Bado ina Bang 2020 kama unamin weka like twende sawa
@theafricannetworker82295 жыл бұрын
Sichoki kusikiliza hii ngoma. Ngoma inastahili views 10M
@Lky589
3 жыл бұрын
Kungekuwa na yuotub mda ule saiz zingefika 150M views😭
@lilymtui30994 жыл бұрын
Old is more than gold or silver......gonga like za kutosha 2020
@Kimbururu5 жыл бұрын
[Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 1 - Professor Jay] Nakupenda sana ingiwa wanakuita demu wa uswazini Penzi lako la kweli ndo kitu nachothamini Kipepeo cha moyo we sema unachotaka Jinsi unavyoenzi kipenzi sina mashaka Tulipanda milima tukaja kwenye mabonde Na sasa ni tambarare tufanye wanga wakonde Kote tunakopita wamemwagia mbigiri Njoo nikumbatie tufe tukiwa wawili Hushangai, tukigombana tu wanafurahi Na tukiwa pamoja wanashindwa kutusabahi Walishakuja kwangu kunipa habari zako Nikawatoa mbio kulinda heshima yako Kwangu wamenishindwa wamegeuza kibao Changanua mapema upime akili zao Ni maisha yo Liz, twende tujikongoje Maisha safari ndefu sijui mbele kukoje Wanasema mi nakunywa wee, nalala kwenye baa Wanasema mi ni bingwa la ngono kwenye mitaa Wanasema mi nimeshawataka wamekataa Kwako napiga goti yoh twende ki-superstar [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 2] Yoh, nikwamba Mi nashukuru sana, umeniamini kwa sana Hukufata maneno ya wanga waliochonga kwa sana Miss Manana baab kubwa, hiyo ndo dhana Wala hukunikana asante sana mi sitokukana Tulifarakana tulikaa chini, tukapatana Bila kugombana na ndio maana hatujatengana Tukasamehana bila kutosana, endelea kukazana Visa vizabina maji ya shingo sa chupi zinabana Vichwa vinagongana wanaulizana, hatujaachana Wanapigwa na bumbuwazi kuona bado tunakumbatiana Tunashirikiana, na tunafanya vitu vya maana Na haki ya Mungu mi nakuahidi mi ndo wa dhamana Nakata mzizi wa fitina we ni wangu wa kuzikana Mwingine hakuna, vita vya manyoya sasa hapana Kwani maneno yalizidi hasa kwa wanga na mahasidi Na wengine waliahidi lazma watumwagie acid Eti hakomi kutupwa na napiga sana mchupa Hautachukua round kwangu mi ntakutupa Haukufanya pupa haukuogopa, haukunitupa Ya Mungu mengi leo hii mambo ni super Na yote aliyoahidi kwangu mi lazima kukupa Usiwe na pupa, tulia, mi ndo simba Unanipaga hamu, na hilo napenda ufahamu Nakumbuka maneno yako matamu, mi nakupenda wewe Unanipa kiwewe, ubavu wangu wa pili ni wewe Napenda uelewa, niamini ni mimi na wewe [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 3] Amini amini, tuko pamoja safarini Wala sigeuki, nipo pamoja na wenye chuki Hivi ujabaini? Wanakudanganya maneno lukuki Eti napenda chini, eti nakuhasi na hugutuki Hivi inaingia akilini? Ni muda gani na ni lini! Siku hiyo hatukuwa pamoja? Kama si huzushi ni nini? Wanga wanajikongoja navyokupenda kwa ukalando Mwana wametunga hoja, tutengane iwe furaha Iwe tazamia vioja, usiwaamini hata mara moja Wengi ni vizabi zabina, wapiga majungu na wafitina Magwiji washirikina, pima vyema tena kwa kina Tusije tukaachana, tutawapa msemo wageni iwe meno Itakuwa haina maana, mara tu tumefarakana Pia itakuwa aibu, tujaribu tu kuvumiliana Mapenzi ni taratibu, mambo ya jana sio ya leo Tusije tukaharibu, hebu sikia sogea karibu Nani wa kunigiribu? Kwako sioni, sisikii Ukiacha utaniadhibu, we nipe raha, nipe zabibu Mpaka ntakapokufa, tushirikiane kuziba ufa Wanga wasitufate, nafurahi unavyonipenda Sinyo nasema asange, we nipe denda, nipe mate Mama subiri fungate, mzizi wa fitina tena tukate Wewe na mimi (mimi), niko radhi kula yamini Wewe na mimi (mimi), mama Lily hebu niamini
@banzamanoni8707
4 жыл бұрын
Balikiwa sana
@godlucksamwel7560
4 жыл бұрын
Superb.
@alexngelezi9602
4 жыл бұрын
Bigap sana
@nandomosha1115
4 жыл бұрын
Superrrrr
@lilymtui3099
4 жыл бұрын
More thanks to u
@dickzompaseven5714 Жыл бұрын
2022 still hot song...get well soon profesa
@kingsweetmusic5 ай бұрын
Good music 🎶🎶 Still rocking nerves 2024
@fredyphilimon38 Жыл бұрын
Hii ngoma inanifanya nitamani siku zirudi nyuma aiseeee J wakitaa
@asserymmary26965 жыл бұрын
I really miss these Jams.... thump up hon.prof Jay
@senimashauri66964 жыл бұрын
Brother Jay jaribu pia kuzfanyia video ngoma kama hizi kiukwel hajawahi vunja record mwana hip hop mwingne Hapa Africa ispokuwa ww Jay ngoma zako ni mawe na sijui tu maproducer wakipindi hicho sab beat iko sambamba sana na mashairi
@athumanii5 жыл бұрын
How about ukifanya video ya hii nyimbo kuienzi tu prof?
@laurentluya18565 жыл бұрын
Mfalme Jay na wenzako wa wrong, heshima yenu. mziki umepoteza dira saizi
@Kimbururu5 жыл бұрын
Yeyote May 2019?
@joelntile90785 жыл бұрын
Hii miziki ilitufanya tuufurahie utoto wetu
@josephnguruwe72885 жыл бұрын
nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!
@festongandango41954 жыл бұрын
Fanani ni kwere 2020
@menashilmar16824 ай бұрын
G. O. A. T
@paulinanjelekela17254 ай бұрын
Nakumbuka back to those dayz...... Nyimbo zinarudisha moments za kitambo sana...
@damianbugumba49105 жыл бұрын
Keeping the good music alive
@dennisnjonanje625 жыл бұрын
Mashabiki wa Trap hawawezi elewa mzigo ulipotoka
@bonifacejames34 Жыл бұрын
Jamaa walivunja Sana humu!
@begaca5 жыл бұрын
WA kwanza GONGA LIKE
@ernestmikael8183
5 жыл бұрын
Amega Info dah
@ernestmikael8183
5 жыл бұрын
Nimini
@Lky5893 жыл бұрын
Bado ipo fanani bhana! We ninomasana sema bast 2021
@djjoman5 жыл бұрын
hii nyimbo niliitafuta siku nyingi sana asante jay
@nicodemastambo8475 жыл бұрын
Profesa nani kakupa akili hii saafi saaana weka zote na za HBC all album tunza mziki wako usipotee
@ramadhankayanda40565 жыл бұрын
Wanasema mi nimeshawataka wamekataa
@stephenmubanga77112 жыл бұрын
Much love and respect for bongo flava. Zambia tunasikiliza Poa basi. Prof Jay big up
@eliasakumba6821 Жыл бұрын
Safi sana
@emmanueljudas45224 жыл бұрын
Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane namm
@stevenkimaro654 жыл бұрын
Bonger LA go ma✌✌✌✌✌
@sammykhatibu9465 жыл бұрын
Mziki unao ishi uwo
@jirac14563 жыл бұрын
Mombasa huu wimbo uliwika sana.
@mahesenitunduma24385 жыл бұрын
Tulifalakana tukakaa chini tukapatana Wanapatwa na bumbuwazi kuona bado hatujaachana
@richardcastromzena5136
5 жыл бұрын
Great style with message
@josephvenus32594 жыл бұрын
2020 tupo pamoja . J ni 🔥🔥
@idrisahamza10235 жыл бұрын
Professa jay ukisiliza hii ngoma halafu ukisiliza kamiligado hujioni bwege
@budder9110
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ireneanthony11585 жыл бұрын
2019 bado moto kabisa
@thomaskeya40925 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo niliku.musuma
@leskarmeikok8956 Жыл бұрын
Mashairi makali sanaaaa🎉🎉🎉🎉
@AffectionateFishWaffle-pn4cr5 ай бұрын
2024 still good
@peterkayuwi89115 жыл бұрын
Kipepeo cha moyo sema unachotaka
@godfreyphilipo46715 жыл бұрын
Heshima ya bongo flavour
@hamiduhussein4 жыл бұрын
Happy birthday professor jay
@nackamnchimbi66165 жыл бұрын
Hii ndiyo ngoma inayonikonga sna kwenye hii album
@djgthehotstepper3 жыл бұрын
From wasaffim ❤️❤️❤️💯💯🇰🇪🎊🎊🎊🎊🎊🎊
@clintonluyangi94195 жыл бұрын
Ndo song nilikuwa nalitaka pia
@bibomax42735 жыл бұрын
21/5/019 Bado iko kwa sikio
@amojason19455 жыл бұрын
Best Tz artist of all time
@jirac1456
3 жыл бұрын
Afrika mashariki.
@benyvoice94155 жыл бұрын
Niamini bac bebe Wang😝😝
@officaltreyyg52375 жыл бұрын
Hizi nyimbo mzee me nataka nizi Download .sasa sizipati mze wangu
@jumannemturi828 Жыл бұрын
Nimekumbuka siku mingi sana
@balloondecorationtz31903 жыл бұрын
Mziki sio view mziki ni information miaka na miaka kubadilika sio rahisi
@alexmbaula51923 жыл бұрын
jay jay jay nimekuita mala tatu salute broth
@byamukamadavid7782 жыл бұрын
Dunia's best, salute Prof.
@salahjm29105 жыл бұрын
Full respect prof
@bedanchimbi81528 ай бұрын
Vichwa vitatu ndanii ya track moja
@galeisaac34723 жыл бұрын
Back in the day when we used to sneak into the club. Club silk kampala to be exact
@yonarashidimbwambo22995 жыл бұрын
Mbona Kama nishaisikiaga hii ngoma !.
@mahesenitunduma2438
5 жыл бұрын
hii Ni Album ya 2001 sio mpya
@fadhilikigwama1785
5 жыл бұрын
Yona Rashidi Mbwambo ulioisikia wewe ni RMX hii ni OG
@danieltunga70254 жыл бұрын
Wangap wamekuja baada ya kuona post ya mpoki?
@user-lf5xx8yt2y7 ай бұрын
Naazizi vs jaffaray
@alphoncemnyambwa972011 ай бұрын
2023
@trevor93114 жыл бұрын
HAPPY BIRTHDAY
@CostaAlexanderCosta-bl8rz Жыл бұрын
Fanani where are you
@machakucharlz3 жыл бұрын
Dah still hitting in 2021......R.I.P Halima @Rajab Mazai/Roja
@abdallahlokole21473 жыл бұрын
Young killa
@King_Of_Everything7 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
@vincentcharles43854 жыл бұрын
Music genius
@2FlevaJin10 ай бұрын
Hivi akina young lunya wanasikiliza hizi Ngoma?
@zuwenasimfukwe29815 жыл бұрын
when music was music, the real nigga jay
@imtiaznoor1292 жыл бұрын
Pona haraka jembe
@oldskuladimuzabongo88732 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿✌️
@silastemu7782 жыл бұрын
Dah hivi hii nyimbo ilitokaga mwaka gani? Nakumbuka nimekua nikiuskia huu wimbo
@nagonation78553 жыл бұрын
3/3/2021
@amanjohnmrisho22105 жыл бұрын
salute
@geraldwilliam8932
5 жыл бұрын
izi old school ni fire
@josephnguruwe72885 жыл бұрын
nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!
Пікірлер: 94
Kama nawewe unampenda Fanani like.
@asserytemba282
Жыл бұрын
Insikitisha alivy0p0tea
Bado ina Bang 2020 kama unamin weka like twende sawa
Sichoki kusikiliza hii ngoma. Ngoma inastahili views 10M
@Lky589
3 жыл бұрын
Kungekuwa na yuotub mda ule saiz zingefika 150M views😭
Old is more than gold or silver......gonga like za kutosha 2020
[Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 1 - Professor Jay] Nakupenda sana ingiwa wanakuita demu wa uswazini Penzi lako la kweli ndo kitu nachothamini Kipepeo cha moyo we sema unachotaka Jinsi unavyoenzi kipenzi sina mashaka Tulipanda milima tukaja kwenye mabonde Na sasa ni tambarare tufanye wanga wakonde Kote tunakopita wamemwagia mbigiri Njoo nikumbatie tufe tukiwa wawili Hushangai, tukigombana tu wanafurahi Na tukiwa pamoja wanashindwa kutusabahi Walishakuja kwangu kunipa habari zako Nikawatoa mbio kulinda heshima yako Kwangu wamenishindwa wamegeuza kibao Changanua mapema upime akili zao Ni maisha yo Liz, twende tujikongoje Maisha safari ndefu sijui mbele kukoje Wanasema mi nakunywa wee, nalala kwenye baa Wanasema mi ni bingwa la ngono kwenye mitaa Wanasema mi nimeshawataka wamekataa Kwako napiga goti yoh twende ki-superstar [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 2] Yoh, nikwamba Mi nashukuru sana, umeniamini kwa sana Hukufata maneno ya wanga waliochonga kwa sana Miss Manana baab kubwa, hiyo ndo dhana Wala hukunikana asante sana mi sitokukana Tulifarakana tulikaa chini, tukapatana Bila kugombana na ndio maana hatujatengana Tukasamehana bila kutosana, endelea kukazana Visa vizabina maji ya shingo sa chupi zinabana Vichwa vinagongana wanaulizana, hatujaachana Wanapigwa na bumbuwazi kuona bado tunakumbatiana Tunashirikiana, na tunafanya vitu vya maana Na haki ya Mungu mi nakuahidi mi ndo wa dhamana Nakata mzizi wa fitina we ni wangu wa kuzikana Mwingine hakuna, vita vya manyoya sasa hapana Kwani maneno yalizidi hasa kwa wanga na mahasidi Na wengine waliahidi lazma watumwagie acid Eti hakomi kutupwa na napiga sana mchupa Hautachukua round kwangu mi ntakutupa Haukufanya pupa haukuogopa, haukunitupa Ya Mungu mengi leo hii mambo ni super Na yote aliyoahidi kwangu mi lazima kukupa Usiwe na pupa, tulia, mi ndo simba Unanipaga hamu, na hilo napenda ufahamu Nakumbuka maneno yako matamu, mi nakupenda wewe Unanipa kiwewe, ubavu wangu wa pili ni wewe Napenda uelewa, niamini ni mimi na wewe [Hook - Professor Jay] x2 Niamini (sema) Nataka uwe na mimi (mama) Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane na mimi (ye ye ye) Hivi kwanini (sema) Hutaki kuniamini (mama) Nyoyo ziko pamoja mpaka siku ya kifo uanze we au mimi (ye ye ye) [Verse 3] Amini amini, tuko pamoja safarini Wala sigeuki, nipo pamoja na wenye chuki Hivi ujabaini? Wanakudanganya maneno lukuki Eti napenda chini, eti nakuhasi na hugutuki Hivi inaingia akilini? Ni muda gani na ni lini! Siku hiyo hatukuwa pamoja? Kama si huzushi ni nini? Wanga wanajikongoja navyokupenda kwa ukalando Mwana wametunga hoja, tutengane iwe furaha Iwe tazamia vioja, usiwaamini hata mara moja Wengi ni vizabi zabina, wapiga majungu na wafitina Magwiji washirikina, pima vyema tena kwa kina Tusije tukaachana, tutawapa msemo wageni iwe meno Itakuwa haina maana, mara tu tumefarakana Pia itakuwa aibu, tujaribu tu kuvumiliana Mapenzi ni taratibu, mambo ya jana sio ya leo Tusije tukaharibu, hebu sikia sogea karibu Nani wa kunigiribu? Kwako sioni, sisikii Ukiacha utaniadhibu, we nipe raha, nipe zabibu Mpaka ntakapokufa, tushirikiane kuziba ufa Wanga wasitufate, nafurahi unavyonipenda Sinyo nasema asange, we nipe denda, nipe mate Mama subiri fungate, mzizi wa fitina tena tukate Wewe na mimi (mimi), niko radhi kula yamini Wewe na mimi (mimi), mama Lily hebu niamini
@banzamanoni8707
4 жыл бұрын
Balikiwa sana
@godlucksamwel7560
4 жыл бұрын
Superb.
@alexngelezi9602
4 жыл бұрын
Bigap sana
@nandomosha1115
4 жыл бұрын
Superrrrr
@lilymtui3099
4 жыл бұрын
More thanks to u
2022 still hot song...get well soon profesa
Good music 🎶🎶 Still rocking nerves 2024
Hii ngoma inanifanya nitamani siku zirudi nyuma aiseeee J wakitaa
I really miss these Jams.... thump up hon.prof Jay
Brother Jay jaribu pia kuzfanyia video ngoma kama hizi kiukwel hajawahi vunja record mwana hip hop mwingne Hapa Africa ispokuwa ww Jay ngoma zako ni mawe na sijui tu maproducer wakipindi hicho sab beat iko sambamba sana na mashairi
How about ukifanya video ya hii nyimbo kuienzi tu prof?
Mfalme Jay na wenzako wa wrong, heshima yenu. mziki umepoteza dira saizi
Yeyote May 2019?
Hii miziki ilitufanya tuufurahie utoto wetu
nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!
Fanani ni kwere 2020
G. O. A. T
Nakumbuka back to those dayz...... Nyimbo zinarudisha moments za kitambo sana...
Keeping the good music alive
Mashabiki wa Trap hawawezi elewa mzigo ulipotoka
Jamaa walivunja Sana humu!
WA kwanza GONGA LIKE
@ernestmikael8183
5 жыл бұрын
Amega Info dah
@ernestmikael8183
5 жыл бұрын
Nimini
Bado ipo fanani bhana! We ninomasana sema bast 2021
hii nyimbo niliitafuta siku nyingi sana asante jay
Profesa nani kakupa akili hii saafi saaana weka zote na za HBC all album tunza mziki wako usipotee
Wanasema mi nimeshawataka wamekataa
Much love and respect for bongo flava. Zambia tunasikiliza Poa basi. Prof Jay big up
Safi sana
Watu wenye fitina wanaleta majungu uachane namm
Bonger LA go ma✌✌✌✌✌
Mziki unao ishi uwo
Mombasa huu wimbo uliwika sana.
Tulifalakana tukakaa chini tukapatana Wanapatwa na bumbuwazi kuona bado hatujaachana
@richardcastromzena5136
5 жыл бұрын
Great style with message
2020 tupo pamoja . J ni 🔥🔥
Professa jay ukisiliza hii ngoma halafu ukisiliza kamiligado hujioni bwege
@budder9110
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
2019 bado moto kabisa
Nakumbuka enzi hizo niliku.musuma
Mashairi makali sanaaaa🎉🎉🎉🎉
2024 still good
Kipepeo cha moyo sema unachotaka
Heshima ya bongo flavour
Happy birthday professor jay
Hii ndiyo ngoma inayonikonga sna kwenye hii album
From wasaffim ❤️❤️❤️💯💯🇰🇪🎊🎊🎊🎊🎊🎊
Ndo song nilikuwa nalitaka pia
21/5/019 Bado iko kwa sikio
Best Tz artist of all time
@jirac1456
3 жыл бұрын
Afrika mashariki.
Niamini bac bebe Wang😝😝
Hizi nyimbo mzee me nataka nizi Download .sasa sizipati mze wangu
Nimekumbuka siku mingi sana
Mziki sio view mziki ni information miaka na miaka kubadilika sio rahisi
jay jay jay nimekuita mala tatu salute broth
Dunia's best, salute Prof.
Full respect prof
Vichwa vitatu ndanii ya track moja
Back in the day when we used to sneak into the club. Club silk kampala to be exact
Mbona Kama nishaisikiaga hii ngoma !.
@mahesenitunduma2438
5 жыл бұрын
hii Ni Album ya 2001 sio mpya
@fadhilikigwama1785
5 жыл бұрын
Yona Rashidi Mbwambo ulioisikia wewe ni RMX hii ni OG
Wangap wamekuja baada ya kuona post ya mpoki?
Naazizi vs jaffaray
2023
HAPPY BIRTHDAY
Fanani where are you
Dah still hitting in 2021......R.I.P Halima @Rajab Mazai/Roja
Young killa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
Music genius
Hivi akina young lunya wanasikiliza hizi Ngoma?
when music was music, the real nigga jay
Pona haraka jembe
🇹🇿🇹🇿✌️
Dah hivi hii nyimbo ilitokaga mwaka gani? Nakumbuka nimekua nikiuskia huu wimbo
3/3/2021
salute
@geraldwilliam8932
5 жыл бұрын
izi old school ni fire
nilichogundua Prof anaupendo wa chat juu ya mchumba wake!
2023