Professor Jay Feat Fanani & Big Willy - Niamini 2

Музыка

#MachoziJashoNaDamu

Пікірлер: 94

  • @kondesaidi2040
    @kondesaidi20404 жыл бұрын

    Kama nawewe unampenda Fanani like.

  • @asserytemba282

    @asserytemba282

    Жыл бұрын

    Insikitisha alivy0p0tea

  • @ndamayapejr7725
    @ndamayapejr77254 жыл бұрын

    Bado ina Bang 2020 kama unamin weka like twende sawa

  • @theafricannetworker8229
    @theafricannetworker82295 жыл бұрын

    Sichoki kusikiliza hii ngoma. Ngoma inastahili views 10M

  • @Lky589

    @Lky589

    3 жыл бұрын

    Kungekuwa na yuotub mda ule saiz zingefika 150M views😭

  • @lilymtui3099
    @lilymtui30994 жыл бұрын

    Old is more than gold or silver......gonga like za kutosha 2020

  • @Kimbururu
    @Kimbururu5 жыл бұрын

    [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 1 - Professor Jay] Nakupenda sana ingiwa wanakuita demu wa uswazini Penzi lako la kweli ndo kitu nachothamini Kipepeo cha moyo we sema unachotaka Jinsi unavyoenzi kipenzi sina mashaka Tulipanda milima tukaja kwenye mabonde Na sasa ni tambarare tufanye wanga wakonde Kote tunakopita wamemwagia mbigiri Njoo nikumbatie tufe tukiwa wawili Hushangai, tukigombana tu wanafurahi Na tukiwa pamoja wanashindwa kutusabahi Walishakuja kwangu kunipa habari zako Nikawatoa mbio kulinda heshima yako Kwangu wamenishindwa wamegeuza kibao Changanua mapema upime akili zao Ni maisha yo Liz, twende tujikongoje Maisha safari ndefu sijui mbele kukoje Wanasema mi nakunywa wee, nalala kwenye baa Wanasema mi ni bingwa la ngono kwenye mitaa Wanasema mi nimeshawataka wamekataa Kwako napiga goti yoh twende ki-superstar [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 2] Yoh, nikwamba Mi nashukuru sana, umeniamini kwa sana Hukufata maneno ya wanga waliochonga kwa sana Miss Manana baab kubwa, hiyo ndo dhana Wala hukunikana asante sana mi sitokukana Tulifarakana tulikaa chini, tukapatana Bila kugombana na ndio maana hatujatengana Tukasamehana bila kutosana, endelea kukazana Visa vizabina maji ya shingo sa chupi zinabana Vichwa vinagongana wanaulizana, hatujaachana Wanapigwa na bumbuwazi kuona bado tunakumbatiana Tunashirikiana, na tunafanya vitu vya maana Na haki ya Mungu mi nakuahidi mi ndo wa dhamana Nakata mzizi wa fitina we ni wangu wa kuzikana Mwingine hakuna, vita vya manyoya sasa hapana Kwani maneno yalizidi hasa kwa wanga na mahasidi Na wengine waliahidi lazma watumwagie acid Eti hakomi kutupwa na napiga sana mchupa Hautachukua round kwangu mi ntakutupa Haukufanya pupa haukuogopa, haukunitupa Ya Mungu mengi leo hii mambo ni super Na yote aliyoahidi kwangu mi lazima kukupa Usiwe na pupa, tulia, mi ndo simba Unanipaga hamu, na hilo napenda ufahamu Nakumbuka maneno yako matamu, mi nakupenda wewe Unanipa kiwewe, ubavu wangu wa pili ni wewe Napenda uelewa, niamini ni mimi na wewe [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 3] Amini amini, tuko pamoja safarini Wala sigeuki, nipo pamoja na wenye chuki Hivi ujabaini? Wanakudanganya maneno lukuki Eti napenda chini, eti nakuhasi na hugutuki Hivi inaingia akilini? Ni muda gani na ni lini! Siku hiyo hatukuwa pamoja? Kama si huzushi ni nini? Wanga wanajikongoja navyokupenda kwa ukalando Mwana wametunga hoja, tutengane iwe furaha Iwe tazamia vioja, usiwaamini hata mara moja Wengi ni vizabi zabina, wapiga majungu na wafitina Magwiji washirikina, pima vyema tena kwa kina Tusije tukaachana, tutawapa msemo wageni iwe meno Itakuwa haina maana, mara tu tumefarakana Pia itakuwa aibu, tujaribu tu kuvumiliana Mapenzi ni taratibu, mambo ya jana sio ya leo Tusije tukaharibu, hebu sikia sogea karibu Nani wa kunigiribu? Kwako sioni, sisikii Ukiacha utaniadhibu, we nipe raha, nipe zabibu Mpaka ntakapokufa, tushirikiane kuziba ufa Wanga wasitufate, nafurahi unavyonipenda Sinyo nasema asange, we nipe denda, nipe mate Mama subiri fungate, mzizi wa fitina tena tukate Wewe na mimi (mimi), niko radhi kula yamini Wewe na mimi (mimi), mama Lily hebu niamini

  • @banzamanoni8707

    @banzamanoni8707

    4 жыл бұрын

    Balikiwa sana

  • @godlucksamwel7560

    @godlucksamwel7560

    4 жыл бұрын

    Superb.

  • @alexngelezi9602

    @alexngelezi9602

    4 жыл бұрын

    Bigap sana

  • @nandomosha1115

    @nandomosha1115

    4 жыл бұрын

    Superrrrr

  • @lilymtui3099

    @lilymtui3099

    4 жыл бұрын

    More thanks to u

  • @dickzompaseven5714
    @dickzompaseven5714 Жыл бұрын

    2022 still hot song...get well soon profesa

  • @kingsweetmusic
    @kingsweetmusic5 ай бұрын

    Good music 🎶🎶 Still rocking nerves 2024

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 Жыл бұрын

    Hii ngoma inanifanya nitamani siku zirudi nyuma aiseeee J wakitaa

  • @asserymmary2696
    @asserymmary26965 жыл бұрын

    I really miss these Jams.... thump up hon.prof Jay

  • @senimashauri6696
    @senimashauri66964 жыл бұрын

    Brother Jay jaribu pia kuzfanyia video ngoma kama hizi kiukwel hajawahi vunja record mwana hip hop mwingne Hapa Africa ispokuwa ww Jay ngoma zako ni mawe na sijui tu maproducer wakipindi hicho sab beat iko sambamba sana na mashairi

  • @athumanii
    @athumanii5 жыл бұрын

    How about ukifanya video ya hii nyimbo kuienzi tu prof?

  • @laurentluya1856
    @laurentluya18565 жыл бұрын

    Mfalme Jay na wenzako wa wrong, heshima yenu. mziki umepoteza dira saizi

  • @Kimbururu
    @Kimbururu5 жыл бұрын

    Yeyote May 2019?

  • @joelntile9078
    @joelntile90785 жыл бұрын

    Hii miziki ilitufanya tuufurahie utoto wetu

  • @josephnguruwe7288
    @josephnguruwe72885 жыл бұрын

    nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!

  • @festongandango4195
    @festongandango41954 жыл бұрын

    Fanani ni kwere 2020

  • @menashilmar1682
    @menashilmar16824 ай бұрын

    G. O. A. T

  • @paulinanjelekela1725
    @paulinanjelekela17254 ай бұрын

    Nakumbuka back to those dayz...... Nyimbo zinarudisha moments za kitambo sana...

  • @damianbugumba4910
    @damianbugumba49105 жыл бұрын

    Keeping the good music alive

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje625 жыл бұрын

    Mashabiki wa Trap hawawezi elewa mzigo ulipotoka

  • @bonifacejames34
    @bonifacejames34 Жыл бұрын

    Jamaa walivunja Sana humu!

  • @begaca
    @begaca5 жыл бұрын

    WA kwanza GONGA LIKE

  • @ernestmikael8183

    @ernestmikael8183

    5 жыл бұрын

    Amega Info dah

  • @ernestmikael8183

    @ernestmikael8183

    5 жыл бұрын

    Nimini

  • @Lky589
    @Lky5893 жыл бұрын

    Bado ipo fanani bhana! We ninomasana sema bast 2021

  • @djjoman
    @djjoman5 жыл бұрын

    hii nyimbo niliitafuta siku nyingi sana asante jay

  • @nicodemastambo847
    @nicodemastambo8475 жыл бұрын

    Profesa nani kakupa akili hii saafi saaana weka zote na za HBC all album tunza mziki wako usipotee

  • @ramadhankayanda4056
    @ramadhankayanda40565 жыл бұрын

    Wanasema mi nimeshawataka wamekataa

  • @stephenmubanga7711
    @stephenmubanga77112 жыл бұрын

    Much love and respect for bongo flava. Zambia tunasikiliza Poa basi. Prof Jay big up

  • @eliasakumba6821
    @eliasakumba6821 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas45224 жыл бұрын

    Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane namm

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro654 жыл бұрын

    Bonger LA go ma✌✌✌✌✌

  • @sammykhatibu946
    @sammykhatibu9465 жыл бұрын

    Mziki unao ishi uwo

  • @jirac1456
    @jirac14563 жыл бұрын

    Mombasa huu wimbo uliwika sana.

  • @mahesenitunduma2438
    @mahesenitunduma24385 жыл бұрын

    Tulifalakana tukakaa chini tukapatana Wanapatwa na bumbuwazi kuona bado hatujaachana

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    5 жыл бұрын

    Great style with message

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32594 жыл бұрын

    2020 tupo pamoja . J ni 🔥🔥

  • @idrisahamza1023
    @idrisahamza10235 жыл бұрын

    Professa jay ukisiliza hii ngoma halafu ukisiliza kamiligado hujioni bwege

  • @budder9110

    @budder9110

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ireneanthony1158
    @ireneanthony11585 жыл бұрын

    2019 bado moto kabisa

  • @thomaskeya4092
    @thomaskeya40925 жыл бұрын

    Nakumbuka enzi hizo niliku.musuma

  • @leskarmeikok8956
    @leskarmeikok8956 Жыл бұрын

    Mashairi makali sanaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @AffectionateFishWaffle-pn4cr
    @AffectionateFishWaffle-pn4cr5 ай бұрын

    2024 still good

  • @peterkayuwi8911
    @peterkayuwi89115 жыл бұрын

    Kipepeo cha moyo sema unachotaka

  • @godfreyphilipo4671
    @godfreyphilipo46715 жыл бұрын

    Heshima ya bongo flavour

  • @hamiduhussein
    @hamiduhussein4 жыл бұрын

    Happy birthday professor jay

  • @nackamnchimbi6616
    @nackamnchimbi66165 жыл бұрын

    Hii ndiyo ngoma inayonikonga sna kwenye hii album

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper3 жыл бұрын

    From wasaffim ❤️❤️❤️💯💯🇰🇪🎊🎊🎊🎊🎊🎊

  • @clintonluyangi9419
    @clintonluyangi94195 жыл бұрын

    Ndo song nilikuwa nalitaka pia

  • @bibomax4273
    @bibomax42735 жыл бұрын

    21/5/019 Bado iko kwa sikio

  • @amojason1945
    @amojason19455 жыл бұрын

    Best Tz artist of all time

  • @jirac1456

    @jirac1456

    3 жыл бұрын

    Afrika mashariki.

  • @benyvoice9415
    @benyvoice94155 жыл бұрын

    Niamini bac bebe Wang😝😝

  • @officaltreyyg5237
    @officaltreyyg52375 жыл бұрын

    Hizi nyimbo mzee me nataka nizi Download .sasa sizipati mze wangu

  • @jumannemturi828
    @jumannemturi828 Жыл бұрын

    Nimekumbuka siku mingi sana

  • @balloondecorationtz3190
    @balloondecorationtz31903 жыл бұрын

    Mziki sio view mziki ni information miaka na miaka kubadilika sio rahisi

  • @alexmbaula5192
    @alexmbaula51923 жыл бұрын

    jay jay jay nimekuita mala tatu salute broth

  • @byamukamadavid778
    @byamukamadavid7782 жыл бұрын

    Dunia's best, salute Prof.

  • @salahjm2910
    @salahjm29105 жыл бұрын

    Full respect prof

  • @bedanchimbi8152
    @bedanchimbi81528 ай бұрын

    Vichwa vitatu ndanii ya track moja

  • @galeisaac3472
    @galeisaac34723 жыл бұрын

    Back in the day when we used to sneak into the club. Club silk kampala to be exact

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo22995 жыл бұрын

    Mbona Kama nishaisikiaga hii ngoma !.

  • @mahesenitunduma2438

    @mahesenitunduma2438

    5 жыл бұрын

    hii Ni Album ya 2001 sio mpya

  • @fadhilikigwama1785

    @fadhilikigwama1785

    5 жыл бұрын

    Yona Rashidi Mbwambo ulioisikia wewe ni RMX hii ni OG

  • @danieltunga7025
    @danieltunga70254 жыл бұрын

    Wangap wamekuja baada ya kuona post ya mpoki?

  • @user-lf5xx8yt2y
    @user-lf5xx8yt2y7 ай бұрын

    Naazizi vs jaffaray

  • @alphoncemnyambwa9720
    @alphoncemnyambwa972011 ай бұрын

    2023

  • @trevor9311
    @trevor93114 жыл бұрын

    HAPPY BIRTHDAY

  • @CostaAlexanderCosta-bl8rz
    @CostaAlexanderCosta-bl8rz Жыл бұрын

    Fanani where are you

  • @machakucharlz
    @machakucharlz3 жыл бұрын

    Dah still hitting in 2021......R.I.P Halima @Rajab Mazai/Roja

  • @abdallahlokole2147
    @abdallahlokole21473 жыл бұрын

    Young killa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything7 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles43854 жыл бұрын

    Music genius

  • @2FlevaJin
    @2FlevaJin10 ай бұрын

    Hivi akina young lunya wanasikiliza hizi Ngoma?

  • @zuwenasimfukwe2981
    @zuwenasimfukwe29815 жыл бұрын

    when music was music, the real nigga jay

  • @imtiaznoor129
    @imtiaznoor1292 жыл бұрын

    Pona haraka jembe

  • @oldskuladimuzabongo8873
    @oldskuladimuzabongo88732 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿✌️

  • @silastemu778
    @silastemu7782 жыл бұрын

    Dah hivi hii nyimbo ilitokaga mwaka gani? Nakumbuka nimekua nikiuskia huu wimbo

  • @nagonation7855
    @nagonation78553 жыл бұрын

    3/3/2021

  • @amanjohnmrisho2210
    @amanjohnmrisho22105 жыл бұрын

    salute

  • @geraldwilliam8932

    @geraldwilliam8932

    5 жыл бұрын

    izi old school ni fire

  • @josephnguruwe7288
    @josephnguruwe72885 жыл бұрын

    nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!

  • @muhdhars
    @muhdhars Жыл бұрын

    2023

Келесі