Mbaya kuliko zote mnapovunja vibanda vyao...wengine walikua wezi je warudie zama zao......👍
@johnsovela90614 жыл бұрын
Aliyeuziwa cheni katoa hela bandia na aliyepokea hela kauza cheni ya bandia, tuliozoea jiji tunasema ngoma droo
@aronatv472 жыл бұрын
2021 Nipeni like Zangu Jamani na mimo Sijawahi Pata like
@jerumayamwasomola106524 күн бұрын
2024, wimbo bado mtamu.
@jameschubiri94533 жыл бұрын
Kama unasikiliza 2021 gonga like zako please
@kachilar5 жыл бұрын
daaaaah!!! #THROWBACK Tumezaliwa tumezikuta na bado zina fanya vizuri, KAMA WAMKUBALI PRO.JAY LIKE COMMENT HII.🔥🔥🔥
@noelleonardorgeness764314 күн бұрын
Who's here at 2024😅?
@HamisAlly-uw7scАй бұрын
Noma sana
@piuslugata4931Күн бұрын
Watu wa Bongo hamna Hutu Moyo vijana wanajibana mnawaita machinga kibaya zaidi mnavuja vibada vyao aseee wakinamama wanafanya ukahaba
@ismaildamas76704 жыл бұрын
Mziki mlioupigania kwa gharama kubwa saiz unachezewa tu, ile miiko saiz haifuatwi
@mwasebajoram30363 жыл бұрын
Wasiojua bongo fleva imetoka wapi PROF. JAY ndio darasa lao
@graysonsamwel741711 ай бұрын
Chemsha bongo 2023😂😂u deserve my solut broo j..gonga like apo kama 2po p1
@cosmaskasulumbay49824 жыл бұрын
Bonge la ngoma...2020 nausikiliza kutoka kwa heavy weight MC 🙌
@markmwaghogho92262 ай бұрын
2024 niko hapa Kenya
@alexmbaula51923 жыл бұрын
daaaah! no coment hii ngoma hatari sana
@evanssichalwe17163 жыл бұрын
This is what we call music First time nmeskiza 2001
@kevinatinda2242 Жыл бұрын
when Hip Hop was really sweet and soothing
@babamarko65813 жыл бұрын
Jay hatari sana 2020
@didikusekwa77716 ай бұрын
23-12-2023 After Makonda visited our brother PROF JAY
@lorencosimon2510
6 ай бұрын
I’m here
@godfreydavid68474 ай бұрын
Professor Jay...ulizungumza ukweli saaaana!! Katikati ya jiji deals haziji
@2PAC.77 Жыл бұрын
dar es salaam🇹🇿
@begaca5 жыл бұрын
GONGA like kama UNAMKUBALI
@godfreypaineto65324 жыл бұрын
Bongo dar es salaam....respect sir hii inaishi...
@bedanchimbi81528 ай бұрын
Hadi Leo 2023 nasikiliza hizi ngoma, hii album imetoka nikiwa form one
@theemergencyoftownbyluwi18733 жыл бұрын
Nani Yuko hapa Leo 2021 ingawa tuko kwenye maombelezo
@samsimwa79226 ай бұрын
Nawakilisha kutoka Kenya.
@josephvenus32593 жыл бұрын
2021 hii ngoma kama ndio imetoka vile 🙌🙌 J
@lutenganolukali2122 Жыл бұрын
30 bars, vers 3 za kushiba, wimbo dakika 5 na sekunde 45_ kuna za sasa ni dakika 2 wimbo umeisha na kuna yoyoyooyo hapo hajaanza kuimba ndan ya hyo dakika 2, kuna Wimbo unaitwa Komaa nao, uchanaji wa GK ule cjui nani tena anaweza kuchana kama ile versi kwenye ule wimbo aisee daaah
@obbytheteng93893 ай бұрын
Mpaka leo hii bado ni Ngoma inayoendana na mambo ya Bongo
@NEIRAGROUP
2 ай бұрын
Kabisa aisee.! Yote hayo hadi sasa ndio sura ya Dar Es Salaam
@The_Cold.5 жыл бұрын
Hatari Kama fire
@noxiousmashairi Жыл бұрын
2023 mzuka mkubwa
@kanumanjisi16238 ай бұрын
2023 likes zangu wazee
@josephatmasawe592411 ай бұрын
Moja kati ya nyimbo bora ......2023
@faidhamyovela1794 жыл бұрын
Bonge ngoma miak 100p
@farajisureman99252 жыл бұрын
Ulifanya kazi buanaae.Asiyekubari kiburi chake tu
@hinaitv59675 жыл бұрын
Wanaokubali bongo ya sasa sio ya mwaka 47 wangapi
@raskenneth198125 күн бұрын
Bitoz Nyangema anataka aitwe Tupac 😄😄😄
@abdulkadirswaleh8593 жыл бұрын
Nakukubali mzee jay
@fadhilimatandala76293 жыл бұрын
Master J killed this beat
@thomasmubeya23817 ай бұрын
Hii inapoteza mawazo 🍺👭
@nicholassimon30546 ай бұрын
J wa mitulinga zingatia neno mitulinga
@michaellimu23325 жыл бұрын
Hatareeeeeeeeeee.
@kakuhassan47344 жыл бұрын
jonas wasalimie washington
@richardmhagama14415 жыл бұрын
Hahaaha bita kinondoni uta nni....
@prosperlupenza63593 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha utotoni
@fredrickmassawe14213 жыл бұрын
Piga likes hapaa kama unasikilizaa 2021 !!! January flanii hivii
@omwamicommedy1575
3 жыл бұрын
Prof Jay my Mentor,My teacher & my big role model,,,
@clintonluyangi94195 жыл бұрын
mkuu weka na chemsha bongo
@fredyelifuraha25538 ай бұрын
Hii albamu niliinunua shs 1,200..bado ngoma ya moto hadi leo..
@ChomaaJR4994 Жыл бұрын
wabongo jina yao ya asili hawayataki vitosi nyangema anataka aitwe Tupac😂😂😂😂😂2022 august still here
@hosianaawtu9707 Жыл бұрын
Best song ever
@paulmofuga23326 ай бұрын
Bongooo Dar
@alexruhigi3 жыл бұрын
Mkono wa Master J
@salumulongwa94613 жыл бұрын
Jay🔥🔥🔥
@rabsonnakey26132 жыл бұрын
Maana halishi ya msanii ni kioo cha Jamii
@rajabally23373 жыл бұрын
2021
@malickngoma5291Ай бұрын
Mambo ya isindingo watu mkononi nokia ya ringo😂
@erickodhiambo6994 Жыл бұрын
Legend
@josephatmngongo36865 жыл бұрын
2019...!!
@fadhiliakida86092 жыл бұрын
Hii ngoma naisikiliza deile haichoshi
@mansourmkanakuta6641 Жыл бұрын
Mungu akulinde akuponye jay
@erickodhiambo699411 ай бұрын
🔥🔥🔥
@godfreykiama19308 ай бұрын
Kwenye huu wimbo kuna misamiati mipya iliibuka; -Bitozi Nyangema -Ngoma drow -Chungu ka sifongo -Shuka utosini -Roba za mbao -Wanatamani wazaliee Brunley -Safari kafiri -Mamtoni -Kaka poa -Tuliokuwepo mkoani ndo tulijua sinza kila nyumba bar
@pascomkinga6217
6 ай бұрын
Maskani Kimara
@bahatimajura5682 жыл бұрын
Huyu nimtu sana
@bensonmwabulambo96632 жыл бұрын
🙏
@oldskuladimuzabongo88732 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@King_Of_Everything3 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
@maulidysaidy99255 жыл бұрын
first
@laurentluya18565 жыл бұрын
Wanamziki wa zamani walikua wanaandika sana, Jay ni mfalme wa huu mziki. Over
Пікірлер: 75
Mbaya kuliko zote mnapovunja vibanda vyao...wengine walikua wezi je warudie zama zao......👍
Aliyeuziwa cheni katoa hela bandia na aliyepokea hela kauza cheni ya bandia, tuliozoea jiji tunasema ngoma droo
2021 Nipeni like Zangu Jamani na mimo Sijawahi Pata like
2024, wimbo bado mtamu.
Kama unasikiliza 2021 gonga like zako please
daaaaah!!! #THROWBACK Tumezaliwa tumezikuta na bado zina fanya vizuri, KAMA WAMKUBALI PRO.JAY LIKE COMMENT HII.🔥🔥🔥
Who's here at 2024😅?
Noma sana
Watu wa Bongo hamna Hutu Moyo vijana wanajibana mnawaita machinga kibaya zaidi mnavuja vibada vyao aseee wakinamama wanafanya ukahaba
Mziki mlioupigania kwa gharama kubwa saiz unachezewa tu, ile miiko saiz haifuatwi
Wasiojua bongo fleva imetoka wapi PROF. JAY ndio darasa lao
Chemsha bongo 2023😂😂u deserve my solut broo j..gonga like apo kama 2po p1
Bonge la ngoma...2020 nausikiliza kutoka kwa heavy weight MC 🙌
2024 niko hapa Kenya
daaaah! no coment hii ngoma hatari sana
This is what we call music First time nmeskiza 2001
when Hip Hop was really sweet and soothing
Jay hatari sana 2020
23-12-2023 After Makonda visited our brother PROF JAY
@lorencosimon2510
6 ай бұрын
I’m here
Professor Jay...ulizungumza ukweli saaaana!! Katikati ya jiji deals haziji
dar es salaam🇹🇿
GONGA like kama UNAMKUBALI
Bongo dar es salaam....respect sir hii inaishi...
Hadi Leo 2023 nasikiliza hizi ngoma, hii album imetoka nikiwa form one
Nani Yuko hapa Leo 2021 ingawa tuko kwenye maombelezo
Nawakilisha kutoka Kenya.
2021 hii ngoma kama ndio imetoka vile 🙌🙌 J
30 bars, vers 3 za kushiba, wimbo dakika 5 na sekunde 45_ kuna za sasa ni dakika 2 wimbo umeisha na kuna yoyoyooyo hapo hajaanza kuimba ndan ya hyo dakika 2, kuna Wimbo unaitwa Komaa nao, uchanaji wa GK ule cjui nani tena anaweza kuchana kama ile versi kwenye ule wimbo aisee daaah
Mpaka leo hii bado ni Ngoma inayoendana na mambo ya Bongo
@NEIRAGROUP
2 ай бұрын
Kabisa aisee.! Yote hayo hadi sasa ndio sura ya Dar Es Salaam
Hatari Kama fire
2023 mzuka mkubwa
2023 likes zangu wazee
Moja kati ya nyimbo bora ......2023
Bonge ngoma miak 100p
Ulifanya kazi buanaae.Asiyekubari kiburi chake tu
Wanaokubali bongo ya sasa sio ya mwaka 47 wangapi
Bitoz Nyangema anataka aitwe Tupac 😄😄😄
Nakukubali mzee jay
Master J killed this beat
Hii inapoteza mawazo 🍺👭
J wa mitulinga zingatia neno mitulinga
Hatareeeeeeeeeee.
jonas wasalimie washington
Hahaaha bita kinondoni uta nni....
Huu wimbo unanikumbusha utotoni
Piga likes hapaa kama unasikilizaa 2021 !!! January flanii hivii
@omwamicommedy1575
3 жыл бұрын
Prof Jay my Mentor,My teacher & my big role model,,,
mkuu weka na chemsha bongo
Hii albamu niliinunua shs 1,200..bado ngoma ya moto hadi leo..
wabongo jina yao ya asili hawayataki vitosi nyangema anataka aitwe Tupac😂😂😂😂😂2022 august still here
Best song ever
Bongooo Dar
Mkono wa Master J
Jay🔥🔥🔥
Maana halishi ya msanii ni kioo cha Jamii
2021
Mambo ya isindingo watu mkononi nokia ya ringo😂
Legend
2019...!!
Hii ngoma naisikiliza deile haichoshi
Mungu akulinde akuponye jay
🔥🔥🔥
Kwenye huu wimbo kuna misamiati mipya iliibuka; -Bitozi Nyangema -Ngoma drow -Chungu ka sifongo -Shuka utosini -Roba za mbao -Wanatamani wazaliee Brunley -Safari kafiri -Mamtoni -Kaka poa -Tuliokuwepo mkoani ndo tulijua sinza kila nyumba bar
@pascomkinga6217
6 ай бұрын
Maskani Kimara
Huyu nimtu sana
🙏
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
first
Wanamziki wa zamani walikua wanaandika sana, Jay ni mfalme wa huu mziki. Over
Noma sana