KUREKEBISHA MANENO YA MWIMBAJI YUSUF ABDI WA MOMBASA __ ๐ŸŽ™๏ธSHEIKH ABDALLAH HUMEID

KUREKEBISHA MANENO YA MWIMBAJI YUSUF ABDI WA MOMBASA __ ๐ŸŽ™๏ธSHEIKH ABDALLAH HUMEID
๐Ÿ›‘
โ€ช@dawatul-salafi129โ€ฌ ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ SUBSCRIBE ๐Ÿ’ซ
๐Ÿ›‘
This channel is deals with Qur-an and Sunnah in salafi ummah ๐Ÿ’ซ
๐Ÿ›‘
โ€ข KUREKEBISHA MANENO YA ...
๐Ÿ›‘
โ€ข MAJIBU YA SHUBHA YA AB...
๐Ÿ›‘
โ€ข KWA NINI DR ISLAM HAK...
๐Ÿ›‘
USISAHAU ku subscribe na kugusa alama ya kengele ili uwe wa kwanza Kila tunapo achia video mpya ๐Ÿ’ซ
SUBSCRIBE ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ โ€ช@dawatul-salafi129โ€ฌ ๐Ÿ’ซ
๐Ÿ›‘
Support this channel in order to upload more video ๐Ÿ’ซ
๐Ÿ›‘

ะŸั–ะบั–ั€ะปะตั€: 70

  • @KASSIMSAMAMBO
    @KASSIMSAMAMBOะะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Allah anaweza kytuondosha soote na alete viumbe wapya

  • @user-gz5qu5qy1y
    @user-gz5qu5qy1y6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Wallah siku ya Qiama kuna kazi kubwa sana

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila17094 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Mnatabia mbaya sana alafu mnafata mikumbo ya masheikh wenu

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi64643 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Alhamdulillah sasa watu wameanza kuona hili kundi la kiwahabi salafiya wachwara ni project za America kuuharibia uislamu jina

  • @user-zf9ee1us6p
    @user-zf9ee1us6pะะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    ALHAMDULILLAH KWA NEEMA YA UISLAM, ILA MASALAFI MNGEKUWA NA NAFASI YA KUCHAGUA WANAOBAKI KTK UISLAM NA WANAOTOKA, MNGETUPOKONYA NA UISLAM WENYEWE ILI MBAKIE NINYI PEKEE.

  • @KASSIMSAMAMBO
    @KASSIMSAMAMBOะะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Yan sufi huyo ni mjinga wa mwisho anaetegemea watu kua bila wao hatuishi mbwa yeye hafikirii vizuri anahisi allaah hawezi kuumba watu wengine ni nani

  • @Imanx602
    @Imanx6024 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Wah..jamani muungane, msutuumize sisi subhanallah. I love both sheikhs. They are both strong in their own way. They should sit together to guide us. Humeid nilikuwa nadhani nimYemeni hata kiswahili hakijui.... Very dissaponted in him. I listen to suratul Maryam daily by Abdallah Humeid. He has to come back from this. Sheikh Yusuf simwimbaji. He reaches some people who need to be reached... Kama ni mazoezi, kama ni sadaka, kama ni vijana wa mtaa... Common guy.. mwatuuwa na mwatutengenisha bure. Simameni pamoja. We need our leaders united.

  • @UB40X1

    @UB40X1

    ะะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Haki lazima ibanishwe. Yusuf Abdi ni muimbaji anae sifu makafiri

  • @athmandaba1420
    @athmandaba14205 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Twamjuwa vzr Sheikh Yuusuf Abdi ....elewa vzr alichokikusudia....hufai hata kuitwa sheikh....Nadhan ww ndio mwimbaji na mropokaji!!...kama ww ni miongoni mwa eti wasomi,basi umma uko hatarini๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข

  • @timiramaalim11

    @timiramaalim11

    5 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Manhaj aalaf no haqq

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah40025 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Wambie wasuudia khabari hizi sio shekh yusuf abdi na wafanya makosa kumita mwimbaji kwaajili yakutowa nashidi kwa sauti mzuri hawo wanasoma qurani kwasauti mzuri tuwaite waimbaji fanya hishima nadini wacha hassad na shekh yusuf abdi

  • @jannathezhez
    @jannathezhez6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Walevi suufi

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila17094 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Nyie kama wanaume mumfate mumkosoe akiwepo

  • @Mapyatv
    @Mapyatv5 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Sijui nisemebola ambaye hajasoma maana mnashindwa kukaa kuelekezana mnaponda

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Allah SA atupe hidaya badili tuwatie ndugi zetu katika dini ya uislamu sisi twapijilizana wahabi mara sufi mara pamba twagawanywa na sisi twafuata. Kwa nini tupigane mitandaoni?

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah40025 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Kawaida ya ilmu chache nikuboboka mwacheni aboboke

  • @suleali4915
    @suleali49153 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Natamani hawa wapuuzi vyombo vya dola viwazime mdomo

  • @NyimboAli
    @NyimboAli6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Mambo mengine siyakupost darsa hii ya kawaida tu huyu mtu hakukosea Chuki tu zimeenezwa

  • @RamadhaniShembillu

    @RamadhaniShembillu

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Wataka kupostiwe nini Sasa, wewe hujui ndomana huoni kosa

  • @muhammedaloufy4086
    @muhammedaloufy40863 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    huyu ana HASAD

  • @abubakarmohamed4944
    @abubakarmohamed49446 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Masheikh wa kikweli hawatoani makosa mitandaoni. Na sioni kosa hapo

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Na mashekhe wa kweli hawa wasimangi waislamu wenzio na kuwasifu makafiri,

  • @RamadhaniShembillu

    @RamadhaniShembillu

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Huna elimu ndomana huoni kosa

  • @neemafatu471
    @neemafatu4716 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Hajakosea kabisa yaani .waislamu tumelalaaa .NA HII NI KW SABABU YA NYIE MUNAOJIITA SALAF KUPINGA JIHAD .MNALAZA AKILI ZA WAISLAMU. MTUME HAKUWA ZUZU BHANA! QUR AN ILIFUATWA ,SUNNA ZILIFUATWA NA MAENDELEO YALITAFUTWA. HAJAKOSEA KABISA HUYO MNAYEMSEMA MUIMBAJI.

  • @neemafatu471

    @neemafatu471

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    ENDELEENI KULINDA UFALME KWA MSAADA WA MAREKANI NA MAYAHUDI TU MAENDELEO MMESHIKIWA NA MAKAFIRI

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi64643 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Huyu humeid haweza raddi ata mtu akinya mavi yake chooni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @suleim505
    @suleim5054 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Kwa hakika hakuna mwanadamu ambae ni mkamilifu: hata wewe uliueposti hii voice una mapungufu, pia namimi ninayo mengi sana, lakini jaribu kutumia kile ulichojaliwa katika hiyo elimu kwa namna ivyostahiki,, unawakosea waislamu wenzio: PIA YAPO MAMBO YA MSINGI YA KUELEZEA NA SIYO KUWASEMA WATU MNAKERA: PIA MNAUHARIBU UISLAMU... sisi tunasoma kwenu sasa nini tuakisoma kutokakwenu?

  • @bekadsatuola9621

    @bekadsatuola9621

    3 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Banae hii ni dini sio utawala anae kosea ambiwe saidna abubakar aliambiwa na alitaka kuambiwa atakae kosea hambiwee

  • @baarutmazrui5186
    @baarutmazrui51866 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Waha jamaa wanakula ndumu?

  • @mafiatv5479
    @mafiatv54796 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    huyu mbwa hafai hata kusikilizwa mshenzi huyu

  • @dawatul-salafi129

    @dawatul-salafi129

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Mbwa nani

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    @@dawatul-salafi129 humjui mbwa alozungumza happyekwa kejeri na kuadharau wenzake? na kuabandika vifuniko wenzake kwa dharau?

  • @ausatmwangi6464

    @ausatmwangi6464

    3 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Huyu humeid ndio tunamuita mbwa haswa mbwa koko

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Hapa hapana sabbu ya kuradd na ww bwanamkubwa alimradi tu. Hizi ni chuki binafsi

  • @dodokibbah3513
    @dodokibbah35136 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Kama mwimbaji mbona mwamtilia manani,zindukeni jamaa sio kila saa twakosoana tuu๐Ÿ˜ข

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    huyu anaye tukan waatu ni shetani au unweza kumuita mbwekaji huyu ssawa na mbwa sijengine ni hasadi muto wajahanam ndo mashukiyo yako

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim32336 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Mbona hivi jamani kama huna lakusema afadhali ujiunge na anushud uwe munshid kuliko kujitolea maneno hayana kitwa wala maguu

  • @dawatul-salafi129

    @dawatul-salafi129

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Acha kuongea ujinga wewe

  • @abuumukhtaarofficial
    @abuumukhtaarofficial6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Wewe Abdallah Humeid huna akili hata kidogo, nadhani kuanzia wewe mpaka mwalimu wako ni wajinga sana na elimu yenu haina manufaa hata kidogo, yaani baada ya kuwalingania waovu waache unaanza kuwagawanya watu kwenye umoja wao. Hivi kuna aya au hadithi inayosema tufarakane? Na kama haipo wewe unafata kitabu gani na hadithi gani. Nyingi mnao jiita masalafi ni wapumbavu sana .

  • @bamswasakila1709
    @bamswasakila17094 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Ndonjia ya kukosoa hio aliyoifanya mtume Muhammad s.a.w. nyie ndosababu ya dini ya Allah kudharauliwa na makafiri. Yan mnaelim hamjaelimika mmezidi kuwa wajinga

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Huyuu Abdallah humeid ni mlevi nyinyi hamujui tu ,maana sifa ya walevii kwanza hupenda sifaa kisha huponda wengine ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yaani huyu ni mlevi kabisaa . anaongeaa pumbaa tupuu

  • @dawatul-salafi129

    @dawatul-salafi129

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Kila panapo makosa lzma pakosolewe ndo ulivyo uislam sio kunyamza kimya ndugu

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Uwongoo huwoo sio uislamu munaoufanya nyinyi Bali hizo ni njia za walevii wapuuuzi nyie

  • @ABUUALLY-tv8rl

    @ABUUALLY-tv8rl

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Uwachafue waislamu wenzako alafu useme ndio uislamu! Munataka kumdanganya nani ? Nyinyi ni walevi tu

  • @muhammedomaryshembilu8539

    @muhammedomaryshembilu8539

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Hata mtume swalalah aleyh wasalama aliitwa mjinga

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    6 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    sio mlevi tu bali jibwa mwitu, ni mshenzi mbwa hili halifai

  • @ZuberiGau
    @ZuberiGau3 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Siku zote mtu wahaki lazima achukiwe

  • @sadofaraji5999
    @sadofaraji59994 ะฐะน ะฑาฑั€ั‹ะฝ

    Siyo maneno machafu bali huo ndio ukweli,yaani hata dawa twategemea kwao.

ะšะตะปะตัั–