tuliofungua 2024 na hili dude la kibabe achia like apa
@alexkashanga
Ай бұрын
😂👍
@johaiventhadeo39342 жыл бұрын
Enzi hizoo ngoma ilitambaa kweli kweli..kama bado waisikiliza ngoma hii pita na like 👍ya nguvu
@edwindeogratius4152
Жыл бұрын
, ,
@abduliashiru9394
Жыл бұрын
Noma sana uyu mwamba
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
King kong
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
La familia
@mgeninjoo2087
Жыл бұрын
Sauti ya chuma kamili...nakumbuka 2009 aliingia Mambo Mseto na hii ngoma ilkua 🔥 na Willy M Tuva
@amannziku5903 ай бұрын
Daah mwanangu chid, ngoma bado ina vibe kama imetoka jana...gonga like kama unamkubali chidi benzii
@SalimaMohamed-re9yp5 ай бұрын
One of the best song King Kong ya chid Benz wangap tupo had ss 2024
@kelvinmwenda1013
Ай бұрын
Hii ngoma naisikiliza nikiwa hukuuu ALASKA BARIDI KALI NOMA NAKULA NGOMA ZA KITAMBO ZA BONGO TZ DAAAAH KITAMBO SANAAA 22/05/2024.
@bonnychidi8493 жыл бұрын
Kwa wale wanao mkubali huyu mwamba CHIDI BENZ 💪💪💪na wanao sikiliza hili goma 2021 gonga like hapa... Tujuane 💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@lukresiajullie4191 Жыл бұрын
Aaah!! Yeahh!! Haha!! La Familiaaa!! Tanzania, King Kong!! woooh! Uzito mdundo wa hindi, anga, na enzi za sancho Ni sawa na ubishi wa goli, kutoka kwa mbishi pancho Mashuhuri toka mtoto toka msoto toka studio joto Sahau kuhusu AC Eti Flani mbishi wa mboko, halalali anawazo soko Siku nae aje auze kama vile Jay Z Ama keeping rankin, keepin drumping, keepin rock the show Keepin jumping, keepin pumping, keepin smoking doe Spigiwi nacheza, pakavu nateleza You can′t stop mee!! Sana sana nitakupoteza One love, kwa mashabiki Asante kwa wanafiki, bila ninyi Hasira zisingekuwepo kichwa hiki Aisee Mi ni mkali, sina afadhali Na ndio mana bifu haziishi kwa wale wasio rijali Chidi! Wacha waropokwe Wacha wachomoke, wacha wavimbe, wachonge (Stick) Wala usiondokee! Hahaa!! Dar es saalaaama, dar esa salama stand up PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Mmelisoma, na mna feeel kinoma Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Dar es salaama stand up, put your hands up MC mkali, MC peace MC kipato kiaina MC mkali, wanan dis ila wanan kubali kiaina Kubali kiaina, kubali kiaina, kubali kiaina Sijali, bado chenga nawakomba, mi na beat natoa radha Kama muumini na komba Kama shilingi na konda, kama kicheche na Ng'onda Mlio wa "Vuum" na Honda, spirit na kidonda Spigani nkang'ata sa si bora nikimbie Sing′ang′ani kunata bali uwezo wangu ndie, Napanda siku baada ya siku, Spandi mchana nishuke usiku, Naamini bora kitu, kuliko kukosa kitu. Love kwa wasanii, love kwa wanajamii Love sana mpaka kwa kina hihi!! Kwa kina nanii. Msintenge mi mwanenu jamani, chondee Nawawakilisha nyinyi mtatoka, msikonde Hey my African people tukaze, tusonge mbele Tusisahau hii iko, yaliyopita si ndwele Tugange basi hayoo, tuache kupiga mihayo Tufikiri kwa urefu sio size ya Zakayo PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Naona DAR inafuka moshi wa majani Ma sister duu wameji mix na ma rastaman Kamata toto mwanangu besa kitu gani Hili... Mipini watu wanakaa Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Po!! Poo! Poo!! Yeaah King, kong, yani ah!! Ah!! Wamekaa
@abdulrahimomar8554
2 ай бұрын
❤
@yakubnassoro16355 жыл бұрын
Huyu mwana amezingua sana kwa kweli na maishu yake ya madawa. Aneemkumbuka mwana ChidBnz kwa ngoma kali kama hii apige like hapa
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Yakub Nassoro bado ni mwamba saaaana. Hakuna ladha kama yake. Anayoyapitia ni njia ambayo ina mikwaruzo ambayo hata ww huwa unapitia kwenye shughuli zako ila unapambana n unarudi kwenye mstari. Nina imani atarudi tu, uwe na imani pia
@gladymakule3806
4 жыл бұрын
Chd Yuko vzur had now chuuuuuuumaaaaaa
@nassormazea8742
4 жыл бұрын
Mungu atamhidi aongoke
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Maishaa bro tumuombe duaa akae poa mwenetuu
@mastaigo1257
2 жыл бұрын
nawakubali chid
@johnkamau47052 ай бұрын
Kabisa moto kama DMX more love from Kenya chid benz
@spogaonline42516 сағат бұрын
NYIMBO BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
@edsonsibuti69144 жыл бұрын
Kumamake madawa ya kulevya tumepoteza msanii mzuri sana mpk nimelia
@jacksonmkumbo71835 жыл бұрын
Nani anaskiliza goma hili 2019
@musunguwilson6935
5 жыл бұрын
Ngoma yanifanya nikumbuke weekend feever. Bado yaendelea?
@swahiliandculture6599 Жыл бұрын
2023 lets gather here.... ngoma kali kinyama❤
@mimosapudica18943 жыл бұрын
Best of the best!!TUNAOMBA HII NGOMA IWEKWE ROUND ABOUT YA POSTA YULE ASKARI ATOLEWEEE!!🔥🔥🔥🔥 2021 signatures
Stil watching in 2023.Chidi benz my all time best.Daresalam stand up.from kenya
@allyyusuph45746 жыл бұрын
Ngoma itambae ,,,,,,kal sana 2018
@alphaabdallah14065 жыл бұрын
Nyimbo znazoishi mpk mwisho wa dunia...
@husseinqaic5384 Жыл бұрын
Nani anaskiliza hili dude 2023 likes 👍 pliiz
@muyatz37 Жыл бұрын
Nani anaskiliza goma hii 2023. Like zako
@lewismuia52843 ай бұрын
Izi ndizo bongo hiphop ambazo zimetulea. Mob love from🇰🇪
@selmaanjumah8522 Жыл бұрын
Ngoma kali ya muda wote ikipigwa kwenye steji tamasha lolote,watu wote wananyanyuka🔥🔥🔥
@sylvanosalumu58406 күн бұрын
Chid ulikuwa hot sana mwana,kweli ngada ilaaniwe.
@fasterwalker14645 жыл бұрын
Tanzania Kuna raper wengi ila chid afikiwi mpaka kesho
@seducerkapero7306
5 жыл бұрын
ningekuwa na uwezo wa kurudisha muda nyuma arafu chidi yule aje sasa 2018 amini nakwambia ilikuwa hakuna cha wasafi walla wachafu. na nahisi chidi hawamsaidii kwa hofu ya uwezo wake kuna madogo wanasafiria nyota ya chidi wanaimba kumgeza chidi wanatunga mistali inayofanana na ya chidi hawa wote watapoteza ajira endapo chidi atarudia 100%kama zamani
@markmzarendo6001
5 жыл бұрын
Akiwa kama binadamu let us give home second chance and standup.I respected yo Child "ni Changamoto Tu"
@nobertmarinus286
5 жыл бұрын
Haji Muhidini htr xn..
@AbbasRichard-ri2wpАй бұрын
Mimi nilikuwa namsaidia Hk kipindi iko mpaka video ikatoka Hk my boss
@jameschinjeru66465 жыл бұрын
2018 mpaka 2019💪💪💪 tunatamba Nayooo akuna kama chidi sema amezingua na madawa mshkji uyu daaaah😞😞
@kassuqutbi2199
Жыл бұрын
KAMA sio madawa jamaaa hodari sana n sauti ya kipekee ktk gem y mziki wa tz hii ni 2023/1/1 NA BADO namsikiliza
@nicksonfidelis4157 Жыл бұрын
Jan 2023... still a banger 🔥🔥🔥
@sittandaki21356 ай бұрын
Daaahhh kweli maisha ni duara mbovu leo hiii brother chid benzi huwezi kumzania kama ni yeye
@kitaazaid2533 Жыл бұрын
Feb 2023 still naisikiliza ngoma hii
@abumusabmohammadkarama42875 жыл бұрын
Chidi benz fanya urudi legend mashabiki tunakuhitaji
@dualebashir45115 жыл бұрын
Je comprends pas swahili mais ce qu'il y a dans cette chanson je comprends 😁 big up à CHID BENZ
@deljaysamil11533 жыл бұрын
King of EA🇰🇪
@chrispinelux6765 Жыл бұрын
Everyday i listen to this song. Chid benz aka mista faco sheñz
@jnote9283 Жыл бұрын
Rashid alikua mkubwa sana na game alikua kaimali, nakumbuka kipindi hiki show zote za TV na radio zilikua zake. Alikua mpaka na reality show yake EATV nadhani, ila kama walivyosema waswahili mgema akisifiwa sana tembo hulitia maji, ishabaki historia! Bonge ya vocal na mistari. Maisha mengine yaendelee
@iamdavism41635 жыл бұрын
So sad Drugs can drown such talents. Lots of Love from Kenya to the U.S.A
@gourmetmasters910
2 жыл бұрын
Coasto inaitwa Mondo
@twaibahamza33566 жыл бұрын
Chidy utakuja kuandika nyimbo kama hii
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Twaiba Hamza hakika naamini hivyo, anayoyapitia ni changamoto za maisha tu. Ila atarudi na atafanya zaidi ya hapa
@officialchimamy1728
3 жыл бұрын
Kweri kabisa
@philipomduma26905 жыл бұрын
Tufikiri kwa urefu sio kwa size ya zakayo. Asante king Kong mc mwenye sauti ya kipekee.
@Views-mf8ir5 жыл бұрын
Uyu mshikaji alikuwaga na roho yake ya pekee... Aliwatoa wengi sana bila kujali
@mujunior36643 жыл бұрын
Daah chid Benz alikuwa anajua
@wilsonlyatuu34335 жыл бұрын
Daaah hiii ni 2019 ila ngoma bado inatamba,,,, dar put your hands up!!!!
@mwambwigadaimon4902
5 жыл бұрын
Wilson Lyatuu nouma sana
@nyamwizakaganzi40454 жыл бұрын
Hakuna msanii kweny rap atamfikia chid never
@shawaribakari12262 жыл бұрын
Kipindi hicho k vant hamnaa mamae bongee mojaa ya ngomaa🎶🎶🎶🇹🇿🇹🇿🇹🇿15/02/2022👊👊👊👊
@kassuqutbi2199 Жыл бұрын
JAMAA ndo mtu ninae mkubali ktk mziki wa bongo wakati wote....2023/1/1 MWAKA NA CHID BENZ
@martinmoogi Жыл бұрын
Chichichichichi chidi Benz chuma, dare Salam stend up, noma sana 💥💥🤙🤙
@user-gg3qe3sj1x10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@njalimboomary3145 жыл бұрын
Naumia sana ninapo muona chidi Wa kitambo na Wa sasa daah
@deusmallya66644 жыл бұрын
Lengend uko vzr mkuu💪💪💪💪👊👊👊👊
@doppewaxy2827 жыл бұрын
the king of bongo hip hop,
@iradastyle69625 жыл бұрын
Asa kwani kuna waimbaji now? Kuna rapper bongo? Chidi Dah!!! Siku nakuona Fiesta ya sjui 2000/2002 nliwewesekaaa my cuzin akatu introduce coz eeeeevryyy one knew nnakupendajeee and chuo Moro you came to perform Moro aseeeee i made sure my BF now Husband ananipeleka asee...i met you back stage the fact that ulinikumbakaaaaaa and you even showed me my number ulii save Wow!!!!! Always will be...your No 1 Fan...upone usipone...
@wanjikokennedy1384
4 жыл бұрын
Irada Style dah
@jackson4977
3 жыл бұрын
😔😔😔😔
@user-gh1nn6jo4j8 ай бұрын
Wajina nakubalii San kazii zakooo
@magomakabanja48010 ай бұрын
Ngoma la Kimataifa Bado linatamba na tunaishi Nayo
@FadhiliLaurentАй бұрын
Hii ngoma Makin san
@mwetamsada21395 жыл бұрын
ama kweli chid benzi sasa sitori mungu anamuona
@anithaemmanuel91483 жыл бұрын
Anaemfatilia chedy gonga 👍🏽
@juliusmatalotv59965 жыл бұрын
Mkono wa Pancho ndio ulihusika. Ila 6 , 10/2018. DAH. R.I.P PANCHO HATUPO NAE TENA KWA KIFO CHA MAJI
@hafidhmussa5664
5 жыл бұрын
ngoma Kali sana brother chid
@amanidaud93755 жыл бұрын
daaaaaah huyu ndo chid benz
@djitchyfingers5 жыл бұрын
2019 nani yupo gonga like
@johnsamo90285 жыл бұрын
Hili goma si la kitoto aisee jamaa noma sana, Nipo naingalia nafunga mwaka na king kong
@user-vh7qq1gx4k5 ай бұрын
Siku hii ngoma inachukua tuzo ngoma Kali ya Kila siku tusimsahau Pancho Latino tumpe nayeye🎉yake🇹🇿💯og
@FREEMANPAUL6 ай бұрын
Aliemfunza Chid kula madawa alilikosea sana taifa..Nyimbo nyingi nzuri zaidi ya hii aliuwa.
@matthewjohn51085 жыл бұрын
Chidiiiiiiiiiiiiii dha!!!! Rudi bro madogo wanazingua hakuna wanacho imba huku 😧😧😧😧😧 rudi chidi kwenye game.
@africanjamesbond7110 ай бұрын
2023 still a banger 🔥
@oscartvonline23825 жыл бұрын
Kila nikitazama the real Chidi Benz akiimba nakumbushwa mbabe wa ukweli wa Bongo Hip Hop. Nahisi kulia lakini nifanyaje. Nilikuwa shabiki chizi wa Chidi nilipokuwa shule ya upili na forever a Chidi fan,. Nawish angeachana na maisha ya dawa za kulevya. no one like Chidi just yet.
@EsauGabliel
6 ай бұрын
Tunamkubar uyu mwamba
@cathbethswai807 ай бұрын
Hii ngoma ilitolewa miaka 12 iliopita,,punchs zake zilitengenezwa kwaajili ya next generation imean hata saiv 2023 Bado hatuja ifikia hio targeted generation kwaajili ya kuenjoy huu mzik mzuri,,respect sana CHID BENZ✌️✊
@angelmfinanga23542 жыл бұрын
Waaaaaat🤓 hakunaga km father chid bn
@magnuspablo57835 жыл бұрын
Chuma chii... Chiii.. Chii... Luv u bro We mic u.. La familia Wanakukubali ki'aina
@omwamiomwami87510 ай бұрын
Hip hop ya kikweli khaligraph hangezumza hapa
@omaryiddy16522 жыл бұрын
Daah! Huyu jamaa alikua anajua sana, inaniuma sana cku hz alivyo, Mungu amrudishe tu akae sw
@chrispinangoo3382 Жыл бұрын
Acha Ngoma itambae…..2023!
@ceciliakingu41325 жыл бұрын
Kweli tunakubali kiaina I believe ipo siku chid Benz Atarudi kufanya mambo ka hizi
@godfreychuwa7271 Жыл бұрын
Ngoma bado inatambaa baba chid🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@davisalphonce70015 жыл бұрын
hii ngoma daah cjui nisemeje,ila dah ngoja nikae kimya
@sebastiankivaria90702 жыл бұрын
Man of the best chid kama Benz moto mwingine @2007/2021 mambo nimbaya alooo *@kuna namna A.twn tuna kula yechu#
@diraalex98868 ай бұрын
Legend never die
@saidhassan39675 жыл бұрын
duuhh......hii sauti chidy haiwezi kurudi tena loooohh......
@emmanuelchacha12164 жыл бұрын
Still Here 2020 after release of #beautiful kingkoooooong🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯✔💪
@aymanswaleh55845 жыл бұрын
dah kukupoteza wewe tumepoteza ladha
@isaiahelias30102 ай бұрын
Huyu ndio Pac wa bongo!
@sharonmaganda59042 жыл бұрын
2021 chid benz you still the O. G❤️👌🙌🙌
@user-ex1cd3ub8j3 ай бұрын
Yahhhh
@Mbuli1006 ай бұрын
Chid chid why why why brother😭😭😭😭
@hassanlamata23122 жыл бұрын
Haitakuja kutokea ngoma kama hii miaka buku✌️✌️✌️✌️
@rajabmohamed26315 ай бұрын
2024 Dar es Salaam standup 🔥🔥🔥🔥
@georgedalali38522 күн бұрын
Vibe kama la leo😂
@abdillahyabdilkadir467010 ай бұрын
The hiphop best rapa sijaona Kama chidi benz kiboko wao
@AzizSultan-fc7rn29 күн бұрын
Nani 2024
@dr.eliasm.chrisant41102 жыл бұрын
Hii ngoma Inaishi miaka.. Bonge moja la BEAT.
@samsonobonyo
Жыл бұрын
milele kwa wale wachache tunaoelewa
@gordonisaac14673 жыл бұрын
Do the remix bro..this was the Anthem 💣💣💣💥💥💥💥💥💥💥
@dripgang5863 ай бұрын
🖖
@napendamuzikiilovemusic58402 жыл бұрын
Listening in 2021 DSM Stand 🆙 La Familia King Kong 🤴
Пікірлер: 491
tuliofungua 2024 na hili dude la kibabe achia like apa
@alexkashanga
Ай бұрын
😂👍
Enzi hizoo ngoma ilitambaa kweli kweli..kama bado waisikiliza ngoma hii pita na like 👍ya nguvu
@edwindeogratius4152
Жыл бұрын
, ,
@abduliashiru9394
Жыл бұрын
Noma sana uyu mwamba
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
King kong
@nourredineChikambo
Жыл бұрын
La familia
@mgeninjoo2087
Жыл бұрын
Sauti ya chuma kamili...nakumbuka 2009 aliingia Mambo Mseto na hii ngoma ilkua 🔥 na Willy M Tuva
Daah mwanangu chid, ngoma bado ina vibe kama imetoka jana...gonga like kama unamkubali chidi benzii
One of the best song King Kong ya chid Benz wangap tupo had ss 2024
@kelvinmwenda1013
Ай бұрын
Hii ngoma naisikiliza nikiwa hukuuu ALASKA BARIDI KALI NOMA NAKULA NGOMA ZA KITAMBO ZA BONGO TZ DAAAAH KITAMBO SANAAA 22/05/2024.
Kwa wale wanao mkubali huyu mwamba CHIDI BENZ 💪💪💪na wanao sikiliza hili goma 2021 gonga like hapa... Tujuane 💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaah!! Yeahh!! Haha!! La Familiaaa!! Tanzania, King Kong!! woooh! Uzito mdundo wa hindi, anga, na enzi za sancho Ni sawa na ubishi wa goli, kutoka kwa mbishi pancho Mashuhuri toka mtoto toka msoto toka studio joto Sahau kuhusu AC Eti Flani mbishi wa mboko, halalali anawazo soko Siku nae aje auze kama vile Jay Z Ama keeping rankin, keepin drumping, keepin rock the show Keepin jumping, keepin pumping, keepin smoking doe Spigiwi nacheza, pakavu nateleza You can′t stop mee!! Sana sana nitakupoteza One love, kwa mashabiki Asante kwa wanafiki, bila ninyi Hasira zisingekuwepo kichwa hiki Aisee Mi ni mkali, sina afadhali Na ndio mana bifu haziishi kwa wale wasio rijali Chidi! Wacha waropokwe Wacha wachomoke, wacha wavimbe, wachonge (Stick) Wala usiondokee! Hahaa!! Dar es saalaaama, dar esa salama stand up PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Mmelisoma, na mna feeel kinoma Mikono juu Mafan mnao feel hili goma, Dar es salaama stand up, put your hands up MC mkali, MC peace MC kipato kiaina MC mkali, wanan dis ila wanan kubali kiaina Kubali kiaina, kubali kiaina, kubali kiaina Sijali, bado chenga nawakomba, mi na beat natoa radha Kama muumini na komba Kama shilingi na konda, kama kicheche na Ng'onda Mlio wa "Vuum" na Honda, spirit na kidonda Spigani nkang'ata sa si bora nikimbie Sing′ang′ani kunata bali uwezo wangu ndie, Napanda siku baada ya siku, Spandi mchana nishuke usiku, Naamini bora kitu, kuliko kukosa kitu. Love kwa wasanii, love kwa wanajamii Love sana mpaka kwa kina hihi!! Kwa kina nanii. Msintenge mi mwanenu jamani, chondee Nawawakilisha nyinyi mtatoka, msikonde Hey my African people tukaze, tusonge mbele Tusisahau hii iko, yaliyopita si ndwele Tugange basi hayoo, tuache kupiga mihayo Tufikiri kwa urefu sio size ya Zakayo PRE-CHORUS Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands Dar es salaama stand up, put your hands up!! Aaaah Stand up, put your hands (Aaaaah!! Ahhhh!!) Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe, ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don't stop And please keep this rockin Eee Aaa Eee Ngoma itambae, mzuka upae Mpaka watu wapagawe ee aa eee Pull Up Pull up, tell the DJ don′t stop And please keep this rockin Naona DAR inafuka moshi wa majani Ma sister duu wameji mix na ma rastaman Kamata toto mwanangu besa kitu gani Hili... Mipini watu wanakaa Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Waakubali kiani, wanakubali kiaina. Po!! Poo! Poo!! Yeaah King, kong, yani ah!! Ah!! Wamekaa
@abdulrahimomar8554
2 ай бұрын
❤
Huyu mwana amezingua sana kwa kweli na maishu yake ya madawa. Aneemkumbuka mwana ChidBnz kwa ngoma kali kama hii apige like hapa
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Yakub Nassoro bado ni mwamba saaaana. Hakuna ladha kama yake. Anayoyapitia ni njia ambayo ina mikwaruzo ambayo hata ww huwa unapitia kwenye shughuli zako ila unapambana n unarudi kwenye mstari. Nina imani atarudi tu, uwe na imani pia
@gladymakule3806
4 жыл бұрын
Chd Yuko vzur had now chuuuuuuumaaaaaa
@nassormazea8742
4 жыл бұрын
Mungu atamhidi aongoke
@Kingnelbo
4 жыл бұрын
Maishaa bro tumuombe duaa akae poa mwenetuu
@mastaigo1257
2 жыл бұрын
nawakubali chid
Kabisa moto kama DMX more love from Kenya chid benz
NYIMBO BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
Kumamake madawa ya kulevya tumepoteza msanii mzuri sana mpk nimelia
Nani anaskiliza goma hili 2019
@musunguwilson6935
5 жыл бұрын
Ngoma yanifanya nikumbuke weekend feever. Bado yaendelea?
2023 lets gather here.... ngoma kali kinyama❤
Best of the best!!TUNAOMBA HII NGOMA IWEKWE ROUND ABOUT YA POSTA YULE ASKARI ATOLEWEEE!!🔥🔥🔥🔥 2021 signatures
@pkswingsandgrill4781
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@brunomatata8941
Жыл бұрын
Cool song
@PhilotheoKililo
10 ай бұрын
Achaa hizoo,unamjua huyo wewe aliyewekwa round about,au unachonga tuu
2024 still a banger
2023 still banging
@eliasmacha1755
11 ай бұрын
🔥🔥🔥
@annytahadrehem3819
10 ай бұрын
Here we go
Stil watching in 2023.Chidi benz my all time best.Daresalam stand up.from kenya
Ngoma itambae ,,,,,,kal sana 2018
Nyimbo znazoishi mpk mwisho wa dunia...
Nani anaskiliza hili dude 2023 likes 👍 pliiz
Nani anaskiliza goma hii 2023. Like zako
Izi ndizo bongo hiphop ambazo zimetulea. Mob love from🇰🇪
Ngoma kali ya muda wote ikipigwa kwenye steji tamasha lolote,watu wote wananyanyuka🔥🔥🔥
Chid ulikuwa hot sana mwana,kweli ngada ilaaniwe.
Tanzania Kuna raper wengi ila chid afikiwi mpaka kesho
@seducerkapero7306
5 жыл бұрын
ningekuwa na uwezo wa kurudisha muda nyuma arafu chidi yule aje sasa 2018 amini nakwambia ilikuwa hakuna cha wasafi walla wachafu. na nahisi chidi hawamsaidii kwa hofu ya uwezo wake kuna madogo wanasafiria nyota ya chidi wanaimba kumgeza chidi wanatunga mistali inayofanana na ya chidi hawa wote watapoteza ajira endapo chidi atarudia 100%kama zamani
@markmzarendo6001
5 жыл бұрын
Akiwa kama binadamu let us give home second chance and standup.I respected yo Child "ni Changamoto Tu"
@nobertmarinus286
5 жыл бұрын
Haji Muhidini htr xn..
Mimi nilikuwa namsaidia Hk kipindi iko mpaka video ikatoka Hk my boss
2018 mpaka 2019💪💪💪 tunatamba Nayooo akuna kama chidi sema amezingua na madawa mshkji uyu daaaah😞😞
@kassuqutbi2199
Жыл бұрын
KAMA sio madawa jamaaa hodari sana n sauti ya kipekee ktk gem y mziki wa tz hii ni 2023/1/1 NA BADO namsikiliza
Jan 2023... still a banger 🔥🔥🔥
Daaahhh kweli maisha ni duara mbovu leo hiii brother chid benzi huwezi kumzania kama ni yeye
Feb 2023 still naisikiliza ngoma hii
Chidi benz fanya urudi legend mashabiki tunakuhitaji
Je comprends pas swahili mais ce qu'il y a dans cette chanson je comprends 😁 big up à CHID BENZ
King of EA🇰🇪
Everyday i listen to this song. Chid benz aka mista faco sheñz
Rashid alikua mkubwa sana na game alikua kaimali, nakumbuka kipindi hiki show zote za TV na radio zilikua zake. Alikua mpaka na reality show yake EATV nadhani, ila kama walivyosema waswahili mgema akisifiwa sana tembo hulitia maji, ishabaki historia! Bonge ya vocal na mistari. Maisha mengine yaendelee
So sad Drugs can drown such talents. Lots of Love from Kenya to the U.S.A
@gourmetmasters910
2 жыл бұрын
Coasto inaitwa Mondo
Chidy utakuja kuandika nyimbo kama hii
@adammfinanga8233
5 жыл бұрын
Twaiba Hamza hakika naamini hivyo, anayoyapitia ni changamoto za maisha tu. Ila atarudi na atafanya zaidi ya hapa
@officialchimamy1728
3 жыл бұрын
Kweri kabisa
Tufikiri kwa urefu sio kwa size ya zakayo. Asante king Kong mc mwenye sauti ya kipekee.
Uyu mshikaji alikuwaga na roho yake ya pekee... Aliwatoa wengi sana bila kujali
Daah chid Benz alikuwa anajua
Daaah hiii ni 2019 ila ngoma bado inatamba,,,, dar put your hands up!!!!
@mwambwigadaimon4902
5 жыл бұрын
Wilson Lyatuu nouma sana
Hakuna msanii kweny rap atamfikia chid never
Kipindi hicho k vant hamnaa mamae bongee mojaa ya ngomaa🎶🎶🎶🇹🇿🇹🇿🇹🇿15/02/2022👊👊👊👊
JAMAA ndo mtu ninae mkubali ktk mziki wa bongo wakati wote....2023/1/1 MWAKA NA CHID BENZ
Chichichichichi chidi Benz chuma, dare Salam stend up, noma sana 💥💥🤙🤙
🎉🎉🎉🎉🎉
Naumia sana ninapo muona chidi Wa kitambo na Wa sasa daah
Lengend uko vzr mkuu💪💪💪💪👊👊👊👊
the king of bongo hip hop,
Asa kwani kuna waimbaji now? Kuna rapper bongo? Chidi Dah!!! Siku nakuona Fiesta ya sjui 2000/2002 nliwewesekaaa my cuzin akatu introduce coz eeeeevryyy one knew nnakupendajeee and chuo Moro you came to perform Moro aseeeee i made sure my BF now Husband ananipeleka asee...i met you back stage the fact that ulinikumbakaaaaaa and you even showed me my number ulii save Wow!!!!! Always will be...your No 1 Fan...upone usipone...
@wanjikokennedy1384
4 жыл бұрын
Irada Style dah
@jackson4977
3 жыл бұрын
😔😔😔😔
Wajina nakubalii San kazii zakooo
Ngoma la Kimataifa Bado linatamba na tunaishi Nayo
Hii ngoma Makin san
ama kweli chid benzi sasa sitori mungu anamuona
Anaemfatilia chedy gonga 👍🏽
Mkono wa Pancho ndio ulihusika. Ila 6 , 10/2018. DAH. R.I.P PANCHO HATUPO NAE TENA KWA KIFO CHA MAJI
@hafidhmussa5664
5 жыл бұрын
ngoma Kali sana brother chid
daaaaaah huyu ndo chid benz
2019 nani yupo gonga like
Hili goma si la kitoto aisee jamaa noma sana, Nipo naingalia nafunga mwaka na king kong
Siku hii ngoma inachukua tuzo ngoma Kali ya Kila siku tusimsahau Pancho Latino tumpe nayeye🎉yake🇹🇿💯og
Aliemfunza Chid kula madawa alilikosea sana taifa..Nyimbo nyingi nzuri zaidi ya hii aliuwa.
Chidiiiiiiiiiiiiii dha!!!! Rudi bro madogo wanazingua hakuna wanacho imba huku 😧😧😧😧😧 rudi chidi kwenye game.
2023 still a banger 🔥
Kila nikitazama the real Chidi Benz akiimba nakumbushwa mbabe wa ukweli wa Bongo Hip Hop. Nahisi kulia lakini nifanyaje. Nilikuwa shabiki chizi wa Chidi nilipokuwa shule ya upili na forever a Chidi fan,. Nawish angeachana na maisha ya dawa za kulevya. no one like Chidi just yet.
@EsauGabliel
6 ай бұрын
Tunamkubar uyu mwamba
Hii ngoma ilitolewa miaka 12 iliopita,,punchs zake zilitengenezwa kwaajili ya next generation imean hata saiv 2023 Bado hatuja ifikia hio targeted generation kwaajili ya kuenjoy huu mzik mzuri,,respect sana CHID BENZ✌️✊
Waaaaaat🤓 hakunaga km father chid bn
Chuma chii... Chiii.. Chii... Luv u bro We mic u.. La familia Wanakukubali ki'aina
Hip hop ya kikweli khaligraph hangezumza hapa
Daah! Huyu jamaa alikua anajua sana, inaniuma sana cku hz alivyo, Mungu amrudishe tu akae sw
Acha Ngoma itambae…..2023!
Kweli tunakubali kiaina I believe ipo siku chid Benz Atarudi kufanya mambo ka hizi
Ngoma bado inatambaa baba chid🔥🔥🔥🙌🙌🙌
hii ngoma daah cjui nisemeje,ila dah ngoja nikae kimya
Man of the best chid kama Benz moto mwingine @2007/2021 mambo nimbaya alooo *@kuna namna A.twn tuna kula yechu#
Legend never die
duuhh......hii sauti chidy haiwezi kurudi tena loooohh......
Still Here 2020 after release of #beautiful kingkoooooong🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯✔💪
dah kukupoteza wewe tumepoteza ladha
Huyu ndio Pac wa bongo!
2021 chid benz you still the O. G❤️👌🙌🙌
Yahhhh
Chid chid why why why brother😭😭😭😭
Haitakuja kutokea ngoma kama hii miaka buku✌️✌️✌️✌️
2024 Dar es Salaam standup 🔥🔥🔥🔥
Vibe kama la leo😂
The hiphop best rapa sijaona Kama chidi benz kiboko wao
Nani 2024
Hii ngoma Inaishi miaka.. Bonge moja la BEAT.
@samsonobonyo
Жыл бұрын
milele kwa wale wachache tunaoelewa
Do the remix bro..this was the Anthem 💣💣💣💥💥💥💥💥💥💥
🖖
Listening in 2021 DSM Stand 🆙 La Familia King Kong 🤴
Nikweli kabsa
Woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo woyoooooooo saut ya chid noma ❤❤❤❤❤❤
Tunabang nalo 2023🔥🔥
😂 Aisee mi ni mkali 😊
Bonge la ngoma haitokaa itokeeee tena
Inaumiza sana sana sana kumuona brother alivyo sasa. Anyway Mungu akupe mwanga utoke kwenye mitihani unayo pitia mzee. Pambana. Chid ni mmoja tu
Namkubali sn
HUYU MWAMBA USWAHILI ULIFANYIKA SIYO BUREE....KAMA 20 PERCENT TUU
@jnote9283
Жыл бұрын
Hata mimi nahisi kuna namna, nadhani aliashawishiwa na kutegeshewa kidogo kidogo hayo matakataka
One of the best hip-hop song across Africa then chidi Benz mad love still a banger mad love outer 254 in 2023
Rest in peace Pancho Latino Still banging on 2018
@princemwombeck.1mviewers.232
7 ай бұрын
Broh….2023😢