2024 kama bado unaisikilizaga hii ngoma gonga like😂😂
@GoldenchipsChips
5 ай бұрын
Bado tupo pamoja😂😂😂😂
@mohamedsalim6086
5 ай бұрын
Pamoja
@simonmwandu2214
5 ай бұрын
Zamni watu walikuwa na mistar haswa
@criminalminds7723
3 ай бұрын
Inaonekana KAZI ni ngumu Sana kupat
@johnmsogoti8552
2 ай бұрын
Hi ngoma taisikiliza mpaka nakufa naipenda sana
@wayfarer7328Ай бұрын
Kama uko hapa 2024 leo hii wee ndio mchizi wangu na usininyime like❤❤❤
@All_school254
Ай бұрын
mchizi wangu
@kajoletarimo80564 жыл бұрын
like za Chid benz zikowapi ?
@robinsonjames9711 Жыл бұрын
Big up Adam Mchomvu kwa kuunganisha hivi vichwa kwenye hii ngoma
@issamohamed65366 жыл бұрын
MOYO unanienda mbio kama unaendeshwa na Schumacher..... Niga one....
@renatusmatungwa6800
3 жыл бұрын
Kila nkiwaza mchizi wangu huenda anateseka.!
@msafirlaizer23685 жыл бұрын
Gonga like kama unaangalia hii ngoma mpka Leo 2019 hpo kwa playlist
@elifazmpozayo29303 жыл бұрын
Farid na chid benz wameua sanaaa big 🆙 2020 kama unacheki ngoma like here
@ronaldmwanakawa4943 Жыл бұрын
Hii sasa ndo mzuka,, old is gold old school bongo fan from Kenya 🇰🇪
@abdulmtausi66727 жыл бұрын
Mtoto wa Ilala,Chid benzzzzzzzzzzzzz,acha madawa kaka,mfalme uliyepotea kabla ya kuimarisha utawala,
@kevinmbokuh90925 жыл бұрын
Sitangoja 2019, gongeni like machiz na mabeste doo...
@cheobaking18614 жыл бұрын
Semaa jiaa kma umecheki i dude 2019 zaid ya cypher!!!!!! Gonga like
@martindeogratius65475 жыл бұрын
Gonga like kama umeiona hii ngoma 2019
@josephaugustino607
5 жыл бұрын
martin deogratius 03/07/2019
@gaspermagambo5997
4 жыл бұрын
20/10/2019 kutoka Zanzibar
@stellamasero25804 жыл бұрын
Mchizi Wang nan 2020 ngonga like twende mchiiiziii
@denisrugiga9742
Жыл бұрын
2023
@pakanyeusi80034 жыл бұрын
2020 in the building likee twendeee sawaaa 🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@mwandumazaoidrossa17026 жыл бұрын
temba mwehu kweli eti ukifaa na kiu baharini huo ni uzembee😅😅😅😅
@joelsule41115 жыл бұрын
Mimi si mpenzi wa nyimbo hizi, lkn hii colabo ni noma sana!!! Hapa nimefurahia uhusiano mzuri kati wasanii wetu ambao unaweza kudhani pengine labda walisingeelewa kwa sababu ya ushindani wa biashara ya talanta zao. R. I. P Mchizi wangu @pancholatino, makazi ya milele yawe faraja kwako kwa matunda mema uliyotuachia duniani! Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe!!!! Amen. 🙏🙏🙏
@mrrudeighayi7140
5 жыл бұрын
Dah tupo kama kawa 2019 tinawakilisha IBRA ze hustle
@chuwaloonlinetv66725 жыл бұрын
2019 Kama unaangalia hii vidéo gonga like twende Sawa
@alexjulius22716 жыл бұрын
hii ndo hiphop sasa enzi zetu izo rashidi👏👏👏👏
@athumanihamidu86734 жыл бұрын
Hii sasa ndio hip hop yenyewe. Jamaa walifanya Poa sana aisee
@ignasbrasius69893 жыл бұрын
From konde communities! !!!!! Mchizi wangu boscooo respect sanaaaa jah bless tumalize mwaka Mtama Tanzania piga kelellel
@Mosetyi9 жыл бұрын
hawa ndo machizi wangu... Bongo Hip hop at its best
@williamkalume4138
2 жыл бұрын
Waha ndio machizi wetu
@capitainrogers7415 жыл бұрын
Chidi Benz Best Rapper forever
@beathanyzacharia4022 Жыл бұрын
Mansulin aliua kinomaaa one love hppop 4 life
@jknurtiz8 жыл бұрын
this is the best track....I love tz hip-hop ....ila lord eyes kapitiliza saana
@kulwajames41785 жыл бұрын
Chid Benz mnyamaaaaa umetishaa 2019 💥💥
@trinity29chanell584 жыл бұрын
Kama unaagalia hizi hits September 2019 gonga like milion kwa hip hop legends wa Bongo
@edgarmwambapa2789
4 жыл бұрын
Yeeeh
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Mchizi wangu wa ukweli namjua kwenye mboni macho hayafichagi siri km sikendo mtaani mooh!
@tolumsukuma4850
2 жыл бұрын
wewe ndio mchiz wang noma
@SayiMuganaАй бұрын
Wendo mchizi wangu... 2024🔥🔥🔥🔥
@bonnieface113 жыл бұрын
wazito wakiangusha vina vya kweli............big up machizi wangu wote..........iano.etc.kim.ngure
@ramadhanimostoni82734 жыл бұрын
Chid unawaliza wengi wanaongalia hii ngoma.
@singlebaba12715 жыл бұрын
2019 gonga dore kama umemuelea Chid benz
@nelsoncosmas56394 жыл бұрын
Gonga like twende sawa kama umeagalia hii ngoma 2020
@ashagichero306711 ай бұрын
Love kwa "snichi"😂😂
@scariothagreat3 жыл бұрын
Kama unaona chidbenze hanastail kuitwa legend (goat) 🐐 gonga like
@barrysila3729
Жыл бұрын
Mwanangu hio lazima
@jumarajabu14792 жыл бұрын
Mchizi wangu 2021 unyama Sana 🔥🔥💯 jay ndunda ✌️
@enilson125412 жыл бұрын
chidi benzzzzzzzzzzzzz!!
@DonKhalifah3 жыл бұрын
Mzazi Willy M Tuva introduced this track in Kenya #HipHopTuesday kwenye #mambomseto #CitizenRadio much love Tuva
@gaza8479
Жыл бұрын
B4 we had radio free africa every friday .Presented this hard stuff .
@husseinrashid50466 жыл бұрын
Weeeweee ndo mchizz waaangu..!!!...#team kubwaaaa
@geofreyfelix862 жыл бұрын
MANSOUR dah asee 🔥🔥🔥🔥
@sashamoshi89645 жыл бұрын
Chiddy fa jay mo mmetishAa
@mugadimon35635 жыл бұрын
Wadau wa hippop tumemis track kama hii ya true hippop madgo sasahv wanatuzingua
@rabanikisusi3864 жыл бұрын
Gonga like kuanzia 2020 hpo
@mussamkalawa21015 жыл бұрын
2019 nawaona wakali wangu long time ago Like kama bado unaikubali Ngoma hii
@sultanmsoloni86352 жыл бұрын
Chid na Lord eyez wameua Ila ngwea alitakiwa kwenye hiii ngoma
@mfaumeakida43896 жыл бұрын
2018 still naona ndo zmetoka Jana yan.....really appriciated
@tundamanofficaly4874
5 жыл бұрын
Mfaume Akida we ndo mchizi wangu
@ibrahimason11 жыл бұрын
Kama unajua mistari...sikiza Mansu Li..huyu jamaa ni mdeadly!!
@eliuschonjo7706
5 жыл бұрын
G,,,,,,, mansul
@gideonmathias97055 жыл бұрын
Kama unaangalia hii 2018 gonga like
@agostnleon66852 жыл бұрын
2022 najipata huku , Tbt Nzuri sana!!!! Kwa wale wanaoelewa hip hop Thumbs up👍👍👍
@mkalimtz38046 жыл бұрын
Noma sana chid $# we ndo mchezi wangu
@ahmedh98826 жыл бұрын
R chuga hip hop Ndio ilipozaliwa bongo live. A town mpooooooooo ngaramtoni kwetu
@samtole2 жыл бұрын
This makes me miss my bongo niggaz! Ghetto boyz foeva!
@gabrielkavishe550
2 жыл бұрын
The real best collabo HipHop...!!! Getto boys foeva...
@theictguru57915 жыл бұрын
Chid Benz kaua sana kwenye hii ngoma
@pascaljr.54392 жыл бұрын
Machizi wanamwaga madini hip hop ilikuwa noma kweny tambo zetu.
@mwandumazaoidrossa17026 жыл бұрын
Binamu umeuwa vbaya. chid umenata na beat kinoma
@noelkaaya45596 жыл бұрын
Hipop imepoteza muelekeo...zamani ilikuwa really
@dullahkesi9547
4 жыл бұрын
Noel Kaaya yaa
@AliHassan-fy6zkАй бұрын
Respect kwa Mr kubanda
@gabrielsixtus17188 жыл бұрын
hip hop collabo ni nuksi yan
@wankyroshna55446 жыл бұрын
Kama unangalia hii vitu 2017 gonga like
@drmike4201
6 жыл бұрын
Salute
@godlovekwayu1516
6 жыл бұрын
2018
@athmanbakari59325 жыл бұрын
Maad colabo😎 Tanzanian artists rule hip hop across east Africa.
@isacknicholaus90404 жыл бұрын
Dude halichuji..2020 likes hapa🔥🔥
@benedictpatrickwilliam27584 жыл бұрын
Gonga like hapa kama bado unaangalia huu wimbo 2020
@Berchiche1415 жыл бұрын
Mh.Temba hapa ameeleza poa kabisa maneno yake yanafunza,Chid Benz ana mikwara mchizi wangu kama kiuno na tako.Binamu yeye ni kitu kingine,Fid Q hapa amefanya kazi nzuri na wengine wote nawezasema good job men. Nyimbo ni kali imetulia sana.
@contempo_builders4 жыл бұрын
Chid ameua sanaaaaa... 04th May, 2020
@albanbros72105 жыл бұрын
Hii ngoma watu wamechana kama ugomvi.
@nobertkavishe43042 жыл бұрын
Ilikuwa booonge la kolabo💪 Wana kibaaao
@brysonmusita81838 жыл бұрын
R.I.P Ngwair Geez Mabov YP..
@flowila829 жыл бұрын
Mabovu na Fa wameua, Lolenzo mchizi wangu means my good G
@mussahamdan60804 жыл бұрын
Kama unacheki 2020 gonga like
@oldskuladimuzabongo88734 жыл бұрын
Respect N2N..Nako2Nako
@godfreybaitani6024 жыл бұрын
Haitokaa itokee collabo ya HIP HOP bongo kama hii kamwe
@miriamnicholaus48413 жыл бұрын
Anae sikiliza 2021 gonga like💋
@muktartz73146 жыл бұрын
mabovuuuuuuuuuuuuuuuu R.I.P
@samsonkusupa68095 жыл бұрын
daah king ngosha nakukubari sana daah nikifikiria hvi vchwa sijui ingekuaje hadi Leo ngwea chidi chuma
@johndugudichi4262 жыл бұрын
Still sounds fresh off the lab. Big up to all real solid dawgs
@lulustephano86285 жыл бұрын
2019 nipe tano 😍
@Curioustraveller2543 күн бұрын
Jaymo is a lyrical genius
@joemwangi2511 Жыл бұрын
This was the real hip hop! Spitting 'em rhymes!
@zambonie862 ай бұрын
Nakumbuka A town kijenge ya juu mwaka 2004 pale maskani na kina Pizza, Wizzo, Issa, Jigga na Jaco. Nawamiss sana aisee.
@issahamza80328 жыл бұрын
daaah nzuri sana
@jamalhussein34636 жыл бұрын
Salute...from keko
@isaacmwaniki3281 Жыл бұрын
Hit of the hip-hop,I really love this song
@jumanguya91164 жыл бұрын
Huu ni zaid Ya mseto 😂😂🔥💥
@danydavid74614 жыл бұрын
This era 🔥🔥 2020 still here
@Young_nyuki Жыл бұрын
Nyindo machiz waaaangu 💥2023 bado tunaskiza 🇰🇪
@aristidrichardmrema5366 жыл бұрын
weweeweweweeee ndio mchizi wangu!!!
@mustiidebabiluun9682Ай бұрын
Kama bado unasikiliza hii ngoma we ndio mchizi gonga like
@emmanuelmushi27745 жыл бұрын
2019 nimewa miss hawa watu
@kambua25478 жыл бұрын
love the chidy verse
@idrisahussein66542 жыл бұрын
Kwanin ngwea hakuwemo kwenye ngoma hii
@valerianmchau9165
Жыл бұрын
Yupo kwenye video
@donafilms58886 жыл бұрын
2018 gonga like woyoooo
@MadHouss10 ай бұрын
I'm here after khaligraph diss just to know Tanzanian hiphop.I must say Its good.
@westcijosh
10 ай бұрын
Hii time tulikua juu
@collegedropout55254 жыл бұрын
gonga like kama bado unacheki hii truck mwaka huu 2020
@timothyhandy24085 жыл бұрын
datc hip hop xio wavaa vikuku na vibegi alafu wanajiita wanachana, this iz hip hop nat grasshopers of nowdays.R.I.P mangwear na geez mabov
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Chid ulikuwa nomaa sana
@mwandumazaoidrossa1702
6 жыл бұрын
Saumu Hassan mambo uko wp ww
@oswardadriano8542
6 жыл бұрын
nxhgidiii
@jastinmarsel2254
6 жыл бұрын
Noma sana
@darweshk7342
6 жыл бұрын
Sana
@israelnibigira49902 жыл бұрын
Kwa hii ngoma hakuna ambae amekosea yaani wote wameua
@ayubueliudimlaga49933 жыл бұрын
Jay Moe ulitisha mzee baba, wale Weusi wanaojiita wanajua Hip Hop Hawawezi kabisa kutia spoko zao humu ndani
Пікірлер: 468
2024 kama bado unaisikilizaga hii ngoma gonga like😂😂
@GoldenchipsChips
5 ай бұрын
Bado tupo pamoja😂😂😂😂
@mohamedsalim6086
5 ай бұрын
Pamoja
@simonmwandu2214
5 ай бұрын
Zamni watu walikuwa na mistar haswa
@criminalminds7723
3 ай бұрын
Inaonekana KAZI ni ngumu Sana kupat
@johnmsogoti8552
2 ай бұрын
Hi ngoma taisikiliza mpaka nakufa naipenda sana
Kama uko hapa 2024 leo hii wee ndio mchizi wangu na usininyime like❤❤❤
@All_school254
Ай бұрын
mchizi wangu
like za Chid benz zikowapi ?
Big up Adam Mchomvu kwa kuunganisha hivi vichwa kwenye hii ngoma
MOYO unanienda mbio kama unaendeshwa na Schumacher..... Niga one....
@renatusmatungwa6800
3 жыл бұрын
Kila nkiwaza mchizi wangu huenda anateseka.!
Gonga like kama unaangalia hii ngoma mpka Leo 2019 hpo kwa playlist
Farid na chid benz wameua sanaaa big 🆙 2020 kama unacheki ngoma like here
Hii sasa ndo mzuka,, old is gold old school bongo fan from Kenya 🇰🇪
Mtoto wa Ilala,Chid benzzzzzzzzzzzzz,acha madawa kaka,mfalme uliyepotea kabla ya kuimarisha utawala,
Sitangoja 2019, gongeni like machiz na mabeste doo...
Semaa jiaa kma umecheki i dude 2019 zaid ya cypher!!!!!! Gonga like
Gonga like kama umeiona hii ngoma 2019
@josephaugustino607
5 жыл бұрын
martin deogratius 03/07/2019
@gaspermagambo5997
4 жыл бұрын
20/10/2019 kutoka Zanzibar
Mchizi Wang nan 2020 ngonga like twende mchiiiziii
@denisrugiga9742
Жыл бұрын
2023
2020 in the building likee twendeee sawaaa 🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
temba mwehu kweli eti ukifaa na kiu baharini huo ni uzembee😅😅😅😅
Mimi si mpenzi wa nyimbo hizi, lkn hii colabo ni noma sana!!! Hapa nimefurahia uhusiano mzuri kati wasanii wetu ambao unaweza kudhani pengine labda walisingeelewa kwa sababu ya ushindani wa biashara ya talanta zao. R. I. P Mchizi wangu @pancholatino, makazi ya milele yawe faraja kwako kwa matunda mema uliyotuachia duniani! Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe!!!! Amen. 🙏🙏🙏
@mrrudeighayi7140
5 жыл бұрын
Dah tupo kama kawa 2019 tinawakilisha IBRA ze hustle
2019 Kama unaangalia hii vidéo gonga like twende Sawa
hii ndo hiphop sasa enzi zetu izo rashidi👏👏👏👏
Hii sasa ndio hip hop yenyewe. Jamaa walifanya Poa sana aisee
From konde communities! !!!!! Mchizi wangu boscooo respect sanaaaa jah bless tumalize mwaka Mtama Tanzania piga kelellel
hawa ndo machizi wangu... Bongo Hip hop at its best
@williamkalume4138
2 жыл бұрын
Waha ndio machizi wetu
Chidi Benz Best Rapper forever
Mansulin aliua kinomaaa one love hppop 4 life
this is the best track....I love tz hip-hop ....ila lord eyes kapitiliza saana
Chid Benz mnyamaaaaa umetishaa 2019 💥💥
Kama unaagalia hizi hits September 2019 gonga like milion kwa hip hop legends wa Bongo
@edgarmwambapa2789
4 жыл бұрын
Yeeeh
Mchizi wangu wa ukweli namjua kwenye mboni macho hayafichagi siri km sikendo mtaani mooh!
@tolumsukuma4850
2 жыл бұрын
wewe ndio mchiz wang noma
Wendo mchizi wangu... 2024🔥🔥🔥🔥
wazito wakiangusha vina vya kweli............big up machizi wangu wote..........iano.etc.kim.ngure
Chid unawaliza wengi wanaongalia hii ngoma.
2019 gonga dore kama umemuelea Chid benz
Gonga like twende sawa kama umeagalia hii ngoma 2020
Love kwa "snichi"😂😂
Kama unaona chidbenze hanastail kuitwa legend (goat) 🐐 gonga like
@barrysila3729
Жыл бұрын
Mwanangu hio lazima
Mchizi wangu 2021 unyama Sana 🔥🔥💯 jay ndunda ✌️
chidi benzzzzzzzzzzzzz!!
Mzazi Willy M Tuva introduced this track in Kenya #HipHopTuesday kwenye #mambomseto #CitizenRadio much love Tuva
@gaza8479
Жыл бұрын
B4 we had radio free africa every friday .Presented this hard stuff .
Weeeweee ndo mchizz waaangu..!!!...#team kubwaaaa
MANSOUR dah asee 🔥🔥🔥🔥
Chiddy fa jay mo mmetishAa
Wadau wa hippop tumemis track kama hii ya true hippop madgo sasahv wanatuzingua
Gonga like kuanzia 2020 hpo
2019 nawaona wakali wangu long time ago Like kama bado unaikubali Ngoma hii
Chid na Lord eyez wameua Ila ngwea alitakiwa kwenye hiii ngoma
2018 still naona ndo zmetoka Jana yan.....really appriciated
@tundamanofficaly4874
5 жыл бұрын
Mfaume Akida we ndo mchizi wangu
Kama unajua mistari...sikiza Mansu Li..huyu jamaa ni mdeadly!!
@eliuschonjo7706
5 жыл бұрын
G,,,,,,, mansul
Kama unaangalia hii 2018 gonga like
2022 najipata huku , Tbt Nzuri sana!!!! Kwa wale wanaoelewa hip hop Thumbs up👍👍👍
Noma sana chid $# we ndo mchezi wangu
R chuga hip hop Ndio ilipozaliwa bongo live. A town mpooooooooo ngaramtoni kwetu
This makes me miss my bongo niggaz! Ghetto boyz foeva!
@gabrielkavishe550
2 жыл бұрын
The real best collabo HipHop...!!! Getto boys foeva...
Chid Benz kaua sana kwenye hii ngoma
Machizi wanamwaga madini hip hop ilikuwa noma kweny tambo zetu.
Binamu umeuwa vbaya. chid umenata na beat kinoma
Hipop imepoteza muelekeo...zamani ilikuwa really
@dullahkesi9547
4 жыл бұрын
Noel Kaaya yaa
Respect kwa Mr kubanda
hip hop collabo ni nuksi yan
Kama unangalia hii vitu 2017 gonga like
@drmike4201
6 жыл бұрын
Salute
@godlovekwayu1516
6 жыл бұрын
2018
Maad colabo😎 Tanzanian artists rule hip hop across east Africa.
Dude halichuji..2020 likes hapa🔥🔥
Gonga like hapa kama bado unaangalia huu wimbo 2020
Mh.Temba hapa ameeleza poa kabisa maneno yake yanafunza,Chid Benz ana mikwara mchizi wangu kama kiuno na tako.Binamu yeye ni kitu kingine,Fid Q hapa amefanya kazi nzuri na wengine wote nawezasema good job men. Nyimbo ni kali imetulia sana.
Chid ameua sanaaaaa... 04th May, 2020
Hii ngoma watu wamechana kama ugomvi.
Ilikuwa booonge la kolabo💪 Wana kibaaao
R.I.P Ngwair Geez Mabov YP..
Mabovu na Fa wameua, Lolenzo mchizi wangu means my good G
Kama unacheki 2020 gonga like
Respect N2N..Nako2Nako
Haitokaa itokee collabo ya HIP HOP bongo kama hii kamwe
Anae sikiliza 2021 gonga like💋
mabovuuuuuuuuuuuuuuuu R.I.P
daah king ngosha nakukubari sana daah nikifikiria hvi vchwa sijui ingekuaje hadi Leo ngwea chidi chuma
Still sounds fresh off the lab. Big up to all real solid dawgs
2019 nipe tano 😍
Jaymo is a lyrical genius
This was the real hip hop! Spitting 'em rhymes!
Nakumbuka A town kijenge ya juu mwaka 2004 pale maskani na kina Pizza, Wizzo, Issa, Jigga na Jaco. Nawamiss sana aisee.
daaah nzuri sana
Salute...from keko
Hit of the hip-hop,I really love this song
Huu ni zaid Ya mseto 😂😂🔥💥
This era 🔥🔥 2020 still here
Nyindo machiz waaaangu 💥2023 bado tunaskiza 🇰🇪
weweeweweweeee ndio mchizi wangu!!!
Kama bado unasikiliza hii ngoma we ndio mchizi gonga like
2019 nimewa miss hawa watu
love the chidy verse
Kwanin ngwea hakuwemo kwenye ngoma hii
@valerianmchau9165
Жыл бұрын
Yupo kwenye video
2018 gonga like woyoooo
I'm here after khaligraph diss just to know Tanzanian hiphop.I must say Its good.
@westcijosh
10 ай бұрын
Hii time tulikua juu
gonga like kama bado unacheki hii truck mwaka huu 2020
datc hip hop xio wavaa vikuku na vibegi alafu wanajiita wanachana, this iz hip hop nat grasshopers of nowdays.R.I.P mangwear na geez mabov
Chid ulikuwa nomaa sana
@mwandumazaoidrossa1702
6 жыл бұрын
Saumu Hassan mambo uko wp ww
@oswardadriano8542
6 жыл бұрын
nxhgidiii
@jastinmarsel2254
6 жыл бұрын
Noma sana
@darweshk7342
6 жыл бұрын
Sana
Kwa hii ngoma hakuna ambae amekosea yaani wote wameua
Jay Moe ulitisha mzee baba, wale Weusi wanaojiita wanajua Hip Hop Hawawezi kabisa kutia spoko zao humu ndani
N2N for life Mafia Nako here shidddd
Yeah 2021! Bado tupo nayo, twende pamoja
Mansu Li Chid n Mo Killed it,Fid Q king wa Hiphoo
2019 may mpooo gonga like tuelewane