah?ndio Mtume S.A.W.ndio Mtume S.A.W.akatoa bishara kuwa hili jambo ni zuri na watu wali fanye... Mtume S.A.W.aliwahi kuswali Raq'aa mbili za Sunmak wudhu? Hawa ASWHABIL QAAFI walitawasal kwa Amal zao na wakakidhiwa haha zao sasa hiyo ilikuwa ni Shirk? Jee walitegemea AYA ama Hadith gani hapı? Mtume S.A.W. alipendekaza kuwa Maiti ni Bora kustiriwa kwa haraka... Mbona Maswahaba wakubwa walimueka Mtume S.A.W.kwa muda wa siku tatu (3) hiyo haikuwa Bida'a kweli? Mbona Maswahaba wakubwa walimswalia Mtume S.A.W. kwa mapote mapote hivyo ndivyo Mtume S.A.W. alivokuwa akifanya?ama wewe waweza kumfanyia mtu wako hivyo kweli?Jee hiyo si Bida'a ? Mbona wala yamini kuwa Maswahaba hawakufanya Bida'a. Tafadhali naomba jawabu kwa ikhlas /inswaf... Shukran wajazaka allahu kheir...
@muhammadhussein5741
Жыл бұрын
Nakuomba kwa ikhlas kasome sana habib
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
@@muhammadhussein5741 JIBU HAYO ULIOULIZWA ITAKUWA SOMO TOSHA MAISHANI MWAKO UKIPATA MAJIBU YA HAYO MASUALI
@swalehmohamed4849
9 ай бұрын
Je hii Aswalatu khairun mina Naum iko hadith Kabla yake? Nani alimpa ruhsa Aongeze kabla ya kumuuliza Rasuul? Na jee Jibreel alipofundisha Adhan kwa nini asiifundishe kabla
@Saaid-yv6bg Жыл бұрын
Wallahi billahib thallawahi sheikh Abdallah humeid ukija south africa cape town ukiyaona yale mazingira watu wanavyo ishi huwezi tena kuongelea kuhusu maulid tatizo lako husafiri..
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
Kwani south Africa ndio kuna nini hadi tuinyamazie ❓❓❓❓ Hakuna siku Ahlu sunnah waljama'ah kuinyamazia bid'ah yoyote ile hata kama itafanyika nchi tukufu ya saudia lazima TUTALIKEMEA
@abuumuhammad8714
Ай бұрын
Unataka kusema nini labda
@omarally681911 ай бұрын
Vichwa vibovu kwelikweli
@BakariBinuri2 ай бұрын
Masuf wanatumia akil zao sio dalili
@badmanno.16503 ай бұрын
Mtu anachukua dhima kabisa ya kuingiza watu peponi kwa bid3a ... Hii ni hatari .. . Na si kwa ubaya watu wa lamu mbona ni wazushi mno??? 😢😢
@abuumuhammad8714
Ай бұрын
Kwa iyo ndio na wewe hutaacha uzushi kwa sababu hiyo
@mafiatv54799 ай бұрын
hangaika tu, sheikh jafar humpati humpati hata theluthi ya ilimu yake
@sumeyaahmed4187
7 ай бұрын
Aaaah kabisssa kaka shekh jaafar ni mzittto sana
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
Mzito kwa kuwasingizia maswahaba kuwa walizua
@mafiatv5479
7 ай бұрын
@@SugowFarah-up3db hilo lako
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
@@mafiatv5479 hamuoni aibu kuwasingizia maswahaba kuwa walifanya bid'ah
@husseinvarvani98238 ай бұрын
Sagaf ni mpotevu mkubwa na hoja zao hazina ukweli
@AbuuMaahirAsalafy Жыл бұрын
Masufi tatizo uelewa wao kwenye dini hutumia akili zao hapo ndo wanapopinda.
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
MAWAHABI MMEKURUPUKA
@mafiatv5479
9 ай бұрын
wewe fanya ujuacho wape wenzako nafasi wafanye yao, mbn mnakua mashoga na maneno ya kebehi
@hilalkhalfan1452
9 ай бұрын
@@mafiatv5479 MAWAHABI HAWARIDHIKI MPAKA TUPIGANE VITA WAISLAMU KWA WAISLAMU TUUWANE, BILA HIVYO DUNIA HAIKALIKI. WAO HAWANA UGOMVI KABISAAAA NA MAKAFIRI.
Пікірлер: 38
Amiina. allah akupe dhabapi kuwarudd hawa watu
MASHA, ALLAH SAYYID JAAFARI ALLAH AKULIPE KHERI DUNIA NA AKHERA
Uko vizur mzee ALLAH AKUHIFADHI
Nimekuelewa ❤ allaah akupe umru mrefu wenye kheri na barka
Mashaalah!!!
mashaalaa baraka alaahaa na wapndasana mashehe kwajili ya allah k7unazungumza hakii
This innovaters need to be educated
Mashaallah Allah ukuhifadh Abul khatwab
Sheikh Jafar Saggaf siyo mzee ni kijana bado
@jumanneissa7118
Жыл бұрын
Bc abdallah humeid anamiaka takriban 31 saagaf zaid ya 45 Nani aitwe mzee bc achana na umli chukua maneno ya raad
Salaaaaaaala ,hahahahaha, in short i love you sheikhe for the sake of Allaah
Wallaahi nilikua nikisikia eti uliensa kusoma miez sita naomba unijibu kwa inswafu na kwa ikh,laaswi je nikweli ulikwenda kusoma nje ya tanzania miez 6?
Aslm alykm Sheikh Abdalla Humeid... Naomba kuuliza baadhi ya masaala ili nipate jawabu kwa Inswaf..Hii Hadith ya Ukba Bin Ameer ndio iliokuja mwanzo ama hili tukio la Sayyid na Bilal Bin Rabbah?ndio Mtume S.A.W.ndio Mtume S.A.W.akatoa bishara kuwa hili jambo ni zuri na watu wali fanye... Mtume S.A.W.aliwahi kuswali Raq'aa mbili za Sunmak wudhu? Hawa ASWHABIL QAAFI walitawasal kwa Amal zao na wakakidhiwa haha zao sasa hiyo ilikuwa ni Shirk? Jee walitegemea AYA ama Hadith gani hapı? Mtume S.A.W. alipendekaza kuwa Maiti ni Bora kustiriwa kwa haraka... Mbona Maswahaba wakubwa walimueka Mtume S.A.W.kwa muda wa siku tatu (3) hiyo haikuwa Bida'a kweli? Mbona Maswahaba wakubwa walimswalia Mtume S.A.W. kwa mapote mapote hivyo ndivyo Mtume S.A.W. alivokuwa akifanya?ama wewe waweza kumfanyia mtu wako hivyo kweli?Jee hiyo si Bida'a ? Mbona wala yamini kuwa Maswahaba hawakufanya Bida'a. Tafadhali naomba jawabu kwa ikhlas /inswaf... Shukran wajazaka allahu kheir...
@muhammadhussein5741
Жыл бұрын
Nakuomba kwa ikhlas kasome sana habib
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
@@muhammadhussein5741 JIBU HAYO ULIOULIZWA ITAKUWA SOMO TOSHA MAISHANI MWAKO UKIPATA MAJIBU YA HAYO MASUALI
@swalehmohamed4849
9 ай бұрын
Je hii Aswalatu khairun mina Naum iko hadith Kabla yake? Nani alimpa ruhsa Aongeze kabla ya kumuuliza Rasuul? Na jee Jibreel alipofundisha Adhan kwa nini asiifundishe kabla
Wallahi billahib thallawahi sheikh Abdallah humeid ukija south africa cape town ukiyaona yale mazingira watu wanavyo ishi huwezi tena kuongelea kuhusu maulid tatizo lako husafiri..
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
Kwani south Africa ndio kuna nini hadi tuinyamazie ❓❓❓❓ Hakuna siku Ahlu sunnah waljama'ah kuinyamazia bid'ah yoyote ile hata kama itafanyika nchi tukufu ya saudia lazima TUTALIKEMEA
@abuumuhammad8714
Ай бұрын
Unataka kusema nini labda
Vichwa vibovu kwelikweli
Masuf wanatumia akil zao sio dalili
Mtu anachukua dhima kabisa ya kuingiza watu peponi kwa bid3a ... Hii ni hatari .. . Na si kwa ubaya watu wa lamu mbona ni wazushi mno??? 😢😢
@abuumuhammad8714
Ай бұрын
Kwa iyo ndio na wewe hutaacha uzushi kwa sababu hiyo
hangaika tu, sheikh jafar humpati humpati hata theluthi ya ilimu yake
@sumeyaahmed4187
7 ай бұрын
Aaaah kabisssa kaka shekh jaafar ni mzittto sana
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
Mzito kwa kuwasingizia maswahaba kuwa walizua
@mafiatv5479
7 ай бұрын
@@SugowFarah-up3db hilo lako
@SugowFarah-up3db
7 ай бұрын
@@mafiatv5479 hamuoni aibu kuwasingizia maswahaba kuwa walifanya bid'ah
Sagaf ni mpotevu mkubwa na hoja zao hazina ukweli
Masufi tatizo uelewa wao kwenye dini hutumia akili zao hapo ndo wanapopinda.
@hilalkhalfan1452
11 ай бұрын
MAWAHABI MMEKURUPUKA
@mafiatv5479
9 ай бұрын
wewe fanya ujuacho wape wenzako nafasi wafanye yao, mbn mnakua mashoga na maneno ya kebehi
@hilalkhalfan1452
9 ай бұрын
@@mafiatv5479 MAWAHABI HAWARIDHIKI MPAKA TUPIGANE VITA WAISLAMU KWA WAISLAMU TUUWANE, BILA HIVYO DUNIA HAIKALIKI. WAO HAWANA UGOMVI KABISAAAA NA MAKAFIRI.
Hawa masufi upotofu umewaziba akili na fahamu
@mafiatv5479
9 ай бұрын
acha ushoga mshenzi