Mr Blue Feat Becka | Pesa | Official Video
Музыка
Song: Pesa | Artist: Mr Blue Ft Becka
Digital promotion by Ziiki Media!!
Subscribe us for unlimited entertainment
/ mziikitube
Like us on Facebook
/ mziiki
Follow us on Twitter
/ mziiki
Follow us on Instagram
/ mziiki
Пікірлер: 540
Kama pesa ilivo milele ND ng0ma hii itakuwa milele wale wa 2024 em g0nga like hapa 😊😊
Whose here 2024 Ngoma yang pendwa iliyofanya hd saiz natumia pesa pesa tunamshukuru mungu🙏🙏🙏🙏
hii nyimbo haitakaa ichuje milele kama unaikubali gonga like twende sambamba kama msamba
@RollenLyimo-ph6wx
10 ай бұрын
Real
@youngchella4322
10 ай бұрын
Hadi leo naisikiliza kinyama😆😆🔥🔥
@daudimasawa1781
7 ай бұрын
Msamba huo vipi. Haija kaa sawa😅
@yousramutwale2463
2 ай бұрын
Yeah
@yousramutwale2463
2 ай бұрын
❤❤
Kama bado unacheki ngoma hii 2020 gonga like yako hapa🤐🤐
Wangapi bado wanaamini hit bado iko hapa..piga like
@komboomar8275
6 жыл бұрын
Kabsaaaa
@pastorfrancis8616
5 жыл бұрын
hil ni bonge la ngoma usiupime
@4bbless516
5 жыл бұрын
okwiri joseph mimimimimimi
Hii ngoma blue kabla hajaitoa alikuwa teyari alishakata tamaa na mziki alikuwa kama kaacha vile mziki . Aliyekuwa mtangazaji wa clouds B Dozen alienda studio na ndio Akausikia huu wimbo akauchukua na kuupeleka Redioni bila ya blue mwenyewe kujua, na kidizaini kama blue mwenyewe wala hakuwa na imani nayo kama itakuwa hit . Baada ya Dozen kuupiga huu wimbo kwenye xxl the rest is history ulikuwa hit kila kona na ndio ilikuwa turning nyingine tena kwa blue kurudi kwenye mziki. Aliyasema hayo blue mwenyewe kwenye kipindi cha xxl clouds fm
Rest in peace 🙏 my Mom. Nakupa salaam huku maisha kidogo matam nakula vitamu. Miss you mom
One of my favourite rappers in Tanzania,blue continue living more years,8 years and the hit is still shaking like waves in the ocean,Pesa represents 2023🔥🔥🔥💥
Ngoma hii itadumu miaka na miaka. Ina ujumbe flanii hivi wakistar na kuhustle..
Kama bado unaicheki hii ngoma paka leo 2019 gonga like hapa
@razackfadhil1030
5 жыл бұрын
Haichokwi ukisikia hit songs ndo kma hizi
@salomecomedyofficial
5 жыл бұрын
Noma sana aisee
@jackmwangi1901
4 жыл бұрын
Wacha 2019.mimi naangalia 2020.
@gjugerald1734
2 жыл бұрын
2021💪✔️
@kiwangochristian67
2 жыл бұрын
naicheki 2021 october
2023 Bado Hii Nyimbo Ta Baiser Still Ni Hit Song. Much Love From Mombasa-Kenya 🇰🇪
Kenya 🇰🇪🇰🇪 2030
Ngoma kalihiyo Ingeto kipindihiki ingekuwa 2019 vizuri zaidi like yako bas kamahunamkubali
One of the most underrated songs ever. Tight hit this one.
Blue hili ngoma alizima mji kabisaaa,,,, kheri Sameer
Ngoma naipenda hii ni hatareee,Blue ni fire
Mr. Blu is one of my favorite Bongo artist.He has matured in the game.
Hii ngoma mpaka siku ataambiwa hatutaki kukuona kwa stage mr blur ndo itaacha ku hit mark my words untouchable huyo
pesa mbonge la ngoma napenda mstari ...mbongo kweli nyoso bongo balaa kijana usikate tamaa kaza jombaa
@khorima
5 жыл бұрын
Bongo noma
Yaani Blue, nnavyomkubali nashindwa kueleza, michano safi, video safi, still watching 2018,to 2020
@ivannyboytz2123
2 жыл бұрын
Habarii unayoo lzm tusherrkee kwa kile kicho fanyik
A masterpiece, long live Mr Blue! Listening from 2004-2005 hadi leo!
Blue namukubali Sanaa nikia Bangladesh 🇧🇩 2024/3
dis song remainds me millions hours& days ago maze it was turf ,rough but i made it by God's grace...big song...sana....now im doing music too ,blue be blessed for inspiration me sana.
Nkipataga kahela ,nakunywa navaa earphone afu naplay hii ngoma
@richardyusuphmsongolomakat2049
4 жыл бұрын
Hahaahaaa...tulitafuta tukazipata na tunatumia pesaa pesa pesaaaaaaaaaaa...
@mariamyahaya2186
3 жыл бұрын
Like me
@jastinedwin7138
3 жыл бұрын
😂😂
@chrisssangah6767
2 жыл бұрын
Haha
mm naipenda coz bby wangu anampenda sna blue so n mm pia mpenda
Ngoma kali hii na ntaipenda maisha yangu yote mpaka uzeeni
Bleu wewe ni zaidi ya wote ni seme tuh umeachiya watoto uwanja ❤❤❤
Hii Nyimbo sizan km Kuna mtu anaipnda kulko Mimi
@mwinyiaman2522
6 жыл бұрын
mie nakushinda baba naikubali sana hii ngoma kinyamwez balaa
@andelherrera5137
5 жыл бұрын
john kitula hunishind mwanangu..nairudiaga siku nzima
@shukrimusa528
5 жыл бұрын
john kitula mimi zaidi
@khorima
5 жыл бұрын
Super Mr Blue
I like Mr blue rap . I feel good. I have enjoyed watching this video. Each time find his song I must watch it. Zambia, 19/12/2018.
@afexalpha6174
3 жыл бұрын
Lusaka Zambia my home town
Nishatembea kwa Miguu kabla ya kuwa Mr Blue
Mbayaaaa Respekt from 254🎉
Pesa salute kwa rapa wa kisasa moja kati ya kazi nzuri sana kuwah kufanyika hasa kwenye tasnia ya Muzik Tanzania
2022 And this song still on my favorite playlist☺️
@doreenmbuya66
Жыл бұрын
🙌🙌
@mbunah255
Жыл бұрын
Even me
Kutoka Kigali Rwanda 🇷🇼 💯 People been sleeping on blue but he still the 🐐 No cap!
Bro vijana wana penda swagg zako👍💪💪👂👂
Gonga like hapa kama unaangalia 2020 R.I.P. MOM Huu wimbo uwaburudishe wote waliopoteza mama zao kama mimi
@nassormazea8742
4 жыл бұрын
Pamoja sn
@johnmatiko2596
4 жыл бұрын
@@nassormazea8742 pamoja
Ngoma moja flani hiv ila nyie matajiri hayo ndio Maisha ya kuishi na ndugu zetu walemavu msiwatimulie vumbi👌
During my Youth's age... 2012... time flies Thank you God the Almighty
Kama bado unaisikiliza pesa 2020 gonga like 🏁
2020 kama bado unaichek hii ngoma gonga like huku unaendelea tazama hii ngoma
Ngoma hii inakaa ya jana lazma igongwe kwenye Sherehe yangu ya 2030 mola akinijalia gonga like kama upo na mm2023
@amosmwanisawa2887
3 ай бұрын
😂😂😂 Kila la Kheri!!!
hili dude hatariiiiiiii
Huu wimbo jamani naupendaaaaaaa❤❤❤
Ebhanee wagapi tunafunga mwaka wa 202O mwezi huu 12 ,tunasikiliza bongeeee la nyimbo% % TUMIA PESA IKUZOWEEE
Who still love this song .. 👍✨✨✨🎉😊👏😁👏😃🎉Congratulations!
@qysnadyaimanyara2314
7 жыл бұрын
Nestor Shentella me cant get enough of mr blu songs 😁😁😁
Namuona Chid Benz Benzinoooooooo❤❤❤❤
Wimbo wa milele huu na imagine nikiwa mzee hapo najikumbushia kwa ku rap😂😂 weweeeeee acha kabisa hebu wazee wenzangu mjao tugonge like twendeeeee
@MoraraIsaacj
Ай бұрын
Aye baba😂
big brother from another mom from rwanda blue u still the one all time i remember ze day of college when we dance from uuuuuuuu banjuka tu kuimba nakuceza
Hii goma wakati inatoka maisha kwangu yalikuwa magumu, kulala njaa kukiwa kawaida kwangu. Miaka kumi badae naicheza kwenye gari nakumwanga noti ka mtoto wa fisadi😂 Blu legend
This song inspires me to work hard
16.07.2021 - Swaggiste Versatyle was here. Shout out to them legends
Nyimbo yangu bora kutoka kwa blue
Sauti yako aipotei kwa sababu unamcha mungu big up bro more 😍
Hii ni kazi ambayo unaweza kwenda bank ukawasikilizisha na ukachukulia mkopo amini nakuambia ni ngoma naielewa sana haitokaa kuchuja kila ukiisikia ndio kama mpya hivi
Mr.Blue Blue!!!! kazi freshy mzito,kutoka Kenya nakupa salamu!
Mr Blue tulikukubali na bado tunakukubali.Kazi mufti kabisa!
twenty six namba fulan ivi amazing,,,,nani kamuona king kama mim
April 2019 bdo nachekii ngoma hii Gonga like twende sawa
Weka,,,,team B.O.B MICHARAZOOO,,,,Mambasa,,,,Sanaa 26 ndio...yani NDIOOO KUBWA,,,KAMA ASIUO,,, KUBWA....
Dats ma best song from ma brodah bizzy babylon Ever,I real like it!!
@allykassim9826
4 жыл бұрын
Pamoja
@derrickthedon91
4 жыл бұрын
Kali sana
One love mrblue umetisha sana
Nov 2019. Nilitembea kwa miguu kabla ya kuwa mr blue, hakuna sister duu wala braza duu aliyenijua, zaidi ya mvua na jua, na msoto ulionikuza nikakuwa,,,,, daaah.... Kula maji.. Love this banger.
Blue the greatest
Kama unaangalia ngoma hii mwaka 2021 gonga like
Kula nyama Kula maji😋
nshatembea Kwa miguu kabra yakua mr brue akuna sister duu wala brathar duu aloniju zaid jua mvua labda maskaji walonia
Hii ndio kalii zaidi ya Mr Blue hatariiiii
2023 nipo Bado naisikilza Ii nyimbo
Hii Ngoma inanikumbushaga jamaa yangu orambo alikuwaga na kibanda Cha kuchoma nyimbo tegeta kontena wazo 2014 hivi. Dahh Sei records sijui vipi siku hizi
everyday i have to listen to this song mr blue aka bysa aka babilon aka simba aka nyani zeee umemaliza hakuna mtu anaeza kataa hii ngoma na style na chemistry na rap na swag uko juu tu sana
@derrikdesertman4564
2 жыл бұрын
Hatarii sana.. Hii trakii inaishi miaka na miaka
hii ndo hua mashine ss ingekua kipindii hii ss ingekua hatariiiii
Ngoma kubwa Sana kwa wapambanaji. Kitambo kile hakuna brother du wala sister du alietujua
Kwenye Hali ya msoto maisha shida na njaa......I love that part👏👏👍. Kabayser 2022 much from +254 🇰🇪🇰🇪
2020 nipo hapa
Bado tutaipenda daima❤❤
Nani anacheki hii in 2024 Tujuane kwa Likes asee
Daah blue salute sana hii ngoma daily naiangalia na kuskiliza inanitoa machoz sana 😭🇹🇿
@shishisia1878
Жыл бұрын
Pole 😢
Mr blue u still a supa star🙏respect
CHILEMBAAAAAAA😂😅❤...Unyama sana BYSER
Kizazi kipya hawaezi elewa vile hiyo gari ya mr blu ilikuwa kali 9yrs ago..
Maaaaan you brought all Guys in the House Chidi Ali kiba and wanaume, much Love from Uganda🔥🔥🔥🔥
kwanin 2019, hit hii haina viewers milioni.. .
still real talk.. kenyan and Mr blue still talking real...
music mzuri byser nakukubali xana brother
2020 plus corona lkn still naskilz hii ngoma.... nkisikia bit lake uwiiiiiiii nasahau janga
Ngoma kali sana big up Mr blue naikubali hii Ngoma mpaka kesho naikubali kinyama👏👏 hatariii sana....big..up
Nomaaaaaa 🎉
Best hit.. since tbt.. ... nikwamba.. kula nyam nyamaza.. ni pesa💯💯
Zamani msanii akitoa ngoma lzma wasanii wenzake wengi waonekane 💚
@jenahando2747
Жыл бұрын
Kweli
Ni music mkaliiii kinomaaa nomaaa huwa unanifanya niiamini keshooo yangu
Wanaotaza mziki huu kutoka kwa byser in 2023 comment & Like hapa...🙌
Respect sn Mr blue umewapa moral vijana wengi kupambana,
2019 and still is my best bangahh!! Tumia pesa ikuzoee
Hii ipo hot mpaka kiama 2166
@allykassim9826
5 жыл бұрын
Hahahahahahahah.ahsante mtume andel.2018
Hatariiiiii sn hv vina, my best song of all, blue ni shigdaaaaa kwa vina!!!!
Mzee Baba, Lejendii.📌
one click👇🏿👇🏿if you have seen AliK, Chid and Chege in here ✊🏿
Blue Byser nakukubali siku zote mwanangu...#KINGwaKUFLOW
Amin kwamba watu walifanya Kaz
2023 still a hit💯💯🔥🔥