Pole kwa wale walikuwa hawajazaliwa...mlipitwa na ngoma kali sana
@laurentluya1856
8 ай бұрын
Ngoma zilikua zamoto sana
@user-hx2if3ep2m
5 ай бұрын
Mwaka gani iliiachiwa
@esaujulius88313 жыл бұрын
Gonga like Kama bado unasikiliza ngoma hii 2021
@joachimhomvye71253 жыл бұрын
Kwa kifupi nimekulia kwenye mmaisha yakitajiri , wazaz walinipenda walinipa hili nahili, sio sir nilikimbia umande kusoma sikuona dili, maisha yalikuwa matam nilisahau ya jehanam, ilikuwa uwe na hali flan ili upate yangu salaam, , wazee wenye busara walisema kijana hana nidham, sikuumiza kichwa niliamin hawata ni---🙊--, mimi ndo mim mwendo mdundo wengine niliona ufundo🙊 naweza kula muwa pasipo kukuta fundo walisema mafumbo,hawajui utam wa maisha, fedha kwangu ni kama nyundo, na kila alienighas aliozea segerea, aliejifanya kibur siku ----🙊-- kumpatia buku ⏪⏯️
@skywhite299311 ай бұрын
Ni kweli huyu jamaa ni professor kwenye music 🎶
@abuumessinassor51913 жыл бұрын
Zaman ndo kulikuwa na nyimbo sio sasa
@mendradynyoni11103 жыл бұрын
🇹🇿 Tanzania tunaweza ngoma Kali🇹🇿
@JafariMohamedi-zf8zx Жыл бұрын
Uyu Jamaa wakueshimika sana alikua anandika madini sana
@safechamp73012 жыл бұрын
Chemsha Bongo - Prof Jay Jinsi Kijana - Juma Nature Niamini (Liz) - Prof Jay Sonia - Juma Nature. These guys changed the game and took it home with maximum points. Unbelievable talents. Prof Jay is like Jay Z, and Juma Nature is definitely Eminem(his style ya kulalamika na kuchana watu waziwazi).
@armstrongh073 жыл бұрын
Masterpiece changa na tamu 🌸
@abrahamrobert49509 ай бұрын
Professor jay is the tz goat rapper pure talent
@badbeats56372 жыл бұрын
Prof my number 3 best rapper Tanzania. I love this song. The beat, the bounce, the lyrics, the message. God bless u king Joseph.
@AnkoJJ
2 жыл бұрын
Just curiosity,who are your number 1&2?😀
@badbeats5637
2 жыл бұрын
@@AnkoJJ My opinion. I might be wrong. Moja ni Sugu, Mr. II. To me he is a legend; he done came along way, from old school boom bap, Sugu ame pave the way for hiphop ya Tanzania. Na kezi zake bungeni; forget about it. Number two ni Fid Q. Faridi, Ngosha; he is too skilled. Too poetic. Ngosha ni too skilled with his pen. Forget about it. Number 3 ni J. Nampenda. Muokozi nitoe roho niepuke hili balaa. Number 4 ni Juma Nature; what Juma did for Temeke haitawahi fanywa Tena. Juma Nature alii wakilisha TMK labda Chidi na Ilala ndio mfano SEMA Nature alikuja na kitaa kizima, wanaume. Oya naweza kashe hapa. Apewe heshima pia Balozi Dola Soul. Number tano ni Afande Sele. I could keep going ila amani kwako Kinyashi.
@mbesherejoh4219
Жыл бұрын
Hara Fid Q mwenyewe anakwambia anaogpa kushindanishwa na Profesor J...Fid Mpaka leo hana Album kali kama Machozi jasho na Damu na Funga kazi .Profesor J ni best of best my Friend nenda kaskilize wimbo unaitwa Zero -Witness ft Fid Q uskie kitu Fid kaaema kuhusu Profesor
@badbeats5637
Жыл бұрын
@@mbesherejoh4219 Mawaidha yangu tu ndugu. Mi naona uandishi wa Fid Q sio wakawaida. Profesa anajua kusimulia hadithi nadhani kuliko kila msanii ila punchline za Fid Q. Nitaskiza nyimbo hiyo. Amani kwako.
@hansboy14433 жыл бұрын
Ili goma linanipa mzuka sana ujui. 2. Mi baba nilikuwa naheera nilikuwa naongea kwa nyodo uku nikicheka kizungu
@mudrickbarton89115 ай бұрын
GOAT
@TheOgfizzle3 жыл бұрын
🇰🇪👌🏾 takes me back to 2000
@kidiesnupi2717
2 жыл бұрын
That's rap
@dullahmmebela5624
11 ай бұрын
New millennium!!!
@fredyelifuraha25532 жыл бұрын
Get well soon Profesa J - 12/02/2022
@kassimsalum14792 жыл бұрын
Yeah kibaka puff 2022 🇧🇷🇹🇿
@eliasakumba68212 жыл бұрын
Goma la akili sana
@paulorichard88033 жыл бұрын
It takes me back
@bossbillionare Жыл бұрын
Jiwe zito hili....
@emmanueltesha48906 ай бұрын
Asee noma sana, hapa kina young lunya bado hata maza ajaanza jambo lolote. Watu wazima mnaelewa. Dogo janja pia ajazaliwa, young killer, young D au waseme walikuwa wapi ? Still I respect you guys ila Profesior Jay ni mtu hatari sana
Пікірлер: 51
Chemsha Bongo 2023 🇰🇪
Pole kwa wale walikuwa hawajazaliwa...mlipitwa na ngoma kali sana
@laurentluya1856
8 ай бұрын
Ngoma zilikua zamoto sana
@user-hx2if3ep2m
5 ай бұрын
Mwaka gani iliiachiwa
Gonga like Kama bado unasikiliza ngoma hii 2021
Kwa kifupi nimekulia kwenye mmaisha yakitajiri , wazaz walinipenda walinipa hili nahili, sio sir nilikimbia umande kusoma sikuona dili, maisha yalikuwa matam nilisahau ya jehanam, ilikuwa uwe na hali flan ili upate yangu salaam, , wazee wenye busara walisema kijana hana nidham, sikuumiza kichwa niliamin hawata ni---🙊--, mimi ndo mim mwendo mdundo wengine niliona ufundo🙊 naweza kula muwa pasipo kukuta fundo walisema mafumbo,hawajui utam wa maisha, fedha kwangu ni kama nyundo, na kila alienighas aliozea segerea, aliejifanya kibur siku ----🙊-- kumpatia buku ⏪⏯️
Ni kweli huyu jamaa ni professor kwenye music 🎶
Zaman ndo kulikuwa na nyimbo sio sasa
🇹🇿 Tanzania tunaweza ngoma Kali🇹🇿
Uyu Jamaa wakueshimika sana alikua anandika madini sana
Chemsha Bongo - Prof Jay Jinsi Kijana - Juma Nature Niamini (Liz) - Prof Jay Sonia - Juma Nature. These guys changed the game and took it home with maximum points. Unbelievable talents. Prof Jay is like Jay Z, and Juma Nature is definitely Eminem(his style ya kulalamika na kuchana watu waziwazi).
Masterpiece changa na tamu 🌸
Professor jay is the tz goat rapper pure talent
Prof my number 3 best rapper Tanzania. I love this song. The beat, the bounce, the lyrics, the message. God bless u king Joseph.
@AnkoJJ
2 жыл бұрын
Just curiosity,who are your number 1&2?😀
@badbeats5637
2 жыл бұрын
@@AnkoJJ My opinion. I might be wrong. Moja ni Sugu, Mr. II. To me he is a legend; he done came along way, from old school boom bap, Sugu ame pave the way for hiphop ya Tanzania. Na kezi zake bungeni; forget about it. Number two ni Fid Q. Faridi, Ngosha; he is too skilled. Too poetic. Ngosha ni too skilled with his pen. Forget about it. Number 3 ni J. Nampenda. Muokozi nitoe roho niepuke hili balaa. Number 4 ni Juma Nature; what Juma did for Temeke haitawahi fanywa Tena. Juma Nature alii wakilisha TMK labda Chidi na Ilala ndio mfano SEMA Nature alikuja na kitaa kizima, wanaume. Oya naweza kashe hapa. Apewe heshima pia Balozi Dola Soul. Number tano ni Afande Sele. I could keep going ila amani kwako Kinyashi.
@mbesherejoh4219
Жыл бұрын
Hara Fid Q mwenyewe anakwambia anaogpa kushindanishwa na Profesor J...Fid Mpaka leo hana Album kali kama Machozi jasho na Damu na Funga kazi .Profesor J ni best of best my Friend nenda kaskilize wimbo unaitwa Zero -Witness ft Fid Q uskie kitu Fid kaaema kuhusu Profesor
@badbeats5637
Жыл бұрын
@@mbesherejoh4219 Mawaidha yangu tu ndugu. Mi naona uandishi wa Fid Q sio wakawaida. Profesa anajua kusimulia hadithi nadhani kuliko kila msanii ila punchline za Fid Q. Nitaskiza nyimbo hiyo. Amani kwako.
Ili goma linanipa mzuka sana ujui. 2. Mi baba nilikuwa naheera nilikuwa naongea kwa nyodo uku nikicheka kizungu
GOAT
🇰🇪👌🏾 takes me back to 2000
@kidiesnupi2717
2 жыл бұрын
That's rap
@dullahmmebela5624
11 ай бұрын
New millennium!!!
Get well soon Profesa J - 12/02/2022
Yeah kibaka puff 2022 🇧🇷🇹🇿
Goma la akili sana
It takes me back
Jiwe zito hili....
Asee noma sana, hapa kina young lunya bado hata maza ajaanza jambo lolote. Watu wazima mnaelewa. Dogo janja pia ajazaliwa, young killer, young D au waseme walikuwa wapi ? Still I respect you guys ila Profesior Jay ni mtu hatari sana
Ace was here...2023
Ngoma hatari sana Hii 2021 Dec 03
2003 tupoooo
Dah 1999 2000 hiyo kipindi nipo mirerani Arusha
Pini Kali hadi Leo 2021
The masterpiece
Ngoma hii imenitia moyo sana enzi hizo
@fatmakhamis6492
2 жыл бұрын
Sn sio ww tu
2023 ❤
🔥🔥🔥
Good
🇹🇿🇹🇿✌️
Professor
2023❤❤❤
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Goma la ukwel
1-Sugu, 2-Prof J, 3-Ngwair, 4-Nature, 5-Fid Q, 6-Chid Benz, 7-Afande Sele, 8-J Mo, 9-Byser, 10-FA, 11-Nash MC,
@kakaameena1794
Жыл бұрын
Still one of my favorites 2023
@abrahamrobert4950
9 ай бұрын
Professor jay is the goat in tz bongo flava
Since 1995
@dullahmmebela5624
11 ай бұрын
2000!!!
Dah🫡